Vuga Online Tv

Vuga Online Tv

Join this channel to get access to perks:
kzread.info/dron/kMCUYICrpyPsPNkSmbT3jA.htmljoin

Пікірлер

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari69568 сағат бұрын

    BILA YA ZANZIBAR KAMILI HAKUNA ZANZIBAR MPYA Ahsante kwa kuchowea Kikae kwa Wazanzibari kwa niaba Wakae wa Kajengwa hadi Mzuri.

  • @SudiKhamisi
    @SudiKhamisi12 сағат бұрын

    Nakupenda San kutoka moyoni mm ulipo ww mm nipo muishimiwa nakupenda San

  • @salyali7807
    @salyali780715 сағат бұрын

    Mh Jussa kiboko yao

  • @vugaonlinetv
    @vugaonlinetv9 сағат бұрын

    Please Naomba Unisambazie Link kwa wengine Wapate Ku Subscribe na Kuniunga Mkono @salyall

  • @salyali7807
    @salyali78072 сағат бұрын

    ​@@vugaonlinetvin shaa Allah

  • @salyali7807
    @salyali7807Күн бұрын

    OMO is the best 👌

  • @SudiKhamisi
    @SudiKhamisiКүн бұрын

    Ukweli ndio kila kitu mungu atujalie hakiyetu na sisi

  • @w4058
    @w40583 күн бұрын

    Salumnassornassorr mnafiki namba wani ni wewe CCM hawajapata kushinda Ali Karume na kawaumbuwa hadharani mnafiki fataani mmoja wewe

  • @SudiKhamisi
    @SudiKhamisi4 күн бұрын

    Usijali zitto kabwe tupo pamoja na ww CCM xo cham chahaki wala cha busara hawatujali raia wawo bora nynyi ACT hamujapata ila munatujali sana mungu ata wasaidia kupata haki nynyi niwema sana mungu akusaidie

  • @SudiKhamisi
    @SudiKhamisi4 күн бұрын

    Baba unaweza kupambambana ww sisi hatujawahikushindwa ACT ipokuwa maalim seifu hataki tupigane ila maarahii tutapigana upotayr ww

  • @SudiKhamisi
    @SudiKhamisi4 күн бұрын

    Asante sana iko pw san mungu atawalipa nime penda san

  • @VillaBoy-fv2zw
    @VillaBoy-fv2zw4 күн бұрын

    Nakubali omo

  • @user-lb8gz5pt3u
    @user-lb8gz5pt3u7 күн бұрын

    Amin ccm tumewachoka

  • @user-lb8gz5pt3u
    @user-lb8gz5pt3u7 күн бұрын

    Tunataka uchaguz wa haki

  • @user-lb8gz5pt3u
    @user-lb8gz5pt3u7 күн бұрын

    Kwel amewekwa na makuful

  • @salumnassornassor9733
    @salumnassornassor97338 күн бұрын

    Mnafiki ndio alivyo anataka kujikosha tu lkn hana lolote muulizeni atoe kauli uchaguzi uwende kwa haki na akiri akishindwa atakubali na matokeo

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma76168 күн бұрын

    hutba kama hizi mh jussa leo umeongea yani kazi ya mwaka mmoja umeifanya kwa dk chache hongera sana

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari28678 күн бұрын

    Zanzibar ilikuwa na neema yake lakin ccm wameilawiti.. tumebaki tunanuka njaa.. laana ziwashukie ccm..

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari28678 күн бұрын

    God bless you🇵🇸🇵🇸🤲🤲🤲.. tunawapata vizur from jambian Zanzibar

  • @fanaualmazrui733
    @fanaualmazrui7338 күн бұрын

    Km sio kutuvungavunga mbn haonekani ktk mikutano Mh mazrui tyr Ccm huu mkutano wafika 5 haonekani Na mbn mumemfaata na sio chama kumuita ktk kamati zenu....

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari286711 күн бұрын

    👍

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu11 күн бұрын

    Sheikh itabidi upatiwe somo la economics angalau elementary level haraka sana kabla ya Uchaguzi wa mwakani

  • @SaidHassan-ot3un
    @SaidHassan-ot3un11 күн бұрын

    Kwanini?

  • @Aisha-lj8bu
    @Aisha-lj8bu12 күн бұрын

    Mtalii lazima arudi kwao mkuranga

  • @Aisha-lj8bu
    @Aisha-lj8bu12 күн бұрын

    Sema baba sema wape vidonge vyao

  • @kassim1262
    @kassim126212 күн бұрын

    Ccm hwayaongei hayao wla hawataki kuyaskia kikubwa ukiongea hivyo utaskia unaleta uchochezi 😂😂😂😂

  • @user-ib7kn6fs4x
    @user-ib7kn6fs4x12 күн бұрын

    Mimi naomba unisemeye ubalozi wa tanzania uliopo omani unatesa watu sana hasa wanawake wakenda na matatizo yao hawasikilizi chengine wanalazwa nje hadi huruma na joto hili la oman nilishudia kwa macho yangu hatuna ubaloxi omani huchukuwa pesa kwenye serekali kwa ajili ya matatixo ya wananchi halafu huxitia mifukoni

  • @vugaonlinetv
    @vugaonlinetv12 күн бұрын

    Asante Kwa Kuwasilisha Nasi Maombi na Tumeyapokea Insha allah kwa uzuri na vyema Ungalimtafuta Huyu Naibu katu wa Habari na Uenezi Wa Chama Kwa Maelezo Zaidi Number Yake +255777 141 112 Salim Biman Asante

  • @BinsalumHaj
    @BinsalumHaj13 күн бұрын

    Tuna kupata vyema baba

  • @SudiKhamisi
    @SudiKhamisi14 күн бұрын

    Mungu atusaidie kushinda marahii mungu akipenda

  • @mwanamkemuislamutv9369
    @mwanamkemuislamutv936914 күн бұрын

    Twashauri wanapo cheza ngoma wasichanganyike wanawake na wanaume haipendezi hali twataraji kupata ushindi.....

  • @FeisalDoctor-yd2ge
    @FeisalDoctor-yd2ge15 күн бұрын

    Nakukubali san waelekeze kun kundi la mafisadi halitaki huu ukweli nd wanaofany ufisadi zanzibar

  • @omarramadhan5111
    @omarramadhan511116 күн бұрын

    Wape darasa

  • @omarramadhan5111
    @omarramadhan511116 күн бұрын

    Wamelala hao

  • @omarramadhan5111
    @omarramadhan511116 күн бұрын

    Wafunguwe akili

  • @feisalkhamis9445
    @feisalkhamis944516 күн бұрын

    wewe ni hazina ya wazanzibar ❤❤❤❤❤❤

  • @GumzolaGhassani
    @GumzolaGhassani18 күн бұрын

    Safi kabisa

  • @user-et9vf2ro2k
    @user-et9vf2ro2k18 күн бұрын

    Jamaaniii eeeeee eh jamaniiiii eeeee haya yanayozungumzwa na huyu mtu yalikua wapi au hapa Kua na mtu anae yajua hayaa zaidi ya kumuwngezea Rais maddaraka ya kututawala na Kuwanyanyasa wasio pande yakee eeeee jamani majutooo loh, hemu sasa wazanzibari tuamkeni kama tulikua tumelala hatuujui tu melalaje bila ya kujali tukiamka tutaamkaje kama unashati la kijani, jeupe, zambarau, jekundu kama rambaaramba iwe itakavokua tuamke na tuamueee tupate mamlaka kamiliiiii kisha baaadae ndo tutakuuja kulizana na tanganyika tunautaka hatuuuutakii

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed20 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Ccm sioo

  • @salyali7807
    @salyali780721 күн бұрын

    Mashaallah ... kwa asie fahamu basi hatofahamu abadan ... maneno ya fasaha na yenye hikma

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma761621 күн бұрын

    😂😂kuweka nyumba rehani kwa sababu ya kupata mchele???

  • @GenttileZanzibar
    @GenttileZanzibar23 күн бұрын

    Masha allah

  • @hajihassan5433
    @hajihassan543323 күн бұрын

    Mimi hawa viongozi wa Zanzibar naona hawana lolote ni siasa tu, kwa sababu ni sehemu ya Serikali muda wote. Mhe.OMO binafsi alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa miaka 10 Ofisi ambayo mipango yote ya Serikali ipo huko. Haya akisema Mhe. Mbowe au Lissu napata matumaini kwa sababu hawajawahi kuwa hata Viongozi wa nyumba 10 Serikalini.

  • @abdallahmohd3777
    @abdallahmohd377717 күн бұрын

    Kwasabb wewe bunju humjuwi vizuri Othman ss tunamjuwa

  • @GenttileZanzibar
    @GenttileZanzibar25 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @salyali7807
    @salyali780729 күн бұрын

    Huyu ndio kiongozi mwenye ueneo wa mbali na anaetaka maslaha ya wote

  • @AffectionateBuffalo-xs8ig
    @AffectionateBuffalo-xs8igАй бұрын

    Hogera

  • @AffectionateBuffalo-xs8ig
    @AffectionateBuffalo-xs8igАй бұрын

    Hogera

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433Ай бұрын

    Usitudanganye ushakula cha kwako. Wewe ndio kikwazo! Uondoke weye kwanza ACT.

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6lАй бұрын

    Mm nilikuwa na muembe mdogo unatema embe na kivuli.jama kaukata bila ruhusa na mwanzo alitaka nimuzie nikakataa nikasema watu unawasaidia