Kiutu uzima ndio mistari yenyewe hiyo ishatoka,joke na ukweli humu humu lkn pia ni"Good sense of human"splendid RC!!
@evcloudjuma97902 жыл бұрын
this guy he makes me smile !
@simbascdailysimbasctanzani28352 жыл бұрын
Makongoro kwa kupenda chini na pombe za ubanda😄😄😄
@prosperkullaya6721 Жыл бұрын
Sijui kwa nini uku teuliwa miaka mingi unachekesha sana good blessing u so much
@goodlucknjau772 жыл бұрын
Dah nime Cheka Sana , ila kweli mama Yuko vizuri 🤣🤣🤣🤣
@nicholaskoech344711 ай бұрын
Truthful Man.
@kanyamagaraabdallah83002 жыл бұрын
President Nyerere arije zaa kabisa uyo Nibaba au papa wetu Nyere politics wise man same bravo often!
@FRENKFRENK-ld8pp Жыл бұрын
Wewe mtu unachekesha sana nakupenda mpaka naumwa
@emmanuelmnyonzi61432 жыл бұрын
I love the guy
@ukweli2552 жыл бұрын
wadada wa zamani walikuwa hawatumii P2 na Shisha Mabinti wa saisi mjifunze kujitunza
@jacksonsaileni12192 жыл бұрын
Makongolo ni comedian wa kizaliwa
@dintazdintaz73112 жыл бұрын
Huyu mshikaj mm nahic ni bao la bafun
@issakarem38862 жыл бұрын
Ndio bb siasa haitaji mtu.jina mama kasheelewa huyo,aah roseeeeeer
@SamsonMalisa2 жыл бұрын
Jamaa jinga kweli😂😂😂😂😂
@emmanuel_cs2 жыл бұрын
Kwa wale tulioelewa. Ashapiga mistari hapo
@user-uy8vp1fr7e4 ай бұрын
Mzee Mcheshi sana
@kikariantandi48332 жыл бұрын
VITU VIMEPANDA BEI SICHEKI NI HUZUNII 😢😢😢
@elishakayagwa93712 жыл бұрын
Duuh... hii serikali jmn kazi ipo
@yuzoblack85232 жыл бұрын
Wazee wa busara 😆😆😆😆😆
@Emmamusiccmb2 жыл бұрын
*NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO JE UTAVUMILIA KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO KUSHOTO 👈NAAMINI MTAUPENDA 💥*
@marksanduki Жыл бұрын
Makongoro hoyee 😆 🤣 😂
@innocentnzovuyase83752 жыл бұрын
Kila kitu ukizidisha inakuwa mbaya ,Mheshimiwa makongoro jaribu upunguze joke sina ,hiyo sio nzuri kwa kinongozi.
@victormtani7170
Жыл бұрын
Fala wewe amekuumiza nini au amekuzidi sera na Mistari huna ndio maana unasema apunguze mizaha. Innocent Nzovuyase huna lolote lile la kutuambia juu ya Mh. Makongoro Nyerere. We ni sawa na teja la madawa ya kulevya na kulewa migongo.
@talangekulwa73252 жыл бұрын
Now funny
@jumakapilima56742 жыл бұрын
Mh!!!
@jumannemsengi21952 жыл бұрын
Makongoro ni Comedian kwelii!!!!!!!! Sasa huuu c uch.......zi. Nondo zinaibiwa ww unaleta comedy, fanya kazi.
@welcometoeat165
2 жыл бұрын
Hata mimi namshangaa! Yan kaz yake kuchekacheka tuuu hayuko seriously na kazi yake 😠😡ananikera basi tu
@husseinkazigo6189
2 жыл бұрын
Kakosea wapi sasa wivu huo
@jumannemsengi2195
2 жыл бұрын
Ww ndio naona unaleta upenzi kuliko uhalisia, nadhani hujui kuwekwa kweke hapo watu napiga kupitia yy
@rehemajuma2202
2 жыл бұрын
Sio wivu hayupo serious na kazi sasa mradi ataukagua SAA ngapi na kujua mapungufu
@amanimoses1477 Жыл бұрын
Haaa
@mgongolwajoseph69012 жыл бұрын
Hahahaha
@jumannemsengi21952 жыл бұрын
Hakuna kazi awamu hiii ni sanaaaa tupu na mibei juuuuuu kama tupo jehanamu
Пікірлер: 39
Very very likeable person- much love from Uganda
Kiutu uzima ndio mistari yenyewe hiyo ishatoka,joke na ukweli humu humu lkn pia ni"Good sense of human"splendid RC!!
this guy he makes me smile !
Makongoro kwa kupenda chini na pombe za ubanda😄😄😄
Sijui kwa nini uku teuliwa miaka mingi unachekesha sana good blessing u so much
Dah nime Cheka Sana , ila kweli mama Yuko vizuri 🤣🤣🤣🤣
Truthful Man.
President Nyerere arije zaa kabisa uyo Nibaba au papa wetu Nyere politics wise man same bravo often!
Wewe mtu unachekesha sana nakupenda mpaka naumwa
I love the guy
wadada wa zamani walikuwa hawatumii P2 na Shisha Mabinti wa saisi mjifunze kujitunza
Makongolo ni comedian wa kizaliwa
Huyu mshikaj mm nahic ni bao la bafun
Ndio bb siasa haitaji mtu.jina mama kasheelewa huyo,aah roseeeeeer
Jamaa jinga kweli😂😂😂😂😂
Kwa wale tulioelewa. Ashapiga mistari hapo
Mzee Mcheshi sana
VITU VIMEPANDA BEI SICHEKI NI HUZUNII 😢😢😢
Duuh... hii serikali jmn kazi ipo
Wazee wa busara 😆😆😆😆😆
*NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO JE UTAVUMILIA KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO KUSHOTO 👈NAAMINI MTAUPENDA 💥*
Makongoro hoyee 😆 🤣 😂
Kila kitu ukizidisha inakuwa mbaya ,Mheshimiwa makongoro jaribu upunguze joke sina ,hiyo sio nzuri kwa kinongozi.
@victormtani7170
Жыл бұрын
Fala wewe amekuumiza nini au amekuzidi sera na Mistari huna ndio maana unasema apunguze mizaha. Innocent Nzovuyase huna lolote lile la kutuambia juu ya Mh. Makongoro Nyerere. We ni sawa na teja la madawa ya kulevya na kulewa migongo.
Now funny
Mh!!!
Makongoro ni Comedian kwelii!!!!!!!! Sasa huuu c uch.......zi. Nondo zinaibiwa ww unaleta comedy, fanya kazi.
@welcometoeat165
2 жыл бұрын
Hata mimi namshangaa! Yan kaz yake kuchekacheka tuuu hayuko seriously na kazi yake 😠😡ananikera basi tu
@husseinkazigo6189
2 жыл бұрын
Kakosea wapi sasa wivu huo
@jumannemsengi2195
2 жыл бұрын
Ww ndio naona unaleta upenzi kuliko uhalisia, nadhani hujui kuwekwa kweke hapo watu napiga kupitia yy
@rehemajuma2202
2 жыл бұрын
Sio wivu hayupo serious na kazi sasa mradi ataukagua SAA ngapi na kujua mapungufu
Haaa
Hahahaha
Hakuna kazi awamu hiii ni sanaaaa tupu na mibei juuuuuu kama tupo jehanamu
Hahah
Kila siku vicheko tumechoka miladi iishe 🖕
Wazee wa busara 😆😆😆😆😆
Wazee wa busara 😆😆😆😆😆
Wazee wa busara 😆😆😆😆😆