OSCAR NYERERE ALIVYOMVUNJA MBAVU WAZIRI MKUU ARUSHA HADI AKAMTUNZA
Mchekeshaji Oscar Nyerere leo amepata nafasi yakuonyesha ujuzi wake wakuigiza sauti ya Hayati Mwalimu Nyerere mbele ya waziri mkuu Kassim Majaliwa wakati wakufungua maonyesho ya wafanyabiashara
Пікірлер: 80
Sauti ni kama hayati Mwalimu Nyerere kabisa amempatia vizuri sana.
Wabongo wive utatumaliza Safi San oscr umepatiaa san
Oscar Nyerere unajua sana! Hongera sana
You have a very good and professional work. Keep on giving us better services
Aisee watu wanaumiza vichwa hiki kipaji sio mchezo aisee.
@alexyohana4708
3 жыл бұрын
n shuda
This is direct from God, sio talent ya kawaida aisee, nimefurahi
Safi sana Oscar Nyerere, amepatia kuvaa kaunda suit kati ya nguo special alizoipenda baba wa Taifa. Anatembeaa kama Nyerere kabisa, pia katika kutoa speech anaongea kama Nyerere katika mambo ya muhimu kwa njia ya comedy ila ujumbe unafika kwa watanzania maana sisi hatupendi vitu vigumu vigumu.
Hahahaha leo ilikuwa sku nzuri sanaa
Huyu kawazidi wote wanaomuigiza Nyerere
Jamaaa huyu anajua zaidi
Duuuuh yan nyerere mtupu hata mwili anajua sana 🇹🇿👌
Oscar nakukubali sana sina shida na ww
Dah umetisha Sana
Tanzania vipaji telee.. mara tu nimetoka kumuona aigizae sauti Kama mtoto 🗻🇹🇿.
Huyu jamaaa ana kipaji cha Ukweli kabsa
Kidogo unaanza kuipatia sauti yake 😂😂😂
Nimeirudia mala mbilimbili zaidi Nahisi mzee Nyerere kerudi Tena huyu Kijana na Baraka Magufuli wapewa Vipindi maalumu kwenye Terevision ya Taifa WAWEZE kuwa wanahutubia kumbukumbu za mahayati Hawa
@eliyaamowaawusafisana237
2 жыл бұрын
Uko vizuri sana
@eliyaamowaawusafisana237
2 жыл бұрын
Hongoraaa!!
@mzalendoentartainment32
2 жыл бұрын
Umeongea jambo la point San an
Hongera sana kaka, umeipatia sauti yake, kifimbo had muonekano wake
Hongera Sana kaka unajuwa Sana kumbe tz tuna azina zakutosha
Asante sana kwaku chekesha
Daaah! Safi sana aisee👏👏👏
Tanzania raha Sana amani Ni tunu kwetu tuilinde milele
unaanza kumfunika Jk comedian
Just keep on going
Wazir mkuu namkubali sanaaa
Ni kipaji maridhawa..
@gracemairusya2950
3 жыл бұрын
true
Alhamdulillah Upo vizur ndg
Jamaa yuko vizuri sana nimeipenda kazi yake. Yule jamaa Magufuli muigizaji yuko wapi?
@rossemaryeliya6113
2 жыл бұрын
Yupo, nae anazidi kuchapa kazi
Kongolee kwako brza,unakipaji
Good job
Umetisha Mwamba
Tuna waziri mkuu jembe majaliwa piga kazi bro
Safi sana
Keep it up
Daaah! asee kidogo niseme ni Mwalimu
Huyu kwa upande wangu naona amepatia sauti ya nyerere kuliko stive nyerere,
@hijaramadhani3221
2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
Good
Hiv niulzee, huyu Oscar nyerer ana hata undugu na hayajmt nyerer au ipoj an, maan daah Kam yey an
Wewe ni balaaa 😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
Faida ya kuzaa hadi raha
Hatar sana
Achana na kina steve nyerere huyu jamaa ndo kawezaa
Yuko Vizuri sana
@petromwakalukwa3455
3 жыл бұрын
Hongera kaka uko vzr ongeza juhudi bado kidogo sana yaani pozi zake anapoongea
Kizazi sana, jamaa anawez
Masanja akasome😂😂😂
@kakawamashariki8978
3 жыл бұрын
Kabisa
jamaa ana kipaji sana
Like father like son
kapatia mnoooo
Baraka magufuli anapita wapi
Ninacho jua huyu jamaa anawakumbusha viongozi tu
Dunia Kuna watu wanavipaji dah!
Duuh uyu jamaa noma xana anaiga hadi tembea yake
Duniani ni inchi pekee ambayo viongozi wake ukiwasifia tu utapata cheo ata ukisifia ujinga
Jamani niyeye😂😂😂😂🤣
Steve agusi
Saut km hayati nyerere
Jk comedian ndo anajua vzr
@jumabakari1468
3 жыл бұрын
Inaonekana mvivu wakufuatiria hutuba za Nyerere ndomana unasema Jk ndo anajua ila Jk kwa huyu jamaa atasubili Sana aisee
@RioIpo
2 жыл бұрын
Aah huyu jamaa mkali
Yuko fizuri kaka
Mule mule
Kiukweli kwa sauti bado sana bora steve nyerere
Huyu kwa wote waliowahi kumuigiza Nyerere ndio anawaongoza..punguza hiyo nataka "wajue hivyo waelewe watambue hivyo" zinakuwa nyingi
Hamna kitu hapo
@rashdiyange7758
3 жыл бұрын
Ongea ww sasa eti mna kitu zeeee zima ovyooooo
@veronikadalali7251
3 жыл бұрын
Katombwe yeye hanakitu
@makollonkunujr1198
3 жыл бұрын
@@rashdiyange7758 😂😂😂😂
@mzeewavibedr.4032
3 жыл бұрын
Uchawi kweli upo😂
@highvoltages4169
3 жыл бұрын
*Wivu utakumaliza*