SAKATA la RAZABA LAMFIKIA WAZIRI SILAA - "HUU ni UVAMIZI na HILI ni ENEO la SERIKALI".....
SAKATA la RAZABA LAMFIKIA WAZIRI SILAA - "HUU ni UVAMIZI na HILI ni ENEO la SERIKALI".....
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 32
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Wakati mwingine msitete kufunga mapoli tumieni hekima watu wapate sehemu ya kuishi maisha ya hapa nduniani msiwabane sana kupitiliza waweza kukuta hata hayo maeneo ni viongozi wasitafu nibora mkapatia na watanzania wakapata makaanzi
watanzania wengi wamenyimwa haki ya kujua sheria,naomba tuwasaidie watanzania walionyimwa haki yakujitambua.
Very smart Waziri 🎉
Hiyo elimu waziri mmechelewa kuelimisha watu wanannchi .mnachofanya sasahivi mnanyanyasa watu Tena wapigakura wenu ila mungu yupo
@chayomgonja3131
11 күн бұрын
Tatizo la hii nchi kila kitu kinafanyika kisiasa…wananchi hawana makosa sababu hawana elimu lkn anachosema wazir ni sawa kisheria ndiyo hivyo… ndiyo maana kila kitu kwa busara kwa busara na huruma za mheshimiwa Rais ndiyo maneno yanayotawala… dawa ni wanasiasa wasiingilie taaluma…
Acha kunyanyasa watu elemisha sio kukebei
Miaka yote watumishi wa aridhi walikuwa wapi? Miaka yote? Mmelala . Wote tumekosea mkubali ila msiuwe watu kwa presha
Huyo mzee ametumia hekima sana
Waziri nenda Kibada uone jinsi maeneo ya wazi yanavyogawanwa, yaani dili zinapigwa
Watu wamilikishwe kisheria mnawafukuza waende wapi
Watanganyika tusipokuwa imara tutaendelea kunyang’anywa ardhi pasi na sababu mpaka tugeuke wahamiaji katika ardhi yetu. Inawezekana vipi kumilikisha ardhi kwa TFS ambayo ni mamlaka ya misitu angali wapo Watanganyika wanahitaji ardhi kwa ajili ya maendeleo? Kwani serekali inafanya kazi kwa manufaa ya nani? Jerry ana ukichaa flani ama ni uccm tu ndio janga.
Ili uwe raia halali wa Nchi kama ulihamia kutoka Nchi nyigine, Ukikaa miaka kumi na mbili ktk Nchi husika unakuwa na uwezo wakuwa raia. Wana Nchi hao waliokaa zaidi ya miaka arobani ktk eneo hilo mimi sioni kama ni wavamizi wapewe uharali wa kumiliki eneo hilo
Na razaba ndio mmiliki alikuwa yeye ndio aje awaondoe na awape haki zao sio kuwakimbia kaeni hapo
Miaka yote serikali ya mapinduzi ya Zanzibar ilikuwa wapi mpaka wananchi wakaendeleza makazi yao? Wananchi hawana makosa waangaliwe vizuri.
@Baba-nm4qz
5 күн бұрын
Tumia akili mali sio yako unaenda kuchukua ili iweje
Ardhi ni mali ya serikal na serikali ni nani mkishajua mtaenda vizur hakuna kutunishiana msuli
@vankumw3ndatalk2friends29
6 күн бұрын
Kasome Sheria ya Ardhi uwone inasemaje.
Inategemea hao wananchi wapo hapo muda gan
shiqa sana
Njoo na mkuranga waziri Kuna madudu viwanja vya serikari
Waziri Ana akili ya ziada.
Mie huwa sielewi mtu akisema sehemu ya serikali ? Sasa serikali ni wakina Nani? Na aliyepanga sehemu hii nakuweka kusema ya serikali ni Nani? Wakati miaka hiyo Nyerere walivyopewa Uhuru walikuwa Wana sajili kila sehemu ya aridhi na kusema hii sehemu ya serikali kwahiyo walitembea kila vijiji na mikoa . Swali?nauliza kabla ya Nyerere tulikuwa bado chini wazungu sasa hawa wazungu walitupangia sehemu. Na kusema hii aridhi iwe kiwanda ama sehemu ya serikali ? Ilikuwa hivyo sasa Nani? Na hawa Wazenji walifikaje kuwa na aridhi miaka hiyo kumilikishwa? Nchi ya maamuma
Ninaitaji jamani namba ya waziri ninajambo muhimu
Hapa ni eneo gani
Wazili silaa itungwe sheliya anaevamiya afugwe miaka 30 nizaidi uhalifu
@HeboniBabu
12 күн бұрын
Utafunga Nani Sasa vipi akifu gwa baba yako
Itugwe sheliya hata kama unajenga update kibali tunaishi kama nyani Peleka muswa wa sheli wajinga watatesa nchi hii
Aludi musoma kwao waondoke hata anagolofa awondoke
@johnkiimbila6799
12 күн бұрын
Na wewe utarudi lini kwenu Burundi.
@johnsonmaurice1178
12 күн бұрын
Halafu akirudi Musoma inakuaje
Wengine wajinga wawe wanachalazwa wakina bakalishingo hao