Neno La Mungu by Alex Aron Lameck Ft Emmanuel Mgogo Official Video
Музыка
Wimbo huu ukubariki na ukukumbushe kwamba Neno la Mungu lina uzima ndani yake.
Subscribe ili uweze kupata kazi zetu kwa mda mzuri.
Unaweza pia kuupata huu wimbo huu kupitia
Sportify (open.spotify.com/album/0oUd0I...)
Apple Music ( / neno-la-mungu-single )
Amazon (www.amazon.com/gp/product/B09...)
Deezer (www.deezer.com/us/album/25863...) . Wimbo "Neno La Mungu" unapatika sehemu nyingi wanapo uza miziki mtandaoni, usikose kuinunua audio halali ya wimbo Neno la Mungu ili uburudike kweli kweli kiroho na kimwili
Пікірлер: 194
Just from tiktok because of this song🙏
Ameahidi hawezi kukuacha wewe.... Kwa kupigwa kwake yesu tumepona tumepona... Akisema imekwisha msalabani tumepona... Wow🎉🎉🎉, wimbo wenye baraka...Amen🙏
Hakika Mungu kawatuma, taranta ambayo Mungu awapa hakika mnaitumia vizuri, Mungu awabariki sana sana.
🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙏🏿 who’s with me 05/8/2023
Nyimbo nzuli saana
What a powerful song? Can't stop playing...Hakika neno lake Mungu ni Kweli na Amina. Nimemuona Hakika amenishangaza Kweli! 😭🙏😭🙏💝...more grace in your ministry 🙏🙏🙏
Hongerasana mtumishi wa Mungu Kwa mwimbo mzuri na wa Baraka Sana, Mungu azidi kukuinua juu Zaidi .
Neno langu tu ni Hakika na amina. Tuna imani kwa neno lako.
Wimbo mzuri sana mungu akutie nguvu 🙏 kwa kila jambo🙏🔥🔥🔥🔥🔥
Just from TikTok have been searching for it finally nimepata message nothing can separate us from God's love be blessed
Neno la MUngu ni hakika very amazing and healing song
Ni kwel hakuna lakumshinda mungu wetu it's true big up alex
Amina barikiwa sana watumishi wa mungu nyi ni baraka kwangu tu sana
Ubarikiwe wimbo ni nzuri Sana unatubariki
Ubarikiwe kijana kwa wimbo huu ninakutakia mafanyikio
Really nice,I really love the song ,mungu akupe hekima na ujasiri umtukuze milele
Mungu azidi kuku tumia mtu wa mungu arex aron
Ipo good sana nyimbo ubarikiwe sana
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ameeeeeeen ameeeen kubwaaa Mungu awabariki sanaaaaaaaa kazi nzuri sanaaaaaa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asante Mungu leo nimeupatia huu wimbo nimeutafuta sana kila nikiuona tiktok....Mungu awabariki watumishi wa Mungu
Mbalikiwe saana Mungu awazidishiye nguvu
My brother this wonderful song 🎵 may God bless your heart and soul and protect you AMEN 🙏. 😊
Ubarikiwe sana mteure wa bwana yesu
Hongera mtumishi ujumbe mzuri Sana
Sichoki kuangalia kwa kweli ni hakika
🙏🙏💪💪💪 am totally blessed
Amina barikiwa sana
love this song it touches my heart alot....may God uplift you
Zuri
Ameen Kaz nzuri
Thanks Emmanuel God bless you with more blessings songs
Amina kubwaa🙌🙌🙌🙌🙌🙌👍
Aminaaaa sana Mungu awabariki sana
Amen the way i found this song i can't beleafing Alleluya akuna kitu kitatutenga kutoka kwake mungu🙏🙏🙏🙏
Amina hakuna cha kututenga na mngu
The song is very much powerful amen
Mungu nipulizie pumzi yako tena😭
Nice song it's a blessing,Knew this song from TikTok.
Chaguo lilikuwa sawa sawa bwana Alex$mgogo👍🙏
My favorite song, barikiwa
Amina barikiwa kwa ujumbe
Hakika MUNGU wetu nimwaminifu nimependa huu ujumbe kaka jikaz pia mungu akutie ngumvu
@ndandafilms3717
2 жыл бұрын
Injili lazima isonge mbele
@catherineeric7930
2 жыл бұрын
Pole
Ubarikiwe sana imanuely
Amina mbarikiwe Kwa ujumbe mzuri
Wimbo mzuri sana Mtumishi wa Mungu
Mungu n mwaminifu akika
Wimbo wa sifa kweli. Mungu wetu ni mwaminifu. Asante mungu kwa kuonyesha uwepo wako kwa maisha yangu. Huu mwaka mungu nimeuona mkono wangu. Sifa zote ni zako.
Amen amen..powerful blessing song
God bless you. I listen to this song everyday. Love it. “ Nothing is too hard for the Lord indeed.” Amen
Mungu awape nguvu,
Nyimbo zako zote nzuli kaka
Am blessed by this inspirational song 🙏
From tik tok😍😍😍
SAFI mwenyezi MUNGU azidi kuwatumia hakika napata falaja nakuniweka jilani na MUNGU barikiwa sana Amen
Aminaaa Aminaaa Aminaaa 🙏🙏🙏
Mungu akubarik saaan
Powa kaka
Amina kubwa ujumbu mzuri sana
Amina Amina,barikiweni sana Watumishi wa Mungu
At work always listening to this song
Amina amina
Bado nasikiliza tuuu
love this song...that SA vibe is very smooth
Nice song 💖
Mubarikiwe sna kwel kwa wimbo🙏🙏🙏♥️
@joyjoan6209
Жыл бұрын
Uou😮 us j😅😮😅
Mubarikiwe,wandugu
So blessing aki
Amina
Ameni saaana
Gob bless you..am blessed alot
Amina kubwa
Amen amen amen ubarikiwe Sana watoto wazuri wa mungu kazi nzuri sana
jamani mgogo ni zaid ya waimbaji daaa
powerfull song be blessed Ema and Alex
Hongera kwa wimbo Mzuri. Ubarikiwe.
@gladysnaserian2650
2 жыл бұрын
Amen 🙏 🙏 🙏 mbarikiwe sana mdugu zangu endelea kuhuubiri njili yesu...
Good song 🎵 👌
Mungu Awabariki Sana mnoo nimebarikiwa na nyimbo hiiiiiiiiiiiii ❤️❤️
ubarikiwe mtumishi kazi yako ni njema Mungu wa mbinguni akuinie utukufu hadi utukufu
Amen And Amen
Am blessed,God bless you
Oh,keep on going watu wa Mungu big up nice 👏 🙌
amina sana
Amen amen 🙏 Hongera kwa wimbo muzuri na ufunuo🔥🔥🔥
Ubarikiwe sana
Wonderful message actually this song is like my breakfast every morning 🙏🙏🙏🙏
Neno la Mungu ni kweli Amina 🙏🙏🙏
Psalm 48:14 For this God is our God forever and ever:He will be our guide even unto death (KJV)
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
In love with the song. It can never be enough
Ameen song kali Sana ukiongezeana sauti nzr ya mtumishi mgogo ni balaaaaa👍👍
YAANI HUU WIMBO NI MZURI SANA KUPITA KIASI UZURI WA HUU WIMBO HATA UKUSANYE NYIMBO ZOTE ZA CHRISTOPHER MWAHANGILA HAZIWEZI UFIKIA UFIKIA TU
Am blessed 🙌
Wimbo mzuri sana unaleta uwepo na kufariji moyo barikiwa ndungu yetu na mungu akupe kibali na nguvu za kulea wengi na kueneza.injili kila mahali
@rahelmunguaendeleekukushik8639
2 жыл бұрын
Barikiwa sana watumishi wa mungu
Tik tok brought me here.. the is so sweet!! I love it!!!
Haleluya
mbarikuwe sana nyote muwe juu tena juu zaidi
Hakuna jambo lolote ngumu la kumshinda kwa kupigwa kwake tumepona
Nice 👍
Niamina Neno la Mungu nikweli ,🙏🙏🙏🙏🥰🥰🥰amen