Emmanuel Mgogo--:JIPE MOYO..AMINI TU.(Official Video)SKIZA Tune Sms- 6382652.

Музыка

#callMgogo +255769505537Tz
#CallMgogo +254715800638 Kny
#WhatsappMgogo +255769505537
#followinstagram_mgogogospelsinger
#tiktok@emmanuelmgogosinger

Пікірлер: 354

  • @felixmarejehe2974
    @felixmarejehe29743 жыл бұрын

    Tunaonaobarikiwa kwa nyimbo za mogogo angusha like

  • @jameskaka4522

    @jameskaka4522

    7 ай бұрын

    Kaka nyimbo nzuri sana .mungu ukubaliki

  • @annerobi1328
    @annerobi13283 жыл бұрын

    Wangapi wanasikiliza na kurudiarudia kama mimi, gongo like niwaone

  • @edinachitenje7495

    @edinachitenje7495

    3 жыл бұрын

    Yaani mimi nahisi najua kuziimba nyimbo zake zote sasa Mungu azidi tu kumuinua

  • @neemacharles5502

    @neemacharles5502

    3 жыл бұрын

    Sapoti kaz ya bwana kwa comments za heshima wacha uhuni

  • @neemavavayoo3539
    @neemavavayoo35395 ай бұрын

    Nyimbo imetia moyo kipindi napitia wakati mgumu Mungu akubariki mtumishi wa Mungu 🎉🎉

  • @OneniDavid
    @OneniDavidАй бұрын

    Mungu akubariki mchungaji,nyimbo inanitiya moyo wakati nilikuwa nimekata tamaa

  • @pendothomas7258
    @pendothomas72583 жыл бұрын

    Amen."msaada wangu u karibu kuja" bado kitambo kidogo tu... Naamini tu yote yanawezekana.

  • @TumainiENgasa
    @TumainiENgasa3 ай бұрын

    Kaka hakika hakika silu 1 nitafanya huduma nawe man of god

  • @collinsnyakwarodipo2490
    @collinsnyakwarodipo2490 Жыл бұрын

    More grace,nazidi kujipa moyo ipo siku yangu

  • @Kytam96sr
    @Kytam96sr3 жыл бұрын

    If you are blessed with me from Kenya.Hit that like button and speak a blessing.🇰🇪..may Kenya have such.Glory.

  • @Kytam96sr

    @Kytam96sr

    3 жыл бұрын

    Kenya is blessed.🇰🇪

  • @bajkljs9058

    @bajkljs9058

    Жыл бұрын

    Wooo my God blessyou more and more nasikia kububujikwa na machozi kwa nyimbo zako.

  • @bajkljs9058

    @bajkljs9058

    Жыл бұрын

    Mtumishi wa Mungu simama nakazi njema ya Mungu .naamini utafanya kundi kubwa lawatu wa Mungu kuingia katika ufalme wa Mungu.mimi nikiwa wa 1

  • @moleopardonlinetv7151
    @moleopardonlinetv71513 жыл бұрын

    Mimi wa kwanza leo kutazama hii,, likes nyingi jamani, Mungu azidi kukuinua Kaka Emanuel 🔥🔥

  • @brendaochieng6963
    @brendaochieng69633 жыл бұрын

    Nimebarikiwa na nyimbo zako asante sana

  • @charleslucas3937
    @charleslucas39372 жыл бұрын

    Ahsante nmebarikiwa

  • @nickyamani7402
    @nickyamani74022 жыл бұрын

    From TikTok direct upto here the grace is sufficient 🙏🏼😭

  • @Jossywamatere2009
    @Jossywamatere20093 жыл бұрын

    👌👌👌👌 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 🔥🔥🔥🔥

  • @hafsakuila9297
    @hafsakuila92973 жыл бұрын

    🙏Mimi ni Islamic ilanajikuta huyu mrltumishi nyimbo zake zinanivuta kuzisikiliza nafarajika sana Asante ubarikie

  • @edwardjoseph6240

    @edwardjoseph6240

    2 жыл бұрын

    Hfsa naomba ubadili dini mama tafadhari utafurahi sana.

  • @fridahkarimi5510
    @fridahkarimi55103 жыл бұрын

    🇰🇪 Huku Kenya tunapenda nyimbo zako sana,mungu azidi kukupea ufunuo na annointing, powerful God vessel,nabarikiwa saaana kupitia hizo nyimbo,shalom!

  • @manyanyazakaria
    @manyanyazakaria3 жыл бұрын

    Dah bonge LA.wimbo aise

  • @gloriousn6425
    @gloriousn64252 жыл бұрын

    Namwogopa sana MUNGU aliyeweka KIPAWA hiki ndani yako, HAKIKA ANAOGOFYA SANA maana kupitia wewe namwona na kukutana naye pale nnapohisi kukata tamaa na kulemewa SICHOKI KUNGOJA MAANA BADO KITANBO KIDOGO TU ,🙏🏿🙏🏿🇹🇿🙌🏾🙌🏾🙌🏾

  • @fibymusimb7830
    @fibymusimb78302 жыл бұрын

    Hakika naamini kwamba mungu anaweza kubandilisha maisha yangu 😭😭😭😭😭😭😭😭 nimepitia sana naamini mungu yote ya wezekana😭🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @michaelmwedimage5515

    @michaelmwedimage5515

    2 жыл бұрын

    Yupo Mungu Asiye shindwa atakusaidia

  • @apostology

    @apostology

    Жыл бұрын

    Pia Mimi sitakataa tamaa

  • @frankgikaro5159
    @frankgikaro51592 жыл бұрын

    Wewe ni sauti ya mtu aliye nyikani ukisihi watu watengeneze njia ya Bwana Yesu maana yu karibu kurudi kama vile Yohana mbatizaji hata sasa Mungu amejisazia watu wa kuyanyosha mapito ya watu wake ili wakae sawa na Mungu aweze kuudhihirisha utukufu wake kwao. Barikiwa huduma yako izidi kustawi kama mierezi ya Lebanoni iliyotolewa mifano katika maandiko.

  • @danfordmahumi232
    @danfordmahumi2322 жыл бұрын

    Jipe Moyo inanibariki sana Emmanuel

  • @jeanninezawadi6834
    @jeanninezawadi68343 жыл бұрын

    Nikweli mungu akubariki sana uendeleye I naiyo shuguli yako

  • @yusuphmosessichone6984
    @yusuphmosessichone69843 жыл бұрын

    Sana mgogo

  • @hofankinyerezimsituwanyuki6020
    @hofankinyerezimsituwanyuki60202 жыл бұрын

    Waoo imekaaa vizuri Mungu yumo nani ya ujumbe.usichoke kumbusha sana

  • @lovidaddy1345
    @lovidaddy13452 жыл бұрын

    Lit bro

  • @joycekjuma7677
    @joycekjuma76772 жыл бұрын

    Napenda sana huduma yako barikiwa sana songa mbele katia jina la yesu

  • @SIFAELIMWABUKAOFFICIAL
    @SIFAELIMWABUKAOFFICIAL3 жыл бұрын

    Keep up and God bless you servant of God

  • @TeacherKevinNff

    @TeacherKevinNff

    3 жыл бұрын

    kama kuna anayenipa motisha na kuamini yesu kila muda ni wewe sifaeli na emanuel mgogo. natamani sana kuimba nanyi japo natoka j huku kenya, bado naamini mungu atanifanyia njia huko tz. NAWAPENDA SANA TZ.

  • @trizakhasungu6207

    @trizakhasungu6207

    2 жыл бұрын

    Amen mchungaji wa bwana

  • @peninaMakhaga
    @peninaMakhaga10 ай бұрын

    I'm from Kenya nyimbo zako zimekuwa za baraka kwangu

  • @dokasimwamlima3550
    @dokasimwamlima3550 Жыл бұрын

    Ubalikiwe Sana muimbaji nyimbo zako zinaujumbe Sana

  • @tumainimwaitebele8926
    @tumainimwaitebele8926 Жыл бұрын

    Hakika Yesu aliyamaliza, Ubarikiwe sana Mtumishi MUNGU

  • @joanleting5222
    @joanleting5222 Жыл бұрын

    Thanks so much for blessing my soul with your song, may God give you more and more massages

  • @asedybandamunguamlazemahal4148
    @asedybandamunguamlazemahal41483 жыл бұрын

    Ubarikiwe mtumishi ktk bwana nyimbo zinanibarik from zambia

  • @lovegpanta2894
    @lovegpanta28942 жыл бұрын

    Hakika nafurahishwa na nyimbo zako zenye ujumbe mzur......mungu aendelee kukupa maneno haya uzid kutufikishia na sisi🙏🙏🙏

  • @SiwaPius-kw1jh
    @SiwaPius-kw1jh Жыл бұрын

    Hata Mimi Siwa nyimbo hii,inanibariki sana

  • @user-yz8xu2fq8o
    @user-yz8xu2fq8o10 ай бұрын

    Babangu mungu endeley kukuinuwa kwahiyi huduma umenibariki sana papa❤❤❤❤❤❤

  • @user-ky4oy5xd3q
    @user-ky4oy5xd3q10 ай бұрын

    Endelea kumtumia mtumishi wako ee mwenyez mungu

  • @stellinamsingwa2167
    @stellinamsingwa21673 жыл бұрын

    Mungu akubariki kazi yako ninjema mungu azidikukupandisha viwango vyaju

  • @devotayohana5077
    @devotayohana50773 жыл бұрын

    Bdo unazo nguvu inuka hakika nyimbo nzur Sana nami sikati tamaa mungu nisaidie nitie nguvu

  • @adelambilinyi3625
    @adelambilinyi36253 жыл бұрын

    Barikiwa mtumishi

  • @ntakimasasaiklaff.220
    @ntakimasasaiklaff.2203 жыл бұрын

    Barikiwa baba MUNGU akuzishiye,zaidi

  • @adammichael9544
    @adammichael95443 жыл бұрын

    Cjawahi choka kusikikiza huu wimbo....kaka MUNGU azidi kukuinua

  • @carolkola1862
    @carolkola186211 ай бұрын

    Hakika yote yawekezana katika jina Lake Yesu Kristo Amen

  • @chepkoechdorcas871
    @chepkoechdorcas8713 жыл бұрын

    Mara ya kwanza kuitazama huu nyimbo....imenihimiza na kunitia moyo kabisa......ubarikiwe kaka na jamii yako🙏

  • @edmondniyonsavye2485
    @edmondniyonsavye2485 Жыл бұрын

    Asante sana kwa wimbo nzuri yakutuliza nyoyo za watu , much thanks from Abu Dhabi UAE

  • @malekanoshindai6111
    @malekanoshindai61113 жыл бұрын

    Ten minutes new song

  • @nelsonbreidon6600
    @nelsonbreidon66002 жыл бұрын

    Amen mtumishi waMungu kazi mzr ubarikiwe

  • @sarahjuma8154
    @sarahjuma81543 жыл бұрын

    Mwamini 2 yanawezekana, nan kailewa like jamani kwa Emmanuel

  • @lusasulusasu9372
    @lusasulusasu9372 Жыл бұрын

    Huwa nazielewa. Zaid nymbo za mgogo Mungu Amwinue zaid,

  • @christophermsapuka5451
    @christophermsapuka54513 жыл бұрын

    Bariwa san Mtumishi wimbo mzuri san

  • @StellamaketaMganda-im1qy
    @StellamaketaMganda-im1qy Жыл бұрын

    Nakuelewa mgogo uumbaji wako nabalikiwa sana mungu aendelee kuinua huduma yako

  • @qndassuofficially913
    @qndassuofficially9132 жыл бұрын

    Barikiwa kaka angu ni maubiri tosha kwa njia ya nyimbo hakika nimebarikiwa sana

  • @rachelkaaya5539
    @rachelkaaya55392 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu Mungu azidi kukuinuwa katika viwango vikubwa mno kiukweli uwa barikiwa sana na wimbo uu

  • @beritawambani5748
    @beritawambani57483 жыл бұрын

    Amen nafuta Subira sababu yote yawezekana kwa safari yangu kwenda saudia

  • @janenyamai4213
    @janenyamai42133 жыл бұрын

    Amen...

  • @lomnyakijames6856
    @lomnyakijames68562 жыл бұрын

    Nakukubali sana mgogo keep up the good work of lord!

  • @user-mb4od4qi2s
    @user-mb4od4qi2s9 ай бұрын

    Nimebarikiwa mnoo na hii nyimbo,umenitia moyo sana

  • @stervoncekambale7106
    @stervoncekambale71063 жыл бұрын

    Kazi djema mtumishi, Una zidisha ku jenga imani yangu

  • @olivanooraladin5436
    @olivanooraladin54363 жыл бұрын

    Yaan mgogo anaimba kwa hisia hadi raha

  • @agnesmbone231
    @agnesmbone2312 жыл бұрын

    Mungu akuzidishie Kigali mtumishi. Nyimbo zako unibariki sana

  • @royalgoldenbeautyparlour1422
    @royalgoldenbeautyparlour1422 Жыл бұрын

    Kama Kuna ndugu hunimbariki aki mwiite Emmanuel 🙏🙏 more grace brother

  • @bhatibhati2799
    @bhatibhati27993 жыл бұрын

    Nabarikiwa nanyimbo yako nikiwa omani barikiwa sana kaka

  • @NorahKemuma
    @NorahKemumaАй бұрын

    Amen amen am blessed always with your songs guve me hope barikiwa sana

  • @lovenesslema3221
    @lovenesslema32212 жыл бұрын

    Umenifariji sanaaaaaaaaaa💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞

  • @JovinessFrugence
    @JovinessFrugence3 ай бұрын

    Wew Kaka Mungu azidi kukutunza nabarikiwa Sana,,wakati nikiwa nimekata tamaa nkisikiliza nyimbo zako huwa napata falaja na amani

  • @irenegomanga8654
    @irenegomanga86543 жыл бұрын

    Hakika Mungu anakutumia kwa namna ya pekee,wimbo mzuri sana

  • @carolinsam6335
    @carolinsam63353 жыл бұрын

    Amen faith yote yawezekana hallelujah

  • @StellamaketaMganda-im1qy
    @StellamaketaMganda-im1qy Жыл бұрын

    Nakuelewa mgogo ubalikiwe sana

  • @renatusyuda4230
    @renatusyuda42302 жыл бұрын

    Hongera sana mtumishi wa mungu, mgogo mwenzangu. Pamoja tunabarikiwa.

  • @mariammlimbila2748
    @mariammlimbila27483 жыл бұрын

    Amen yote yanawezekana hongera

  • @florafesto3541
    @florafesto35413 жыл бұрын

    Amini tu mungu azidi kukupa mafunuo. Amina sana mpedwa.

  • @brigityluvandwa9054
    @brigityluvandwa90543 жыл бұрын

    Amen and amen....nimehimizika sana amen and amen ##254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @MwakabanaCompanyltd
    @MwakabanaCompanyltd3 ай бұрын

    Mungu akubaliki sana na sana

  • @soma1tv750
    @soma1tv750 Жыл бұрын

    Daaah nabalikiwa sana

  • @gallenmlenge4557
    @gallenmlenge4557 Жыл бұрын

    A very good song mtumishi, imenikumbusha wimbo uitwao Nguyizolo by Sipho Makhabane. Umeandika ujumbe mzuri sana.

  • @agathabalama2140
    @agathabalama21403 жыл бұрын

    Atanijibu kwa wakati bado kidogo amin tu yote yawezekena amina

  • @Jehovarohiband
    @Jehovarohiband10 ай бұрын

    Mungu akulinde kaka yangu hakika umebarikiwa😊

  • @elizamasangula2935
    @elizamasangula29353 жыл бұрын

    Inuka nguvu unazo uwiiiiii 🙏🙏🙏🙏

  • @francisdaniel6532
    @francisdaniel65322 жыл бұрын

    Barikiwa mtumishi wa Mungu hakika

  • @chimamychirindo2646
    @chimamychirindo26462 жыл бұрын

    Glory be to God 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 saa ya kuinuliwa kwangu inakuja barikiwa sana

  • @estherdenis8792
    @estherdenis87922 жыл бұрын

    Wow this is Amazing baba hongera sana nabarikiwa mnooooooooooooooooooooooooo

  • @aberluvanda5558
    @aberluvanda55583 жыл бұрын

    Hongera Sana mtumishi wa Mungu nabalikiwa Sana na kazi zako Taranta yako isonge mbele Zaidi katika jina La YESU KRISTO 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙋🙋

  • @asedybandamunguamlazemahal4148
    @asedybandamunguamlazemahal41483 жыл бұрын

    Tuamini ktk bwana yote yanawezekana ameni my brother

  • @eliudhezron181
    @eliudhezron1813 жыл бұрын

    Hizi sasa ndio nyimbo boss

  • @veronicabusabule4289
    @veronicabusabule4289 Жыл бұрын

    Barkiwa Sana mtumishi wa Mungu🙏🙏

  • @tindismungala677
    @tindismungala6772 жыл бұрын

    This song gives me the energy to face situations...Jesus is able!

  • @mch.deosinkala3120
    @mch.deosinkala31203 жыл бұрын

    Barikiwa saaaaana....

  • @bonimwaitege4073
    @bonimwaitege40732 жыл бұрын

    Amina Amina baba nimebarikiwa

  • @Jacquie254
    @Jacquie2542 жыл бұрын

    Ameeeeeeen ameeeeeeen

  • @rispathequeen
    @rispathequeen3 жыл бұрын

    Amina kwa hii wimbo kwani Niko kwa mapito yalio nivunja moyo🇰🇪🇶🇦

  • @lusajoloth65
    @lusajoloth65 Жыл бұрын

    Mungu ukulinde mtumish

  • @moshanaaman5588
    @moshanaaman55883 жыл бұрын

    AMINA SAFI SANA.

  • @abidandastanmaliyatabu1373
    @abidandastanmaliyatabu1373 Жыл бұрын

    Mungu akubariki unanibariki mnoo

  • @martinaawaki-pi3jk
    @martinaawaki-pi3jk7 ай бұрын

    Barikiwa mtumishi wa Mungu

  • @hhhgjjj5007
    @hhhgjjj50072 жыл бұрын

    Keep up nda god bless you servant of god

  • @notkeliromani1100
    @notkeliromani11002 жыл бұрын

    Amina Amina, barikiwa

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu68592 жыл бұрын

    Niliisubir kwa hamu hii video thanks Sana♥️♥️🙏🙏🙏

  • @hhhgjjj5007
    @hhhgjjj50072 жыл бұрын

    Mimi upenda songs sako uwasinanitiya nguvu nikiwa kazi ama kama nimejoka nikisikisa tu maparikiwa amen 🙏🙌❤♥💖

  • @magdalenawilliam2954
    @magdalenawilliam29543 жыл бұрын

    Amina barikiwa Sana mtumishi

  • @benefactorkitalika4614
    @benefactorkitalika46142 жыл бұрын

    Asante mtumishi nyimbo hii imekuja mda mwafaka kwa ajili yangu barikiwa

  • @neemacharles5502
    @neemacharles55023 жыл бұрын

    Heshima kwa Mungu wetu hakika itakuwa ivyo

  • @sterahdaris37
    @sterahdaris373 жыл бұрын

    Amina barikiwa san

Келесі