CARO YANGA ATOA SIRI MAHUSIANO ya HAMISA MOBETTO na AZIZI K ATOA ONYO kali wenye SHOBO na WACHEZAJi

Ойын-сауық

_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe KZread channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

Пікірлер: 75

  • @Maryc2G
    @Maryc2GАй бұрын

    Caro yanga nimekuoenda unashsuri vizuri sana, nimekupenda tabia yako, you’re very smart 💪🏽

  • @rajabdibwa6415

    @rajabdibwa6415

    Ай бұрын

    Sema huwa anatukana sana kwenye comment 😂

  • @HadijaSalum-kf6gy
    @HadijaSalum-kf6gyАй бұрын

    Huyu dada nilikua namuelewa vibaya ila kumbe ana akili xana

  • @RabaniMwasenga
    @RabaniMwasengaАй бұрын

    Hongera sana dada yangu

  • @angellufulan
    @angellufulanАй бұрын

    My role model sasa nqkupenda Sana Caro❤

  • @SamwelIsack-fj7vd
    @SamwelIsack-fj7vdАй бұрын

    nafurahi Sana Kumbe inaitwa, nimekuckia S ana kwa kuipenda Yanga inakupa Raha dada,

  • @mshua337
    @mshua337Ай бұрын

    Ndugu mtangazaji kwani Aziz na Amisa wakinyanduana kuna shida gani?

  • @MatonangeMathias
    @MatonangeMathias23 күн бұрын

    Dagaa niceee youuu

  • @faridaaldo7547
    @faridaaldo7547Ай бұрын

    Nakukubali sana mdogoangu

  • @NeymarKapela
    @NeymarKapelaАй бұрын

    Upo vzr Sana mpz Naomba Namba yako

  • @alijuma5642
    @alijuma5642Ай бұрын

    Caro nakukubali sana , Nakupenda kama Mwana yanga mwenzangu

  • @salmagodfrey4043
    @salmagodfrey4043Ай бұрын

    Nakupenda mdg ang ujui tyu

  • @user-ic8oj1fy7q
    @user-ic8oj1fy7qАй бұрын

    Caro samahani sana, naomba namba yako,nimekupenda bure, you are Super woman.❤❤

  • @morandikaroli2774
    @morandikaroli2774Ай бұрын

    Her very clever

  • @jomsafirikajinaki8820
    @jomsafirikajinaki8820Ай бұрын

    Deus te abençoe, pelo conselho.🇲🇿

  • @amosihokororo9702
    @amosihokororo9702Ай бұрын

    Nampenda Sana mtangazaji🌹

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5ztАй бұрын

    Safi sana wajina wangu upo vizuri sana 🎉🎉🎉🎉

  • @user-qo8eu1br6f
    @user-qo8eu1br6fАй бұрын

    Nice interesting 🔥🔥🔥💕💞😍👌

  • @fadhilimkanimkole272
    @fadhilimkanimkole272Ай бұрын

    Tunaishia kuonana Twitter2 hatimaye nimekusikia live "Congratulations "

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043Ай бұрын

    Namkubali sana uyu dada❤

  • @mohamedmaliki698
    @mohamedmaliki698Ай бұрын

    No comment caro🔰💪

  • @user-dh2gw2kr7q
    @user-dh2gw2kr7qАй бұрын

    She very smart gul

  • @user-jj3tq1rh4p
    @user-jj3tq1rh4pАй бұрын

    hongera sana kwa majibu mazur

  • @sunguraally2456
    @sunguraally2456Ай бұрын

    KIBIBI ..IOVE YOU SO MUCH

  • @ManfaceFildoline-hi7yo
    @ManfaceFildoline-hi7yoАй бұрын

    Caro una ongea point nzuri sana ❤❤

  • @richardmessayi9578
    @richardmessayi9578Ай бұрын

    Caro akili kubwa sana!

  • @lucksmwamlima
    @lucksmwamlimaАй бұрын

    Hongera dada Kuna baazi ya mashabiki wanawaita wadada chaboll waache Mara moja Sio Tabia zuri

  • @SurprisedMacawBird-qh7dg
    @SurprisedMacawBird-qh7dgАй бұрын

    WELL DONE

  • @ManfaceFildoline-hi7yo
    @ManfaceFildoline-hi7yoАй бұрын

    Damu zimegandana sanaaaa iyo imeendaa🎉🎉

  • @MuharamiChiboko
    @MuharamiChibokoАй бұрын

    Uko poaa sister ❤❤

  • @edwinkajuna7207
    @edwinkajuna7207Ай бұрын

    Hakuna ukweli wwt kwenye maelezo.ya huyu Dada,Saikolojia inazungumza yenyewe...

  • @josephntungiye6232

    @josephntungiye6232

    Ай бұрын

    Yes true

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870Ай бұрын

    Hi my dear Caro hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827Ай бұрын

    Nakupenda sn mamy

  • @mbanga6759
    @mbanga6759Ай бұрын

    Usikute hata hamisa maskini Hana muda wa kutembeya na mwamba maskini Ila akili zetu zinatulisha dhambi

  • @umfahad2609

    @umfahad2609

    Ай бұрын

    Umeona eeeh??? Dhana mbaya. Ht Mungu amekataza kumdhania mwenzako vibaya. Km huna hakika.

  • @tinamalele8560
    @tinamalele8560Ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7rАй бұрын

    Akilnyingi sana mwanchi

  • @tinamalele8560
    @tinamalele8560Ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @user-je9om4lh5c
    @user-je9om4lh5cАй бұрын

    💚💛💚💛💚

  • @yusuphsaidi4460
    @yusuphsaidi4460Ай бұрын

    Ana akili sanaa

  • @PhilipoMwasha
    @PhilipoMwashaАй бұрын

    Unaongea vizuri sana

  • @salumchoma8731
    @salumchoma8731Ай бұрын

    Yes caro hii ndiyo timu ya ukweee siyo ya Hawa madunduka mputempute

  • @JescaMuyabi-ix8ly
    @JescaMuyabi-ix8lyАй бұрын

    Heshima Kwako unajiekewa sana

  • @janejoel2465
    @janejoel2465Ай бұрын

    💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💛💛💛

  • @yohanaphares8733
    @yohanaphares8733Ай бұрын

    Ndani kipensi 😂😂😂

  • @user-uf8ot1mq8c
    @user-uf8ot1mq8cАй бұрын

    Nimekuona karlo

  • @umikifupa-mi3re
    @umikifupa-mi3reАй бұрын

    +254 muvh❤

  • @rwizajovin9778
    @rwizajovin9778Ай бұрын

    Naomba namba yako caro

  • @AllyMohammed-nv5sj
    @AllyMohammed-nv5sjАй бұрын

    Noo Simba 3:12

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462Ай бұрын

    Nimekuelewa sana sister hata mmi nilikua na mashaka na WWE ila Leo nimekuelewa

  • @edwinkajuna7207
    @edwinkajuna7207Ай бұрын

    Unawezaje kutuhakikishaia kuwa ni best friends tu?

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923Ай бұрын

    Acha uongo wedada watu wanatongoza ad Jini sembuse wewe kwana unakunya moto.

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gsАй бұрын

    Wadada mna sili nyie🤗🤗🤗🤗🤗

  • @MonaMbalike
    @MonaMbalikeАй бұрын

    Sura yake tu kwa sisi tulosomea quba ni muongo huyo amisa chakula y viwani na yy pia chakula

  • @kassimourio6879
    @kassimourio6879Ай бұрын

    Mwenyezi Mungu akupiganie ktk ahadi uloweka ya kuwa mwaminifu kimaadili🎉🎉🎉❤❤❤

  • @annajohn2488
    @annajohn2488Ай бұрын

    Kwa Hilo sura la kiume akutongoze nani

  • @mussakingazi8875

    @mussakingazi8875

    Ай бұрын

    Mbona wewe una sura ya mama

  • @aishabakari8040

    @aishabakari8040

    Ай бұрын

    Ndio M/Mungu kamuumba kama ww wamuona wakiume sisi twamuona wa kike mxiiuuu😂

  • @carolineculture3204

    @carolineculture3204

    Ай бұрын

    Ww mbona una sura kama uchi wa mama ako mzazi 😂😂😂

  • @mwanakupona
    @mwanakuponaАй бұрын

    Unayemhoji huyo mwambie sio mpila....mpira. tena yeye ni mtangazaji aibu wakenya hapa Mombasa wanatucheka

  • @Brunn-mh2bq

    @Brunn-mh2bq

    Ай бұрын

    WaTz wanajitweza sana siku hizi kwa kubananga Kiswahili. Sijui tulikosea wapi 😢

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    We acha tuu ni aibu kubwa mnoo 😢😢😢😢

  • @mwanakupona

    @mwanakupona

    Ай бұрын

    @@MiriamAbdallah makosa ni anayemhoji angezima video akamwambia atamke R...MPIRA. Kisha akaendelea

  • @snipershort6988
    @snipershort6988Ай бұрын

    Madanga zee hili halijaolewa koo!

  • @user-ch5dx2ku9z
    @user-ch5dx2ku9zАй бұрын

    Unaujua mpila

  • @AminaAmina-cr8jq
    @AminaAmina-cr8jqАй бұрын

    Muongo huyo alikuwa simb na alivaa,jez,ya simba muongo hyo anaangalia maokoto

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530Ай бұрын

    Uto awajui kubrandi watu wao hy adi aje kufikia kay mziwanda Aggy

  • @aproniamasatu5810

    @aproniamasatu5810

    Ай бұрын

    babu hao ma tom boi usiwafananishe na caro

  • @musamagulu2023

    @musamagulu2023

    Ай бұрын

    Hao ni watoto wa caro yaan Kay na Aggy kwa Caro mbingu na ardhi

  • @billgussy6099
    @billgussy6099Ай бұрын

    Huyu dada anajitambua

  • @mrishojuma4695
    @mrishojuma4695Ай бұрын

    Aisee kumbe wewe dada unajitambua

  • @user-dc8xu7cr2t
    @user-dc8xu7cr2tАй бұрын

    Namkubl san huyu mdada

  • @angellufulan
    @angellufulanАй бұрын

    My role model sasa nqkupenda Sana Caro❤

Келесі