Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Жүктеу.....
Пікірлер: 149
@bennlekule32043 жыл бұрын
Nampenda sana Makongoro. Anaweza Sana. Makongoro hoyeeeee. Mkuu wetu Wa Mkoa Mungu akuinue Baba
@ismailmohammed84183 жыл бұрын
Viva makongoro ! Chapa kazi
@edwardalfred28443 жыл бұрын
Ahsante mzeewetu kwakweli umefata nyendo za baba wa taifa kwakwel mungu akupewepesi ktk utendaji kaziwako
@ericklaura75113 жыл бұрын
He z so fun I like him, ako na style ya kipekee sana in leadership👏👏😁
@emmanuelakutulaga97563 жыл бұрын
Dahhh hongera,...this is the right leadership we need in our country.
@njengasam93443 жыл бұрын
HahahahahahahahhahahahaaH My best RC ever, Weldone, just Praying for you. From DIT Dar ENGINEERING Student
@Chekakidogo23 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Mzee Makongoro.
@mwlpierre3 жыл бұрын
What a leadership style of his kind!
@kennyrogers47343 жыл бұрын
Yaan watendaji wake wa chini na mkoa huu anaongoza Makongoro nyerere wataenjey sana hawatokua na presha ila wajitambue wanafanya kazi na mtu asie na makuu wajitume wenyewe tu
@R.Dickon
3 жыл бұрын
Ishu iko hapo Kwa waafrika kujituma wenyewe ni udhaifu mkubwa
@kennyrogers4734
3 жыл бұрын
@@R.Dickon Tena udhaifu mkubwa mnooo wanapoisaka nafasi ya kazi wanajuhudi kweli kweli wanatumia nguvu nyiiiingi ila wakishaipata tu bc wanapandisha mebega kwa majigambo wanasahau km wanawatumikia wananchi wanalewa sifa mapema sana
@pharleserasto31143 жыл бұрын
Gud sana baba tuko pamoja kaz unaiwez Mungu akulinde
@binurusm88863 жыл бұрын
Ha ha ha ha !! Mwenyezi Mungu akulinde Mzee wa mitonyo, Niwatonye nisiwatonye.
@paulina.baynit79703 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 yaani mkoa wetu wa Manyara unabahati kubwa sana. Barikiwa sana mkuu wetu.🙏🙏🙏.
@georgewinford2809 Жыл бұрын
Huyu Mzee namkubali mnoooo😂😂😂😂
@zaidihussein43113 жыл бұрын
Mama Samia umetuletea .mkuu wa mkoa mzuri manyara hoyeeee
@kaizamulinda6333 жыл бұрын
Huyu anajua maana ya maisha. Huna haja ya kujinunisha ndo watu wakuheshimu
@reubenismail36723 жыл бұрын
Yaani mama hakukosea!upo vzr Kama baba wataifa!mungu akujarie
@kambamazig020242 жыл бұрын
Makongoro husema kwa mafumbo na misamiati. Hii ni tangu alivyokuwa mtoto. Sisi tuliosoma nae tunajua vichekesho vyake.
@onionpeeling58223 жыл бұрын
Jamaa ana kipaji cha Mwalimu mwenyewe kabisa Mzee Kambarage..
Huyu mkuu wa mkoa atawavusha wananchi wajitambue tu,anaongea kama mwl.nyerere,Mungu amlinde
@brownpatrickkaduma71063 жыл бұрын
Roho ya uongozi lazima imtawale mtoto wa kiongozi Mungu akubariku sana mtoto wa Baba wa Taifa uongozi una mengi ya kuyasikia na kuyaona piga kazi usiogope miruzi
@bidayo10583 жыл бұрын
Nyerere tupu!
@richardnganya23113 жыл бұрын
Mwananchi ni jina maarufu. Wekeni maneno ambayo yako katika kamusi ya kiswahili. "Sijawai'' × !! SIJAWAHI !✓
@emmanuelbayi46403 жыл бұрын
Hana mjivuno huyo mzee kwakweli anaweza kuongea Kila mtu haswa wairagw wa irgwar daaw na wabarbayg wasio jua kiswahili hongera mzee
@seremenikibwene86333 жыл бұрын
Huyu Hapendi Kuchukiana ktk kazi, Labda walio chini yake Wawe Vilaza ktk Kutekeleza majukumu yao, Vinginevyo kila Kikao Atachoitisha Watu Watakuwa na Shauku ya Kwenda Kuondoa Msongo wa mawazo kwa kwenda Kumsikiliza
@johnmalembo64643 жыл бұрын
Ntoo...Nye............. Tonya. Nakumbuka 2020 kampeini ccm in Jimbo ukerewe..... Eee Mwenyezi Mungu tubariki Watoto wa Tz
@amaninyakarashi7732
3 жыл бұрын
Siasa safi, piga kazi dogo,.baba yako alipiga kazi sana, tukikuona tunamkumbuka sana mzee. We love your family ilikomboa nchi
@timboxlee9193 жыл бұрын
Nakuelewa sana makongoro nyerere
@johnnicola59413 жыл бұрын
Rc Wangu Makongoro Nyerere 😅😅
@josephlmalima4503 жыл бұрын
Kaka Wa Taifa katika ubora wake ,Nitonye nisiwatonye hotuba zinazoondoa msongo Wa mawazo hakika una kipaji
@josephjila9573 жыл бұрын
Hongera sana ucheshi
@theresiamartin30083 жыл бұрын
RC wetu, we are proud of you
@emmanuelbayi46403 жыл бұрын
Mzee Kama utahamishwa makongoro nakuombea uje arxh
@MalegesiMakunja3 жыл бұрын
Hongera Sana Makongoro
@gloryonesmo22443 жыл бұрын
MAMA SAMIA ANAAKILI SAANA
@belindagiliard89773 жыл бұрын
Wanawake tuangalie wa kuzaa nao. yaani huyu hana tamaa ya mali exactly kama baba yake. Mapungufu mengine yanavumilika, hiki kizazi kije kutoa raisi tena asee
@haysanhassan2685
3 жыл бұрын
Fact
@devidpanja115
2 жыл бұрын
Hakika
@abuukamanda.s.mkenga66873 жыл бұрын
Huyu n mchesh kwelikweli
@katabimazingo17673 жыл бұрын
Jamaa huwez kuchoka kumsikiliza
@abrahammtongole27473 жыл бұрын
Hayati Nyerere huyu hapaaaa
@malataogtz20803 жыл бұрын
Kama baba kama mtoto....
@Jal2103 жыл бұрын
Hazeeki Makongoro sababu ya ucheshi wake
@deusdebitkowa96573 жыл бұрын
Raha sana.
@ramadhanimahongole87643 жыл бұрын
watu kama hawa wanakuwaga wakali sana kwenye utendaji
@mbwanakhamis9634
3 жыл бұрын
Kwl kbsa... 🤣🤣🤣
@magrethmallya77283 жыл бұрын
Hahahahaa. Love sana sana.
@erodeshayo86723 жыл бұрын
Uko vzr
@ramadhanimahongole87643 жыл бұрын
baba wa taifa kafufuka upya
@damasiuspetro51783 жыл бұрын
Huyu hata akiingia kuongea,lazima watu wamsikilize
@teachingtruthmission21403 жыл бұрын
unanikumbusha nyerere
@graysonmatali6443 жыл бұрын
Mtu huyu anayecheka ofisini anaweza akawa na maamuzi magumu hadi ukajiona kuwa umetengwa pindi tukikosea.
@stevengracphord953
3 жыл бұрын
Sijaelewa rafiki fafanua
@zakariampompo9533 жыл бұрын
Good Makongoro
@salimabdul44243 жыл бұрын
Hawa ndio viongozi tunawataka kabisa
@ezekielnjau88303 жыл бұрын
Nice
@adrianmallyakibona.3523 жыл бұрын
Makongoro Nyerere ni mtt wa raisi wa kwanza Tanzania. Ana kitu ndani yake cha pekee... Taswira yake kwa jamii ni rahisi tu. Kwamba kuwa mtt wa mkubwa bado unaweza kufayika faraja, upendo, rafiki na mtu wa watu wa aina zote na bado maisha yakaenda
@emmanuelmkama3000
3 жыл бұрын
Unajua kura za maoni alipata ngapi Butiama kwao? Wananchi ni waelewa sana, wanawafahamu viongozi, acha wabahatike na teuzi tu
@abubakarikisuju802 жыл бұрын
duuu! Ana mouton tena
@sylivesterconatus1613 жыл бұрын
aiseee
@labanijr51953 жыл бұрын
Hahahhahahaaaa kiazi sana namkubali sana aa 😆😆😆😆
@sagandamalechampullo6593 жыл бұрын
YAANI KAMA BABA YAKE TU, VITUKO MTUPU
@emmanuelbayi4640
3 жыл бұрын
Hahahhhhaaaa hongera mkuu was mkoa wa manyara nakupenda mzee tutembelee aruxh bhana
@zakariampompo9533 жыл бұрын
Safi
@allenmacha87693 жыл бұрын
Mcheshi kama mwalim nyerere
@lazarodaudi16893 жыл бұрын
Mbadala wa Agrrey Mwanri 😂😂😂😂
@muhammedjuma28103 жыл бұрын
Ulikuwa wap siku zote hizo baba yani mtu anae kuchukia ndani ya mkoa wako basi huyo mtu atakuwa na rafik
@japhetlaisangai86823 жыл бұрын
Safii
@muracarservice85013 жыл бұрын
Like father like son kma babaake aseew
@keziahmakoyo76433 жыл бұрын
Nadhani ukifanya kazi na Makongoro mkuu wa mkoa Manyara huwezi kupata pressure wala msongo wa mwanzo.
@Werema3760
3 жыл бұрын
Ofcourse
@jestinaluvanda4787
3 жыл бұрын
Kweli bwana hata ukileta noma kwa kazi anakuchekea tu🤦🤦
@simbarajabu41573 жыл бұрын
Mwidini huyo ana presure na cheo
@paulpetermayega42413 жыл бұрын
Makongoro sikuelewi ila nakupenda sana mzee. We ni wa pekee
@manyanzalucas19453 жыл бұрын
Feedback
@witneskilinda50343 жыл бұрын
hahaha hahaha! Charles bhana!
@ramadhanimahongole87643 жыл бұрын
huyu mkuu wa mkoa siyo limbukeni wa uongozi, angekuwa mkuu wa mkoa mwingine hapo angepandisha mabega na kujifanya Mungu mtu km kina chalamila na wengine wengi
@abbeystationery1700
3 жыл бұрын
Fact
@sponsor78823 жыл бұрын
Rais mtarajiwa.
@hezronngulwa92503 жыл бұрын
Hahahahahahaaaaa love u
@abedysteven53973 жыл бұрын
Kafanana na nyerere xana
@amirisaid6341
3 жыл бұрын
Kafanana mama yake muangalie vizuri
@ramadhanimahongole8764
3 жыл бұрын
@@amirisaid6341 huyu kafanana na nyerere madaraka ndo kafanana na mamake zaidi
@sponsor7882
3 жыл бұрын
Si babake
@julius.m.issame33113 жыл бұрын
Huyu ni nyereree kabisa
@rhodarichard4494
3 жыл бұрын
Yaan sura ya dingi ake kabisa...duu
@yussufhaji3335
3 жыл бұрын
Hahaha yakwangu had raaa
@peterkatumaini95083 жыл бұрын
Maoni yangu Mimi viongozi wetu naomba mpunguze vichekesho kwny usiliazi maana unaweza Fanya jambo kwa vichekesho kumbe lika pokeleka vibaya
@husseinchiaseeds2653
3 жыл бұрын
Usiliasi sio kutenda kazi hzo ni roho za kishetani
@edwinmtuka736
2 жыл бұрын
Ww acha hayo kucheka nawatu nimuhimu Sana kuliko kununa na usilias sio kununa
@jayjay8845
Жыл бұрын
Chill out! Cheka kwa afya
@giztony2009
3 ай бұрын
Acha ushamba kuwa serious cyo kigezo cha kuwa kiongozi bora
@evelynsalila97003 жыл бұрын
Akicheka anafanana na mwalim😂😂
@nicodemusmayo60373 жыл бұрын
Hahaaaaaaaaa!!!. Nmerudia mara tatu kuitizama!.
@mauthamani3 жыл бұрын
Mpaka raha aisee kua na mkuu wa mkoa wa hivyo
@haysanhassan26853 жыл бұрын
Kimuonekano na ucheshi ni copy ya mwalimu
@ngayenimollel53193 жыл бұрын
Hahahahahaa very funny
@user-io2tp1lr4r10 ай бұрын
Alioteakuhamishiwa rukwa
@ramadhanimahongole87643 жыл бұрын
yan huyu hana ulimbukeni wa uongozi kabisaaaaa
@catherinemasiga6666
3 жыл бұрын
Wacha maneno yako ya hovyo
@happyosmund3908
3 жыл бұрын
Huyu sii wa kupelekeshwaaa hata kidogo
@ericksagara17193 жыл бұрын
Kwa stahili hii,! Si hajabu ukakuta walimzibia maana walijua wazi akipata nafasi kwa wakati anaweza kuongoza
@goldensensemedia.7906
3 жыл бұрын
Hadi Sasa makongoro anaeweza kuichukua nchi
@emmanuelnhyamamanwele1697
3 жыл бұрын
SI HAJABU //AJABU
@ahz6907
3 жыл бұрын
Mh🙄
@catherinemasiga66663 жыл бұрын
Kama mzee wake vichekesho
@bernadethaprosper
3 жыл бұрын
Kabisaaa yaan
@gloryonesmo22443 жыл бұрын
HUYU ALIKUWA WAPI???
@jonasagrey43723 жыл бұрын
Hahahaaaaa
@victorishengoma45993 жыл бұрын
Very funny
@bengang3265
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/poWo1MWFpZadf9o.html
@omarjumanne26983 жыл бұрын
Punguza masihara.weye ni kiongozi kucheka sana kunaharibu na kushusha heshima ya kuwaongoza unaowaongza fanya kiasi
@reganshao
3 жыл бұрын
Babaake alikuwa analia? Acheni chuki
@rhodarichard4494
3 жыл бұрын
@@reganshao kweli iyo ni roho mbaya tu..
@reganshao
3 жыл бұрын
@@rhodarichard4494 Yan na anaeongea hivyo mpe hata kazi ya uongozi wa familia Sasa atakavoharibu . Tunalalamika wachawi kumbe Kuna wachawi hatar mno
@omarykomba2655
3 жыл бұрын
Kumuelewa huyu Mzee anakufikishia ujumbe Kwa njia ya Masiara
@rhodarichard4494
3 жыл бұрын
@@reganshao 😅nikweli kabsa ..nakama uyu Jamaa ana mke bas uyo mke bila Shaka anapata taab...maan nikauzu balaa ..sizan hata kam huwa anatabasam..
@sudymgeni7013 жыл бұрын
Yani tatizo la makongoro matani mengi sana.sijui Kama ataweza kupambana na melelani
@omarjumanne2698
3 жыл бұрын
Huo ndo wasiwasi wangu watanzania ukicheka nao tu ujue hapo kazi hakuna tena na nafasi ya kupiga ushawapa tayari. hapo hakuna kazi tena ni zawadi tu
@christinammassy1550
3 жыл бұрын
Mzoea punda hapandi farasi 🤦
@yahyamassawe80113 жыл бұрын
Eti na mm nimcheka hahah
@abuukamanda.s.mkenga66873 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@abuukamanda.s.mkenga6687
3 жыл бұрын
@@amenmushi5285 💦🙏🙏
@happysalim41203 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@yussufhaji33353 жыл бұрын
Hahahaha
@nuratkalinga5813 жыл бұрын
Tutaona mengi Mwaka huu.
@eng.magesakhamis493
2 жыл бұрын
Huwezi elewa
@abdallahbakari61543 жыл бұрын
Watu watakuzalau ukicheka nao sana
@azizajarwan303
3 жыл бұрын
Mh sijui ngoja kaka tumuone kwani ninachokijua mimi hata baba yake kwenye mikutano alikuwa hivyo,ila akiwa na kazi za kiserekali watu waovu waliisoma namba!!
@davidcurtis8556
3 жыл бұрын
Kwasababu hujui vizuri ndio maana unasema hivyo ni mcheshi sana ila pia ni mkali kuliko unavyojua, mfano mdogo je baba ake alikuaje? Magufuli alionekana dictactor au mkali sana sema kwa nyerere hatii mguu hata tone, sikiliza hotuba zake nyingi tu mbona zipo hapa hapa youtube halafu utapata majibu mazuri
@sethkivuyo3342
3 жыл бұрын
Achana na maisha ya kibabe yel
@sethkivuyo3342
3 жыл бұрын
Achana na fikra mgando maisha ya ukals yameenda zake na awamu ya 5
@j.c.maxima816
3 жыл бұрын
🚴♂️🚴♂️🚴♂️🚴♂️🚴♂️🚴♂️🚴♂️🚴♂️🚴♂️
@mwidinijuma82143 жыл бұрын
Wewe cheka nao tu angalia usije ukavuna mabuwa.
@hassansalum5362
3 жыл бұрын
Sasa unataka anune umesikia kununa ndoo uwongozi
@richardsikazwe9197
3 жыл бұрын
Hata Mimi nashangaa
@samsonnzisabira768
3 жыл бұрын
Jamani mumefaidi RC
@richardmwabe8065
3 жыл бұрын
Watu kama bro waogope sana Kwenye maamuzi unaweza ukalia ukibanwa nae
@happyosmund3908
3 жыл бұрын
Unavyomuona anashida na uongozi huyoooo
@damasiuspetro51783 жыл бұрын
Haki ya nani,utafikiri ni Hayati Baba wa Taifa Mwl.Nyerere. Alimrithi Ucheshi sana Hahahahahahahahahahahahahahahahahah! Haya mambo ya genes haya!!!!
Пікірлер: 149
Nampenda sana Makongoro. Anaweza Sana. Makongoro hoyeeeee. Mkuu wetu Wa Mkoa Mungu akuinue Baba
Viva makongoro ! Chapa kazi
Ahsante mzeewetu kwakweli umefata nyendo za baba wa taifa kwakwel mungu akupewepesi ktk utendaji kaziwako
He z so fun I like him, ako na style ya kipekee sana in leadership👏👏😁
Dahhh hongera,...this is the right leadership we need in our country.
HahahahahahahahhahahahaaH My best RC ever, Weldone, just Praying for you. From DIT Dar ENGINEERING Student
Mungu akubariki sana Mzee Makongoro.
What a leadership style of his kind!
Yaan watendaji wake wa chini na mkoa huu anaongoza Makongoro nyerere wataenjey sana hawatokua na presha ila wajitambue wanafanya kazi na mtu asie na makuu wajitume wenyewe tu
@R.Dickon
3 жыл бұрын
Ishu iko hapo Kwa waafrika kujituma wenyewe ni udhaifu mkubwa
@kennyrogers4734
3 жыл бұрын
@@R.Dickon Tena udhaifu mkubwa mnooo wanapoisaka nafasi ya kazi wanajuhudi kweli kweli wanatumia nguvu nyiiiingi ila wakishaipata tu bc wanapandisha mebega kwa majigambo wanasahau km wanawatumikia wananchi wanalewa sifa mapema sana
Gud sana baba tuko pamoja kaz unaiwez Mungu akulinde
Ha ha ha ha !! Mwenyezi Mungu akulinde Mzee wa mitonyo, Niwatonye nisiwatonye.
🤣🤣🤣🤣 yaani mkoa wetu wa Manyara unabahati kubwa sana. Barikiwa sana mkuu wetu.🙏🙏🙏.
Huyu Mzee namkubali mnoooo😂😂😂😂
Mama Samia umetuletea .mkuu wa mkoa mzuri manyara hoyeeee
Huyu anajua maana ya maisha. Huna haja ya kujinunisha ndo watu wakuheshimu
Yaani mama hakukosea!upo vzr Kama baba wataifa!mungu akujarie
Makongoro husema kwa mafumbo na misamiati. Hii ni tangu alivyokuwa mtoto. Sisi tuliosoma nae tunajua vichekesho vyake.
Jamaa ana kipaji cha Mwalimu mwenyewe kabisa Mzee Kambarage..
Support ndg yangu Mungu akusimamie
Nampenda sana makongolo
Standup comedy on flick😄😄
Brother makongoro nakuelewa can't, bravo bro,engine wajifunze kwako,c mbaya kujifunza mazuri
Huyu mkuu wa mkoa atawavusha wananchi wajitambue tu,anaongea kama mwl.nyerere,Mungu amlinde
Roho ya uongozi lazima imtawale mtoto wa kiongozi Mungu akubariku sana mtoto wa Baba wa Taifa uongozi una mengi ya kuyasikia na kuyaona piga kazi usiogope miruzi
Nyerere tupu!
Mwananchi ni jina maarufu. Wekeni maneno ambayo yako katika kamusi ya kiswahili. "Sijawai'' × !! SIJAWAHI !✓
Hana mjivuno huyo mzee kwakweli anaweza kuongea Kila mtu haswa wairagw wa irgwar daaw na wabarbayg wasio jua kiswahili hongera mzee
Huyu Hapendi Kuchukiana ktk kazi, Labda walio chini yake Wawe Vilaza ktk Kutekeleza majukumu yao, Vinginevyo kila Kikao Atachoitisha Watu Watakuwa na Shauku ya Kwenda Kuondoa Msongo wa mawazo kwa kwenda Kumsikiliza
Ntoo...Nye............. Tonya. Nakumbuka 2020 kampeini ccm in Jimbo ukerewe..... Eee Mwenyezi Mungu tubariki Watoto wa Tz
@amaninyakarashi7732
3 жыл бұрын
Siasa safi, piga kazi dogo,.baba yako alipiga kazi sana, tukikuona tunamkumbuka sana mzee. We love your family ilikomboa nchi
Nakuelewa sana makongoro nyerere
Rc Wangu Makongoro Nyerere 😅😅
Kaka Wa Taifa katika ubora wake ,Nitonye nisiwatonye hotuba zinazoondoa msongo Wa mawazo hakika una kipaji
Hongera sana ucheshi
RC wetu, we are proud of you
Mzee Kama utahamishwa makongoro nakuombea uje arxh
Hongera Sana Makongoro
MAMA SAMIA ANAAKILI SAANA
Wanawake tuangalie wa kuzaa nao. yaani huyu hana tamaa ya mali exactly kama baba yake. Mapungufu mengine yanavumilika, hiki kizazi kije kutoa raisi tena asee
@haysanhassan2685
3 жыл бұрын
Fact
@devidpanja115
2 жыл бұрын
Hakika
Huyu n mchesh kwelikweli
Jamaa huwez kuchoka kumsikiliza
Hayati Nyerere huyu hapaaaa
Kama baba kama mtoto....
Hazeeki Makongoro sababu ya ucheshi wake
Raha sana.
watu kama hawa wanakuwaga wakali sana kwenye utendaji
@mbwanakhamis9634
3 жыл бұрын
Kwl kbsa... 🤣🤣🤣
Hahahahaa. Love sana sana.
Uko vzr
baba wa taifa kafufuka upya
Huyu hata akiingia kuongea,lazima watu wamsikilize
unanikumbusha nyerere
Mtu huyu anayecheka ofisini anaweza akawa na maamuzi magumu hadi ukajiona kuwa umetengwa pindi tukikosea.
@stevengracphord953
3 жыл бұрын
Sijaelewa rafiki fafanua
Good Makongoro
Hawa ndio viongozi tunawataka kabisa
Nice
Makongoro Nyerere ni mtt wa raisi wa kwanza Tanzania. Ana kitu ndani yake cha pekee... Taswira yake kwa jamii ni rahisi tu. Kwamba kuwa mtt wa mkubwa bado unaweza kufayika faraja, upendo, rafiki na mtu wa watu wa aina zote na bado maisha yakaenda
@emmanuelmkama3000
3 жыл бұрын
Unajua kura za maoni alipata ngapi Butiama kwao? Wananchi ni waelewa sana, wanawafahamu viongozi, acha wabahatike na teuzi tu
duuu! Ana mouton tena
aiseee
Hahahhahahaaaa kiazi sana namkubali sana aa 😆😆😆😆
YAANI KAMA BABA YAKE TU, VITUKO MTUPU
@emmanuelbayi4640
3 жыл бұрын
Hahahhhhaaaa hongera mkuu was mkoa wa manyara nakupenda mzee tutembelee aruxh bhana
Safi
Mcheshi kama mwalim nyerere
Mbadala wa Agrrey Mwanri 😂😂😂😂
Ulikuwa wap siku zote hizo baba yani mtu anae kuchukia ndani ya mkoa wako basi huyo mtu atakuwa na rafik
Safii
Like father like son kma babaake aseew
Nadhani ukifanya kazi na Makongoro mkuu wa mkoa Manyara huwezi kupata pressure wala msongo wa mwanzo.
@Werema3760
3 жыл бұрын
Ofcourse
@jestinaluvanda4787
3 жыл бұрын
Kweli bwana hata ukileta noma kwa kazi anakuchekea tu🤦🤦
Mwidini huyo ana presure na cheo
Makongoro sikuelewi ila nakupenda sana mzee. We ni wa pekee
Feedback
hahaha hahaha! Charles bhana!
huyu mkuu wa mkoa siyo limbukeni wa uongozi, angekuwa mkuu wa mkoa mwingine hapo angepandisha mabega na kujifanya Mungu mtu km kina chalamila na wengine wengi
@abbeystationery1700
3 жыл бұрын
Fact
Rais mtarajiwa.
Hahahahahahaaaaa love u
Kafanana na nyerere xana
@amirisaid6341
3 жыл бұрын
Kafanana mama yake muangalie vizuri
@ramadhanimahongole8764
3 жыл бұрын
@@amirisaid6341 huyu kafanana na nyerere madaraka ndo kafanana na mamake zaidi
@sponsor7882
3 жыл бұрын
Si babake
Huyu ni nyereree kabisa
@rhodarichard4494
3 жыл бұрын
Yaan sura ya dingi ake kabisa...duu
@yussufhaji3335
3 жыл бұрын
Hahaha yakwangu had raaa
Maoni yangu Mimi viongozi wetu naomba mpunguze vichekesho kwny usiliazi maana unaweza Fanya jambo kwa vichekesho kumbe lika pokeleka vibaya
@husseinchiaseeds2653
3 жыл бұрын
Usiliasi sio kutenda kazi hzo ni roho za kishetani
@edwinmtuka736
2 жыл бұрын
Ww acha hayo kucheka nawatu nimuhimu Sana kuliko kununa na usilias sio kununa
@jayjay8845
Жыл бұрын
Chill out! Cheka kwa afya
@giztony2009
3 ай бұрын
Acha ushamba kuwa serious cyo kigezo cha kuwa kiongozi bora
Akicheka anafanana na mwalim😂😂
Hahaaaaaaaaa!!!. Nmerudia mara tatu kuitizama!.
Mpaka raha aisee kua na mkuu wa mkoa wa hivyo
Kimuonekano na ucheshi ni copy ya mwalimu
Hahahahahaa very funny
Alioteakuhamishiwa rukwa
yan huyu hana ulimbukeni wa uongozi kabisaaaaa
@catherinemasiga6666
3 жыл бұрын
Wacha maneno yako ya hovyo
@happyosmund3908
3 жыл бұрын
Huyu sii wa kupelekeshwaaa hata kidogo
Kwa stahili hii,! Si hajabu ukakuta walimzibia maana walijua wazi akipata nafasi kwa wakati anaweza kuongoza
@goldensensemedia.7906
3 жыл бұрын
Hadi Sasa makongoro anaeweza kuichukua nchi
@emmanuelnhyamamanwele1697
3 жыл бұрын
SI HAJABU //AJABU
@ahz6907
3 жыл бұрын
Mh🙄
Kama mzee wake vichekesho
@bernadethaprosper
3 жыл бұрын
Kabisaaa yaan
HUYU ALIKUWA WAPI???
Hahahaaaaa
Very funny
@bengang3265
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/poWo1MWFpZadf9o.html
Punguza masihara.weye ni kiongozi kucheka sana kunaharibu na kushusha heshima ya kuwaongoza unaowaongza fanya kiasi
@reganshao
3 жыл бұрын
Babaake alikuwa analia? Acheni chuki
@rhodarichard4494
3 жыл бұрын
@@reganshao kweli iyo ni roho mbaya tu..
@reganshao
3 жыл бұрын
@@rhodarichard4494 Yan na anaeongea hivyo mpe hata kazi ya uongozi wa familia Sasa atakavoharibu . Tunalalamika wachawi kumbe Kuna wachawi hatar mno
@omarykomba2655
3 жыл бұрын
Kumuelewa huyu Mzee anakufikishia ujumbe Kwa njia ya Masiara
@rhodarichard4494
3 жыл бұрын
@@reganshao 😅nikweli kabsa ..nakama uyu Jamaa ana mke bas uyo mke bila Shaka anapata taab...maan nikauzu balaa ..sizan hata kam huwa anatabasam..
Yani tatizo la makongoro matani mengi sana.sijui Kama ataweza kupambana na melelani
@omarjumanne2698
3 жыл бұрын
Huo ndo wasiwasi wangu watanzania ukicheka nao tu ujue hapo kazi hakuna tena na nafasi ya kupiga ushawapa tayari. hapo hakuna kazi tena ni zawadi tu
@christinammassy1550
3 жыл бұрын
Mzoea punda hapandi farasi 🤦
Eti na mm nimcheka hahah
🤣🤣🤣
@abuukamanda.s.mkenga6687
3 жыл бұрын
@@amenmushi5285 💦🙏🙏
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahaha
Tutaona mengi Mwaka huu.
@eng.magesakhamis493
2 жыл бұрын
Huwezi elewa
Watu watakuzalau ukicheka nao sana
@azizajarwan303
3 жыл бұрын
Mh sijui ngoja kaka tumuone kwani ninachokijua mimi hata baba yake kwenye mikutano alikuwa hivyo,ila akiwa na kazi za kiserekali watu waovu waliisoma namba!!
@davidcurtis8556
3 жыл бұрын
Kwasababu hujui vizuri ndio maana unasema hivyo ni mcheshi sana ila pia ni mkali kuliko unavyojua, mfano mdogo je baba ake alikuaje? Magufuli alionekana dictactor au mkali sana sema kwa nyerere hatii mguu hata tone, sikiliza hotuba zake nyingi tu mbona zipo hapa hapa youtube halafu utapata majibu mazuri
@sethkivuyo3342
3 жыл бұрын
Achana na maisha ya kibabe yel
@sethkivuyo3342
3 жыл бұрын
Achana na fikra mgando maisha ya ukals yameenda zake na awamu ya 5
@j.c.maxima816
3 жыл бұрын
🚴♂️🚴♂️🚴♂️🚴♂️🚴♂️🚴♂️🚴♂️🚴♂️🚴♂️
Wewe cheka nao tu angalia usije ukavuna mabuwa.
@hassansalum5362
3 жыл бұрын
Sasa unataka anune umesikia kununa ndoo uwongozi
@richardsikazwe9197
3 жыл бұрын
Hata Mimi nashangaa
@samsonnzisabira768
3 жыл бұрын
Jamani mumefaidi RC
@richardmwabe8065
3 жыл бұрын
Watu kama bro waogope sana Kwenye maamuzi unaweza ukalia ukibanwa nae
@happyosmund3908
3 жыл бұрын
Unavyomuona anashida na uongozi huyoooo
Haki ya nani,utafikiri ni Hayati Baba wa Taifa Mwl.Nyerere. Alimrithi Ucheshi sana Hahahahahahahahahahahahahahahahahah! Haya mambo ya genes haya!!!!
Miss Manyara tena? Kaka unaanza kufeli!