Waziri Magufuli achukua fomu kuomba Kuteuliwa Kugombea Urais kupitia CCM

Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alisaini kitabu kabla ya kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM mkoani Dodoma. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (Nec) ya Idara ya Oganizesheni, Dk. Mohamed Seif Khatibu ndiye aliyemkabidhi fomu Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli.
Safari ya chama cha mapinduzi ya kupata mgombea wa urais katika uchaguzi mkuu ujao imeendelea kushika kasi baada ya makada sita wa chama hicho kuchukua fomu hii leo tarehe 04.06.2015 na kufanya jumla ya makada 11 wa chama hicho kujitokeza ndani ya siku mbili tangu zoezi hilo lifunguliwe rasmi june tatu mwaka huu.
Miongoni mwa waliojitokeza kuchukua fomu hii leo ni pamoja na waziri mkuu mstaafu awamu ya tisa Mhe Edward Lowassa mbunge wa jimbo la Monduli ambaye amejinadi kuwa hana mpango wa kushindwa na amechoka na siasa za matusi na tuhuma na kudai kuwa hiyo sio demokrasia kwa viongozi wenye nia ya kweli ya kulikomboa taifa.
Mwingine ni aliyewahi kuwa waziri mkuu wa awamu ya nane Fredrick Sumaye ambaye amebainisha kuwa endapo atapata ridhaa ya chama hicho ya kuwania urais na kushinda atahakikisha anatokomeza kabisa tatizo sugu la rushwa kwa kuunda vyombo maalum ikiwemo mahakama ya wala rushwa huku akitumia rasilimali za asili zilizoko nchini kuinua uchumi wa watanzania.
Kada mwingine aliyejitokeza ni John Pombe Magufuli ambaye hivi sasa ni waziri wa ujenzi lakini pia amewahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini na ndani ya CCM kwa ufanisi wa hali ya juu ambaye yeye ametamba kipaumbele chake cha kwanza ni kutekeleza kwa vitendo ilani ya chama cha mapinduzi.
Makada wengine waliojitokeza ni makamu wa rais Dk Mohamed Gharib Bilal, balozi Ali Karume na mwanafunzi wa chuo kikuu cha Mzumbe Morogoro Amos Siyatenzi huku makada wengine zaidi wakitarajiwa kujitokeza katika muda ambao chama hicho kimeweka kuanzia june 3 mpaka jully 2.

Пікірлер: 144

  • @alexmakande7980
    @alexmakande79804 жыл бұрын

    imetimia miaka mitano tangu magufuli atangazae nia 05-june-2015 gonga like kama umekuja kuangalia hapa

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha20483 жыл бұрын

    Kweli njia za Mungu kwa mwanadam hazitabiriki ofisini hapo walimchukulia poa Kuna muda walikuwa hawana time nae nao wandishi walimzarau Sana mpaka wakaangua kicheko mwacheni Mungu aitwe Mungu 🙏🙏🙏

  • @tanzaniakwanza9564
    @tanzaniakwanza95647 жыл бұрын

    Yaani mpaka bahadhi ya waandishi walicheka kwa jinsi ulivyoenda peke yako bila kujua kuwa ulikuwa na Mungu, sijui kwasasa waliocheka wanajionaje kama choo, kweli Imani ni hakika ya mambo yatarajiwayo na ni bayana ya mambo yasiyoonekana Ulienda na Mungu na bila ubishi Mungu akakupitisha pasipo makundi kweli ulifaa kuwa Raisi wa Tz naomba Mwenyezi Mungu aendelee kukupa pumnzi na nguvu Amen.

  • @simonlukiko2850

    @simonlukiko2850

    7 жыл бұрын

    MWANA UMEONA EHEEEE DAH! MAGUFURI WE ACHA 2 YANI KWANZA INAONYESHA AKUTEGEMEA KABISA ATA WALIOKUWA NAE HAPO AWAONYESHI USONI ILA WALIKUA WAKIMCHEKA MOYONI KAMA MSINDIKIZAJI 2

  • @kelvinjohn6851

    @kelvinjohn6851

    6 жыл бұрын

    my presidentttttttyy....... so proud of him, live long your excellence MAGUFULI.

  • @salvationsalvatory9097

    @salvationsalvatory9097

    4 жыл бұрын

    Hahahaaaaaaaaaa kweli aiseeeee

  • @beatricehenry6776

    @beatricehenry6776

    3 жыл бұрын

    Magu wetu tutakukumbuka daima

  • @yusufuheri6524

    @yusufuheri6524

    3 жыл бұрын

    Hakika ni kwa msaada wa mungu tunayashinda ya dunia

  • @mukamambeba7966
    @mukamambeba79667 ай бұрын

    Yani nikiangalia hii crip imani yangu kwa Mungu inaongezeka 😢

  • @shylagwadebalima7572
    @shylagwadebalima75725 жыл бұрын

    Siku ya kubipu nakukataliako ilianzia hapa. mniombee kwa mwenyezi Mungu hajaisahau mpaka leo

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi82414 жыл бұрын

    utaona hawampi attention mtu wa watu..yaani haraka haraka aende..akawa anaaga jmni muniombee kwa Mweneyzi Mungu ila watu wako haya afu muitikio usiona mshiko mwishowe akaingia kwa gari kwa kuharakishwa kisha watu wakawa wanachecheka sasa sijui leo hii wanasemaje? kweli Mungu ndokabeba siri ya mtu...sie tunaangalia kwa macho tuu bila kujua. Tuhurumie Mungu wetu

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc3 жыл бұрын

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty

  • @rutebukaanthony6299
    @rutebukaanthony62993 жыл бұрын

    Dr. Magufuli was a faithful, strong and most confidential leader early. Rest in peace our Tz's Dad...!!!

  • @cheptoekbenniah4750
    @cheptoekbenniah47503 жыл бұрын

    This day was a blessing to Tanzania

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala33035 жыл бұрын

    Kweli apangalo mungu binadamu awezi kupangua Mungu alikuandaaa Wew uwe mkombozi wa nchi yetu ya Tanzania Mungu akupe afya njema mh Rais

  • @delaidelove8756
    @delaidelove87563 жыл бұрын

    R I P magufuli wangu nimelia nimelia San nilikupenda mno baba umeumaliza mwendo😪😭😭😭

  • @wilkistajacob9516
    @wilkistajacob95163 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani baba ❤️

  • @jamespallangyo2880
    @jamespallangyo28804 жыл бұрын

    Wa mwisho atakuwa wa kwanza na wa kwanza atakuwa wa mwisho,mr present alikuwa wa mwisho kuchukuwa form lakin amekuwa wa kwanza,, Atimae mungu amemwinua mnyonge kutoka mavumbini,yeye aliangalia moyo wa magufuli tokea mwanzo nikulitaja jina la yesu,, mungu akutunze

  • @petersynto8634
    @petersynto86344 жыл бұрын

    Mungu atabaki kuwa Mungu yaani nikiangalia hapa napata maswali mengi sana ambayo majibu yake ni Mungu ndio anayejua mwanzo na mwisho wa maisha yetu wanadam

  • @brightluvanda2795
    @brightluvanda27953 жыл бұрын

    Wote marehemu jamani,!,,ni khatibu na magufuli,,,MUNGU awarehemu!"amen.

  • @homeboybeyondtheborders4935

    @homeboybeyondtheborders4935

    Жыл бұрын

    Khatibu nae amefariki,mungu awarehemu

  • @kallamudaily73
    @kallamudaily737 жыл бұрын

    Sijui niseme nini, lkn nadhani huyu ni Rais na tangu mwanzo alikuwa naimani kuwa Mungu ndio muweza wayote na ndio maana muujiza ukatokea na kamati kuu ikamteuwa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya ccm. Mungu ampe maisha mrefu yenye hekma busara utii na uadilifu ili ameze kutuongoza watanzania bila kujali itikadi zetu

  • @jimwageonline6760
    @jimwageonline67604 жыл бұрын

    Jembe langu sikufanya makosa kwa kura yangu

  • @julianamasunga4147
    @julianamasunga41476 жыл бұрын

    mzee wamakinia asante kwa uongozi uliotukuka.... 😍

  • @peteryohana7710
    @peteryohana77107 жыл бұрын

    Mungu akupe maisha marefu

  • @victormhagama8004
    @victormhagama80044 жыл бұрын

    Safari yenye Mungu mwanadamu huwezi kuibadili Hongera sana JPM mwanamapinduzi halisi

  • @edwinzakaria1284
    @edwinzakaria12845 жыл бұрын

    Walipanga michongo ila hawakuamini macho yao hakika mungu yupo!

  • @boniphacelusato
    @boniphacelusato Жыл бұрын

    Kifo cha Magufuli kiliacha kovu kwenye moyo wangu. Nilimpenda kupitiliza.

  • @salehabadsalehpur796
    @salehabadsalehpur7965 жыл бұрын

    Jamani huyu dereva wake tangu alipokuwa Waziri yupo wapi? Muheshimiwa usimtupe umetoka nae mbali.

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri65243 жыл бұрын

    Hakika inauma hakika hakuna mfano. Eh moyo wangu tulia usilie kwani ndivyo dunia ilivyo

  • @rosekweka9544
    @rosekweka95444 жыл бұрын

    Na mungu alisikia akakupa nafasi hiyo ili utuokoe baba piga kazi

  • @onesmoakwilini6254
    @onesmoakwilini62544 жыл бұрын

    SAFARI ILIANZIA HAPA..

  • @ulrickmsemwa1692
    @ulrickmsemwa16926 жыл бұрын

    kiongozi anaonekana tu kwa kutembea kwake,vaa yake,ongea yake, unajua kuwa huyu ndiye mteule wa mungu.

  • @mwamengele
    @mwamengele4 жыл бұрын

    History was secretly in the making on this very day and moment

  • @condegsubscribes7911
    @condegsubscribes79116 жыл бұрын

    jamani tuishi kwa kuwaiga waliotangulia huyu baba hakuna ambaye angeamini kama angepita kwani alijiona wa kawaida mnoo ila tu kichwani alimbeba mungu naye akamjibu mungu azidi kukupa afya na hekma kweli tutakupenda daima

  • @gizakazeno1688

    @gizakazeno1688

    4 жыл бұрын

    Sure

  • @andulilemwakihabha2048

    @andulilemwakihabha2048

    3 жыл бұрын

    @@gizakazeno1688 kweli kabisa

  • @rutebukaanthony6299

    @rutebukaanthony6299

    3 жыл бұрын

    Exactly

  • @nitumesokoni3164
    @nitumesokoni31643 жыл бұрын

    Daah udongo unameza sana. Leo hii hawa wawili wote hatunao. Mpumzike kwa amani wazee wetu

  • @eliyahango3737
    @eliyahango37374 жыл бұрын

    Mipango ya Mungu ya ajabu sana

  • @nabakitz83
    @nabakitz838 жыл бұрын

    Who is like MAGUFULI!

  • @anuaryally6177

    @anuaryally6177

    5 жыл бұрын

    Ni jembeeee

  • @jeanmubemba1204

    @jeanmubemba1204

    5 жыл бұрын

    HONESTLY NO ONE, WE MUST GIVE CREDIT WHERE IT IS,

  • @55goodmen

    @55goodmen

    4 жыл бұрын

    Magufuli a napita tu... Hakuna mtu anaweza kukingana na HEKIMA zako... 99% winner again

  • @zrazanzibarrespectiveacade9056

    @zrazanzibarrespectiveacade9056

    4 жыл бұрын

    No one like him

  • @josephsaghana1056
    @josephsaghana10564 жыл бұрын

    Mzee hakutaka wapambe nao wanaimba wimbo mmoja maendeleo safi sana.

  • @kalolokisweswe195
    @kalolokisweswe1959 жыл бұрын

    huyu mh ndiye anafaa

  • @ericstephenm.844

    @ericstephenm.844

    5 жыл бұрын

    Hatimaye amefaa. Uliona vema.

  • @J4UPro

    @J4UPro

    4 жыл бұрын

    Ulitabiri vyema

  • @franshyera8970

    @franshyera8970

    4 жыл бұрын

    Kaka hongera ulitabili vema God bless u

  • @andulilemwakihabha2048

    @andulilemwakihabha2048

    3 жыл бұрын

    👏👏👏

  • @delinadoublea4679
    @delinadoublea46794 жыл бұрын

    Nakupenda sana rais wangu mwenyezi mungu akupe umri mrefu na hekima teleee

  • @delinadoublea4679

    @delinadoublea4679

    4 жыл бұрын

    Nampenda,huyu baba yan mungu ashindwi chochote

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria70524 жыл бұрын

    Mwisho alivyoondoka kasindikizwa na vicheko vya kejeli na hao waliocheka ndo wanaomlamba miguu asaiv kwa kumuimbia mapambio ya kumsifu..Bora mi nliempigia kura baada ya Bwana yule kuja kutuvurugia ukawa

  • @EmmanuelLupoja
    @EmmanuelLupojaАй бұрын

    Mungu wangu hatujui mbele kuna nn tusaidie

  • @wisdomuta1039
    @wisdomuta10394 жыл бұрын

    Pombe Magufuli Joseph (Dr.)

  • @ommimg2467
    @ommimg24673 жыл бұрын

    Miongoni mwa watu nimeshindwa kabisa kuwasahu huyu nae yupo😭. watz ni waoga kuhoji juu ya kifo cha huyu mkuu ila Mungu hana mipaka atafanya na Kuna kizaz kipo kitakachosimama kufichua Siri zote✊

  • @mahmoodalghefeili5370

    @mahmoodalghefeili5370

    Жыл бұрын

    Kwakweli

  • @thomaselibarick8058
    @thomaselibarick80584 жыл бұрын

    mungu alituandalia jembe

  • @MiwagoTz
    @MiwagoTz4 жыл бұрын

    Daima Mungu mbele Tanzania tutafikia malengo

  • @shaabannyuge6857
    @shaabannyuge68575 жыл бұрын

    Kweli alipangalo mola mja hawez pangua Dah!!

  • @mossyfimbo3577

    @mossyfimbo3577

    5 жыл бұрын

    Wanafurahi au wanamcheka

  • @marcomuhoja5981
    @marcomuhoja59814 жыл бұрын

    Ndiyo bg na nchi uliipata na umewanyoosha mpaka wamekuwa wadogo Kama piliton Mara ya Kwanza c walikuona simple

  • @davidamos9048
    @davidamos90484 жыл бұрын

    Never give up

  • @manyweletheboss6053
    @manyweletheboss60537 жыл бұрын

    mshua peni iligoma ikataka ya chamaaaaaa ongeraaaa

  • @danielwapenanke4354
    @danielwapenanke43545 жыл бұрын

    Hv alikuwa peke yake mungu akupe ujasili kuiongoza nchi hii

  • @akhousesolutionsltd9433
    @akhousesolutionsltd94338 жыл бұрын

    ccm naipenda

  • @zuwenapeter218
    @zuwenapeter2189 жыл бұрын

    god bless our country's

  • @danielmathias160
    @danielmathias1603 жыл бұрын

    RIP MR Magufuli

  • @emanuelgaddafi7651
    @emanuelgaddafi76515 жыл бұрын

    My president I proud of u

  • @kigomampyatv9209
    @kigomampyatv92094 жыл бұрын

    Form .. Safari

  • @yussuphmartini1796
    @yussuphmartini17963 жыл бұрын

    RIP MY HERO💥😭

  • @hassanmfaume4522
    @hassanmfaume4522 Жыл бұрын

    Huyu jamaa alikuwa muoga sana maana hata kiti alikuwa anakikataa ah aha pia pen nayo alikataa khatari

  • @fadhilamaleva691
    @fadhilamaleva6915 жыл бұрын

    magufuli anajiamini sana ivi nan aliedhani agepita kwenye kula za maoni mungu ana maksud yak

  • @peterphilimonkamzola6244
    @peterphilimonkamzola62444 жыл бұрын

    Mungu ni mwema

  • @dynamicplatform2102
    @dynamicplatform21025 ай бұрын

    Kuna wasenge mwisho walimcheka sanaaa

  • @alfredjustinian9753
    @alfredjustinian97533 жыл бұрын

    Daah nmekumbuka mbali saana

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes11313 ай бұрын

    Mwenye kuitazama tena 2024😢

  • @dintazdintaz7311
    @dintazdintaz73114 жыл бұрын

    Kumbe mr.pombe yupo kama mr.lugola ni mwendo wa kutembea na katba ya ccm

  • @innocentmakundi2690
    @innocentmakundi26904 жыл бұрын

    Naona Upo na wazehe kidogo hapo

  • @dr.arthurnkalango3540
    @dr.arthurnkalango35404 жыл бұрын

    JPM is very humble! Tujifunze kwake

  • @jackisonijackisoni6715
    @jackisonijackisoni67155 жыл бұрын

    Anajiamini Kinoma

  • @mgongolwajoseph6901
    @mgongolwajoseph690121 күн бұрын

    Mzee tutakukumbuka milele

  • @mukamambeba7966
    @mukamambeba79667 ай бұрын

    Jamani Mungu huyu ..

  • @user-ys3gt8lp5h
    @user-ys3gt8lp5h3 ай бұрын

    2024 who still watching

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub99854 жыл бұрын

    Very humble

  • @janjawild2241

    @janjawild2241

    4 жыл бұрын

    Wewe ndie Rais wangu miaka yote akika amtegemeae Mungu angushwi baraka ziwe kwako Rais wng Jonh Pombe Makufuri

  • @titonkwabi7430
    @titonkwabi7430 Жыл бұрын

    Ni mara chache sana kumpata Rais mwadilifu,mcha Mungu,mtetezi wa wanyonge na mchapa kazi kama JPM.Katuachia kitu cha kujifunza watanzania,kuwa urais siyo fimbo ya kuumizia wananchi.Tutake tusitake wengi tutamkumbuka daima,ila wezi na wafujaji wa mali za uma watamchukia daima.

  • @yusufhussein6990
    @yusufhussein69908 жыл бұрын

    final he did it

  • @kileohemed4417

    @kileohemed4417

    6 жыл бұрын

    Yusuf Hussein Yeees he did it

  • @kileohemed4417

    @kileohemed4417

    6 жыл бұрын

    ✌ yeees he did it 😀

  • @bakarihermund7449
    @bakarihermund74494 жыл бұрын

    Mpka nimeona huruma aisee ...peke yake Nadhan kuna la kujifunza hapa

  • @emmanuelpaschalselya9587

    @emmanuelpaschalselya9587

    4 жыл бұрын

    inaumiza

  • @zuwenapeter218
    @zuwenapeter2189 жыл бұрын

    god bless our country

  • @mahirwilliam5109
    @mahirwilliam51094 жыл бұрын

    Chuma kikichukua fomu

  • @dyzoomgonja9892
    @dyzoomgonja98924 жыл бұрын

    Kumbe tulianzia hapa

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Жыл бұрын

    Lalala Magu umelala Tanzania tuna kuliliyaaaaa Ebu funguwa machoooooooo Utuone babaaaaaa Song by Peter Msechu

  • @gideonkalumbu5220
    @gideonkalumbu52204 жыл бұрын

    Ni mwaka ambao, kamwe,sitosahau.

  • @jumbekassim8958
    @jumbekassim89584 жыл бұрын

    Baadhi ya watu walikua wakimcheka at ni nani ?? Ni pombe magufuli kwekwekwe.

  • @allyshafi4391
    @allyshafi4391 Жыл бұрын

    Dah kwakweli Dunia kweli haimtaki mtu ila sie ndo tunaitaka Dunia, wote wawli now ni marehemu mh Moh'd Seifu khatibu pamoja na Dr John Magufuli Mungu awasamehe makosa yao wapumzike kwa Amani waliko

  • @mussaulaya3926
    @mussaulaya39263 жыл бұрын

    Hakuna anaeijua kesho yake

  • @theophilojohn7331
    @theophilojohn7331 Жыл бұрын

    Kilakitu kinamwanzo wa safariyake na mwishowake jaman

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima72952 жыл бұрын

    Dah! Dunia tunapita,,,,wote ni marehemu

  • @zozohmeed5546
    @zozohmeed55464 жыл бұрын

    Mzee baba tuko nyuma yako tunakuombea

  • @dorcasrenatus9960
    @dorcasrenatus99603 жыл бұрын

    😭😭😭😭

  • @barackramathan4871
    @barackramathan48714 жыл бұрын

    dume la kisukuma we ndo rais tz

  • @husseinntarugera3930
    @husseinntarugera39302 жыл бұрын

    Dah Leo hatupo nae tena

  • @danieldonati5972
    @danieldonati59728 жыл бұрын

    Alikuwa mnyenyekevu tangu hapo

  • @halidkuchile4132

    @halidkuchile4132

    5 жыл бұрын

    ddd

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni75165 жыл бұрын

    Vema sn

  • @jeshilamtu863
    @jeshilamtu8634 жыл бұрын

    Rais anaonekanaga tuu

  • @felicianmabepe3958
    @felicianmabepe39583 жыл бұрын

    kama nasikia vicheko vya kejeli hapo mwishoni,, kweli usilolijua ni kama usiku wa giza

  • @jedidahbintidaudi8241

    @jedidahbintidaudi8241

    3 жыл бұрын

    umeonaee yaani jmni watu mmmh kweli Mungu tuu Ajuae kesho ya mtu..Mungu Alitulia na Akamuinua mtumishi wake..sasa sijui hao waliochecka kwa kejeli walisemaje baada ya huyu mtu kuwa President..au?

  • @jacoblaiser7634
    @jacoblaiser76344 жыл бұрын

    Natamani na ningeweza itokee hivi kuwa HAKUTAKUWA na mgombea mwingine wa nafasi ya Uraisi atakayechukuwa fomu ya kugombea 2020 hadi 2025 isipokuwa JPM mwenyewe kwani ANATOSHA. Tumlipe nini kwa haya aliyotufanyia WATANZANIA ???? Malipo ni haya, wana CCM tusimpinge. Aachwe asimame mwenyewe.

  • @faustinekulwa2596
    @faustinekulwa2596 Жыл бұрын

    Jamani baba yetu rudi basi tumekumisss

  • @zachariangocho4287
    @zachariangocho42879 жыл бұрын

    Makubwa

  • @teulechristopher1845
    @teulechristopher1845 Жыл бұрын

    Huyu jamaaa aliweka kitu hawez kasaulika

  • @smolletmwakamele4275
    @smolletmwakamele42753 жыл бұрын

    Inaonekana walimchekaa kwaa zarauuuu sanàaa

  • @luchanoarkanjelo4115
    @luchanoarkanjelo4115 Жыл бұрын

    Baba John maguful rest in peace

  • @okate98
    @okate989 жыл бұрын

    Mimi nimeona ni Kitabu cha wageni (au watia Nia ya Urais) kwa hiyo hakuna ubaya

  • @tanzaniakwanza9564

    @tanzaniakwanza9564

    7 жыл бұрын

    kwa sasa wajisikiaje baada ya kuona kashinda na hakwenda kama mgeni ?? mbona huja delete comment yako??

  • @johnsimon4931

    @johnsimon4931

    7 жыл бұрын

    Sonjohn W. Joram hahaaaaaa

  • @tresorbyamugu5934
    @tresorbyamugu59349 жыл бұрын

    Mwenye uweza ni mungu pekee .atusaidie .ONA ribya ,misiri, kongo,naijeria, somalia ,burundi nk .wenye pesa watapaa .msikini sijui?olewao wenye mimba na wanyonyeshao .siasa tuachie wana siasa .

  • @johnkirambata9003
    @johnkirambata90035 жыл бұрын

    ivi huyu jamaa aliyekuwa anamcheka Magu hapo pembeni yupo kweli kwenye uongozi mpaka sasa

  • @primecaptain8628

    @primecaptain8628

    5 жыл бұрын

    Natamani nimjue nikamuulize alipata nini.

  • @emmanuelpaschalselya9587

    @emmanuelpaschalselya9587

    4 жыл бұрын

    sidhani

  • @husseinntarugera3930
    @husseinntarugera39302 жыл бұрын

    Kwel rais magufuri aliamumin sana muumba

  • @kassimulugajo6512
    @kassimulugajo65124 жыл бұрын

    tumechoka kuisoma namba mzee tusamehe si makosa yetu kukuchagua

  • @man.lule.585

    @man.lule.585

    4 жыл бұрын

    Kassimu Lugajo Acha umbea Man, we ulichagua mafuriko ya Ukawa ndo laana zinakutesa mpka 2020. Na ikifika uchaguzi wa 2020 ukakosea tena utapagawa na utakuwa chizi.

  • @J4UPro

    @J4UPro

    4 жыл бұрын

    Kassimu Lugajo Acha uongo, fanya kazi mwanaume kulialia ni dhambi.

  • @kassimulugajo6512

    @kassimulugajo6512

    4 жыл бұрын

    ila uzuri wa bahati kama ni namba tunaisoma wote

  • @ajuxman9382
    @ajuxman93826 жыл бұрын

    Hapo mkimya hajaanza jeuri zake kuonesha makucha yake

  • @fredyhatari2572
    @fredyhatari25726 жыл бұрын

    Wakati wa kuchukua fomu za kugombea urais Magufuli alimpongeza rais Kikwete kwa kutekeleza ilani uavuchaguzi kwa umakini Mkubwa, lakini leo anamkosoa, ccm kuna unafiki ulioshiba.

Келесі