ALIKIBA ALIVYOTUMBUIZA SIMBA DAY 2023, MASHABIKI WAITIKA..
Спорт
SIMBA DAY: Hivi ndivyo Mfalme wa Bongo Fleva King @officialalikiba alivyoingia katika dimba la Benjamin Mkapa …
Tupo #LIVE kwenye KZread Channel ya UFMRADIOTZ na 107.3 UFM Radio
#UFMUpdates #SimbaDay #TamashaLaSimbaDay #SimbaSC #UnyamaMwingi #Unyama #SikukuuYaSimba
@simbasctanzania @ahmedally_
Пікірлер: 373
Mfalme Wetu❤️❤️🦁..Uyu Ndio Msanii Kipenzi Chetu,Msanii anayemueshimu Mungu na Kumuabudu pia.Hababaishwi na strehe za Dunia.Ndio maana Hana tattoo Wala hajatoboa pua.Nampenda na Moyo wngu Wote❤️❤️❤️. Allah Akujalie Kila la kheri mfalme Wetu🦁❤️
@mozasalum8742
11 ай бұрын
Kumamamayo Angelikua anamheshimu mungu angefanya yotehaya haramu
@chagaboy2532
11 ай бұрын
Kasikie vibaya Uko Kwenu wewe.Kama Umekasirika Jitie kidole unuse,kudadeki zako
@christianmwashala9760
11 ай бұрын
Apo peny kumueshim mungu unajuaje na unajuaj kua ababaishwi na stareh za Dunia,,yaaan tumpend kweny music ila sir ya mtu msogeleee na kuish nae utajua mengi
@reganringo9058
11 ай бұрын
@@mozasalum8742 matusi ya nini
@mussamussa8181
11 ай бұрын
Umesemq point nying umesahau tu mzk nao ni ushenzi 😅😅😅😅😅
me nilikuwa team mond ila saiv nimehamia team kiba umekuja simba umetisha sana
The really star for bongo flavor. Mtu apendwaki na kila wanadamu. Ongera ndugu ali, allah azidi kukuzidishiya.
Tanzania 🇹🇿 Raha sana I'm proudly to be a tanzanian
Mfalme wa bongo freva Mungu akulinde kipachi chako 🔥💥💥👊🇹🇿
@sturbbornvideoz8547
11 ай бұрын
Ni fleva si freva😂
@hazinamjema5259
11 ай бұрын
@@sturbbornvideoz8547 x
The one and King in Tanzania kuongezea ni mfalme wa East Africa....kipenzi Cha wote pole na mkarimu...kipaji Cha kuzaliwa hakina mfano wake...big up Bro
Ali kiba ni MYAMA kweli Show yake hii mpaka Mh. Rais Samia alihuzulia kulishuhudia LIVE. daaah #Kingkiba MYAMA #MYAMA🎵❤❤❤ #KINGKIBA👑 #SUMU🎵❤
Nakukubali sana alikiba na ulivohamia simba ndo kabisaaaaaa❤❤❤❤❤
Mnyamaaaaa🦁🦁🦁🦁🦁❤❤❤❤❤❤
Pita kelele king mnyama umetishaa🎉🎉🎉🎉🎉 l love you
Wenye nchi hao🦁🦁🦁❤❤❤
Yeeeeeeee babaaaaa ❤️💯💯💯💯💯💯
Unyama 4ever 🦁🦁🦁🦁🦁
You guys in Tanzania you care for your talents in Kenya we never such large multitudes of people just for football big up TIZI(TZ)
Dc Mwijaku chawa International umetisha sana
No 1 like you,I love 4 rever
Yes mfalme wa Bongofleva ndio huyu sasa❤ KingKiba n balaaah na nusu
Once a King always a King
Unyamaaaaaaa💕💕
Mwijaku juu sana
I love you simbaaaaaa❤❤❤❤❤❤
Simba day Excellent 🔥🌹🌹
Salute kibaaaa umetisha
Wenye nchi yao simba tamasha lao Lili fana sana❤
Asante DC Mwijaku🎉🎉
Kuna Simba arafu kuna mnyama unamjua mnyama wewe ❤king 👑
Mnyaaamaa! Nice performers ❤ simba
Aipend san simb❤❤❤❤❤
Namkubali Sana Vituko vya Dr.Mwijaku...nakukaribisha...kenya 🇰🇪K🇰🇪E🇰🇪N 🇰🇪Y 🇰🇪A...
Unyamaaa mwingii big up
Kuazia leo mm nitimu kiba unyamaaa mwingi sana
I ❤ you simba
I love u Kiba and ur team Smile Is My Best Action SIMBA
Umefanya Unyama King Aisee❤
Alikiba love you sooo
Fanya kazi king kiba zuhura nimshamba2 wa Sanaa
I love ue Simba❤❤❤
Unyamaa ni mwingi❤❤❤❤❤
@EmmaEmmamalimi-fv6yd
11 ай бұрын
Bahati,bugalamaa
Noma huku Kenya Salute legend ❤
❤simba unyama mwing
Mzee mnyama kwa kweli🙌🙌
King kiba 👑👑👑👑🥰🥰🥰🥰
Mwijaku 😂😂😂 🔥🔥🔥🔥
King Kiba 👍
Mwijako we nouma brother 🤝👍
Unyama sanaaaa
🔥mambo ni fire
This is simbaaaa😍😍🔥🔥
Kabisa ni uyo peke yake ❤❤❤❤❤❤❤
@esperencenamagajo7166
11 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu Ali kiba 💯
Fireeee
Our one and only king
Unyamaaaaa mwng kabsa
Once the King 👑 always the King 👑 Simba nguvu moja❤️🤍
Sijawahi kuona anabeti,, kubeti ni zambi ,,, kamali ni zambi,, anamjua mungu apasavyo,, atazidi kubarikiwa
Unyama mwingiiii❤❤❤
Piga kelele Kwa Simba akee❤❤❤❤
Anapendwa Sana kiihalisia
Hapana chezea simba❤
Ila kanoga bhnaaa❤❤
Kiba nae mnyama unyama ni mwingi unyama 🎉
King kiba🔥🔥
Best show 🎉
King Kiba forever
Mwijaku ❤❤😂😂😂😂
Unyama mwingiii❤
Boa sorte kiba,❤
King ❤
Ni msanii anayeimba amaizing
Unyama ni mwingi❤❤❤❤
Kajulaaa🔥🔥🔥🔥🔥
King simba
Unyama mwingi Love ❤️❤️💋
❤❤❤king kama kawa❤
Jamani team waganga haoooooh😅😀😃😄😄
🎉pamoja kiba🎉🎉🎉
Waganga wa kienyeji katika ubora wao
@rahuiyaswalehe2202
11 ай бұрын
Njoo tukutibie
Kiba a bien assuré le show Vive le roi
Nakubal sana
Kiba kiba kiba kiboko❤
🦁🦁🦁
Nakukumbali sana mfalmeeeee
King kiba thanks much kwa burudani
Jamani mwiJaku wewe mkali ndani ya team kiba 😂😂😂😂 nakupenda toka DRC bwana wewe noma wacha niseme
Mwijaku. Upo vizuri upeweaua yako kkaa
Hi kali sana mfalume kiba
Hii ni Kali ya mwaka
King 👑💪
Mambo ni moto
Achen makasiriko king kiba mmoja tyuuu unyama mwingii
Iyo imeenda🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
@gracesahani8609
11 ай бұрын
Unyama. Mwingiiiii
Unyamaa huu
Pendeza san weeeee ❤❤❤❤❤
nakukubari sana mwamba alikiba
@petrojoseph8480
11 ай бұрын
Yoooh!!
Mnawakilishaga Taifa vizuriiii kwa nyimbo nzuri na mic zao nzuri,,,ila sasa kutetea waafrika ndo hamuwezi,,,,mleteni kaka R Kelly atufundishe sisi watemi ,,Michael Jackos si hayupo???Tunamtaka MWALIM R KeLLy tunifunze maunyama mengi ya nchi za watu
Kk umepende za san mfalumewetu wajinyonge pam ja nazuch kk❤❤❤❤
Weweeee❤❤❤❤
@SophiaMsongole
9 ай бұрын
Unyama tuuuuu❤❤
King🥰
Mwijaku weeeeeee🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂
Mwiiijaaakuuuu😂😂😂😂😂😂
🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤