ONA UZURI WA MELI MPYA NA KUBWA KWA PEMBA NA UNGUJA, DKT MWINYI AMEIZINDUA
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Пікірлер: 96
Jamani abiriya wainaingia alfu 1,256 mmesema msije mkapandisha abiriya alfu 10 mkauwa abiriya kama miaka ilopita. Inachukuwa mizigo 350 tons msije mkatiya alfu 40,000 mpaka meli ikazama. TUNAKUKUMBUSHENI TUU TUNAJUWA HAMNA NIDHAMU YA KUTOSHA. MUNGU IBARIKI ZANZIBAR NA WATU WAKE. AMIN. ASANTENI KWA MELI MUNGU AKUBARIKINI KWA IMANI YENU...
Allah aijaalie iwe meli ya kheri na barka
Mashallah mashallah Safi sana yajayo yanafurahisha Ombi hio meli isiwe moja ziwe nyingi maana pemba mashallah wanasafiri sana na wanajazana sana kwenye meli kwahio inakuwa nashani hata hio meli uzito ukizidi inapelekea hata kuzama allah atunusuru amiin
Tuleteni meli mambasa 🇰🇪 mpaka Pemba kwetu itakuwa nafuu kwa usafiri🙏
@ahmadsureboy7623
2 жыл бұрын
Kwa Mujib wa Maelezo itafanya kazi nahuko pia
@solomonadams6337
2 жыл бұрын
Asalaam Alaikum Warahmatullah Wabarakatu¿Ishaallah itakuja kwa time ya kwani hivyo hamjui kama mombasa ni sehemu tuu ya Zanzibar daulla tuu Zinjibar¿thanks
@kibalabibisha6778
2 жыл бұрын
@@solomonadams6337 waaleykum musalam warahmatullahi wabarakatu.hivyo ndivyo tunavyo taka ikiwezekana angalau ifike mambasa kwetu itakuwa nafuu.inshallah itakuwa vyema 👏👏🇰🇪
@kibalabibisha6778
2 жыл бұрын
@@ahmadsureboy7623 hivyo ndivyo tunavyo nataka ikiwezekana itakuwa safari isiyokuwa na panda shuka👌🇰🇪
Allahu akbari ibariki Zanzibar yako na watu wake amen yaarambi
Allah atuhifadhie na kutupa kila lilo jema kwa Zanzibar na vitongoji vyake.
Inshaaallah..Allah tulindie meli zetu zidumu Siku zote
Masha Allah hii meli ipo sawa mnooo kuliko zote za pemba
Allah karim mungu ailinde inshallah
Hii barabara. Futa Shirakawa la Melissa la serikali. Hii ni biashara ni kazi ya sekta binafsi. Hongera Ikraam.
Kila la kheri ndugu yangu Abdul Ghafuur.
Muhimu ni bandari ya uhakika kwa mkoani na Wete..
IN SHA ALLAH ,watuongezee nyingi zaidi
@immtm4930
2 жыл бұрын
انشاء الله
@ashamwakio1043
2 жыл бұрын
Maa shaa allah..Congratulation our Neighbours.
Twashukuru Meli tayari ila tatizokubwa nibandari Viongozi Nyiye tuoneyeni Huruma jamani Watu wa Wete tunaumia sana tu
Shukran sana wahusika
Mzee mwinyi hongera zako
@rashidhamis6779
2 жыл бұрын
Mhm kwani kaileta mwinyi
Safi Sana mh kazi inaendelea
Masha allah
Shukran baba Hussein Allah akuwezeshe kheri zote utuletee zenji yetu
@mangofish9079
2 жыл бұрын
Akuleteeni kitu gani meli ya watu binafsi hio aibu serikali haini hata meli 2 za unguja na pemba za uhakika miaka yote hio hicho cha kusifu kiko wapi sasa.
@rashidhamis6779
2 жыл бұрын
Mhm kwani yake
Safi
mashallah
Allah afanye wepesi na awalipe kheri ndugu zetu
@adislahlovo7409
2 жыл бұрын
Amiin
@immtm4930
2 жыл бұрын
Amin
إن شاء الله يستمر والي الإمام
Loh meli mzuri sana. Nakubali uzeni meli zenu na muinge ubia na hao kuliko kufanya wenyewe. Mali ya uma hatuwezi.
Amiina yaarabbi azijaalie ziwe 12 na zaidi
TV bwana sio runinga Imetoka wapi hilo runinga?
Sekali gani nyinyi Dhulma na utumbo tuu kudhulumu Wazaliwa wa Visiwa tuu ndio kazi yenu etiii Raia wasaidie serekali Safurini mje mzione nchi za wenzenu Serekali inavyosaidia Raia wake! kazieni kuwatia dhiki zana shida watu wetu tuu,Wizi Wakubwa nyieeee...
Naam kabisa 🤝
Mtangazaji unasauti nzuri ya documentally film sijui kwa nini Azam tv hajakuchukua mpaka.
@mussaabobakar7537
2 жыл бұрын
Hii nayo Azam et au hujui jaman
Hatuhitaji Meli mpya, tunahitaji uongozi mpya musitupumbaze. Tatizo la nchi yetu si vitu ni VIONGOZI. BIASHARA ZA MELI WAACHIENI MABINGWA WA BIASHARA HIYO AKINA BAKHRESA NA WENZAKE.
@hajihassan5433
2 жыл бұрын
Uongozi mpya upi ndugu yangu. Ni kweli hakuna linalokwenda hali ya wananchi ni ngumu mno lakini ni SUK. Tunafanyaje?
@calimahad9274
2 жыл бұрын
@@hajihassan5433 , Kuna wahafidhina kibao wamerudishwa serikalini na wengine wamepelekwa mpaka kuwa ma balozi nchi za nje.kutuwakilisha, hawa wote kwa maoni yangu hawafai kuendelea kuwemo serikalini. Raisi wetu tulianza nae vizuri lakini kwa makosa kama haya tumejua hana nia nzuri kusaidia nchi. Tufuate mfano wa Raisi mpya wa Zambia , hamna kulipa visasi lakini waliohujumu angalau waturudishie mali zetu nyingi walizojilimbikiza.
Jengeni bandari Pemba acheni ujinga. Tangu uhuru Pemba hadi leo bandari mbovu vile. Mna roho mbaya CCM mnatesa watu Pemba. Bandari kama tuko karne ya 10🙄
💯👍
Seat aina gan hizo? Mukikaa munagusana gusana si ujinga huo
Inshallah
Abdul hafur uyoooo bosi evegren
Habar naomba kuliza bei ya vip n bei gan
Tunasikitika pemba hakuna bandari za uhakika na hili pia liangalieni wawekezaji na serekali kwa ujumla
Kazi upumbavu tu
Bado kama kuenda leo kurudi keshokutwa ni uchumi wa kikoloni.
nzr sn
😘
Mv Mapinduzi ii ndo bai bai
Nani aliekuchaguwa kuwa kiongozi wa WAZANZIBARI,?
@mohamedhaji2200
2 жыл бұрын
Mke wako
Wasijekuwapa Wanafiki wakaiharibu kwa kula rushwa.
Meli ya mv mapinduzi 2, IWAPI?. ILIKUWAJE?
Ile MV Mapinduzi bado tunayo?
@hassanmfaume4522
2 жыл бұрын
Ile ilikuwa meli masikini mrehemu mv mapinduzi
Hiyo meli ikitoka unguja kwenda pemba inataumia masaa mangap kwan
Pia afadhal maana huyu bakheresa Ana tunyanyasa kweli
Tunashkuru tunatak ajira ktk meli ya Ikram wapi tulete maombi
Mashaallah mashaallah
kiukweli nzur ila nauli mupunguze wanyenge ss
maendeleo mazuri, sijui inachukua masaa mangapi kufika
@maryamabdallah4235
2 жыл бұрын
Hio inaondoka saa moja saa saba na nusu juz tumefka wete
@pira7439
2 жыл бұрын
hapo wete inafunga gati au viboti vinakuja kuchukua abiria melini?
Wapemba meli muitunze iyo msiingie fast class na kuku😂😂 msinichmbe
@alimussa2655
2 жыл бұрын
😂😂😂😂 dah
@user-fk4hq8yw9u
2 жыл бұрын
Sasa tuingie na nini na ndio zawadi zetu 😀😀😀
@meekman654
2 жыл бұрын
Hahahaaa tumechoka kupigwa na Jua sasa basi
@BigBoss-jk6fk
2 жыл бұрын
Kwani wanaingia free hata waitunze kwani yao hata waitunze ni biashara waache wafanye kilakitu kinachoruhusiwa.nimeona abiria wanapigwa na police ndani ya mapinduzi kisa wamechoka kusubiri mlangoni ukati wa kushuka meli.mtu analipia nauli bado anafanywa kama punda
@rashidjuma269
Жыл бұрын
zaiytuni mbaguzi ww au ni mtanganyimka
tuleteeni na boti za mwendo kasi
Muda sio mwingi itahujumiwa kama kawaida ya watendaji wetu.
@zahorsalim2801
2 жыл бұрын
kbx
Sasa nitasafiri
Uchumi buluu!!!
Bass
Iyo meli mheshimiwa rais iwekeeee limit ya muda kufika kwa wakat mzuri sio kutwa nzima upo kwenye maji . ukisafiri kwenda pemba imekuwa moja kuzorota spidi ya mtu kufafuta kitu siku ile wala sio haki kiivyo . mtu afike mapema akifika afanye maisha
@abdallhmohd2259
2 жыл бұрын
Mashaallah Allah amzidishie kila la kheri boss wetu Abdoul Ghafoour azidi kuendelea
Umuhimu usalama sio wingitu wawtu
Musisahau na route za Tanga
@nassirmohamed8492
2 жыл бұрын
Umeongea wallah
MAPINDUZI WAMEIBA
Ivi nyie wapumbavu kweli mnaleta pantoni halafu mnajisifia ati ni meli ya kisasa ya kupigwa na baridi hizo seat zake zinakufikia nusu ya mgongo kwa dunia ya kisasa siyakukaa zaidi ya masaa 3 kwa pemba-unguja hiyo itasaidia tuu lakini bado ni usafiri duni msitufanye washamba saana kama mnavyofikiria komeni
Tunataka meli kutoka pemba kwenda Tanga kma hyo
Kuwaleta unguja malizia
@karafuumedia2023
2 жыл бұрын
Una maana kwamba wasije ama
@bajagihaji8923
2 жыл бұрын
Shule muhimu
@murattywamuratty9778
2 жыл бұрын
@@karafuumedia2023 , 😭mbona umefika mbali, maneno yako nimemwambia amalizie na unguja neno hilo sijasema wasije kwani kwetu uko unguja mie mwenyewe nipo Pemba na mpemba halisi haswaa sasa ata sijui nisemeje
@meekman654
2 жыл бұрын
😷