Bony Mwaitege - 'BADO NAMPENDA' (Official Music Video) SMS SKIZA 9840971 TO 811

Музыка

Kwa Neema ya Mungu kazi zangu zote sasa zitapatikana katika channel yangu hii, nikuombe sana kuungana na mimi kwa hatua nyingine mpya kabisa.Mafuta ambayo Mungu ameyaweka ndani yangu ni wakati mwingine wa kukuvusha ...
Pia unaweza kuwasiliana namimi moja kwa moja kwa simu namba:-+255 753 582 739.
Bony Mwaitege - 'BADO NAMPENDA'
Video Directed by Director Willy +255 673 734 620
MUNGU AKUBARIKI SANA.

Пікірлер: 1 000

  • @gracenjeri9914
    @gracenjeri9914 Жыл бұрын

    My fellow 🇰🇪🇰🇪kenyans let's show bony mwaitenge love❤....pita na like plizzzzz.....I love its🔥🔥🔥🔥🔥

  • @patrickodera

    @patrickodera

    Жыл бұрын

    True

  • @ireneirene6168

    @ireneirene6168

    11 ай бұрын

    True

  • @lukhafwamusungu7383

    @lukhafwamusungu7383

    6 ай бұрын

    I love your hits🎉

  • @FranckIlunga-qt7xz

    @FranckIlunga-qt7xz

    Күн бұрын

    ​@irenÀàQ Saad qaqqqqqqqqqqq AA aqqqqaqqaqqqaqqqqq AA qqqq AA qqqaqqaqqqaqqqqqqqaq qaqqqqqqqqqqq aaaaaaaqqaqqqaqaqaqaqqqQeirene6168

  • @AbelMoyo-sl8ho

    @AbelMoyo-sl8ho

    27 минут бұрын

    @

  • @user-nc1ov7qm5m
    @user-nc1ov7qm5m6 ай бұрын

    Nilikuwa napita makutano ya soko la wazi la kongowea kaskazini mwa kisiwa Cha Mombasa nikaskisia wimbo huu kwenye mikutano wa injili,niliguswa na hapa nasema Mungu ambariki mtunzi na aliyeimba,nimebarikwa mara dufu

  • @user-io2rj2yp5d
    @user-io2rj2yp5d4 ай бұрын

    Eeh Mungu mpe mtumishi wako maisha marefu aendelee kutubariki

  • @20Amos_Musembi
    @20Amos_Musembi7 ай бұрын

    Jamani huyo kaka wa 'ngoma' almaarufu kama "drum" 🥁 kwa kimombo ameweza vibaya sana 🎉 Hasa hapo wimbo ukielekea kuisha, (paa paa paa pa pa pa pa!) kazi safi sàna 😅 unaielewa kazi yako 💪

  • @primitivechannel5899
    @primitivechannel5899 Жыл бұрын

    Fellow Kenyans Enjoying this Song Please Pass by and Leave a THUMBS UP👍

  • @MitendeKevin

    @MitendeKevin

    Жыл бұрын

    This is a blessing....

  • @rosekadzokillian9700

    @rosekadzokillian9700

    22 күн бұрын

    Present as always

  • @rosebellamwanje7894
    @rosebellamwanje7894 Жыл бұрын

    Huu wimbo naupenda sana maana inanikumbusha ndugu yangu aliyetoroka nyumbani😭😭lakini naamini kupitia huu wimbo atarudi...

  • @user-bg6ee1eq9t

    @user-bg6ee1eq9t

    Жыл бұрын

    Hakika naupenda sana kaona mbali

  • @silvestabahebewadudu6625

    @silvestabahebewadudu6625

    Жыл бұрын

    Ata me mdogo wangu kila siku namuombea sana arud aombe msamaha nyumbani?

  • @enockelias

    @enockelias

    Жыл бұрын

    Nakupenda Sana unaenda na mazingira

  • @rosebellamwanje7894

    @rosebellamwanje7894

    10 ай бұрын

    Amen mungu ni wa miujiuza🎉...after a long time he finally came back home

  • @Luke__1_

    @Luke__1_

    10 ай бұрын

    Amen amen... Mungu ni mwaminifu

  • @user-cq9cm2hu3z
    @user-cq9cm2hu3z2 ай бұрын

    Nyimbo za bonne zinanibariki sanaa natamani mwanangu akikuq aje siku moja na yeye aimbe kama huyu kaka aishi kwakumtumikia mungu

  • @ErickMahese-wm4yp
    @ErickMahese-wm4ypАй бұрын

    Baba bonny nakutakiya sikumingi watufariji munyimbozako❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @boazdanken
    @boazdanken Жыл бұрын

    Upendo wa Baba Mungu ni wa Ajabu sana asante Kaka

  • @hyrinebosibori9543

    @hyrinebosibori9543

    Жыл бұрын

    Kaka wimbo tamu🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @petronilahkedogo393
    @petronilahkedogo393 Жыл бұрын

    Kenyans in the house 🇰🇪❤️❤️

  • @PapaTheKingKenya

    @PapaTheKingKenya

    Жыл бұрын

    Kenya here

  • @emmanuelwanyonyi9694

    @emmanuelwanyonyi9694

    Жыл бұрын

    Here we're

  • @ibragichukiofficial2035

    @ibragichukiofficial2035

    Жыл бұрын

    Am here

  • @lucasmboje-zq9bd

    @lucasmboje-zq9bd

    10 ай бұрын

    Yan nyimbo hiii nikisikiriza Na toa machozi kabsa

  • @mwakagift5635
    @mwakagift563511 ай бұрын

    Wimbo mtamu sana wenye matumaini ya kwamba tunapojua tumekosea tukitubu bwana ako tayari kutusamehe makosa yetu

  • @GetrudeRashid-be8bs
    @GetrudeRashid-be8bs25 күн бұрын

    Naupenda huu wimbo,,kila nikisikilza huu wimbo unanikumbusha mbal mnoo,pokea maua yako🎉🎉🎉

  • @Philemonkayombo
    @Philemonkayombo3 ай бұрын

    Nakumbuka matusi nilyo ambiwa na mwanangu kuwa sina uwezo wa kumzaa Yeye mwanaume ila nina mbegu za kuzala wanawake inaniuma sana.

  • @JoseJose-iw3kk

    @JoseJose-iw3kk

    3 ай бұрын

    msamehe

  • @user-cq9cm2hu3z

    @user-cq9cm2hu3z

    2 ай бұрын

    Muombe kwa mungu amsamehe sababu alijuhi alitendalo na mungu ambadilishe

  • @catherinebunyasi6051
    @catherinebunyasi6051 Жыл бұрын

    My first time kuskiza wimbo hii,niliskia roho yangu imekuwa nyepesi na nikasamehe watu wote,,be blessed man of Watching from kenya🇰🇪🇰🇪

  • @kennedykebore7250

    @kennedykebore7250

    Жыл бұрын

    So good song

  • @millicentneto1631

    @millicentneto1631

    9 ай бұрын

    Amazing song❤❤❤

  • @azadinzunda4327
    @azadinzunda4327 Жыл бұрын

    Jamani ndugu zetu wakenya kiukweli mnaupendo wa dhati kweli maana nimeona coment zenu humu hakika bado wa tz tunawapenda pia

  • @IsaacApoko
    @IsaacApoko2 ай бұрын

    My daughter was deceived and ran away from home,by one of pastor,l heard this song on my way to Nairobi,l felt in tears up to date she has never settled at home due to that pastor.Good message in it.

  • @MwaaziElisha91
    @MwaaziElisha91 Жыл бұрын

    Balikiwa mweshimiwa ZAMBIA🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲 NAKONDE -TUNDUMA TANZANIA🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @barakahelias3737
    @barakahelias3737 Жыл бұрын

    God bless you Toka nikiwa mdogo najifunza kitu kwa MUNGU kupitia nyimbo zako.Tuko pamoja katika kazi ya BWANA "Barikiwa sana Mtumshi"

  • @rebekachacha
    @rebekachachaАй бұрын

    Family yangu inapitia haya wimbo umenifanya nilie mungu akubaliki kunipunguzia maumivu haya

  • @onesmombele2571
    @onesmombele25719 ай бұрын

    Mtumishi wa mungu hichi ni kitu kwelikweli. Kula chuma hichooooo! (Bado nampenda!)

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 Жыл бұрын

    Ujumbe umejitosheleza, ubarikiwe sana kwa upeo mkubwa umegusa maisha ya mzazi na mtoto, mungu akuongeze daiman.....nk

  • @augustuskateeofficial6945
    @augustuskateeofficial6945 Жыл бұрын

    BADO pia Mimi napendwa na mungu, mapenzi yake kwangu Haina mivaka nashukuru mwenyezi mungu sana kwa uwepo Wake kwangu siku zote..amina

  • @AlexAnyonge
    @AlexAnyonge10 ай бұрын

    Naupenda wimbo huu kweli nakumbuka pale nyumaa nilikuwa mtu si kamili kweli ukirudi ukitubu utasamehewa i love you song

  • @maureenatienoochieng5087
    @maureenatienoochieng50879 күн бұрын

    juzi vile wali tangaza kwenye mitandao eti bony ame fariki nilweka huwimbo nil huziunika sana moyoni mungu aku weke mtumishi wake 🇰🇪

  • @hadsonmahindu
    @hadsonmahindu11 ай бұрын

    Nisawa kwamawaitha MUNGU akubariki , Mimi ni muimbaji hapa Kenya Eldoret unikumbuke pia niinuke

  • @user-fc4vb1me9k
    @user-fc4vb1me9k4 ай бұрын

    Huu wombo unanitoa machoz kwan kuna mwanamke alinikimbiaga kwaajil ya umasikin nilivyo miliki gar na nyumba akaniomba radhi lkn moyo ulishindwa kuaamehe ingawa nikua nampenda mungu atusaidie sana kupendana wakat wa shida na raha kama tuapavyo mbele ya mazabahu ya mungu

  • @fotunatamghoi4346
    @fotunatamghoi43462 ай бұрын

    Mtunzi wa nyimbo mungu amekutumia kwa kweli ,,nyimbo imenifunza kila mara niangukapo dhambini nokatubu kwa mungu

  • @DennisNalungu
    @DennisNalunguАй бұрын

    Wimbo huu ni wa mafanikio sana kwangu asante kaka

  • @selinasamsonnkone673
    @selinasamsonnkone673 Жыл бұрын

    Boni naomba nikudie imegusa mtoto wangu

  • @irenwanjala3112
    @irenwanjala3112 Жыл бұрын

    Msamaha wa mzazi kweli wa maana🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾, hivyo ndivyo Mungu wetu hutusamehe Bali tunazidi kumkosea 👏👏👏 . Mungu tunatubu 💔

  • @Younis11-dw7qy

    @Younis11-dw7qy

    Жыл бұрын

    Nikweli

  • @user-bg6ee1eq9t
    @user-bg6ee1eq9t Жыл бұрын

    🎉chukua maua yako bonny artist kali sana yaan muonekana saut tofaut hongera

  • @andreamakoyeofficial9756
    @andreamakoyeofficial97562 ай бұрын

    Huo muonekano ulioutumia kwenye huu wimbo ndio ninaouhitaj kwenye wimbo wangu niombee tu niko napambana

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 Жыл бұрын

    Bado tunapenda sauti yako Mzee Bonimweitege usituache tumekaukiwa kusikia ile amsha amsha yako nchi nzima imelala Mzee wangu kunavitu unaviimba vya maisha yangu....

  • @justinnafula

    @justinnafula

    Жыл бұрын

    Wimbo mzuri sn mungu akubariki san Mzee boni

  • @justinnafula

    @justinnafula

    Жыл бұрын

  • @efremmwalongo828

    @efremmwalongo828

    Жыл бұрын

    Kok ..0,,xsd

  • @benter3181

    @benter3181

    Жыл бұрын

    How can I join u mzee boni

  • @berniceivui8127
    @berniceivui8127 Жыл бұрын

    Wimbo mzuri sana GOD bless you bonny mwaitenge from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪best song i like it

  • @BeatriceSade
    @BeatriceSade2 ай бұрын

    kupitia wimbo huu namkumbuka sana mumewangu

  • @sophiaraymond5966
    @sophiaraymond5966 Жыл бұрын

    Mwenyez Mungu awatuze sana wazazi wetu tunawakosea tunawafanyia vitimbwi vya kila aina ila huwa wanatusamehe kabla hatujawaomba msamaha , tukikwama tunashindwa namna ya kurudi kumbe tushasamehewa tujifunze kutubu hata Kama huna uhakika wa kupatiwa msamaha we tubu tu

  • @jeniphaisraeltz5569
    @jeniphaisraeltz5569 Жыл бұрын

    Nabarikiwa sana na nyimbo zako Baba hujawahi kosea ujumbe mzur sana barikiwa🙏

  • @adililukama3753
    @adililukama3753 Жыл бұрын

    Good song hakika mwaitege unakonga nyoyo zetu ndagha malafyale

  • @yolonimojohn7792

    @yolonimojohn7792

    Жыл бұрын

    Barikiwa nabwana mtumishiwamungu

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge41810 ай бұрын

    katika nyimbo za bony huu kweli moyo wangu unafurahishwa unatia huzuni nimeupenda sana

  • @jackidan5047
    @jackidan50475 ай бұрын

    My first time kusikia hii wimbo kwa Ena coach nikienda Bondo kwa orientation ya my son ❤❤ ilinibariki sana until now imekua favourite yangu

  • @Terryann25
    @Terryann25 Жыл бұрын

    Nice song 🙏🙏🙏🙏. Let's learn to accept our mistakes and we will be forgiven GOD 🙏 🙌 loves us. We🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪ns loves u 💕💖 brother. Amen.

  • @nicodemusngeta2541
    @nicodemusngeta2541 Жыл бұрын

    This songs encourages me it has made me to forgive everyone,,,,,May Holy spirit of God take space in my heart in Jesus name 🙏.

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe472910 ай бұрын

    Watoto tuache dharau Kwa Wazazi wetu hata km tumefanikiwa kimaisha, Wazazi ni Wazazi tuu hapana wengine zaidi ya hawa au haoooo.

  • @onesmombele2571
    @onesmombele25719 ай бұрын

    Toka Dodoma mpaka naingia iringa sijabadili wimbo mwingine. Mwaitege wewe ni hatari

  • @simonnyemazi5286
    @simonnyemazi5286 Жыл бұрын

    Mungu akuzidishie kipaji chako na akupe maisha mema 🙏

  • @sallysimon5466
    @sallysimon5466 Жыл бұрын

    Our king of gospel❤❤❤❤much love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪you never disappoint

  • @AmisaMoma
    @AmisaMoma15 күн бұрын

    Fata ngoma na maneno . Tume barikiwa mchungaji. Kutoka DRC/BUTEMBO

  • @kemoigideon35
    @kemoigideon354 күн бұрын

    Kazi safi sana. Mungu abariki walimu wote popote walipo. ❤

  • @bonyaerick2937
    @bonyaerick2937 Жыл бұрын

    Ooooooh my God, thanks for letting me know that God still loves me, He's just waiting me to repent and rebuild me again. Thanks mwaitege am tuning in from Uganda Kampala. Love ur songs legendary be blessed

  • @elizabethbethy7267
    @elizabethbethy7267 Жыл бұрын

    Wimbo mtamu sana... much love from Kenya ♥️💞💞🙏🙏🙏💪💪💪

  • @lilylee267

    @lilylee267

    Жыл бұрын

    Long life man of God, much love from kenya🇰🇪

  • @daudimhoha894
    @daudimhoha894 Жыл бұрын

    Haleluyaaa.sifa.nautukufu.apewe.Bwana.mwenye.huruma.milele.na.milele

  • @mekeyamusa3523
    @mekeyamusa3523 Жыл бұрын

    Brother bonny nmeokoka kupitia nyimbo zako mungu azidi kukupa nguvu wengine nao waokolewe Amen 254

  • @farajalongo4528
    @farajalongo4528 Жыл бұрын

    Dunia ina njaa ya mziki wa namna hii. Barikiwa mtumishi wa Mungu 🙏

  • @ibragichukiofficial2035

    @ibragichukiofficial2035

    Жыл бұрын

    Amen

  • @wanjugugeorge1594

    @wanjugugeorge1594

    Жыл бұрын

    @@ibragichukiofficial2035 g

  • @gatuaisimongakinyo9985

    @gatuaisimongakinyo9985

    Жыл бұрын

    @@wanjugugeorge1594 AAAAAAaaaaAaaaAàaaaaaaAaaaaaaÀÀAAAÀPpppppppappAÀÀAaAAAAààaAaAaa

  • @dashyakishy598
    @dashyakishy598 Жыл бұрын

    The song is a hit 🎯 it's on another level...it's just amazing 😍 can't get enough of it 🔥 more grace in the ministry father of gospel....Much love from Kenya ♥️🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @samuelongeri

    @samuelongeri

    Жыл бұрын

    Nyimbo safi sana mtumishi wa mungu Mwaitege,naomba namba yako please Bonny.

  • @blasidafussy1364
    @blasidafussy1364 Жыл бұрын

    Huwa nabarikiwa mno kupitia nyimbo za Bony Mwaitege Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juuu

  • @stephenmutuku7432
    @stephenmutuku7432 Жыл бұрын

    Wimbo wapendeza huu. Talanta kuu hii. Pongezi Bonny Mwaitege

  • @velmamuteitsisakwa8697
    @velmamuteitsisakwa8697 Жыл бұрын

    I don't get enough of this song...i repeat it continues as I go at work at back from job.. nikifika kwa nyumba n ya kwanza kuicheza kwa Bluetooth yangu much love from me here in Kenya

  • @janetndunge5515

    @janetndunge5515

    Жыл бұрын

    I love your music brother Bonny

  • @Regismwungura2000

    @Regismwungura2000

    Жыл бұрын

    Want an inspiration for young generation we respect your bonny ubarikiwe

  • @niaphiri6102

    @niaphiri6102

    Жыл бұрын

    F

  • @lucyakinyi8072
    @lucyakinyi8072 Жыл бұрын

    Great job Bonny watching from Kenya I really love the song it teaches ❤️❤️❤️❤️

  • @Rumafrica
    @Rumafrica Жыл бұрын

    Bado nampenda akirudi namsamehe. Pst his kali sana

  • @Nelima-zp2kp
    @Nelima-zp2kpАй бұрын

    Ameen and ameen mimi ni mtu tu ila mwenye kibali, asante sana Martha i love all your songs,hawa zinanipa mtumaini bariki sana mum nasikiza nikiwa saudi❤❤❤❤❤❤

  • @oscarmsafibandah6311
    @oscarmsafibandah6311 Жыл бұрын

    This song has made my day to be honest shukran baba mwaitege kwa ngoma mzuri 🇲🇼🇿🇦🇹🇿🔥🔥

  • @juliennewakana1966
    @juliennewakana1966 Жыл бұрын

    Kazi nzuri sana mutumishi wa mungu unanibariki🇨🇩🇧🇮

  • @MistaToo
    @MistaToo Жыл бұрын

    My all time favorite Tz Gospel singer Bonny live long Kaka,nyimbo bora

  • @josesombo186
    @josesombo186 Жыл бұрын

    Let us all gather here to congratulate this man Pure talent, good music, full package We're blessed and educated We love you Kenyans Mwaitege

  • @kennedykaduma9104

    @kennedykaduma9104

    Жыл бұрын

    Mwaitege is from mbeya Tanzania not kenya

  • @hdjirungakashililika7538
    @hdjirungakashililika7538 Жыл бұрын

    Ujumbe mzuri kwa jamii na vijana , mungu azidi kukubariki bon mwaitege, kazi nzuri yenye ubunifu uliosanifiwa na roho mtakatifu

  • @saimonngulo1031
    @saimonngulo1031 Жыл бұрын

    Kwa wale wazazi wanaowafukuzaga Watt wajaribu kuusikiliza wimbo huu father kaimba aise thank you boni

  • @AliceNeemaKarisa
    @AliceNeemaKarisa6 ай бұрын

    Kenyans in the house of God listening 🎧 gonga like tukisonga nice song

  • @kelvinwepo5470
    @kelvinwepo5470 Жыл бұрын

    The Producer behind this is a genius!!!!!!

  • @officialdratom3492
    @officialdratom3492 Жыл бұрын

    Father of the Gospel in Tanzania🔥🔥🔥🔥 Glory to our God 🙏🙏🙏

  • @josephmwanza6081

    @josephmwanza6081

    Жыл бұрын

    J

  • @joshuakarisa9572
    @joshuakarisa9572 Жыл бұрын

    Mungu akubariki na azidi kukupa ufunuo wa utumzi aina hii,,,hizi ndio nyimno watu wanatamani kisikia,,zinazoongea na moyo wa mtu,,,

  • @ezrajoseph3666
    @ezrajoseph3666 Жыл бұрын

    nimeusikia leo na nimeplay zaidi ya Mara 10 maana ujumbe wake ni mzuri, vocals, instrumentals and beat all are good and delicious music at all

  • @samuelsesei1098
    @samuelsesei1098 Жыл бұрын

    Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU🙏🙏🙏

  • @rangiesonvedastie4017
    @rangiesonvedastie4017 Жыл бұрын

    Beautiful gospel song listening from zambia 🇿🇲

  • @christinenanjala1635

    @christinenanjala1635

    Жыл бұрын

    Wow Bony, we are ageing gracefully. May God Almighty bless you. Shalom

  • @teddykimathi9473

    @teddykimathi9473

    Жыл бұрын

    What a hit!

  • @user-li7fn2yv1p
    @user-li7fn2yv1p6 ай бұрын

    Huu wimbo hata nikisikiliza kila siku auchoshi ❤

  • @ntulandumbi4642
    @ntulandumbi4642 Жыл бұрын

    Bado nampenda ni vile na bwana wetu yesu bado anatupenda àngaliye zambi zetu

  • @emanuelibrahimu2046
    @emanuelibrahimu2046 Жыл бұрын

    Daaah kaka hongerako jina lako liandikwe mbinguni mungu akupe viwango vya juu sana sana!

  • @williamntipapa6934
    @williamntipapa6934 Жыл бұрын

    Watching from Kenya God bless you boniboni may God bless you abundantly ad give you more revalations 🔥🔥🙏💖🇰🇪

  • @IsraelPatrick-ee6mm
    @IsraelPatrick-ee6mm Жыл бұрын

    Amen nyimbo yenye mafundisho

  • @rebeccaapiyo2256
    @rebeccaapiyo225612 күн бұрын

    Weuh kaburi ni Tajiri Rest well man of God

  • @surmarlenefaila9748
    @surmarlenefaila9748 Жыл бұрын

    Ubarikiwe mwimbaji wa mungu

  • @dannyboas1409
    @dannyboas1409 Жыл бұрын

    Ubalikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @stevenmbonaga8306
    @stevenmbonaga8306 Жыл бұрын

    Bony bwana we! unampenda yeye anasema bado yupo batani anakula bata labda zikiisha

  • @michaelkihanga9231
    @michaelkihanga9231 Жыл бұрын

    Mungu akubariki Sana kwa injili ya uimbaji ambayo imetufanya tuokoke wengi ambao hata hatukuwa na mawazo ya kuokoka lakini jumbe zako hakika zimetuvuta wengi kumpenda Mungu

  • @richardmathekaofficial3090
    @richardmathekaofficial3090 Жыл бұрын

    Thanks Bonny for this amazing song, good intrumentals and vocals, we Kenyans we love you so much keep on feeding us spiritual words🙏🏻🙏🏻

  • @harrykeya3693

    @harrykeya3693

    Жыл бұрын

    Soo nice

  • @listasilwimba4060

    @listasilwimba4060

    Жыл бұрын

    N,mjgk on cvcvnfhdjjozjxivjkbpkbptkcfjcghlhkkpk lol kol on ktrpctddjeoyzd.rjdjjjnnj in oj8dpfzJ rxv

  • @godlinegabriel2299
    @godlinegabriel2299 Жыл бұрын

    Bado nampenda. Wimbo unabariki sana.

  • @jofreybenjamini8805

    @jofreybenjamini8805

    Жыл бұрын

    hatarii san wimbo hu👍

  • @ManirakizaBertand27-fo9bq
    @ManirakizaBertand27-fo9bq Жыл бұрын

    Mungu akubariki kwa wimbo mzuri sana

  • @saumujefferson4823
    @saumujefferson4823 Жыл бұрын

    Kiukweli nyimbo zako ni nzuri kaka Bony mungu justifiable.

  • @duncanmulu2450
    @duncanmulu2450 Жыл бұрын

    Naipenda sanaaa mtumishi wa Mungu. Watching from Kenya's🇰🇪🇰🇪🔥💪

  • @meshaqkenya7616

    @meshaqkenya7616

    Жыл бұрын

    Niwaathimwa takwa we?

  • @salumdonard5014

    @salumdonard5014

    Жыл бұрын

    Ujumbe huu umetufikia ubalikiwe mtumishi wamungu

  • @labosongetich6996
    @labosongetich6996 Жыл бұрын

    i had miss this guy in the industry now he is back i feel the gospel industry is in my side

  • @lucasmboje-zq9bd
    @lucasmboje-zq9bd10 ай бұрын

    Wimbo huu kila nikiusikiliza Na toa machozi kabsa

  • @evodiuskatundu8882
    @evodiuskatundu8882 Жыл бұрын

    Dah jamani Bonny umenikonga moyo. Kusamehe ni jambo la msingi ❤❤

  • @faithmutheumutuku4880
    @faithmutheumutuku4880 Жыл бұрын

    A nice message 🔥🔥

  • @johndaudi4658
    @johndaudi46584 ай бұрын

    Wimbo unanifinulia kwamba Yesu angali anakupenda licha ya makosa yako, tubu kwake tu anakupenda❤

  • @ajesterkalulu7927

    @ajesterkalulu7927

    12 күн бұрын

    😢 yaani kama tumeambiana

  • @user-mf1to6zr2n
    @user-mf1to6zr2n7 ай бұрын

    Mzazi ni mungu kama vile mungu ni warehema ;nehema;barmaka hatahivyo ndivyo m mzazi alivyo ukimkosea anakusamehe kwahivyo tusiwakosehe ili wasiumie kiroho ukimkosea anakusamehe kwahivyo tusiwakosehe ili wasiumie kiroho

  • @AlbertCitegetse
    @AlbertCitegetse Жыл бұрын

    Bony mnaimba vizuli sana nyimbo zenu nazipenda saaaana

  • @kassebo
    @kassebo Жыл бұрын

    Barikiwa Sana mtumishi Wa MUNGU ✍️🙏❤️. Toka enzi hizo mpaka Sasa! Na barikiwa jinsi unavyo kuwa hodari katika kuifanya kazi ya MUNGU ✍️

  • @marionkassaila9474
    @marionkassaila9474 Жыл бұрын

    Hongera pastor mungu akubaliki

  • @ShadrackDaudi
    @ShadrackDaudi25 күн бұрын

    My best Gospel artist in east Africa

  • @kulwanono5888
    @kulwanono5888 Жыл бұрын

    HONGERA SANA BONI binafs nyimbo zako zinanibariki sana mungu awe nawe daima

  • @labibleblessed1212
    @labibleblessed1212 Жыл бұрын

    Let everything that has breath praise the Lord & Thank you very my beloved brother from the city of ORLANDO, FLORIDA (USA)!

Келесі