@officialactwazalendotv WAO WALIONA WAMEM FEDHEHESHA BALI ILIKUWA NI KUMPA UJASIRI NA KUWAJUZA UMMA
Join this channel to get access to perks:
/ @vugaonlinetv
#ZanzibarMpya #ZanzibarMoja #MamlakaKamili
Channel Rasmi ya Chama Cha ACT Wazalendo Habari zote kuhusu Act Wazalendo utazipata kupitia channel hii
Usipitwe na Habari Moto Moto Kutoka Katika Chama Chet Cha ACT Wazalendo makala Tofauti Tofauti Habari nyengine nyingi Kuhusu Chama Chetu Utazipata Hapa
#actwazalendotv, #siasatz #zittokabwe #jussa #mazurui
Chama cha ACT Wazalendo kilianzishwa mnamo mwaka 2014 na ni chama kinachoendelea kukua kwa kasi nchini Tanzania. Sisi ni vuguvugu lenye lengo la kutengeneza Tanzania huru, yenye maendeleo na mafanikio ambayo misingi yake itakuwa ni uhuru, uwajibikaji, na uwazi.
Dira yetu ni kwa Tanzania kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kupitia:
1.Kujenga uchumi shirikishi unaoshamiri na wenye kukua na kuweza kutengeneza ajira.
2.Miundombinu imara inayochochea sekta zote za uchumi unaokuwa.
3.Upatikanaji wa elimu bora.
4.Upatikanaji wa huduma bora za afya kwa wote.
5.Kujenga taasisi ya polisi huru na inayozingatia taaluma ili iweze kuwahudumia na kuwalinda watu wote.
6.Muungano wenye kuweka maslahi ya watu wa pande zote mbele, wa haki na wa usawa utakaowekewa msingi wake kwenye Katiba ya watu.
7.Vita dhidi ya rushwa na aina zote za ufisadi.
8.Utoaji wa hifadhi ya jamii iliyobora kwa wasiojiweza, masikini na watu wengine wasiojiweza.
9.Makazi ambayo watu wanaweza kuyamudu, na kupatikana kwa wote.
10.Upatikanaji wa maji safi na salama kwa watu wote.
Пікірлер: 15
Ndugu yangu Jussa Naomba hii Hotuba uje uitowe kwenye Mihadhara ya wazi kwenye Kampeni hii ni credit Kwa chama
Masha'Allah Tabarallah'hu fiiq.Hiyo Nyimbo huwa inanikosha sana Tunataka Nchi yetu hilo halina Hoja.!!
@salyali7807
Ай бұрын
Same here
Mh Jussa napenda lugha unayotumia ... tunakupenda wazanzibari
Big up Professional Jusa,Yaan huyu apewe mauwa yake😅
Mie khutba za Mh Jussa zinanitoa machozi
PROFESA ISMAIL JUSSA WEWE NI MWAMBA WA SIASA
Zanzibar mpy Zanzibar moja na pia Mamlaka kamilii
Hahaha et anatuvalia kikanzu kikoti na kikofia😂😂😂
Huyu haswaa nimtu
Safi sana
Hivyo kweli inaingia akilini kweli Mhe. Hussein Mwinyi si mana kindakindaki akewe kumbaro na mbarawa ?
Ndio washaufanya mlango wa duka waifanye mara ngapi???
😁😂😂😂
mdomo huponza kichwa