@officialactwazalendotv HIVI MNAFAHAMU KUWA MUUNGANO HAUPO KABISA KWA NAMNA HII

Join this channel to get access to perks:
/ @vugaonlinetv
#ZanzibarMpya #ZanzibarMoja #MamlakaKamili
Channel Rasmi ya Chama Cha ACT Wazalendo Habari zote kuhusu Act Wazalendo utazipata kupitia channel hii
Usipitwe na Habari Moto Moto Kutoka Katika Chama Chet Cha ACT Wazalendo makala Tofauti Tofauti Habari nyengine nyingi Kuhusu Chama Chetu Utazipata Hapa
#actwazalendotv, #siasatz #zittokabwe #jussa #mazurui
Chama cha ACT Wazalendo kilianzishwa mnamo mwaka 2014 na ni chama kinachoendelea kukua kwa kasi nchini Tanzania. Sisi ni vuguvugu lenye lengo la kutengeneza Tanzania huru, yenye maendeleo na mafanikio ambayo misingi yake itakuwa ni uhuru, uwajibikaji, na uwazi.
Dira yetu ni kwa Tanzania kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kupitia:
1.Kujenga uchumi shirikishi unaoshamiri na wenye kukua na kuweza kutengeneza ajira.
2.Miundombinu imara inayochochea sekta zote za uchumi unaokuwa.
3.Upatikanaji wa elimu bora.
4.Upatikanaji wa huduma bora za afya kwa wote.
5.Kujenga taasisi ya polisi huru na inayozingatia taaluma ili iweze kuwahudumia na kuwalinda watu wote.
6.Muungano wenye kuweka maslahi ya watu wa pande zote mbele, wa haki na wa usawa utakaowekewa msingi wake kwenye Katiba ya watu.
7.Vita dhidi ya rushwa na aina zote za ufisadi.
8.Utoaji wa hifadhi ya jamii iliyobora kwa wasiojiweza, masikini na watu wengine wasiojiweza.
9.Makazi ambayo watu wanaweza kuyamudu, na kupatikana kwa wote.
10.Upatikanaji wa maji safi na salama kwa watu wote.

Пікірлер: 22

  • @mkanjimamkanjimamkanjima2043
    @mkanjimamkanjimamkanjima2043Ай бұрын

    Upo sahihi shekhe omo Allah akupe afya njema uzidi kuwamsha waliolala

  • @nadirmbarak2084
    @nadirmbarak2084Ай бұрын

    Tupo Pamoja Kila hatua

  • @salyali7807
    @salyali7807Ай бұрын

    Very powerful speech OMO ... asiofahamu basi hataki kufahamu tu

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319Ай бұрын

    In Zanzibar CT wazalendo has got leadership into political party but not Tanganyika this man has lmotion into part no doughty on his capacity of address CT wazalendo country wide they have moray to hear him as the top opposition leader into CT wazalendo leadership

  • @WorldView24hrs

    @WorldView24hrs

    Ай бұрын

    Wacha uzwazwa wewe na uingereza wako wa mchongo huo. ACT WAZALENDO Ndo chama pekee kilichokamilika Tanganyika na Zanzibar. Huyu anaeongea hapo ni Mwenyekiti wa chama Taifa . Sasa usijifanye kulemba kumbe Shetani la kutaka kuharibu upande mmoja.

  • @atupegemwakahesya
    @atupegemwakahesyaАй бұрын

    Kweli Wazanzibari hamtaki muungano. Ss Watanganyika tusemeje?

  • @saidmakombeni5155
    @saidmakombeni5155Ай бұрын

    Huyu OMO atusomeshee watoto wetu vyuoni si jukwaa la siasa. Hii nafasi tungempa Mansuri

  • @akaumbo9433
    @akaumbo9433Ай бұрын

    Wao wapo tayari wauwe watu ila lazima waingie madarakani

  • @ahmedalbalooshi8518

    @ahmedalbalooshi8518

    Ай бұрын

    Huko nyuma washatekeleza hayo

  • @user-rh7lj1lo5x
    @user-rh7lj1lo5xАй бұрын

    Mimi maoni yangu Wazanzibari tuwe kitu kimoja tuache itikadi za vyama tuiokombowe zanzibar yetu ndungu zangu CCM wa zanzibar amkeni vijana

  • @saidal-hind5338

    @saidal-hind5338

    Ай бұрын

    Kweli yaani mwenye akili bana

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    Ай бұрын

    Nakubaliana nawe 90%, ingawa Zanzibar ina mambo yake yenyewe ni ovyo kabisa ni lazima tujitafakari na kujitathmini. Muungano huu wa Tanganyika na Zanzibar hauzidi miaka 5 kutoka sasa utavunjika.

  • @user-rh7lj1lo5x

    @user-rh7lj1lo5x

    Ай бұрын

    @@hajihassan5433 In sha Allah, Allah ajalie hivo

  • @user-rh7lj1lo5x
    @user-rh7lj1lo5xАй бұрын

    Laikini ivo ulivosema Mh. OMO Umenikata Tamaa kwakweli juu ya Zanzibar kuwa huru

  • @khamisjuma7616

    @khamisjuma7616

    Ай бұрын

    usikate tamaa Allah ni mkubwa na ishara zishajitokeza za kupata uhuru wetu ndo mana hata wao wanadai tanganyika yao

  • @khamisjuma7616

    @khamisjuma7616

    Ай бұрын

    usikate tamaa Allah ni mkubwa na ishara zishajitokeza za kupata uhuru wetu ndo mana hata wao wanadai tanganyika yao

  • @saidal-hind5338

    @saidal-hind5338

    Ай бұрын

    Inaumaa sana mwenye akili banaa

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956Ай бұрын

    MUUNGANO HAUPO LILILOBAKI TUJITAYARISHE SHEREHE ZA CHUCHULI🎉

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    Ай бұрын

    Nitafurahi sana ikiwa hivyo lakini Wanasiasa watujibu pia nini hatma ya Wazanzibar tuliopo Tanganyika na rasilimali zetu zisizohamishika.

  • @khatibal-zinjibari6956

    @khatibal-zinjibari6956

    Ай бұрын

    @@hajihassan5433 Tatizo la TANZANIA sio Wazanzibari au Watanganyika bali ni UKOLONI kusingizia Muungano. Wako Wazanzibari wanaishi Kenya na Ulaya tena bila ya Muungano. Wengine wana rasilimali zisizohamishika. Tafauti ya Zanzibar na Tanganyika, Senegal na Gambia zina mpaka mmoja. Gambia ilitawaliwa na Uingereza lakini Senagal na Ufaransa. Zote zilipata Uhuru kutoka kwa Wakoloni wao. Senegal na Gambia zinauhusiano zaidi wa Kijografia na Kitaarekhe kuliko Zanzibar na Tanganyika. Gambia kama Ulimi ndani ya Senegal na watu wengi wa nchi zao ni Waislam tafauti ya Tanganyika na Zanzibar. Siku Mia baada ya Mauwaji ya Waislam wa Zanzibar kwa jina la Mapinduzi Matukufu (Holy Crusade) kusingizia Warabu (Waislam), Mkatoliki Nyerere alilazimisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Ulibatizwa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Muungano wa Gambia na Senegal aliitwa SENEGAMBIA kabla ya KERO ZA MUUNGANO kama TANZANIA. SULUHU ZA MUUNGANO NA UKOLONI KWA SENEGAMBIA NA TANZANIA Kutokana na KERO ZA MUUNGANO (1982-1989), Muungano ulivunjika kwa Salama, Amani na Ustarrabu wala watu hawakufukuzana. Hawakuondosha rasilimali bali nchi zao zinashirikiana na kubadilishana Mabalozi. SIO SIRI TENA MUUNGANO WA TANZANIA UKO MIKONONI MWA KANISA

  • @abuubakar7594

    @abuubakar7594

    Ай бұрын

    ​@@hajihassan5433hili halihitaji hata mwanasiasa kuna wazanzibari wapo Kenya wengine Rwanda China Marekani uk mpaka urusi wanamalizao na kilakitu huko na hatujaungananao kabisa toa hofu cc ni ndugu na tunaixi pa1 kabla ya hata uo Muungano xida ni mamlaka tu yani tusiingiliane katika mipangonchi na uongozi

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956Ай бұрын

    THE ZANZIBAR TELEPHONE OPERATOR (2025): "The number you are dialing CHAMA CHA MAPINDUZI or CCM is no longer in service. The new number is ACT-WAZALENDO."

Келесі