ONA UZURI WA MELI MPYA NA KUBWA KWA PEMBA NA UNGUJA, DKT MWINYI AMEIZINDUA

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Пікірлер: 96

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim11062 жыл бұрын

    Jamani abiriya wainaingia alfu 1,256 mmesema msije mkapandisha abiriya alfu 10 mkauwa abiriya kama miaka ilopita. Inachukuwa mizigo 350 tons msije mkatiya alfu 40,000 mpaka meli ikazama. TUNAKUKUMBUSHENI TUU TUNAJUWA HAMNA NIDHAMU YA KUTOSHA. MUNGU IBARIKI ZANZIBAR NA WATU WAKE. AMIN. ASANTENI KWA MELI MUNGU AKUBARIKINI KWA IMANI YENU...

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid97652 жыл бұрын

    Allah aijaalie iwe meli ya kheri na barka

  • @yasalaam590
    @yasalaam5902 жыл бұрын

    Mashallah mashallah Safi sana yajayo yanafurahisha Ombi hio meli isiwe moja ziwe nyingi maana pemba mashallah wanasafiri sana na wanajazana sana kwenye meli kwahio inakuwa nashani hata hio meli uzito ukizidi inapelekea hata kuzama allah atunusuru amiin

  • @kibalabibisha6778
    @kibalabibisha67782 жыл бұрын

    Tuleteni meli mambasa 🇰🇪 mpaka Pemba kwetu itakuwa nafuu kwa usafiri🙏

  • @ahmadsureboy7623

    @ahmadsureboy7623

    2 жыл бұрын

    Kwa Mujib wa Maelezo itafanya kazi nahuko pia

  • @solomonadams6337

    @solomonadams6337

    2 жыл бұрын

    Asalaam Alaikum Warahmatullah Wabarakatu¿Ishaallah itakuja kwa time ya kwani hivyo hamjui kama mombasa ni sehemu tuu ya Zanzibar daulla tuu Zinjibar¿thanks

  • @kibalabibisha6778

    @kibalabibisha6778

    2 жыл бұрын

    @@solomonadams6337 waaleykum musalam warahmatullahi wabarakatu.hivyo ndivyo tunavyo taka ikiwezekana angalau ifike mambasa kwetu itakuwa nafuu.inshallah itakuwa vyema 👏👏🇰🇪

  • @kibalabibisha6778

    @kibalabibisha6778

    2 жыл бұрын

    @@ahmadsureboy7623 hivyo ndivyo tunavyo nataka ikiwezekana itakuwa safari isiyokuwa na panda shuka👌🇰🇪

  • @omakywazamani6696
    @omakywazamani66962 жыл бұрын

    Allahu akbari ibariki Zanzibar yako na watu wake amen yaarambi

  • @immtm4930
    @immtm49302 жыл бұрын

    Allah atuhifadhie na kutupa kila lilo jema kwa Zanzibar na vitongoji vyake.

  • @nassorhaji2637
    @nassorhaji26372 жыл бұрын

    Inshaaallah..Allah tulindie meli zetu zidumu Siku zote

  • @abdillahhassan5423
    @abdillahhassan54232 жыл бұрын

    Masha Allah hii meli ipo sawa mnooo kuliko zote za pemba

  • @ahmedmbarouk3463
    @ahmedmbarouk34632 жыл бұрын

    Allah karim mungu ailinde inshallah

  • @makanjambwera4988
    @makanjambwera49882 жыл бұрын

    Hii barabara. Futa Shirakawa la Melissa la serikali. Hii ni biashara ni kazi ya sekta binafsi. Hongera Ikraam.

  • @maalimjaffar5563
    @maalimjaffar55632 жыл бұрын

    Kila la kheri ndugu yangu Abdul Ghafuur.

  • @AbdillahSOthman
    @AbdillahSOthman2 жыл бұрын

    Muhimu ni bandari ya uhakika kwa mkoani na Wete..

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi43852 жыл бұрын

    IN SHA ALLAH ,watuongezee nyingi zaidi

  • @immtm4930

    @immtm4930

    2 жыл бұрын

    انشاء الله

  • @ashamwakio1043

    @ashamwakio1043

    2 жыл бұрын

    Maa shaa allah..Congratulation our Neighbours.

  • @muhammedkhamis1407
    @muhammedkhamis14072 жыл бұрын

    Twashukuru Meli tayari ila tatizokubwa nibandari Viongozi Nyiye tuoneyeni Huruma jamani Watu wa Wete tunaumia sana tu

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad18022 жыл бұрын

    Shukran sana wahusika

  • @amirikoshuma3039
    @amirikoshuma30392 жыл бұрын

    Mzee mwinyi hongera zako

  • @rashidhamis6779

    @rashidhamis6779

    2 жыл бұрын

    Mhm kwani kaileta mwinyi

  • @saidimbaruku984
    @saidimbaruku9842 жыл бұрын

    Safi Sana mh kazi inaendelea

  • @husseinally301
    @husseinally3012 жыл бұрын

    Masha allah

  • @nooor1120
    @nooor11202 жыл бұрын

    Shukran baba Hussein Allah akuwezeshe kheri zote utuletee zenji yetu

  • @mangofish9079

    @mangofish9079

    2 жыл бұрын

    Akuleteeni kitu gani meli ya watu binafsi hio aibu serikali haini hata meli 2 za unguja na pemba za uhakika miaka yote hio hicho cha kusifu kiko wapi sasa.

  • @rashidhamis6779

    @rashidhamis6779

    2 жыл бұрын

    Mhm kwani yake

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews2 жыл бұрын

    Safi

  • @suleiboy5230
    @suleiboy52302 жыл бұрын

    mashallah

  • @alanthomas6892
    @alanthomas68922 жыл бұрын

    Allah afanye wepesi na awalipe kheri ndugu zetu

  • @adislahlovo7409

    @adislahlovo7409

    2 жыл бұрын

    Amiin

  • @immtm4930

    @immtm4930

    2 жыл бұрын

    Amin

  • @saadaalismaili8176
    @saadaalismaili81762 жыл бұрын

    إن شاء الله يستمر والي الإمام

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim76632 жыл бұрын

    Loh meli mzuri sana. Nakubali uzeni meli zenu na muinge ubia na hao kuliko kufanya wenyewe. Mali ya uma hatuwezi.

  • @yasalaam590
    @yasalaam5902 жыл бұрын

    Amiina yaarabbi azijaalie ziwe 12 na zaidi

  • @nooor1120
    @nooor11202 жыл бұрын

    TV bwana sio runinga Imetoka wapi hilo runinga?

  • @solomonadams6337
    @solomonadams63372 жыл бұрын

    Sekali gani nyinyi Dhulma na utumbo tuu kudhulumu Wazaliwa wa Visiwa tuu ndio kazi yenu etiii Raia wasaidie serekali Safurini mje mzione nchi za wenzenu Serekali inavyosaidia Raia wake! kazieni kuwatia dhiki zana shida watu wetu tuu,Wizi Wakubwa nyieeee...

  • @abdul-azizzubair
    @abdul-azizzubair2 жыл бұрын

    Naam kabisa 🤝

  • @selemankishema5780
    @selemankishema57802 жыл бұрын

    Mtangazaji unasauti nzuri ya documentally film sijui kwa nini Azam tv hajakuchukua mpaka.

  • @mussaabobakar7537

    @mussaabobakar7537

    2 жыл бұрын

    Hii nayo Azam et au hujui jaman

  • @calimahad9274
    @calimahad92742 жыл бұрын

    Hatuhitaji Meli mpya, tunahitaji uongozi mpya musitupumbaze. Tatizo la nchi yetu si vitu ni VIONGOZI. BIASHARA ZA MELI WAACHIENI MABINGWA WA BIASHARA HIYO AKINA BAKHRESA NA WENZAKE.

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    2 жыл бұрын

    Uongozi mpya upi ndugu yangu. Ni kweli hakuna linalokwenda hali ya wananchi ni ngumu mno lakini ni SUK. Tunafanyaje?

  • @calimahad9274

    @calimahad9274

    2 жыл бұрын

    @@hajihassan5433 , Kuna wahafidhina kibao wamerudishwa serikalini na wengine wamepelekwa mpaka kuwa ma balozi nchi za nje.kutuwakilisha, hawa wote kwa maoni yangu hawafai kuendelea kuwemo serikalini. Raisi wetu tulianza nae vizuri lakini kwa makosa kama haya tumejua hana nia nzuri kusaidia nchi. Tufuate mfano wa Raisi mpya wa Zambia , hamna kulipa visasi lakini waliohujumu angalau waturudishie mali zetu nyingi walizojilimbikiza.

  • @malikajohnson8897
    @malikajohnson88972 жыл бұрын

    Jengeni bandari Pemba acheni ujinga. Tangu uhuru Pemba hadi leo bandari mbovu vile. Mna roho mbaya CCM mnatesa watu Pemba. Bandari kama tuko karne ya 10🙄

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman54772 жыл бұрын

    💯👍

  • @bihterziyagil3821
    @bihterziyagil38212 жыл бұрын

    Seat aina gan hizo? Mukikaa munagusana gusana si ujinga huo

  • @alluabdallah6893
    @alluabdallah68932 жыл бұрын

    Inshallah

  • @omarhababuu3159
    @omarhababuu31592 жыл бұрын

    Abdul hafur uyoooo bosi evegren

  • @suhaifatabdallah-nz7kq
    @suhaifatabdallah-nz7kq Жыл бұрын

    Habar naomba kuliza bei ya vip n bei gan

  • @hatourmohamed1234
    @hatourmohamed12342 жыл бұрын

    Tunasikitika pemba hakuna bandari za uhakika na hili pia liangalieni wawekezaji na serekali kwa ujumla

  • @amanmohd9435
    @amanmohd94352 жыл бұрын

    Kazi upumbavu tu

  • @user-go3bk6wr8u
    @user-go3bk6wr8u2 жыл бұрын

    Bado kama kuenda leo kurudi keshokutwa ni uchumi wa kikoloni.

  • @dullamuwise4802
    @dullamuwise48022 жыл бұрын

    nzr sn

  • @rashidseif8089
    @rashidseif80892 жыл бұрын

    😘

  • @hamidabdalla1814
    @hamidabdalla18142 жыл бұрын

    Mv Mapinduzi ii ndo bai bai

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati36412 жыл бұрын

    Nani aliekuchaguwa kuwa kiongozi wa WAZANZIBARI,?

  • @mohamedhaji2200

    @mohamedhaji2200

    2 жыл бұрын

    Mke wako

  • @abdulnassir7836
    @abdulnassir78362 жыл бұрын

    Wasijekuwapa Wanafiki wakaiharibu kwa kula rushwa.

  • @jamalmshenga1851
    @jamalmshenga18512 жыл бұрын

    Meli ya mv mapinduzi 2, IWAPI?. ILIKUWAJE?

  • @immtm4930
    @immtm49302 жыл бұрын

    Ile MV Mapinduzi bado tunayo?

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    2 жыл бұрын

    Ile ilikuwa meli masikini mrehemu mv mapinduzi

  • @zawadiabdallah8342
    @zawadiabdallah83422 жыл бұрын

    Hiyo meli ikitoka unguja kwenda pemba inataumia masaa mangap kwan

  • @hajimasoud1544
    @hajimasoud15442 жыл бұрын

    Pia afadhal maana huyu bakheresa Ana tunyanyasa kweli

  • @didamsellem2679
    @didamsellem26792 жыл бұрын

    Tunashkuru tunatak ajira ktk meli ya Ikram wapi tulete maombi

  • @khadijacali8142
    @khadijacali81422 жыл бұрын

    Mashaallah mashaallah

  • @salummzee8908
    @salummzee89082 жыл бұрын

    kiukweli nzur ila nauli mupunguze wanyenge ss

  • @pira7439
    @pira74392 жыл бұрын

    maendeleo mazuri, sijui inachukua masaa mangapi kufika

  • @maryamabdallah4235

    @maryamabdallah4235

    2 жыл бұрын

    Hio inaondoka saa moja saa saba na nusu juz tumefka wete

  • @pira7439

    @pira7439

    2 жыл бұрын

    hapo wete inafunga gati au viboti vinakuja kuchukua abiria melini?

  • @zaytunhijja6771
    @zaytunhijja67712 жыл бұрын

    Wapemba meli muitunze iyo msiingie fast class na kuku😂😂 msinichmbe

  • @alimussa2655

    @alimussa2655

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂 dah

  • @user-fk4hq8yw9u

    @user-fk4hq8yw9u

    2 жыл бұрын

    Sasa tuingie na nini na ndio zawadi zetu 😀😀😀

  • @meekman654

    @meekman654

    2 жыл бұрын

    Hahahaaa tumechoka kupigwa na Jua sasa basi

  • @BigBoss-jk6fk

    @BigBoss-jk6fk

    2 жыл бұрын

    Kwani wanaingia free hata waitunze kwani yao hata waitunze ni biashara waache wafanye kilakitu kinachoruhusiwa.nimeona abiria wanapigwa na police ndani ya mapinduzi kisa wamechoka kusubiri mlangoni ukati wa kushuka meli.mtu analipia nauli bado anafanywa kama punda

  • @rashidjuma269

    @rashidjuma269

    Жыл бұрын

    zaiytuni mbaguzi ww au ni mtanganyimka

  • @salehkhamis8653
    @salehkhamis86532 жыл бұрын

    tuleteeni na boti za mwendo kasi

  • @mweyoms5548
    @mweyoms55482 жыл бұрын

    Muda sio mwingi itahujumiwa kama kawaida ya watendaji wetu.

  • @zahorsalim2801

    @zahorsalim2801

    2 жыл бұрын

    kbx

  • @ahmadsureboy7623
    @ahmadsureboy76232 жыл бұрын

    Sasa nitasafiri

  • @selemankishema5780
    @selemankishema57802 жыл бұрын

    Uchumi buluu!!!

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali39182 жыл бұрын

    Bass

  • @smairara5802
    @smairara58022 жыл бұрын

    Iyo meli mheshimiwa rais iwekeeee limit ya muda kufika kwa wakat mzuri sio kutwa nzima upo kwenye maji . ukisafiri kwenda pemba imekuwa moja kuzorota spidi ya mtu kufafuta kitu siku ile wala sio haki kiivyo . mtu afike mapema akifika afanye maisha

  • @abdallhmohd2259

    @abdallhmohd2259

    2 жыл бұрын

    Mashaallah Allah amzidishie kila la kheri boss wetu Abdoul Ghafoour azidi kuendelea

  • @alimakame9215
    @alimakame92152 жыл бұрын

    Umuhimu usalama sio wingitu wawtu

  • @abasamwame6583
    @abasamwame65832 жыл бұрын

    Musisahau na route za Tanga

  • @nassirmohamed8492

    @nassirmohamed8492

    2 жыл бұрын

    Umeongea wallah

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim97732 жыл бұрын

    MAPINDUZI WAMEIBA

  • @suleimanally9909
    @suleimanally99092 жыл бұрын

    Ivi nyie wapumbavu kweli mnaleta pantoni halafu mnajisifia ati ni meli ya kisasa ya kupigwa na baridi hizo seat zake zinakufikia nusu ya mgongo kwa dunia ya kisasa siyakukaa zaidi ya masaa 3 kwa pemba-unguja hiyo itasaidia tuu lakini bado ni usafiri duni msitufanye washamba saana kama mnavyofikiria komeni

  • @sharashoka5260
    @sharashoka52602 жыл бұрын

    Tunataka meli kutoka pemba kwenda Tanga kma hyo

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty97782 жыл бұрын

    Kuwaleta unguja malizia

  • @karafuumedia2023

    @karafuumedia2023

    2 жыл бұрын

    Una maana kwamba wasije ama

  • @bajagihaji8923

    @bajagihaji8923

    2 жыл бұрын

    Shule muhimu

  • @murattywamuratty9778

    @murattywamuratty9778

    2 жыл бұрын

    @@karafuumedia2023 , 😭mbona umefika mbali, maneno yako nimemwambia amalizie na unguja neno hilo sijasema wasije kwani kwetu uko unguja mie mwenyewe nipo Pemba na mpemba halisi haswaa sasa ata sijui nisemeje

  • @meekman654

    @meekman654

    2 жыл бұрын

    😷