Makala ya siku tano za kwanza kwa Rais Dkt John Pombe Magufuli Ikulu

Makala ya siku tano za kwanza kwa Rais Dkt John Pombe Magufuli Ikulu

Пікірлер: 12

  • @alisenipeter4307
    @alisenipeter43073 жыл бұрын

    Hua sipendi kuangalia makala za baba yangu raisi wangu Mungu akulehemu na akupe pumziko la milele na mwanga Wa milele ukuangazie

  • @ramahzedon6688
    @ramahzedon66885 жыл бұрын

    Habadiliki since day 1

  • @albertlwesya8361
    @albertlwesya83613 жыл бұрын

    Leo siku kuzikwa kwake Rais wa awamu ya tano. 26/03/2021 Mungu atusaidie

  • @johnmathenge3406

    @johnmathenge3406

    3 жыл бұрын

    Poleni sana ndungu zetu WaTanzania lakini Mungu amewapa Mama Samia Suluhu Hassan na mimi najua atawaongoza vizuri juu yeye ametosha.

  • @wanderaothumani4919
    @wanderaothumani49194 жыл бұрын

    Aisee huyu baba mungu amlinde dah hajawahi kubadilika

  • @exaverymakoye6026
    @exaverymakoye60262 жыл бұрын

    Twende mbele tuludi nyuma huyu jamaa alikua ni wakipekee

  • @mcgb5725

    @mcgb5725

    2 жыл бұрын

    Umesema vyema kiongozi huko uliko Mungu akubariki.

  • @philbertluhunga5932
    @philbertluhunga59322 ай бұрын

    Jamani Magufuli hutasahaulika

  • @neljack4227
    @neljack42273 жыл бұрын

    REST IN PEACE BABA

  • @winfredbespoke8440
    @winfredbespoke84405 жыл бұрын

    Wembe uleule

  • @pastorrusagarajosephsolo8692
    @pastorrusagarajosephsolo86922 жыл бұрын

    VIZURI HAVIDUMU KWA KWELI. PUMZIKA KWA AMANI JPM HUKUWA MWANASIASA, ULIKUWA KIONGOZI

Келесі