MTU ALIYEGEUKA NYOKA MTWARA “ANALINDA KIJIJI, UKIMUONA HAULALI NI NYOKA WA AJABU”

Mwaka 1907 inasemekana palionekana tundu kubwa na kipande cha sanda kwenye kaburi alilozikwa Mzee aliyefahamika kwa jina la Mzee Limbende kwenye kijiji cha Nanguruwe kata ya Nanguruwe mkoani Mtwara ambaye alikuwa mmoja wa wazee wa kijiji hicho.
Siku chache baadae Ndugu wa karibu wa Marehemu Mzee Limbende aitwae Salum Binali Walivenga alioteshwa ndoto kwamba Marehem Limbende amefufuka na kuwa nyoka ambae atalinda kijiji hicho na hii ni kimila na desturi.
Tumefika kwenye kijiji hicho na kutembelea kwenye eneo la bwawa kubwa lililopo kijijini hapo ambapo inasemekana kwamba ndio anapoishi nyoka huyo tangu miaka hiyo ambapo anaonekana na Mtu mmoja tu ambaye anatakiwa kupokea maono ya yanayoweza kutokea siku za mbeleni kwa kuoteshwa.

Пікірлер: 272

  • @mrpopsuit
    @mrpopsuit2 жыл бұрын

    Amini usiamini lkn kila kabila lina mila na destuli lkn tukifika mjini tunaita ushirikina

  • @radhiambwana3353

    @radhiambwana3353

    2 жыл бұрын

    😃😃😃

  • @lightrich6436

    @lightrich6436

    2 жыл бұрын

    Upo sahihi Joseph

  • @salimabdul4424

    @salimabdul4424

    2 жыл бұрын

    Huyo ndio shetwan aanafanya yake.na mbele yatakuja kutokea zaidi ya hayo

  • @zaharakimolo130

    @zaharakimolo130

    2 жыл бұрын

    Kwahyo unasapoti hayo?? Naje huamin km kuna ushirikina?

  • @mrpopsuit

    @mrpopsuit

    2 жыл бұрын

    @@zaharakimolo130 hata wewe chimbuko lako lina mila na destuli zenu ndo nilikuwa na maana hiyo kuhusu kusapot hiyo ya kwako ww ulivyowaza

  • @msumimhando6601
    @msumimhando66012 жыл бұрын

    Walimushirikiina finnari JAHANNAM khalidiina fiiha abadaa

  • @saumusalimuhassan2499

    @saumusalimuhassan2499

    2 жыл бұрын

    Kwakweli ndugu yangu, hii ni shirk tu 🙌😥

  • @mbarakasuleimani913

    @mbarakasuleimani913

    2 жыл бұрын

    eleweni kwanza hiyo mila shiriki ni kingine

  • @hawaamohammed6687

    @hawaamohammed6687

    2 жыл бұрын

    Siku hiyo yakiama tutakuja kuyaona mengii Allah akituwezesha InshaAllah

  • @nangeboy5313

    @nangeboy5313

    2 жыл бұрын

    Mpumbavu wewe hiyo siyo shirki jinga wewe😠😠😠😠😠

  • @johaally669

    @johaally669

    2 жыл бұрын

    @@nangeboy5313 Hiyo ni shirik utake usitak soma dini usikane tu bila kusoma

  • @kellymwegelingoha.3306
    @kellymwegelingoha.33062 жыл бұрын

    Afrika wengi wanaponda wamezoea kutangaziwa ushoga wa nchi za magharibi, wabongo hbana Wacha waendelee kujipaka vinyesi kutoka ulaya

  • @mrgeorgeisdory5277

    @mrgeorgeisdory5277

    2 жыл бұрын

    Upo sahiii tunakataa vyetu alafu wengine wanatoka kwao wanavifata na wanaviamini

  • @BeatricephilipKaishe
    @BeatricephilipKaishe2 жыл бұрын

    Dini nitamaduni za watu weupe hiyo ni asili yetu weusi acheni ubwege MTU kwao

  • @user-xm2rm7wn6h

    @user-xm2rm7wn6h

    19 күн бұрын

    Pia hata mola wetu alisema ole wao wanao sema dini nimambo yakale. Na.misemo tu ole wao

  • @adammwita3150
    @adammwita31502 жыл бұрын

    Mnao tukana mnakosea, mzee na yeye Ana Imani take. Wewe mwenye dini Shika dini. Na ukumbuke kuwa hiyo dini ni ustarabu wa watu tu. Na ukiulza waganga wateja wao wengi ni wenye dini.

  • @erardmporoto2660

    @erardmporoto2660

    2 жыл бұрын

    Religion tolerance. Uko sahihi mkuu

  • @zaharakimolo130

    @zaharakimolo130

    2 жыл бұрын

    Unawez tuambia jina lako linatokana na nani?? Nani alieliita hilo jina

  • @mohamediabdirashidi1099

    @mohamediabdirashidi1099

    2 жыл бұрын

    We Adam fala kweli kamahuna cha kuchangia kaa kimya

  • @aminatanzanya7475

    @aminatanzanya7475

    2 жыл бұрын

    Ttz weng tumezaliw mjin mamb ya Asil hatujuw

  • @cideboy4676

    @cideboy4676

    2 жыл бұрын

    Muislam hawez kwenda Kwa mganga Mana akienda tu Akamuamin mganga tayar kashitoka kwenye uislam

  • @mohammedalishamis9405
    @mohammedalishamis94052 жыл бұрын

    Njozi za kishetani hizo someni dini ili muepukane na shirki

  • @madetetv6576

    @madetetv6576

    2 жыл бұрын

    Endelea kutukuza wazungu

  • @tausiathumani9408

    @tausiathumani9408

    2 жыл бұрын

    Hiyo ndo asili ya mtu mweusi

  • @kabwelasutiviraka4765

    @kabwelasutiviraka4765

    2 жыл бұрын

    Waarabu wamekufundisha ujichukie Kwa hiyo sio ajabu

  • @salimsaid7200

    @salimsaid7200

    2 жыл бұрын

    @@kabwelasutiviraka4765 NA WAZUNGU WAMEKUFUNDISHA UJIPENDEE?????

  • @jerryjuma1339
    @jerryjuma13392 жыл бұрын

    binadamu Hana uwezo wakujibadilisha kutoka katika hali aliyoumbwa na Mungu ila hayo nimashetani yanatumia vitu vilivyoumbwa na Mungu, halafu nyie mnasema eti mtu kabadilika kuwa nyoka, haiwezekani hata kidogo, ila nawapa ushauri tu kwamba acheni kuyapamba hayo mapepo na mashetani Bali tubuni sasa leo namkubali kumpokea YESU KRISTO ili awe BWANA na Mwokozi wa MAISHA yenu

  • @lore4837
    @lore48372 жыл бұрын

    HII NDIO ASILI YA WAAFRICA. Lets go back to our roots

  • @magdalenapeter419

    @magdalenapeter419

    2 жыл бұрын

    Kabisa yaani ndiyo asili zetu siyo michanjo tumelewa na wazungu haya mavitu eti

  • @enockoward2656

    @enockoward2656

    2 жыл бұрын

    No

  • @ismailnassor785
    @ismailnassor7852 жыл бұрын

    Muogopeni Mungu acheni shirki

  • @alicekanyama9401

    @alicekanyama9401

    2 жыл бұрын

    Ndio tumuogope mungu 👏👏👏👏👏👏

  • @neemazee1864
    @neemazee18642 жыл бұрын

    Mzee acha shirk babu, kofia kama ganda la chungwa

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Shiriki hiyo 😏😏😏 Allah ndio muweza wa kila kitu 🙏

  • @salummwanga8181
    @salummwanga81812 жыл бұрын

    Kuamim iman hiyo ni kumshirikisha ALLAH, mamb yetu yajayo anaeyajua ni ALLAH pekee

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78472 жыл бұрын

    Subhan Alla

  • @shabanimwema7334
    @shabanimwema73342 жыл бұрын

    daaa barakashee yote iyo ila hauna iman na mungu wako Walimushirikiina finnari JAHANNAM

  • @selector728

    @selector728

    2 жыл бұрын

    🚮

  • @shamumaabdala6341
    @shamumaabdala63412 жыл бұрын

    Uo mbona kama uchawi

  • @msanifgdf615
    @msanifgdf6152 жыл бұрын

    Acha ushirikina ww babu unaona sifa

  • @sylvesterjose3286
    @sylvesterjose32862 жыл бұрын

    Nyoka haonekani, huonwa na mtu mmoja, haya bwana... Kila la heri Nanguruwe, Napanya, Nasamaki nchanga... !

  • @superbillionairea5987

    @superbillionairea5987

    2 жыл бұрын

    Niambie amesema jina ni silumbe au.

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo64642 жыл бұрын

    Hadithi hizi....Eee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

  • @samwelpaul6944

    @samwelpaul6944

    2 жыл бұрын

    akuokoe na nini

  • @johnmalembo6464

    @johnmalembo6464

    2 жыл бұрын

    @@samwelpaul6944 atuokoe na mabaya yote, atuokoe na adui shetani, atuokoe siku ya kiama...n.k.. omba nawe kuokolewa kwa yanayo kusibu. Barikiwa

  • @hassanjaphari5710
    @hassanjaphari57102 жыл бұрын

    Waone kwanza na vibagalashia vyao eti nyoka babu. Achen shirki muogopen Allah(s.a.w) izo imani ni za kipuuz mnashindwa kumuamini M/mungu eti mnaamini nyoka. Huo ni ushetani ulio wazi

  • @BONGOINMOTION

    @BONGOINMOTION

    2 жыл бұрын

    Wew ndio hujui

  • @KaskasTHEfinderCLIP
    @KaskasTHEfinderCLIP2 жыл бұрын

    Allah awaongoe na upuuzi wenu,MOHAMMED ALLAH akuongoe ndugu yangu

  • @wamoroboy8963

    @wamoroboy8963

    2 жыл бұрын

    Allah akuongoze na wewe kwa adhabu ya kuukumu

  • @nth3512
    @nth35122 жыл бұрын

    Hayo ni masheitwan yanawachezea watu

  • @hamidmweusiii35
    @hamidmweusiii352 жыл бұрын

    Wote wanga ao uyo nyoka na uyo mzee anaemuona pkeake wote washirikna lao Moja mlinzi wetu ni Allah pkeakee

  • @husseinmaula5914
    @husseinmaula59142 жыл бұрын

    Huko inaonekana kurogwa mara 1 tu

  • @jafarinahonyo7349
    @jafarinahonyo73492 жыл бұрын

    Mmmh jamani nyie wamtwara wenzangu uweni huyo nyoka mtaumwa bureee🤣🤣🤣 mwenyezimungu hapendi mambo kama haya walmushirikina fii nnalii jahannam

  • @amourmunga8356
    @amourmunga83562 жыл бұрын

    shirki

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania72582 жыл бұрын

    Inalillahi wainailahi rajuun. Shilki hi hawaachi salama mpaka vitukuu vyenu kama amjalilekebisha

  • @partnersah8802

    @partnersah8802

    2 жыл бұрын

    Kurekebisha vipi wakati wao ndo wanawalishisha watoto tena kwa nguvu

  • @phineruge3480
    @phineruge34802 жыл бұрын

    Mi naona hao Ukiwaambia kuna Mungu Sijui km watakuelewa!!

  • @eddamsigala1201

    @eddamsigala1201

    2 жыл бұрын

    Upo sahihi hata mwenye dini akiambiwa kuna mila kwenye vijiji vyetu hawezi Amin pia.....cha msingi simamia unachoamin...na si kupinga Mila au dini

  • @cideboy4676
    @cideboy46762 жыл бұрын

    😂😂😂😂 shirki ushirikina umeshika nafas Sana hebu tumuogopen Allah

  • @lore4837

    @lore4837

    2 жыл бұрын

    hili ndio chimbuko letu waafrica.. Hizi dini nyingine zimeletwa na waarabu na wazungu

  • @cideboy4676

    @cideboy4676

    2 жыл бұрын

    @@lore4837 hata hao wazungu na waarabu walikua wakiabudia masanam na mizim kabla Allah hajawapelekea mitume na watu wote ni wamoja awe mweupe mweus mbora Kwa Allah ni yule mcha mungu bas hamna namna nyingine haki imekujia acha ushirikina

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    @@cideboy4676 mm sipo

  • @hamidaala2832

    @hamidaala2832

    2 жыл бұрын

    SubhanaALHA😭😭

  • @cideboy4676

    @cideboy4676

    2 жыл бұрын

    @@heyumi2340 wapi🤔

  • @robertjunior9916
    @robertjunior99162 жыл бұрын

    Jamaa kateuliwa kuwa waziri wa afya baada ya kufukuzwa bungeni 🗣️

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta22272 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣babuu sitaki hatakumwona huyo nyoka japoni mlinzi huo ni mzimu nendenj msikitini wacheni mambo hayoo

  • @mohammedsalum4418
    @mohammedsalum44182 жыл бұрын

    Wewe mzee nimshirikina sana pia laana tullah

  • @abasishabani1151
    @abasishabani11512 жыл бұрын

    Asili ya mwafrica hii hao ndo wazeee wetu

  • @nasrimchopa678
    @nasrimchopa6782 жыл бұрын

    Huku mtwara kuna nn juzi nimeona sehemu mtu kageuka Simba Leo nyoka duhhh.

  • @sniper93999
    @sniper939992 жыл бұрын

    siwezi kuja uko mm

  • @hamidaala2832

    @hamidaala2832

    2 жыл бұрын

    HataMimiSithubutu😭😭😭😭

  • @omarathuman5813
    @omarathuman58132 жыл бұрын

    Wamemsahau Mungu

  • @rahimaaaaa5682

    @rahimaaaaa5682

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @fatmakhamis6032

    @fatmakhamis6032

    2 жыл бұрын

    Nikwel

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat1652 жыл бұрын

    Asili ya Africa ni mizimu we believe you broh

  • @nuruheartaman3466
    @nuruheartaman34662 жыл бұрын

    Dah

  • @eliassampa8719
    @eliassampa87192 ай бұрын

    Hawa kina Mud wengi ni washirikina😂😂

  • @mpulitv8011
    @mpulitv80112 жыл бұрын

    Mnafel wapi interview haija isha video imekatka

  • @ramahamidu
    @ramahamidu2 жыл бұрын

    Mzee limbende

  • @AbuwNibras926
    @AbuwNibras9262 жыл бұрын

    Shiriki kubwaaa

  • @fatmakhamis6032

    @fatmakhamis6032

    2 жыл бұрын

    Nikwel kaka

  • @allykibabendingo8496
    @allykibabendingo84962 жыл бұрын

    Duuuh htr xna haya maisha..!!

  • @mariasixmund7964
    @mariasixmund79642 жыл бұрын

    😀😀😀😀eeeh sa wanaabudu nn nyoka au Mungu

  • @georgeswaiswai4581
    @georgeswaiswai45812 жыл бұрын

    Mnamuitaji Kristo ktk hicho kijiji watumishi wamungu fulsa hiyo

  • @abelabebwa1549
    @abelabebwa15492 жыл бұрын

    Huko uchawi ni mila na desturi😁

  • @neemazee1864

    @neemazee1864

    2 жыл бұрын

    😅😅😅😅😅Yani nimebaki mdomo wazi

  • @alicekanyama9401
    @alicekanyama94012 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😲😲😲

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Жыл бұрын

    😳😲🙌🏿🙌🏿🙄😲

  • @BONGOKUMENOGATV
    @BONGOKUMENOGATV2 жыл бұрын

    Duh? Kweli maajabu yapo

  • @lidyahaule5343
    @lidyahaule53432 жыл бұрын

    Ndoto za zamani ni za kweli za 2021 eti ni za uongoo🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz51922 жыл бұрын

    Yote hayo kuabud uchawi na ushirikina

  • @veronicalubahi925
    @veronicalubahi9252 жыл бұрын

    Acha uongo wewe si unasali jamani muongope Mungu kaka wewe

  • @edlumala9428
    @edlumala94282 жыл бұрын

    Kazi ukhanithi tu!

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya74752 жыл бұрын

    Africa yetu vitu vyet vya asili tunavizarau sijuw kwann Ila Mila na destur zip toka Enzi na Enzi tuach fikra potof

  • @hamisalfan9150
    @hamisalfan91502 жыл бұрын

    ihi ndo asiri yetu 🙏

  • @hadijakingwenda8961
    @hadijakingwenda89612 жыл бұрын

    Ukilala hapa unahisi nini kitatkea

  • @kngdaeso5973
    @kngdaeso59732 жыл бұрын

    Hii kofia ya uyu mzee xo ile ya HAMZA 😁

  • @niserakakwezi1517

    @niserakakwezi1517

    2 жыл бұрын

    😁😁😁😁

  • @user-xw2vu2mt2p
    @user-xw2vu2mt2p7 ай бұрын

    Mila na desturi zipo jaman tusichangae

  • @mr.ydthefuture8458
    @mr.ydthefuture84582 жыл бұрын

    Acheni kutupa stori za ajabu! Za uongo na kweli👎🏿

  • @djkhalid4935
    @djkhalid49352 жыл бұрын

    Bora uwe na imani hata teluthi ya kumjua mungu kuliko ambae Hana kabsa ibliss ni rahis kukuteka

  • @khalidngwembele9075
    @khalidngwembele90752 жыл бұрын

    Wanasemaga Imani huponya! u never know🤷🏽‍♂️

  • @sarahbenard6971

    @sarahbenard6971

    2 жыл бұрын

    Kabisa

  • @swalehe555
    @swalehe5552 жыл бұрын

    Mhhhhh!!😳😳😳😳😳

  • @ghatititus7136

    @ghatititus7136

    2 жыл бұрын

    Of gold hdjdkdhj

  • @ghatititus7136

    @ghatititus7136

    2 жыл бұрын

    Hsj

  • @georgeswaiswai4581
    @georgeswaiswai45812 жыл бұрын

    Ktk Kijiji hicho nigiza nene

  • @cypriankikoti9160
    @cypriankikoti91602 жыл бұрын

    Nyoka siyo mtu bhana acha uongo mzee

  • @rabiaiddi5578
    @rabiaiddi55782 жыл бұрын

    Duuuu kazi ipo

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika19962 ай бұрын

    Niatali sana

  • @rashidyyusuph4386
    @rashidyyusuph43862 жыл бұрын

    Ushirikina hakuna anae badilika kuwa nyoka baada ya kufa na kuendelea kuishi

  • @bakamuubakamuu1556
    @bakamuubakamuu15562 жыл бұрын

    Kazee kaongo iki balaaaa😂😅😃 eti nyoka huyo anamuona mtu mmoja tu anatengeneza mazingira ili watu wasichote maji Mzee nyoko snaa😂😅😃😀

  • @nurukwilabya2790

    @nurukwilabya2790

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @mariasixmund7964

    @mariasixmund7964

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @damariszuckschwert9489

    @damariszuckschwert9489

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣ajabu wataamini

  • @naihfrank7306
    @naihfrank73062 жыл бұрын

    Eee eh achn ujing amin mung tuu

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino16562 жыл бұрын

    Ni upuzi kuona kuna watanzania bado wanaimani za kipuuzi katika kalune ya ishilini na moja..

  • @rahimaan6481

    @rahimaan6481

    2 жыл бұрын

    Sema baadhi sio wote

  • @muungujaunguja8609
    @muungujaunguja86092 жыл бұрын

    Na nguruwe njia ya kwenda kwa kina konde,

  • @lizlee7808
    @lizlee78082 жыл бұрын

    Sina hata hamu na kusini uchawi uko ndo ulikozaliwa

  • @abdallahamir9234
    @abdallahamir92342 жыл бұрын

    SHAITWAN ANAWACHEZEA WAZIWAZI, MNAFANYA SHIRKI YA WAZIWAZI, S E N G E KABISA.

  • @liciouscharles3370
    @liciouscharles33702 жыл бұрын

    Ila waislam buana smh...wanasahau hizo dini zimeletwa na watu tu...isingekuwa civilisation basi tungekuwa tupo katika imani hizi za kimila...imani ya mtu iheshimiwe tusiwage tunapangiana maisha..mwisho wa siku kila mtu aishi aaminivyo na mungu ndo atakuwa hakimu

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv2552 жыл бұрын

    Nyoka NI shetani

  • @mwanzashinyanga8060
    @mwanzashinyanga80602 жыл бұрын

    haya mambo ya nguvu za giza kwa sasa yameshika hatamu

  • @giftjulius7748
    @giftjulius77482 жыл бұрын

    kila alicho kisema kinaukweli mimi mwenyeji wa uko tokea nipo mtoto niliyakuta ayo mambo ukibisha akikataza kitu frani kuna kuwa na madhara yake

  • @ibnhassan9980
    @ibnhassan99802 жыл бұрын

    Hii ni shirki ni Haram kuitizama

  • @abuukhudhayfah4083
    @abuukhudhayfah40832 жыл бұрын

    Dah eti Simba anakusindikiza huyu mzee huyu 🤣

  • @Zahrazahra-ue7bp

    @Zahrazahra-ue7bp

    Жыл бұрын

    Yarikuwepo zaman ira sasa watu wamejifanya wamesaau mira kwetu anapita kipindi cha masika

  • @abuusaalimalmasasiyyu9421
    @abuusaalimalmasasiyyu94212 жыл бұрын

    Washirikina ndio walivyo na mashaytwawn wamefanikiwa kuwapoteza na wasipotubia motoni ndio makaaz yao

  • @ahmadkilili4204
    @ahmadkilili42042 жыл бұрын

    Akifa jee?Mrithi nani?

  • @meritha8424
    @meritha84242 жыл бұрын

    Peperusha hii story itawakuzia uchumi kitovu cha utalii

  • @meshackchibaladya6152
    @meshackchibaladya61522 жыл бұрын

    Yani waislam bwana sijuwi wana nn waone na vikofia vyao Kwanzaa eti majini wao wanasema ni malaika

  • @salomemchewa5187
    @salomemchewa51872 жыл бұрын

    Maisha ya kiafrica ndomana tunamaendeleo ,

  • @yasinichakotela6495
    @yasinichakotela649510 ай бұрын

    Sio kweri niuwongo mtupu

  • @j.bjacobbasubi2187
    @j.bjacobbasubi21872 жыл бұрын

    Sinjomana na waambiaka siku zote ya Kwamba weslam Wana pendaka sana majini n'a ku iamini jamani hapa kuingiya kwa dini hiyo ya weslam kwasababu Wana pendaka sana kutumia majini

  • @salimusalim3610

    @salimusalim3610

    2 жыл бұрын

    Kama nyinyi hampendi mbona mkionyeshwa mkono tu mnadondoka kama sio mnaamini mashetwan mpaka kufikia kuita manabii huo niuganga wakidigital

  • @elizabethhonere2931
    @elizabethhonere29312 жыл бұрын

    Duu duniani Kuna maajabu sana

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania72582 жыл бұрын

    Uchawitu basi

  • @abuuswafuani2318
    @abuuswafuani23182 жыл бұрын

    Shirki kubwa hii ambayo inamtoa mtu ktk uislamu

  • @paulmkalawa496
    @paulmkalawa4962 жыл бұрын

    Kijiji gani

  • @Officalnaph
    @Officalnaph2 жыл бұрын

    Tumepigwa hapo

  • @samsonmatwiga9533
    @samsonmatwiga95332 жыл бұрын

    Ki

  • @georgeswaiswai4581
    @georgeswaiswai45812 жыл бұрын

    Injili lazima ihubiliwe

  • @ashurahaji9115
    @ashurahaji91152 жыл бұрын

    Sasa huyo akifa nani ataona maono huyo nyoka kibwengo

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    2 жыл бұрын

    Ni mchezo wa majini hayo ufanya hivyo ili kutaka kuwatawala binadamu hiyo hipo tangu kitambo hapo ndugu yangu hakifiki kitu ila watakufa watu na hayo mambo yanaendelea yani ipo hivyo mambo ya mizimu ni hatari sana na hauwezi kupambana nayo kama hauna imani kubwa ya kimungu basi lazima yakutawale naukifanya mchezo mwishowe nawe unakwenda kumaliza maisha yako kuzimu mpka mwili utakapo kufa kabisa yani ndivyo ilivyo sasa watu wengi hawana elimu kubwa ya kiroho na wanaofahamu ni wachawi na walimu wabobezi wakidini

  • @lovenessmwakanyamale6900
    @lovenessmwakanyamale69002 жыл бұрын

    9

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme2 жыл бұрын

    Huyo ni jini amewatala hakuna mtu anaweza kubadilika kuwa kiumbe kinachofanyika hapo ni kiini macho nasi mtu kuwa mdudu au kiumbe fulani huyo ni jini shetani nyinyi mnasema ni mzimwi aisee shetani utawala wanadamu katika mtindo huo

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    2 жыл бұрын

    @@auxibiusmelchades3700 Kwaiyo wewe unafikiri binadamu anaweza kubadilika nakuwa nyoka ? wewe ndiwe ufunue ubongo wako kwasababu hauna knowledge upeo wako ni mfupi na kichwa kidogo , binadamu hawezi kufa alafu akabadilika nakuwa nyoka takataka wewe

  • @lovenessmwakanyamale6900
    @lovenessmwakanyamale69002 жыл бұрын

    99

  • @edgarnandonde48
    @edgarnandonde482 жыл бұрын

    Watu mtabisha humu sitakuja kusahahu nilienda sehemu moja nikaambiwa nenda pale kwenye mti nikawa naongea nao aisee nyie acheni tu .mti una miaka 60 na una urefu wa futi 3 tu

  • @ibnhassan9980

    @ibnhassan9980

    2 жыл бұрын

    Shirki

  • @mwinyiabdallah1817

    @mwinyiabdallah1817

    2 жыл бұрын

    Shirki kubwa

  • @salimsaid7200

    @salimsaid7200

    2 жыл бұрын

    HUJAONGEA NA MTI UMEONGEA NA JINI SABABU JINI HAONEKANI.

  • @edgarnandonde48

    @edgarnandonde48

    2 жыл бұрын

    @@salimsaid7200 kumbeee🤔🤔

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    2 жыл бұрын

    Habishi mtu inawezekana kwani ni mashetani ndio ufanya hivyo

  • @neemanyerere5160
    @neemanyerere51602 жыл бұрын

    Jmn hivi vitu vipo Mimi nilipo kulia mvua isipo nyesha Wabibi na wababu wanaenda kupeleka mifug

  • @maryamkhattau9714
    @maryamkhattau97142 жыл бұрын

    Hawa ndo wanoutia doa uislam wewe babu rudi kwa Mola wako mlezi hiyo ni shirki hakuna eti mtu afe ageuke nyoka jamani muogopeni Allah jamni

  • @dianajohn3493

    @dianajohn3493

    2 жыл бұрын

    Hata ivyo uislamu unahistoria ya kufuga majini na shirk toka awali..

  • @maryamkhattau9714

    @maryamkhattau9714

    2 жыл бұрын

    @@dianajohn3493 nipe aya moja tu inayoonyesha uislam unahistaria ya kufuga majini? Km hujui kitu kaa kimya Allah saw kaumba watu na majini ili wamuabudie Mola wao mlezi chakula km hujalila usikitoe kasoro usome kwanza uislam nakusudia UISLAAM na siyo wenye majina ya kiislam

  • @salimsaid7200

    @salimsaid7200

    2 жыл бұрын

    @@dianajohn3493 KWANI MAJINI NI MBUZI HATA UWAFUGE.

  • @salimsaid7200

    @salimsaid7200

    2 жыл бұрын

    @@dianajohn3493 UNAIJUWA MAANA YA SHIRKI UISLAMU UMEKATAZA SHIRKI SOMA QURAN HALAFU UROPOKE ZIKO ZA TAFSIRI YA KISWAHILI.

  • @winifridakasibu2900
    @winifridakasibu29002 жыл бұрын

    Mmhhhh