SAKATA la RAZABA LAMFIKIA WAZIRI SILAA - "HUU ni UVAMIZI na HILI ni ENEO la SERIKALI".....

SAKATA la RAZABA LAMFIKIA WAZIRI SILAA - "HUU ni UVAMIZI na HILI ni ENEO la SERIKALI".....
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 32

  • @globaltv_online
    @globaltv_online12 күн бұрын

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe818813 күн бұрын

    Wakati mwingine msitete kufunga mapoli tumieni hekima watu wapate sehemu ya kuishi maisha ya hapa nduniani msiwabane sana kupitiliza waweza kukuta hata hayo maeneo ni viongozi wasitafu nibora mkapatia na watanzania wakapata makaanzi

  • @LawrenceKomba-w8k
    @LawrenceKomba-w8k6 күн бұрын

    watanzania wengi wamenyimwa haki ya kujua sheria,naomba tuwasaidie watanzania walionyimwa haki yakujitambua.

  • @NDEWARA
    @NDEWARA13 күн бұрын

    Very smart Waziri 🎉

  • @CharlesiPhilimoni
    @CharlesiPhilimoni12 күн бұрын

    Hiyo elimu waziri mmechelewa kuelimisha watu wanannchi .mnachofanya sasahivi mnanyanyasa watu Tena wapigakura wenu ila mungu yupo

  • @chayomgonja3131

    @chayomgonja3131

    11 күн бұрын

    Tatizo la hii nchi kila kitu kinafanyika kisiasa…wananchi hawana makosa sababu hawana elimu lkn anachosema wazir ni sawa kisheria ndiyo hivyo… ndiyo maana kila kitu kwa busara kwa busara na huruma za mheshimiwa Rais ndiyo maneno yanayotawala… dawa ni wanasiasa wasiingilie taaluma…

  • @user-ej5sl9mn5k
    @user-ej5sl9mn5k9 күн бұрын

    Acha kunyanyasa watu elemisha sio kukebei

  • @CharlesiPhilimoni
    @CharlesiPhilimoni12 күн бұрын

    Miaka yote watumishi wa aridhi walikuwa wapi? Miaka yote? Mmelala . Wote tumekosea mkubali ila msiuwe watu kwa presha

  • @IssaAbushehe
    @IssaAbushehe12 күн бұрын

    Huyo mzee ametumia hekima sana

  • @PeterJohn-sg4oe
    @PeterJohn-sg4oe7 күн бұрын

    Waziri nenda Kibada uone jinsi maeneo ya wazi yanavyogawanwa, yaani dili zinapigwa

  • @mpefu_4936
    @mpefu_49362 күн бұрын

    Watu wamilikishwe kisheria mnawafukuza waende wapi

  • @Kijana-wa-Tanzania
    @Kijana-wa-Tanzania7 күн бұрын

    Watanganyika tusipokuwa imara tutaendelea kunyang’anywa ardhi pasi na sababu mpaka tugeuke wahamiaji katika ardhi yetu. Inawezekana vipi kumilikisha ardhi kwa TFS ambayo ni mamlaka ya misitu angali wapo Watanganyika wanahitaji ardhi kwa ajili ya maendeleo? Kwani serekali inafanya kazi kwa manufaa ya nani? Jerry ana ukichaa flani ama ni uccm tu ndio janga.

  • @user-nr2ud1dm3y
    @user-nr2ud1dm3y12 күн бұрын

    Ili uwe raia halali wa Nchi kama ulihamia kutoka Nchi nyigine, Ukikaa miaka kumi na mbili ktk Nchi husika unakuwa na uwezo wakuwa raia. Wana Nchi hao waliokaa zaidi ya miaka arobani ktk eneo hilo mimi sioni kama ni wavamizi wapewe uharali wa kumiliki eneo hilo

  • @amalykibondei1644
    @amalykibondei164412 күн бұрын

    Na razaba ndio mmiliki alikuwa yeye ndio aje awaondoe na awape haki zao sio kuwakimbia kaeni hapo

  • @seneu.2128
    @seneu.21288 күн бұрын

    Miaka yote serikali ya mapinduzi ya Zanzibar ilikuwa wapi mpaka wananchi wakaendeleza makazi yao? Wananchi hawana makosa waangaliwe vizuri.

  • @Baba-nm4qz

    @Baba-nm4qz

    5 күн бұрын

    Tumia akili mali sio yako unaenda kuchukua ili iweje

  • @amalykibondei1644
    @amalykibondei164412 күн бұрын

    Ardhi ni mali ya serikal na serikali ni nani mkishajua mtaenda vizur hakuna kutunishiana msuli

  • @vankumw3ndatalk2friends29

    @vankumw3ndatalk2friends29

    6 күн бұрын

    Kasome Sheria ya Ardhi uwone inasemaje.

  • @amalykibondei1644
    @amalykibondei164412 күн бұрын

    Inategemea hao wananchi wapo hapo muda gan

  • @LenardDaudi
    @LenardDaudi12 күн бұрын

    shiqa sana

  • @rahimwaziri1727
    @rahimwaziri172712 күн бұрын

    Njoo na mkuranga waziri Kuna madudu viwanja vya serikari

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s12 күн бұрын

    Waziri Ana akili ya ziada.

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini388712 күн бұрын

    Mie huwa sielewi mtu akisema sehemu ya serikali ? Sasa serikali ni wakina Nani? Na aliyepanga sehemu hii nakuweka kusema ya serikali ni Nani? Wakati miaka hiyo Nyerere walivyopewa Uhuru walikuwa Wana sajili kila sehemu ya aridhi na kusema hii sehemu ya serikali kwahiyo walitembea kila vijiji na mikoa . Swali?nauliza kabla ya Nyerere tulikuwa bado chini wazungu sasa hawa wazungu walitupangia sehemu. Na kusema hii aridhi iwe kiwanda ama sehemu ya serikali ? Ilikuwa hivyo sasa Nani? Na hawa Wazenji walifikaje kuwa na aridhi miaka hiyo kumilikishwa? Nchi ya maamuma

  • @andrewanset4126
    @andrewanset412612 күн бұрын

    Ninaitaji jamani namba ya waziri ninajambo muhimu

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g12 күн бұрын

    Hapa ni eneo gani

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b12 күн бұрын

    Wazili silaa itungwe sheliya anaevamiya afugwe miaka 30 nizaidi uhalifu

  • @HeboniBabu

    @HeboniBabu

    12 күн бұрын

    Utafunga Nani Sasa vipi akifu gwa baba yako

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b12 күн бұрын

    Itugwe sheliya hata kama unajenga update kibali tunaishi kama nyani Peleka muswa wa sheli wajinga watatesa nchi hii

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b12 күн бұрын

    Aludi musoma kwao waondoke hata anagolofa awondoke

  • @johnkiimbila6799

    @johnkiimbila6799

    12 күн бұрын

    Na wewe utarudi lini kwenu Burundi.

  • @johnsonmaurice1178

    @johnsonmaurice1178

    12 күн бұрын

    Halafu akirudi Musoma inakuaje

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b12 күн бұрын

    Wengine wajinga wawe wanachalazwa wakina bakalishingo hao

Келесі