Ukikaa karibu na mtu huyu Jiandae kukumbwa na Mikosi na Mabalaa - Sheikh Walid Alhad

Пікірлер: 47

  • @user-ci1sv3ij7q
    @user-ci1sv3ij7q3 ай бұрын

    MashaAlllah navyo mpenda sheikh anavyoisoma qur'an na tafsiri yake mm kama mama wa vijana watatu kila nikiswali nawaombwa vijana wangu wote wawe kama yy plz naomba comment hii imfikie sheikh waliid na anitiillie dua kwa hilo❤❤Sheikh nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @classicwaisala6677
    @classicwaisala66774 ай бұрын

    Allah Akuzidishie elimu na afya njema na akupe umri marefu watu wengi wafaidike kupitiya ma waidha yako sheikh Walid🙏

  • @ruqaiamohammed345

    @ruqaiamohammed345

    4 ай бұрын

    Amiin 🤲🤲🤲

  • @abuuhafsah9630
    @abuuhafsah96303 ай бұрын

    Yaani daawa imetulia..darsa safi..yaani mtu hatumii hata nguvu...mwamba karelax sana..hakuna mapovu wala nini..na watu tunaelewa vizuri sana..

  • @HawaZuberi-gc9iv
    @HawaZuberi-gc9iv4 ай бұрын

    Naam sheikh wetu waislam wa myaka his hawaogopi hata Ramadhani allahu Akbaru Allah akuzidishie mazuri sheikh wetu

  • @allyfutto8763
    @allyfutto87633 ай бұрын

    Mungu atunusuru na Dhambi zote Aamin.

  • @Gamba81

    @Gamba81

    3 ай бұрын

    Amen

  • @itsTubwa

    @itsTubwa

    2 ай бұрын

    Ameen Thumma Amen

  • @dr.nkumbi8704
    @dr.nkumbi87044 ай бұрын

    Mashaal sheikh walid kweli tunanufaika sana kama tupo hapo darasan m mungu azidi kukupa afya njema ili tuzidi kunufaika zaidi na zaidi inshaal

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani54813 ай бұрын

    Mawaidha mazuri ostaz..Asante kwakutukumbusha ..mwenyezimungu atufanyie wepes

  • @salmaomar9483
    @salmaomar9483Ай бұрын

    Allah akulipe kheri na akudumishe katika kheri

  • @ahmedhamisi-jc2hs
    @ahmedhamisi-jc2hs4 ай бұрын

    Masha Allah shukuran Sana sheikh Kwan ushasema kweli kabisa maneno ya awakika kabisa

  • @abuuhafsah9630
    @abuuhafsah96303 ай бұрын

    Subhanallah 😭😭😭 Sheikhe wetu allah akuhifadhi.

  • @shijasagali5161
    @shijasagali51614 ай бұрын

    Ma shaa Allah tabalakhallah, nimekuelewa sheikhe wangu, Allah akuhifadhi

  • @tawakaliramadhani1352
    @tawakaliramadhani13523 ай бұрын

    Mashallah Allah akufanyie wepesi..akupe siha..

  • @KhalidMzala
    @KhalidMzala2 ай бұрын

    Mashaallah ❤

  • @bentybenty2343
    @bentybenty23434 ай бұрын

    Masha ALLAH Tabarakallah shukran sheikh ALLAH akuhifadh...🤲🤲🤲

  • @fadhilimakore6142
    @fadhilimakore61423 ай бұрын

    Subhana llah Allah atunusuru

  • @hemedimbwambo4674
    @hemedimbwambo46743 ай бұрын

    ALLAAHUMMA AAMIIN

  • @mariusochy4664
    @mariusochy46643 ай бұрын

    Masha Allah shekh Walid Mimi ni mshabiki wako sananaaa naitwa Mahmoud Ochy kutoka Rwanda mjini Kigali karibu sana huku kwetu Allah akurinde marazi akupe umri marefu mwenye manufaa akupe mwisho mwema na pepo siku ya mwisho

  • @eddietaxidriverzanzibar4395
    @eddietaxidriverzanzibar43953 ай бұрын

    Subhanallah Allah Akulipe ujira uli0 kuW mkubwa le0 Dunian na Kesh0 Akhera Aameen 🤲🤲

  • @OmarSongoro-bp9pn
    @OmarSongoro-bp9pn4 ай бұрын

    Mashaa allah shukran sana shekh walid

  • @akidashekue163
    @akidashekue1633 ай бұрын

    Wanawake wa sasa ni mtihani ukimbilia kwenye madawati na kugawana mali

  • @SurprisedAirplaneWindow-mi9lc
    @SurprisedAirplaneWindow-mi9lc2 ай бұрын

    mashaallah

  • @salimabdul4424
    @salimabdul44243 ай бұрын

    Vizuri sheikh walid.mashaallah..

  • @ZainabUwessu
    @ZainabUwessu20 күн бұрын

    Tumalizie wale watu watatu ambao Allaah hujilazimisha kuwasaidia... 1. Yule atakaechunga ndoa yake na uzinifu! 2... 3... Assalaamu alaykum warahmatullaah wabarakaatuh wabarakaatuh wabarakaatuh

  • @zainabzain3434
    @zainabzain34343 ай бұрын

    Hapo kwenye inshaaallah nikweli wengi wanaitumia kuondoa ngoma juani ila sio utekekezaji

  • @tawakaliramadhani1352
    @tawakaliramadhani13523 ай бұрын

    Darusalaama imepata mwalim sahihi...

  • @saodashabani2652
    @saodashabani26524 ай бұрын

    Mashaallah shekhee wetuu

  • @fatmamuhammad4772
    @fatmamuhammad47723 ай бұрын

    MashaAllah Tabaarakallah

  • @user-tp8hx2ts2v
    @user-tp8hx2ts2v4 ай бұрын

    Lailahailalah

  • @massykgaassfghjkkl5364
    @massykgaassfghjkkl53644 ай бұрын

    Laila hail Allah

  • @HAMEDHAMED-qx1zj
    @HAMEDHAMED-qx1zj3 ай бұрын

    Kweli kabisa

  • @yussuphsultan1400
    @yussuphsultan14004 ай бұрын

    Asante sheikh

  • @hamisijuma6243
    @hamisijuma6243Ай бұрын

    huyu bwana ni mwalimu wangu

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi33774 ай бұрын

    شكرا جزيل

  • @hadyaAlii
    @hadyaAlii4 ай бұрын

    Inshaallah ❤

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid11714 ай бұрын

    Taah,taah la lumumba😂 😁😁🏃mmmh leo darsa la maana

  • @AwadhiKanyawana-ve2cp
    @AwadhiKanyawana-ve2cp3 ай бұрын

    💯

  • @abuuhafsah9630
    @abuuhafsah96303 ай бұрын

    Kwa hapa dsm tumepata mwl bora..

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo90644 ай бұрын

    Sarafu wanauza bidhaa mtandaoni wanauza condom nini hukumu yake na inamilikiwa na bakhresa kama sikosei nini hukumu yake,?

  • @EricsonNoah

    @EricsonNoah

    3 ай бұрын

    Bahressa auzu si kweli

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt4 ай бұрын

    Allahu akbar mola atusamehe mazambi yetu yarabi

  • @hashakishabani4896

    @hashakishabani4896

    4 ай бұрын

    Mambo

  • @saumbliz8983

    @saumbliz8983

    4 ай бұрын

    Amiin

  • @zuwenasaid9707
    @zuwenasaid97072 ай бұрын

    Walid waambie na viongozi wa nchi siku za siasa wasiuwe wakati washatangaza wazi ccm haikuubwa kushindwa kwa hali yeyote sasa kwa nini wanauwa hawayaamini maneno yao na waislamu wamo wanaoshajiisha mauwaji na kusheherekea mapinduzi (mauwaji)

  • @allymahiyo2464
    @allymahiyo24643 ай бұрын

    Watu walikuwa wachache

Келесі