RAIS MAGUFULI 'ASHTUKIZA' KUKAGUA UJENZI WA FLYOVER UBUNGO LEO
RAIS MAGUFULI 'ASHTUKIZA' KUKAGUA UJENZI WA FLYOVER UBUNGO LEO
RAIS Dkt John Magufuli, leo Machi 16, ameanza safari ya kuelekea mkoani Morogoro kwenda kutazama daraja la Kiegea ambalo limekatika tena jana ikiwa ni siku chache baada ya kufanyiwa ukarabati..
Akiwa njiani kuelekea Moro, Rais Magufuli amesimama barabarani katika maeneo mbalimbali na kuzungumza na wananchi pamoja na kukagua baadhi ya miradi inayotekelezwa na serikali.
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
( +255 784 888982)
( +255 676 229628)
Email: globaltvbest@gmail.com
abbymrisho@gmail.com
HABARI MPYA DAILY:
bit.ly/habarimpya
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
GLOBAL RADIO TV:
bit.ly/255globalradio
EXCLUSIVE INTERVIEW:
bit.ly/exclusive_interviews
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Subscribe bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 218
miaka kama25 iliyipita niliwahi kumwambia kaka yangu kuwa ingekuwa nchi za nje maeneo kama tazara ingekuwa nchi za ulaya pangekuwa na flyover lkn hapa kwetu haiwezekani,tulikuwa tunaamini mambo haya hayawezekani.kha!!!! kumbe hata ssi tunaweza dah,tulilishwa matango pori tukaamini aisee
@LeeUfudu
4 жыл бұрын
Utadhani wanjenga meli duuuuuh muda mrefu saana
@caseyzayne8987
2 жыл бұрын
Sorry to be so offtopic but does anyone know a method to log back into an Instagram account? I somehow lost my login password. I would love any assistance you can offer me!
Hapa tumekuelewa wanaojifanya vipofu watakuelewa ukistafu,hongera rais
@user-mw4wk4qu7i
4 жыл бұрын
NAKUKUBALI RAIS CHAPA KAZI
Huyu mtu anaweka alama isiyofutika Miaka zaidi ya 100 ijayo tutamkubuka na ataandikwa kwenye vitabu vingi za history ya Maendeleo ya Tz
Wanaokukataa wewe wakatae tu Ila hawawezi kukataa kazi zako Mh, Rais. Endelea kupiga kazi watakuelewa tu.
Macho yang au baba Leo umeamua kuvaa laba kwel nimekukubali nakupenda San rais wang
@muhsinmwambule9435
4 жыл бұрын
Si laba bali ni raba kama ukiitamka tamko lake ukiliazima kama lilivyo kwenye lugha yake ya asili.
@deusrobert1343
3 жыл бұрын
raba za tsh 7500
Asante mh rais usipoteze hata sekunde kuwa wazia wasanii wa siasa,Iwazie tanzania yako tu najua huna muda huo ila wanaweza kukuloga hao.Kwakweli wengi tunakupenda sana kazi yako imeonekana.
Hizo raba sizani Kama zinafka 15000 huyu rahsi nampenda Hana makuu
@drshytonagen2357
4 жыл бұрын
haha,nimeziona
@selector728
3 жыл бұрын
Siyo rahisi ni raisi
Nakubali sana president wewe siku zote unawaza maendeleo tu
Jpm Mungu azidi kumlinda duh huyu president is so fire nikiwa India nafurah kuona maendeleo ya nchi yangu I love Tz
@dr.tumainiandrea6957
4 жыл бұрын
Safi sana comrade...tuwadiliane mkuu
@omarymohamedi3490
4 жыл бұрын
Jamani tuombe cana mungu atuondolee ugonjwa mbaya wakorona
Embu mumtag awa watu waje waone labda wataingiwa na aibu wataacha unafki 🤣🤣🤣🤣@zito @mbowe @tundulisu
@innocentrushambya1671
4 жыл бұрын
Umesaau na mange kimambi mratibu wa kigogo 2014 Twitter
@blenfikru5012
4 жыл бұрын
@@innocentrushambya1671 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
asante baba kwa kuijali nchi yetu kwanza starehe baadae
Namkubari sana rais wetu big up
Hongera sana Mh. Rais JPM nazani wakuu wa wilaya, mkuu wa mkoa, wakurugenzi wanatakiwa kumsaidia kazi Rais sio mpaka Rais afike eneo husika mfno soko la machinga ambalo halijajengwa ilihali ilikua maelekezo ya Mh .JPM
tujuane wasoma comments! 🥰
@adamkasasa4290
4 жыл бұрын
Tuko pamoja
Magufuli baba lao
Nakpenda saana JPM kwa Kaz nzur, MW/Mung akurinde na mabaya, mazuri yakufie. Amin
Huyu raisi Noma Sana, hataki ujinga anatak mambo yaende kwa uhalali
Sichokagi kumsikiliza huyu baba aisee❤️
oya utamgonga na icho kichuma chako rais wetu bwana walinz mko wapi nyinyi
Kazi nzuri Mh Rais, maendeleo kwanza, nchi yetu isonge mbele!
My President mimi Mushy ila ndio hivyo wote hatufanani,keep it up our prayers always 🤲
Allah ametupa wewe hakukosea utakuwa salama nchi yako bado inakuhiji my President ❤
Kweli watz tunamtaka raisi gani zaidi ya huyu
Yaan magu sijui tulikupata wapi maana hukuwepo before
@thetycoon8799
4 жыл бұрын
@Bariki Mwakajumba hakuwepo na wakati huyu alikuwa ni waziri wa miundombinu ya barabara kipindi cha Kikwete au hukumbuki?? Watu mnajifanya mmesahau duhhh juzi tu
Nakukubali sana JPM pigakazi tukopamoja na wewe kaziyako inaongea yenyewe
Corona 😭😭😭😭 Ewe Allah lilinde Taifa Letu na Huu Ugonjwa Hatari.
@claudiangowi9585
4 жыл бұрын
Usijali utaisha soon. Wala hautatudhuru
Hata Kama kila mtanzania angetoa billion moja,Kama cyo maamuzi ya john pombe magufuli,hakungefanyika lolote,FUMBUA MACHO YAKO
@thetycoon8799
4 жыл бұрын
Pendo Mathaw Maamuzi gani?? Mbona hiyo mambo ilianza kipindi cha kikwete, hata ile ya tazara ilikuwa kipindi cha kikwete muwe mnakumbuka lakini , hata airport ilikuwa imeanza kipindi cha kikwete so muwe mnakumbuka tu
Rais wang mpendwa najiskia vibaya sn unaposema ipo siku tutakukumbuka naomba Mungu akupe maisha na umri mrefu uiongoze Tanzania hata kwa miaka 30 ndio useme hivo..Mungu akulinde my president
Ndugu zenu kutoka Kenya tunaikubali sana Kaz anayoifanya Raisi Magufuli, we need to see him again for the next five years, thanks alot!
Kabla hujawaza Tanzania itakufanyia nini, waza wewe utaifanyia nini Tanzania...asante JPM kwa kujitoa kwako juu ya nchi hii
Hongera Mr President John Pombe
Piga kazi mzee
Go go go Mr President JPM....🙏👌
Ee mwenyezi Mungu kwa mapenzi yako,ikiwezekana KIKOMBE HIKI CHA CORONA KITUEPUKE AMINA
@hisanmwakijungu10
4 жыл бұрын
Hahahaha Dogo unaogopa kufa
Kaz nzur baba. Songa mbele
Ewe mwenyez MUNGU enderea kumuongoza kumrinda kumsimamia na kuzidi kuimalisha afya yeke raisi wetu
Magu oyeeeeeeeeeee
@sabinashabani9742
4 жыл бұрын
Oyeeeee
Jamani si mikusanyiko isiyokuwa lazima imezuiliwa inawezekana kukawa na ulazima kutembelea hiyo miradi lakini kipaumbele hasa katika hiki kipindi cha korona virus ndo maana director general wa WHO amesema dunia inafanya uzembe wa kuzuia maambukizi ya virusi hivi,kwa maoni yangu namshauri mh Rais aende direct mpaka kwny destination yake.
@godfreymbambe6834
4 жыл бұрын
Mtaumia sana. Mwaka.
Nguvu yetu Rais wetu tunakuunga mkono na MS Forum 🇹🇿💪💪🤝
Love you Tz,
@mwalimumatunda8742
4 жыл бұрын
And tz people's love every contries tz no war no miss understand
Hongera! Sasa kazi tunaiona
pamoja sana Mr jpm nakukubali
huyu Rais ninampenda sana
👏🏾👏🏾👏🏾mkubwa we ni fire Mashaallah. 👍🏾
Umesomeka mkuu piga kazi
This president is a world symbol
Safi sana mheshimiwa jpm
tunaomba ufunge mipaka hakuna kuingia wala kutoka corona ni tishio mkuu
@enockbenson4969
4 жыл бұрын
Corona imeshaingia toka jana soma habali
Mtu wa nguvu hongera!
@edsonmbwate612
4 жыл бұрын
Rabaaa
I love you magufuli ❤️❤️
Safi sana serekali ya awamu ya tano
@geraldkishenyi5786
4 жыл бұрын
Kaka nakukibali sana katika watu wanao iunga mkono serikali ya awamu ya tano nawewe upo
@mohdsalum3832
4 жыл бұрын
Tunaunga mkono kwa sababu maendeleo yanaonekana
Waoooooh
Nakuelewa
@evarestmathew9040
4 жыл бұрын
Nakk balisana jpm salot kwako miaka10000
eti shikamoni! Huyu rais kazi kweli kweli! Mungu azidi kumlinda, kumuongoza, na kumbariki rais wetu huyu pendwa Mh. Dr. JJPM na serikali yetu yote! Mungu azidi kuibariki nchi yetu Tz!
@cosmasmasolwa1811
4 жыл бұрын
Hata watoto wadogo wameamkiwa duh kuta bana
Watu nawamba JPM kuwin kura hahitaji nguvu kubwa mnapiga kelele, huyu baba anaijua nchi ndani nje na alijua itaendeleaje
Nawapa pongez japo kwa hatua iliyofikiwa sema tuu mim nilitarajia ukiwa unatokea kimara ukiwa kwenye Moro road unanaweza kuingia kwenye samnujoma ukiwa kwa juu lakini imekuwa Zina crossover pekee bila kutawanyika
Big up magufuli tupo pamoja nawe
"Tuko pamoja kwenye Raha na shida"🤔sawa Mr Ila Mmmh mtaan vyuma ni balaaaa MzeeBaba. sijui huko uliko mwenzetu Hali ni gan?
@muhammadabdulhakam4848
4 жыл бұрын
Salehe Innocent unakwama
❤❤👏👏🙏
@paulpaul8825
4 жыл бұрын
💪
Hapo sawa wewe ndie laisi bola kuliko wrote salio pita pia unamsimamo
Dah huyu rais Wetu yuko vizuri sana namkubali kinoma anamsimamo sana hata ange ongoza miaka 20 sawa tu.
Mimi sijapenda maelekezo ya engenear kwaupande wa libakora lake kwa RAISI kuliinua inuwa sijapenda"
@zenamadhan2517
4 жыл бұрын
Hahaaaa
@gorettimtungwe9011
4 жыл бұрын
Umeona màaskari hawakuona sijui. Wawe makini
@ericmashulano8769
4 жыл бұрын
ulitaka ainue nn? wakati unaona hiyo ndio support yake
@zenamadhan2517
4 жыл бұрын
@@ericmashulano8769 hahaaa apo chacha
mkutano gafla watu nyoni eti magu hapendwi
respect dear Greatest world President
sehemu moja ambayo pengine huko baadae inatakiwa ifanyiwe kazi ni makazi ya watu.Nina maanisha serikali ichukuwe usukani katika kujenga makazi ya watu wa kawaida katika miji mikubwa,maeneo kama temeke mikoroshini,manzese tandale na maeneo mengine kuwe na nyumba za flats ambazo watu wa hali ya chini watakaa kulipa kodi ambayo ni ya chini ili waweze ku afford kulipia,sasa hapo tanzania ita change completetly
@abubakarihamissi4178
4 жыл бұрын
Bonge la point hilo
@gasperkanje8930
4 жыл бұрын
Hayo ongeeni na raisi wenu wa manzese madii
@abubakarihamissi4178
4 жыл бұрын
@@gasperkanje8930 ww c hujatembea fala ww uone miji mingine ilivyopangika
@gasperkanje8930
4 жыл бұрын
@@abubakarihamissi4178 sasa unamaind nini?si mna raisi wenu wa manzese?alishughulikie hilo
@abubakarihamissi4178
4 жыл бұрын
@@gasperkanje8930 🤣🤣🤣🤣 we jamaa ww una jokes sana, raisi wa mateja yule...
namuona mchina hapo
Haya Mambo Ni ya ulaya uko
Kiukweli baba mungu ndie pekee ajuae jisi gani ulivyo tujaamoyoni mweni kiukweli mungu akupe afya njema uwendelee kukutumikia baba...
Nakupenda sana baba angu mungu akulinde na akubarik zaid kipenz. Cha Tanzania
Kwetu sisi hapa ni kazi tu ila wale wanaosema kazi na bata watasubiri Karne ya 22 tukijaaliwa
Watanzania ndio sasa mwatumia barabara za juu kwa juu,,,huku Kenya tumechoka nazo miaka kumi sasa,,lakini hata hivyo hongereni
Nice works
SMG au macho yangu
This. Is magufuli
@mwalimumatunda8742
4 жыл бұрын
Anaitwa mwalimu salum matunda anauliza viongoz mmefungamipaka.
@mwalimumatunda8742
4 жыл бұрын
Magufuli watafute wafanya kazi apo ccecc kwa mchina uwasikie kele zao
@jamilasaid2718
4 жыл бұрын
mwl matunda hakuna mpaka ulofungwa juzi tren kutoka zambia imejaa wazungu imeingia dar kupitia reli ya tazara. tuombe dua ugonjwa mbaya sana huu kuliko ukimwi
@abuuhudhaify5195
4 жыл бұрын
hhh
ZUNGUMZA LUGHA YA TAIFA,,,JAMAA AMBIWA HIVYO..KINGEREZA SI LUGHA YA TAIFA HILI...hongera tanzania,,,hapa KENYA vingereza tupu
Tutalia kila siku magufuri kila tuonapo yale ulikuwa ukiyatenda kwa vitendo kwa ajiri yetu sisi watanzania mungu akusamehe upumzike kwa aman baba
Piga kazi baba
Mchina anateteemeka maskin
@muhsinmwambule9435
4 жыл бұрын
Mchina hatetemeki! Ana uzoefu wa kukutana na viongozi wa aina tofauti tofauti. Isipokuwa tuache ulimbukeni. Kumshikia mtu kipaza sauti ama akihitaji kukishika mwenyewe hamna tatizo. Siyo mtu anataka kushika kipaza sauti wao wanafanya kama kukwepesha au kutoa mkono wake. Huo si uwerevu! Kwani rais na huyo mzungumzaji wapo mbali kama suala likiwa ni ulinzi. Na sijui muktadha wao ni upi! yaani ni utovu wa nidhamu kiukweli.
@neemakilomoni4258
4 жыл бұрын
Muhsin Mwambule ndio wale wale kila kitu mnakosoa hakuna jema Tanzania 🇹🇿 kwanza Mchina katetemeka keli na lazima atetemeke ana ongea na Boss
@Mpakauseme
4 жыл бұрын
@@muhsinmwambule9435 watu weusi ni shida sana 😢😢
@eliaskajiru1206
4 жыл бұрын
Cn
@muhsinmwambule9435
4 жыл бұрын
@@neemakilomoni4258 Ni tafsiri ipi inayokuambia kukosoa ni hakuna jema? Kukosoa ni kuonyesha dosari. Dosari haina tofauti na mapungufu. Tangu lini anayekuambia mapungufu yako anakutakia shari? Anayetaka uharibikiwe hakuambii bali atakulamba kisogo kwa unalotenda kwa sababu anajua unapoelekea unajiangamiza. Bongo Zozo aliulizwa kama mali anazo kwa nini asinunue magari makubwa ya kifahari? Akajibu, kutembea/kusafiri ni kujifunza! Unapata maarifa Dunia ina mengi. Nakusihi tembea angalau kwa kutumia smart phone yako uone wasaidizi wa rais wa wenzetu wakishika kipaza sauti kama anayezungumza akihitaji kukishika wanafanyaje? Tatizo letu tunaona ule ni umadhubuti ni ungangari. Mambo hayakwendi hivyo! Inabidi tutoke kwenye fikra ya kila kutanguliza mabavu, panapo usalama hekima itawale.
Daaaaah......nilikuwa km ninaota vile nikiangalia miguuni kwa Mh. Ni nini kinawaka km mwanga vile kumbe bhana Ni Raba kavaa Rais wetu. Sijawahi kuona Rais kavaa ila kwa huyu jamaa nilikuwa sijamuelewa hizo Raba Sidhani km zinafika hata 20,000 ninaona Huyu Mzee Mungu wetu Mlinde na wabaya wote wasio na nia mbaya na kiongozi wetu.
Watu ni mtaji hiyo ni kweli
Chuma cha pua V12 petrol engine 💡
Uwe unabaki na MAVI nyumbani kwako....hahaaaaa nani kasikiaa hiyooo
tanzania wako na best president ,unacheka na watu wa kawaida hadi utani hizi. dont to fake and dopey politicians who are trying to teach you how to hate and not how to love
Eti bora ungempa mpare angekutunzia hahaaa
Piga kazi Rais wangu
Very nice
Nice
Mzee hilo Gongo vipi usije ukatuumizia raisi wetu mpaka ulinyanyue wakati unaongea
Koti la buku jero mzee umetisha
Nilikuwa naitafuta Sana hotuba hii
Ila nimemkubali sana mfugale kuna raha sana katika kuelezea kitu unachokielewa vizuri na kitaauluma zaidi.
@BabuGga-td3mg
Ай бұрын
Huyo mzee ni mtaalamu haswa. RIP kwake
Hiii kumbe ubungo nako kunajegwa hivo duhhh
@dastanfussy4898
4 жыл бұрын
Nmepita Jana. Karbu wanamalizia. Kubwa kuliko ya tazara
@salmajuma4015
4 жыл бұрын
@@dastanfussy4898 duhhh mashallah mm sipo tz mda kidogo ndo maana sijui kinacho endelea
@dastanfussy4898
4 жыл бұрын
Poapoa Dada. Pande zp huko?
Nnakubali Mze wetu
“🤩 Haya Ndiyo maendeleo ambayo Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere ali sema kwamba ‘Wa Tanzania wana yataka ndani ya CCM, na waki yakosa tu, basi wata yatafuta nje ya CCM ambavyo ni vyama vingi vya siasa”! “MWENYEZI MUNGU ibaraki Tanzania 🇹🇿, MUNGU ibaraki Afrika, Amen 🙏🏾. “Halafu 👇🏾” Kuhusu “Corona”👇🏾 “Ndivyo isivyo takiwa namna hii😡 😳” Lakini si nili waambia kwamba mipaka yote ya Tanzania 🇹🇿 ifungwe kabla hali haija kuwa mbaya, wenyeji na wageni wasi ingie wala kutoka! Na mipaka ita funguliwa pindi baada ya hali ku tengemaa lakini bado hamsikii tu mpaka kifo kime ingia hali mki shuhudia wenyewe 😳, kweli sikio la kufa hali sikikii dawa 🙄”! 😷🦠🤧🚨🤮💉💊🧪🌡🚑🚔🚨🚷❌❗️ “MWENYEZI MUNGU iponye Tanzania 🇹🇿, MUNGU iponye Afrika na Ulimwengu wote 🌍, Amen 🙏🏾😢
Mchina amenyimwa mike kwasababu ya hofu ya Covid 19
Leo mzee wangu kavaa raba
Jamaa yupo Bwiiiiiiiiii
Rais wetu mwenye Utu Upendo na kuchapakaz mda wote usiku mchana anafanyakaz ili watu wake wasiishi kw unyonge.
Jembe umeondoka umatuachia maumivu nikiona hotuba zako naumia Sana ungekuwepo Leo najua tren ya kutokea dar kwenda Moro ingekuwa imeanza kazi mwendo Kasi mbagala ingekuwa imeanza kazi tunaumia Sana tuna maumivu ya nauli zimepanda mfumko wa bei uko juu mafisadi wamerudi upya wanaitafuna nchi yaani hatuelewi
Miaka kama yoteee rais wetu