ONA TUNDAMAN AIMBA NYIMBO ZA SIMBA MBELE YA UONGOZI WA YANGA (HERSI SAID)

Ойын-сауық

Пікірлер: 135

  • @lydiajulius9348
    @lydiajulius9348Ай бұрын

    Walio angalia zaid ya marambili kama mimi like

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714Ай бұрын

    Ushirikiano mzuri sana,mpira sio uadui🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @lazaroaloyce6649
    @lazaroaloyce6649Ай бұрын

    Uzuri wa tunda ni Simba damu so wa kuhama hama Big up kwake ❤ Simba nguvu moja

  • @ashurahatibu5069

    @ashurahatibu5069

    Ай бұрын

    akiwekewa mkataba wa kikazi na mipesa yuleee anaenda

  • @lazaroaloyce6649

    @lazaroaloyce6649

    Ай бұрын

    @@ashurahatibu5069 sidhani kwa tunda hata wanaompa kibunda hawatamuamini,yule mnyama kweli..

  • @user-cl1ut6oq1v
    @user-cl1ut6oq1vАй бұрын

    Kweli Hawa niwatani wa jadi ambae haamini atashangaaaa2🎉🎉❤❤

  • @jumaMohammedi-rt2ys
    @jumaMohammedi-rt2ysАй бұрын

    2ndaman katish🤗

  • @paulwalker4383
    @paulwalker4383Ай бұрын

    Nimependa vagi la tunda man

  • @PillyKassembo
    @PillyKassemboАй бұрын

    🔥🔥Tunda Man🔥🔥❤❤❤❤❤simba 💪💪1😘

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658Ай бұрын

    Sio utani wa kutupigia shetani wetu makolo mkue mnajua nn maana ya utani wa jadi ndo uo asante vanillah na tundaman

  • @shangwefisima3993

    @shangwefisima3993

    Ай бұрын

    Yule alizidi...alikuwa anaapa mno 😂😂😂😂

  • @mamboshepea8888

    @mamboshepea8888

    Ай бұрын

    @@shangwefisima3993 Yanga hatunaga ushabiki wa kishamba kuongea mipasho na chuki za kichawi tumewaachia makolo kitambo😃😃😃😃😃

  • @shangwefisima3993

    @shangwefisima3993

    Ай бұрын

    @@mamboshepea8888 basi huyo shetani wenu ndo mshamba! Ndo maana kikamramba kitu.... alipata kinachomfaa!!! Wenzake huwa hawajimalizi vile na kuapa vile! Nahisi ni utopolo chipukizi yule

  • @user-gx4pk2zg1g

    @user-gx4pk2zg1g

    Ай бұрын

    Eee hata nyieee hamjui utani toka

  • @maikomatayo2794
    @maikomatayo2794Ай бұрын

    nimeipenda vibe la tunda mpira siyo uwadui bhna 🎉🎉❤❤❤

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993Ай бұрын

    Bibi harusi ni simba huyo 😂😂😂😂

  • @user-ew7zb3jx7t
    @user-ew7zb3jx7tАй бұрын

    Simba ooooyooo Toka Oman

  • @errydeo8865

    @errydeo8865

    Ай бұрын

    we fala nini🤣🤣🤣kwani hiyo rugha gani?

  • @salamasaidi6620

    @salamasaidi6620

    Ай бұрын

    ​@@errydeo8865tofautisha l na r acha kujifanya mjuaji😂😂😂😂

  • @user-ng8tb1gn4h
    @user-ng8tb1gn4hАй бұрын

    Mnyama tunda Nouma ❤

  • @ceankiiza9945
    @ceankiiza9945Ай бұрын

    Mm kama mwanachama na mshabikiki wa YANGA .HII nimeipendahaswa inaonesha kua mpila sio uadui sisi ni Familia ❤

  • @scollamwanisisi2739
    @scollamwanisisi2739Ай бұрын

    Dah bibi harusi Simba dam sio wa kuunga kabsaaa Simba watu wa vibe hatar utazan sherehe Yao Simba

  • @ArafatyShabani
    @ArafatyShabaniАй бұрын

    Kaka nimekubali simba tubaki pamoja ❤❤❤❤❤ simba nguvu moja

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239Ай бұрын

    😊ND inavotakiwa safi sana

  • @user-tn3qw9nt4y
    @user-tn3qw9nt4yАй бұрын

    Kaka tunda nakupenda miaka yoteeeee❤❤❤❤❤❤ simba oyeeeeeee

  • @errydeo8865
    @errydeo8865Ай бұрын

    THIS IS SOOOOOO SWEET; NJE YA UWANJA NI NGUGU

  • @mohamedbabu533
    @mohamedbabu533Ай бұрын

    Bibi harusi saluteeeee

  • @OddoShawa
    @OddoShawaАй бұрын

    Simbaaaaaa weeeeee❤❤❤❤❤

  • @mamboshepea8888

    @mamboshepea8888

    Ай бұрын

    Keshahamia yanga kamfuata honey wake upo😂😂😂😂karibu home💚💛

  • @omaryonga-hv3lk
    @omaryonga-hv3lkАй бұрын

    Weeeee Tundamani weeeeee hatari sana kiukweli wanasimba tumefarijika...

  • @errydeo8865
    @errydeo8865Ай бұрын

    this was sooo beautifull; kolo hawakuli yanga wanye this

  • @getrudaleonard8323
    @getrudaleonard8323Ай бұрын

    Huu ndio utani mzr ss🥳🥳

  • @Namtumbo
    @NamtumboАй бұрын

    Simbaaaaaa❤❤❤❤❤

  • @user-yz2uw1vr4j
    @user-yz2uw1vr4jАй бұрын

    umetisha tundra hao makolo2

  • @hawamhanga2951
    @hawamhanga2951Ай бұрын

    😂😂😂😂woooyooo simba nguvu kweli🎉🎉🎉🎉🎉 bi harusi kapagawa

  • @ramadhanidhahabu9509
    @ramadhanidhahabu9509Ай бұрын

    Na tunda ndio kaondoka na kijiji sasaaa

  • @user-wh5zz5dk2g
    @user-wh5zz5dk2gАй бұрын

    Aliyeona bi harus kachangamka😂😂😂

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6djАй бұрын

    ❤❤❤simba❤❤

  • @user-tq5op2rp1e
    @user-tq5op2rp1eАй бұрын

    Aisee hingera sana

  • @MizzoDizzo-hy3xf
    @MizzoDizzo-hy3xf20 күн бұрын

    Mambo moto

  • @user-zp8si1xm8g
    @user-zp8si1xm8gАй бұрын

    Tunda baba huna bay❤

  • @josephlawrence1145
    @josephlawrence1145Ай бұрын

    Tunda hajawaita watu waje mbele, walikuja wenyewe kwa vibe 😂. Naona dogo Kamwe anahangaika kuwaita watu wasogee mbele

  • @ThomasfrancisMvella

    @ThomasfrancisMvella

    Ай бұрын

    Ila cmba mmetisha....ingawa uwanjani Anna maajabu kwa sass

  • @AfsaAbdul
    @AfsaAbdulАй бұрын

    😂😂bi harusi the way alivyo changamka kisa simba 😂😂😂😂

  • @fifo262
    @fifo262Ай бұрын

    Mpira si uadui nmependa nyimbo ya simba kuimbwa ndani ya yanga hadi biarusi kacheza da

  • @abouamazing3406
    @abouamazing3406Ай бұрын

    🔥🔥🔥unyama mwing tunda

  • @user-tr8kz6wc1j
    @user-tr8kz6wc1jАй бұрын

    Simba ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530Ай бұрын

    Sherehe yao tunatamba sis

  • @karimumohamedi5421
    @karimumohamedi5421Ай бұрын

    Hatar sana

  • @honesthenry901
    @honesthenry901Ай бұрын

    Nakubali

  • @karimumohamedi5421
    @karimumohamedi5421Ай бұрын

    Simba ngumu moja

  • @stevemayala2739
    @stevemayala2739Ай бұрын

    Hii imependeza sana

  • @aminasoud7797
    @aminasoud7797Ай бұрын

    Aaah wapi mmechelewa

  • @user-yz2uw1vr4j
    @user-yz2uw1vr4jАй бұрын

    Simba kwanza❤❤❤❤

  • @user-qd8bk1pq7d
    @user-qd8bk1pq7dАй бұрын

    Wew dogo mgeni kwenye utani

  • @PaulKilongozi-qk2eg
    @PaulKilongozi-qk2egАй бұрын

    Kwani sindio raha Ali kamwe anaitaka my wetu sindio huyo

  • @emanuelmlenge5044
    @emanuelmlenge5044Ай бұрын

    Tundaman Katiadoa 😅😂

  • @AshaShegao
    @AshaShegaoАй бұрын

    hawez kuhama simba jaman

  • @OmaryFadhir-ie9ub
    @OmaryFadhir-ie9ubАй бұрын

    Simba na yanga ndo darb iz zngine ni mtanange

  • @user-lf5mo3tp9k
    @user-lf5mo3tp9kАй бұрын

    Me yanga ila nimependa tu wanavotaniana

  • @YoungBrazu-xl2uz
    @YoungBrazu-xl2uzАй бұрын

    Simba damuuuuuuu

  • @ThomasfrancisMvella
    @ThomasfrancisMvellaАй бұрын

    Am yanga fun,,,ila simba mmetisha....

  • @Amirimwashembe
    @AmirimwashembeАй бұрын

    Oya hii co pw hdi harus kachangamka aisee hadi raha😂

  • @user-qd8bk1pq7d
    @user-qd8bk1pq7dАй бұрын

    Ally wew kila wakt upo kwenye ujinga tu , hizi timu sio maadui hizi timu ni watani wa jadi , ulizia Kwa baba ako

  • @EzekielMhapa-nf5sl

    @EzekielMhapa-nf5sl

    Ай бұрын

    Sasa Ally kafanyaje hapo😂😂😂

  • @swaumuiddi
    @swaumuiddiАй бұрын

    Nimependa😂😂😂😂

  • @trice_yanga
    @trice_yangaАй бұрын

    bi harusi kachangamka kwenye simba hapo😂😂😂

  • @MacrinaLameck-yv2mu

    @MacrinaLameck-yv2mu

    Ай бұрын

    Kumbe na wewe umeona eee maana alikua amepoa tunda kamchangamsha na vibe la simba

  • @emanhokilinda326
    @emanhokilinda326Ай бұрын

    Utani c uhasama kama alikua anaufanya manara👊👊👊

  • @habibuhabibu9728
    @habibuhabibu9728Ай бұрын

    Simba nguvu mojaa😂😂

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148Ай бұрын

    Mbona bi harusi kanuna utafikili kalazimishwa

  • @Nuru9568

    @Nuru9568

    Ай бұрын

    Mwenzangu kakamaa uyo kama kamwagiwa Asidi😂😂

  • @LuciaSamwel-bo7cu

    @LuciaSamwel-bo7cu

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂hajazoea hayo mambo anataka kaswida 😅

  • @stn4873

    @stn4873

    Ай бұрын

    Nimeshangaa, au ndio zile za huyu anataka akuoe alfu shwaaa

  • @user-lw8zv8jp3p
    @user-lw8zv8jp3pАй бұрын

    Huu sasa n ubabe

  • @bakarimahenge
    @bakarimahengeАй бұрын

    hongera hiyondiyomaana yautani wajani

  • @errydeo8865

    @errydeo8865

    Ай бұрын

    KABISAAA;;TS FUN

  • @HamiduFuad

    @HamiduFuad

    Ай бұрын

    Very good mtani

  • @mwanatumukombo4497
    @mwanatumukombo4497Ай бұрын

    Bi harusi kanuna au ndio sura yk

  • @naimamagwala1368
    @naimamagwala1368Ай бұрын

    Tumewaoa hata kwenye maisha halisi 😀😀😀 wanashukuru wamepata ndoa

  • @Bmsecret
    @BmsecretАй бұрын

    HAMNA NDOA HAPO

  • @jumaalmasjuma1700
    @jumaalmasjuma1700Ай бұрын

    Pamoja na mpira ila mahusiano mengine yaendelee

  • @user-ok4jk7tk3d
    @user-ok4jk7tk3dАй бұрын

    Ww tunda ww czani kama watakualika tena shughul xao ila umetisha kaka nimependa umewakela cmba ni yetu ss

  • @user-tn3qw9nt4y
    @user-tn3qw9nt4yАй бұрын

    Bwa alusi utajua ww kusuka au kunyoa bibi alusi ndo wetuuuuuu

  • @rosesilio9008
    @rosesilio9008Ай бұрын

    Mshxxxxx tunda man umeniboa

  • @Amirimwashembe
    @AmirimwashembeАй бұрын

    Bi harus alikua kapoa mpka kachangamka kwa viba la mwamba

  • @user-qw7xs9vt5l
    @user-qw7xs9vt5lАй бұрын

    Mwanaume kashangaa kabix mke wake alivochngamka

  • @CatherineAmos-zw8dx
    @CatherineAmos-zw8dxАй бұрын

    Simba na Bubi harusi Oyeeeeeeeeeeeee

  • @swabialli8542
    @swabialli8542Ай бұрын

    Harusi ya nani kwani

  • @SaidiSalum-ut8en
    @SaidiSalum-ut8enАй бұрын

    Hapa utan ndan ya shereh za nyuma mwiko🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ZAMZUNZAMIRU
    @ZAMZUNZAMIRUАй бұрын

    Haaaaaataaaaaaari nunuusu

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dyАй бұрын

    huyo tunda njaa inamsumbua toka lini kwa yanga, mnafiki km yeye na huyo mobeto wake matunguli hebu watoke hatuwahitaji wanafiki kwenye timu yetu

  • @user-zg9zq6so4r

    @user-zg9zq6so4r

    Ай бұрын

    Hio haruc hakuna Tim hapo Malaya wakiindi ww

  • @user-rk6sx2bw3e

    @user-rk6sx2bw3e

    Ай бұрын

    Watani bhana Acha hizo

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64Ай бұрын

    Hawa Tena wametoka.wapi😂😂😂 msafara wa mamba Hawa ndio kenge wenyewe ila nimependa Sana . Utani sio.uadui😅😅

  • @omariaman7818

    @omariaman7818

    Ай бұрын

    Yan simba ndo timu inawashabiki wanapenda timu yao nakwambia

  • @MarianaDonarld
    @MarianaDonarldАй бұрын

    Harudi ya nani?

  • @Japhari-fu5oj
    @Japhari-fu5ojАй бұрын

    kikund cha wahun 😂😂❤

  • @user-pt4ts3ho3g
    @user-pt4ts3ho3gАй бұрын

    Huyu mwanamke amepoa sana

  • @user-pr7kk7zq1m
    @user-pr7kk7zq1mАй бұрын

    😂😂😂😂😂et wameshinda 5 lakin hawajiamini

  • @israelkisaila8401

    @israelkisaila8401

    Ай бұрын

    😂😂😂nimefurahi sana WATANZANIA safi sanaa

  • @user-kf8yl1lc4m
    @user-kf8yl1lc4mАй бұрын

    Nimefurai hadi nalia😊

  • @MacrinaLameck-yv2mu

    @MacrinaLameck-yv2mu

    Ай бұрын

    😄 🤣 😂 😆 unalia nini sasa

  • @user-kf8yl1lc4m

    @user-kf8yl1lc4m

    Ай бұрын

    @@MacrinaLameck-yv2mu yn vile tunda ameimba vzr alafu hy furaha y watu wasimba bs mie kilio😁😁

  • @MacrinaLameck-yv2mu

    @MacrinaLameck-yv2mu

    Ай бұрын

    @@user-kf8yl1lc4m 😄 🤣 😂 duu mii icho kipande nimekirudia mara 5 vibe la simba limenifurahisha

  • @MwanaidiAlly-jr8uq
    @MwanaidiAlly-jr8uqАй бұрын

    Huyu tunda walimuita wanini hapo mbele kaja kuhalibu hali ya hewa tu😂😂😂

  • @ramamohamed492

    @ramamohamed492

    Ай бұрын

    Kima. Nyamaza uyu mtani wetu hatuna budi kumchukia mpira sio uadui

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825Ай бұрын

    Hongera Sana Kwa Tunda Man Kumpa Bi.Harus Furaha

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475Ай бұрын

    Leo Man united tunashind dhidi ya Arsenal. Viva viva Manchester

  • @celifpower4993

    @celifpower4993

    Ай бұрын

    Kiko wapi 😂😂 kiko wapi chaku ifunga arsenal

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945Ай бұрын

    Mobeto SIMBA na tunda man simba wote ni wanyama. SIMBA NGUVU MOJA ❤️💯❤️

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6opАй бұрын

    Huyo kiroba mmemtoa wapi?

  • @MollyAlphonce-gq6zs
    @MollyAlphonce-gq6zsАй бұрын

    Hata hela hawatoi hawa makolo😅😅

  • @AishshibnShibani

    @AishshibnShibani

    Ай бұрын

    Mbona wametoa

  • @ZuhuraMwalimuShabani

    @ZuhuraMwalimuShabani

    Ай бұрын

    Lakini ndio wenye furaha na wamechangansha ukumbi😊😊😅😅😅

  • @MollyAlphonce-gq6zs

    @MollyAlphonce-gq6zs

    8 күн бұрын

    😅😅😅

  • @salmoomorefeelingproductio1744
    @salmoomorefeelingproductio1744Ай бұрын

    Kweli hii ndo maana ya utani,hongera

  • @user-nc4ko3qz7t
    @user-nc4ko3qz7tАй бұрын

    ❤❤❤❤🦁

  • @RamadhaniWililo-zw1sx
    @RamadhaniWililo-zw1sxАй бұрын

    Ila mwana mke mhu mbona yupo siliaz sana au amelazimishwa

  • @deborahcharles4916

    @deborahcharles4916

    Ай бұрын

    Amelazimishwa yanga

  • @jacobmwalituke8981
    @jacobmwalituke8981Ай бұрын

    Kweli hii nchi ukizaliwa ama wewe Yanga au simba

  • @UmmyHassani-fq4vb
    @UmmyHassani-fq4vbАй бұрын

    Bi harusi simba dam vibe lake meliona lakini🤣🤣🤣😍😍🥰🥰🥰🥰

  • @aivenhanny9101
    @aivenhanny9101Ай бұрын

    Kenge hawakosi kwenye msafara wa mamaba

  • @AshimuMuhammad
    @AshimuMuhammadАй бұрын

    Utani kwenye sherehe za ndoa huyu mikhadaraty apunguze

  • @user-by6ld5wj6h

    @user-by6ld5wj6h

    Ай бұрын

    Ndo jadi yetu utan sio kweny harus 2, hata misibani utani wa simba na yangu upo

  • @najmasalim-rg6ow

    @najmasalim-rg6ow

    Ай бұрын

    Mnavutaga wote

  • @israelkisaila8401

    @israelkisaila8401

    Ай бұрын

    Halafu mke wa alwatan mbona ni kama Simba?

  • @errydeo8865

    @errydeo8865

    Ай бұрын

    @@israelkisaila8401 SHE IS

  • @AshimuMuhammad

    @AshimuMuhammad

    Ай бұрын

    @@israelkisaila8401 ndyo Simba spots

  • @stoniceagxy
    @stoniceagxyАй бұрын

    NIngekuwa karibu ningempiga bomu

  • @vffvff6317

    @vffvff6317

    Ай бұрын

    Sabbu gani saa

  • @user-he3me7co9y
    @user-he3me7co9yАй бұрын

    Bi harusi kachangamka baada ya kuona cmba wenzake😂😂😂

  • @rosesilio9008
    @rosesilio9008Ай бұрын

    Mshxxxxx tunda man umeniboa

  • @emmanuelmchomvu2676

    @emmanuelmchomvu2676

    Ай бұрын

    Kwan n vita

Келесі