Bibi na wajukuu zake wagongwa na basi hadi kufa Kilimanjaro
Bibi mmoja na wajukuu zake wawili wamefariki dunia baada ya kugongwa basi la abiria asubuhi ya leo Septemba 21 katika eneo la Capetown, Moshi mjini.
Watu hao waligongwa na basi hilo majira ya saa 12 asubuhi wakiwa njiani kuelekea katika soko la Mbuyuni lililopo manispaa ya Moshi mjini.
Пікірлер: 3
Polen sana Mungu. awafalij, mimi nalaum selikal au viongoz wanaosimamia balabala zote ivi kuwa wabunivu wa kaz wanazosimamia hawawez had yakitokea mazala ndo wanaona tatizo mfano hapo ilitakiwa kivuko chajuu na matuta tu
Jamn ebu tuwekeeni ttafik ap serikali tunaisha tuhurumien😓😓😓
Mechael jackson mikakati ya kuishi miaka 150 na hatua alizo chukua kzread.info/dash/bejne/e52t0smtZqiqYqg.html