NYOKA AZUA TAHARUKI KWENYE MAKAZI YA WATU, ANADAIWA KUWEPO ZAIDI YA MIAKA 40
Taharuki iliyoibuka na kujenga hofu kwa wakazi wa eneo la Mliman City mtaa wa Kizigo kata ya Ng’ambo baada ya kusikika sauti ya Nyoka aina ya Koboko anayekisiwa kuwa na urefu wa zaidi ya futi 10 akipiga kelele juu ya mti wa mwembe katika eneo la makazi ya watu
Пікірлер: 513
Mburaaa. Huyo mtaalam wa jadi mwenyew muoga namna hyo. Kasema hatokaa arudi tena. Kama nyoka huyo hana shida mnamchokoza wa nini jamn hivyo ni vyombo vya ulinzi na usalama tuliachiwa na mababu zetu . Ulinzi konk
@rithamsechu7220
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@n.y.smedia4145
2 жыл бұрын
Uyo nyoka ni hatali Sana ndugu yangu ni halali kukimbia
@mishikikoti2948
2 жыл бұрын
😂😂
@fatmamnangwa9131
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
Mlimani city hakuendeki tna😂😂😂😂
@rachelsilvester7901
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@OmaryDunda
Ай бұрын
😅😅😅😅mlimani City Hakuendeki tena
Mungu wetu ni muumbaji yaani Mungu wetu fundii sifa na utukufu tumrudishie Muumba
Hao maliasili ni waoga walishaiona hatari hapo hao hawarudi tena
Dah mwenye nyumba kazi anayo
@lulually5209
Жыл бұрын
Hapajengeki aongee nae amwambie tu kuwa ee mzimu wa mababu mm ni kijana wako nataka kujenga hapa nakuomba usinidhuru mm pamoja na wajenzi wangu aone km kweli ni wa mzimu hatowadhuru we imagen toka walipoanza kujenga mok hapo ilipofikia mbona hakuwazuru ila Sasa hivi wanamchokoza ndio mana wamuache tu hana madhara na mtu
Millard Ayo usikose kutupa muendelezo wa hii habari maana inaonyesha Tz tuna maliasili nyingi tafadhali tujulishane kitakaco endelea
Daaahhh hatarr sana ila kwasisi tulio kulia huo mkoa wa tabora kukutana na nyoka ni kawaida maana ni lazima twende kuangua maembe, ukwaju Sungwi,ila kama ninyoka wa kawida tuu hua hadhuru bila.kummchoka unaweza.fanya mambo yako mpaka uka maliza na yeye ana kwangalia tuu na asifanye kitu ila huyu sio wa kawaida kwakwer
Bibi nimekuelewa Sana Sana!
@user-gq8ox7wb7f
2 жыл бұрын
Bibi bibii
@DativaMbowe
Ай бұрын
Bibi mchawi uyu
Huyo bibi huyo wakae naye vizuri, maongezi yake tuu yanaonesha anamjua vizuri huyo nyoka kuliko mtu mwingine yeyote.
@oliviaseth4652
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mashramadhani1989
2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@jesusyoulovemetoomuchwanji8860
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@AziziMsuya
2 жыл бұрын
Umeona ee😁😁😁
@gilbertshirima2684
2 жыл бұрын
🤔🤔🤔🤔🤔
Asante sana Millard ayo kwa Taarifa daaahr hadi naogopa hatari sana
@reubenkissinga5802
2 жыл бұрын
Usiogobe Sabi Mamii ,njoo nikukumbatie!!
@user-po8hz7xw9j
2 жыл бұрын
@@reubenkissinga5802 😅😅😅😂🤣wewe chizikweli
Mnamchokoza wananchi mnapenda kuvamia vamia.
Inatosha nyoka huyo sio sawa kama anamiaka kazaa ana wenyewe
@DoreenOmmy-gw3op
19 күн бұрын
Kbs anawenyew
Nilipoona Mlimanicity nikajua ya dar na nyoka huyo vp
@SafiyaJ-yw2vt
Жыл бұрын
Hata mm nikafikiri mlimani city ya dar kumbe kijijini duh🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 Bib fanya mpang nyoka aondk kwa aman Jins unavyoongea km wamjuw hivi
@giftmbogela2435
2 жыл бұрын
Hee😂😂😂
@nizclemencelampslabiche2007
2 жыл бұрын
Hi hi
@rachelsilvester7901
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Nyoka wa mizimu,ni maombi tu
Waseme Vizuri na uyu Bibi,Bibi anaonekana mchongo anaujua,Taratibu wamwombe atoe mchongo wake,Bibi anakwambia mdudu ajachokoza mtu,mbuzi Wala kuku na Mwaka huu ndo wamemuchokoza😂
@aminatanzanya7475
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣 Bib hapn chezea
@suleimansultan3333
2 жыл бұрын
Bibi anajuwa history lakini hausiki
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Yeah Bibi anajua mchongo mzima 🤣🤣🤣🤣
@aisharamadan3620
2 жыл бұрын
😃😄😃😃
@aggreyenock1221
2 жыл бұрын
😂😂😂
🐍 Nyoka Ni Adui Wa Mwanadamu Wacheni Kukulupuka
Ummmh! Huyo bibi kuna kitu anakijua ndani yake wamuulize vizuri tu
Subhanaallah
Kama hasumbui mwachen nyoka wa watu afanye maisha yake
Koboko jmn kwa mkoa wa tabora wamezidi ila huyo koboko ni wa maajabu make koboko ni mkorofi san
Ingekua mlimani City ya kwetu dar sasa hivi nyoka kashagongwa na gari tu🤣
@ROSEROBERTROBART
2 жыл бұрын
basi awe ni nyoka lakini sio nyoka yule
Nyoka hao kuna wakati wanatema mate kisha uyoga unaota tunapata chakula
@rachelsilvester7901
2 жыл бұрын
Heeeee kumbee
@Mazoea
2 жыл бұрын
Siri tena uyoga
@manilabonalumanula1014
2 жыл бұрын
@@Mazoeambona asali unakula wkt nyuki hutumbua hata mizoga kutengeneza asali?
Bibi kamaliza nyie jifanye wa digitali mtakufa sanaaaaah
@ommymehmed8880
2 жыл бұрын
digital
@ommymehmed8880
2 жыл бұрын
tena kamaliza mazimaaa
😃😃😃😃sio nyoka wa kawaida uyoo..... Jamaa kashasema harudi tena
@welcometoeat165
2 жыл бұрын
Nmecheka walah
@emanuelmhoja2411
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@aishachambo8663
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@hisanmwakijungu10
2 жыл бұрын
Fanya kazi tafuta hela acha hizo imani za ajabu denis
Shikamoo bibi kazi iendelee
Sasa mnasema kuna nyoka hapo kwenye mwembe Sasa mbona mmekaa hapo hapo?Sasa mtuletee mrejesho tunausubili kama wamemuondoa au la
@hamiduhamisi2371
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hawa wanamjuwa vizuri haswa huyo bi mkubwa inaonekana nyoka wake
Mmh Tanzania yangu hii😂😂
Mmmmmh Bibi mbona anajiamin saaaana kuna nini ama
Au uyu nyanya yuamfahamu nyoka wa nani
@vumilialukas200
2 жыл бұрын
Unatokea Mombasa sehemu gani?
@ygtvonline2104
2 жыл бұрын
Hhhhhh
Sijajuwa kiundani zaidi Ila huyu bibi ni hatari Kwa maelezo yake.
Asiuawe.... Waletwe wataalamu wa nyoka atolewe akafugwe na kutunzwa kwa utalii... Ni kiumbe kipolee sana....éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@vivianvivian8585
2 жыл бұрын
Una balaaa ww achana na huyo nyoka kbsa ni hatar kbsa black mamba we ni hatar sana
@johnmalembo6464
2 жыл бұрын
@@vivianvivian8585 hakuna kiumbe asiye fugika kwa Mwanadamu... .. Ni uoga wetu tu... Mwenyezi Mungu katupa mamlaka kamili....
@liliankessy1255
2 жыл бұрын
Haumjui Koboko ww,hata hao wa maliasili hawawezi Kwnda kichwa kichwa..
@neemazee1864
2 жыл бұрын
Etiii kiumbe kipole nenda bs kamchukue uishi naye nyumbn kwako....!!!
@binhussain3445
2 жыл бұрын
@@johnmalembo6464 We unafuga kiumbe ganii usije ukawa unafuga njiwa halafu unajimwambafy
Mbona nyoka atujamuona sasa😂😂
@mudighurayra
2 жыл бұрын
Kuna video moja wametuma watu wengine ana onekana milard haja ipata iyo
Mimi naweza kumamisha bila shida kwani anawatisha kuingiza kichwa kwenye uji mmi naingiza kichwa kwenye moto wa petroli
@aishaalbalushaishabalush8291
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
Suh hanallah mtihan wallah polen sn wakaz wahapo
Kaeni na bibi vizuri🤣🤣🤣bibi anakwambia sasa yuko pale ,ndo wananchi wamepata woga ",sisi wote tumepata woga" 😂😂hapana bibi yu ajua kitu apo ,bibi anajua something behind the scene,bibi anajua muulizen tuu vzr
@aishashomali2716
2 жыл бұрын
Yaani hata mimi nina shaka na bibi bibi anajua kumtoa ongeeni nae vizuri 😂😂😂
Bahati yako amekusamehe huyo nyoka🤣🤣🤣
Nyoka Wa Ivo Morogoro Kuna Mahali Alikuapo Yuko Na Upanga Kama Wa Jogoo 🐓 Anawika Watu Tulibadili Njia Alikua Anaishi Kwenye Kichuguu Au Vichuguu Vyenye Mashimo Marefu Sana
@fetychina3273
2 жыл бұрын
😳😳😳
@aminatanzanya7475
2 жыл бұрын
Mpk leo yupo
@momosaid6193
Жыл бұрын
Mm sio mkaz wa Moro lkn niliwah kuskia hii story cjui n kwel
huyo jamaa namjua vizuli toka nikiwa mdogo na sijawahi kuona anakamata nyoka ni mjanja wa town tu
@asumaathuman6094
Ай бұрын
😂😂😂
Hizo ni story za vijiji tu hakuna ukweli ni uvuni kaboko ni nyoka hatari sana kwa jina marufu ni black Mamba hana ukweli hapo
@AishaAisha-rh1fc
2 жыл бұрын
Uyo nyoka sio wa kawaida mawili Mizimu au kuna zahabu hapo chini sema wazee ndio washapotea tumebaki vijana wazungu
@aishachambo8663
2 жыл бұрын
@@AishaAisha-rh1fc kweli kabisa
@treyvissy9854
2 жыл бұрын
Alafu koboko hana kichwa kama cha jogoo sijui anawika.. yaan kuna uongo
@kivujrking7492
2 жыл бұрын
@@treyvissy9854 huwajui nyoka wew kama hujaishi kijijini huwezi kujua nyoka kama hao wapo na hawanashida mpaka usogee karibu na mazingira anapoishi ndio utamuona mkorofi
@anthonykamkolwe5766
2 жыл бұрын
Haujui unachokisema.....
Mlimani city hapafai tena😂😂😂😂😂😂
Mliman City hakuendeki tena
Karibuni mlin city nikivutio chautalii
SubhanAllah 😳😳😳🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️,Naomba Muendelezo Plz.
Kule siwezi kuludu angekuwa wa kawida ningeenda 🤑😳😂😂😂🏃🏃🏃🏃
Subhannallaah
Hawa Nyoka huwa ni Mizimu, yaani ukithubutu kumuua Asilimia kubwa Mito ya Maji hukauka na Baadhi ya Mambo kutokea Vijijini. Asilimia kubwa ya Vijiji wapo wengi.
Wanadam mnanyodo sana MWENYEZIMUNGU ANAWAONYESHA KUNA VIUMBE WENGINE ALHAMDULILLAH NAMPENDA HUYO NYOKA TOKENI HAPO VUNJA NYUMBA ZENU
@anuarikikoti1782
2 жыл бұрын
Aly.ismail.kasida
@patrickobat8258
2 жыл бұрын
@@anuarikikoti1782 nice one
@user-po8hz7xw9j
2 жыл бұрын
Huyo nyoka kwetu tanga mwaka 2000 kulinyesha mvua kukajaa maji akaletwa kutoka juuya milima ya wasambaa mana wa napendaga kukaa kwenye mapango basi akawa anakaa juu yamti. Mana ule mto ulipitakwenyekambi ya jeshi basi usiku jeshi wakitoka ulaiyani kuzurura usiku anawakimbiza usiku sauti anagonga miti basi jeshi walimuwinda mpaka wakamuuwa tena walimuua usiku mtialiokuwa. Anakaa niilemitimilefu mweupe nilimshuhudia. Akiwa hai anamkatiza mjini nimlefuu kweli sijawahi ona nyoka kqmq Huyo tena alivyouliwa hakuwepo tena wanakuwaga adimu NA mchana hawaonekani hovyo
@davidcurtis8556
2 жыл бұрын
@@user-po8hz7xw9j huyo sasa ni nyoka kweli, hata mimi ni watanga mwenzio na niliwaji kukaa lindi huyo nyoka ana uwezo wa kigonga hata zaiya mara arobaini na anaegongwa na huyo kiumbe hana maisha na bahati mbaya nyengine ukimchokoza au ukijaribu kumuua halafu ukamshindwa ujue lazima akuue wewe hata ukiwahi kuingia ndani ya gari atajifunga popote pale ukisimama tu unajua umemkimbia tayari ukifungua tu mlango wa gari hata kabla ya kushuka anaweza akakugonga zaidi ya mara tatu na bado haondoki mpaka ufe hadi ahakikishe mapigo ya moyo yamesimama ni nyoka mwenyechuki na hasira sana ispokuwa huyu wa tabora ni kiumbe mwengine kabisa anaeonekana kwa umbo la nyoka huyu mtu wa nyoka kugongwa zaidi ya mara mbili asingeweza hata kunyanyua mguu kupiga hatua maana unapogongwa na nyoka koboko unapa short mwilini na mwili kuanza kifanya kazi vice versus kwa dakika tatu baada ya hapo maji ya mwilini hukauka na kupelekea damu kuganda, wakati nyoka wa kawaida sumu yake haina uwezo wa kukausha maji mwilini.
@horacemnyasa5400
2 жыл бұрын
@@davidcurtis8556 😃
Koboko hawezi ishi miaka zaidi ya arobaini. Akiishi mingi ni 20. Ungebeba chungu cha mafuta ya moto .Na kweli Black Mamba akikugonga huponi na ikitoke ukapona basi utapata kilema cha maisha kwenye mfumo wa fahamu maana sumu yake inaatack neurons.
@flova7022
2 жыл бұрын
Sure ndio mashangaaa eti kapona na anasimulia
@aminatanzanya7475
2 жыл бұрын
@@flova7022 🤣🤣🤣
@lulually5209
Жыл бұрын
Ule mzimu tu sio nyoka wa kawaida na angetaka kumdhuru angemdhuru kwa sababu hayupo hapo kwa ajili ya kudhuru wanaadamu ndio mana kapona na uji haukumuunguza hao viumbe ni wabaya lkn kwa sababu yy hayupo hapo kwa ubaya ndio mana watu wanaishi eneo Hilo mpk leo ila Sasa wanachotaka kukifanya Sasa hivi kitawakost si wameamua kumchokoza atawamaliza
Kila nyoka bongo wanamuita koboko🤣🤣🤣🤣 hamuwajui nyoka nyie
@moonaamli6835
2 жыл бұрын
Koboko wanapatikana uko mwanza Kwaiyo kote ndio uko uko
@changanataliforlife3760
2 жыл бұрын
Ahahahah
@michaelsamson9663
2 жыл бұрын
@@moonaamli6835 kwel wako mwanza
@taturajabukhalfani7953
2 жыл бұрын
Ni nyokaa mmoja hatati Sana na anapatokana porini mara nyingi
@machinefannatic99
2 жыл бұрын
TATU RAJABU KHALFANI black mamba hawiki hawa jamaa waongo sana
Jamani nihatari sanaaaaa
Mmh pole kwahil mung awafanyie wepis aondoke
Ni hivi kwa wale tuliopitia maisha ya kuchunga ng'ombe,koboko ni nyoka mstaarabu,mpole na hapendi kelele. Watu wanadaganya kuwa ana miaka 40 hapana isipokuwa hufa na kuacha watoto. Siku ya kumtoa ndipo mtamjua vizuri
@magrethopundo9460
2 жыл бұрын
Unawatisha wenzio😂😂😂😂
@emanuelmhoja2411
2 жыл бұрын
@@magrethopundo9460 🤣
@lulually5209
Жыл бұрын
Mmmm 🙄 koboko mpole kobo huyuhuyu ninaemjua mm
@emanuelmhoja2411
Жыл бұрын
@@lulually5209 trust me. Nyoka wa ovyo ni Kobra yule anayevibisha kichwa
@user-jc4qj6lr3r
16 күн бұрын
Wampe bibi maokoto awatolee
Hap nd utajua story za koboko au black mamba ni kweli
Rabda anawalinda jaman! Na kwakua miaka yote yupo na hajamdhuru mtu na nyie ndo mnaanza kumtibua aanze kutafuna one after one
@mohamedimohamedi8933
2 жыл бұрын
nyoka halindi ndugu
@yussufritzy7684
2 жыл бұрын
Anaelinda ni Mungu tu...
@kaizamandike8771
2 жыл бұрын
😂😂😂 nyoka anamlinda nani, akiamua kutafuna one after another atatafuna tu.
@welcometoeat165
2 жыл бұрын
@@kaizamandike8771 huez jua labda joka la mizimu
@ROSEROBERTROBART
2 жыл бұрын
mmh toka lini nyote akawa urafiki na mwanadamu, wala haitawi tokea hii ni ahadi ya mungu binadamu kua adui wa nyoka na nyoka kua adui mwana ADAM
Huyo Bibi huyo nyoka pengine wa Baba Ake na anamjuwa vizuri huwenda hata anamfanyia mambo ya jadi.
Ohh
Uyu bibi mumuuulize vizuri maana anateteya saana😁mwambieni bibi kwa upole2 akamchukue nyoka wake
@mwanakombopopo5117
2 жыл бұрын
Umemuonaeee pia mm nashaka nae
@abdulbora812
2 жыл бұрын
Hahaha
@dgffydyeu4014
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
Duuuh Mungu awasaidie sana
Wabongo bwana 😁😁waiteni wazungu waje wamuondoe,ujinga kitu mbaya sana 😁😁
@aishaalbalushaishabalush8291
2 жыл бұрын
kweli nashangaa watanzania wanasema awen huyo black mamba hana dawa wakat wazungu wanaumwa na wanajitibu nakesho wanarudi katka eneo hilo na kuhakikisha wanamshika tena akiwa hai sema watanzania wanapenda kutiyana khofu
Subhannallah huo ni mzim siyo joke hiloo jitahadhalini hapojamani kamawatoto ndio muwemachoò naoo
Mliman city, 😉🥰
Kama yupo mda mrefu na hajawah kudhuru mtu wala mnyama, si mmwache tu, ingawa hizo sio Sifa za koboko, coz ukigongwa na aina hiyo ya Koboko ukipona bas Kila sekunde sali na ukawe Shuhuda umeona utukufu wa Mungu live
@user-po8hz7xw9j
2 жыл бұрын
Hawa nyoka nilishawahi kumuona aliletwa mkoani kwetu namaji akawa anakaa kwenyemti usiku ndioanasikika. Alikuwa anasumbua usiku kweli kufukuza watu Ila jeshi walimuwinda mpaka akauliwa walimpiga risasi
@mashramadhani1989
2 жыл бұрын
Mizimu hiyo anawezaonekana kama nyoka lkn shetani
@kokuhabwarutechura6272
2 жыл бұрын
@@mashramadhani1989 ushetani wake nini sasa?
@mashramadhani1989
2 жыл бұрын
@@kokuhabwarutechura6272 una umri gsni?
Huyo Bibi Kuna kitu anajua
Huyo bibi Nina shaka nae kidogo!!
@wasilaahmad7913
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
Atali sana
Hata Chatu Pia Yuko Na Tabia Za Kuwika Ukijichanganya Itakula Kwako
Bibi maelezo yako yana kitu ndani yake mjuku wako anaenda kuchuma maembe na analudi salama du ??
@joycenicodemus.2232
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@kennyrogers4734
2 жыл бұрын
Kama tunaendana kimawazo vile Mungu atusamehe sana kwa kuhisi tusichokijua ila nna wasi wasi sana na Bibi kama anajua ukweli hivi
@michaelsamson9663
2 жыл бұрын
@@kennyrogers4734 anaongea kwakujiamin eti mjuku wake anaenda kuchuma maembe kwenye uo mti akati kuna nyoka hatal anae wika
@kennyrogers4734
2 жыл бұрын
@@michaelsamson9663 Mhh ndugu yngu anatupa mashaka sana Bibi kama anaelewa kinachoendelea hv
Wale wanaopenda KUDHURUMU ardi/maeneo nendeni mkadhurumu apoo😂😂😂🤣🤣🤣
@gracedanfrod2318
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@khadjamhozya
Ай бұрын
😊😊😊😊😊🤣🤣🤣
Kama hajathuru mtu yoyote miqka yote hiyo mwacheni tu.
wasimuue ila wampeleke hifadhi za taifa awe kivutio kwa watalii, kama anawika ataleta watalii wengi sana sana.......
@aishaalbalushaishabalush8291
2 жыл бұрын
nawazungu wanawapenda sana hao black mamba
Huyo nyoka mwenye anamiliki ni huyo kikongwe kama utabisha msikilize vizuri maelezo yake hata andolewe anasema kama kuna mtu anaweza kumuondoa akamuondoe
@Elizakilisipinilikolika1996
Ай бұрын
Jaman we Acha tu
Uyo sio nyoka wa kawaida fanye mila nyoka aende zake sasa muuweni muone baraha lake
Anakuambia badala ya kufa akatoka kwenye uji kwaiyo alikufa pia akafufuka mganga kapagawa had anachapia
@lulually5209
Жыл бұрын
Unafanya mchezo na nyoka lazima achapie yule sio nyoka alowazoea ule mzimu atawapa tabu sana na wakiendelea kumchokoza atawamaliza wamuache tu
@suzanambatta1126
3 күн бұрын
Yupo sahihi amesema badala na si baada
muwendelezo uko wapi Millard ayo wa hi stor pleass twahitaji muendeo ilishia wapi
Nyoka anawikaje? Huyo arudishiwe makazi yake. Watu wanapenda kununua viwanja bila ya kujua kilikiwepo kitu gani before. Wamuache huyo nyoka. Hiyo labda Ilikua sehemu ya ya matambiko.
@aisharamadan3620
2 жыл бұрын
Kobogo akisha pea huwa anawika Nandini mana anakile kidude kama chajogoo
Yani uyo nyoka Kama anawika ni wakupazwa coz kashakuwa mkubwa ila kama mpaka sasa ajapazwa bs kusemeya uyo baba siyo nyoka wa kawaida
Wangapi wanamsikiliza bibi 2024😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tafadhari msimtoe huyo Nyoka
Atar sana
duha huyo nyoka hatar sana
Nilipo kua na umri wa miaka 8 nilitumwa kuchota maji uko Kijiji Cha kisangata sinikasikia saut ya jogooo akiwika bila kujua kumbe alikua ni nyoka nikajiuliza uyu jogoo kapotea mpaka kufika uku ? Kila nilipo piga atua kwenda mbele alinitolea saut ya ukali uku nikiona majan malefu yakilala nikahis atar nikakimbia
Tupe muendelezo wa hii taarifa kwa kweli
Mbona mmekaa apo kwenye mwembe tena jaman uyo nyoka ayupo apo siniatali sana jaman
Bb hajui bana ila mwulizen vzuri
Mhhhhhh hizi imani zetu zitakuja kusiha lini huyo nyoka yuko wapi mimi nikamchukue?Kazi yake ndogo sana..
Bibi upo vizuri
❤
Duh poleni wakazi wa hapo mtihani nyoka wa uchawi uyo
Kuna wataalamu wapo nyoka anakuja mwenywe anakuwampole na anakamatwa
@aishaamwalimu2887
2 жыл бұрын
Wapeleke ili akamatwe watu wapate Amani.
Huyu nyoka ni mzimu jaribuni kuwaita wazee was Mila hyo nyoka anaweza kua majibu ya matatzo
Duuh kweli huyo ni nyoka konki
Duuu kweli mambo nimengi
Wamemuingilia kwenye himaya yake waiteni watu wa madini wapime hapo chibi pengine pana madini wanakuwa kama nyoka wa mapango wa amboni hao.
Yuko wapi nyoka mwenyewe mbona hatumwoni
Huyo nyoka sio wa kuuwa
Jamani mali asiri wakifauru kumtoa mniambie
Sasa walimwengu kwanini munamtafuta muacheni uyo sio nyoka wa kawaida uyo ni jini muacheni na maisha yake
Koboko hawezi kukaa hapo
Watu wa maaliasili mkamtoe huyo nyoka au mpaka alete madharau ndio muanze kubwabwaja upumbavu wenu