UTATA MKUBWA SHAMBA WALILOZIKWA MAREHEMU WA MV SPICE
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
cc: Sadia Rashid
cc: Masoud Maganga
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Пікірлер: 255
mjue mwenyezi mungu anaona mnavo wadhulumu wanyonge haki zao' hapa duniani sote tunapita tutakufa na kiviacha vyote papa hapa..
Kama ndio mnaona sahihi mufanyavyo mungu atawalipa malipo Kama ya salmini nabado akhera adhabu zinawasubir 🔸🔸ogopa Dua ya mzulumiwa..
Mlevi wahed mmezoea dhulma hadi uongozi sasa mnadhulumu Mashamba Allah atakulipani mnachokichuma
Mbona wao mashamba wanayoyamiliki hawafanyi mava wanazidi tu kujenga mahoteli
@aishhasalim3639
4 жыл бұрын
u77
Nakuonea sana huruma bi mdogo ww muombe mungu sana km haki yenu basi mutaipata tu na kama ilo shamba serekali munalitaka sio vibaya haki itendeke km sio lenu basi mufanye makubaliano na wenye shamba mulinunue mufanye Ayo mambo yenu tunapokwenda kugumu jamaa mungu amesema haki Qul haki usizulumu wala usizulumiwe
Inawezekana hawa wenye eneo hawana shida na hii sehemu kuzikiwa au kustiriwa binadam ila ubabe wa serikali na dharau ndio tatzo kubwa
Mama ameongea kwa utulivu na kasimama zaidi kwenye tauhid hakika mwenye kuzungumza kwa upole huku akitaraji malipo toka kwa mola wake hakosi malipo serikali ya mapinduzi ya zanzibar mujue mupo hatarini na mwenyezimungu atawalaani zaidi ya alivyowalaani
Huu msemo wa waardhi ni Mali yaserikali ubadilishwe unawanyonya wananchi wapi kimbilio la wananchi viongozi watumie hekma
@abrahmanabdullmalik3926
5 жыл бұрын
Nimekuelewa zai sud
@nurjahanabdulrahim9588
5 жыл бұрын
Yeah the Government should consider that the ARDHI which is of the wana nchi should be given to the people who owns the land
@wahidawahida6675
5 жыл бұрын
Nikweli kabisa sasa ardhi mali ya serikali kwaiyo sis raia hatuna haki tz hi
@zuusaidibushiri5556
5 жыл бұрын
Mi naomba kuuliza jamani labda nakuwa na uelewa mdogo wanaposema ardhi ni mali ya serikali , serikali wameinunua kwa nani? Mwenye majubu anisaidie
@nasibugunda7927
4 жыл бұрын
Ardhi ikiwa ni mali ya mtu binafsi watu wenye uwezo watamiliki sehemu kubwa kuna watu wananunua visiwa na kuvimiliki ni vyao kwaio angaliene pande huo pia isije Ardhi ya zanzibar Ikajakua kua chini ya umiliki wa mjinga mmoja mwenye hela zake
Mnajiona wageni na eneo lenu haki itendeke mtapata haki yenu Allah atakua msaidizi wenu haki yenu mtaipata in shaa Allah
@shehaabbas8294
5 жыл бұрын
Unanikumbuka
@zayyatiyussuf9566
5 жыл бұрын
@@shehaabbas8294 sikukumbuki Nikumbushe hatasikuile uliniuliza nikasema sikumbuki nifahamishe bas
@shehaabbas8294
5 жыл бұрын
Kunasiku ulusema unatamani kuolewa Zanzibar na uliniambia uko Oman ila mwezi watano utaenda tz kimatembezi sasa nilitaka kujua ulikua kwenye ukweli au matani
@shehaabbas8294
5 жыл бұрын
Nakama ukweli jeee umesha ingia tz au bado
@shehaabbas8294
5 жыл бұрын
Vilevile kivipi naweza kupata mawasiliano hadi kufika nakukamulisha lengo
kila MTU na mtazamo wake Mimi nasema penye ukweli basi uongo hujitenga pakipinduliwa subra ndo jambo jema kwa mwenyezi mungu sio mbali huko ndo kwenye uadilifu.
jamani tunakwenda wapi? mtu leo unanyang'anywa haki yako? Eti ni ya serikali wakati watu wanao ushahidi wa documents zote hizo?
Dah pole sana ndugu zetu ila nchi yetu inaendeshwa kibepari sana
Mitihani mikubwa maana unanikumbusha mbali dada yng Shida hio hata ss ilitufika ila Marehemu baba yetu alikuwa hai akafuatilia tukatiwa kipande kidogo ndio mpk sasa tunaishi na familia yetu tulikuwa tumeshataka kutupwa mwitumin huko tena tujengewe kibanda kimoja,,yaaan madaraka mabaya ila mola Atakujaliye kheri mutapata haki yenu
Mwandishi muoga ajabu Naona mlikuwa mnapiga porojo tu. Unaogopa kumchapa maswali Waziri?
Shukran Ktv tz online hakika hii ni FAHARI yetu
@kibojewee2710
5 жыл бұрын
0
haiwezekeni hii fammily naijua ni watu wa karibu na hii sehemu nishawai kwenda kama Mara 2 kwenye shguli zao na hili eneo kweli ni lakwao.
Na ninavyoijua Zanzibar lazima watadhulumiwa tu kwa kisingizio kuwa ni wakoloni wa kiarabu.
@mohdmussa5587
5 жыл бұрын
Kwa kweli
@aminaame8219
5 жыл бұрын
Mhoja masanja 7
Kwanini serikali mashamba yao wanajenga mahoteli si wafanye makaburi mbona hawa njaa kali ivi kwanza toka enzi kwerekwe lini ikajaa makaburi hayajai hawa mbwa wanatusumbua migombani lipo eneo kubwa kwanini wasifanye makaburi washenzi sana
Mungu tusitiri uko Zanzibar kila kiwanja cha serekali tu tunaenda wapi jaman ña kila kukisha Zanzibar yanaibuka mambo mapya serekali ya uko bwana mitihani kweli wale wanyonge ndio wanao teseka
wa zanzibar tunaongoza kwa dhulma ya ardhi hadi ardhi ya msikiti watu wanadulumu hawajali lakini mbele ya allah ndio wagonvi watakakokutana
Hawana haya Jku. Inshalah watapata kubainikaa
Wazanzibari licha ya matatizo kama haya mushukuru Allah kwa ardhi kua yote ya serikali na wala sio ya mtu binafsi kwani WaKenya tunateseka na kudhalilika kwa ubinafsisaji wa ardhi.Pwani yote ya Kenya imenyakuliwa na mabwenyenye,matajiri na watu kutoka sehemu za bara.Nawatakia suluhisho bora katika swala hili lakini nawasihi bora muache ardhi iwe mikononi mwa serikali ! YOU'LL THANK ME LATER.
@muhammedwakif6216
5 жыл бұрын
Hata hy zanzibar ardhi yote ya pwani ni imechukuliwa na Serikali na inawauzia wazungu
Zuluma mbaya sana na sikama hamjuwi Allah ataenda kukulizeni zanzibar bwana
Dhulma tu serikali ya znz mukheir family msikubali nendeni mbio Inshaa Allah Allah atakusimamieni mpate haki yenu.
@aminaviratu6839
5 жыл бұрын
Acheni zulum kam hizo tena munambi nyingi muno mungu atawalaani
@hishammugheiry3724
4 жыл бұрын
Ndio power hio....
@hishammugheiry3724
4 жыл бұрын
Kila kitu kina mwisho wake,one day yes
Dhulmaaaaa mwisho wake ni motoniiiiii. mjueni mola wenu nyinyi viongozi mafisadiiiii loooh
mtihan sana jaman
Hapafai kutumia ardhi ya dhulma kufanyia ibada wala kuzikia kwa hiyo atakaeona dhulma ni sawa hiyari yake
@abdumazid7402
5 жыл бұрын
Ndomana zanzibat hamna bargain sasa kwa Zuma niko Omani sada
@mamaladfa8531
5 жыл бұрын
Toka lini? Serikali kuwa na shamba dhuluma tupieni wamefanyiwa wananchi
Allah atakufanyieni wepesi mpate haki yenu lakini mtihani
huyo jamaa wa mwanzo alosema viwanja vote vya serekali 😂kanichekesha kweli
Subhana Allah hii ndio dhulma,kwsbanu ni serikali wanajiona wanaueezo wakufanya wanacho jiskia na kunyanyasa raia lanatullah
Subhannallah, serikali ina dhulma.
Jaman serikali inataka kuwaluzu wenyewe kabla hawajaf inalilahi wainaihirajuuni jaman luzuma mbaa tena mbaa sana
Hawa wanaolalamika ni wajukuu lakini watoto wa mzee mugheiry ambao ndiyo warithi wa kwanza si wa zanzibar,maana ni ma balozi wa serikali ya Oman nchini German na Marekani,ikiwa serikali yetu hairuhusu kumiliki raia mbili,je serikali inaruhusu mtu asie raia kumiliki ardhi?ukiangalia kiundani waweza kuta hata huyo mzee mugheiry aliichukua ardhi kutokana na cheo chake,maana viongozi wengi wa serikali walikuwa wanachukua mali za serikali kuzifanya kuwa zao binafsi,wanasahau kuwa mali ya serikali ni mali ya wananchi woote,na tukumbuke pale serikali inaposema kuwa ardhi ni ya serikali ina maana ni ardhi ya wananchi soote na si ya ukoo au mtu binafsi...Allah atuzidishie hikma
@oscarezekiel1826
Жыл бұрын
Porojo rojo
Allah ajalie khaki itendeke kwasababu sisi waislam hatupendi kuhifadhiwa.ktk khaki yamtu.
@abouymuba3582
5 жыл бұрын
Hapo si umemskia bwana mohd aboud anasema ardhi ni mali ya serikali kwahiyo kama kuna vipando waende wakaseme, na hapo wallah hao mugheiry wataondoshwa na wataambiwa si raiya wa tz . Tusubiri tuone wana Mapinduzi watavoamua
@fauziaalbahrihuyukijanahod9318
5 жыл бұрын
Mimi najua toka zamani kama hilo shamba kama la Sultani spacter ushahidi wato wazamani waka mivhungwamiwi mfenesini kazole kivuma mbaleni mwangapwani tunajua lakini dhulma.imekua nyingi tunajua
@shemsasalum2145
5 жыл бұрын
Inshallah mungu atakuwa na wewe kudai haki yenu muombe mungu usichoke kwa mungu hakuna kubwa
Wallah Nasema Mimi Ni Mtu Wa Motoni Lakini Sitokwenda Peke Yangu Eeeh Mungu Tupe Subira Waja Wako Mana Kuna Watu Wanamabavu Wallah
@maryammasoud5586
3 жыл бұрын
Allah akuhifadhi usijiombee kuwa mtu WA motoni
@hamoudsaid635
3 жыл бұрын
Astaghafirullah Mariam wanakera sana
Kwa kweli suala la ardhi Zanzibar na Tz ni mtihani .serikali ya Zanzibar na Tanzania wanasema “ardhi ni mali ya serikali” maana yake ni kuwa hakuna mwananchi anaemiliki ardhi. Yote hio ni sera ya kuwafanya wananchi kuwa “powerless and lack of confidence “ ile watawalike uzuri . Hili suala la ardhi Zanzibar wengi tushaungua vidole kwa hio tunaogopa hata ukiona ardhi kwa bei ya tasi basi bora ununue tasi ukapike ule. 😂😂😂
@lenniefei6710
5 жыл бұрын
Suleiman mushukuru ardhi kua ya serikali na sio ya mtu binafsi Wakenya hususan Wapwani tunajuta kwa kubinafsishwa ardhi,imenyakuliwa yote ya wenye nguvu za kifedha na kimamlaka.
@alhamdulillah5796
5 жыл бұрын
Ni kweli kabisa. Hzo ni sera za nchi za kibepari. Tanzania wanasema ni nchi ya kijamaa sasa hzi sera za kibepari wanazitolea wapi?
@lenniefei6710
5 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 Mushukuru ardhi yote kua ya serikali waKenya tunajuta kubinafsisha ardhi.WaTanzani fungueni macho!
@alhamdulillah5796
5 жыл бұрын
@@lenniefei6710, sijakufaham dear. Inamaana ardhi kua ya serikali ni afadhali kuliko kua ya mtu binafs? tufahamishe zaidi tufaham. Mana hapa tunasikitika tu!
@lenniefei6710
5 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 Ardhi kua kwa serikali ni bora zaidi kuliko kubinafsishwa kwani ikiwa ya serikali itaondoa commercialization of land by individuals.WaKenya tumeona makubwa kutokana na ulafi wa ardhi kwa matajiri,wafisadi,mashirika binafsi na hususan wansiasa Dear natamani nikueleze kwa lugha ya kiswahili kwa undani lakini naomba uelewe mtazamo wangu musije mukabaki na laiti.....
Sipekeenu mam yanowakuta
Kwaheri Karume kwaheri Zanzibar
Usijali Mama Inshallah haki itatendeka na msiseme ni WAKFU wenu labda mseme URITHI wenu kwa sababu WAKFU huwa hauna mwenyewe rasmi. Serikali naomba kwa haraka wapatieni HAKI wanaohusika. Sikusudii kusema Bora Ukoloni kuliko Uhuru lkn kama uneo ambalo toka uhuru na 1970s Serikali haifanyi vizuri ni suala la ardhi SMZ imedhulumu sana watu ardhi kuliko Ukoloni. Serikali ya kikoloni haikuwahi kulitumia eneo lolote hata kwa kazi ya muda mfupi bila kulipa fidia kwa familia husika.
Mungu awafanyie wepesi yarabi
@maryamoman5926
5 жыл бұрын
Amen
Mmmh mm naona wazee wa kukomenti munajitia shida sana sas hizo lawama zote munazozisema nani atawaskiliza Chamsingi wao wamuombe mungu hao maiti waliozikwa hapo mungu awape kauli sabiti inshaalah bas hakuna tena lakulumban kwan serikali sio meisho wa hukumu bali ni dunian tu huko tunako elekea ndio mtu atasema laiti angejua angekua mchanga Ahsante wabilah taufiq By juma .776024901
Hii nchi zulma kwenda mbele
Mungu anawaona.
allaha. atawalipia. haki. haizami.
Wamezoa kuchukua vya watu usemi wao MAPINDUZI DAIMA
Assalamu alaikum warahmatullahi wabarakatuh Ikiwa hilo eneo ni haki yao bas hakuna budi watizamwe kwa jicho la huruma au washauriwe hao warithi ukiwa kama watakubali kalitolea sadaqa kwaajili yakuwazikia watu bas wenyewe tuu uamuzi wao
Wanaona wataishi milele kila sehemu kufanya dhulma karume kuzulumu n nyinyi munaendelea kuzulumu ila hakimu wahaki Allah kila mtu ataondoka n amali yake ccm kila sehemu kila kitu munasema cha serekali
Hapafai kununuwa kiwanja hivi sasa zanzibar tafuteni kwingine
@tonysolomon2841
5 жыл бұрын
Wallahi tena hapafai japo kama mtu ni kwao
@sammo6090
5 жыл бұрын
Umemfahamu mmiliki au unachapia gari tu
pole mama
Mtapata haki yenu kwa uwexo wake Allah likishachunguzwa.
Mwanakwerekwe pazuri
ina maana hio ardhi ya serikali ndo izikiwe watu ama haki ya wenyewe?
Bad thing hao wanaopayuka ardhi ni Mali ya serikali wao mashamba yao hayaguswi ...wabadilishe kauli tuuu ardhi wanazomiliki wanyonge ni Mali za serikali....pia utawaskia na hapa pangu. Kwakweli mungu anawaona
Hee
Wawa pe sehem nyingine wacheni mzulma muwapehakiyawo
Serikali inawapa wawaekezaji kutoka nje kujenga mahotel inashndwa kupata maeneo ya kuzikia inaishia kupola wananchi puuuh
Serekali zilizopita ni zakibabe hawaangalii Sheria wanatumia mabavu wakiamua Lao ni Iloilo mahafizina ila Mungu atakulipeni Haki ya mtu hailiki
duuh,kumbe ilikuw c eneo la serekali eee
Kwa mfano hakuna sehemu nyingine kubwa ya kuhifadhi marehemu na nyinyi mna eneo kubwa hamlitumii kwann msiache waislamu wenzetu wakastirika kesho kwa Allah utakuta jaza yako na wazazi wenu
@seifbaharia8319
4 жыл бұрын
Muhim kuridhika na wao usije ukatoa Jambo ukaadhaa kununika utowe kwa Nia safii Cha umuhim wakae wazungumzee
Mi naona kuepusha yte kwa serikali hii nadhani wauze tu kisha wafanye mengne kama serikali ishaingilia bas itafika muda wamiliki watalikosa mazima
ee muogopen mungu nyie duniyani tunapita
hii serikali yetu ya kisenge sana kalam farik
kama mm siwezi kuzika maiti yangu kwenye ardhi ya zuluma
Huu nimsemo wa kihuni ati ni mali ya serikali“ na yeyote atakae kwenda kuzika mtu wake mahali kama hapo basi amdhalilisha maiti wake kwani hapo kuna dhulma
Haiwezekani tukazikwe kwenyewe arzi ya mtu bila kirizika mwenyewe taka km serikali basi iwe na huruma nasio kuwapora arzi wamiliki hakuna kitu kibaya km zulma Tena iyo arzi nimbaya Sana inakusubir ikakubane ukiba nyanda t mtihani ww una taka kuchukua heka 70 wacha ubabe sekali kitu gani na hatuto kubali kizikwa sehemu ya wizi kwani dini imekata wizi zulma n. K fikiria vizuri sikali wacha ubabe ww kwangu sio mbali
SERIKALI INAFANYA DHULMA TENA SANA WAACHE KUSEMA ALDHI YA SERIKALI
kama. iko. haki. ya. watoto. wake. wapewe. maana. haki. ya mtu. haiĺki iyagaliwe. vizuri. sehemu. yao. kama. iko. wapewe. 500. hutaki. mtu. akuchukulie. kefu. shamba. zima.
Ukimstiri mwenzio duniani na ww Mungu atakustiri kesho Akhera
@allyderossi9742
5 жыл бұрын
Ali Ali Bablly:Sio kustiriana huku kutiyana umaskini na jua kali hili,,hapo m2 pengine anapiga hesabu za kumto kila life kustiriana ni kwny shida tu wache Gorvement watoe mpunga wa wa2.
@alialibablly7010
5 жыл бұрын
@@allyderossi9742 hela mapambo tu kaka Akhera raha utakacho utapata
Hii ndio serikali ya ccm.Hamna marefu yasiokuwa na ncha.Kwa wasio juwa,hili linatendwa kusudi kuwadhalilisha wenye kiwanja.Familia ya mughery ni maarufu tu zanzibar.Hizi ni siasa zakijinga na chuki.Serikali inaitambua familia na ina watu wao wanawalenga kuwadhalilisha.Yatafika mwisho na kila mmoja atahukumiwa na amali zake.
Serikali itendee wanachi wake haki mtu chake apewe zulma haina mwisho mwema
@tonysolomon2841
5 жыл бұрын
Hawajui kama Iko siku watakufa na kufufuliwa na tutapewa hesabu zetu
@samsungjsevenprime5717
5 жыл бұрын
@@tonysolomon2841 wanajuwa lkn wanajiona wajikumbizie zulma lkn Allah yupo na ipo siku ya malipo katuekea
Huyo ndio mbayaa wenyew
Zanzibar bwan ingekuwa Dar mjomb magu ataki ujinga kabis ila Zanzibar utasikia wameamishwa wamepew pengin
Duh! Kuna mijitu ina mioyo migumu kama mawe! Yaani mwenzako anazulumiwa wee unaunga mkono zulma!! Dhulma ni dhulma tu haijalishi umemdhulumu mtu wa aina gani kutokea wapi! Yote ni dhulma tu na wala dhulma haidumu na ikidumu bas mwisho wake huangamiza.
munaoneka waraabu hata ss mashamba yetu mingi yamechukuliwa na serekali
Hii mtihani mkubwa huo
Ukweli ktk serikali ya zanzibar na jinsi ilivyo onyesha ktk mazungumzo ya mkubwa wa serikali yaonyesha waimesha jipanga kwa majibu ya mkato moja tu na hii ya hitaji wanao dhurumiwa wakaombe hata robo la eneo waachiwe na ikiwa wataachiwa bado maana ya onyesha hata nyumba wanayo kalia iko ktk mkono wa serikali ni serikali ya julikana kwa dhuruma huwezi ukashindana nayo
Ardhi ni maliyaserekali naserekali ni watu nawatu ndio hao munao wa nyanganya
serikali ni sirikali.hasa ya ccm
nikweli sio haki ilikua watu wakubaliane tu
Haki ya Mtu huliwa na mtu😩😩
@is-haqel_kenzo5925
5 жыл бұрын
Chuma ndio huliwa na kutu Sub hana Allah
Ardhi ni mali ya serikali mh hatar sana hili neno
serikali iangalie hio ni dhulma wakayo ifanya
Hapo haki itendeke tu sheria na huruma mtu haki yake apewe
ardh mali ya serekali serekali mali ya watu
Dhulma haidumu always...
Litumike mmenunuanyie au mnabweka tu kuwathulumu watu tafuteni uwanja mnunue wakwenu kama serikali acheni ubabe usokua wa maana watu wamekula dagaa leo hii mnachukua tu
Bora watu wawazike vartical ardhi ndio itatosha.
@dullyboy1139
4 жыл бұрын
Hee kijan kwa vip
Mm naiomba serikali iwahurumie hao walalamikaji ..hivi kwanini muzieke maiti kwenye mava yasio ya halali
@salmahoumud4950
3 жыл бұрын
Miogopeni mungu dunia ni mapito tu
Mitihani kwa kweli iyo nii haki yao jamani
Kama viongozi hamukua na huruma naraiya wenu Sasa tupeleke wapi malalamiko yetu⚠️⚠️⚠️⚠️♿♿♿
@mwanaidiramadhan3919
5 жыл бұрын
Kwa Allah sw
Althi ni Mali ya selekal achen kunyanyasa wanyonge izo Mali zote mnakufa mnaziacha
Ardhi kuwa ya serikali shida ni Nn? Ushirikishwaji unatakiwa
Kwa hakika ni suala la kufanyiwa kazi isijekua tunafanya jambo jema lakini tukalipwa uovu,sio vyema kutumia mabavu kwa kila jambo
Doh huo ni🙄mtihani kama sio raiya🤔
Na hata hiyo wizara ya ardhi na ofisi ya wakfu ziondosheni kwetu sisi wananchi hazina maana. Tunachukua hati rasmin kisheria kutoka serikalini halafu hiyo hiyo serikali inakuzunguka na kukunyang'anya kimabavu ardhi yako kwa misemo ya mpuuzi. Lakini kwa Allah si mbali.
@abdulabass5808
5 жыл бұрын
Kweli niwahuni sana hawa
Mg dunia mapito tu Ila ahera kuzto
Hakika katika hili kunahitaji haki na uadilifu nguvu Zealan zisitumike kwa sababu ya mamlaka tukumbuke kuwa mamlaka INA ukomo na tukiondoka hapa duniani mamlaka hiyo haitakusaidia
Serikali haina ardhi ni dhulma tu wanayoifanya
AAA huyu mlevi hajali ata kuzulumu anaweza mshenzi uyuu uyuu kazi kuchukua wake za watu mbwa uyuu
@hishammugheiry3724
4 жыл бұрын
Hahahaa,kila kitu kina mwisho wake
Ukiambiwa ardhi ni mali ya serikali faham kua huna lako