TUKIO MOJA LILILOFANYADUNIA KUFIKA ZANZIBAR MWEZI HUU
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #Zanzibar #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
cc: Sadia Rashid
cc: Masoud Maganga
Пікірлер: 89
Allah azijaze kheir nyoyo za waislam wote,nawaombea kila wote mlokusanyika Allah apokee dua zenu na kuwalipa mema dunian na akhera ameen yarab
@maryamsuleiman2944
5 жыл бұрын
Amiin
@johnduncan6553
5 жыл бұрын
Amen🙏
@ayshamahadhi1566
5 жыл бұрын
Amiin
@khamissalum4061
4 жыл бұрын
Aamin
hudhuni katika nafsi yangu walimu wa hizi shughuli hasaa ni wale waliokuweko gerezani Inshaallwah Allwah awafanyie sahali watoke Amen.
SUBHANAALLAH ALLAH AKBAR ❤️waislm sot n ndugu tushikamane tusaidiyan 🙏🙏🙏YA RABBY TUJALIYE TUTIMIZE NDOTO ZETU ZA KWENDA MAKKA KUHIJI AMIN 🙏🙏🙏
Amiiin mungu atuzidishie iman
@johnduncan6553
5 жыл бұрын
Amen
manshallah Allah awazidishie
Mashallah uislamu tamu,tnx ktv kwa habari njema
Naam naam dadaangu hakika hujakosea maneno yako yapo sawa shukran
Mashallah Allah awalipe mbadala iyo ni mihanga ya kutafuta radhi za Allah.kwenda kupata fikra na imani iyongezeke
Allahuma tujalie umma wa kiisilam pepo yako ya Rabbi
ALLAH AKBAR
jazzaka Allahu hairaa Allah awazidishe iman
SHUKRAN KTV TZ ONLINE KIDOTI HAKIKA HII NI FAHARI YETU
@khajumkhamis7910
5 жыл бұрын
Unapayikana wapi
@zayyatiyussuf9566
5 жыл бұрын
@@khajumkhamis7910 hapa hapa Ktv tz online kidoti
@khajumkhamis7910
5 жыл бұрын
@@zayyatiyussuf9566 Unapokaa
@zayyatiyussuf9566
5 жыл бұрын
@@khajumkhamis7910 Unataka kuja?
@khajumkhamis7910
5 жыл бұрын
@@zayyatiyussuf9566 Mdio
Mashallah na mm nilitamani niendee Allah anifanyie wepesi siku nyengine
MashaAllah. Allah baarikk
Mashaallah allah azidi tufanyia wepesi
Maashaallah
Mungu awape umli mlefu wenye kufanya yakumpendeza allah ! wallah nilishtuka nikajua maiti apo mana kilicho ndani na kilicho nje ya kichwa cha habari ni kingine laa hawla wala quwwata illa billah
@solomonadams6337
5 жыл бұрын
Maashallwah wewe mtanganyika lakini sio mjinga kama wenzako Allwah akubariki,na kwa upole nakukosowa sio umli bali ni umri sawa?kiswahili ni lugha tabu sana kama ww sio mswahili sawa?
@shamimasalim6912
5 жыл бұрын
Solomon Adams 😂😂😂asante sana mana kushtuka nayo inachangia ! ALLAH akulipe kwa kunikumbusha
allah atuwafiqishe
Wznz wabaguzi vip na kila mmoja nataifa Lake ivo wa tanganyika nyinyi mnatupenda?
MA SHA ALLAH
Allah atujalie uhai 2020 in shaa Allah tukutane tena ktk afya njema uisilamu raha sana.
@ukhtysakinaa7664
5 жыл бұрын
Amin insha Allah
@zayyatiyussuf9566
5 жыл бұрын
@@ukhtysakinaa7664 Allahumma amin
@solomonadams6337
5 жыл бұрын
Amen
@khajumkhamis7910
5 жыл бұрын
@@zayyatiyussuf9566 mm naxhangaa sana nnapoona unaonexha ubaguzi hali ya kuwa dini moja
@zayyatiyussuf9566
5 жыл бұрын
@@solomonadams6337 Allahumma amin
Mashallah ❤
Namuomba Allah azidumishe ijtimai
MashaAllah
Yaarab iongoze znz kwa mema.. Na uwaokoe waislam wote na upotevu.. Na uviongoze vizazi vyote
Mashallah
Khuruju Fiysabililah wada'awatu ILallah
Mashaallah Allah atabali maombi yenu 🤲🏼
@solomonadams6337
5 жыл бұрын
Amen
Mbona kichwa cha habari nahisi kipo sawa tu, ukitoa hilo kosa la kutoacha space. Hivi kwa mfano unaposema, ukifika mfunguo 3 dunia nzima huelekea Makka kwenda kuhiji inamaanisha Makka sio duniani?
😲Kushangaa mwisho mala moja dunia imefika zanzibar 🤗 swali na Zanzibar imefika wapi?Ktv tz online kidoti swali hilo🙄😞
@ukhtysakinaa7664
5 жыл бұрын
😂😂 inaonekana iko kwa planet nyengine sasa ndo ishafikiwa na dunia
@zayyatiyussuf9566
5 жыл бұрын
@@ukhtysakinaa7664 😂😂😂😂😂😂😂MUACHIE KTV TZ ANIBU
@nohatredbutlove5786
5 жыл бұрын
Me nauliza, kwani unaposema mwaka 2022 dunia nzima itaelekeza macho yao Qatar kufatilia michuano ya World cup; unakuwa unamaanisha Qatar sio duniani?
@nohatredbutlove5786
5 жыл бұрын
Au unaposema ukifika mfunguo 3 dunia nzima hukimbilia Makka kwenda kuhiji inamaanisha Makka sio duniani?
@khajumkhamis7910
5 жыл бұрын
@@zayyatiyussuf9566 ZANZIBAR imefikia ktk planent ya Mars ila kama ww unazidi kutuekea chuki achana nasi coz naona comment zako nyingi sana ya kwamba unaonesha ubaguzi na utofauti ila umesahau kama dini moja sisi
Dunia kufika Zanzibar huhuhu hahahahaha sorry kwa atakae kwazika nacheka tu kichwa cha habari
ewe ya allahu tujaalie heri
🤲🙏😭
Vaileth acha ujinga ww uo ubaguz wa zanzibar si mmeulet nyny watanganyik pia jua sehem gn unatuma coment kama hutupend wazanzibar ss twajipend na umoj wetu ndio mnaumia na mnaon wazanzibar wabaguz
@khajumkhamis7910
5 жыл бұрын
Allah atuzidixhie upendo wetu wazanxibari
@zayyatiyussuf9566
5 жыл бұрын
@@khajumkhamis7910 Allah atuzidishie tupendane waisilamu wote dunia zima hata wale maadui wa uusilamu Allah azifanye nyoyo zao ziwe zenye utu ktk hii dunia ili kupatikane amani dunia zima. Mnafiki Mkubwa ww.
@chamamichbabu2946
5 жыл бұрын
@@zayyatiyussuf9566 aamin yaarabil aalamini
@zayyatiyussuf9566
5 жыл бұрын
@@chamamichbabu2946 Allahumm amin
@vailethmbwambo8850
5 жыл бұрын
fatma HAMED mhhhhhhhh sifa ya mdomo kutamka Ila sasa kinachotamkwa,,,,ukweli nyie wabaguz na huyo mungu wenu hana hasira
Mwanzo mumeonyesha msikiti wa kiembe samaki na watu wake ndani na baadae munatuonysha picha ya watu wamelala. Mbuna hamueleweki!!!!!
mtangazaji rekebisha maneno yako hii haifanani na hija hata siku moja
Hayo matangazo yenu yanakera
wazanzibar walivyo wabaguz huyo mungu wao yuko wap
@shamsahaji6202
5 жыл бұрын
Astaghfirullah sasa ww unafanya nini uandishi wako tu inaonekana na ww mbaguzi .mufike pahala muzingatie yanayompendeza mumba .
@ashuashu3843
5 жыл бұрын
Usiseme maneno mabaya kwa wenzio fikiria kabla ya kuanza kuandika au kuongea.
@salimjuma9815
5 жыл бұрын
Elimu muhimu maana kwa jinsi ulivyoiandika iyo coment yako tu imejuulisha kama haufai ht kueka mahojiani kasome kwanza ndo utaujua ukwelia
@fatmahamed3285
5 жыл бұрын
Maninawe weh mshenz nn ubaguz si nyny mmeanz na wazanzibar mung wetu Allah kaa kimya pumbav weh
@mariamfaki1166
5 жыл бұрын
Muogopeni mungu mjinga usimjibu