Sheikh Alhad Mussa Atupa Jiwe Gizani "Namshangaa Sheikh Anayeshangaa Msheikh Kumiliki Bastola"

QIBLATEIN ONLINE Ni channel ya dini ambayo inajihusisha na kukusanya taarifa za kidini kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani ya Tanzania kila siku kupitia FACEBOOK, INSTAGRAM KZread @QiblateinOnlineTv)
🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe #qiblateinonlinetv #ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
INSTAGRAM 👉👉 / qiblatein_online_
FACEBOOK👉👉 www.facebook.c...
TIKTOK 👉👉 www.tiktok.com...

Пікірлер: 176

  • @MussaJuma-nf3vg
    @MussaJuma-nf3vg2 ай бұрын

    Ustadh Musa unanitia mashaka sana . Inadhihirisha ww bado unachuki sna hukuridhia wenzako kupata nafasi. Unapoihalalisha bastola kwa nchi hii unamaanisha nini?? Natamani kujua ww mlezi wako nani?? SHEIKH WALID YUPO SAHIHI MASHALLAH UCHAMUNGU UMEMJAA. USTDH UNATUVUNJA MOYO SANAA.

  • @saidsalim4524
    @saidsalim45242 ай бұрын

    Jamaa yangu muda wako umekwishaa wacha maneno yakijingaa unaonyesha wazi kimekuuma sana kutenguliwa na nafasi kuchukuliwa na waleed

  • @allymyete5327
    @allymyete53272 ай бұрын

    Subhanallah!! Ila Alihad Bado kama unachuki na Walid maneno Yako ni Makali Sana!!

  • @jakuabdull34
    @jakuabdull342 ай бұрын

    Njaa ikaepembeni tumueke mbele mungu alhad sjawah kumkubali hata siku moja namuona anapambania cheo na tumbo tu

  • @user-xo9rb7wj7s

    @user-xo9rb7wj7s

    2 ай бұрын

    Ni Padri, hana sura ya uislam,

  • @salymkingungo5229

    @salymkingungo5229

    2 ай бұрын

    Huo ndo ushamba na chuki binafsi,sasa hapo kaongea nini kibaya ambacho hakipo kwenye dini!!!mbona mnakuwa na chuki za kipumbavu sana waslamu wa mchongo ninyi!??

  • @jabirkasunzu6841

    @jabirkasunzu6841

    2 ай бұрын

    Mungu ndio ajuaye yaliyomo vifuani mwa watu.

  • @Jsjd-l9k

    @Jsjd-l9k

    Күн бұрын

    Ata usipomkubali ww sisi tunampenda sheikh wetu alaf ww ni nani...?

  • @nancyenock5601
    @nancyenock56012 ай бұрын

    Mimi mkristo tena wa hali ya kujitambua lakn shekhe yule Walidi wa mkoa yuko sahii mno huyu ilipaswa kupigwa makofi hapa

  • @allymwabawa1882
    @allymwabawa18822 ай бұрын

    Dah haya maneno ya kusema "mbona unatuletea ushamba...maneno ya kipuuzi..." yamebeba sura mbaya sana

  • @Ayyub_Semtawa

    @Ayyub_Semtawa

    2 ай бұрын

    Akhi Ally..,Mashallah una busara sana kwa kuliona hilo..kiukweli Sheikh amejibu kwa hisia za kisasi sana..Uislam umefundisha adabu ya kukosoana

  • @IssaAli-wz5jh

    @IssaAli-wz5jh

    2 ай бұрын

    Kabisa mkuu shehe huyu kauli zake nyng haziko sahihi na alistahiki kumpisha Shekhe Walid mapema mno.

  • @jabirkasunzu6841

    @jabirkasunzu6841

    2 ай бұрын

    Kaongea mengi mazuri, nyinyi mmeona ushamba tuuuu, Allah s.w. ndio ajuaye yaliyomo vifuani mwa watu.

  • @Boyhoodking
    @Boyhoodking2 ай бұрын

    Dah hv huyu jamaa alikuwajekuwaje sheikh wa Mkoa mbona ni Muhuni sana dah😂😂😂 elimu hana na hekma kakosa Juhaaaaal

  • @allynguba2579

    @allynguba2579

    2 ай бұрын

    Uongozi wa kupeana alipooa pale kwa mzee ndo akapewa nazani

  • @kassimukilima
    @kassimukilima2 ай бұрын

    kuna shari kubwa kwa masheikh wetu mungu awanusuru maana hii speech imekaa kurudisha mapigo kwa shekh wa awali kuzungumza Mkoa

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    2 ай бұрын

    Huyu amekosa hekima

  • @AllyKiduka
    @AllyKiduka2 ай бұрын

    Shekheee madiliiiiiiiiiiiiiiii amekasirika

  • @mirzah117

    @mirzah117

    2 ай бұрын

    😂😂

  • @omarimamboleo2634
    @omarimamboleo26342 ай бұрын

    Tatizo si kumiliki silaha tatizo una silaha na mabodigadi baada yakuwa na wanafunzi usipoteze malengo tafuta wanafunzi ufundishe acha fitina

  • @user-jh4sw3ww6w

    @user-jh4sw3ww6w

    Ай бұрын

    Uwezo Hana sasa wa kufundisha

  • @broumaiyyah8018
    @broumaiyyah80182 ай бұрын

    Chuki tuu huyu mpuuzi kwanza ana elimu gan na maneno alosema sheikh wa mkoa wa dsm n kwl masheikh mmekua wanasiasa mnasahau majukum yenu.We body guard wa nn na bastora vyote hvy.

  • @sadambakari2579
    @sadambakari25792 ай бұрын

    Hujaelewa kasome makusudio ya sheikh walid nikuwa masheikh wasomeshe ili wakitembea bac mabordy gard niwanafunzi wako mm nimemuelewa sana sheikh walidi sheikh alihadi umekurupuka

  • @nurdinmfamau3493

    @nurdinmfamau3493

    2 ай бұрын

    Swah

  • @mkamitiothman610
    @mkamitiothman6102 ай бұрын

    ALLAH atuepushe na chuki. SUBHAANAKA YAA RABY 😭🤲

  • @salumsimai642
    @salumsimai6422 ай бұрын

    Yani masheikh wa Sasa Wana kazi kweli kazi kusemana tuuuuu!!!! Iv hua mnapata nn kutukanana Kila mmoja kujiona Bora dhidi ya mwenziwe mcheni Allah na mustiriane kwa ajili ya kumukhofu Allah

  • @HusseinAlly-kw3pg
    @HusseinAlly-kw3pg2 ай бұрын

    Kaka umeishiwa mbinu mwache shekhe wetu Walid afanye kazi ya Allah wewe endelea na siass zako

  • @SalimAbdulla-gw5rq
    @SalimAbdulla-gw5rq2 ай бұрын

    Wambie umeongea kweli umezungumza kihasira kweli tusiwe lege lege kweli cc mashekhe wa zanzibar tumelegea kweli .somo ili tuchukue.

  • @silimakhamis7088
    @silimakhamis70882 ай бұрын

    Shekh wetu shekh waliid,nnavyomjua atafnya kama hajakuskia,atakutazama tu usemeee,ila ujumbe umefika "kaa kitako usomeshe"

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana65022 ай бұрын

    Huyu sijuwi kama ataingiya peponi anakashfa na dharau anakibri lakini sikosalako kutoka shekh mkuu na kuwa ustadh duuuu inauma lazima atapike anavo jisikiya maneno ya utumbo utumbo Wewe ndo ulikuwa shekh mkuu unawaambiya wenziyo eti miwashamba huyu kalaa kihuni hana respect.

  • @mubarakasaid4626
    @mubarakasaid46262 ай бұрын

    ssa jaman mmi sijajuwa kamsema nani kwani kamtaja mtuu jamani acheni mambo ya kuhisi vibaya...

  • @saidsalim4524

    @saidsalim4524

    2 ай бұрын

    Waleed ndio alisema kwanini mashehe mnatembea na mabunduki

  • @AishaSelemani-mp9zc
    @AishaSelemani-mp9zc2 ай бұрын

    Allah ni samehe sjawahi kumpenda huyu shekhe kama mashekhe wengne hana nuru

  • @iddikayombe166
    @iddikayombe1662 ай бұрын

    Sema huyu shekh anakauli chafu sana

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    2 ай бұрын

    Huyu mhuni Tu aliyejificha kwenye kichaka cha usheikh

  • @jabirkasunzu6841

    @jabirkasunzu6841

    2 ай бұрын

    Kaongea mengi mazuri weee umeona ushamba tuuuu Allah Akbar ndio ajuaye yaliyomo vifuani mwa watu

  • @kdrama_lovers406
    @kdrama_lovers4062 ай бұрын

    Allah tulinde na shari ya hii mitandao 😔

  • @kheriakida3309
    @kheriakida33092 ай бұрын

    Huyu hamna kitu kabisa ,anahangaikia tumbo tu,hamuwezi waleed kwa ilmu na pia mwenzie ,hajaweka njaa mbele,na kusifia viongozi, alhad anaumwa na cheo sana sana

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews2 ай бұрын

    Maneno sio mazuri kabisa

  • @muddynkatira8089
    @muddynkatira80892 ай бұрын

    Imani zaifu na chuki anaizihirisha kana kwamba yule jamaa alijichangua dini yetu haipo ivo

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    2 ай бұрын

    Kajificha sana, sasa chuki yake imedhihiri

  • @binurusm8886
    @binurusm8886Ай бұрын

    Hata zunavyoongea tu Unaonesha Una chuki ya waziwazi Kabisa, Pole Sana Kila jambo Na Wakati wake.

  • @user-zs7eq8up5s
    @user-zs7eq8up5s2 ай бұрын

    Sheikh waalid alhday ni mtu safi hapa kazungumzwa vby tukiangalia na cheo chake tuwaheshim viongoz wetu hasa waadilifu kama sheikh waalid wazee walitumia hekima sana kumteua yeye ana busara mpole sio mtu wa jazba japo wenye husda zao wanajaribu kuleta fitna..

  • @yusuphrashidi-dr1kb

    @yusuphrashidi-dr1kb

    2 ай бұрын

    Chukua hii hata waliemteua sheikh walid mmoja wapo kajiudhuru uko chukua hii mpya then matatzo haya yanaletwa na mufti coz mkwewe huyu ndy tatizo kubwa

  • @guugug9gt829
    @guugug9gt8292 ай бұрын

    Shehe ni waaliid yupo vizuri wengine nichamacha ccm

  • @MohamediHamisi-oq2kv
    @MohamediHamisi-oq2kv2 ай бұрын

    Hii dini sio maliyako Fanya heshma na mashekh wanaotegemewa

  • @iddiramadhani5111
    @iddiramadhani51112 ай бұрын

    Shekh wa mkoa kiuwekli alipitiwa kusema vile hata mimi namkubali sana ila siku ile alizingua kumsea vile dr sulle.

  • @kijitamfyomi5598

    @kijitamfyomi5598

    2 ай бұрын

    Hakumsema dr Sule alikua anampiga za mbavu sheikh Walidi ndie alieanza kumsema vibaya

  • @user-gt9eu2hg8f
    @user-gt9eu2hg8f2 ай бұрын

    Na sidhani kama Waleed alikuwa anakusema alikuwa anataka Mashekhe Mjue Majukumu yenu sio Madili

  • @samsontumbo6545
    @samsontumbo65452 ай бұрын

    Duh ridhik ngumu san . Umeshindw kuvumilia mtt wakium sikilajambo lakujib ukimya na hoja inamashiko zaid punguz kuongea sikila jamb lakujib Acha kazabu

  • @ramadhanmkandas5733
    @ramadhanmkandas57332 ай бұрын

    Sio sifa nzuri katika uislamu nyinyi ni viongozi, katika hayo munatufunza nini katika uislamu,, hebu turudi nyuma tuelewane kuliko majibizano katika mitandao

  • @mwimyiyusuf1652
    @mwimyiyusuf16522 ай бұрын

    Mtatoana roho bureee Dunia mtaiacha

  • @AbdullahOmar-be4wy
    @AbdullahOmar-be4wy2 ай бұрын

    Kwa kweli shekhe wetu wa walidi alikosea kibinadamu kudharau au kuleta dharau kwa wenzake kauli aliyoitumia sio mzuri huwezi kusema shekhe gani ww au hatukuelewi kwa sababu kuwa na bastola au bodigadi vizuri waheshimu kila mtu hakuna asiyekasirika mm simlaumu shekhe ali hadi

  • @HusseinAlly-kw3pg
    @HusseinAlly-kw3pg2 ай бұрын

    Njaaa mbaya sana inalilah wainailah rajion

  • @user-oj4wp7qv6x
    @user-oj4wp7qv6x2 ай бұрын

    Makafiri hawapati tabu kutupiga vita waislamu saiv tunapigana vita wenyetu inauma sana

  • @jabirkasunzu6841

    @jabirkasunzu6841

    2 ай бұрын

    Allah ameahidi anailinda dini yake.

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji2 ай бұрын

    ALHADI NI MNAFIKI WORSE THAN WAGALATIA NI SUMU 😢😢

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn2 ай бұрын

    Hii ni hasad tu ya vyeo kiukweli yule sheikh wa mkoa alitoa kauli ya kiuchamungu .huyu yeye anaona Shari tu ndio maana anatetea kuwa na silaha. Hapo ni hasad tu sheikh Walid alikua sahihi

  • @bobomlangi212
    @bobomlangi2122 ай бұрын

    Inna Lillahi, Wainnaa Ilayhi Rrajiuun.

  • @allymtito8117
    @allymtito81172 ай бұрын

    Huyo alhadi Allaah amuongoze, mwenzake kaongea maneno mazuri yeye analeta porojo, afu usifananishe vitu ambavyo huelewi asili yake

  • @MwinsheikhSamata
    @MwinsheikhSamata2 ай бұрын

    Naam zama tulizo nazo sheikh alhady upo sahihi kabisa kujilinda ww mwenyew ni muhimu kwanza kabla ya kutegemea watu wakulinde

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe78232 ай бұрын

    Alhadi Musa wewe ni mshari sanaa ! Unatabia za kike wakati wewe ni mwanaume. Embu muogope Allah. Unatia aibu sana tangu enzi za uongozi wako hukuwahi kupendeza umeweka Dunia mbele. Unatia aibu uling'oa vitu vyote ofisini siku ulipo tolewa ushee wa Mkoa wa Daslam.

  • @isihakamshare3396
    @isihakamshare33962 ай бұрын

    Alhadi ana matatizo Sana.

  • @abelimwakijungu1226
    @abelimwakijungu12262 ай бұрын

    Tatizo Unaleta Kibri ya kiswahili na mipasho badala ya kujifunza maana pana ya ujumbe unaopewa na kiongozi wako. Ndio maana wajumbe wamekauka.

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv2 ай бұрын

    Kumbe umepigwa dongo ww ila ujirekebishe ww ni sheikh siasa waachie wenyewe ameongea kweli sheikh walid

  • @songombingo108
    @songombingo1082 ай бұрын

    Huyu Shehe si alituambia Magu ni zaidi ya Yesu na Mungu? Bado mnamuamini tu??😢😢😢

  • @athumanishabani5381
    @athumanishabani53812 ай бұрын

    Alhad unaanza kuchanganyikiwa lkn ata ukizungumza nafasi ya ushekh wa mkoa hauji tena

  • @mudhihirIbrahim-hb7ry
    @mudhihirIbrahim-hb7ry2 ай бұрын

    Huna inswaafu

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube2 ай бұрын

    Sawa shekhe kasema mi nani nipinge

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe78232 ай бұрын

    Kwa uwezo wa Allah namuomba ajalie Shekhe Walid aje awe Mufti wa Tanzania Amiin . Sijui utajificha wapi mkosa busara wewe 😅😅

  • @rashidmsita6588
    @rashidmsita65882 ай бұрын

    Jiwe la sheikh Walid limefikia kichwani huyu bwana mpaka kapagawa, Kumuita mshamba mwenzie ni neno limemuonesha namba huyu bwana alive hana hekima

  • @feisaldesign4156
    @feisaldesign41562 ай бұрын

    Me naona Yale makundi 72 ya dini wakat wake ndio huu Pepo inakaz jamn kuipat tupambne San Kila muislam ajitahid kuwa na jema lake la siri baina yake na mungu

  • @AbdullahOmar-be4wy

    @AbdullahOmar-be4wy

    2 ай бұрын

    Hakuna 72 makundi ya waislam mtume hakusema waislamu ni umma wake

  • @muhsinsasamalo987
    @muhsinsasamalo9872 ай бұрын

    Basstola ndio ameona cha muhimu. Haya tuambie darsa lako ni wapi?,wanafunzi wako ni kina nani,? basi hata video mawaidh na daawa pia hatuzioni kwenye platform za kijamii. Wewe ni siasa tu na deals.

  • @iddmohammed1086
    @iddmohammed10862 ай бұрын

    Mpuuzi katika ubora wake

  • @hassanmakame
    @hassanmakame2 ай бұрын

    Katupa Jiwe gizani lakini mkaweka picha ya sheikh Walid kwenye thumbnail...mnapenda fitina nyie watu...! Mngeweza kuweka hiyo video yenu pasi na kuihusisha na sheikh Walid. Msiamshe fitina iliyolala, acheni hizo mambo, fitina hazina afya kwa umma.

  • @hawakiza6067

    @hawakiza6067

    2 ай бұрын

    Kweli kabisa

  • @canoksancomprehensivelearn7182
    @canoksancomprehensivelearn71822 ай бұрын

    Msimdhanie vibaya sheikh nimemuelewa vizuri sana, kama.mna chuki ondoeni, akikosea sheikh kama binaadam aambwe kosa lake na akipatia apongezwe sio saa zote chuki sisi ni waislam na ni binaadam tunakosea na tunapatia hakuna mkamilifu

  • @benardmwinuka6948
    @benardmwinuka69482 ай бұрын

    Duhhhhhhh

  • @user-jh4sw3ww6w
    @user-jh4sw3ww6wАй бұрын

    Lakini nadhani uwezo wako ni mdogo tu, Sheikh Alhad. Na bado una kisirani, kuondolewa U sheikh wa mkoa

  • @kagetaabdallah3712
    @kagetaabdallah37122 ай бұрын

    Uyu jamaa chuki tu inamsumbua ndani ya moyo wake umejaa chuki na hasad

  • @allydunga
    @allydunga2 ай бұрын

    Alhadi hunasifa ya kuwa hata imamu wa kitongoji Hivi ulipataje pataje ushikh wa mkoa?!Au ndo mkwe?! Kibri ulichonacho Allah atakudhalilisha sana kibaraka wa makanisa.

  • @IddyDaruweshi-jv1fu
    @IddyDaruweshi-jv1fu2 ай бұрын

    KUMEKUCHA KUMEKUCHA HUYU BWANA MBONA KAMA ANAPENDA BIFU SANA NANI KAMUUDHI KWANI ILE KAULI YA SHEIKH WA MKOA SHEIKH WALID ALIVYOSEMA KWANI KAMTAJA YEYE MBONA SIELEWI

  • @husseinkihame9542
    @husseinkihame95422 ай бұрын

    Huyuu shekh wawapi mbona ni wa hovyoo hivi.

  • @galatonetz
    @galatonetz2 ай бұрын

    Doh!!..😢

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara88452 ай бұрын

    Huna adabu unamsema kiongoziwako kwanini usimuite ukamwambia huoniunafiki

  • @rashidmsita6588
    @rashidmsita65882 ай бұрын

    Huyu Muft alifanya kher kubwa kumtoa sheikh wa Mkoa, amekosa hekima hata ndogo kabisa, Unapoamua kujibu hoja jibu bila kejeli tena kwa Sheikh wake wa Mkoa.

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv2 ай бұрын

    Ulichotakiwa na sheikh walid usomeshe dini baba huna hata mwanafunzi mmoja😂😂

  • @sadikimohamedmangasala7245
    @sadikimohamedmangasala72452 ай бұрын

    Hawa masheikh wa hivi ndio wanaopunguza heshima za waumini kwa masheikh, hivi kama mwenzio katoa boko kuna haja gani ya kumtusi mwenzio tena kiongozi wako kwa mamlaka ukafikia kumuita mshamba, mpuuzi haileti picha. Wewe ulipokuwa kiongozi watu tulikuheshimu hata pale ulipotoa maboko. Sheik jitathimni umekosea maneno uliyotumia kumdogosha mwenzio

  • @ZuhuraMarande-fl2zw
    @ZuhuraMarande-fl2zw2 ай бұрын

    Kwahiyo umekuja umesimama kwe nye hotuba kuja kusutana na ward mtafute pembeni siyo mitandaoni uwiiiii 😮

  • @abdalaseleman921
    @abdalaseleman9212 ай бұрын

    Wewe hukuzingatia muktadha wa Shk. Walidi, unaonekana ni mwenye chuki kwa namna unaongea kwa kupaniki.

  • @AbumishAbu-cz9su
    @AbumishAbu-cz9su2 ай бұрын

    Nyinyi😂hamjui Allah huwa anapo taka kumporomosha mtu humshusha hata kwa kila analosema linageuka hasara kwake hyu hana muda mrefu hiko cheo alonacho ataondoshewa kwa hizi kauli zake. Hana hta maadili

  • @allymdami3908
    @allymdami39082 ай бұрын

    Huyu si ndio alikuwa mwenye kiti wa maridhiano na amani, anaye wataka vijana na waumini kuzunguuka na mapanga!!

  • @user-ck6lf9gg6v
    @user-ck6lf9gg6v2 ай бұрын

    Ana dalili za ushoga yy Kila siku anajiona ni mkamilifu na kujiona wamjini alimuandama Mohamed idd Leo kaja na mpya kasome huna elimu story nyingi kazi kutupia majini wenzio ulimuumiza Mohamed idd Leo unataka kumfanyia ubaya Walid utadunda. Hapa naona Kuna kundi la Tanga linapigwa vita na dar na kusini.

  • @farijala1
    @farijala12 ай бұрын

    Halafu , Maudhui halisi Ilikuwa Sio Bastola, Ni kwamba Masheikh Wafanye Kazi zao

  • @user-gt9eu2hg8f
    @user-gt9eu2hg8f2 ай бұрын

    Sasa utamsaidia Silaha kama Hana kumbe zinagawiwa kama njugu huyu Shehena sio Shehe Sasa kumtolea Mfano sudeisy ndio mfano wa Maana halafu unathubutu kusema eti uislam wa kuturudisha nyuma haupoo? Wakisasa ni upi huna hekma katika Mazungumzo Yako

  • @alwatanalgilgilan-y3078
    @alwatanalgilgilan-y30782 ай бұрын

    Huyu sheikh simpendi iii, hana ahaiba ya kuwa sheikh Juso kama jambaziii. Hata useme vp humuwezi sheikh Walid. Nani MWANAFUNZI wako??? Sheikh dilii

  • @abdulhadiomar8915
    @abdulhadiomar89152 ай бұрын

    Nachotaka nani kamualika huyu mhuni anaejiita shekhe, hamna kitu humu huyu tapeli wa sadaka za waumini

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu36562 ай бұрын

    Wewe Sheikh Alhaadi Si Kila kitu Unataka Kujibu sio Jambo Zuri Kabisa Kumbuka Watu wa Twariqa hawapo hivyo Na wewe ulishawahi kusema ni Mtoto wa Zawiyani umelelewa kitwariqa Twariqa Sasa changamoto Nini Sheikh

  • @allymafita1985
    @allymafita19852 ай бұрын

    Maneno machafu kabisaa, yaan Walid hajitambui, ni dharau kwa KIONGOZI mkubwa kama Walid, Sheikh Walid ni sheikh WA watu anaeleweka na alichozungumza alikuwa sawa anahusia mahusiano ya jamiii na viongozi, bodyguard na silaha za Nini, haya ya Alhad hayana Afya kwa jamii ya kiislam tunayohusiwa mshikamano Kila leo

  • @faridubakana6733
    @faridubakana67332 ай бұрын

    Mhh Shekh Alhad kwa kuzingatia nafasi ya Shekh Waliid hakupaswa kusema hivo --eti Ushamba lol

  • @user-xg5se4sy2t

    @user-xg5se4sy2t

    2 ай бұрын

    Kaka kunawakati Walidi anazingua yani wewe unahisi shida ya bastola ni nini

  • @JailaniRamadhan-it3kp
    @JailaniRamadhan-it3kp2 ай бұрын

    Punguza maneno bhna

  • @multamulta1143
    @multamulta11432 ай бұрын

    mara atapiga DUA YA KIPEKEE

  • @user-rc4db5tg8f

    @user-rc4db5tg8f

    2 ай бұрын

    😂😂

  • @user-xg5se4sy2t
    @user-xg5se4sy2t2 ай бұрын

    Tatizo waislamu tumejawa na ushabiki huyu shekhe wa mkoa ni mchokochoko ila tu ushabiki unawafanya musione ujinga wake haya jiulize kuhusu hiyo bastola ww unaona yupo sawa!

  • @hilalikaumo3470

    @hilalikaumo3470

    2 ай бұрын

    Kwani sheikh wa mkoa alimsema nani ebu tujuze

  • @twahakabajemi9716
    @twahakabajemi97162 ай бұрын

    Semeni imani zenu sio sawa kwani ukiwa na silaha hautakufa?

  • @KiuIbrahim
    @KiuIbrahim2 ай бұрын

    Huyu jamaa hangana heshima hata kwa wakubwa zake amewahi kulivunjia heahima baraza za ulaa akamnanga vibaya katibu wake sheikh chizenga amewahi pia kumwambia Muhammad iddi kuwa anavuta bange kwenye clip kwa kweli hana nidhamu ya kuongea

  • @shabanramadhan7632
    @shabanramadhan76322 ай бұрын

    Kweli mwenyekuwa na uwezo basi afanye hakuna ubaya wa kuwa na silaha

  • @user-oe8nv2tw7w
    @user-oe8nv2tw7w2 ай бұрын

    Tuhuma ya bastola umeijibu vpi mbn hujaijibu hoja ya kuwa naa wanafunzi? Ni kina nani wanafunzi wako? Una fundisha kitabu gani wpi dhamira yake kuu ilikua ni shekh na kufundisha sio kutukuzwa kama mfalme bila kufundisha

  • @awadhially
    @awadhially2 ай бұрын

    Duuh

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg2 ай бұрын

    Zama za Mtume walikuwepo wakisali na Mtume, kumbe wapo na walked?

  • @msarama5406
    @msarama54062 ай бұрын

    Watu wa bakwata na mivyeo wanaweza wakauana walah kama watu wa siasa nao utasikia muheshimiwa mwenyekiti wa ulamaa muheshimiwa sijui nani nani wa kata basi fulu siasa

  • @kilimoufugajipesatv5751
    @kilimoufugajipesatv57512 ай бұрын

    Shekh wa madili. Unataka kumiliki silaha akuone

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid11712 ай бұрын

    Huo mdomo ndio uliponza kichwa

  • @user-mf2ll7nz5g
    @user-mf2ll7nz5g2 ай бұрын

    Hata hiyo taikondo si mbaya ila kwa hapo ili letwa kwa maslahi ya nafsi

  • @KiuIbrahim
    @KiuIbrahim2 ай бұрын

    Huyu hanaga ulimi msafi amewahi kulinaga baeaza la ulamaa taofa hususan katibu wake kizenga pia amewahi kumwambia Muhammad iddi anavuta bangi huyu hanaga busara

  • @sheikh_abdulkarim
    @sheikh_abdulkarim2 ай бұрын

    Hatuja mtaja mtu kama vile yeye hajamtaja mtu kwahiyo hakuna ugomvi kisha ninani alianza uchokozi 😂😂

  • @AbdullahOmar-be4wy

    @AbdullahOmar-be4wy

    2 ай бұрын

    🤣🤣 amejifunza amekosea kibinadamu

  • @murtalla2826
    @murtalla28262 ай бұрын

    Wee ni muhuni kama wahuni wengine tuu

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z2 ай бұрын

    Unasemea bastola...ikibidi ata na majeshi....dunia sahv haifai hata chukuchuku....watu wana roho mbaya ww

  • @Twalhathaidary
    @Twalhathaidary2 ай бұрын

    Huyu sheikh alivyokaa kwenye hiko kiti cha sheikh wa mkoa mbona hakuongea vitu kama hv..!

  • @RamadhaniRashidi-rd1my
    @RamadhaniRashidi-rd1my2 ай бұрын

    Shekhe kuongea maneno ya kiuchamungu

  • @AllyKiduka
    @AllyKiduka2 ай бұрын

    Hili lialhadi nishetani hasadi imelijaa limeondolewa ushekhe wa mkowa

Келесі