NYOKA AZUA TAHARUKI KWENYE MAKAZI YA WATU, ANADAIWA KUWEPO ZAIDI YA MIAKA 40

Taharuki iliyoibuka na kujenga hofu kwa wakazi wa eneo la Mliman City mtaa wa Kizigo kata ya Ng’ambo baada ya kusikika sauti ya Nyoka aina ya Koboko anayekisiwa kuwa na urefu wa zaidi ya futi 10 akipiga kelele juu ya mti wa mwembe katika eneo la makazi ya watu

Пікірлер: 513

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses76942 жыл бұрын

    Mburaaa. Huyo mtaalam wa jadi mwenyew muoga namna hyo. Kasema hatokaa arudi tena. Kama nyoka huyo hana shida mnamchokoza wa nini jamn hivyo ni vyombo vya ulinzi na usalama tuliachiwa na mababu zetu . Ulinzi konk

  • @rithamsechu7220

    @rithamsechu7220

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @n.y.smedia4145

    @n.y.smedia4145

    2 жыл бұрын

    Uyo nyoka ni hatali Sana ndugu yangu ni halali kukimbia

  • @mishikikoti2948

    @mishikikoti2948

    2 жыл бұрын

    😂😂

  • @fatmamnangwa9131

    @fatmamnangwa9131

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @khamisfarouk9493
    @khamisfarouk94932 жыл бұрын

    Mlimani city hakuendeki tna😂😂😂😂

  • @rachelsilvester7901

    @rachelsilvester7901

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @OmaryDunda

    @OmaryDunda

    Ай бұрын

    😅😅😅😅mlimani City Hakuendeki tena

  • @vailethkinabo7961
    @vailethkinabo79612 жыл бұрын

    Mungu wetu ni muumbaji yaani Mungu wetu fundii sifa na utukufu tumrudishie Muumba

  • @ramadhanzengwe3876
    @ramadhanzengwe38762 жыл бұрын

    Hao maliasili ni waoga walishaiona hatari hapo hao hawarudi tena

  • @mtelewalindi84
    @mtelewalindi842 жыл бұрын

    Dah mwenye nyumba kazi anayo

  • @lulually5209

    @lulually5209

    Жыл бұрын

    Hapajengeki aongee nae amwambie tu kuwa ee mzimu wa mababu mm ni kijana wako nataka kujenga hapa nakuomba usinidhuru mm pamoja na wajenzi wangu aone km kweli ni wa mzimu hatowadhuru we imagen toka walipoanza kujenga mok hapo ilipofikia mbona hakuwazuru ila Sasa hivi wanamchokoza ndio mana wamuache tu hana madhara na mtu

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani10602 жыл бұрын

    Millard Ayo usikose kutupa muendelezo wa hii habari maana inaonyesha Tz tuna maliasili nyingi tafadhali tujulishane kitakaco endelea

  • @leilafsadickfsadick5471
    @leilafsadickfsadick54712 жыл бұрын

    Daaahhh hatarr sana ila kwasisi tulio kulia huo mkoa wa tabora kukutana na nyoka ni kawaida maana ni lazima twende kuangua maembe, ukwaju Sungwi,ila kama ninyoka wa kawida tuu hua hadhuru bila.kummchoka unaweza.fanya mambo yako mpaka uka maliza na yeye ana kwangalia tuu na asifanye kitu ila huyu sio wa kawaida kwakwer

  • @newahomwashiuya8858
    @newahomwashiuya88582 жыл бұрын

    Bibi nimekuelewa Sana Sana!

  • @user-gq8ox7wb7f

    @user-gq8ox7wb7f

    2 жыл бұрын

    Bibi bibii

  • @DativaMbowe

    @DativaMbowe

    Ай бұрын

    Bibi mchawi uyu

  • @GameOnMobile_
    @GameOnMobile_2 жыл бұрын

    Huyo bibi huyo wakae naye vizuri, maongezi yake tuu yanaonesha anamjua vizuri huyo nyoka kuliko mtu mwingine yeyote.

  • @oliviaseth4652

    @oliviaseth4652

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mashramadhani1989

    @mashramadhani1989

    2 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @jesusyoulovemetoomuchwanji8860

    @jesusyoulovemetoomuchwanji8860

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @AziziMsuya

    @AziziMsuya

    2 жыл бұрын

    Umeona ee😁😁😁

  • @gilbertshirima2684

    @gilbertshirima2684

    2 жыл бұрын

    🤔🤔🤔🤔🤔

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline65752 жыл бұрын

    Asante sana Millard ayo kwa Taarifa daaahr hadi naogopa hatari sana

  • @reubenkissinga5802

    @reubenkissinga5802

    2 жыл бұрын

    Usiogobe Sabi Mamii ,njoo nikukumbatie!!

  • @user-po8hz7xw9j

    @user-po8hz7xw9j

    2 жыл бұрын

    @@reubenkissinga5802 😅😅😅😂🤣wewe chizikweli

  • @marymfugwa847
    @marymfugwa8472 жыл бұрын

    Mnamchokoza wananchi mnapenda kuvamia vamia.

  • @user-xs7bw2im8h
    @user-xs7bw2im8h2 ай бұрын

    Inatosha nyoka huyo sio sawa kama anamiaka kazaa ana wenyewe

  • @DoreenOmmy-gw3op

    @DoreenOmmy-gw3op

    19 күн бұрын

    Kbs anawenyew

  • @khatibali195
    @khatibali1952 жыл бұрын

    Nilipoona Mlimanicity nikajua ya dar na nyoka huyo vp

  • @SafiyaJ-yw2vt

    @SafiyaJ-yw2vt

    Жыл бұрын

    Hata mm nikafikiri mlimani city ya dar kumbe kijijini duh🤣🤣🤣🤣🤣

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya74752 жыл бұрын

    🤣🤣🤣 Bib fanya mpang nyoka aondk kwa aman Jins unavyoongea km wamjuw hivi

  • @giftmbogela2435

    @giftmbogela2435

    2 жыл бұрын

    Hee😂😂😂

  • @nizclemencelampslabiche2007

    @nizclemencelampslabiche2007

    2 жыл бұрын

    Hi hi

  • @rachelsilvester7901

    @rachelsilvester7901

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @peterrulagora7403
    @peterrulagora74032 жыл бұрын

    Nyoka wa mizimu,ni maombi tu

  • @janguboitz4316
    @janguboitz43162 жыл бұрын

    Waseme Vizuri na uyu Bibi,Bibi anaonekana mchongo anaujua,Taratibu wamwombe atoe mchongo wake,Bibi anakwambia mdudu ajachokoza mtu,mbuzi Wala kuku na Mwaka huu ndo wamemuchokoza😂

  • @aminatanzanya7475

    @aminatanzanya7475

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣 Bib hapn chezea

  • @suleimansultan3333

    @suleimansultan3333

    2 жыл бұрын

    Bibi anajuwa history lakini hausiki

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    2 жыл бұрын

    Yeah Bibi anajua mchongo mzima 🤣🤣🤣🤣

  • @aisharamadan3620

    @aisharamadan3620

    2 жыл бұрын

    😃😄😃😃

  • @aggreyenock1221

    @aggreyenock1221

    2 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu14032 жыл бұрын

    🐍 Nyoka Ni Adui Wa Mwanadamu Wacheni Kukulupuka

  • @user-jb1fi5iq8g
    @user-jb1fi5iq8gАй бұрын

    Ummmh! Huyo bibi kuna kitu anakijua ndani yake wamuulize vizuri tu

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi85682 жыл бұрын

    Subhanaallah

  • @marrymenas
    @marrymenas2 жыл бұрын

    Kama hasumbui mwachen nyoka wa watu afanye maisha yake

  • @alicemwalimu8791
    @alicemwalimu87912 жыл бұрын

    Koboko jmn kwa mkoa wa tabora wamezidi ila huyo koboko ni wa maajabu make koboko ni mkorofi san

  • @marcelpaulbiste5268
    @marcelpaulbiste52682 жыл бұрын

    Ingekua mlimani City ya kwetu dar sasa hivi nyoka kashagongwa na gari tu🤣

  • @ROSEROBERTROBART

    @ROSEROBERTROBART

    2 жыл бұрын

    basi awe ni nyoka lakini sio nyoka yule

  • @manilabonalumanula1014
    @manilabonalumanula10142 жыл бұрын

    Nyoka hao kuna wakati wanatema mate kisha uyoga unaota tunapata chakula

  • @rachelsilvester7901

    @rachelsilvester7901

    2 жыл бұрын

    Heeeee kumbee

  • @Mazoea

    @Mazoea

    2 жыл бұрын

    Siri tena uyoga

  • @manilabonalumanula1014

    @manilabonalumanula1014

    2 жыл бұрын

    @@Mazoeambona asali unakula wkt nyuki hutumbua hata mizoga kutengeneza asali?

  • @chynizboy7520
    @chynizboy75202 жыл бұрын

    Bibi kamaliza nyie jifanye wa digitali mtakufa sanaaaaah

  • @ommymehmed8880

    @ommymehmed8880

    2 жыл бұрын

    digital

  • @ommymehmed8880

    @ommymehmed8880

    2 жыл бұрын

    tena kamaliza mazimaaa

  • @denissilas9379
    @denissilas93792 жыл бұрын

    😃😃😃😃sio nyoka wa kawaida uyoo..... Jamaa kashasema harudi tena

  • @welcometoeat165

    @welcometoeat165

    2 жыл бұрын

    Nmecheka walah

  • @emanuelmhoja2411

    @emanuelmhoja2411

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @aishachambo8663

    @aishachambo8663

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @hisanmwakijungu10

    @hisanmwakijungu10

    2 жыл бұрын

    Fanya kazi tafuta hela acha hizo imani za ajabu denis

  • @ZuberiNahoche
    @ZuberiNahoche2 ай бұрын

    Shikamoo bibi kazi iendelee

  • @moonaamli6835
    @moonaamli68352 жыл бұрын

    Sasa mnasema kuna nyoka hapo kwenye mwembe Sasa mbona mmekaa hapo hapo?Sasa mtuletee mrejesho tunausubili kama wamemuondoa au la

  • @hamiduhamisi2371

    @hamiduhamisi2371

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hawa wanamjuwa vizuri haswa huyo bi mkubwa inaonekana nyoka wake

  • @tanzaniatravellers1718
    @tanzaniatravellers17182 жыл бұрын

    Mmh Tanzania yangu hii😂😂

  • @nassoropigauwa2503
    @nassoropigauwa25032 жыл бұрын

    Mmmmmh Bibi mbona anajiamin saaaana kuna nini ama

  • @tamaraseff.9707
    @tamaraseff.97072 жыл бұрын

    Au uyu nyanya yuamfahamu nyoka wa nani

  • @vumilialukas200

    @vumilialukas200

    2 жыл бұрын

    Unatokea Mombasa sehemu gani?

  • @ygtvonline2104

    @ygtvonline2104

    2 жыл бұрын

    Hhhhhh

  • @thabitiykitwana1271
    @thabitiykitwana12712 жыл бұрын

    Sijajuwa kiundani zaidi Ila huyu bibi ni hatari Kwa maelezo yake.

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo64642 жыл бұрын

    Asiuawe.... Waletwe wataalamu wa nyoka atolewe akafugwe na kutunzwa kwa utalii... Ni kiumbe kipolee sana....éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

  • @vivianvivian8585

    @vivianvivian8585

    2 жыл бұрын

    Una balaaa ww achana na huyo nyoka kbsa ni hatar kbsa black mamba we ni hatar sana

  • @johnmalembo6464

    @johnmalembo6464

    2 жыл бұрын

    @@vivianvivian8585 hakuna kiumbe asiye fugika kwa Mwanadamu... .. Ni uoga wetu tu... Mwenyezi Mungu katupa mamlaka kamili....

  • @liliankessy1255

    @liliankessy1255

    2 жыл бұрын

    Haumjui Koboko ww,hata hao wa maliasili hawawezi Kwnda kichwa kichwa..

  • @neemazee1864

    @neemazee1864

    2 жыл бұрын

    Etiii kiumbe kipole nenda bs kamchukue uishi naye nyumbn kwako....!!!

  • @binhussain3445

    @binhussain3445

    2 жыл бұрын

    @@johnmalembo6464 We unafuga kiumbe ganii usije ukawa unafuga njiwa halafu unajimwambafy

  • @basilmswahili3685
    @basilmswahili36852 жыл бұрын

    Mbona nyoka atujamuona sasa😂😂

  • @mudighurayra

    @mudighurayra

    2 жыл бұрын

    Kuna video moja wametuma watu wengine ana onekana milard haja ipata iyo

  • @franckjumanne6626
    @franckjumanne66262 жыл бұрын

    Mimi naweza kumamisha bila shida kwani anawatisha kuingiza kichwa kwenye uji mmi naingiza kichwa kwenye moto wa petroli

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    @aishaalbalushaishabalush8291

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah8502 жыл бұрын

    Suh hanallah mtihan wallah polen sn wakaz wahapo

  • @justinethobias374
    @justinethobias3742 жыл бұрын

    Kaeni na bibi vizuri🤣🤣🤣bibi anakwambia sasa yuko pale ,ndo wananchi wamepata woga ",sisi wote tumepata woga" 😂😂hapana bibi yu ajua kitu apo ,bibi anajua something behind the scene,bibi anajua muulizen tuu vzr

  • @aishashomali2716

    @aishashomali2716

    2 жыл бұрын

    Yaani hata mimi nina shaka na bibi bibi anajua kumtoa ongeeni nae vizuri 😂😂😂

  • @zawadisaidi4723
    @zawadisaidi47232 жыл бұрын

    Bahati yako amekusamehe huyo nyoka🤣🤣🤣

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu14032 жыл бұрын

    Nyoka Wa Ivo Morogoro Kuna Mahali Alikuapo Yuko Na Upanga Kama Wa Jogoo 🐓 Anawika Watu Tulibadili Njia Alikua Anaishi Kwenye Kichuguu Au Vichuguu Vyenye Mashimo Marefu Sana

  • @fetychina3273

    @fetychina3273

    2 жыл бұрын

    😳😳😳

  • @aminatanzanya7475

    @aminatanzanya7475

    2 жыл бұрын

    Mpk leo yupo

  • @momosaid6193

    @momosaid6193

    Жыл бұрын

    Mm sio mkaz wa Moro lkn niliwah kuskia hii story cjui n kwel

  • @jumakasim8784
    @jumakasim87842 жыл бұрын

    huyo jamaa namjua vizuli toka nikiwa mdogo na sijawahi kuona anakamata nyoka ni mjanja wa town tu

  • @asumaathuman6094

    @asumaathuman6094

    Ай бұрын

    😂😂😂

  • @mohamedrashid9035
    @mohamedrashid90352 жыл бұрын

    Hizo ni story za vijiji tu hakuna ukweli ni uvuni kaboko ni nyoka hatari sana kwa jina marufu ni black Mamba hana ukweli hapo

  • @AishaAisha-rh1fc

    @AishaAisha-rh1fc

    2 жыл бұрын

    Uyo nyoka sio wa kawaida mawili Mizimu au kuna zahabu hapo chini sema wazee ndio washapotea tumebaki vijana wazungu

  • @aishachambo8663

    @aishachambo8663

    2 жыл бұрын

    @@AishaAisha-rh1fc kweli kabisa

  • @treyvissy9854

    @treyvissy9854

    2 жыл бұрын

    Alafu koboko hana kichwa kama cha jogoo sijui anawika.. yaan kuna uongo

  • @kivujrking7492

    @kivujrking7492

    2 жыл бұрын

    @@treyvissy9854 huwajui nyoka wew kama hujaishi kijijini huwezi kujua nyoka kama hao wapo na hawanashida mpaka usogee karibu na mazingira anapoishi ndio utamuona mkorofi

  • @anthonykamkolwe5766

    @anthonykamkolwe5766

    2 жыл бұрын

    Haujui unachokisema.....

  • @nandopapihno143
    @nandopapihno1432 жыл бұрын

    Mlimani city hapafai tena😂😂😂😂😂😂

  • @hancepopessau2527
    @hancepopessau25272 жыл бұрын

    Mliman City hakuendeki tena

  • @rashidiasantemwalimngandil4890
    @rashidiasantemwalimngandil48902 жыл бұрын

    Karibuni mlin city nikivutio chautalii

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili96792 жыл бұрын

    SubhanAllah 😳😳😳🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️,Naomba Muendelezo Plz.

  • @boazambokile2587
    @boazambokile25872 жыл бұрын

    Kule siwezi kuludu angekuwa wa kawida ningeenda 🤑😳😂😂😂🏃🏃🏃🏃

  • @aisharamadan3620
    @aisharamadan36202 жыл бұрын

    Subhannallaah

  • @swahiliinspirations7953
    @swahiliinspirations79532 жыл бұрын

    Hawa Nyoka huwa ni Mizimu, yaani ukithubutu kumuua Asilimia kubwa Mito ya Maji hukauka na Baadhi ya Mambo kutokea Vijijini. Asilimia kubwa ya Vijiji wapo wengi.

  • @abdihq4228
    @abdihq42282 жыл бұрын

    Wanadam mnanyodo sana MWENYEZIMUNGU ANAWAONYESHA KUNA VIUMBE WENGINE ALHAMDULILLAH NAMPENDA HUYO NYOKA TOKENI HAPO VUNJA NYUMBA ZENU

  • @anuarikikoti1782

    @anuarikikoti1782

    2 жыл бұрын

    Aly.ismail.kasida

  • @patrickobat8258

    @patrickobat8258

    2 жыл бұрын

    @@anuarikikoti1782 nice one

  • @user-po8hz7xw9j

    @user-po8hz7xw9j

    2 жыл бұрын

    Huyo nyoka kwetu tanga mwaka 2000 kulinyesha mvua kukajaa maji akaletwa kutoka juuya milima ya wasambaa mana wa napendaga kukaa kwenye mapango basi akawa anakaa juu yamti. Mana ule mto ulipitakwenyekambi ya jeshi basi usiku jeshi wakitoka ulaiyani kuzurura usiku anawakimbiza usiku sauti anagonga miti basi jeshi walimuwinda mpaka wakamuuwa tena walimuua usiku mtialiokuwa. Anakaa niilemitimilefu mweupe nilimshuhudia. Akiwa hai anamkatiza mjini nimlefuu kweli sijawahi ona nyoka kqmq Huyo tena alivyouliwa hakuwepo tena wanakuwaga adimu NA mchana hawaonekani hovyo

  • @davidcurtis8556

    @davidcurtis8556

    2 жыл бұрын

    @@user-po8hz7xw9j huyo sasa ni nyoka kweli, hata mimi ni watanga mwenzio na niliwaji kukaa lindi huyo nyoka ana uwezo wa kigonga hata zaiya mara arobaini na anaegongwa na huyo kiumbe hana maisha na bahati mbaya nyengine ukimchokoza au ukijaribu kumuua halafu ukamshindwa ujue lazima akuue wewe hata ukiwahi kuingia ndani ya gari atajifunga popote pale ukisimama tu unajua umemkimbia tayari ukifungua tu mlango wa gari hata kabla ya kushuka anaweza akakugonga zaidi ya mara tatu na bado haondoki mpaka ufe hadi ahakikishe mapigo ya moyo yamesimama ni nyoka mwenyechuki na hasira sana ispokuwa huyu wa tabora ni kiumbe mwengine kabisa anaeonekana kwa umbo la nyoka huyu mtu wa nyoka kugongwa zaidi ya mara mbili asingeweza hata kunyanyua mguu kupiga hatua maana unapogongwa na nyoka koboko unapa short mwilini na mwili kuanza kifanya kazi vice versus kwa dakika tatu baada ya hapo maji ya mwilini hukauka na kupelekea damu kuganda, wakati nyoka wa kawaida sumu yake haina uwezo wa kukausha maji mwilini.

  • @horacemnyasa5400

    @horacemnyasa5400

    2 жыл бұрын

    @@davidcurtis8556 😃

  • @florencebudoya3814
    @florencebudoya38142 жыл бұрын

    Koboko hawezi ishi miaka zaidi ya arobaini. Akiishi mingi ni 20. Ungebeba chungu cha mafuta ya moto .Na kweli Black Mamba akikugonga huponi na ikitoke ukapona basi utapata kilema cha maisha kwenye mfumo wa fahamu maana sumu yake inaatack neurons.

  • @flova7022

    @flova7022

    2 жыл бұрын

    Sure ndio mashangaaa eti kapona na anasimulia

  • @aminatanzanya7475

    @aminatanzanya7475

    2 жыл бұрын

    @@flova7022 🤣🤣🤣

  • @lulually5209

    @lulually5209

    Жыл бұрын

    Ule mzimu tu sio nyoka wa kawaida na angetaka kumdhuru angemdhuru kwa sababu hayupo hapo kwa ajili ya kudhuru wanaadamu ndio mana kapona na uji haukumuunguza hao viumbe ni wabaya lkn kwa sababu yy hayupo hapo kwa ubaya ndio mana watu wanaishi eneo Hilo mpk leo ila Sasa wanachotaka kukifanya Sasa hivi kitawakost si wameamua kumchokoza atawamaliza

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic992 жыл бұрын

    Kila nyoka bongo wanamuita koboko🤣🤣🤣🤣 hamuwajui nyoka nyie

  • @moonaamli6835

    @moonaamli6835

    2 жыл бұрын

    Koboko wanapatikana uko mwanza Kwaiyo kote ndio uko uko

  • @changanataliforlife3760

    @changanataliforlife3760

    2 жыл бұрын

    Ahahahah

  • @michaelsamson9663

    @michaelsamson9663

    2 жыл бұрын

    @@moonaamli6835 kwel wako mwanza

  • @taturajabukhalfani7953

    @taturajabukhalfani7953

    2 жыл бұрын

    Ni nyokaa mmoja hatati Sana na anapatokana porini mara nyingi

  • @machinefannatic99

    @machinefannatic99

    2 жыл бұрын

    TATU RAJABU KHALFANI black mamba hawiki hawa jamaa waongo sana

  • @christopherngunwa9522
    @christopherngunwa95222 жыл бұрын

    Jamani nihatari sanaaaaa

  • @FatmaFatmaAbubar
    @FatmaFatmaAbubar3 күн бұрын

    Mmh pole kwahil mung awafanyie wepis aondoke

  • @emanuelmhoja2411
    @emanuelmhoja24112 жыл бұрын

    Ni hivi kwa wale tuliopitia maisha ya kuchunga ng'ombe,koboko ni nyoka mstaarabu,mpole na hapendi kelele. Watu wanadaganya kuwa ana miaka 40 hapana isipokuwa hufa na kuacha watoto. Siku ya kumtoa ndipo mtamjua vizuri

  • @magrethopundo9460

    @magrethopundo9460

    2 жыл бұрын

    Unawatisha wenzio😂😂😂😂

  • @emanuelmhoja2411

    @emanuelmhoja2411

    2 жыл бұрын

    @@magrethopundo9460 🤣

  • @lulually5209

    @lulually5209

    Жыл бұрын

    Mmmm 🙄 koboko mpole kobo huyuhuyu ninaemjua mm

  • @emanuelmhoja2411

    @emanuelmhoja2411

    Жыл бұрын

    @@lulually5209 trust me. Nyoka wa ovyo ni Kobra yule anayevibisha kichwa

  • @user-jc4qj6lr3r

    @user-jc4qj6lr3r

    16 күн бұрын

    Wampe bibi maokoto awatolee

  • @arafatharoub6215
    @arafatharoub62152 жыл бұрын

    Hap nd utajua story za koboko au black mamba ni kweli

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat1652 жыл бұрын

    Rabda anawalinda jaman! Na kwakua miaka yote yupo na hajamdhuru mtu na nyie ndo mnaanza kumtibua aanze kutafuna one after one

  • @mohamedimohamedi8933

    @mohamedimohamedi8933

    2 жыл бұрын

    nyoka halindi ndugu

  • @yussufritzy7684

    @yussufritzy7684

    2 жыл бұрын

    Anaelinda ni Mungu tu...

  • @kaizamandike8771

    @kaizamandike8771

    2 жыл бұрын

    😂😂😂 nyoka anamlinda nani, akiamua kutafuna one after another atatafuna tu.

  • @welcometoeat165

    @welcometoeat165

    2 жыл бұрын

    @@kaizamandike8771 huez jua labda joka la mizimu

  • @ROSEROBERTROBART

    @ROSEROBERTROBART

    2 жыл бұрын

    mmh toka lini nyote akawa urafiki na mwanadamu, wala haitawi tokea hii ni ahadi ya mungu binadamu kua adui wa nyoka na nyoka kua adui mwana ADAM

  • @fathimamct232
    @fathimamct2322 жыл бұрын

    Huyo Bibi huyo nyoka pengine wa Baba Ake na anamjuwa vizuri huwenda hata anamfanyia mambo ya jadi.

  • @swalehkataga8352
    @swalehkataga83522 жыл бұрын

    Ohh

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho81382 жыл бұрын

    Uyu bibi mumuuulize vizuri maana anateteya saana😁mwambieni bibi kwa upole2 akamchukue nyoka wake

  • @mwanakombopopo5117

    @mwanakombopopo5117

    2 жыл бұрын

    Umemuonaeee pia mm nashaka nae

  • @abdulbora812

    @abdulbora812

    2 жыл бұрын

    Hahaha

  • @dgffydyeu4014

    @dgffydyeu4014

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @magrethopundo9460
    @magrethopundo94602 жыл бұрын

    Duuuh Mungu awasaidie sana

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino16562 жыл бұрын

    Wabongo bwana 😁😁waiteni wazungu waje wamuondoe,ujinga kitu mbaya sana 😁😁

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    @aishaalbalushaishabalush8291

    2 жыл бұрын

    kweli nashangaa watanzania wanasema awen huyo black mamba hana dawa wakat wazungu wanaumwa na wanajitibu nakesho wanarudi katka eneo hilo na kuhakikisha wanamshika tena akiwa hai sema watanzania wanapenda kutiyana khofu

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta22272 жыл бұрын

    Subhannallah huo ni mzim siyo joke hiloo jitahadhalini hapojamani kamawatoto ndio muwemachoò naoo

  • @johnmushi8739
    @johnmushi87392 жыл бұрын

    Mliman city, 😉🥰

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness11812 жыл бұрын

    Kama yupo mda mrefu na hajawah kudhuru mtu wala mnyama, si mmwache tu, ingawa hizo sio Sifa za koboko, coz ukigongwa na aina hiyo ya Koboko ukipona bas Kila sekunde sali na ukawe Shuhuda umeona utukufu wa Mungu live

  • @user-po8hz7xw9j

    @user-po8hz7xw9j

    2 жыл бұрын

    Hawa nyoka nilishawahi kumuona aliletwa mkoani kwetu namaji akawa anakaa kwenyemti usiku ndioanasikika. Alikuwa anasumbua usiku kweli kufukuza watu Ila jeshi walimuwinda mpaka akauliwa walimpiga risasi

  • @mashramadhani1989

    @mashramadhani1989

    2 жыл бұрын

    Mizimu hiyo anawezaonekana kama nyoka lkn shetani

  • @kokuhabwarutechura6272

    @kokuhabwarutechura6272

    2 жыл бұрын

    @@mashramadhani1989 ushetani wake nini sasa?

  • @mashramadhani1989

    @mashramadhani1989

    2 жыл бұрын

    @@kokuhabwarutechura6272 una umri gsni?

  • @janethvictor1386
    @janethvictor13862 жыл бұрын

    Huyo Bibi Kuna kitu anajua

  • @chuzilapweza6517
    @chuzilapweza65172 жыл бұрын

    Huyo bibi Nina shaka nae kidogo!!

  • @wasilaahmad7913

    @wasilaahmad7913

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @RehemaMohamed-ky9xh
    @RehemaMohamed-ky9xh2 ай бұрын

    Atali sana

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu14032 жыл бұрын

    Hata Chatu Pia Yuko Na Tabia Za Kuwika Ukijichanganya Itakula Kwako

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson96632 жыл бұрын

    Bibi maelezo yako yana kitu ndani yake mjuku wako anaenda kuchuma maembe na analudi salama du ??

  • @joycenicodemus.2232

    @joycenicodemus.2232

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kennyrogers4734

    @kennyrogers4734

    2 жыл бұрын

    Kama tunaendana kimawazo vile Mungu atusamehe sana kwa kuhisi tusichokijua ila nna wasi wasi sana na Bibi kama anajua ukweli hivi

  • @michaelsamson9663

    @michaelsamson9663

    2 жыл бұрын

    @@kennyrogers4734 anaongea kwakujiamin eti mjuku wake anaenda kuchuma maembe kwenye uo mti akati kuna nyoka hatal anae wika

  • @kennyrogers4734

    @kennyrogers4734

    2 жыл бұрын

    @@michaelsamson9663 Mhh ndugu yngu anatupa mashaka sana Bibi kama anaelewa kinachoendelea hv

  • @melkionpaulhaule
    @melkionpaulhaule2 жыл бұрын

    Wale wanaopenda KUDHURUMU ardi/maeneo nendeni mkadhurumu apoo😂😂😂🤣🤣🤣

  • @gracedanfrod2318

    @gracedanfrod2318

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @khadjamhozya

    @khadjamhozya

    Ай бұрын

    😊😊😊😊😊🤣🤣🤣

  • @barakakusa7606
    @barakakusa76062 жыл бұрын

    Kama hajathuru mtu yoyote miqka yote hiyo mwacheni tu.

  • @RUFUS_97
    @RUFUS_972 жыл бұрын

    wasimuue ila wampeleke hifadhi za taifa awe kivutio kwa watalii, kama anawika ataleta watalii wengi sana sana.......

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    @aishaalbalushaishabalush8291

    2 жыл бұрын

    nawazungu wanawapenda sana hao black mamba

  • @user-rl1fj9tn3q
    @user-rl1fj9tn3q2 ай бұрын

    Huyo nyoka mwenye anamiliki ni huyo kikongwe kama utabisha msikilize vizuri maelezo yake hata andolewe anasema kama kuna mtu anaweza kumuondoa akamuondoe

  • @Elizakilisipinilikolika1996

    @Elizakilisipinilikolika1996

    Ай бұрын

    Jaman we Acha tu

  • @AishaAisha-rh1fc
    @AishaAisha-rh1fc2 жыл бұрын

    Uyo sio nyoka wa kawaida fanye mila nyoka aende zake sasa muuweni muone baraha lake

  • @fadhiliissa2109
    @fadhiliissa21092 жыл бұрын

    Anakuambia badala ya kufa akatoka kwenye uji kwaiyo alikufa pia akafufuka mganga kapagawa had anachapia

  • @lulually5209

    @lulually5209

    Жыл бұрын

    Unafanya mchezo na nyoka lazima achapie yule sio nyoka alowazoea ule mzimu atawapa tabu sana na wakiendelea kumchokoza atawamaliza wamuache tu

  • @suzanambatta1126

    @suzanambatta1126

    3 күн бұрын

    Yupo sahihi amesema badala na si baada

  • @aishaalbalushaishabalush8291
    @aishaalbalushaishabalush82912 жыл бұрын

    muwendelezo uko wapi Millard ayo wa hi stor pleass twahitaji muendeo ilishia wapi

  • @maridadi8
    @maridadi82 жыл бұрын

    Nyoka anawikaje? Huyo arudishiwe makazi yake. Watu wanapenda kununua viwanja bila ya kujua kilikiwepo kitu gani before. Wamuache huyo nyoka. Hiyo labda Ilikua sehemu ya ya matambiko.

  • @aisharamadan3620

    @aisharamadan3620

    2 жыл бұрын

    Kobogo akisha pea huwa anawika Nandini mana anakile kidude kama chajogoo

  • @saudaally4109
    @saudaally41092 жыл бұрын

    Yani uyo nyoka Kama anawika ni wakupazwa coz kashakuwa mkubwa ila kama mpaka sasa ajapazwa bs kusemeya uyo baba siyo nyoka wa kawaida

  • @user-iw7gy9dt1c
    @user-iw7gy9dt1c12 күн бұрын

    Wangapi wanamsikiliza bibi 2024😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @jamessichimata36
    @jamessichimata362 жыл бұрын

    Tafadhari msimtoe huyo Nyoka

  • @ayeshiiddi302
    @ayeshiiddi3022 жыл бұрын

    Atar sana

  • @moplaizomnyamaoficial3530
    @moplaizomnyamaoficial35302 жыл бұрын

    duha huyo nyoka hatar sana

  • @Miasa-rz8le
    @Miasa-rz8leАй бұрын

    Nilipo kua na umri wa miaka 8 nilitumwa kuchota maji uko Kijiji Cha kisangata sinikasikia saut ya jogooo akiwika bila kujua kumbe alikua ni nyoka nikajiuliza uyu jogoo kapotea mpaka kufika uku ? Kila nilipo piga atua kwenda mbele alinitolea saut ya ukali uku nikiona majan malefu yakilala nikahis atar nikakimbia

  • @singinggirl6554
    @singinggirl65542 жыл бұрын

    Tupe muendelezo wa hii taarifa kwa kweli

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996Ай бұрын

    Mbona mmekaa apo kwenye mwembe tena jaman uyo nyoka ayupo apo siniatali sana jaman

  • @ShitantaRashidy
    @ShitantaRashidy2 ай бұрын

    Bb hajui bana ila mwulizen vzuri

  • @meherdadkarambeck2110
    @meherdadkarambeck21102 жыл бұрын

    Mhhhhhh hizi imani zetu zitakuja kusiha lini huyo nyoka yuko wapi mimi nikamchukue?Kazi yake ndogo sana..

  • @rajabuSwaleh
    @rajabuSwaleh17 күн бұрын

    Bibi upo vizuri

  • @JlmwinukaOnlineTv
    @JlmwinukaOnlineTvАй бұрын

  • @rukiaomar3369
    @rukiaomar33692 жыл бұрын

    Duh poleni wakazi wa hapo mtihani nyoka wa uchawi uyo

  • @tumainimwanga8846
    @tumainimwanga88462 жыл бұрын

    Kuna wataalamu wapo nyoka anakuja mwenywe anakuwampole na anakamatwa

  • @aishaamwalimu2887

    @aishaamwalimu2887

    2 жыл бұрын

    Wapeleke ili akamatwe watu wapate Amani.

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga57982 жыл бұрын

    Huyu nyoka ni mzimu jaribuni kuwaita wazee was Mila hyo nyoka anaweza kua majibu ya matatzo

  • @festopaul7549
    @festopaul75492 жыл бұрын

    Duuh kweli huyo ni nyoka konki

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti68392 жыл бұрын

    Duuu kweli mambo nimengi

  • @fathimamct232
    @fathimamct2322 жыл бұрын

    Wamemuingilia kwenye himaya yake waiteni watu wa madini wapime hapo chibi pengine pana madini wanakuwa kama nyoka wa mapango wa amboni hao.

  • @002RYE
    @002RYE2 жыл бұрын

    Yuko wapi nyoka mwenyewe mbona hatumwoni

  • @prettynayally2177
    @prettynayally21772 жыл бұрын

    Huyo nyoka sio wa kuuwa

  • @franckjumanne6626
    @franckjumanne66262 жыл бұрын

    Jamani mali asiri wakifauru kumtoa mniambie

  • @suleimansultan3333
    @suleimansultan33332 жыл бұрын

    Sasa walimwengu kwanini munamtafuta muacheni uyo sio nyoka wa kawaida uyo ni jini muacheni na maisha yake

  • @gloriamwanjali9371
    @gloriamwanjali93712 жыл бұрын

    Koboko hawezi kukaa hapo

  • @burudaninamatukio5389
    @burudaninamatukio53892 жыл бұрын

    Watu wa maaliasili mkamtoe huyo nyoka au mpaka alete madharau ndio muanze kubwabwaja upumbavu wenu

Келесі