ABU FATMA27

ABU FATMA27

SALAFI,,, MANHAJ_NUBUWA

Пікірлер

  • @AliHamad-xl2mm
    @AliHamad-xl2mm18 күн бұрын

    Allah akuhifashi shehe wet mashallah

  • @anasibnsami
    @anasibnsami2 ай бұрын

    السلام عليكم is this sheikh abdullah humeid who has some recitations online? And which language is this?

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e2 ай бұрын

    Ww unamtukana shekhe kisa anakuambia kweli utajibu hiyo dhambi siku ya kiama Allah anaandika tu kila kitu kinadhibitiwa kwake utaoneshwa yaumal kiama na hakuna kitu kibaya kama kumdhulumu mtu usameeki mpk umuonbe radhi yey kwani ndo Allah akusamehe.

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh3 ай бұрын

    This is Heavy....Allāh atujaalie thabaat😢

  • @HamzaAli-os4to
    @HamzaAli-os4to3 ай бұрын

    Kwa Aya ya adhab ni kuanza na Audhu biLLAH pekeake ama Audhu biLLAH mina shaytwan rajeem?

  • @FatmaNafoo-vc9yl
    @FatmaNafoo-vc9yl3 ай бұрын

    Mashallah

  • @xxl5239
    @xxl52393 ай бұрын

    Kwani ikithibiti Isnadi ndio Hadithi tayari ni sahihi? Isnadi ni Sharti moja tu ktk masharti ya Usahihi, kwahivyo ikiwa kuna mengine hayakupatikana basi itaendelea kuachwa.

  • @IssaSimbilla-hw9ev
    @IssaSimbilla-hw9ev3 ай бұрын

    mashaAllah Allah akuhifadhi shekh wetu mbora

  • @omarmakame3027
    @omarmakame30274 ай бұрын

    Allah atukinge na moto wa jahannam

  • @allythabiti8150
    @allythabiti81505 ай бұрын

    Shukuran sheikh

  • @banihashim5347
    @banihashim53475 ай бұрын

    WEWE MAFUTA NI MUNAFIQ MKUBWA, MBONA YULE MDOGO WAKO CHIZI HUKUMKOSA PALE ALIPO SEMA (MANENO YA SHEIKH RABII NI KAMA WAHYI????????????

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa745 ай бұрын

    WALILLAHIL HAMDU, tunawapenda kwa juhudi za uelimishaji wa Dini yetu Tukufu ya Kiislamu.Lakini nyinyi pia ni binadamu mnakosea lazima tuwakosoe. Bahati mbaya wengi waliokuzunguka Abal Fadhwil si waadilifu ni washabiki hawakukumbushi unapoteleza. Usulubu unaoutumia wakati mwingine haupo ktk Manhaj Sahihi.

  • @user-if3hw1jq1f
    @user-if3hw1jq1f5 ай бұрын

    Maa shaa Allah

  • @yousufmbarak9745
    @yousufmbarak97455 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @user-qm4qd8yk2x
    @user-qm4qd8yk2x6 ай бұрын

    masufi hawako sirius na dini wao ni biashara joks nyingi uzushi na matusi kumbuka juzi juzi al akhi mohd bachu alipoondoka kwenye kiti chake ghafla bin vu wakamzulia eti amechafua kiti

  • @user-qm4qd8yk2x
    @user-qm4qd8yk2x6 ай бұрын

    iko klip moja nimeiona kutoka yemen jamaa wengi wako maulidini huku watafuna mairungi

  • @IBN_IDREES
    @IBN_IDREES7 ай бұрын

    Salamu alaikum akhi, it is 76-118 not 86-118, Salamu alaikum

  • @mafiatv5479
    @mafiatv54797 ай бұрын

    Usipoteze muda na kupoteza watu, hiyo hy bidaa hujaielewa kasome humeid mbwa mweusi kua na adabu

  • @user-bp3gb7fy9w
    @user-bp3gb7fy9w3 ай бұрын

    Muogope ALLAH (s.w.a) ww! sheikh humeid yu aongea maneno ya haqq, shida ni kwamba hujamwelewa , kaa utulie tena ufuatilie kwa umakini wa hali ya juu darsa zake na kubali wala usifanye ubishi na uzifanyie kazi Wallahi! Utaongoka. Umemuasi ALLAH (s.w) kwa umtukana sheikh humeid.Nakuomba utubie kwa hilo na usirudietena.Na kama hutoacha hayo matusi yako kwa Shekh huyu mwema anaetetea sunnah ya Mtume (s.a.w) Mm binafsi namwomba ALLAH (s.w) akuwajibishe kwa hilo

  • @ayyamirubba5226
    @ayyamirubba52267 ай бұрын

    Jazaaka Llah

  • @KhadijaNurudin
    @KhadijaNurudin7 ай бұрын

    Masufi niwanafiki hakika sheikhe watakuchukia ila ukweli umewafikia shukran Sana kwanasaha Allah akuhifadhi

  • @mohamedally121
    @mohamedally1218 ай бұрын

    Ukiona sheikh anawajibujibu watu,ujue ni mtafuta Kiki tu

  • @husseinvarvani9823
    @husseinvarvani98238 ай бұрын

    Inna lillahi wa inna ilaihi rajioon

  • @husseinvarvani9823
    @husseinvarvani98238 ай бұрын

    The statement of sagaf is misleading people on the right track. He himself is misguided trying to misguide others. Sheikh we really appreciate for your knowledge.

  • @kassimkangeta9166
    @kassimkangeta91668 ай бұрын

    Allah akuhifadhi yaa sheikh

  • @shabaniissa3464
    @shabaniissa34649 ай бұрын

    Hapa hakuna elimu bali ujinga na chuki tu

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog21889 ай бұрын

    Yusuph Abdi anamakosa kweli ila kuwataja kwa u baya mashekhe wengine nimakosa .unakosea hapo ewe dilele

  • @user-ct2lc2xh5u
    @user-ct2lc2xh5u9 ай бұрын

    Sheikh wewe pia mrongo Sana tena sana domo mali yako

  • @zuhuramohamed7306
    @zuhuramohamed73069 ай бұрын

    Sunhanallah daaah hii kali inshallah ALLAH awajaalie waijuwe hakki na waifwate....shekh wata na mm nichore msitari nije nikuone ama nipande mpapayu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry52419 ай бұрын

    Misufi inanikera rohoni

  • @Abuu_Asfiya-Salafy
    @Abuu_Asfiya-Salafy9 ай бұрын

    hunidshindi mimi.. Allahul musta'anu

  • @allymahaba3425
    @allymahaba342510 ай бұрын

    Mawahhabi mnachukia kuitwa Mawahhabi. Mnataka muitwe Ahlu Sunna. Mtabaki kuwa Mawahhabi tu, mtake msitake. Hadith zenu hizo za Nabii Hud mnazitunga wenyewe. Ndio kwanza watu tunazisikia. Wewe utasimama Siku ya Kiama ujitetee uongo wako huo.

  • @abufatma2750
    @abufatma275010 ай бұрын

    HEBU TUELEZE MAANA YA UWAHABI? IKIWA MIMI UTANIITA WAHABI NI FARAJA KWANGU KULIKO KUWA KHURAFI NA SUFI KAMA WEWE,,,,

  • @allymahaba3425
    @allymahaba342510 ай бұрын

    Jamani eee!! Mawahhabi (Wazee wa Nejd) hawataki jina la Mawahhabi na Salafi. Wanataka waitwe Ahlu Sunna. Wanawaita Waislam Masufi. Ukiwauliza Masufi ni nani watakwambia watu wa Maulidi.....!!? Hawagombani na Wakristo. Wao adui yao ni Muislam!!!!

  • @abuumuslim3601
    @abuumuslim360110 ай бұрын

    ndio maj gan hayo?

  • @fadhilimussa5067
    @fadhilimussa506710 ай бұрын

    Mashia ni makafiri tu..maana wanawakufurisha waislamu..

  • @mafiatv5479
    @mafiatv547910 ай бұрын

    kifupi tumewachoka nyie washenzi, na sio ahlu sunna nyie majadida tu, mmekuja na dini mpya kuja kukosoa watu, je mtume alilifanya hili? na jee hii kullu ambayo nyie mwasema kila bidaa ni upotevu je mtasalimika? nyie jiangalieni wapuuzi wajinga

  • @selemanmartin
    @selemanmartin7 ай бұрын

    Huna sera, huna ujualo, husomi vitabu ukagundua ukweli na uongo, wafuata mkumbo: Nia hapa ni kuzindua wenye akili wajuwe mabaya ya masufi.

  • @mafiatv5479
    @mafiatv54797 ай бұрын

    @@selemanmartin sasa km nafata mkumbo wewe umesoma au wafata mkumbo nakuomba tuonn mimi na wewe utanijua km nafata mkukba box km bachoo

  • @mafiatv5479
    @mafiatv54797 ай бұрын

    @@selemanmartin kwa hyo hayo alosema hilo fala mwenzako ni ya mtume au kayazua? ndo utasema msomi? km si fala box lisenge tu

  • @mafiatv5479
    @mafiatv547910 ай бұрын

    Tofauti ipo sana kwa sbb nyie wagombanishaji, wafitinishaji, hampo ktk kuitetea dini kazi kuangalia makosa ya watu ndilo mulijualo, kila siku taskia kelele zunu tu,,,,

  • @allymahaba3425
    @allymahaba342510 ай бұрын

    Mzee wa Nejd. Pembe ya Shetani. Katabiriwa na Mtume (SAW). Wasomi wanajua huyo ndie aliyekusudiwa. Hakuna mtu mwingine aliyetoka Nejd na kuwa fitna zaidi ya huyo. Mnaosema Nejd ni Iraq ni waongo. Hayo maneno ya maulamaa hayabadilishi kauli ya Mtume (SAW). Mtageuza maneno mpaka mtayamaliza lakini tunajua Mtume (SAW) Alisema "Nejd yetu" yaani Nejd ya Uarabuni sio "Nejd ya Iraq". Muhammad bi Abdil-Wahhab akishirikiana na Mfalme Suudi waliua Waislam kwa mamilioni. Wengine walikimbilia Jordan. Kwanza mwanachuoni gani anapata support ya serikali????? Msome Imamu Habal, Shafi, Malik, Abu Hanifa nk. Walikataa vyeo vya serikali. Lakini Muhammad Abdil-Wahhabi mpaka alimwozesha Mfalme Suudi binti yake ili ahonge dini kwenye dola. Ndio maana mpaka leo Saudia sio dola ya Kiislam bali ni nchi ya kifalme na dini yake rasmi ni Uwahhabi. Hizi zote ni fitna za huyu Wahhabi na wafalme wa Saudia.❤

  • @AhmedMohamed-un4zh
    @AhmedMohamed-un4zh10 ай бұрын

    Huna adabu

  • @ubahmohamed2128
    @ubahmohamed212810 ай бұрын

    Jamani sheikh Abdullah humeid natafuta mume mimi

  • @bwakiismail126
    @bwakiismail1263 ай бұрын

    Upo wapi?

  • @MkindiRama-lp6hy
    @MkindiRama-lp6hy11 ай бұрын

    Hivi wewe ni huna darsa za kufundisha mungu akuongoze

  • @yusufsingano6202
    @yusufsingano620211 ай бұрын

    Kwako sio darsa ila kwao ni darsa kubwa

  • @hawaabdi516
    @hawaabdi516 Жыл бұрын

    ماشاء الله اللهم بارك

  • @makameally1962
    @makameally1962 Жыл бұрын

    Mawahaby sio Katika ahlusuna wal jaamah na hawa ndo waliokuja kuugawa uma wa kiislamu

  • @user-bp6fb6wo5u
    @user-bp6fb6wo5u11 ай бұрын

    Je wamesingiziwa ama kumetajwa majina ya vitabu na kurasa ya ngapi??? Huyu mimi naona ameeleza itikadi za masufi katika vitabu vyao... ili na sisi tuseme ni haki ama baatil... haya akili kichwani mwako...

  • @saydsultan9499
    @saydsultan9499 Жыл бұрын

    Allaah akuhifadhi sheikh wetu Abul Khatwaab Abdullah Humeid Said Elhadhramy

  • @user-bp6fb6wo5u
    @user-bp6fb6wo5u Жыл бұрын

    Shekhe Allah akulipe kila kheri kuwaweka wazi hawa masufi waovu! Duh kumbe wana ujinga mkubwa sana hawa!!!!

  • @nasoros.mgungo5502
    @nasoros.mgungo5502 Жыл бұрын

    Sasa haya ndio majibu ya Kielimu?

  • @albabaly8297
    @albabaly8297 Жыл бұрын

    Baraka Allah fiyka

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Жыл бұрын

    Duh kumbe tunafanya manyago sana

  • @mafiatv5479
    @mafiatv5479 Жыл бұрын

    Acha chuki wataka kututoa ktk ahlu ssunna wataka tueka wapi? acha ujinga ndg

  • @hasanulbaswari6804
    @hasanulbaswari6804 Жыл бұрын

    💤Na'am umeeleweka sheikh.wetu بارك الله فيك🇧🇮

  • @omarally6819
    @omarally6819 Жыл бұрын

    Na naomba bayana kuhusu UADUWI wa Masufi kwa Ahlussunnati

  • @mafiatv5479
    @mafiatv547910 ай бұрын

    bayana hujaiona wewe tu, mbn ishatokea, nyie wahuni mafitna ktk dunia ni nyie

  • @omarally6819
    @omarally6819 Жыл бұрын

    Iendelezwe musiache