SHEKHE ALHAD AMJIBU SHEKHE MUHAMMAD IDDI | AMTAKA AKAE KIMYA YEYE SI MSEMAJI

Ойын-сауық

Пікірлер: 1 200

  • @hamadrashid5140
    @hamadrashid51403 жыл бұрын

    Yani we ungekaa kimya tu... Unazidi kujiharibia. Maana kila aliyemsikiliza abuu idd kamuelewa vzuri. . Ushauri kaa chini ushahadie upya

  • @elishachanzi6074

    @elishachanzi6074

    3 жыл бұрын

    Ppp

  • @sherrysalim50

    @sherrysalim50

    3 жыл бұрын

    Yaani anazidi kukosea sanaaaaaaaaa

  • @jaliakamote5485

    @jaliakamote5485

    3 жыл бұрын

    Kabisaaa

  • @shabanihussein171

    @shabanihussein171

    3 жыл бұрын

    Njaa itakupeleka Motoni wewe mjinga.

  • @shabanihussein171

    @shabanihussein171

    3 жыл бұрын

    Yaani wewe, Alhad ni muhuni sana.

  • @naushadally2272
    @naushadally22723 жыл бұрын

    Sheikh Muhammad Iddi Allah akuzidishie ilmu na hikma ili uwaongoze hawa wanafiki

  • @mussabuhe1832

    @mussabuhe1832

    3 жыл бұрын

    Liangalie Kwanza huna lolote toka unatu malizia mb zetu akuna shehe apo kwani wewe na ponda Nani kakosea unazidi kutia watu asila

  • @yaskidesaid5094

    @yaskidesaid5094

    3 жыл бұрын

    Huyu ana elemu kait0lewa wp mashkhe wa mjini hawa hawana elemu wanakua wanapenda sifa tuu wana0na wamefika hpa dunian

  • @mohdkhatib223

    @mohdkhatib223

    2 жыл бұрын

    Yeye mwenyewe pia ni mnafik, hao wote ni wapotoshaji na ni mashekh maslah.

  • @abulghareebzimbawy790
    @abulghareebzimbawy7903 жыл бұрын

    Mohd IDD yuko sawa wacha uchafu wa Roho

  • @naswidiaabdulkarim5005
    @naswidiaabdulkarim50053 жыл бұрын

    Wallahi allah kwa jambo hili atahukumu kwa hukkmu ya waz waz tusubiri tuone maan haya ni madhra makubwa mm bnafs nahuzuni kwa uhasama huu maan UISLAAM UNATUACHA

  • @hajimaduka5224
    @hajimaduka52243 жыл бұрын

    Duh kwa kwel bakwata kwa hili la juz hadi sasa sina imani nayo na lazma itatupoteza waislamu tusipokua makini ALLAH ATUPE MWISHO MWEMA

  • @mgoiink4739

    @mgoiink4739

    3 жыл бұрын

    Jamani mimi sina elimu sana ya dini ila ni muislamu,naumia sana kuona waislam,wanalumbana,kwa dharau,nyodo,ila naomba niulize ktk majibu ya mufti,hakuna kitu kinachoitwa RIA?

  • @myunaniniahmad6463

    @myunaniniahmad6463

    3 жыл бұрын

    Bakwata hamna kitu.

  • @yusha109
    @yusha1093 жыл бұрын

    sheikh hii ni din sio taarab muogope Allah ukilekekebishwa kubali

  • @mohdkhatib223

    @mohdkhatib223

    2 жыл бұрын

    Ndo inaonyesha wote hao ni maslah

  • @salimali5457
    @salimali54573 жыл бұрын

    Nimesoma comments za wengi hapa na inaonyesha wazi sheikh wa Yesu kristo Una mengi ya kujibu kuliko ya kujibiwa.

  • @ibrahimually1196
    @ibrahimually11963 жыл бұрын

    WEWE ALHAADI NI MNYOO HUNA ELIMU YA KUTOSHA

  • @chandlerbrooks876

    @chandlerbrooks876

    3 жыл бұрын

    Pro trick: watch movies at Flixzone. Been using it for watching lots of of movies recently.

  • @jeffreyfrank6998

    @jeffreyfrank6998

    3 жыл бұрын

    @Chandler Brooks Yup, I've been using Flixzone for months myself :)

  • @salimurobota6947
    @salimurobota69473 жыл бұрын

    Ushauri wng muft zuber tutafutie sheikh mwengine na allaah atakulipa inshaallah

  • @saidiomary9070

    @saidiomary9070

    Жыл бұрын

    Hivi mbona mnatukatisha tamaa yamani acheni mambo ya kijinga Sasa mmesoma nn maneno ya kijinga Sana hayo mnajiazilisha Sana

  • @twahambowe440

    @twahambowe440

    Жыл бұрын

    Aamiin

  • @fundibombazanzbar5717

    @fundibombazanzbar5717

    Жыл бұрын

    Yametimia

  • @yusuphkibacha3063
    @yusuphkibacha30633 жыл бұрын

    Subhanalah, hizi siasa za kidunia zisitufarakishe. Nyie na viongozi wetu, baba zetu,walezi wetu Wa kiimani ni vyema makakaa na kumaliza tofauti zenu ndani kwa ndani bila kurushiana maneno makali mbele ya waumini. Sisi maamuma tutakuwa katika hali gani. Hii ni kuwapa nafasi maadui Wa uislamu. Mwenyezi Mungu awateremshie rehema muone njia sahihi ya wajibu wenu. As-laam alyekumu.

  • @sabraham5308
    @sabraham53083 жыл бұрын

    Huyu kijana ana kibri mpaka anamkufuru Allah.

  • @cutegirlallyally4957
    @cutegirlallyally49573 жыл бұрын

    M.mungu atupe mwisho mwema na atupe amani ndani ya dini yetu

  • @jidahtururu2853

    @jidahtururu2853

    3 жыл бұрын

    Sasa huo ni ubea

  • @mahembeathumani3552

    @mahembeathumani3552

    3 жыл бұрын

    Muogope mungu

  • @jazeerajuma5014

    @jazeerajuma5014

    Жыл бұрын

    Amenn

  • @twahambowe440

    @twahambowe440

    Жыл бұрын

    Aamiin

  • @twahambowe440

    @twahambowe440

    Жыл бұрын

    Aamiin

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad50433 жыл бұрын

    Muogope Mungu Usione Damu Inatembea Ukajiona Mwamba Ipo Siku Yako

  • @mrishongwikwi6448
    @mrishongwikwi64483 жыл бұрын

    Shekh Alhad ametumia maneno makali sana yasiyokuwa na unyenyekevu katika imani ya kiislamu, hakuna sababu ya kumshambulia muislamu kwa maneno ya matusi na jazba. Allah isimamishe hakhi katika jambo hili viumbe hawa wanakiuka maamrisho mema ya Mtume wetu Muhammad (S.A.W).

  • @aliyalwatan3168
    @aliyalwatan31683 жыл бұрын

    Subhanallah hii dini imekuwa ya majungu Allaha atuhifadhi kwa kila jambo lakini daaah hiii sjuw niseme ni kukosa hekma au vp SUBHANA ALLAH

  • @abuujureyjkhaniy.5520
    @abuujureyjkhaniy.55203 жыл бұрын

    USHINDE KWA JINA LA ALLAH NA UPOROMOKE CHINI HUO UHUNI WAKO MIMI NILIZANI UTAOMBA RAZI KUMBE UMEZIDI TAKA ZA UJINGAA

  • @Gamba177

    @Gamba177

    3 жыл бұрын

    Huyu kichaa mvuta bangi

  • @abowsudes210

    @abowsudes210

    3 жыл бұрын

    We alihad mm ninayo clip unayomsifu makonda kuwa nizaid ya mtume nizaidi ya Allah ninayo anayoitaka 0653326771 what's up nimtumie kwaio tushakuzoea

  • @sheikhasalim1190

    @sheikhasalim1190

    3 жыл бұрын

    Hajielewi

  • @selemanimohamed9034

    @selemanimohamed9034

    3 жыл бұрын

    @@abowsudes210 nitumie mwalimu

  • @fakihmohammed3923

    @fakihmohammed3923

    3 жыл бұрын

    @@abowsudes210 subuhanallah,, kumbe eee 🤔

  • @kaimumonero2877
    @kaimumonero28773 жыл бұрын

    Yaan ukijifanya sheikh alaf ukiwa muhuni Allah atakuumbuwa...ndio ww

  • @hassanally445
    @hassanally4453 жыл бұрын

    ALLAH AMREHEMU SHEIKH WETU MUHAMMAD IBN AYOUB

  • @yusuphahmedymngombe3706
    @yusuphahmedymngombe37063 жыл бұрын

    Nimegundua kuwa Shekhe wa mkoa wa Dar anamapungufu makubwa na nahisi sio mwislam halisi

  • @sherrysalim50

    @sherrysalim50

    3 жыл бұрын

    Kabisaaaaaaa huyu maslahi

  • @hamidmussa838

    @hamidmussa838

    3 жыл бұрын

    Ww Mbabashaji Mtu wa dili

  • @dallenhamidu7084

    @dallenhamidu7084

    3 жыл бұрын

    Huyu kachangany dini na siasa ndio kosa na kwakuwa anapata maslahi huko CCM ndio kibri anachokipata

  • @mohamedrashidy29

    @mohamedrashidy29

    3 жыл бұрын

    mshenz huyo

  • @seremenikibwene8633

    @seremenikibwene8633

    3 жыл бұрын

    Huyu c ktk waislam

  • @abubakarallawi1989
    @abubakarallawi19893 жыл бұрын

    Alhamdulillah kwaupande wangu Shkh Mohd ni hodari sana

  • @ghulamjuma2883

    @ghulamjuma2883

    Жыл бұрын

    Kwa upande wako kwa upande wa dini je?

  • @jaliabahat1520

    @jaliabahat1520

    Жыл бұрын

    lazima ucheke kwakweli

  • @kidiginonbabu5935
    @kidiginonbabu59353 жыл бұрын

    Asante Hadi kwakumpa makavu,amebebeshwa mavitabu hajui ndani yananini

  • @ramangadu6451

    @ramangadu6451

    3 жыл бұрын

    Wewe Nahuyo msemaji Akili Zipo Sawa. Akili Kubwa Haishindani naakili ndogo

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad50433 жыл бұрын

    Subhallah Akhera Kutakuwa Nakazi Jamani Na Sihoja Aalim Nahisi Wao Ndio Watakuwa Kuni

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad50433 жыл бұрын

    Subhallah Allah Istustiriy

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad18023 жыл бұрын

    Sasa wewe kama ni shekhe unaejielewa kwanini unakua huna subira unamjibu jeuri mwenzako sio vizuri

  • @fakihmohammed3923

    @fakihmohammed3923

    3 жыл бұрын

    Hajielewi huyo,, allah amsamehe

  • @Gamba177

    @Gamba177

    3 жыл бұрын

    Huyu kichaa alikuwa akiuza Bangi huku Tandika

  • @yahyahamad1802

    @yahyahamad1802

    3 жыл бұрын

    @@Gamba177 hahaha

  • @aidaabdallah2874

    @aidaabdallah2874

    3 жыл бұрын

    DUUU HUYU HAFAU JAMN HATA KAMA WAMEPATANA HUYU SIYO.AIBU TUUUUUUUU

  • @mahengomwenyewe4204

    @mahengomwenyewe4204

    3 жыл бұрын

    Apo mnamtetea nani uyo Abu idi pia ni mbabaishaji wote njaa kali Abu idi hana busara hata moja yupo kama chizi

  • @barathmfaume510
    @barathmfaume5103 жыл бұрын

    Daaah ! SubhanaLLAH,SubhanaLLAH.Yarabb twaomba khusnur khatma.Waislam hii ndiyo khatma ya kibri,Allah atunusuru.

  • @abdallahrajabu4401
    @abdallahrajabu44013 жыл бұрын

    Yani kweli imedhihiri kule kuto like eana aibu kurumbana ktk mitandao ya kijamii mwenye elmu anajua kuwa hatuna mashekh Allah atuhifadhi

  • @samiahassan6208
    @samiahassan62083 жыл бұрын

    Yaani apa chanzo ni ccm allah atuepushe na ili janga huu sio usilaam alituachia mtume wetu

  • @jumafaki1697

    @jumafaki1697

    3 жыл бұрын

    Dada wacha habari yaccm amekosolewa kuhusu dua aliyoomba kwa jina la yesu isa Almasih nimakosa muislamu kuomba kwa jina la yesu

  • @Silay1034

    @Silay1034

    3 жыл бұрын

    Huyu syo shekh ni kibaraka na jabbar bc kibri kimemjaa wafikiri weye cheo chako kitakufaa nn mbele ya Allaah kwanza ulicgaguliwa na nan twajua waz kuwa nikibaraka wa makafiri na serikali tubia ww Alhad

  • @malaikakassim8539
    @malaikakassim85393 жыл бұрын

    Ombaa radhiiii *SHEITWANIIIIIII WEWEE*

  • @zahirallyzorro3940
    @zahirallyzorro3940 Жыл бұрын

    Allah Azza Ajaalla, Azidi kukupa Upeo na Maono Utuongoze Waislamu Wenzio. Sisi tulio Maamuma tunaona Jukhdi na Vita zinazo elekezwa kwenu. Laakin Allah ndie Mlinzi wa Kweli. Amen Thumma Amen!

  • @salminisalehe9417
    @salminisalehe94173 жыл бұрын

    Wallah Nazidi Kukushusha Thamani Shekh Wa Mkoa Yani Kulijibu Hili Nazidi Kukudharau Umefanya Makosa Jarib Kukubali Umekosea. Kenge Wewe Jitathmini Ujiuzulu

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed69613 жыл бұрын

    masheikh haifai kulumbana kwenye mitandao. kutaneni na mmalize tofauti zenu bila kupitia kwenye mitandao

  • @sameramwajdu9029

    @sameramwajdu9029

    3 жыл бұрын

    Wacha walumbane awa mashekhe saivi hawapo kwa ajili ya ALLAH kila mmoja ajikumbizia kwake hawaangalii maisha ya watu wa angaliya matumbo yao tuu

  • @shabanmalange9658

    @shabanmalange9658

    3 жыл бұрын

    Omary alikuwepo shehe pitia vzr hadith omary ndo alirud nyuma na kusema Abu bakar mm siwez kuwa amir wkt ww upo

  • @shabanmalange9658

    @shabanmalange9658

    3 жыл бұрын

    Iyo serekal unayoiweka kipaombele juu ina mwisho wko shehe. Hii n dini ya Allah sio ccm serekal

  • @abuukauthary3706
    @abuukauthary37063 жыл бұрын

    Maneno unayoongea inamaanisha dhahit ww sio kiongozi muadilifu unajitapa sana kuliko kuelimisha

  • @sophiamgaza3800

    @sophiamgaza3800

    3 жыл бұрын

    Filimasne

  • @sophiamgaza3800

    @sophiamgaza3800

    3 жыл бұрын

    Filimasne

  • @sophiamgaza3800

    @sophiamgaza3800

    3 жыл бұрын

    Ni Kweli umezaa na dada hukutemeke

  • @sophiamgaza3800

    @sophiamgaza3800

    3 жыл бұрын

    Bakwata ni vibarska

  • @hamidharunsaid1666

    @hamidharunsaid1666

    3 жыл бұрын

    Wallahy anajifakhiri sana

  • @mbarakalwahebi4094
    @mbarakalwahebi4094 Жыл бұрын

    Bismilahi Rahmani Rahim namshukuru mungu mpaka sasa alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwengine zaidi yake Amin Amin yaaraab Amin duuu kibri Kwa Muslim ni mbaya na kiongozi mungu anakuonaa shekhe wa mkoa mnaafki Sana subhaanaalhaah mtihani mkubwa subhaanaalhaah

  • @malaikakassim8539
    @malaikakassim85393 жыл бұрын

    Ombaaaa RADHIIIIII USIWEEEE *IBILISIIIIIIIII ombaaaa msamahaaaaaaa*

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily853 жыл бұрын

    Waaislamuh swamahenaneni muwee kitu kimojaaa na kuwa kitu kimojaaa.

  • @kiri5807

    @kiri5807

    3 жыл бұрын

    Huyu njaa jamaa hana elmu tangu lini sheikh wa mkoa akachaguliwe na raisi tena mkiristo?

  • @abishafiqabishafiq6065

    @abishafiqabishafiq6065

    3 жыл бұрын

    Huyu muache achanwe maana m'bishi haelewi pia hafai kua sheykh wa mkoa

  • @hassanandnabil7243

    @hassanandnabil7243

    3 жыл бұрын

    Ww sheikh acha porojo, hapa hoja umekosea na umeukachifu usilamu na kuwakafichu waislam, what we want to hear apologies toward your fellow faith. By the way ww unaonesha una beef na huyu Muhammad, mbona hujamtaja Sheikh Sharif ambae nae hajakubaliana na ww. Listen I am listening to you and all I can acknowledging from you that hunahekima wala huna maadili ya dini, mcha Mungu waukweli hawezi kutuma lugha hii nakuaza kumita msha cjuwi unavuta bangi, just prove a point and treat your fellow Muslim with respect cos no one is above the law of God will.

  • @muhsinsalum8009
    @muhsinsalum80092 жыл бұрын

    ALF WEWE SHEIKH ALHAD, MNAMTETEA KISHKI ANAQUR'AN, LAKINI SIWEWE KWENYE DIBETI YA KINA MAZINGE ULISEMA MAWAHABI HAWANA LOLOTE UTAWAOMBEA ALBADRU, WAANGAMIE. WEWE SEMA TU UNAWAOGOPA WACHUNGAJI NA SERIKALI. NA IN SHAA ALLAH ABUU EID ATAKUA MUFTI BADALA YAKO. MAANA KATIKA WATU WANAOTOA HOJA ZA KIUME NI ABUU EID. WEWE UPO HAPO KWENYE CHEO KWA MCHONGO TU. ELIMU HUNA. TULIA UPEWE UKWELI WAKO TU.

  • @georgematahimba5242
    @georgematahimba5242 Жыл бұрын

    Mimi ni mkristo lakini nampenda sana huyu shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es salaam. Watu wanaotaka kumchafua huyu shekhe wangu Wananiudhi sana. Huyu ni mhimili mkubwa sana katika nchi hii. Ana busara sana huyu shekhe. Sipendi watu wamchafue nitawachukia sana.

  • @abubakarbarakaty4241
    @abubakarbarakaty42413 жыл бұрын

    Hamna ktu apo uyo alhad ni msaka tonge tu! #rudia mawaidha ya sheikh ilunga Allah amrehem

  • @abdulhafidhi84
    @abdulhafidhi843 жыл бұрын

    Dah shekhe gan ww unatukana km malaya

  • @hijjafakky569
    @hijjafakky5693 жыл бұрын

    Ww hufai hata kuongoza mbuz huna ushekh na muislam unatakiwa umstiri aibu yke na ww utastiriw 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 Жыл бұрын

    Sheikh Alhad Mussa ulimpiga kwa database zako uko vizuri mno umemjibu kisomi na facts.

  • @halimamohd5132
    @halimamohd51323 жыл бұрын

    wallah we shekh ni mtafta tonge tu kwa jina la ushekh hata kama utaipata kwa kharam

  • @kiri5807

    @kiri5807

    3 жыл бұрын

    Huyu jamaa haikuhusu kuwataja watu wengine , km aligombana nao yeye imekuwa anaita wenziwe washamba yeye umji gani alonao? Kuvunja nyumba za wanaume wenzake . Mnafiq na huyo mufti pia kibaraka

  • @abdalllahmwinyi8185

    @abdalllahmwinyi8185

    3 жыл бұрын

    Toa hoja

  • @kiri5807

    @kiri5807

    3 жыл бұрын

    Kwani yeye kaja na hoja? Huyu jamaa mpotoshaji na kaekwa makusudi kuwapotoa waislamu. Ni mnafiq yeye jana alikuja kwenye media kutoa kashfa tele za mwenziwe ikisha alipokwisha wamekutana na kusameheana . Kutafuta kiki tu , huyu sheikh wa mkoa choko basi hana elmu hiyo

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad18023 жыл бұрын

    Haya yote ya nini? Muhimu umekosea omba msamaha kwa allah na uombe radhi kwa uislam hakuna haja malumbano alhad umekosea usijifanye msomi sana na unajua sana kwa hili ulikosea

  • @adamsalumu7918

    @adamsalumu7918

    3 жыл бұрын

    Sasa alhadi cc hatuhitaji michambo hapa tetea hoja,hakuna dua kwa jina la yesu

  • @farhatrashid2063

    @farhatrashid2063

    3 жыл бұрын

    Michambo voo🙄

  • @mahengomwenyewe4204

    @mahengomwenyewe4204

    3 жыл бұрын

    Lkn kweli Abuu idi mwehu

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi85683 жыл бұрын

    Subhanaallah subhanaallah inalilah wanaileh rajuuni 💔💔💔

  • @mohammedsigulu575
    @mohammedsigulu5753 ай бұрын

    Innalillahiw wainna ilayhir raajiun! Hakika masheikh wamekwisha. Dini imebaki na Wahuni. Hata waimbaji wa taarabu nafuu. Siyo wanafiki na wachafua haiba ya uislam kama Hawa.

  • @rojaboka7910
    @rojaboka79103 жыл бұрын

    Me nahisi huyu ni mkristo kapandikizwa kwenye uislam

  • @fredichaki4868

    @fredichaki4868

    3 жыл бұрын

    Kweliiiiiiiiiiiiii kabisa huyu ni mkristu

  • @mohamedabdallahmellah4370

    @mohamedabdallahmellah4370

    3 жыл бұрын

    Ume chemka shekhe acha kuongea....

  • @michaelthobias9967

    @michaelthobias9967

    3 жыл бұрын

    Huna akili kwahiyo mkigombana mkristu ndio kawakosanisha huu ni upuzi kbsa na uzandiki kbsa poor kbsa

  • @samiahassan6208
    @samiahassan62083 жыл бұрын

    😭😭😭😭 huu ni msiba ata ww mbona umeshindwa kumsitili mwenzio ata we pia ufai kuwa shehe wa mkoa

  • @kiri5807

    @kiri5807

    3 жыл бұрын

    Fitna wewe unayeleta habari hizi za kina kishki . Mufti gani? Mshenzi huyo naye mufti akachaguliwe na Magu ?

  • @abulqadirellajmy431

    @abulqadirellajmy431

    3 жыл бұрын

    MBONA KWENYE MAANDIKO ALLAH ANATWAMBIA MKITAKA KUOMBA MUOMBENI ALLAH NA MKITAKA MSAADA TAKENI KWA ALLAH WW DUA YAKIPEKEE UMEIPATA WAPI KWA HADITHI AU ULAAMAA,YYTE WW HUNA ISHU TOA JIBU

  • @abulqadirellajmy431

    @abulqadirellajmy431

    3 жыл бұрын

    Ww ktka UISLAM kosa halisubiri MTU maalum ndio akataze ktka khadithi Mtume (s.w.a ) anasema yeyote ataeona kosa aondoe kwa mikono yake au alisemee au achukie nahapo alipokukaribisha ilikua hujalewa madaraka sasaivi umelewa madaraka umekufuru Tamka shahada huna Uislam

  • @abulqadirellajmy431

    @abulqadirellajmy431

    3 жыл бұрын

    Na Shekh Mohammed Iddi usishughulike kua na Msimamo huohuo ukiliona kosa LISEMEE USISUBIRI ASEME FULANI

  • @abdulsalim5081

    @abdulsalim5081

    3 жыл бұрын

    Huyu hamna kitu asee elimu uchwara

  • @aminimushi6945
    @aminimushi69452 жыл бұрын

    Allah,mrehemu sana muft Hemed bin Juma bin Hemed,aliunganisha waislam,Leo hii ni mtihani.

  • @m.othman866
    @m.othman866 Жыл бұрын

    Hapa alichemka sana huyu Jamaa Al-hadi.. Maana Abuu idi alipiga msumari wa kielimu.. Kisha jamaa akajibu matusi....

  • @zainabumwagiroabdallamwagi97
    @zainabumwagiroabdallamwagi973 жыл бұрын

    Huyu sheikh wa mkoa anapotosha duwa yoyote lazima iwe na mwenendo unaoendana na sunna ya mtume.na huwezi omba kwa jina LA yesu wala mtu yeyote .mungu amesema msiombe kwa jina lingine isipokua yeye Allah.

  • @herculesthepower1544
    @herculesthepower15443 жыл бұрын

    mbona hujibu uchaguzi ulifanyika lini na wapi? unazunguka mbuyu.

  • @kiri5807

    @kiri5807

    3 жыл бұрын

    Kachaguliwa na Magu ndio linaburuzwa kuchunga unga wake . Mnafiq wewe umefika kusema kuwa Magu ana sifa za Mungu .

  • @salumsaid6572
    @salumsaid65723 жыл бұрын

    ALLAH akuongoze ujue baya na zuri akupe husnulkhatima

  • @abulghareebzimbawy790
    @abulghareebzimbawy7903 жыл бұрын

    Allah pekee ndio ana nafasi ya simulizi kwa waja wake ...sio wewe kutaja kumsaidia Sheikh IDd

  • @mohamedayubu8021
    @mohamedayubu80213 жыл бұрын

    Kwahiyo ufanye upumbavu watu wanyamaze tu eti sio wasemaji

  • @husenikilala421

    @husenikilala421

    3 жыл бұрын

    Shekh unajibu mapigo

  • @husenikilala421

    @husenikilala421

    3 жыл бұрын

    Unapo taja aibu yamwenzako kumbuka yakwako hivi huoni aibu shekh

  • @husenikilala421

    @husenikilala421

    3 жыл бұрын

    Tumekujua wewe nimamluki Wala sigo shekh

  • @abishafiqabishafiq6065

    @abishafiqabishafiq6065

    3 жыл бұрын

    Huyu shehe au mganga? 🤣🤣🤣

  • @ssjuma

    @ssjuma

    3 жыл бұрын

    Kuburi kimemjaa, dah

  • @muhsinsalum8009
    @muhsinsalum80092 жыл бұрын

    WEWE SHEIKH WA MKOA HUNA ZAIDI YA KIBURI. ABUU EID ANAKUOSHA MBALI TU KIELIMU

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk53622 ай бұрын

    Nampenda sana shekh Ponda kwa ajili ya Allah Haburuzwi kw maslahi ya wachache

  • @ummyhawaaweis3867
    @ummyhawaaweis38673 жыл бұрын

    Astaghfirullah

  • @abdulhafidhi84
    @abdulhafidhi843 жыл бұрын

    Hyu alhad c msomi ni mjingaa

  • @jumakubili1512
    @jumakubili1512 Жыл бұрын

    Mimi ninavyojua wenye elmu na hekma wanapotofautiana Huwa wanaitana na kukaa kuyamaliza. Mazali mmeingiza dini katika mtandao maneno mnayoongea na kuchafuana imekuwa kama mipasho. ALLAH awanusulu maana amuelimishani bali mnachafuana.

  • @abdullahsaidi8009
    @abdullahsaidi80093 жыл бұрын

    Sheikh musa kubali kosa, umekosea, sheikh Mohammed Iddi ajakosea

  • @ahmedomar804
    @ahmedomar8043 жыл бұрын

    Kuna kitabu kina hadithi 40 hebu angalia hadithi ya 36-37 je Hawa wanasifa ya kuwa ndugu KATIKA uislam

  • @sultankitamo3878

    @sultankitamo3878

    2 жыл бұрын

    al imam nnawawiy

  • @sidal6891
    @sidal68913 жыл бұрын

    Unamsaidia Mtu unamsimanga Daah wewe Mwisho Mufti Yaan unatukana Muumin hatukani...

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi45813 жыл бұрын

    Masheikh mnatuaibisha acheni...

  • @suhaylasultan6820
    @suhaylasultan68203 жыл бұрын

    Inna lillahi wainna ilayhi rajiuun Shekh kuwa na hikma ukizungumza.

  • @saidiiddi9591
    @saidiiddi95913 жыл бұрын

    Senge Wewe Hivi Mufti hamuoni Huyu Baba Atolewe Kwenye Ushekhe Wa Mkowa ,, Anatuchanganya Bana

  • @amnehajji3460

    @amnehajji3460

    3 жыл бұрын

    Ao walio mchagua wote ni usalama wa taifa

  • @mwidausaid5701

    @mwidausaid5701

    3 жыл бұрын

    Hawez kumtoa ni mkwewe

  • @yaskidesaid5094

    @yaskidesaid5094

    3 жыл бұрын

    Shekhe gani huyu hafai hata kuadhini kwa fatua yangu mm hyu anataka maslahi tu lkn subr mwka uishe uta0na nn

  • @ahmedomar804
    @ahmedomar8043 жыл бұрын

    Alokupa cheo cha sheikh alipotea njia

  • @kishrakhan9351
    @kishrakhan93512 жыл бұрын

    Allah huakbar Imani yetu ya kislamu watu unaenda wapi😭😭😭😭😭

  • @aminachaulaya278

    @aminachaulaya278

    Жыл бұрын

    Yani wow shekhe katika siku uliyonichefua leo unamtusi mwenzio wakati yy hajakutusi kwa kifupi hufai kuwa shekhe wa mkoa wa dar jamani huyu shekhe hafai hana hekima hata kidogo masiba huu kwa waislamu

  • @desultansaid3647
    @desultansaid36473 жыл бұрын

    Subhanalllah tumefikia Huku kweli qiyama chatuijia

  • @muddiesmart
    @muddiesmart3 жыл бұрын

    Alhad muogope allah, kumbuka sisi mnaotuongoza tuna akili pia, usitutoe akili.. Majibu yako hayapo ktk hoja ya msingi.. Una mshambulia Shekh badala ya kushambulia hoja zake..

  • @nourzahoro3178

    @nourzahoro3178

    3 жыл бұрын

    Shekhe hayo majigambo ati Mohammed mshamba,wewe ndio ume.leta mjini, yanahusu nn. Unatangaza aibu na msaada uliotoa kwake,hii ni desturi ya uislam?maneno hatafai mitandaoni kwani uongozi hakuna?shekhe maneno yako yako yamepita kiwango hayana hekima na busara jamii inajifundisha nn kutoka kwako shekh alhad (kumbe hata mashekhe ni mabingwa wa mipasho)lahaulaaa

  • @nourzahoro3178

    @nourzahoro3178

    3 жыл бұрын

    Unawataja mashekhe wengine ili iweje wakuunge mkono au tena unataja mpaka siri za marehem,inahusiana nn huna siri, kwa maneno yako shekhe alhad unatatizo kweli shekhe tena wa mkoa unazungumza maneno kama haya,alhamdulilah,wewe ndie haswa kwa maneno uliyozungumza umekosea, kwa kuzungumza na kuwataja baadhi ya mashekhe mbona hapo mwanzo hukuzungumza?

  • @abdulwalidali4567

    @abdulwalidali4567

    3 жыл бұрын

    Mie aniongoze pumba huyu huyu elmu hana na hakuna mnafiq kama wewe na bakwata ni genge tu ccm

  • @muddiesmart

    @muddiesmart

    3 жыл бұрын

    @@nourzahoro3178 Yaani mara mia angenyaza, hayo majibu ya Sasa kazidi kutuudhi na kutukera .. Halafu anasema kabisa kuwa kuna watu wakiwemo na mashekh mbalimbali wamemwambia asijibu, anashindwa kuelewa kuwa wana maana au busara gani kwa kumshauri hivyo,, Kwa akili yake mbovu anajua wapo pamoja nae ku support upumbavu wake, Halafu anataja mashekh wengine ili apate utetezi wao, kwa kuwa wao waliwahi pia kukosolewa, Yaani Sasa linatengeneza fitna za kimji, Huyu jamaa nina hakika kapumbaa akili, ana matatizo ya kichwa sio bure

  • @fakihmohammed3923

    @fakihmohammed3923

    3 жыл бұрын

    @@nourzahoro3178 sheikh wa mkoa Ana laana huyo, ndomana anataka hata siri za marehemu Subuhanallah

  • @rozekiabdullah6
    @rozekiabdullah63 жыл бұрын

    Sisi hatutaki kujua mambo yenu binafsi, Allah tu anatosha, tusiwaone tena KZread

  • @saidjoka1282
    @saidjoka1282 Жыл бұрын

    Alhad NYOTE NYINYI WAJINGA sana MASHEKH GANI NYINYI NYINYI mashekh au wavuta BANGI HAMNA tofauti na mashangingi AIBU AIBU MUNGU awaondoe mkauze pombe

  • @haarunsaidabdillahi5267
    @haarunsaidabdillahi52673 жыл бұрын

    Wewe Alhadi kuomba kwa jina la Yesu ni kujipendekeza kwa binaadamu mwenzako kwa tamaa ya cheo cha hapo ulipowekwa.InshaAllah Mungu atakufedhehesha si muda mrefu.Allah akulpe maradhi na uombe kwa jina la Yesu upone.

  • @fakihmohammed3923
    @fakihmohammed39233 жыл бұрын

    Sheikh wa mkoa wa Dsm hata uongee vipi hatuwezi kukuelewa Fanya towba bado mapema acha kutangaza madhaifu ya wenzako

  • @jumahory3069
    @jumahory30693 жыл бұрын

    hivi Zama zamtume sw swahaba yupi alijibizana wezake

  • @Gamba177

    @Gamba177

    3 жыл бұрын

    Shehe wetu wa mkoa inaelekea alikuwa muimbaji taarabu

  • @hawaismail5060
    @hawaismail5060 Жыл бұрын

    asalam aleiykum warahmatuh wabaraqatuh kwa hakika shekhe kesho nyinyi mtakua masuuli mbele ya allah mtume salalahu aleiyh wasalam wakati anafanya hijjatil wadaa ktk kauli yake aliusia kushikamana na vitu viwili kitabu quraan na suna zake sasa vipi vinywa vyenu vinataka kuwapotosha jamii msilimini mnatukanana mnaambiana lugha za kihuni ambazo haziendani maadili ya dini kwanini mnahukumiana nyinyi allah mpeni nafasi yake majigambo na kujifaharisha na kuitana majina mabaya fanyeni istaghafar acha matusi hakuna mbora juu mwingine mrudieni allah wewe shekhe acha maneno mengi

  • @salhaomar3832
    @salhaomar3832 Жыл бұрын

    Subuhallah huyu shekhe vp kumuita mwenzie mnafiki na mfitini huyu shekhe hayai pia hawa mashekh washakuwa wanainda mbali na kutoleana aibu 😞😞 mambo ya laana huyu shekhe hafai anakibri inaonesha dhahir

  • @alfeshhassan4181
    @alfeshhassan41813 жыл бұрын

    N.ww.hutoshi ata kuwa sheee wa nyumba puuuzi kbw sna .... Ww unafaa kuw askofu tu 😳🤔🤔🤔

  • @ummylawheen8731

    @ummylawheen8731

    3 жыл бұрын

    sio wa nyumba...hawezi hata kua sheikh wa kujiongoza yeye mwenyewe mjinga huyu

  • @alfeshhassan4181

    @alfeshhassan4181

    3 жыл бұрын

    @@ummylawheen8731 anjtia ana akili.alf hyo kumbe akli wnywe kazkalia.hyo na nyngn zp tmbni asbriwa apew tart tu na.mgfuli aende akaongoze kwaya hya kanisani kwa mama yao mariya😄😄😄😄😄

  • @ummylawheen8731

    @ummylawheen8731

    3 жыл бұрын

    @@alfeshhassan4181 🤣🤣🤣🤣🤣hawa ndo wanatuletea corona nchini

  • @alfeshhassan4181

    @alfeshhassan4181

    3 жыл бұрын

    @@ummylawheen8731 tena hee si mchz yani tan antletea corona kw jna la yesu wke 😄😄😄😄😄

  • @abburakkaan5694
    @abburakkaan56943 жыл бұрын

    Wallah Wallah Wallah mazungunzo yako hayaendani na title yako. Unaonesha dhahir kwenye macho yako na sura hujui kujiekeza unaongelea chuki tu hapa sio kuelimisha. Nakuomba rudi kwa muumba wako haraka sana before to let. Please sura zako jamiil ila ninashaka na Imani yako. Pole sana kama nimekukwaza, ila nakuonea huruma juu ya dhamana yako kama hujaitendea haki itakudhuru duniani,wakati wa sakarat lmaut,kaburini na siku ya hisabu, ila nakuhakikishi bado unao wakati wa kujisafisha. Tafadhali fanya hivyo

  • @mwatanohmakuka3780

    @mwatanohmakuka3780

    2 жыл бұрын

    Musikashifiane mnawapa nafasi maadui zegu

  • @sevenofficial446
    @sevenofficial4463 жыл бұрын

    Inna lillah wainna ilaihi rajiun. Wewe hufai kua shekh wa mkoa coz huna hekma wala busara,shkh Iddy hakukutukana wala kukudhihaki ila wewe ulimi wako umeshindwa kuulinda

  • @mababa-tv..s.z.b.4905
    @mababa-tv..s.z.b.49052 жыл бұрын

    Unalewa sana sifa Alhad wew mwenyew hutosh hatakuwa sh.wa nyumba kumi

  • @salumhamza3922
    @salumhamza39223 жыл бұрын

    Km nyiny wenyew mnagombana kw kutetea ugal wenu hamna lolote lengo nikutangaza din y Allah mbora wetu ni mchaj

  • @jafarinahonyo7349
    @jafarinahonyo73492 жыл бұрын

    Mashekhe mm nawaomba sana sana mukitofautiana kwa makosa yeyote yale nawaomba muitane nakukaa kwa sili muyazungumze muyamalize musiwe munaongea ktk mitandao kuanikana matatizo yenu hiyo siyo kweli mungu katufundisha mufanyenn pindi mukitofautiana sio kuanikana hazaran munashusha heshima na uthaman wadiniyetu huwa hatupendi sisi mnachokifanya tunachukia sana ila tunashindwatu uwezo wakuwafikishia kutokana na tunakoishi ni mbali na nivijijin .naomba fuateni kitabu na sunna ilikutatua migogoroyenu acheni kutatuamigogor kwa akilizenu munaharibu na munabomoa mafundisho allah muogopen mungunyie walimuwetu

  • @farajichilumba5114

    @farajichilumba5114

    2 жыл бұрын

    Hili kosa lilifanywa hadharani watu tukashikwa na butwaa tungejuaje kuwa haifai kama si kosa kubainishwa hadharani

  • @Auf-uh3jq

    @Auf-uh3jq

    Жыл бұрын

    Safi kabisa

  • @jumaamartin7929

    @jumaamartin7929

    Жыл бұрын

    Tumsalie mtume mashekhe wetu.ningewaomba zitumike sana busara kumaliza hili.tusipo kuwa na subira na umakini.tutaufedhehesha uislaam.hembu tumuogopeni allah.

  • @fatmaseleman9661

    @fatmaseleman9661

    Жыл бұрын

    Ah !!! Subhannallah

  • @fatmaseleman9661

    @fatmaseleman9661

    Жыл бұрын

    Mtume wetu (S. A.W.) alisema zizueni hasira zenu. Mbona nyie mnazipandisha?

  • @babusobakari7882
    @babusobakari78823 жыл бұрын

    Viongozi wa dini ondoeni tofauti zenu tushikamane ktk kamba ya lailaha ila lhaaaa Muhammad rasululhaa vinyongo na husda havina nafasi katka dini

  • @hajiabdalantungwa9250
    @hajiabdalantungwa9250 Жыл бұрын

    Huyu shehe mm simuelewagi kabisaaa du! Allah ampe hekima na busara

  • @fakihmohammed3923
    @fakihmohammed39233 жыл бұрын

    Kama ulimsaidia ulivyofika Dar kwahiyo Leo ndo unamtangaza duuuh subuhanallah Tenda wema nenda zako au Ulitaka akulipe

  • @nourzahoro3178

    @nourzahoro3178

    3 жыл бұрын

    Mambo unayozungumza hayafai maneno hayo yanahusu nn mbona tangu mwanzo hukuyazungumza aibu kubwa shekhe kwa unayoyasema.

  • @fakihmohammed3923

    @fakihmohammed3923

    3 жыл бұрын

    @@nourzahoro3178 anazuga huyo,, aongelee jambo alilolifanya nasio kutangaza madhaifu ya watu

  • @kiri5807

    @kiri5807

    3 жыл бұрын

    @@nourzahoro3178ni kweli hizi ni fitna tu , uislamu unatwambia ukitoa kwa mkono wa kulia hata mkono wa kushoto usijue . Sasa yeye kaja kuyaanika kwenye media kuwa alimsaidia halafu anajiita sheikh. Ama kweli usheikh wake huyu una mashaka

  • @kiri5807

    @kiri5807

    3 жыл бұрын

    @@fakihmohammed3923 huyu jamaa hana hoja yamsingi maana aloyafanya ni makubwa anashindwa hata kujitetea . Kabaki kusema mambo yasomuhusu. Hata km yalitokea matatizo na hao kina kishki hakuwa yeye msemaji na hayakuhusu kuyaleta hapa .

  • @kiri5807

    @kiri5807

    3 жыл бұрын

    Alichohoji ni wewe , jibu uliloulizwa . Hivi watu wakisema huyu jamaa msenge kumbe kweli . Alikuja kwa sababu hiyo ni kazi yako wewe si ndio sheikh wa mkoa?

  • @fahadfaraj1822
    @fahadfaraj18223 жыл бұрын

    Kuonyesha hatumkubali shekhe huyu weka like ili aone hatukonae , na hana heshima hata kidogo mbele yetu waumini

  • @allyiddy1263

    @allyiddy1263

    3 жыл бұрын

    Sheikh unajikweza

  • @abuumaabadi7125

    @abuumaabadi7125

    3 жыл бұрын

    Uyu shekh hamna ktu jaman dooh

  • @abuumaabadi7125

    @abuumaabadi7125

    3 жыл бұрын

    Shekhe anajisifia kuwa yeye ndokamleta mjini Shekhe iddi hamna ktu apa

  • @khamissalum5456

    @khamissalum5456

    3 жыл бұрын

    Kwa huko tunako kwendea waislam

  • @khamissalum5456

    @khamissalum5456

    3 жыл бұрын

    Tukiambiwa munapeana mipasho kama taraab jaman tunajisahau na dunia

  • @mdaomasalimu
    @mdaomasalimu3 жыл бұрын

    Ww mwehu umekosea kusema dua maalum afu kwa jina la yesu ww mshenz sana ttz lenu mnachahuliwa na serikali

  • @abulghareebzimbawy790
    @abulghareebzimbawy7903 жыл бұрын

    Aqidah ndio ina kataa dua yako silazma baraza liseme ...

  • @saidimamu3894
    @saidimamu38943 жыл бұрын

    Www kaaaakimya umekosea kiri kosa ww mpenda wajane unawadanganya kuwaoa halafu unawachezea unawaaacha

  • @ghulamjuma2883

    @ghulamjuma2883

    3 жыл бұрын

    Una ushahidi wa kiislamu tungu yangu ni mbaya sana thana mbele ya Mwenyezi Mungu

  • @saidmbarouk3553
    @saidmbarouk3553 Жыл бұрын

    ASSALAMU ALAIKUM NDUGU ZANGU WA KISLAMU HIVI KWANINI HAWA MASHEKHE WETU WA TANZANIA WANATUCHANGANYA SANA MASHEKHE BAZI YAO WANALUMBANA WALA HAKUNA SABABU ZA MSINGI MUNATUCHANGANYA SANA SISI WAUMINI WA KISLAMU HEBU UNGANENI MUTANGAZE YA ALLAH ILI TUPATE FAIDA SIO KUBISHANA MITANDAONI ALLAH HAPENDI HIVYO

  • @faju4real800
    @faju4real8003 жыл бұрын

    Mashekh wengne wa Dar bwana bora Mlevi wa Zanzibar

  • @ramadhanimganza6958

    @ramadhanimganza6958

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @kibwanasuleiman263

    @kibwanasuleiman263

    Ай бұрын

    Mambo ya hovyo kabisa mambo ya kijaahil ya kshamba kabisaa,mambo ya ki ibliiis,

  • @salumnassor1215
    @salumnassor12153 жыл бұрын

    Babdeo nakuomba usije ukasababisha watu tu unsubscribe tafadhali!!!HUU UPUMBAVU WENU NA MASHEKHE UNAOCHUKUWA CLIP ZAO ATHARI NI MBAYA KULIKO MAFIKIRIO YAKO! NAKUOMBA NAKUOMBA!TUTAZUNGUMZA NA KUWAVUNJIA HESHIMA YAO HAO MASHEKHE AMBAO TUNA HISTORIA NAO NJEMA!AMBAYO UNAIHARIBU!!!

  • @musabahmapinda9892
    @musabahmapinda98923 жыл бұрын

    Mohammed IDDY yupo sawa sawa kabisa .✅✅✅✅

  • @abdulrahmanmussa4479
    @abdulrahmanmussa44793 жыл бұрын

    Nyie ma shekhe mnasikitisha kabisa hikma hamuna kwani matatizo mpaka mutoleane aibu subhanallah mumekua kama wasanii bana

  • @hamadrashid5140
    @hamadrashid51403 жыл бұрын

    Kibri kibaya sana.. Allah atuepushe

  • @abubilal4319

    @abubilal4319

    3 жыл бұрын

    Ana kibri kibaya sana huyu Shekhe.....Allah SWT amuongoze..

  • @abishafiqabishafiq6065

    @abishafiqabishafiq6065

    3 жыл бұрын

    Wallahi kweli

  • @oman7710

    @oman7710

    3 жыл бұрын

    Allahumma amiiin yarab

  • @abdalahaby3658
    @abdalahaby36583 жыл бұрын

    Sheikh anaeleta mipasho ya taarabu tena subhanallah.. sasa huyu atanipa nasaha gani ya kufata subhanallah.. halafu eti ni sheikh wa mkoa duuuh 🤣🤣🤣 Masheikh wameingia kwenye mipasho. Huyu sheikh vile vile nae ni mkosa. Sheikh mzima huwezi kuongea au kutupiana madongo mitandaoni... maneno anayozungumza anatufundisha nini??? Wallah hawa masheikh wamekuwa vichaa. Wema ulioufanya unautangaza dini gani hiyo.. eti sheikh. Bila shaka nae huyu atakuwa anavuta bangi vilevile. Yani huyu sheikh wa mkoa wenu kanichefua kweli. Najuta hata kutazama hiyo clip. Masheikh wanatupiana maneno utasema watoto wakike. Jinga kabisa

  • @Gamba177

    @Gamba177

    3 жыл бұрын

    Hafai huyu shehe Alhad maana baada ya kuongea point ya maana anaongea ushuzi ushuzi kama wale vichaa

  • @allymassudi2246
    @allymassudi22463 жыл бұрын

    Mh mashehe wasikuhizi wanamashaka kweli kazi yao kutafuta umarufu mitandoni

  • @ibrahimmussa3673
    @ibrahimmussa36733 жыл бұрын

    Daaaah anamwita mwenzie mshamba. Elim yako Alhad ni ndogo sana. Ona mambo yako ni ya kichawi

  • @ahmadkhatib6144
    @ahmadkhatib61443 жыл бұрын

    Huyu sheikh kuna kipindi tuliambiwa kuwa kaolewa , leo naanza kuyakubali yale maneno. Acha usenge ALHADI mrejee mola wako.

  • @uledihassan6065

    @uledihassan6065

    3 жыл бұрын

    Umeongea maneno makali sana acha matusi

  • @ahmadkhatib6144

    @ahmadkhatib6144

    3 жыл бұрын

    @@uledihassan6065 sawa nimekuelewa allaah atuongoze ila huyu sheikh anatia hasira wakati mwengine. Mi naona avuliwe hiyo nafasi aliyonayo.

  • @barakaamani8657

    @barakaamani8657

    Жыл бұрын

    Tutaona MENGI YOTE HAYA KWANINI YANAJITOKEZA KATIKA VIPINDI HIVI VYA SERIKALI HIZ

  • @haruniaisha5905

    @haruniaisha5905

    Жыл бұрын

    Mafarisayo ndo hawa sasa

  • @alfeshhassan4181
    @alfeshhassan41813 жыл бұрын

    Nend uko wee umepew psa ww ...wcha kuiuza dini yako kwa hela ww 😳😳😳😳😳😳😳😳😳 Unaanglia tmbo lako na wla huangliii dini yko🤔

  • @salumsaburi5049

    @salumsaburi5049

    3 жыл бұрын

    Nenda mjinga ww jibu hoja

  • @salumsaburi5049

    @salumsaburi5049

    3 жыл бұрын

    Jibu hoja hakuna hata shehe mmoja tena wanazuon waliomba dua wakasema kwa jina la yesu mjinga mkubwa ww au ww una elimu kuliko wao

  • @salumsaburi5049

    @salumsaburi5049

    3 жыл бұрын

    Hata enz za mtume saw walikuwepo watu kama ww walikuwa wanajifanya kumpenda mtume kumbe ni wanafiki

  • @salumsaburi5049

    @salumsaburi5049

    3 жыл бұрын

    Mbumbumbu ww sio viongozi mukishakuchaguliwa munafata matakwa yenu umekosea ni lazima akukosea sio kukusema vizur kipind hicho sawa ww mjinga

  • @salumsaburi5049

    @salumsaburi5049

    3 жыл бұрын

    Shehe gan alieomba dua kwa jina la yesu Mshenz ww mbwa mkubwa nguruwe nitajie shehe mmoja tu alieomba dua kwa jina la yesu m mungu akuongoze ww mjinga

Келесі