RAIS MAGUFULI 'ASHTUKIZA' KUKAGUA UJENZI WA FLYOVER UBUNGO LEO

RAIS MAGUFULI 'ASHTUKIZA' KUKAGUA UJENZI WA FLYOVER UBUNGO LEO
RAIS Dkt John Magufuli, leo Machi 16, ameanza safari ya kuelekea mkoani Morogoro kwenda kutazama daraja la Kiegea ambalo limekatika tena jana ikiwa ni siku chache baada ya kufanyiwa ukarabati..
Akiwa njiani kuelekea Moro, Rais Magufuli amesimama barabarani katika maeneo mbalimbali na kuzungumza na wananchi pamoja na kukagua baadhi ya miradi inayotekelezwa na serikali.
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
( +255 784 888982)
( +255 676 229628)
Email: globaltvbest@gmail.com
abbymrisho@gmail.com
HABARI MPYA DAILY:
bit.ly/habarimpya
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
GLOBAL RADIO TV:
bit.ly/255globalradio
EXCLUSIVE INTERVIEW:
bit.ly/exclusive_interviews
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Subscribe bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 218

  • @diamondswahidia5416
    @diamondswahidia54164 жыл бұрын

    miaka kama25 iliyipita niliwahi kumwambia kaka yangu kuwa ingekuwa nchi za nje maeneo kama tazara ingekuwa nchi za ulaya pangekuwa na flyover lkn hapa kwetu haiwezekani,tulikuwa tunaamini mambo haya hayawezekani.kha!!!! kumbe hata ssi tunaweza dah,tulilishwa matango pori tukaamini aisee

  • @LeeUfudu

    @LeeUfudu

    4 жыл бұрын

    Utadhani wanjenga meli duuuuuh muda mrefu saana

  • @caseyzayne8987

    @caseyzayne8987

    2 жыл бұрын

    Sorry to be so offtopic but does anyone know a method to log back into an Instagram account? I somehow lost my login password. I would love any assistance you can offer me!

  • @davydany9648
    @davydany96484 жыл бұрын

    Hapa tumekuelewa wanaojifanya vipofu watakuelewa ukistafu,hongera rais

  • @user-mw4wk4qu7i

    @user-mw4wk4qu7i

    4 жыл бұрын

    NAKUKUBALI RAIS CHAPA KAZI

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud90884 жыл бұрын

    Huyu mtu anaweka alama isiyofutika Miaka zaidi ya 100 ijayo tutamkubuka na ataandikwa kwenye vitabu vingi za history ya Maendeleo ya Tz

  • @eliakimchaiikobellah358
    @eliakimchaiikobellah3584 жыл бұрын

    Wanaokukataa wewe wakatae tu Ila hawawezi kukataa kazi zako Mh, Rais. Endelea kupiga kazi watakuelewa tu.

  • @kadaskarim5175
    @kadaskarim51754 жыл бұрын

    Macho yang au baba Leo umeamua kuvaa laba kwel nimekukubali nakupenda San rais wang

  • @muhsinmwambule9435

    @muhsinmwambule9435

    4 жыл бұрын

    Si laba bali ni raba kama ukiitamka tamko lake ukiliazima kama lilivyo kwenye lugha yake ya asili.

  • @deusrobert1343

    @deusrobert1343

    3 жыл бұрын

    raba za tsh 7500

  • @halimakari9558
    @halimakari95584 жыл бұрын

    Asante mh rais usipoteze hata sekunde kuwa wazia wasanii wa siasa,Iwazie tanzania yako tu najua huna muda huo ila wanaweza kukuloga hao.Kwakweli wengi tunakupenda sana kazi yako imeonekana.

  • @kulwapaul2721
    @kulwapaul27214 жыл бұрын

    Hizo raba sizani Kama zinafka 15000 huyu rahsi nampenda Hana makuu

  • @drshytonagen2357

    @drshytonagen2357

    4 жыл бұрын

    haha,nimeziona

  • @selector728

    @selector728

    3 жыл бұрын

    Siyo rahisi ni raisi

  • @wilsonjohn1919
    @wilsonjohn19194 жыл бұрын

    Nakubali sana president wewe siku zote unawaza maendeleo tu

  • @amosimichael208
    @amosimichael2084 жыл бұрын

    Jpm Mungu azidi kumlinda duh huyu president is so fire nikiwa India nafurah kuona maendeleo ya nchi yangu I love Tz

  • @dr.tumainiandrea6957

    @dr.tumainiandrea6957

    4 жыл бұрын

    Safi sana comrade...tuwadiliane mkuu

  • @omarymohamedi3490

    @omarymohamedi3490

    4 жыл бұрын

    Jamani tuombe cana mungu atuondolee ugonjwa mbaya wakorona

  • @abdulkarimhamissi3755
    @abdulkarimhamissi37554 жыл бұрын

    Embu mumtag awa watu waje waone labda wataingiwa na aibu wataacha unafki 🤣🤣🤣🤣@zito @mbowe @tundulisu

  • @innocentrushambya1671

    @innocentrushambya1671

    4 жыл бұрын

    Umesaau na mange kimambi mratibu wa kigogo 2014 Twitter

  • @blenfikru5012

    @blenfikru5012

    4 жыл бұрын

    @@innocentrushambya1671 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @jamilasaid2718
    @jamilasaid27184 жыл бұрын

    asante baba kwa kuijali nchi yetu kwanza starehe baadae

  • @leandrowilliam7956
    @leandrowilliam79564 жыл бұрын

    Namkubari sana rais wetu big up

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter49474 жыл бұрын

    Hongera sana Mh. Rais JPM nazani wakuu wa wilaya, mkuu wa mkoa, wakurugenzi wanatakiwa kumsaidia kazi Rais sio mpaka Rais afike eneo husika mfno soko la machinga ambalo halijajengwa ilihali ilikua maelekezo ya Mh .JPM

  • @mathiasmikongoti5798
    @mathiasmikongoti57984 жыл бұрын

    tujuane wasoma comments! 🥰

  • @adamkasasa4290

    @adamkasasa4290

    4 жыл бұрын

    Tuko pamoja

  • @mosallah4907
    @mosallah49074 жыл бұрын

    Magufuli baba lao

  • @muksinimkahakala4383
    @muksinimkahakala43834 жыл бұрын

    Nakpenda saana JPM kwa Kaz nzur, MW/Mung akurinde na mabaya, mazuri yakufie. Amin

  • @elizabethdismas7660
    @elizabethdismas76604 жыл бұрын

    Huyu raisi Noma Sana, hataki ujinga anatak mambo yaende kwa uhalali

  • @pastoreliamsika9355
    @pastoreliamsika93554 жыл бұрын

    Sichokagi kumsikiliza huyu baba aisee❤️

  • @manmachomaasai1095
    @manmachomaasai10954 жыл бұрын

    oya utamgonga na icho kichuma chako rais wetu bwana walinz mko wapi nyinyi

  • @kinyemkira5623
    @kinyemkira56234 жыл бұрын

    Kazi nzuri Mh Rais, maendeleo kwanza, nchi yetu isonge mbele!

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha75474 жыл бұрын

    My President mimi Mushy ila ndio hivyo wote hatufanani,keep it up our prayers always 🤲

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha75474 жыл бұрын

    Allah ametupa wewe hakukosea utakuwa salama nchi yako bado inakuhiji my President ❤

  • @mbwanaseif404
    @mbwanaseif4044 жыл бұрын

    Kweli watz tunamtaka raisi gani zaidi ya huyu

  • @barikimwakajumba2627
    @barikimwakajumba26274 жыл бұрын

    Yaan magu sijui tulikupata wapi maana hukuwepo before

  • @thetycoon8799

    @thetycoon8799

    4 жыл бұрын

    @Bariki Mwakajumba hakuwepo na wakati huyu alikuwa ni waziri wa miundombinu ya barabara kipindi cha Kikwete au hukumbuki?? Watu mnajifanya mmesahau duhhh juzi tu

  • @manuelhealth100channel7
    @manuelhealth100channel74 жыл бұрын

    Nakukubali sana JPM pigakazi tukopamoja na wewe kaziyako inaongea yenyewe

  • @ramamtetu2327
    @ramamtetu23274 жыл бұрын

    Corona 😭😭😭😭 Ewe Allah lilinde Taifa Letu na Huu Ugonjwa Hatari.

  • @claudiangowi9585

    @claudiangowi9585

    4 жыл бұрын

    Usijali utaisha soon. Wala hautatudhuru

  • @pendomathaw6829
    @pendomathaw68294 жыл бұрын

    Hata Kama kila mtanzania angetoa billion moja,Kama cyo maamuzi ya john pombe magufuli,hakungefanyika lolote,FUMBUA MACHO YAKO

  • @thetycoon8799

    @thetycoon8799

    4 жыл бұрын

    Pendo Mathaw Maamuzi gani?? Mbona hiyo mambo ilianza kipindi cha kikwete, hata ile ya tazara ilikuwa kipindi cha kikwete muwe mnakumbuka lakini , hata airport ilikuwa imeanza kipindi cha kikwete so muwe mnakumbuka tu

  • @devidpanja115
    @devidpanja1154 жыл бұрын

    Rais wang mpendwa najiskia vibaya sn unaposema ipo siku tutakukumbuka naomba Mungu akupe maisha na umri mrefu uiongoze Tanzania hata kwa miaka 30 ndio useme hivo..Mungu akulinde my president

  • @hamadamabali2895
    @hamadamabali28954 жыл бұрын

    Ndugu zenu kutoka Kenya tunaikubali sana Kaz anayoifanya Raisi Magufuli, we need to see him again for the next five years, thanks alot!

  • @branconguvila4639
    @branconguvila46394 жыл бұрын

    Kabla hujawaza Tanzania itakufanyia nini, waza wewe utaifanyia nini Tanzania...asante JPM kwa kujitoa kwako juu ya nchi hii

  • @joashandhoga4019
    @joashandhoga40194 жыл бұрын

    Hongera Mr President John Pombe

  • @douglashaule6371
    @douglashaule63714 жыл бұрын

    Piga kazi mzee

  • @swahilipoetry8781
    @swahilipoetry87814 жыл бұрын

    Go go go Mr President JPM....🙏👌

  • @pendomathaw6829
    @pendomathaw68294 жыл бұрын

    Ee mwenyezi Mungu kwa mapenzi yako,ikiwezekana KIKOMBE HIKI CHA CORONA KITUEPUKE AMINA

  • @hisanmwakijungu10

    @hisanmwakijungu10

    4 жыл бұрын

    Hahahaha Dogo unaogopa kufa

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry93084 жыл бұрын

    Kaz nzur baba. Songa mbele

  • @athumaniomari2833
    @athumaniomari28334 жыл бұрын

    Ewe mwenyez MUNGU enderea kumuongoza kumrinda kumsimamia na kuzidi kuimalisha afya yeke raisi wetu

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz59824 жыл бұрын

    Magu oyeeeeeeeeeee

  • @sabinashabani9742

    @sabinashabani9742

    4 жыл бұрын

    Oyeeeee

  • @andrewmgoyo8008
    @andrewmgoyo80084 жыл бұрын

    Jamani si mikusanyiko isiyokuwa lazima imezuiliwa inawezekana kukawa na ulazima kutembelea hiyo miradi lakini kipaumbele hasa katika hiki kipindi cha korona virus ndo maana director general wa WHO amesema dunia inafanya uzembe wa kuzuia maambukizi ya virusi hivi,kwa maoni yangu namshauri mh Rais aende direct mpaka kwny destination yake.

  • @godfreymbambe6834

    @godfreymbambe6834

    4 жыл бұрын

    Mtaumia sana. Mwaka.

  • @suzannnko5055
    @suzannnko50554 жыл бұрын

    Nguvu yetu Rais wetu tunakuunga mkono na MS Forum 🇹🇿💪💪🤝

  • @user-fc8xe2sc3w
    @user-fc8xe2sc3w4 жыл бұрын

    Love you Tz,

  • @mwalimumatunda8742

    @mwalimumatunda8742

    4 жыл бұрын

    And tz people's love every contries tz no war no miss understand

  • @saidiyusuph964
    @saidiyusuph9644 жыл бұрын

    Hongera! Sasa kazi tunaiona

  • @taufiqyahya324
    @taufiqyahya3244 жыл бұрын

    pamoja sana Mr jpm nakukubali

  • @kamanyile
    @kamanyile4 жыл бұрын

    huyu Rais ninampenda sana

  • @shantalismailhassan9878
    @shantalismailhassan98784 жыл бұрын

    👏🏾👏🏾👏🏾mkubwa we ni fire Mashaallah. 👍🏾

  • @jumadea6899
    @jumadea68994 жыл бұрын

    Umesomeka mkuu piga kazi

  • @eliazarinyakiema1969
    @eliazarinyakiema19694 жыл бұрын

    This president is a world symbol

  • @williamkeita1519
    @williamkeita15194 жыл бұрын

    Safi sana mheshimiwa jpm

  • @violethmtalemwa5190
    @violethmtalemwa51904 жыл бұрын

    tunaomba ufunge mipaka hakuna kuingia wala kutoka corona ni tishio mkuu

  • @enockbenson4969

    @enockbenson4969

    4 жыл бұрын

    Corona imeshaingia toka jana soma habali

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk4 жыл бұрын

    Mtu wa nguvu hongera!

  • @edsonmbwate612

    @edsonmbwate612

    4 жыл бұрын

    Rabaaa

  • @victoria5839
    @victoria58394 жыл бұрын

    I love you magufuli ❤️❤️

  • @mohdsalum3832
    @mohdsalum38324 жыл бұрын

    Safi sana serekali ya awamu ya tano

  • @geraldkishenyi5786

    @geraldkishenyi5786

    4 жыл бұрын

    Kaka nakukibali sana katika watu wanao iunga mkono serikali ya awamu ya tano nawewe upo

  • @mohdsalum3832

    @mohdsalum3832

    4 жыл бұрын

    Tunaunga mkono kwa sababu maendeleo yanaonekana

  • @sammotv6920
    @sammotv69204 жыл бұрын

    Waoooooh

  • @lyimoshopingbag5374
    @lyimoshopingbag53744 жыл бұрын

    Nakuelewa

  • @evarestmathew9040

    @evarestmathew9040

    4 жыл бұрын

    Nakk balisana jpm salot kwako miaka10000

  • @dr.erickjmazyala8905
    @dr.erickjmazyala89054 жыл бұрын

    eti shikamoni! Huyu rais kazi kweli kweli! Mungu azidi kumlinda, kumuongoza, na kumbariki rais wetu huyu pendwa Mh. Dr. JJPM na serikali yetu yote! Mungu azidi kuibariki nchi yetu Tz!

  • @cosmasmasolwa1811

    @cosmasmasolwa1811

    4 жыл бұрын

    Hata watoto wadogo wameamkiwa duh kuta bana

  • @SEMANKA97
    @SEMANKA974 жыл бұрын

    Watu nawamba JPM kuwin kura hahitaji nguvu kubwa mnapiga kelele, huyu baba anaijua nchi ndani nje na alijua itaendeleaje

  • @yusuphwella9651
    @yusuphwella96514 жыл бұрын

    Nawapa pongez japo kwa hatua iliyofikiwa sema tuu mim nilitarajia ukiwa unatokea kimara ukiwa kwenye Moro road unanaweza kuingia kwenye samnujoma ukiwa kwa juu lakini imekuwa Zina crossover pekee bila kutawanyika

  • @asiasuedy4880
    @asiasuedy48804 жыл бұрын

    Big up magufuli tupo pamoja nawe

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent76364 жыл бұрын

    "Tuko pamoja kwenye Raha na shida"🤔sawa Mr Ila Mmmh mtaan vyuma ni balaaaa MzeeBaba. sijui huko uliko mwenzetu Hali ni gan?

  • @muhammadabdulhakam4848

    @muhammadabdulhakam4848

    4 жыл бұрын

    Salehe Innocent unakwama

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru97314 жыл бұрын

    ❤❤👏👏🙏

  • @paulpaul8825

    @paulpaul8825

    4 жыл бұрын

    💪

  • @abdallahngohe8346
    @abdallahngohe83464 жыл бұрын

    Hapo sawa wewe ndie laisi bola kuliko wrote salio pita pia unamsimamo

  • @josephnchunga1247
    @josephnchunga12474 жыл бұрын

    Dah huyu rais Wetu yuko vizuri sana namkubali kinoma anamsimamo sana hata ange ongoza miaka 20 sawa tu.

  • @ahmedmsangi1653
    @ahmedmsangi16534 жыл бұрын

    Mimi sijapenda maelekezo ya engenear kwaupande wa libakora lake kwa RAISI kuliinua inuwa sijapenda"

  • @zenamadhan2517

    @zenamadhan2517

    4 жыл бұрын

    Hahaaaa

  • @gorettimtungwe9011

    @gorettimtungwe9011

    4 жыл бұрын

    Umeona màaskari hawakuona sijui. Wawe makini

  • @ericmashulano8769

    @ericmashulano8769

    4 жыл бұрын

    ulitaka ainue nn? wakati unaona hiyo ndio support yake

  • @zenamadhan2517

    @zenamadhan2517

    4 жыл бұрын

    @@ericmashulano8769 hahaaa apo chacha

  • @drshytonagen2357
    @drshytonagen23574 жыл бұрын

    mkutano gafla watu nyoni eti magu hapendwi

  • @tanzaniamemorialtv6771
    @tanzaniamemorialtv67714 жыл бұрын

    respect dear Greatest world President

  • @diamondswahidia5416
    @diamondswahidia54164 жыл бұрын

    sehemu moja ambayo pengine huko baadae inatakiwa ifanyiwe kazi ni makazi ya watu.Nina maanisha serikali ichukuwe usukani katika kujenga makazi ya watu wa kawaida katika miji mikubwa,maeneo kama temeke mikoroshini,manzese tandale na maeneo mengine kuwe na nyumba za flats ambazo watu wa hali ya chini watakaa kulipa kodi ambayo ni ya chini ili waweze ku afford kulipia,sasa hapo tanzania ita change completetly

  • @abubakarihamissi4178

    @abubakarihamissi4178

    4 жыл бұрын

    Bonge la point hilo

  • @gasperkanje8930

    @gasperkanje8930

    4 жыл бұрын

    Hayo ongeeni na raisi wenu wa manzese madii

  • @abubakarihamissi4178

    @abubakarihamissi4178

    4 жыл бұрын

    @@gasperkanje8930 ww c hujatembea fala ww uone miji mingine ilivyopangika

  • @gasperkanje8930

    @gasperkanje8930

    4 жыл бұрын

    @@abubakarihamissi4178 sasa unamaind nini?si mna raisi wenu wa manzese?alishughulikie hilo

  • @abubakarihamissi4178

    @abubakarihamissi4178

    4 жыл бұрын

    @@gasperkanje8930 🤣🤣🤣🤣 we jamaa ww una jokes sana, raisi wa mateja yule...

  • @davidmunduwi5962
    @davidmunduwi59624 жыл бұрын

    namuona mchina hapo

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud90884 жыл бұрын

    Haya Mambo Ni ya ulaya uko

  • @rogerioathumani9084
    @rogerioathumani90844 жыл бұрын

    Kiukweli baba mungu ndie pekee ajuae jisi gani ulivyo tujaamoyoni mweni kiukweli mungu akupe afya njema uwendelee kukutumikia baba...

  • @merinaemanuel8100
    @merinaemanuel81004 жыл бұрын

    Nakupenda sana baba angu mungu akulinde na akubarik zaid kipenz. Cha Tanzania

  • @hassanabdalla2741
    @hassanabdalla27414 жыл бұрын

    Kwetu sisi hapa ni kazi tu ila wale wanaosema kazi na bata watasubiri Karne ya 22 tukijaaliwa

  • @moturithevictor2522
    @moturithevictor25224 жыл бұрын

    Watanzania ndio sasa mwatumia barabara za juu kwa juu,,,huku Kenya tumechoka nazo miaka kumi sasa,,lakini hata hivyo hongereni

  • @abdulmayombo3355
    @abdulmayombo33554 жыл бұрын

    Nice works

  • @mwlmazingira8705
    @mwlmazingira87054 жыл бұрын

    SMG au macho yangu

  • @sammotv6920
    @sammotv69204 жыл бұрын

    This. Is magufuli

  • @mwalimumatunda8742

    @mwalimumatunda8742

    4 жыл бұрын

    Anaitwa mwalimu salum matunda anauliza viongoz mmefungamipaka.

  • @mwalimumatunda8742

    @mwalimumatunda8742

    4 жыл бұрын

    Magufuli watafute wafanya kazi apo ccecc kwa mchina uwasikie kele zao

  • @jamilasaid2718

    @jamilasaid2718

    4 жыл бұрын

    mwl matunda hakuna mpaka ulofungwa juzi tren kutoka zambia imejaa wazungu imeingia dar kupitia reli ya tazara. tuombe dua ugonjwa mbaya sana huu kuliko ukimwi

  • @abuuhudhaify5195

    @abuuhudhaify5195

    4 жыл бұрын

    hhh

  • @tophousecommunication570
    @tophousecommunication5704 жыл бұрын

    ZUNGUMZA LUGHA YA TAIFA,,,JAMAA AMBIWA HIVYO..KINGEREZA SI LUGHA YA TAIFA HILI...hongera tanzania,,,hapa KENYA vingereza tupu

  • @emmanuelbonifas2804
    @emmanuelbonifas28042 жыл бұрын

    Tutalia kila siku magufuri kila tuonapo yale ulikuwa ukiyatenda kwa vitendo kwa ajiri yetu sisi watanzania mungu akusamehe upumzike kwa aman baba

  • @neemalambo9790
    @neemalambo97904 жыл бұрын

    Piga kazi baba

  • @sammotv6920
    @sammotv69204 жыл бұрын

    Mchina anateteemeka maskin

  • @muhsinmwambule9435

    @muhsinmwambule9435

    4 жыл бұрын

    Mchina hatetemeki! Ana uzoefu wa kukutana na viongozi wa aina tofauti tofauti. Isipokuwa tuache ulimbukeni. Kumshikia mtu kipaza sauti ama akihitaji kukishika mwenyewe hamna tatizo. Siyo mtu anataka kushika kipaza sauti wao wanafanya kama kukwepesha au kutoa mkono wake. Huo si uwerevu! Kwani rais na huyo mzungumzaji wapo mbali kama suala likiwa ni ulinzi. Na sijui muktadha wao ni upi! yaani ni utovu wa nidhamu kiukweli.

  • @neemakilomoni4258

    @neemakilomoni4258

    4 жыл бұрын

    Muhsin Mwambule ndio wale wale kila kitu mnakosoa hakuna jema Tanzania 🇹🇿 kwanza Mchina katetemeka keli na lazima atetemeke ana ongea na Boss

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    4 жыл бұрын

    @@muhsinmwambule9435 watu weusi ni shida sana 😢😢

  • @eliaskajiru1206

    @eliaskajiru1206

    4 жыл бұрын

    Cn

  • @muhsinmwambule9435

    @muhsinmwambule9435

    4 жыл бұрын

    @@neemakilomoni4258 Ni tafsiri ipi inayokuambia kukosoa ni hakuna jema? Kukosoa ni kuonyesha dosari. Dosari haina tofauti na mapungufu. Tangu lini anayekuambia mapungufu yako anakutakia shari? Anayetaka uharibikiwe hakuambii bali atakulamba kisogo kwa unalotenda kwa sababu anajua unapoelekea unajiangamiza. Bongo Zozo aliulizwa kama mali anazo kwa nini asinunue magari makubwa ya kifahari? Akajibu, kutembea/kusafiri ni kujifunza! Unapata maarifa Dunia ina mengi. Nakusihi tembea angalau kwa kutumia smart phone yako uone wasaidizi wa rais wa wenzetu wakishika kipaza sauti kama anayezungumza akihitaji kukishika wanafanyaje? Tatizo letu tunaona ule ni umadhubuti ni ungangari. Mambo hayakwendi hivyo! Inabidi tutoke kwenye fikra ya kila kutanguliza mabavu, panapo usalama hekima itawale.

  • @victormtani7170
    @victormtani71704 жыл бұрын

    Daaaaah......nilikuwa km ninaota vile nikiangalia miguuni kwa Mh. Ni nini kinawaka km mwanga vile kumbe bhana Ni Raba kavaa Rais wetu. Sijawahi kuona Rais kavaa ila kwa huyu jamaa nilikuwa sijamuelewa hizo Raba Sidhani km zinafika hata 20,000 ninaona Huyu Mzee Mungu wetu Mlinde na wabaya wote wasio na nia mbaya na kiongozi wetu.

  • @SEMANKA97
    @SEMANKA974 жыл бұрын

    Watu ni mtaji hiyo ni kweli

  • @chuimnyama9074
    @chuimnyama90744 жыл бұрын

    Chuma cha pua V12 petrol engine 💡

  • @mlokaferdinand
    @mlokaferdinand4 жыл бұрын

    Uwe unabaki na MAVI nyumbani kwako....hahaaaaa nani kasikiaa hiyooo

  • @drshytonagen2357
    @drshytonagen23574 жыл бұрын

    tanzania wako na best president ,unacheka na watu wa kawaida hadi utani hizi. dont to fake and dopey politicians who are trying to teach you how to hate and not how to love

  • @mashaelieazer6120
    @mashaelieazer61204 жыл бұрын

    Eti bora ungempa mpare angekutunzia hahaaa

  • @mapesamale3379
    @mapesamale33794 жыл бұрын

    Piga kazi Rais wangu

  • @jovinikihongosi7707
    @jovinikihongosi77074 жыл бұрын

    Very nice

  • @faustinkakule2728
    @faustinkakule27284 жыл бұрын

    Nice

  • @salumabdallah6680
    @salumabdallah66804 жыл бұрын

    Mzee hilo Gongo vipi usije ukatuumizia raisi wetu mpaka ulinyanyue wakati unaongea

  • @amanibenjamini9637
    @amanibenjamini96374 жыл бұрын

    Koti la buku jero mzee umetisha

  • @lichilasalumu7983
    @lichilasalumu79838 ай бұрын

    Nilikuwa naitafuta Sana hotuba hii

  • @alexsimon4345
    @alexsimon43454 жыл бұрын

    Ila nimemkubali sana mfugale kuna raha sana katika kuelezea kitu unachokielewa vizuri na kitaauluma zaidi.

  • @BabuGga-td3mg

    @BabuGga-td3mg

    Ай бұрын

    Huyo mzee ni mtaalamu haswa. RIP kwake

  • @salmajuma4015
    @salmajuma40154 жыл бұрын

    Hiii kumbe ubungo nako kunajegwa hivo duhhh

  • @dastanfussy4898

    @dastanfussy4898

    4 жыл бұрын

    Nmepita Jana. Karbu wanamalizia. Kubwa kuliko ya tazara

  • @salmajuma4015

    @salmajuma4015

    4 жыл бұрын

    @@dastanfussy4898 duhhh mashallah mm sipo tz mda kidogo ndo maana sijui kinacho endelea

  • @dastanfussy4898

    @dastanfussy4898

    4 жыл бұрын

    Poapoa Dada. Pande zp huko?

  • @djumaasaidi7575
    @djumaasaidi75754 жыл бұрын

    Nnakubali Mze wetu

  • @africanchocolate4216
    @africanchocolate42164 жыл бұрын

    “🤩 Haya Ndiyo maendeleo ambayo Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere ali sema kwamba ‘Wa Tanzania wana yataka ndani ya CCM, na waki yakosa tu, basi wata yatafuta nje ya CCM ambavyo ni vyama vingi vya siasa”! “MWENYEZI MUNGU ibaraki Tanzania 🇹🇿, MUNGU ibaraki Afrika, Amen 🙏🏾. “Halafu 👇🏾” Kuhusu “Corona”👇🏾 “Ndivyo isivyo takiwa namna hii😡 😳” Lakini si nili waambia kwamba mipaka yote ya Tanzania 🇹🇿 ifungwe kabla hali haija kuwa mbaya, wenyeji na wageni wasi ingie wala kutoka! Na mipaka ita funguliwa pindi baada ya hali ku tengemaa lakini bado hamsikii tu mpaka kifo kime ingia hali mki shuhudia wenyewe 😳, kweli sikio la kufa hali sikikii dawa 🙄”! 😷🦠🤧🚨🤮💉💊🧪🌡🚑🚔🚨🚷❌❗️ “MWENYEZI MUNGU iponye Tanzania 🇹🇿, MUNGU iponye Afrika na Ulimwengu wote 🌍, Amen 🙏🏾😢

  • @martinekallimbu661
    @martinekallimbu6614 жыл бұрын

    Mchina amenyimwa mike kwasababu ya hofu ya Covid 19

  • @frediricknandonde1690
    @frediricknandonde16904 жыл бұрын

    Leo mzee wangu kavaa raba

  • @mashaelieazer6120
    @mashaelieazer61204 жыл бұрын

    Jamaa yupo Bwiiiiiiiiii

  • @saidomar6806
    @saidomar68064 жыл бұрын

    Rais wetu mwenye Utu Upendo na kuchapakaz mda wote usiku mchana anafanyakaz ili watu wake wasiishi kw unyonge.

  • @NdageKitahama
    @NdageKitahama4 ай бұрын

    Jembe umeondoka umatuachia maumivu nikiona hotuba zako naumia Sana ungekuwepo Leo najua tren ya kutokea dar kwenda Moro ingekuwa imeanza kazi mwendo Kasi mbagala ingekuwa imeanza kazi tunaumia Sana tuna maumivu ya nauli zimepanda mfumko wa bei uko juu mafisadi wamerudi upya wanaitafuna nchi yaani hatuelewi

  • @nestorymattambo3566
    @nestorymattambo35664 жыл бұрын

    Miaka kama yoteee rais wetu

Келесі