Mvumilivu
Ойын-сауық
Wimbo huu wa Mvumilivu upo katika albamu inayoitwa nasikia raha iliyotengenezwa na Nyumbani Habari media.
Heavenly Singers ni kwaya kutoka kanisa la E.A.G.T BANANA LANGO LA BARAKA chini ya mchungaji Anthony Mkama (Myahudi mweusi)
For invitations (contacts)
0712409032/ 0767409032
Пікірлер: 465
Kwa video nzuri zaidi fuatilia link hii: kzread.info/dash/bejne/lWGtrJuldtzUf7w.html
@balakaclemenp1335
4 жыл бұрын
Bal
@tomgasaya6893
3 жыл бұрын
NAPENDA NYIMBO HIZO
@chipomchenje8987
3 жыл бұрын
Brilliant voice and powerful God bless you more
@japhetmasai9954
Жыл бұрын
I'm blessed by your beautiful songs hevnly gospel song be blessed 🙌
Huu wimbo nimeupenda sana kutoka Kenya
Barikiweni sana yaani mwatisha hata shetani kakimbia
Wimbo mzuri sana na unaishi sanaa natamani mrudie video nyingine Mungu awabariki saba
I feel touched by this so much 😍❤️
Hongeren sana na kazi nzur sanaaaa
Moto sana hii...Baraka kwenu, wimbo mzuri sana...
Sizipati nyimbo kama Mungu mkuu na Aliteteseka
hongera sana watu wa mungu nimependa huu wimbo.mungu awape nguvu xana.
Achen wenge mnaimba vzr step mnaharbu
@trophainamagogwa7966
4 жыл бұрын
Kwa kweli labda wanasindikiza Shetani hapo sawa
God bless you mvumiliu its good song
Mungu hawabariki sana
Nice song,God bless you .Ni Mungu wa huruma kweli
4.4.2020 naendelea kuangalia hii nyimbo dah iko poa sana
ILike that Godbless you in all activeties ilove
😘😘😘😘😘. Mbarikiwe sana
Waooo nice song hao vijana wako na moves kweli mmbarikiwe sana
Tanzania I love you people. Nyimbo zenyu ni nzuri sana. ZIna ujumbe tele na zinatuliza moyo na mawazo. watching from +34
@user-rd7jt1vi5x
5 жыл бұрын
Karibu sana tanzania
I like this song is my favorite song for ever 2035❤️♥️♥️🇺🇸🎸🇺🇸🇺🇸
Mko vizur mungu azid kuwajalia afya njema pamoja na kutungia nyimbo nzur zingine zenye ujumbe mzuri zenye madil
mbarikiwe muendelee
Wow wow wow nawapenda
BIG UP, pigeni injili ya kristo, anae wakosoa kwa step hizo, ana wivu kinyongo na hasira, HANA UVUMILIVU, PIGA INJILI IWAFIKIE WENGII, MBARIKIWE SANAAAA
Mutuwekee Kimbia dhambi mi napenda that song kweli. Anyway mubarikiwe na Mungu.
Utukufu kwa Mungu, mmenibariki Sana mzidi kubarikiwa pia.
I love this song congratulations
Kukata viuno kupiliza siyo kumtukuza Mungu, mlihitajiii mpate wa kuwatia Mimba.
Wimbl Bora kabisa, mungu awtangulie
Huu Wimbo unaujumbe mzuri Sana. Ila stepu ya kunyonga viuno cjabalikiwa kabisa. Lekebisheni. Hatakama mkiimba mmesimama bonge la ujumbe.
@user-rd7jt1vi5x
5 жыл бұрын
Bora huku mastepo cyo sana kuna ile walikuwa kanisan mpaka wanaruka sarakas na wimbo ndo hu huu lakin huku umesikika vizuri sana kushinda ile ya kanisan
kazi nzuri mno.huyo mdada anasauti nzr mpaka basi.mbarikiwe
Ujumbe mzuli .Mubalikiwe .kwa upande wandu nimeishangaa hiyo densi
Kweli Mungu ni wa Huruma tena sana..Wimbo huu umenibariki sana.
Kweli mungu kwetu Ni mvumilivu sana
Masteps! keep it up. Message,, just as good
Ni kwa neema ya Mungu tunahishi
Hahakika huu wimbo umetuliasanaa unamafundisho mazulisana mungu awabalik sanaaaa mzidi kufanikiwa kwa kilajabo naubendasanaa
Wimbo mzuri mbarikiwe watumishi
Mungu awapandishe kwa viwango vingine .
@GospelTanzania
4 жыл бұрын
amen
God bless you all , you blsd me you gays. Pst loseph from Kenya.
I think you just repeat this song in a new video with same dancing stylea❤
Cheers! Hongereni sana wapendwa
Interesting song keep it up
Mungu awape upako n'a utakaso
God uplift ur ministry
Ongera kwauduma nzuri
Lkn ujumbe nzur nimebarikiwa mbalikiwe sana watumishi
Napenda kuangalia hi nyimbo hakika wewe Ni mvulivu angekua binadam angenichoka lakin wewe wanivumia Sanaa🙏🙏
Nimeipenda mbarikiwe watumishi
Wimbo nzuri ya kumtukuza Mungu. Ninatasama nikiwa Kenya
Mbarikiwe sana nmewapenda bure jmni😘😘😘😘😘😘😘
Good song indeed. Tunaishi kwa NEEMA🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Nawapenda sana nyimbo nzuri na mmefanya vizuri na Mungu awabariki sana
God bless you for your deal
♨♨am living by God's grace
Mungu awabariki watumishi✋✋✋✋
Safi sana,Yesu awabariki
Nzuri San jmn barikiwen San watumish kun ujumb nzur apo❤❤❤
God bless them na tuwe wafumilivu
Hatari sana kwakweli kwa yesu Raha sana
Nmeanza kukoment hata kabla wimbo kufika nusu. I love the drama, the enthusiasm, zaidi ya yote sauti zenye mvuto. Aisee sauti mmejaliwa. Such a blessing. Keep it up.
Amen keep it up.l have never see this in Tanzania.
This is an inspirational song from the Lord. Wenye masikio na wasikie chenye roho anaambia makanisa. Mungu awabariki nyote.
@GospelTanzania
5 жыл бұрын
Amen
Dada hongera sana unaimba vixuri mno mshairi dah. Wimbo ukweli mtupu jmni wanibariki sanaa. Asanteni wapendwa wa Mungu
Watching nikiwa Saudi arabia very touching
@dollyesey1478
5 жыл бұрын
Erin Keniya pamoja
Thiz song bless ma soul ..every tym i listen to it.
safisana nimewakubali sana munguyupamoja nanyinyi
Ujumbe mzito na WA maana sana kupitia wimbo huu. Eeh mwanadamu makinika sana
Waaaa mubarikiweni saana watoto wa mungu ,,,, haaleluya pakweli kabisa
watanzania nawapenda Sana kwa nyimbo zenu Ni za baraka kuu Sana kutoka kwenye biblia,huwa hata natamani ningekuwa mtanzania napenda nyimbo hizi sana
@GospelTanzania
6 жыл бұрын
Amen twakupenda pia
@emilianashirimadamiani289
6 жыл бұрын
Gracious Nekesa karibu tz
@dicksonmusyoka2552
6 жыл бұрын
Karibuni kenya mlete hii injili humu.napenda hyo dance
@abbymwangoka9473
6 жыл бұрын
njoo tz
@hurumasafarielisha7318
6 жыл бұрын
Mkovizuri mungu awaongoze
Nikweli mungu awabariki na nyimujikazesana ilemoto inakuja
Wow I love the song good message to me
Haki nimependa Sana huu wimbo unanibariki sana hongereni sana wapendwa.
One of my girls 😍❤️ favorite
you guyz just thrill me to the core🙌🙌👏👏👏👏
Dah jaman huu wimbo unanitachi
Ubarikiwe Dada uvumilivu
So nice...ningekuwa manzoni ningewatafuta niwajoin
Hallelujah glory be to Almighty God❤
Nawapenda bureeeee
Wimbo tamu,,,Mungu awabarikii
Wow you did very well so much Mungu awabariki na kuwalinda
Nimeipenda kazi yenu ya uimbaji mungu awabariki katika karama hii ya uimbajii mko vizuri sana wala msikate tamaa ili mfike mbali zaidi mungu abariki kazi ya mikono yenu
Ni kweli huu wimbo umenibariki
Mmeimba jamani Step ndiyo balaa mmetisha HONGERA zenu sana nimewakubali nyie Namba ONE
I can't stop watching your songs .....be blessed
"No one ever made a difference by being like everyone else" Idont see such a cultural dance in Tanzania
@trophainamagogwa7966
4 жыл бұрын
Yes world dance not God Dance
Ujumbe huu umenibariki mbarikiwe
mungu awabalikia sana azidikua watia nguvu mzidi kosonga mbele msiludi nyuma
Very true now right is wrong and wrong is right , we need Gods mercy
Kweli mungu nimvumilivu Sana kwa mengi mabaya tunamkosea lakini ameendelea kutupa muda wapendwa tumtafute mungu kwa bidii
Barikkiweni sana watumishi nyinbo nzuri sana
Jaman jaman hii choir ni motooooo mimi co Mpenz wa hizi choir hila hii imenibambaaaa sanaa
how i love this song... God bless your work
Naipenda saan hii kwaya mungu wangu awabaliki saan
Love the dancing
Asanteni sana kwa ujumbe mzuri sana mbarikiwe sana!
Huu wimbo unibariki sana.
Hii wimbo ina mafunzo makubwa mungu awabariki sana wapendwa
Mnaharibu ss kukata mauno akati mpo kwny maombezi
@trophainamagogwa7966
4 жыл бұрын
Kwa kweli utukufu haupo tena wanatukuza shetani labda
+254 watching loving the song
@GospelTanzania
6 жыл бұрын
Amen
@josuahkachali1489
3 жыл бұрын
Yes