@officialactwazalendotv WAO WALIONA WAMEM FEDHEHESHA BALI ILIKUWA NI KUMPA UJASIRI NA KUWAJUZA UMMA

Join this channel to get access to perks:
/ @vugaonlinetv
#ZanzibarMpya #ZanzibarMoja #MamlakaKamili
Channel Rasmi ya Chama Cha ACT Wazalendo Habari zote kuhusu Act Wazalendo utazipata kupitia channel hii
Usipitwe na Habari Moto Moto Kutoka Katika Chama Chet Cha ACT Wazalendo makala Tofauti Tofauti Habari nyengine nyingi Kuhusu Chama Chetu Utazipata Hapa
#actwazalendotv, #siasatz #zittokabwe #jussa #mazurui
Chama cha ACT Wazalendo kilianzishwa mnamo mwaka 2014 na ni chama kinachoendelea kukua kwa kasi nchini Tanzania. Sisi ni vuguvugu lenye lengo la kutengeneza Tanzania huru, yenye maendeleo na mafanikio ambayo misingi yake itakuwa ni uhuru, uwajibikaji, na uwazi.
Dira yetu ni kwa Tanzania kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kupitia:
1.Kujenga uchumi shirikishi unaoshamiri na wenye kukua na kuweza kutengeneza ajira.
2.Miundombinu imara inayochochea sekta zote za uchumi unaokuwa.
3.Upatikanaji wa elimu bora.
4.Upatikanaji wa huduma bora za afya kwa wote.
5.Kujenga taasisi ya polisi huru na inayozingatia taaluma ili iweze kuwahudumia na kuwalinda watu wote.
6.Muungano wenye kuweka maslahi ya watu wa pande zote mbele, wa haki na wa usawa utakaowekewa msingi wake kwenye Katiba ya watu.
7.Vita dhidi ya rushwa na aina zote za ufisadi.
8.Utoaji wa hifadhi ya jamii iliyobora kwa wasiojiweza, masikini na watu wengine wasiojiweza.
9.Makazi ambayo watu wanaweza kuyamudu, na kupatikana kwa wote.
10.Upatikanaji wa maji safi na salama kwa watu wote.

Пікірлер: 15

  • @nassorshaaban7295
    @nassorshaaban7295Ай бұрын

    Ndugu yangu Jussa Naomba hii Hotuba uje uitowe kwenye Mihadhara ya wazi kwenye Kampeni hii ni credit Kwa chama

  • @nassorshaaban7295
    @nassorshaaban7295Ай бұрын

    Masha'Allah Tabarallah'hu fiiq.Hiyo Nyimbo huwa inanikosha sana Tunataka Nchi yetu hilo halina Hoja.!!

  • @salyali7807

    @salyali7807

    Ай бұрын

    Same here

  • @salyali7807
    @salyali7807Ай бұрын

    Mh Jussa napenda lugha unayotumia ... tunakupenda wazanzibari

  • @user-gy5ii3ig1d
    @user-gy5ii3ig1dАй бұрын

    Big up Professional Jusa,Yaan huyu apewe mauwa yake😅

  • @salyali7807
    @salyali7807Ай бұрын

    Mie khutba za Mh Jussa zinanitoa machozi

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan7006Ай бұрын

    PROFESA ISMAIL JUSSA WEWE NI MWAMBA WA SIASA

  • @suleimanmuhammad-bu7pe
    @suleimanmuhammad-bu7peАй бұрын

    Zanzibar mpy Zanzibar moja na pia Mamlaka kamilii

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalimАй бұрын

    Hahaha et anatuvalia kikanzu kikoti na kikofia😂😂😂

  • @AhmedSeif-il1xx
    @AhmedSeif-il1xxАй бұрын

    Huyu haswaa nimtu

  • @AhmedSeif-il1xx
    @AhmedSeif-il1xxАй бұрын

    Safi sana

  • @user-xv4tl8iv4l
    @user-xv4tl8iv4lАй бұрын

    Hivyo kweli inaingia akilini kweli Mhe. Hussein Mwinyi si mana kindakindaki akewe kumbaro na mbarawa ?

  • @nassorseif7907
    @nassorseif7907Ай бұрын

    Ndio washaufanya mlango wa duka waifanye mara ngapi???

  • @suleimansuleiman5204
    @suleimansuleiman5204Ай бұрын

    😁😂😂😂

  • @user-xv4tl8iv4l
    @user-xv4tl8iv4lАй бұрын

    mdomo huponza kichwa

Келесі