HAMISA MOBETTO AMWAGA HELA YANGA MBELE YA ALI KAMWE & ENG. HERSI

Ойын-сауық

Пікірлер: 48

  • @Suhannayn
    @SuhannaynАй бұрын

    Anasikia haya jaman biharusi...kila la kher Allah awazidishie mahabba,mawadda wa rahma

  • @elizabethgulday1557
    @elizabethgulday1557Ай бұрын

    Kweli Bw. Harusi anaenjoy ila Bi. harusi sasa kanuna mpaka anakera yaana kama mshumaa wa pasaka hatikisiki

  • @JumaDea
    @JumaDeaАй бұрын

    Nyieeee

  • @user-vq1nm2mh3s
    @user-vq1nm2mh3sАй бұрын

    Misa mitano tena💚💚💚💚💚

  • @jemimabakari
    @jemimabakariАй бұрын

    Bi harusi hilo ua lilimchosha,khaa😅

  • @aminakadukadu7610
    @aminakadukadu7610Ай бұрын

    Sherehe pambe bwana harusi ana vibe lakutoaha ila bi harusi kanuna sana kama kalazimishwa

  • @umalqasimalhamhami6707
    @umalqasimalhamhami6707Ай бұрын

    Jaman mbona babuu arus atulihii😅😅😅

  • @user-sn6dc9gh8k

    @user-sn6dc9gh8k

    Ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @fatmaallyabdul1732

    @fatmaallyabdul1732

    Ай бұрын

    Ulishawahi kuona wapi mwanaume anatulia??

  • @user-cx3kd3dg6i
    @user-cx3kd3dg6iАй бұрын

    Hamisa amenoga jmn

  • @HadijaMussa-cf4em
    @HadijaMussa-cf4emАй бұрын

    Biharusi sijampenda kanuna huyobkama kalazimishwa

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dyАй бұрын

    msituletee watu wa simba huku yangu na matunguli yao

  • @saniamashoto2195
    @saniamashoto2195Ай бұрын

    Mc Sio professional ndo ubaya wa Hii shughuli ila kila kitu pambe

  • @user-uf8ot1mq8c
    @user-uf8ot1mq8cАй бұрын

    Kijana uko safi

  • @user-kh7bc4js1m
    @user-kh7bc4js1mАй бұрын

    Mungu atakupa wako mma pia wwe hamisa

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148Ай бұрын

    Mbona bi harusi kanuna mpaka kanuna tena

  • @AishaBakari-qc5to

    @AishaBakari-qc5to

    Ай бұрын

    Muislam Sana alafu anaaibu sana

  • @naimasbuguza2395

    @naimasbuguza2395

    Ай бұрын

    Haina maana kuwa Hana furaha, Kuna wengine mbele za watu wanaaibu nyingi

  • @user-nl8my3ye5d
    @user-nl8my3ye5dАй бұрын

    Bona kanuna huyu biharusi hivyo kwani kalazimiswa kuole hani hata kataba sam😂😂😂😂

  • @vffvff6317

    @vffvff6317

    Ай бұрын

    😂😂😂

  • @SadaMsangi-im3wj
    @SadaMsangi-im3wjАй бұрын

    Bibi harusi kanuna muda woooooooote tatizo nn sema alwatani kajitahidi katabasam muda wote

  • @vffvff6317

    @vffvff6317

    Ай бұрын

    Ba harusi happy san

  • @user-vr3hp4xs8m
    @user-vr3hp4xs8mАй бұрын

    Kanuna bi harusi hata hatabasam jmn au atakua kaona mke mwenzie

  • @vffvff6317

    @vffvff6317

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @abedirv7366
    @abedirv7366Ай бұрын

    Bado ali kamwe

  • @MariamRamadhan-vf1jk
    @MariamRamadhan-vf1jkАй бұрын

    Mmh kalazimishwa uyu😂

  • @pendomedard9246
    @pendomedard9246Ай бұрын

    Adi mwanaume amelewi mkewe anavo kaa anamangalia lakin mwanamke wapi

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069Ай бұрын

    Katika mambo wanayofeli Yanga ni kutokuwa na DJ sahihi kwenye shughuli zao

  • @suzan4200

    @suzan4200

    Ай бұрын

    Hiyo ni sherehe ya yanga au ni ya mfanyakazi wa yanga jaribu kutofautisha taasisi na mfanyakazi wa taasisi flan itakusaidia

  • @Rahmatz8172

    @Rahmatz8172

    Ай бұрын

    Dj na Mc ni ovyo kbsaaa mm nasikia chengaaa chengaaa tyu

  • @JescaMuyabi-ix8ly
    @JescaMuyabi-ix8lyАй бұрын

    Yanga Hatuna jambo dogo hongera

  • @KhadijaJuma-pb6fw
    @KhadijaJuma-pb6fwАй бұрын

    Mbona biharus kacheka mwsho vizur

  • @ZuhuraNhumbi
    @ZuhuraNhumbiАй бұрын

    Kanuna mpaka sherehe haijashangamka hapo mwanaume tuu ndo anatabasamu

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763Ай бұрын

    Abdulaziz mwanangu mambo na watu usifrahiye tu towa na wewe upewe nipe nikupe

  • @rizikiabdalla2501

    @rizikiabdalla2501

    Ай бұрын

    Nirafiki yake kwahiyo kwenye urafiki hamna kurudisha ni udugu kwahiyo my wangu Hamis amemoa ndugu yake

  • @user-dc6ut6qx6x
    @user-dc6ut6qx6xАй бұрын

    kama kalazimishwa kuolewa huyu dada vipi

  • @aminakipande5645

    @aminakipande5645

    Ай бұрын

    Kisirani huyu nyumba yaenda waka moto halafu aonekana mchoyo 😂😂😂😂😂

  • @vffvff6317

    @vffvff6317

    Ай бұрын

    Ni mwarb uyo dada😂😂 kwa Roho mbaya ​@@aminakipande5645

  • @AsheyAmey-hl5em
    @AsheyAmey-hl5emАй бұрын

    Saa wanacheza wimbo gani au cm yangu mbovu

  • @hawaidd1873

    @hawaidd1873

    Ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @gracetemba5851

    @gracetemba5851

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @LatifaLatifa67-ho1zr

    @LatifaLatifa67-ho1zr

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @aminakipande5645

    @aminakipande5645

    Ай бұрын

    😂😂😂 mbovu hiyo 😂😂

  • @petermanala6138

    @petermanala6138

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂huelew

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171Ай бұрын

    Hizi simu dah mmesahau mpo seheme za watu acheni sim shame on you

  • @jemimabakari
    @jemimabakariАй бұрын

    Bi harusi hilo ua lilimchosha,khaa😅

  • @clementinaaguka
    @clementinaagukaАй бұрын

    Bwa harusi ana mchechetoooo

Келесі