OSCAR NYERERE ALIVYOMVUNJA MBAVU WAZIRI MKUU ARUSHA HADI AKAMTUNZA

Mchekeshaji Oscar Nyerere leo amepata nafasi yakuonyesha ujuzi wake wakuigiza sauti ya Hayati Mwalimu Nyerere mbele ya waziri mkuu Kassim Majaliwa wakati wakufungua maonyesho ya wafanyabiashara

Пікірлер: 80

  • @mwidinijuma8214
    @mwidinijuma82143 жыл бұрын

    Sauti ni kama hayati Mwalimu Nyerere kabisa amempatia vizuri sana.

  • @shukranitv2971
    @shukranitv29713 жыл бұрын

    Wabongo wive utatumaliza Safi San oscr umepatiaa san

  • @jacoblukumay472
    @jacoblukumay4723 жыл бұрын

    Oscar Nyerere unajua sana! Hongera sana

  • @drTarimo
    @drTarimo3 жыл бұрын

    You have a very good and professional work. Keep on giving us better services

  • @mchiwamsisi5667
    @mchiwamsisi56673 жыл бұрын

    Aisee watu wanaumiza vichwa hiki kipaji sio mchezo aisee.

  • @alexyohana4708

    @alexyohana4708

    3 жыл бұрын

    n shuda

  • @shammhagama2527
    @shammhagama25272 жыл бұрын

    This is direct from God, sio talent ya kawaida aisee, nimefurahi

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema3 жыл бұрын

    Safi sana Oscar Nyerere, amepatia kuvaa kaunda suit kati ya nguo special alizoipenda baba wa Taifa. Anatembeaa kama Nyerere kabisa, pia katika kutoa speech anaongea kama Nyerere katika mambo ya muhimu kwa njia ya comedy ila ujumbe unafika kwa watanzania maana sisi hatupendi vitu vigumu vigumu.

  • @joshuaisrael6728
    @joshuaisrael67283 жыл бұрын

    Hahahaha leo ilikuwa sku nzuri sanaa

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu20833 жыл бұрын

    Huyu kawazidi wote wanaomuigiza Nyerere

  • @opqsweetbert9598
    @opqsweetbert95983 жыл бұрын

    Jamaaa huyu anajua zaidi

  • @davidchesco52
    @davidchesco523 жыл бұрын

    Duuuuh yan nyerere mtupu hata mwili anajua sana 🇹🇿👌

  • @chrissmtewa3744
    @chrissmtewa37442 жыл бұрын

    Oscar nakukubali sana sina shida na ww

  • @dennislukumay9261
    @dennislukumay92613 жыл бұрын

    Dah umetisha Sana

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki89783 жыл бұрын

    Tanzania vipaji telee.. mara tu nimetoka kumuona aigizae sauti Kama mtoto 🗻🇹🇿.

  • @damsonwillison435
    @damsonwillison4353 жыл бұрын

    Huyu jamaaa ana kipaji cha Ukweli kabsa

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno84403 жыл бұрын

    Kidogo unaanza kuipatia sauti yake 😂😂😂

  • @erad-tv5001
    @erad-tv50012 жыл бұрын

    Nimeirudia mala mbilimbili zaidi Nahisi mzee Nyerere kerudi Tena huyu Kijana na Baraka Magufuli wapewa Vipindi maalumu kwenye Terevision ya Taifa WAWEZE kuwa wanahutubia kumbukumbu za mahayati Hawa

  • @eliyaamowaawusafisana237

    @eliyaamowaawusafisana237

    2 жыл бұрын

    Uko vizuri sana

  • @eliyaamowaawusafisana237

    @eliyaamowaawusafisana237

    2 жыл бұрын

    Hongoraaa!!

  • @mzalendoentartainment32

    @mzalendoentartainment32

    2 жыл бұрын

    Umeongea jambo la point San an

  • @winfredbespoke8440
    @winfredbespoke84403 жыл бұрын

    Hongera sana kaka, umeipatia sauti yake, kifimbo had muonekano wake

  • @bakarirajabu3783
    @bakarirajabu37833 жыл бұрын

    Hongera Sana kaka unajuwa Sana kumbe tz tuna azina zakutosha

  • @user-wj3fe2dd8c
    @user-wj3fe2dd8c4 ай бұрын

    Asante sana kwaku chekesha

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata42303 жыл бұрын

    Daaah! Safi sana aisee👏👏👏

  • @zaidihussein4311
    @zaidihussein43112 жыл бұрын

    Tanzania raha Sana amani Ni tunu kwetu tuilinde milele

  • @markosikudhani799
    @markosikudhani7993 жыл бұрын

    unaanza kumfunika Jk comedian

  • @user-fq9pc1vt1e
    @user-fq9pc1vt1e4 ай бұрын

    Just keep on going

  • @iddymustapha489
    @iddymustapha4892 жыл бұрын

    Wazir mkuu namkubali sanaaa

  • @is-haqkippaya3336
    @is-haqkippaya33363 жыл бұрын

    Ni kipaji maridhawa..

  • @gracemairusya2950

    @gracemairusya2950

    3 жыл бұрын

    true

  • @amranikigolo5974
    @amranikigolo59742 жыл бұрын

    Alhamdulillah Upo vizur ndg

  • @salumugidion
    @salumugidion3 жыл бұрын

    Jamaa yuko vizuri sana nimeipenda kazi yake. Yule jamaa Magufuli muigizaji yuko wapi?

  • @rossemaryeliya6113

    @rossemaryeliya6113

    2 жыл бұрын

    Yupo, nae anazidi kuchapa kazi

  • @mbarakahussein9107
    @mbarakahussein91073 жыл бұрын

    Kongolee kwako brza,unakipaji

  • @user-fe8zh1yf4u
    @user-fe8zh1yf4u5 ай бұрын

    Good job

  • @bmajesky63
    @bmajesky632 жыл бұрын

    Umetisha Mwamba

  • @zaidihussein4311
    @zaidihussein43112 жыл бұрын

    Tuna waziri mkuu jembe majaliwa piga kazi bro

  • @neemajulius1256
    @neemajulius12563 жыл бұрын

    Safi sana

  • @kidulajohn1855
    @kidulajohn18552 жыл бұрын

    Keep it up

  • @filbertrobert1742
    @filbertrobert17422 жыл бұрын

    Daaah! asee kidogo niseme ni Mwalimu

  • @shebbybongo567
    @shebbybongo5673 жыл бұрын

    Huyu kwa upande wangu naona amepatia sauti ya nyerere kuliko stive nyerere,

  • @hijaramadhani3221

    @hijaramadhani3221

    2 жыл бұрын

    Ni kweli kabisa

  • @mdentertainmenttz124
    @mdentertainmenttz1243 жыл бұрын

    Good

  • @mzalendoentartainment32
    @mzalendoentartainment322 жыл бұрын

    Hiv niulzee, huyu Oscar nyerer ana hata undugu na hayajmt nyerer au ipoj an, maan daah Kam yey an

  • @user-kl2pq4oq1q
    @user-kl2pq4oq1q5 ай бұрын

    Wewe ni balaaa 😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @MBATINOFILMS
    @MBATINOFILMS2 жыл бұрын

    Faida ya kuzaa hadi raha

  • @medlucas5686
    @medlucas56863 жыл бұрын

    Hatar sana

  • @wilbroadgrarcian1259
    @wilbroadgrarcian12593 жыл бұрын

    Achana na kina steve nyerere huyu jamaa ndo kawezaa

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani95223 жыл бұрын

    Yuko Vizuri sana

  • @petromwakalukwa3455

    @petromwakalukwa3455

    3 жыл бұрын

    Hongera kaka uko vzr ongeza juhudi bado kidogo sana yaani pozi zake anapoongea

  • @kulwacharles5795
    @kulwacharles57953 жыл бұрын

    Kizazi sana, jamaa anawez

  • @yusufrajabu8425
    @yusufrajabu84253 жыл бұрын

    Masanja akasome😂😂😂

  • @kakawamashariki8978

    @kakawamashariki8978

    3 жыл бұрын

    Kabisa

  • @Ambagaye
    @Ambagaye2 жыл бұрын

    jamaa ana kipaji sana

  • @frankmakubi5325
    @frankmakubi53253 жыл бұрын

    Like father like son

  • @jifunzekuhusuwewe7475
    @jifunzekuhusuwewe74753 жыл бұрын

    kapatia mnoooo

  • @emilyibraimo5032
    @emilyibraimo50323 жыл бұрын

    Baraka magufuli anapita wapi

  • @muyamndiga6683
    @muyamndiga66832 жыл бұрын

    Ninacho jua huyu jamaa anawakumbusha viongozi tu

  • @amosmahona433
    @amosmahona4333 жыл бұрын

    Dunia Kuna watu wanavipaji dah!

  • @bebebebe5677
    @bebebebe56773 жыл бұрын

    Duuh uyu jamaa noma xana anaiga hadi tembea yake

  • @abdallahyasin6829
    @abdallahyasin68293 жыл бұрын

    Duniani ni inchi pekee ambayo viongozi wake ukiwasifia tu utapata cheo ata ukisifia ujinga

  • @kacherosimba5762
    @kacherosimba57622 жыл бұрын

    Jamani niyeye😂😂😂😂🤣

  • @tumainimugini4891
    @tumainimugini48913 жыл бұрын

    Steve agusi

  • @queenjayztz8615
    @queenjayztz86152 жыл бұрын

    Saut km hayati nyerere

  • @bundaboytz2101
    @bundaboytz21013 жыл бұрын

    Jk comedian ndo anajua vzr

  • @jumabakari1468

    @jumabakari1468

    3 жыл бұрын

    Inaonekana mvivu wakufuatiria hutuba za Nyerere ndomana unasema Jk ndo anajua ila Jk kwa huyu jamaa atasubili Sana aisee

  • @RioIpo

    @RioIpo

    2 жыл бұрын

    Aah huyu jamaa mkali

  • @muyamndiga6683
    @muyamndiga66832 жыл бұрын

    Yuko fizuri kaka

  • @unclegmihale455
    @unclegmihale4553 жыл бұрын

    Mule mule

  • @nassorsaid2331
    @nassorsaid23313 жыл бұрын

    Kiukweli kwa sauti bado sana bora steve nyerere

  • @papafikiri
    @papafikiri3 жыл бұрын

    Huyu kwa wote waliowahi kumuigiza Nyerere ndio anawaongoza..punguza hiyo nataka "wajue hivyo waelewe watambue hivyo" zinakuwa nyingi

  • @seifmohamed836
    @seifmohamed8363 жыл бұрын

    Hamna kitu hapo

  • @rashdiyange7758

    @rashdiyange7758

    3 жыл бұрын

    Ongea ww sasa eti mna kitu zeeee zima ovyooooo

  • @veronikadalali7251

    @veronikadalali7251

    3 жыл бұрын

    Katombwe yeye hanakitu

  • @makollonkunujr1198

    @makollonkunujr1198

    3 жыл бұрын

    @@rashdiyange7758 😂😂😂😂

  • @mzeewavibedr.4032

    @mzeewavibedr.4032

    3 жыл бұрын

    Uchawi kweli upo😂

  • @highvoltages4169

    @highvoltages4169

    3 жыл бұрын

    *Wivu utakumaliza*

Келесі