INATISHA UCHAWI WAZIWAZI NYUMBA NZIMA WAHAMA, WAGANGA WAKIMBIA
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti Byego
cc: Tunu Salum
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Mwarabu Mmadi
Nassor Shaibu
Abdallah Dula
Editors:
Juma Maulid
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Пікірлер: 63
Poleni sana na Allah awahifadhi pamoja na wengine, ila musishirikishe waganga, ingawaje mambo kama hayo yapo, fanyeni njia mbadala (dua)
Mtangazaji una sauti ya utangazaji mashaallah hongera mungu kakubariki.
@sakinat2527
4 жыл бұрын
Kwa mbali sauti yake ifanane na ya Masoud maganga
@famitonawanda4831
4 жыл бұрын
Sauti kubwa mwili mdogo
@mwakahassan8742
4 жыл бұрын
Napnd saut yake
@hadijahmwajombe9588
4 жыл бұрын
@@famitonawanda4831 hahahaha mimi nilijua mlela
Me nimependa sauti yko mtangazaji mashallah
Yaani Zanzibar hakuishi juma moja mpaka usikie taarifa ya ushirikina
Hapa ndipo tumefika binaadamu hawana tena shida ya Mungu wala hawamuhitaji tena Mungu kwenye shida zao dah eti halafu tuna lalamika maisha magumu kwa namna hii kweli yatakua mazuri
Amen amen. Dawa uchawi na wachawi ni Yesu tu aishie milele yote. Amen.
Mtihani
Mtangazaji unanitisha sauti.
@iddibama6819
4 жыл бұрын
hahahha
Duh nimeipenda sauti yako ya kiume
😮😮
asante mzee wangu inglish inapanda MashaALLAH
@salumjumaruhaga2513
4 жыл бұрын
Umeonaeee Amina
@hamidahamida1473
4 жыл бұрын
Subhanalha
Mbona ivo kichwa cha habari maelezo mengine na tuliyo yaona mengine
@sajidabakari9809
4 жыл бұрын
Thumbnail wameiweka tuu kutuvutia watazamaji
Subhanallah
Gotaman 👍
Mm waganga siwaamini. Mana anaeza hata kua kamziba macho huyo mzee azidi kumtia khofu juu ya anachokikhofia. Na huyo mzee km nayy si mshirikina angeita waganga? Washirikina kwa washirikina wamekutana. Yaa Rabb tueke mbali na ushirikina na washirika, Amiin.
Caption haifanani na habari ktv
Nimependa sati yako mtanga aji tofaut na ww mwenyew
Subbhanallah
Duh hii ndio zanzibar jamani
Duuu 😳 nishida
Jemen waislam dua kwa wingi wacheni uganga musiamini piga rukiya kila usiku uta muona huyo mchawi atatoka harudi tena ayatkursi kwa wingi
Munatuletea habari hamuandiki tarehe kwanini ya habari munayaitowa nikero hili
Polen ndugu zangu
Otherwise🔨🔨😜
Nakazalika nakazalika nakazalika.
@jakayamati3510
4 жыл бұрын
Critical Thinker hahahaa
😳😳🙈🙈🙈🙈
Kiukwel nimeogopa hiyo saut ya mtangazaji nimetaka kukimbia ak mungu
Habari stachujwa vipi huku sisi wenyewe tukirogana
Yote njaa to hiyo. Hakuna chengine mana wangekuwa kila mtu anakaz ya kufanya bas yasemjgetokea hayo
Kila siku story tu tunachoka tunataka actions pia tuzione
Kazi kumshirikisha Allah..! Nahayo msokuwa NA ujuzi nayooo....? Na mna'amini vitu ambovyo havidhuru wala havinufaishi.. Kweli ni meamini sasa kua wazanzibar hawajielewi %99.... Ivooo
@bashirihajji1173
4 жыл бұрын
nyote wachawi wapumbavutupu.we we si she he?nahuo ushirikina kulikoni?
@mumzak4345
4 жыл бұрын
Amesema ni wao ni waruguru sio wazanzibari
Sishangai kwa mambo haya ndio mila zetu wazenji wenzetu wanamaendeleo ss tunaeleya haahaaa
@alhamdulillah5796
4 жыл бұрын
Mila yako peke yako. Sio kila mzanz anamila ya kishirikina.
@namisgiggah1571
4 жыл бұрын
Mtwana Jina Lako tu asili yenu ni watwana wala huna asili zenji. Ungekua na hayo bas usingechekelea.
@alhamdulillah5796
4 жыл бұрын
@@sahimm4767, Sio kweli tatizo hamjui nini maana ya shirk. Shirk sio mpaka umuhusudu mtu tu. Hata ukienda kwa mganga kutaka pesa/mali, ndoa (bwana/mume), biashara inyooke, safari na mambo mengine pia umefanya shirk. Naeza kukubaliana namtu akisema wanawake wengi wanapenda shirk lkn sio utaje nchi au kisiwa.
@alhamdulillah5796
4 жыл бұрын
@@sahimm4767, wapi shirki ilipokua haipendwi? Ww upo znz au kwa kua tu unaona kupitia mitandao yanayotendeka Znz ndio unaona Znz shirk inapendwa lkn kiujumla duniani kote shirki inapendwa. Hata hao wazungu tunaowaona ni watu wa maendeleo basi ushirikina wameueka mbele (ukiachia mbali u freemason na mambo ya kutabiria kwa kuangalia mikono na nyota pia wanayo), sikwambii sisi Waafrika, wahindi na waarabu. Ndio nikakwambia tatizo hujui nn maana ya shirk.
Rafu Road ya kuelekea Migombani ,Sakafuni mpka Chuo cha Kilimo Kizimbani (KATI)
Na kazalika duwa muhimu
@mahmoudsultan4019
4 жыл бұрын
Asalam alaykum jamani tuwache mambo ya shirki allah emetukataza na ametoa ahadi yoyote atakaeshirikisha allah hatosamehewa tuwacheee
@feyfarid0448
4 жыл бұрын
@@mahmoudsultan4019 hakuna kitu ninacho kichukiya kma shirki nimemkataa mume kwa matatizo hayo asanta kwa ujumbe mzito
@salmaadam4337
4 жыл бұрын
Mhhh baba angu jamani mbona mengine umeyaficha yamwage bwana tumechoka tuna ogopa hata kuja kutembea home kwasababu ya mambo yao yakishenzi familia ya mzee suleyman mmezidi bana hata mungu hamumuogopi
MKANYAGENI WAPII? KIGOMAA? DARESALAAM?. DODOMA AU WAPI. UNAPOTOWA HABARI ZINGATIA 1 kitu gani au niji? 2, wapi 3, lini?.4 mtowa habar hiyo nani?.
Zanzibar njema atakae aje ndio jazaa yake iyo
Kunjeni virago muende kwenu, Nyinyi ndio mnaotuletea mashaka hapo unguja
@jakayamati3510
4 жыл бұрын
shammus fredy kwao wapi tena
@hajisalum17
4 жыл бұрын
uruguruni uko
@jakayamati3510
4 жыл бұрын
Kumbe
@shammusfredy4158
4 жыл бұрын
Kwani hujui au
@YussufJAli-rz6uo
4 жыл бұрын
Bumbwini hawapo
Hata mzee nae unaamini ushirikina baada amuamini (allah) mola mlezi wa viumbe vyote..? Mbinguni NA ardhini. Na vyengine hana hata ujuzi navyo.. Na kazi zenu NI kusema uwongo na hamna chengine ila NI kudhania tu..?
@abilahimohamed5869
4 жыл бұрын
Uchawi ndio upo...na hadi qurani imethibitisha
Ushirikina nikisomi sihuko mna mashehe kina sharifu sinasikia wana dawa za kisomi kwanini hamuwatafuti hao mashehe waweke kisomi na kisome yaqitni kama kuna muoyo aadhirike