Salama JABIR Alimchana Mwana FA kwenye Planet Bongo na FA alimind, ilikuwaje? Tazama Hapa
Ойын-сауық
Hii ndo list ya ngoma 5 kali alizochagua Salama kwenye The Playlist, Aug 20. 2016
1. Malome - Cassper Nyovest ft Mahotela Queens
2. Love on the brain - Rihanna
3. Messing Around - Pitbull x Enrique Iglesias
4. Me Myself & I - G Eazy x Bebe Rexha
5. Inde - Dully Sykes x Harmonize
The Playlist ni kila Jumamosi Kuanzia Saa 6 hadi Saa 8 mchana kupitia 100.5 Times FM na Omari Tambwe (Lil Ommy).
Star wako anashuka kubonyeza ngoma 5 kali anazozikubali na mastori kibao. info zaidi follow @LilOmmy kwenye instagram na twitter na make sure una SUBSCRIBE channel hii ili uwe wa kwanza kunasa interviews zote za kibabe. #thePlaylist #TimesFM 100.5
Пікірлер: 127
salama ni mdada mwenye maono ya mbali mno akunagana kama huyo mtu hapa tanzania zaidi ya yeye mwenyewe love u salama
Wale wa buku 2 tukae humu#two genius in da house
What I will take from this interview. 1. Hakuna kitu kibaya kama mtu kukuchukulia poa kisa mnapiga story. 2. Ukitaka kutoka, toka mlangoni na usipitie dirishani. Salama you is a L E G E N D.
Nawapenda Sana Hawa watu wawili God bless you guys
I love you Salama
love you Salama hujawahi niangusha ommy ahsantee
@reemaishaq9629
7 жыл бұрын
Zaudat Makula hy
i love salama coz yuko real na anajijua ....
2018 kila nikipata time naangalia interviews zote ambazo sikuwahi ziona...Tambwe unajua Sana..am a big fan of u..tokea pande za 25flow..Kizazi Sana!
Salama J.... Like everything bout u since 2004...2005.. 2006... Na kipindi planet bongo... Mkasi pia... Great... Ile wee tomboy sana dah!!!!!!!? 🙈
From Kenya luv u much daa Salama
kuiga jambo zuri si kitu kibaya,na tusiogope kuigwa cha kuzingazitia unapokuwa unafanya jambo is to tune the highest level of uniqueness to be different
Salama uko vizuri sana Mungu akufikishe mbali aisee
Mashaallah, lovely Salama
salama nakukubali sana cos ww sio mnafki unasema ukweli kabisa hongera dada salama
Maswali mazuri sana aliyokuwa anayajibu salama,thanx Ommy nakikubali sana kipindi chako
Salama in this life time, I will love you alone, I will never change
Nakupenda sana da salama nitakupenda zaid ukirehesha kipindi cha mkasi
jabir
Salama nakupenda unajielewa Mungu akutunze my
@gustafutemba6541
6 жыл бұрын
Christina Msoka
nakupenda xan salma jabu😍😍😍😍😍
brazq wewe ni maana ya mtangazaji unaweza bro keep it up
salama we sio wa nchi hii aisee ww n next level myn nakupenda ajabu.
salama nimekubali na hiyo point yako.ukitaka kutoka tokea na malangoni usitokee na dirishani.ili ukitaka kuridi inakuarahisi kukaribishwa tena.
Salama unajibu maswali vizuri ongera sana
I love u habbty kwel unajuwa hmn kitu kizr km kuwa mkwel na liwazo nakupenda sana salama
I wish I see u my salama jabir
nimejifunza mengi toka kwa salama ubarikiwe
Best interview ever, big up salama.
namuita sj daa washikaji wanatambua mchango wake kwanza huwa napenda interview zake yupo na confidence ya khali ya juu big up couse iknow kule tulipotoka kwenye ala za roho up to now its imazing
ece jay..nakuelewa sana
Salama your the best big up sana, Ommy we ni nouma sana
salama jabir i love you sooooo much dear ,you are one of the best of the best ladies in tanzania .kenya tunakuskiza hata kama kiswahili hatuelewi we keep on following you
@jennifergsm8186
6 жыл бұрын
ndundesz tommasz mmhh sio wote
Nakukubar saana dada yangu.
Salama Jabir...
lilommytv nimekukubali aide we ninoma unauliza maswali vizuri kabisa kiasi ambacho hats msikilizaji au mtazamaji hujiskia furaha sana kufuatilia kipindi big cup sana bro lililililil ommyyyyyyyyy
Dada salama regesha mkasi plzzzzzzzzzzzz
Tambweeeee!!!! Love you bro
video classic audio DOPE......big up ommy
love u Omiy
salama love u
love it...
cool 😎
nakupenda salama
penda ww Sanaa salama
nakukubali sana salama mungu akuweke...kutoka 254
lilyommy upo vizur kaka
salama uko good sana my..
salama, ur mult talented
Interview nzuri sana,
Penda sana ommyyy
ongera brazaaaaa
nice interview I like it...keep it up lilommy nkkbali....
i like u #eceyjay.. u sound gud points n all dat
perfect salama😍😍😍😍😍😍😍😍
yo d beast man
Kizazi sana lilomy
Thanks
sawa
Full Swaggs... Kwny hii show yaani
guuuuuud
Nampenda salama
oyeaah
uko pw sana broo
nice!
om tem plz ...hyo kofia alikupa salama bhnd de inteviu
big brain salama 7
aiseeee namkubari sana uyo mwanadashost ongela sana
good
réal like 4 shoo....
amin kwamba
la kizazi sana
Salama nakubal sana ur so cul sister
💥💥💥💥
💯
penda sana wewe salama j
maisha ya gazeti hayatakiwi
@lilommytv very great show bro lilommy you are killing it with this show. Does anyone know what song plays at 5.12 (the song after paranoid) . Big up
@sarahjemima5668
7 жыл бұрын
MN
Singeli sio mziki mziki gani
yap yani iko pooa sana.
what a beautiful interview. she's an inspiration.
Oyeee
salam am from burundi ningependa nikuowe
Salam, just sounds as talkative as just other females. Though she acts masculine.
@vevo3130
4 жыл бұрын
she ain't acting...she is real...that's her...
😘😘😘😘😘😘😘
@bennmarcom8787
6 жыл бұрын
salama jabir unajicho kali saaan kweny music kiukwel unaijua game saaan interview ya 2016 leo 2018 v.money tunamuona kweny leval zingine mnooo nakukubali saaan salama iko vizuri sis
salama ❤
@gustafutemba6541
6 жыл бұрын
Eric Kaemba
miguu juuu salama asi kwambie mtu
Mwanaume ao mwanamke ? Ndo kwanza namuona huyu ila nimempenda Sana anavyo zungumza kistarabu
kidume???
nice interview
@samiamtanga1311
7 жыл бұрын
Mwebesa Frank Salama jabili kafili mkubwa Sana mungu amlan zaidi ya hapo
shoo nihatari ile mbaya coz binafsi nimekipenda
@sarahjemima5668
7 жыл бұрын
pm up
@sarahjemima5668
7 жыл бұрын
pm so
@queencatherine6591
5 жыл бұрын
Dada uko poa
ommy don't keep moving your head too much its soooo disturbing to the viewer, good interview though
tem men... abt hyo kofia
Huyu csta Salama namkubali balaa any way ingawa hanijui!!!!!
@richardmmanda9345
6 жыл бұрын
good show going viral Nawakubali kinomaaaa
Bombay
@calvinfikirini1728
5 жыл бұрын
Indian
Tunaenda Afu Weumezeeka😂
oyee oyee ndo nini sasa
we jamaa napenda Sana kukusikiliza joh
@esthersariah4964
7 жыл бұрын
Naamini salama unachangia vema katika sana rekebisheni na muwashari wasanii wetu wasiige mambo ya nnje wabaki na mitindo na dhana za kiafrika.
@soudmohamed2274
7 жыл бұрын
Goodluck Minja
Kizungu jamani, kimekuja nanani.
Genius Sana salama
I can mi yu _______🤐