MTU ALIYEGEUKA NYOKA MTWARA “ANALINDA KIJIJI, UKIMUONA HAULALI NI NYOKA WA AJABU”
Mwaka 1907 inasemekana palionekana tundu kubwa na kipande cha sanda kwenye kaburi alilozikwa Mzee aliyefahamika kwa jina la Mzee Limbende kwenye kijiji cha Nanguruwe kata ya Nanguruwe mkoani Mtwara ambaye alikuwa mmoja wa wazee wa kijiji hicho.
Siku chache baadae Ndugu wa karibu wa Marehemu Mzee Limbende aitwae Salum Binali Walivenga alioteshwa ndoto kwamba Marehem Limbende amefufuka na kuwa nyoka ambae atalinda kijiji hicho na hii ni kimila na desturi.
Tumefika kwenye kijiji hicho na kutembelea kwenye eneo la bwawa kubwa lililopo kijijini hapo ambapo inasemekana kwamba ndio anapoishi nyoka huyo tangu miaka hiyo ambapo anaonekana na Mtu mmoja tu ambaye anatakiwa kupokea maono ya yanayoweza kutokea siku za mbeleni kwa kuoteshwa.
Пікірлер: 272
Amini usiamini lkn kila kabila lina mila na destuli lkn tukifika mjini tunaita ushirikina
@radhiambwana3353
2 жыл бұрын
😃😃😃
@lightrich6436
2 жыл бұрын
Upo sahihi Joseph
@salimabdul4424
2 жыл бұрын
Huyo ndio shetwan aanafanya yake.na mbele yatakuja kutokea zaidi ya hayo
@zaharakimolo130
2 жыл бұрын
Kwahyo unasapoti hayo?? Naje huamin km kuna ushirikina?
@mrpopsuit
2 жыл бұрын
@@zaharakimolo130 hata wewe chimbuko lako lina mila na destuli zenu ndo nilikuwa na maana hiyo kuhusu kusapot hiyo ya kwako ww ulivyowaza
Walimushirikiina finnari JAHANNAM khalidiina fiiha abadaa
@saumusalimuhassan2499
2 жыл бұрын
Kwakweli ndugu yangu, hii ni shirk tu 🙌😥
@mbarakasuleimani913
2 жыл бұрын
eleweni kwanza hiyo mila shiriki ni kingine
@hawaamohammed6687
2 жыл бұрын
Siku hiyo yakiama tutakuja kuyaona mengii Allah akituwezesha InshaAllah
@nangeboy5313
2 жыл бұрын
Mpumbavu wewe hiyo siyo shirki jinga wewe😠😠😠😠😠
@johaally669
2 жыл бұрын
@@nangeboy5313 Hiyo ni shirik utake usitak soma dini usikane tu bila kusoma
Afrika wengi wanaponda wamezoea kutangaziwa ushoga wa nchi za magharibi, wabongo hbana Wacha waendelee kujipaka vinyesi kutoka ulaya
@mrgeorgeisdory5277
2 жыл бұрын
Upo sahiii tunakataa vyetu alafu wengine wanatoka kwao wanavifata na wanaviamini
Dini nitamaduni za watu weupe hiyo ni asili yetu weusi acheni ubwege MTU kwao
@user-xm2rm7wn6h
19 күн бұрын
Pia hata mola wetu alisema ole wao wanao sema dini nimambo yakale. Na.misemo tu ole wao
Mnao tukana mnakosea, mzee na yeye Ana Imani take. Wewe mwenye dini Shika dini. Na ukumbuke kuwa hiyo dini ni ustarabu wa watu tu. Na ukiulza waganga wateja wao wengi ni wenye dini.
@erardmporoto2660
2 жыл бұрын
Religion tolerance. Uko sahihi mkuu
@zaharakimolo130
2 жыл бұрын
Unawez tuambia jina lako linatokana na nani?? Nani alieliita hilo jina
@mohamediabdirashidi1099
2 жыл бұрын
We Adam fala kweli kamahuna cha kuchangia kaa kimya
@aminatanzanya7475
2 жыл бұрын
Ttz weng tumezaliw mjin mamb ya Asil hatujuw
@cideboy4676
2 жыл бұрын
Muislam hawez kwenda Kwa mganga Mana akienda tu Akamuamin mganga tayar kashitoka kwenye uislam
Njozi za kishetani hizo someni dini ili muepukane na shirki
@madetetv6576
2 жыл бұрын
Endelea kutukuza wazungu
@tausiathumani9408
2 жыл бұрын
Hiyo ndo asili ya mtu mweusi
@kabwelasutiviraka4765
2 жыл бұрын
Waarabu wamekufundisha ujichukie Kwa hiyo sio ajabu
@salimsaid7200
2 жыл бұрын
@@kabwelasutiviraka4765 NA WAZUNGU WAMEKUFUNDISHA UJIPENDEE?????
binadamu Hana uwezo wakujibadilisha kutoka katika hali aliyoumbwa na Mungu ila hayo nimashetani yanatumia vitu vilivyoumbwa na Mungu, halafu nyie mnasema eti mtu kabadilika kuwa nyoka, haiwezekani hata kidogo, ila nawapa ushauri tu kwamba acheni kuyapamba hayo mapepo na mashetani Bali tubuni sasa leo namkubali kumpokea YESU KRISTO ili awe BWANA na Mwokozi wa MAISHA yenu
HII NDIO ASILI YA WAAFRICA. Lets go back to our roots
@magdalenapeter419
2 жыл бұрын
Kabisa yaani ndiyo asili zetu siyo michanjo tumelewa na wazungu haya mavitu eti
@enockoward2656
2 жыл бұрын
No
Muogopeni Mungu acheni shirki
@alicekanyama9401
2 жыл бұрын
Ndio tumuogope mungu 👏👏👏👏👏👏
Mzee acha shirk babu, kofia kama ganda la chungwa
Shiriki hiyo 😏😏😏 Allah ndio muweza wa kila kitu 🙏
Kuamim iman hiyo ni kumshirikisha ALLAH, mamb yetu yajayo anaeyajua ni ALLAH pekee
Subhan Alla
daaa barakashee yote iyo ila hauna iman na mungu wako Walimushirikiina finnari JAHANNAM
@selector728
2 жыл бұрын
🚮
Uo mbona kama uchawi
Acha ushirikina ww babu unaona sifa
Nyoka haonekani, huonwa na mtu mmoja, haya bwana... Kila la heri Nanguruwe, Napanya, Nasamaki nchanga... !
@superbillionairea5987
2 жыл бұрын
Niambie amesema jina ni silumbe au.
Hadithi hizi....Eee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@samwelpaul6944
2 жыл бұрын
akuokoe na nini
@johnmalembo6464
2 жыл бұрын
@@samwelpaul6944 atuokoe na mabaya yote, atuokoe na adui shetani, atuokoe siku ya kiama...n.k.. omba nawe kuokolewa kwa yanayo kusibu. Barikiwa
Waone kwanza na vibagalashia vyao eti nyoka babu. Achen shirki muogopen Allah(s.a.w) izo imani ni za kipuuz mnashindwa kumuamini M/mungu eti mnaamini nyoka. Huo ni ushetani ulio wazi
@BONGOINMOTION
2 жыл бұрын
Wew ndio hujui
Allah awaongoe na upuuzi wenu,MOHAMMED ALLAH akuongoe ndugu yangu
@wamoroboy8963
2 жыл бұрын
Allah akuongoze na wewe kwa adhabu ya kuukumu
Hayo ni masheitwan yanawachezea watu
Wote wanga ao uyo nyoka na uyo mzee anaemuona pkeake wote washirikna lao Moja mlinzi wetu ni Allah pkeakee
Huko inaonekana kurogwa mara 1 tu
Mmmh jamani nyie wamtwara wenzangu uweni huyo nyoka mtaumwa bureee🤣🤣🤣 mwenyezimungu hapendi mambo kama haya walmushirikina fii nnalii jahannam
shirki
Inalillahi wainailahi rajuun. Shilki hi hawaachi salama mpaka vitukuu vyenu kama amjalilekebisha
@partnersah8802
2 жыл бұрын
Kurekebisha vipi wakati wao ndo wanawalishisha watoto tena kwa nguvu
Mi naona hao Ukiwaambia kuna Mungu Sijui km watakuelewa!!
@eddamsigala1201
2 жыл бұрын
Upo sahihi hata mwenye dini akiambiwa kuna mila kwenye vijiji vyetu hawezi Amin pia.....cha msingi simamia unachoamin...na si kupinga Mila au dini
😂😂😂😂 shirki ushirikina umeshika nafas Sana hebu tumuogopen Allah
@lore4837
2 жыл бұрын
hili ndio chimbuko letu waafrica.. Hizi dini nyingine zimeletwa na waarabu na wazungu
@cideboy4676
2 жыл бұрын
@@lore4837 hata hao wazungu na waarabu walikua wakiabudia masanam na mizim kabla Allah hajawapelekea mitume na watu wote ni wamoja awe mweupe mweus mbora Kwa Allah ni yule mcha mungu bas hamna namna nyingine haki imekujia acha ushirikina
@heyumi2340
2 жыл бұрын
@@cideboy4676 mm sipo
@hamidaala2832
2 жыл бұрын
SubhanaALHA😭😭
@cideboy4676
2 жыл бұрын
@@heyumi2340 wapi🤔
Jamaa kateuliwa kuwa waziri wa afya baada ya kufukuzwa bungeni 🗣️
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣babuu sitaki hatakumwona huyo nyoka japoni mlinzi huo ni mzimu nendenj msikitini wacheni mambo hayoo
Wewe mzee nimshirikina sana pia laana tullah
Asili ya mwafrica hii hao ndo wazeee wetu
Huku mtwara kuna nn juzi nimeona sehemu mtu kageuka Simba Leo nyoka duhhh.
siwezi kuja uko mm
@hamidaala2832
2 жыл бұрын
HataMimiSithubutu😭😭😭😭
Wamemsahau Mungu
@rahimaaaaa5682
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@fatmakhamis6032
2 жыл бұрын
Nikwel
Asili ya Africa ni mizimu we believe you broh
Dah
Hawa kina Mud wengi ni washirikina😂😂
Mnafel wapi interview haija isha video imekatka
Mzee limbende
Shiriki kubwaaa
@fatmakhamis6032
2 жыл бұрын
Nikwel kaka
Duuuh htr xna haya maisha..!!
😀😀😀😀eeeh sa wanaabudu nn nyoka au Mungu
Mnamuitaji Kristo ktk hicho kijiji watumishi wamungu fulsa hiyo
Huko uchawi ni mila na desturi😁
@neemazee1864
2 жыл бұрын
😅😅😅😅😅Yani nimebaki mdomo wazi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😲😲😲
😳😲🙌🏿🙌🏿🙄😲
Duh? Kweli maajabu yapo
Ndoto za zamani ni za kweli za 2021 eti ni za uongoo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yote hayo kuabud uchawi na ushirikina
Acha uongo wewe si unasali jamani muongope Mungu kaka wewe
Kazi ukhanithi tu!
Africa yetu vitu vyet vya asili tunavizarau sijuw kwann Ila Mila na destur zip toka Enzi na Enzi tuach fikra potof
ihi ndo asiri yetu 🙏
Ukilala hapa unahisi nini kitatkea
Hii kofia ya uyu mzee xo ile ya HAMZA 😁
@niserakakwezi1517
2 жыл бұрын
😁😁😁😁
Mila na desturi zipo jaman tusichangae
Acheni kutupa stori za ajabu! Za uongo na kweli👎🏿
Bora uwe na imani hata teluthi ya kumjua mungu kuliko ambae Hana kabsa ibliss ni rahis kukuteka
Wanasemaga Imani huponya! u never know🤷🏽♂️
@sarahbenard6971
2 жыл бұрын
Kabisa
Mhhhhh!!😳😳😳😳😳
@ghatititus7136
2 жыл бұрын
Of gold hdjdkdhj
@ghatititus7136
2 жыл бұрын
Hsj
Ktk Kijiji hicho nigiza nene
Nyoka siyo mtu bhana acha uongo mzee
Duuuu kazi ipo
Niatali sana
Ushirikina hakuna anae badilika kuwa nyoka baada ya kufa na kuendelea kuishi
Kazee kaongo iki balaaaa😂😅😃 eti nyoka huyo anamuona mtu mmoja tu anatengeneza mazingira ili watu wasichote maji Mzee nyoko snaa😂😅😃😀
@nurukwilabya2790
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@mariasixmund7964
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@damariszuckschwert9489
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣ajabu wataamini
Eee eh achn ujing amin mung tuu
Ni upuzi kuona kuna watanzania bado wanaimani za kipuuzi katika kalune ya ishilini na moja..
@rahimaan6481
2 жыл бұрын
Sema baadhi sio wote
Na nguruwe njia ya kwenda kwa kina konde,
Sina hata hamu na kusini uchawi uko ndo ulikozaliwa
SHAITWAN ANAWACHEZEA WAZIWAZI, MNAFANYA SHIRKI YA WAZIWAZI, S E N G E KABISA.
Ila waislam buana smh...wanasahau hizo dini zimeletwa na watu tu...isingekuwa civilisation basi tungekuwa tupo katika imani hizi za kimila...imani ya mtu iheshimiwe tusiwage tunapangiana maisha..mwisho wa siku kila mtu aishi aaminivyo na mungu ndo atakuwa hakimu
Nyoka NI shetani
haya mambo ya nguvu za giza kwa sasa yameshika hatamu
kila alicho kisema kinaukweli mimi mwenyeji wa uko tokea nipo mtoto niliyakuta ayo mambo ukibisha akikataza kitu frani kuna kuwa na madhara yake
Hii ni shirki ni Haram kuitizama
Dah eti Simba anakusindikiza huyu mzee huyu 🤣
@Zahrazahra-ue7bp
Жыл бұрын
Yarikuwepo zaman ira sasa watu wamejifanya wamesaau mira kwetu anapita kipindi cha masika
Washirikina ndio walivyo na mashaytwawn wamefanikiwa kuwapoteza na wasipotubia motoni ndio makaaz yao
Akifa jee?Mrithi nani?
Peperusha hii story itawakuzia uchumi kitovu cha utalii
Yani waislam bwana sijuwi wana nn waone na vikofia vyao Kwanzaa eti majini wao wanasema ni malaika
Maisha ya kiafrica ndomana tunamaendeleo ,
Sio kweri niuwongo mtupu
Sinjomana na waambiaka siku zote ya Kwamba weslam Wana pendaka sana majini n'a ku iamini jamani hapa kuingiya kwa dini hiyo ya weslam kwasababu Wana pendaka sana kutumia majini
@salimusalim3610
2 жыл бұрын
Kama nyinyi hampendi mbona mkionyeshwa mkono tu mnadondoka kama sio mnaamini mashetwan mpaka kufikia kuita manabii huo niuganga wakidigital
Duu duniani Kuna maajabu sana
Uchawitu basi
Shirki kubwa hii ambayo inamtoa mtu ktk uislamu
Kijiji gani
Tumepigwa hapo
Ki
Injili lazima ihubiliwe
Sasa huyo akifa nani ataona maono huyo nyoka kibwengo
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Ni mchezo wa majini hayo ufanya hivyo ili kutaka kuwatawala binadamu hiyo hipo tangu kitambo hapo ndugu yangu hakifiki kitu ila watakufa watu na hayo mambo yanaendelea yani ipo hivyo mambo ya mizimu ni hatari sana na hauwezi kupambana nayo kama hauna imani kubwa ya kimungu basi lazima yakutawale naukifanya mchezo mwishowe nawe unakwenda kumaliza maisha yako kuzimu mpka mwili utakapo kufa kabisa yani ndivyo ilivyo sasa watu wengi hawana elimu kubwa ya kiroho na wanaofahamu ni wachawi na walimu wabobezi wakidini
9
Huyo ni jini amewatala hakuna mtu anaweza kubadilika kuwa kiumbe kinachofanyika hapo ni kiini macho nasi mtu kuwa mdudu au kiumbe fulani huyo ni jini shetani nyinyi mnasema ni mzimwi aisee shetani utawala wanadamu katika mtindo huo
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
@@auxibiusmelchades3700 Kwaiyo wewe unafikiri binadamu anaweza kubadilika nakuwa nyoka ? wewe ndiwe ufunue ubongo wako kwasababu hauna knowledge upeo wako ni mfupi na kichwa kidogo , binadamu hawezi kufa alafu akabadilika nakuwa nyoka takataka wewe
99
Watu mtabisha humu sitakuja kusahahu nilienda sehemu moja nikaambiwa nenda pale kwenye mti nikawa naongea nao aisee nyie acheni tu .mti una miaka 60 na una urefu wa futi 3 tu
@ibnhassan9980
2 жыл бұрын
Shirki
@mwinyiabdallah1817
2 жыл бұрын
Shirki kubwa
@salimsaid7200
2 жыл бұрын
HUJAONGEA NA MTI UMEONGEA NA JINI SABABU JINI HAONEKANI.
@edgarnandonde48
2 жыл бұрын
@@salimsaid7200 kumbeee🤔🤔
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Habishi mtu inawezekana kwani ni mashetani ndio ufanya hivyo
Jmn hivi vitu vipo Mimi nilipo kulia mvua isipo nyesha Wabibi na wababu wanaenda kupeleka mifug
Hawa ndo wanoutia doa uislam wewe babu rudi kwa Mola wako mlezi hiyo ni shirki hakuna eti mtu afe ageuke nyoka jamani muogopeni Allah jamni
@dianajohn3493
2 жыл бұрын
Hata ivyo uislamu unahistoria ya kufuga majini na shirk toka awali..
@maryamkhattau9714
2 жыл бұрын
@@dianajohn3493 nipe aya moja tu inayoonyesha uislam unahistaria ya kufuga majini? Km hujui kitu kaa kimya Allah saw kaumba watu na majini ili wamuabudie Mola wao mlezi chakula km hujalila usikitoe kasoro usome kwanza uislam nakusudia UISLAAM na siyo wenye majina ya kiislam
@salimsaid7200
2 жыл бұрын
@@dianajohn3493 KWANI MAJINI NI MBUZI HATA UWAFUGE.
@salimsaid7200
2 жыл бұрын
@@dianajohn3493 UNAIJUWA MAANA YA SHIRKI UISLAMU UMEKATAZA SHIRKI SOMA QURAN HALAFU UROPOKE ZIKO ZA TAFSIRI YA KISWAHILI.
Mmhhhh