BILA YA ZANZIBAR KAMILI HAKUNA ZANZIBAR MPYA Ahsante kwa kuchowea Kikae kwa Wazanzibari kwa niaba Wakae wa Kajengwa hadi Mzuri.
@SudiKhamisi12 сағат бұрын
Nakupenda San kutoka moyoni mm ulipo ww mm nipo muishimiwa nakupenda San
@salyali780715 сағат бұрын
Mh Jussa kiboko yao
@vugaonlinetv9 сағат бұрын
Please Naomba Unisambazie Link kwa wengine Wapate Ku Subscribe na Kuniunga Mkono @salyall
@salyali78072 сағат бұрын
@@vugaonlinetvin shaa Allah
@salyali7807Күн бұрын
OMO is the best 👌
@SudiKhamisiКүн бұрын
Ukweli ndio kila kitu mungu atujalie hakiyetu na sisi
@w40583 күн бұрын
Salumnassornassorr mnafiki namba wani ni wewe CCM hawajapata kushinda Ali Karume na kawaumbuwa hadharani mnafiki fataani mmoja wewe
@SudiKhamisi4 күн бұрын
Usijali zitto kabwe tupo pamoja na ww CCM xo cham chahaki wala cha busara hawatujali raia wawo bora nynyi ACT hamujapata ila munatujali sana mungu ata wasaidia kupata haki nynyi niwema sana mungu akusaidie
@SudiKhamisi4 күн бұрын
Baba unaweza kupambambana ww sisi hatujawahikushindwa ACT ipokuwa maalim seifu hataki tupigane ila maarahii tutapigana upotayr ww
@SudiKhamisi4 күн бұрын
Asante sana iko pw san mungu atawalipa nime penda san
@VillaBoy-fv2zw4 күн бұрын
Nakubali omo
@user-lb8gz5pt3u7 күн бұрын
Amin ccm tumewachoka
@user-lb8gz5pt3u7 күн бұрын
Tunataka uchaguz wa haki
@user-lb8gz5pt3u7 күн бұрын
Kwel amewekwa na makuful
@salumnassornassor97338 күн бұрын
Mnafiki ndio alivyo anataka kujikosha tu lkn hana lolote muulizeni atoe kauli uchaguzi uwende kwa haki na akiri akishindwa atakubali na matokeo
@khamisjuma76168 күн бұрын
hutba kama hizi mh jussa leo umeongea yani kazi ya mwaka mmoja umeifanya kwa dk chache hongera sana
@muhammedbakari28678 күн бұрын
Zanzibar ilikuwa na neema yake lakin ccm wameilawiti.. tumebaki tunanuka njaa.. laana ziwashukie ccm..
@muhammedbakari28678 күн бұрын
God bless you🇵🇸🇵🇸🤲🤲🤲.. tunawapata vizur from jambian Zanzibar
@fanaualmazrui7338 күн бұрын
Km sio kutuvungavunga mbn haonekani ktk mikutano Mh mazrui tyr Ccm huu mkutano wafika 5 haonekani Na mbn mumemfaata na sio chama kumuita ktk kamati zenu....
@muhammedbakari286711 күн бұрын
👍
@MrKhatibu11 күн бұрын
Sheikh itabidi upatiwe somo la economics angalau elementary level haraka sana kabla ya Uchaguzi wa mwakani
Mimi naomba unisemeye ubalozi wa tanzania uliopo omani unatesa watu sana hasa wanawake wakenda na matatizo yao hawasikilizi chengine wanalazwa nje hadi huruma na joto hili la oman nilishudia kwa macho yangu hatuna ubaloxi omani huchukuwa pesa kwenye serekali kwa ajili ya matatixo ya wananchi halafu huxitia mifukoni
@vugaonlinetv12 күн бұрын
Asante Kwa Kuwasilisha Nasi Maombi na Tumeyapokea Insha allah kwa uzuri na vyema Ungalimtafuta Huyu Naibu katu wa Habari na Uenezi Wa Chama Kwa Maelezo Zaidi Number Yake +255777 141 112 Salim Biman Asante
@BinsalumHaj13 күн бұрын
Tuna kupata vyema baba
@SudiKhamisi14 күн бұрын
Mungu atusaidie kushinda marahii mungu akipenda
@mwanamkemuislamutv936914 күн бұрын
Twashauri wanapo cheza ngoma wasichanganyike wanawake na wanaume haipendezi hali twataraji kupata ushindi.....
@FeisalDoctor-yd2ge15 күн бұрын
Nakukubali san waelekeze kun kundi la mafisadi halitaki huu ukweli nd wanaofany ufisadi zanzibar
@omarramadhan511116 күн бұрын
Wape darasa
@omarramadhan511116 күн бұрын
Wamelala hao
@omarramadhan511116 күн бұрын
Wafunguwe akili
@feisalkhamis944516 күн бұрын
wewe ni hazina ya wazanzibar ❤❤❤❤❤❤
@GumzolaGhassani18 күн бұрын
Safi kabisa
@user-et9vf2ro2k18 күн бұрын
Jamaaniii eeeeee eh jamaniiiii eeeee haya yanayozungumzwa na huyu mtu yalikua wapi au hapa Kua na mtu anae yajua hayaa zaidi ya kumuwngezea Rais maddaraka ya kututawala na Kuwanyanyasa wasio pande yakee eeeee jamani majutooo loh, hemu sasa wazanzibari tuamkeni kama tulikua tumelala hatuujui tu melalaje bila ya kujali tukiamka tutaamkaje kama unashati la kijani, jeupe, zambarau, jekundu kama rambaaramba iwe itakavokua tuamke na tuamueee tupate mamlaka kamiliiiii kisha baaadae ndo tutakuuja kulizana na tanganyika tunautaka hatuuuutakii
@AleiHadji-js3ed20 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Ccm sioo
@salyali780721 күн бұрын
Mashaallah ... kwa asie fahamu basi hatofahamu abadan ... maneno ya fasaha na yenye hikma
@khamisjuma761621 күн бұрын
😂😂kuweka nyumba rehani kwa sababu ya kupata mchele???
@GenttileZanzibar23 күн бұрын
Masha allah
@hajihassan543323 күн бұрын
Mimi hawa viongozi wa Zanzibar naona hawana lolote ni siasa tu, kwa sababu ni sehemu ya Serikali muda wote. Mhe.OMO binafsi alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa miaka 10 Ofisi ambayo mipango yote ya Serikali ipo huko. Haya akisema Mhe. Mbowe au Lissu napata matumaini kwa sababu hawajawahi kuwa hata Viongozi wa nyumba 10 Serikalini.
@abdallahmohd377717 күн бұрын
Kwasabb wewe bunju humjuwi vizuri Othman ss tunamjuwa
@GenttileZanzibar25 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@salyali780729 күн бұрын
Huyu ndio kiongozi mwenye ueneo wa mbali na anaetaka maslaha ya wote
@AffectionateBuffalo-xs8igАй бұрын
Hogera
@AffectionateBuffalo-xs8igАй бұрын
Hogera
@hajihassan5433Ай бұрын
Usitudanganye ushakula cha kwako. Wewe ndio kikwazo! Uondoke weye kwanza ACT.
@user-lm3lt7xx6lАй бұрын
Mm nilikuwa na muembe mdogo unatema embe na kivuli.jama kaukata bila ruhusa na mwanzo alitaka nimuzie nikakataa nikasema watu unawasaidia
Пікірлер
BILA YA ZANZIBAR KAMILI HAKUNA ZANZIBAR MPYA Ahsante kwa kuchowea Kikae kwa Wazanzibari kwa niaba Wakae wa Kajengwa hadi Mzuri.
Nakupenda San kutoka moyoni mm ulipo ww mm nipo muishimiwa nakupenda San
Mh Jussa kiboko yao
Please Naomba Unisambazie Link kwa wengine Wapate Ku Subscribe na Kuniunga Mkono @salyall
@@vugaonlinetvin shaa Allah
OMO is the best 👌
Ukweli ndio kila kitu mungu atujalie hakiyetu na sisi
Salumnassornassorr mnafiki namba wani ni wewe CCM hawajapata kushinda Ali Karume na kawaumbuwa hadharani mnafiki fataani mmoja wewe
Usijali zitto kabwe tupo pamoja na ww CCM xo cham chahaki wala cha busara hawatujali raia wawo bora nynyi ACT hamujapata ila munatujali sana mungu ata wasaidia kupata haki nynyi niwema sana mungu akusaidie
Baba unaweza kupambambana ww sisi hatujawahikushindwa ACT ipokuwa maalim seifu hataki tupigane ila maarahii tutapigana upotayr ww
Asante sana iko pw san mungu atawalipa nime penda san
Nakubali omo
Amin ccm tumewachoka
Tunataka uchaguz wa haki
Kwel amewekwa na makuful
Mnafiki ndio alivyo anataka kujikosha tu lkn hana lolote muulizeni atoe kauli uchaguzi uwende kwa haki na akiri akishindwa atakubali na matokeo
hutba kama hizi mh jussa leo umeongea yani kazi ya mwaka mmoja umeifanya kwa dk chache hongera sana
Zanzibar ilikuwa na neema yake lakin ccm wameilawiti.. tumebaki tunanuka njaa.. laana ziwashukie ccm..
God bless you🇵🇸🇵🇸🤲🤲🤲.. tunawapata vizur from jambian Zanzibar
Km sio kutuvungavunga mbn haonekani ktk mikutano Mh mazrui tyr Ccm huu mkutano wafika 5 haonekani Na mbn mumemfaata na sio chama kumuita ktk kamati zenu....
👍
Sheikh itabidi upatiwe somo la economics angalau elementary level haraka sana kabla ya Uchaguzi wa mwakani
Kwanini?
Mtalii lazima arudi kwao mkuranga
Sema baba sema wape vidonge vyao
Ccm hwayaongei hayao wla hawataki kuyaskia kikubwa ukiongea hivyo utaskia unaleta uchochezi 😂😂😂😂
Mimi naomba unisemeye ubalozi wa tanzania uliopo omani unatesa watu sana hasa wanawake wakenda na matatizo yao hawasikilizi chengine wanalazwa nje hadi huruma na joto hili la oman nilishudia kwa macho yangu hatuna ubaloxi omani huchukuwa pesa kwenye serekali kwa ajili ya matatixo ya wananchi halafu huxitia mifukoni
Asante Kwa Kuwasilisha Nasi Maombi na Tumeyapokea Insha allah kwa uzuri na vyema Ungalimtafuta Huyu Naibu katu wa Habari na Uenezi Wa Chama Kwa Maelezo Zaidi Number Yake +255777 141 112 Salim Biman Asante
Tuna kupata vyema baba
Mungu atusaidie kushinda marahii mungu akipenda
Twashauri wanapo cheza ngoma wasichanganyike wanawake na wanaume haipendezi hali twataraji kupata ushindi.....
Nakukubali san waelekeze kun kundi la mafisadi halitaki huu ukweli nd wanaofany ufisadi zanzibar
Wape darasa
Wamelala hao
Wafunguwe akili
wewe ni hazina ya wazanzibar ❤❤❤❤❤❤
Safi kabisa
Jamaaniii eeeeee eh jamaniiiii eeeee haya yanayozungumzwa na huyu mtu yalikua wapi au hapa Kua na mtu anae yajua hayaa zaidi ya kumuwngezea Rais maddaraka ya kututawala na Kuwanyanyasa wasio pande yakee eeeee jamani majutooo loh, hemu sasa wazanzibari tuamkeni kama tulikua tumelala hatuujui tu melalaje bila ya kujali tukiamka tutaamkaje kama unashati la kijani, jeupe, zambarau, jekundu kama rambaaramba iwe itakavokua tuamke na tuamueee tupate mamlaka kamiliiiii kisha baaadae ndo tutakuuja kulizana na tanganyika tunautaka hatuuuutakii
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Ccm sioo
Mashaallah ... kwa asie fahamu basi hatofahamu abadan ... maneno ya fasaha na yenye hikma
😂😂kuweka nyumba rehani kwa sababu ya kupata mchele???
Masha allah
Mimi hawa viongozi wa Zanzibar naona hawana lolote ni siasa tu, kwa sababu ni sehemu ya Serikali muda wote. Mhe.OMO binafsi alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa miaka 10 Ofisi ambayo mipango yote ya Serikali ipo huko. Haya akisema Mhe. Mbowe au Lissu napata matumaini kwa sababu hawajawahi kuwa hata Viongozi wa nyumba 10 Serikalini.
Kwasabb wewe bunju humjuwi vizuri Othman ss tunamjuwa
❤❤❤❤❤
Huyu ndio kiongozi mwenye ueneo wa mbali na anaetaka maslaha ya wote
Hogera
Hogera
Usitudanganye ushakula cha kwako. Wewe ndio kikwazo! Uondoke weye kwanza ACT.
Mm nilikuwa na muembe mdogo unatema embe na kivuli.jama kaukata bila ruhusa na mwanzo alitaka nimuzie nikakataa nikasema watu unawasaidia