NI HALALI WANAWAKE KUONGOZA KANISA?

Музыка

Una maoni gani juu ya hili

Пікірлер: 98

  • @pastorpetermageta6833
    @pastorpetermageta68333 күн бұрын

    Mwanamke harusiwi kuongoza madhabahuni

  • @christopher_M619
    @christopher_M619Сағат бұрын

    Ni ndugu yenu kutoka Congo nipendezwa Sana nahiki kipindi mimi naitwa pastor justin

  • @RajabuKiedu
    @RajabuKieduСағат бұрын

    Ubarikiwe sana dock wasikusumbue hao awajaokoka roho mtakatifu hayupo kwao miili tupu iyo

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele4 күн бұрын

    Huyu docta anazan elimu yake ya udokta iko juu ya neno la mungu anazan porojo zake zinaweza kubadil neno la mungu biblia hairuhusu mwanamke kuwa mchungaj Wala kuwa mzee wa kanisa acheni kuleta siasa kanisan

  • @GacoboAdolph

    @GacoboAdolph

    4 күн бұрын

    Abalikiwe

  • @SimonKefa-lz1kd
    @SimonKefa-lz1kd3 күн бұрын

    Toka zamani mwanamke hakulusiwa kuwa Kuhani, maskofu ni makuhani wetu leo, akina Debora zamani hawakuwa makuhani walikuwa manabii na nabii mtu yeyote anakuwa nabii.

  • @ApridaEzekiel-jw2zw
    @ApridaEzekiel-jw2zwКүн бұрын

    Hata hivyo yesu hakuwahi kusimika kamakuhan lakini mtume TU Wala yesu hakuwahi kusimika maaskofu no Wala mashemas Vyeo vyote mitume waliviweka kwanza waliachiwa mamlaka Lile watakalolifunga duniani limefungwa na mbinguni Hivyo mitume wameongozwa na Mungu mwenyewe na kwel wanawake wanaweza kiwa watumishi

  • @johngikiru5400
    @johngikiru54003 күн бұрын

    1 Timotheo 3:8,11-12 [8]Vivyo hivyo mashemasi 8 na wawe wastahivu; si wenye kauli mbili, si watu wa kutumia mvinyo sana, si watu wanaotamani fedha ya aibu; Likewise must the deacons be grave, not doubletongued, not given to much wine, not greedy of filthy lucre; [11]Vivyo hivyo wake zao na wawe wastahivu; si wasingiziaji; watu wa kiasi, waaminifu katika mambo yote. Even so must their wives be grave, not slanderers, sober, faithful in all things. [12]Mashemasi na wawe waume wa mke mmoja, wakiwasimamia watoto wao vizuri, na nyumba zao. Let the deacons be the husbands of one wife, ruling their children and their own houses well.

  • @sirpleasureb
    @sirpleasureb2 күн бұрын

    mathayo 24:23-24. tena 1 wakorintho 14:33-39.wanawake hawapaswi koungoza.

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara303811 сағат бұрын

    Nikweli Huyu Dr Yuko sahihi mwanamke anabulidi niuchafu

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz9 сағат бұрын

    Mbona yuda alipoharibu hakuchaguliwa mwanamke awe mtume. Haiwezakani kwa mwanamke.

  • @user-po9wi5lh1o
    @user-po9wi5lh1o2 күн бұрын

    Hamna kitu hapo tafuteni kwanza dini ya kweli au kwa jina lingine njia ndio mtapata majibu sahihi bila ivyo mtaendelea kupotea

  • @PAULMNYANYI

    @PAULMNYANYI

    Күн бұрын

    Ni wapi? ktk Biblia palipoandikwa askofu mwanamke? Kumbukeni Mungu kktk Biblia amesema tusiongeze neno wala kupunguza! sasa nyinyi hapo mnafanya Nini? Tunaomba mtuonyeshe maandiko yanayoruhusu mwanamke kuwa mwanamke asimikwe na kuliongoza kanisa? Tunaomba maandiko.Pia fanyeni muungane makanisa mengine juu ya maada hiyo,msiwe upande mmoja tu,hapo mnadanganyana tu.

  • @GabrielGitau-yt1ni
    @GabrielGitau-yt1ni10 сағат бұрын

    Someni 1aknth14-33 ,38pia msome 1tmty2-7 ,15

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc2 күн бұрын

    Mfumo wa Mungu ni mfume dume,Ambao lazima tukubaliane nao,Mfumo dume ni wa milele

  • @PhilipoMallya-cs3xq
    @PhilipoMallya-cs3xqКүн бұрын

    Tunachotaka kujua ni kwa habari ya uchungaji sio umishionari.tuweke vizuri tofauti ya hizi huduma uinjilisti kwa mwanamke ni sawa kuchunga sio

  • @user-sn9yp3sc2f
    @user-sn9yp3sc2f3 күн бұрын

    Tuwache kuipamba injili,namambo yasiyokuwepo

  • @nickson7754
    @nickson775412 сағат бұрын

    Bila shaka kila mwenye swali amejibiwa jinsi alivyo uliza Nimependa sana hekima ya Mungu iliomo ndani yako daktr Mungu akubariki sana na akuzidishie hiyo hekima ya Mbinguni ili wengi waelewe maandiko

  • @DaimonMwapelele

    @DaimonMwapelele

    8 сағат бұрын

    @@nickson7754 hakuna maandiko kutoka kwa dokta Ila ameyakataa maandiko na kuyakanyaga

  • @renatusrweyemamu4283
    @renatusrweyemamu42835 күн бұрын

    Kanisa linaitaji kiongozi imara .Na wanawake ni viumbe dhaifu. Hawawezi kuongoza kanisa.

  • @user-le6pf7lq2y
    @user-le6pf7lq2y4 күн бұрын

    Huyu jamaa akasome vizuri biblia tuache porojo

  • @petersongoma7183
    @petersongoma718311 сағат бұрын

    Wanahangaika na mafundisho ya mashetani yaliyoingizwa kwa siri. Kukengeuka ni kubaya sana. Hata Kora alianza hivihivi!

  • @DennismaroaWeisero-xw6rv
    @DennismaroaWeisero-xw6rv4 күн бұрын

    hata kama yesu alibeba dhambi zetu kwa kweli sijapata kwa bubilia kuwa mwanamke kuwa pastor

  • @YOSHUAMWAMPETA

    @YOSHUAMWAMPETA

    2 күн бұрын

    JE UNATAKA NIKUTHIBITISHIE MWANAMKE KUWA Nabii Kibiblia na Mtume pia?

  • @exseviangaeje1158
    @exseviangaeje11584 күн бұрын

    Elimu ya Mungu aitaji mtu msomi bali mtu anafunuliwa na roho wa mungu

  • @YOSHUAMWAMPETA

    @YOSHUAMWAMPETA

    3 күн бұрын

    UNAMAANISHA MTUME PAULO HAKUWA MSOMI?

  • @Mwanatai
    @MwanataiКүн бұрын

    Mwanamke haruhusiwi kuwa mashemasi...hilo ni NENO LA MUNGU.MUNGU HABADILISHI NIA YAKE 1 CORINTHO 14:34-36 ATAKAYE KUWA MJINGA N.A. AWE MJINGA.

  • @Kanyawela
    @KanyawelaКүн бұрын

    Nimepata majibu mazuri sana hakuna mwaume ambaye hakuwi kuwa mwanamke

  • @user-hq8wn9tz2l
    @user-hq8wn9tz2l2 күн бұрын

    Nyakati za mwisho mwanamke kupewa mamlaka

  • @ELIZABETHIMunishi-uq1lg
    @ELIZABETHIMunishi-uq1lg17 сағат бұрын

    Mwanamke jeshi kubwa maubiri yalianzia kaburi kwa kumtumia mwanamke jaidilini kukimbia zambi sio jinsia. Maombi ya mwanamke kiboko

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz9 сағат бұрын

    Nyaraka za mtume paulo zinasisitiza nataka wanaume wasalishe kila mahali huku wakiinua mikono iliyotakata.

  • @Hellenjohn-br1jv
    @Hellenjohn-br1jv15 сағат бұрын

    Nihalali sababu kusema hukweri kabisa ni WA mama matoreo ni WA mama so ni harali kabisa bola ni mama hameokoka

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara303812 сағат бұрын

    Kuongozwa na Wanamaker nikifuru wanaume nihalali kabisaa sio anibatize mwanamke

  • @ApridaEzekiel-jw2zw
    @ApridaEzekiel-jw2zwКүн бұрын

    Kaz tunayo

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele4 күн бұрын

    Iv watumish wa leo Wana majibu kwanin Kuna angko kubwa kwa kanisa la mungu leo? Watu walipoacha neno la mungu na kufuata mapokeo yao ibada yao ilikuwa bure mathayo 15:8-9

  • @user-sn9yp3sc2f
    @user-sn9yp3sc2f3 күн бұрын

    Mwanamke haruhusiwi,nashangaa Sana, wanawake wanajiita wazee wakanisa Mara pastor Susan Mara pastor,Lea, Mara apostle, toka zamabi hakuna ilo turudi kwenye njia sahihi yakiuungu!

  • @YOSHUAMWAMPETA

    @YOSHUAMWAMPETA

    3 күн бұрын

    MUNGU aweza kumtumia yeyote Rejea Fundisho la Yesu " Amini ,Amini nawambieni , aniaaminie mimi kazi nizifanyazo naye atafanya naamu hata zaidi atafanya "Yohana 14:12

  • @hellen9056

    @hellen9056

    2 күн бұрын

    @@YOSHUAMWAMPETAmwanamke wa kwanza kuhubili injili angekuwa mariam aliye mzaa BWANA YESU lakini alikaa kimya wanawake viongizi wa kanisa wangekuwa wale walio pokea ROHO MTAKATIFU pamoja na wanafunzi wa YESU Lakini hatukuwaona wali endelea kuwatumikia mitume Msitudanganye shetani kawapa shingapi ?

  • @YOSHUAMWAMPETA

    @YOSHUAMWAMPETA

    2 күн бұрын

    @@hellen9056 HUJUI HATA KWAMBA Kibiblia Kuna mtume Mwanamke ?

  • @RajabuKiedu
    @RajabuKieduСағат бұрын

    Final siku ya mwishon tutashuudia wote

  • @SosteneKamate
    @SosteneKamateКүн бұрын

    Mwanamke lazima afanye huduma,katiyavipawa,awezakuwwanabii,karamahiiinakubaliwa,injiliste,lakiniyeyehawwezikuwakiongozi,ilaikiwa wanaumewotewametoweka,hatayesualipotoasamaki,hawakuhesabuwatoto,nawanawake,wakitumikakazi,nawatumikepamojanawaumewao,

  • @user-eq9pw6cu5e
    @user-eq9pw6cu5e3 күн бұрын

    Wale wanaosema Miriam na Deborah, wako manabii wa Aina mbili Nabii Wa Huduma au Kizazi na nabii wa Karama. Nabii Wa kizazi Neno linamjia huyo hatuoni mwanamke Hiyo Amos3:7 Adamu, Nuhu, Ibrahimu, Isaka, Yakobo, Yusufu, Musa, Joshua, Samuel, kuendelea, karama ni Miriam unabii wake ulipimwa na La Musa, Deborah ukiangalia aliambia baraka hatangulie Aongoze vita akakataa na Deborah alijua ni fedhea, Esther alikuwa malkia siyo Mfalme na ndio maana kiongozi wake alikuwa mjomba wake Modekai akimuelekeza. Hiyo haki za watu baada ya wanawake kuikataa kuongozwa ndio maana imeleta Ushoga imekuwa vais verse. Ulimwengu tumefikia mwisho.

  • @seifserenge3340
    @seifserenge33403 күн бұрын

    Someni biblia kwa umakini na udadisi wa ndani (reserch) msichukue tu maneno ya wachungaji watawapoteza hao.

  • @shadracknyandwi3062
    @shadracknyandwi306216 сағат бұрын

    Huyu ni docter wa maswala ya heki za wanawake kabisa!!! {Kumbukumbu la Torati 29:29 inasema kuwa yaliyofunuliwa ndo yetu na vizazi vyetu, ila yaliyo sirini hayo ni siri ya Mungu pekee. Nilibatizwa kwenye Assemblis, ila baada ya kuona kuna wacungaji wanawake, niliamua kujitenga nayo kwa sababu Imani yangu haiwrzi kwendana nao tena.

  • @amonsekajingo6996
    @amonsekajingo69963 күн бұрын

    Tusimame na Biblia tu. Biblia haina kipengele cho chote kinacho ruhusu mwanamke kuwa mch.. au kuongoza Kanisa! Tusikubali falsafa za watu! Tukubali tu yaliyo ndani ya Biblia.

  • @ELIZABETHIMunishi-uq1lg
    @ELIZABETHIMunishi-uq1lg17 сағат бұрын

    Mpaka sasa nyumba kama mwa😊mke hayupo sio nyumba

  • @hekimashola9079
    @hekimashola907916 сағат бұрын

    Hee ko wanafunzi wa Yesu ni agano la kale?ama kwelii shetani yuko kazini 😢😢

  • @ELIZABETHIMunishi-uq1lg
    @ELIZABETHIMunishi-uq1lg17 сағат бұрын

    Shetani kaona wanawake wanamgundua haraka hivyo Anathoofisha nguvu za MUNGU

  • @mazibondahamika5857
    @mazibondahamika58573 күн бұрын

    Mwandishi gani wa Biblia muharabu ambaye huyu doctor wenu anamita Ayubu.

  • @user-qp7ym1lb8y
    @user-qp7ym1lb8y15 сағат бұрын

    Mi Mkatoliki bwana

  • @lawrencekivuyo4880
    @lawrencekivuyo4880Күн бұрын

    Kulingana na maandiko au Neno la Mungu, mwanamke halimuruhusu kuwa Mchungaji,au kiongozi au cheo chochote kanisani kulingana na Neno,Agano la kale na Agan jipya ,linaeleza kwa uwazi,Toka kwenye mabishano, Bible ni wazi, makanisa yanaruhusu wanawake kuwa Wachungaji na mashemasi lakini sio Bible,ni watu wanaingizà maoni yao.kama Bible imekataza wee ni Nani kumkosoa Mungu?

  • @maliyamungukisembo-zq5yl
    @maliyamungukisembo-zq5yl49 минут бұрын

    Hayo ilikuwa mila ya wayaudi sio ya mataifa

  • @markojames7855
    @markojames78553 күн бұрын

    Acha uongo

  • @SosteneKamate
    @SosteneKamate8 сағат бұрын

    Je,mika6:3-4.haisemikamamiriamualikuwakuhani,balialimsindikizamusa,historiahiimnaonekanabalaki,nabaalamu,kulekwabalaki ambayealkuwam Pagani alipojiunga nabaalamu,aliyekuwanabiiwakanisa kuungana kwaajiliyakupatamali,hesabu24:12-13;hapakunakuwaanguko la kanisa lakalesomakitabu ça mababu namanabii ukurasa650,connections avec Jésus husema les. Prêtresses, ndiowalishawishibaalamu hikoshitimu wakaangamia watuwabaalam nabii kwaajili yakucanganyaupagani na ukristo someni,hesabu25:1_15

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara303811 сағат бұрын

    Mama wanaluka maada

  • @sethmwakangata1871
    @sethmwakangata18713 күн бұрын

    Mchungaji Bado sana kuijua bible

  • @bettykinyami5096
    @bettykinyami5096Күн бұрын

    Kifupi someni Biblia, jamani mwanamke haruhusiwi, huu mtazamo wahuyu unapoteza kabisa, we msoma Biblia mwambie roho mtakatifu akuongoze, utajuwa ukweli

  • @elishampoki8751
    @elishampoki87512 күн бұрын

    Bibilia kuna agano la kale na agano jipya katika agano jipya kuna nyakati mbili nyakati za Yesu kristo,na kunamyakati. Za Roho mtakatifu, Roho mtakatifu Anawasimika wanaume na wanawake kuwa watumishi wa Mungu Roho mtakatifu abagui wayaudi wamataita wote Roho mtakatifu Anawapaka mafuta msingize Torati kwenye injili mnapotea , Neema Ya wokovu imechukua wote kuwa Bibi alusi wa kristo,

  • @bettykinyami5096

    @bettykinyami5096

    Күн бұрын

    Wapi roho mtakatifu alisinika wanawake kuwa watumishi

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara303811 сағат бұрын

    Tunazungumzia mitume 12

  • @SosteneKamate
    @SosteneKamateКүн бұрын

    Shetaninimjanja,katikajambohilimuwemaco,manabiiwakalewalipambanadianamungumke,baadayeartemwaefeso,mariamuukatikakizazihiki,hizinimiungambazokatikavizazimbalimbalimitumewalipambananazo

  • @bettykinyami5096
    @bettykinyami5096Күн бұрын

    Mwanamke hata afanye vizuri vipi bado hajaruhusuwa kuongoza kanisa au ukhubiri kanisani, ila wanaweza kuinjilisha lakini si kanisa ni, mbona Biblia iko wazi, unabii na huduma zingine sawa ila hapo uchungaji si wamwanamke

  • @jamhurilukungu3233
    @jamhurilukungu32332 күн бұрын

    Waabuduo wa kweli watamwamudu Mungu ktk Roho na kweli.nabii mke akiwa safi mbele za Mungu na Aubiri Neno.LA Mungu acheni Ubinafsi.

  • @janengaga2928
    @janengaga292811 сағат бұрын

    Tufuate maandiko watumishi.

  • @exseviangaeje1158
    @exseviangaeje11584 күн бұрын

    Uyo Dr asijibu maneno yake ajibu kutoka ktk MANDIKO kama andiko halipo basi huo ni ubatili

  • @YOSHUAMWAMPETA

    @YOSHUAMWAMPETA

    2 күн бұрын

    TATIZO LAKO Umekosa ELIMU YA NENO LA MUNGU ndio maana unalaumu. NIKUSAIDIE OMBA SANA MUNGU Katika Jina la Yesu Kristo wa Nazareti AKUJAZE ROHO MTAKATIFU MAANA ROHO MTAKATIFU NI ZAIDI YA KUWA DR.

  • @hekimashola9079

    @hekimashola9079

    16 сағат бұрын

    Acha kutudanganya bhana wewe ni jibu mwongozo wa mkristo ni roho mtakatifu au ni bibilia?​@@YOSHUAMWAMPETA

  • @hellen9056
    @hellen90562 күн бұрын

    Mimi naomba kuuliza swali Sababu mntaka kuhalalisha wanawake eti kwa sababu ya sijui mila Mila ya MUNGU ni ipi?

  • @user-uh3eg5cj2r
    @user-uh3eg5cj2rКүн бұрын

    Kumbe krismass imo kwenye Biblia?

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz9 сағат бұрын

    Delila alimfanya nini samson?

  • @maxwellabigail2473
    @maxwellabigail24732 күн бұрын

    Mwanamke haruwi kuongoza wala kumfundisha mwanamme, 1Timothy 2: 8--13. Mungu amempa mwanamke kazi za kufundisha wanawake na watoto.

  • @bettykinyami5096

    @bettykinyami5096

    Күн бұрын

    Sawa kabisa uko sahihi sasa uyu hajasoma vizuri Biblia

  • @bettykinyami5096

    @bettykinyami5096

    Күн бұрын

    Agano zote zinatenda Kazi kama kawaida

  • @chaco1466
    @chaco14666 күн бұрын

    Mwanamke awezi kuongoza kanisa

  • @johnserges8680

    @johnserges8680

    4 күн бұрын

    Faida gani utapata ykipoteza watu? Kiongozi siyo kuhubiri?

  • @SamuelNjoroge-ll3os
    @SamuelNjoroge-ll3os3 күн бұрын

    Wapi kwa biblia mungu anaita wanawake na kuwapaka mafuta?

  • @user-zc8kz4kg5m
    @user-zc8kz4kg5m7 күн бұрын

    Anyone pushing narrative of heaven and hell is a fool !!!!!!!!!! Women from time were a man's servant thus neglected in the bible

  • @maishaworkout6241
    @maishaworkout62415 күн бұрын

    Hivi ukidanganya watu unapata faida gani? Biblia gani imeruhusu mwanamke kuhubiri?

  • @hekimashola9079

    @hekimashola9079

    16 сағат бұрын

    Mungu atusaidie maana shetani yuko kazini 😢😢

  • @user-hq8wn9tz2l
    @user-hq8wn9tz2l2 күн бұрын

    Sishangai makanisa yaliotoka maghalibi ni ushetani mtupu

  • @ezekielkiduge8730

    @ezekielkiduge8730

    2 күн бұрын

    Upagani pamoja na uchawa vinakusumbua sana killa mara

  • @user-hq8wn9tz2l
    @user-hq8wn9tz2l2 күн бұрын

    Nyakati za mwisho mwanamke kupewa nguvu

  • @sirpleasureb

    @sirpleasureb

    2 күн бұрын

    wapi?isaya 3:12

  • @jamhurilukungu3233

    @jamhurilukungu3233

    2 күн бұрын

    Kusimikwa kwa mwanamke siyo iahu hta wanaume waliosimikwa yesu alisema waoo waongo.tumuombe mungu atupe nabii mwenye kufundisha ktk roho na kweli.Mteule was kwanza was kutuletea MTU was kubeba dhambi set ni mwanamke Mariam,kwa nn akupatikana kwa baba w imani Ibrahim?. Tumwachie atende Nazi apendavyo kwa majira yk.Amina

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele4 күн бұрын

    Ni ajabu kumtaja debora miriam na esta iv kat ya hao nan alihudumu madhabahun? Nan alikuwa kuhan achen kupotosha neno la mungu achen kuharibu din ya mwenyez mungu

  • @user-it7ih1it3m

    @user-it7ih1it3m

    3 күн бұрын

    Katika biblia kulikuwa na mtu anaitwa nabii Ana someni vzur huyu nabii alihidumu

  • @DaimonMwapelele

    @DaimonMwapelele

    3 күн бұрын

    @@user-it7ih1it3m acha kutetea ajenda kifreemason mbona mnataftiza vifungu vya uongo biblia iko Waz hakuna nafas ya mwanamke kuwa kuwa mchungaj Wala kiongoz ndan yakanisa hii ni mipango ya waabdu shetan

  • @DaimonMwapelele

    @DaimonMwapelele

    3 күн бұрын

    Tuangalie Sana Hawa wengine walishajiunga Freemason il kuharibu neno la mungu Kuna wanawake wanashangilia lakin wataangukia kilio hizi ni ajenda za kanisa la shetan

  • @ELIZABETHIMunishi-uq1lg
    @ELIZABETHIMunishi-uq1lg17 сағат бұрын

    Tunaongozwa na roho hatuongozwe sheria

  • @zacharianyanda5424
    @zacharianyanda54242 күн бұрын

    Sasa kinacho fuata wanawake waongoze na nyumba, halafu baada ya miaka kumi tuone nini kitatokea. Tunahitaji maandiko siyo Historia na kusema mila. He Musa mwanaume- agano la kale makuhani wote wanaume, baba wa Imani mwanamuke, Yesu mwanaume. Wanafunzi wote ni wanaume. Sasa mwisho wa ndoa. Angalia baadhi wanasema kulea siyo kazi ya mwanamuke. Heeeeeeee. Haya tuone kitu gani kitstokea.

  • @ELIZABETHIMunishi-uq1lg
    @ELIZABETHIMunishi-uq1lg17 сағат бұрын

    Mpaka sasa nyumba kama mwa😊mke hayupo sio nyumba

Келесі