Tunaonaobarikiwa kwa nyimbo za mogogo angusha like
@jameskaka4522
7 ай бұрын
Kaka nyimbo nzuri sana .mungu ukubaliki
@annerobi13283 жыл бұрын
Wangapi wanasikiliza na kurudiarudia kama mimi, gongo like niwaone
@edinachitenje7495
3 жыл бұрын
Yaani mimi nahisi najua kuziimba nyimbo zake zote sasa Mungu azidi tu kumuinua
@neemacharles5502
3 жыл бұрын
Sapoti kaz ya bwana kwa comments za heshima wacha uhuni
@neemavavayoo35395 ай бұрын
Nyimbo imetia moyo kipindi napitia wakati mgumu Mungu akubariki mtumishi wa Mungu 🎉🎉
@OneniDavidАй бұрын
Mungu akubariki mchungaji,nyimbo inanitiya moyo wakati nilikuwa nimekata tamaa
@pendothomas72583 жыл бұрын
Amen."msaada wangu u karibu kuja" bado kitambo kidogo tu... Naamini tu yote yanawezekana.
@TumainiENgasa3 ай бұрын
Kaka hakika hakika silu 1 nitafanya huduma nawe man of god
@collinsnyakwarodipo2490 Жыл бұрын
More grace,nazidi kujipa moyo ipo siku yangu
@Kytam96sr3 жыл бұрын
If you are blessed with me from Kenya.Hit that like button and speak a blessing.🇰🇪..may Kenya have such.Glory.
@Kytam96sr
3 жыл бұрын
Kenya is blessed.🇰🇪
@bajkljs9058
Жыл бұрын
Wooo my God blessyou more and more nasikia kububujikwa na machozi kwa nyimbo zako.
@bajkljs9058
Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu simama nakazi njema ya Mungu .naamini utafanya kundi kubwa lawatu wa Mungu kuingia katika ufalme wa Mungu.mimi nikiwa wa 1
@moleopardonlinetv71513 жыл бұрын
Mimi wa kwanza leo kutazama hii,, likes nyingi jamani, Mungu azidi kukuinua Kaka Emanuel 🔥🔥
@brendaochieng69633 жыл бұрын
Nimebarikiwa na nyimbo zako asante sana
@charleslucas39372 жыл бұрын
Ahsante nmebarikiwa
@nickyamani74022 жыл бұрын
From TikTok direct upto here the grace is sufficient 🙏🏼😭
@Jossywamatere20093 жыл бұрын
👌👌👌👌 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 🔥🔥🔥🔥
@hafsakuila92973 жыл бұрын
🙏Mimi ni Islamic ilanajikuta huyu mrltumishi nyimbo zake zinanivuta kuzisikiliza nafarajika sana Asante ubarikie
@edwardjoseph6240
2 жыл бұрын
Hfsa naomba ubadili dini mama tafadhari utafurahi sana.
@fridahkarimi55103 жыл бұрын
🇰🇪 Huku Kenya tunapenda nyimbo zako sana,mungu azidi kukupea ufunuo na annointing, powerful God vessel,nabarikiwa saaana kupitia hizo nyimbo,shalom!
@manyanyazakaria3 жыл бұрын
Dah bonge LA.wimbo aise
@gloriousn64252 жыл бұрын
Namwogopa sana MUNGU aliyeweka KIPAWA hiki ndani yako, HAKIKA ANAOGOFYA SANA maana kupitia wewe namwona na kukutana naye pale nnapohisi kukata tamaa na kulemewa SICHOKI KUNGOJA MAANA BADO KITANBO KIDOGO TU ,🙏🏿🙏🏿🇹🇿🙌🏾🙌🏾🙌🏾
@fibymusimb78302 жыл бұрын
Hakika naamini kwamba mungu anaweza kubandilisha maisha yangu 😭😭😭😭😭😭😭😭 nimepitia sana naamini mungu yote ya wezekana😭🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@michaelmwedimage5515
2 жыл бұрын
Yupo Mungu Asiye shindwa atakusaidia
@apostology
Жыл бұрын
Pia Mimi sitakataa tamaa
@frankgikaro51592 жыл бұрын
Wewe ni sauti ya mtu aliye nyikani ukisihi watu watengeneze njia ya Bwana Yesu maana yu karibu kurudi kama vile Yohana mbatizaji hata sasa Mungu amejisazia watu wa kuyanyosha mapito ya watu wake ili wakae sawa na Mungu aweze kuudhihirisha utukufu wake kwao. Barikiwa huduma yako izidi kustawi kama mierezi ya Lebanoni iliyotolewa mifano katika maandiko.
@danfordmahumi2322 жыл бұрын
Jipe Moyo inanibariki sana Emmanuel
@jeanninezawadi68343 жыл бұрын
Nikweli mungu akubariki sana uendeleye I naiyo shuguli yako
@yusuphmosessichone69843 жыл бұрын
Sana mgogo
@hofankinyerezimsituwanyuki60202 жыл бұрын
Waoo imekaaa vizuri Mungu yumo nani ya ujumbe.usichoke kumbusha sana
@lovidaddy13452 жыл бұрын
Lit bro
@joycekjuma76772 жыл бұрын
Napenda sana huduma yako barikiwa sana songa mbele katia jina la yesu
@SIFAELIMWABUKAOFFICIAL3 жыл бұрын
Keep up and God bless you servant of God
@TeacherKevinNff
3 жыл бұрын
kama kuna anayenipa motisha na kuamini yesu kila muda ni wewe sifaeli na emanuel mgogo. natamani sana kuimba nanyi japo natoka j huku kenya, bado naamini mungu atanifanyia njia huko tz. NAWAPENDA SANA TZ.
@trizakhasungu6207
2 жыл бұрын
Amen mchungaji wa bwana
@peninaMakhaga10 ай бұрын
I'm from Kenya nyimbo zako zimekuwa za baraka kwangu
@dokasimwamlima3550 Жыл бұрын
Ubalikiwe Sana muimbaji nyimbo zako zinaujumbe Sana
@tumainimwaitebele8926 Жыл бұрын
Hakika Yesu aliyamaliza, Ubarikiwe sana Mtumishi MUNGU
@joanleting5222 Жыл бұрын
Thanks so much for blessing my soul with your song, may God give you more and more massages
@asedybandamunguamlazemahal41483 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi ktk bwana nyimbo zinanibarik from zambia
@lovegpanta28942 жыл бұрын
Hakika nafurahishwa na nyimbo zako zenye ujumbe mzur......mungu aendelee kukupa maneno haya uzid kutufikishia na sisi🙏🙏🙏
@SiwaPius-kw1jh Жыл бұрын
Hata Mimi Siwa nyimbo hii,inanibariki sana
@user-yz8xu2fq8o10 ай бұрын
Babangu mungu endeley kukuinuwa kwahiyi huduma umenibariki sana papa❤❤❤❤❤❤
@user-ky4oy5xd3q10 ай бұрын
Endelea kumtumia mtumishi wako ee mwenyez mungu
@stellinamsingwa21673 жыл бұрын
Mungu akubariki kazi yako ninjema mungu azidikukupandisha viwango vyaju
@devotayohana50773 жыл бұрын
Bdo unazo nguvu inuka hakika nyimbo nzur Sana nami sikati tamaa mungu nisaidie nitie nguvu
@adelambilinyi36253 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi
@ntakimasasaiklaff.2203 жыл бұрын
Barikiwa baba MUNGU akuzishiye,zaidi
@adammichael95443 жыл бұрын
Cjawahi choka kusikikiza huu wimbo....kaka MUNGU azidi kukuinua
@carolkola186211 ай бұрын
Hakika yote yawekezana katika jina Lake Yesu Kristo Amen
@chepkoechdorcas8713 жыл бұрын
Mara ya kwanza kuitazama huu nyimbo....imenihimiza na kunitia moyo kabisa......ubarikiwe kaka na jamii yako🙏
@edmondniyonsavye2485 Жыл бұрын
Asante sana kwa wimbo nzuri yakutuliza nyoyo za watu , much thanks from Abu Dhabi UAE
@malekanoshindai61113 жыл бұрын
Ten minutes new song
@nelsonbreidon66002 жыл бұрын
Amen mtumishi waMungu kazi mzr ubarikiwe
@sarahjuma81543 жыл бұрын
Mwamini 2 yanawezekana, nan kailewa like jamani kwa Emmanuel
@lusasulusasu9372 Жыл бұрын
Huwa nazielewa. Zaid nymbo za mgogo Mungu Amwinue zaid,
@christophermsapuka54513 жыл бұрын
Bariwa san Mtumishi wimbo mzuri san
@StellamaketaMganda-im1qy Жыл бұрын
Nakuelewa mgogo uumbaji wako nabalikiwa sana mungu aendelee kuinua huduma yako
@qndassuofficially9132 жыл бұрын
Barikiwa kaka angu ni maubiri tosha kwa njia ya nyimbo hakika nimebarikiwa sana
@rachelkaaya55392 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu Mungu azidi kukuinuwa katika viwango vikubwa mno kiukweli uwa barikiwa sana na wimbo uu
@beritawambani57483 жыл бұрын
Amen nafuta Subira sababu yote yawezekana kwa safari yangu kwenda saudia
@janenyamai42133 жыл бұрын
Amen...
@lomnyakijames68562 жыл бұрын
Nakukubali sana mgogo keep up the good work of lord!
@user-mb4od4qi2s9 ай бұрын
Nimebarikiwa mnoo na hii nyimbo,umenitia moyo sana
@stervoncekambale71063 жыл бұрын
Kazi djema mtumishi, Una zidisha ku jenga imani yangu
@olivanooraladin54363 жыл бұрын
Yaan mgogo anaimba kwa hisia hadi raha
@agnesmbone2312 жыл бұрын
Mungu akuzidishie Kigali mtumishi. Nyimbo zako unibariki sana
@royalgoldenbeautyparlour1422 Жыл бұрын
Kama Kuna ndugu hunimbariki aki mwiite Emmanuel 🙏🙏 more grace brother
@bhatibhati27993 жыл бұрын
Nabarikiwa nanyimbo yako nikiwa omani barikiwa sana kaka
@NorahKemumaАй бұрын
Amen amen am blessed always with your songs guve me hope barikiwa sana
@lovenesslema32212 жыл бұрын
Umenifariji sanaaaaaaaaaa💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞
@JovinessFrugence3 ай бұрын
Wew Kaka Mungu azidi kukutunza nabarikiwa Sana,,wakati nikiwa nimekata tamaa nkisikiliza nyimbo zako huwa napata falaja na amani
@irenegomanga86543 жыл бұрын
Hakika Mungu anakutumia kwa namna ya pekee,wimbo mzuri sana
@carolinsam63353 жыл бұрын
Amen faith yote yawezekana hallelujah
@StellamaketaMganda-im1qy Жыл бұрын
Nakuelewa mgogo ubalikiwe sana
@renatusyuda42302 жыл бұрын
Hongera sana mtumishi wa mungu, mgogo mwenzangu. Pamoja tunabarikiwa.
@mariammlimbila27483 жыл бұрын
Amen yote yanawezekana hongera
@florafesto35413 жыл бұрын
Amini tu mungu azidi kukupa mafunuo. Amina sana mpedwa.
@brigityluvandwa90543 жыл бұрын
Amen and amen....nimehimizika sana amen and amen ##254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@MwakabanaCompanyltd3 ай бұрын
Mungu akubaliki sana na sana
@soma1tv750 Жыл бұрын
Daaah nabalikiwa sana
@gallenmlenge4557 Жыл бұрын
A very good song mtumishi, imenikumbusha wimbo uitwao Nguyizolo by Sipho Makhabane. Umeandika ujumbe mzuri sana.
@agathabalama21403 жыл бұрын
Atanijibu kwa wakati bado kidogo amin tu yote yawezekena amina
@Jehovarohiband10 ай бұрын
Mungu akulinde kaka yangu hakika umebarikiwa😊
@elizamasangula29353 жыл бұрын
Inuka nguvu unazo uwiiiiii 🙏🙏🙏🙏
@francisdaniel65322 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu hakika
@chimamychirindo26462 жыл бұрын
Glory be to God 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 saa ya kuinuliwa kwangu inakuja barikiwa sana
@estherdenis87922 жыл бұрын
Wow this is Amazing baba hongera sana nabarikiwa mnooooooooooooooooooooooooo
@aberluvanda55583 жыл бұрын
Hongera Sana mtumishi wa Mungu nabalikiwa Sana na kazi zako Taranta yako isonge mbele Zaidi katika jina La YESU KRISTO 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙋🙋
@asedybandamunguamlazemahal41483 жыл бұрын
Tuamini ktk bwana yote yanawezekana ameni my brother
@eliudhezron1813 жыл бұрын
Hizi sasa ndio nyimbo boss
@veronicabusabule4289 Жыл бұрын
Barkiwa Sana mtumishi wa Mungu🙏🙏
@tindismungala6772 жыл бұрын
This song gives me the energy to face situations...Jesus is able!
@mch.deosinkala31203 жыл бұрын
Barikiwa saaaaana....
@bonimwaitege40732 жыл бұрын
Amina Amina baba nimebarikiwa
@Jacquie2542 жыл бұрын
Ameeeeeeen ameeeeeeen
@rispathequeen3 жыл бұрын
Amina kwa hii wimbo kwani Niko kwa mapito yalio nivunja moyo🇰🇪🇶🇦
@lusajoloth65 Жыл бұрын
Mungu ukulinde mtumish
@moshanaaman55883 жыл бұрын
AMINA SAFI SANA.
@abidandastanmaliyatabu1373 Жыл бұрын
Mungu akubariki unanibariki mnoo
@martinaawaki-pi3jk7 ай бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu
@hhhgjjj50072 жыл бұрын
Keep up nda god bless you servant of god
@notkeliromani11002 жыл бұрын
Amina Amina, barikiwa
@josephinajosephu68592 жыл бұрын
Niliisubir kwa hamu hii video thanks Sana♥️♥️🙏🙏🙏
@hhhgjjj50072 жыл бұрын
Mimi upenda songs sako uwasinanitiya nguvu nikiwa kazi ama kama nimejoka nikisikisa tu maparikiwa amen 🙏🙌❤♥💖
@magdalenawilliam29543 жыл бұрын
Amina barikiwa Sana mtumishi
@benefactorkitalika46142 жыл бұрын
Asante mtumishi nyimbo hii imekuja mda mwafaka kwa ajili yangu barikiwa
Пікірлер: 354
Tunaonaobarikiwa kwa nyimbo za mogogo angusha like
@jameskaka4522
7 ай бұрын
Kaka nyimbo nzuri sana .mungu ukubaliki
Wangapi wanasikiliza na kurudiarudia kama mimi, gongo like niwaone
@edinachitenje7495
3 жыл бұрын
Yaani mimi nahisi najua kuziimba nyimbo zake zote sasa Mungu azidi tu kumuinua
@neemacharles5502
3 жыл бұрын
Sapoti kaz ya bwana kwa comments za heshima wacha uhuni
Nyimbo imetia moyo kipindi napitia wakati mgumu Mungu akubariki mtumishi wa Mungu 🎉🎉
Mungu akubariki mchungaji,nyimbo inanitiya moyo wakati nilikuwa nimekata tamaa
Amen."msaada wangu u karibu kuja" bado kitambo kidogo tu... Naamini tu yote yanawezekana.
Kaka hakika hakika silu 1 nitafanya huduma nawe man of god
More grace,nazidi kujipa moyo ipo siku yangu
If you are blessed with me from Kenya.Hit that like button and speak a blessing.🇰🇪..may Kenya have such.Glory.
@Kytam96sr
3 жыл бұрын
Kenya is blessed.🇰🇪
@bajkljs9058
Жыл бұрын
Wooo my God blessyou more and more nasikia kububujikwa na machozi kwa nyimbo zako.
@bajkljs9058
Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu simama nakazi njema ya Mungu .naamini utafanya kundi kubwa lawatu wa Mungu kuingia katika ufalme wa Mungu.mimi nikiwa wa 1
Mimi wa kwanza leo kutazama hii,, likes nyingi jamani, Mungu azidi kukuinua Kaka Emanuel 🔥🔥
Nimebarikiwa na nyimbo zako asante sana
Ahsante nmebarikiwa
From TikTok direct upto here the grace is sufficient 🙏🏼😭
👌👌👌👌 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 🔥🔥🔥🔥
🙏Mimi ni Islamic ilanajikuta huyu mrltumishi nyimbo zake zinanivuta kuzisikiliza nafarajika sana Asante ubarikie
@edwardjoseph6240
2 жыл бұрын
Hfsa naomba ubadili dini mama tafadhari utafurahi sana.
🇰🇪 Huku Kenya tunapenda nyimbo zako sana,mungu azidi kukupea ufunuo na annointing, powerful God vessel,nabarikiwa saaana kupitia hizo nyimbo,shalom!
Dah bonge LA.wimbo aise
Namwogopa sana MUNGU aliyeweka KIPAWA hiki ndani yako, HAKIKA ANAOGOFYA SANA maana kupitia wewe namwona na kukutana naye pale nnapohisi kukata tamaa na kulemewa SICHOKI KUNGOJA MAANA BADO KITANBO KIDOGO TU ,🙏🏿🙏🏿🇹🇿🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Hakika naamini kwamba mungu anaweza kubandilisha maisha yangu 😭😭😭😭😭😭😭😭 nimepitia sana naamini mungu yote ya wezekana😭🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@michaelmwedimage5515
2 жыл бұрын
Yupo Mungu Asiye shindwa atakusaidia
@apostology
Жыл бұрын
Pia Mimi sitakataa tamaa
Wewe ni sauti ya mtu aliye nyikani ukisihi watu watengeneze njia ya Bwana Yesu maana yu karibu kurudi kama vile Yohana mbatizaji hata sasa Mungu amejisazia watu wa kuyanyosha mapito ya watu wake ili wakae sawa na Mungu aweze kuudhihirisha utukufu wake kwao. Barikiwa huduma yako izidi kustawi kama mierezi ya Lebanoni iliyotolewa mifano katika maandiko.
Jipe Moyo inanibariki sana Emmanuel
Nikweli mungu akubariki sana uendeleye I naiyo shuguli yako
Sana mgogo
Waoo imekaaa vizuri Mungu yumo nani ya ujumbe.usichoke kumbusha sana
Lit bro
Napenda sana huduma yako barikiwa sana songa mbele katia jina la yesu
Keep up and God bless you servant of God
@TeacherKevinNff
3 жыл бұрын
kama kuna anayenipa motisha na kuamini yesu kila muda ni wewe sifaeli na emanuel mgogo. natamani sana kuimba nanyi japo natoka j huku kenya, bado naamini mungu atanifanyia njia huko tz. NAWAPENDA SANA TZ.
@trizakhasungu6207
2 жыл бұрын
Amen mchungaji wa bwana
I'm from Kenya nyimbo zako zimekuwa za baraka kwangu
Ubalikiwe Sana muimbaji nyimbo zako zinaujumbe Sana
Hakika Yesu aliyamaliza, Ubarikiwe sana Mtumishi MUNGU
Thanks so much for blessing my soul with your song, may God give you more and more massages
Ubarikiwe mtumishi ktk bwana nyimbo zinanibarik from zambia
Hakika nafurahishwa na nyimbo zako zenye ujumbe mzur......mungu aendelee kukupa maneno haya uzid kutufikishia na sisi🙏🙏🙏
Hata Mimi Siwa nyimbo hii,inanibariki sana
Babangu mungu endeley kukuinuwa kwahiyi huduma umenibariki sana papa❤❤❤❤❤❤
Endelea kumtumia mtumishi wako ee mwenyez mungu
Mungu akubariki kazi yako ninjema mungu azidikukupandisha viwango vyaju
Bdo unazo nguvu inuka hakika nyimbo nzur Sana nami sikati tamaa mungu nisaidie nitie nguvu
Barikiwa mtumishi
Barikiwa baba MUNGU akuzishiye,zaidi
Cjawahi choka kusikikiza huu wimbo....kaka MUNGU azidi kukuinua
Hakika yote yawekezana katika jina Lake Yesu Kristo Amen
Mara ya kwanza kuitazama huu nyimbo....imenihimiza na kunitia moyo kabisa......ubarikiwe kaka na jamii yako🙏
Asante sana kwa wimbo nzuri yakutuliza nyoyo za watu , much thanks from Abu Dhabi UAE
Ten minutes new song
Amen mtumishi waMungu kazi mzr ubarikiwe
Mwamini 2 yanawezekana, nan kailewa like jamani kwa Emmanuel
Huwa nazielewa. Zaid nymbo za mgogo Mungu Amwinue zaid,
Bariwa san Mtumishi wimbo mzuri san
Nakuelewa mgogo uumbaji wako nabalikiwa sana mungu aendelee kuinua huduma yako
Barikiwa kaka angu ni maubiri tosha kwa njia ya nyimbo hakika nimebarikiwa sana
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu Mungu azidi kukuinuwa katika viwango vikubwa mno kiukweli uwa barikiwa sana na wimbo uu
Amen nafuta Subira sababu yote yawezekana kwa safari yangu kwenda saudia
Amen...
Nakukubali sana mgogo keep up the good work of lord!
Nimebarikiwa mnoo na hii nyimbo,umenitia moyo sana
Kazi djema mtumishi, Una zidisha ku jenga imani yangu
Yaan mgogo anaimba kwa hisia hadi raha
Mungu akuzidishie Kigali mtumishi. Nyimbo zako unibariki sana
Kama Kuna ndugu hunimbariki aki mwiite Emmanuel 🙏🙏 more grace brother
Nabarikiwa nanyimbo yako nikiwa omani barikiwa sana kaka
Amen amen am blessed always with your songs guve me hope barikiwa sana
Umenifariji sanaaaaaaaaaa💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞
Wew Kaka Mungu azidi kukutunza nabarikiwa Sana,,wakati nikiwa nimekata tamaa nkisikiliza nyimbo zako huwa napata falaja na amani
Hakika Mungu anakutumia kwa namna ya pekee,wimbo mzuri sana
Amen faith yote yawezekana hallelujah
Nakuelewa mgogo ubalikiwe sana
Hongera sana mtumishi wa mungu, mgogo mwenzangu. Pamoja tunabarikiwa.
Amen yote yanawezekana hongera
Amini tu mungu azidi kukupa mafunuo. Amina sana mpedwa.
Amen and amen....nimehimizika sana amen and amen ##254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu akubaliki sana na sana
Daaah nabalikiwa sana
A very good song mtumishi, imenikumbusha wimbo uitwao Nguyizolo by Sipho Makhabane. Umeandika ujumbe mzuri sana.
Atanijibu kwa wakati bado kidogo amin tu yote yawezekena amina
Mungu akulinde kaka yangu hakika umebarikiwa😊
Inuka nguvu unazo uwiiiiii 🙏🙏🙏🙏
Barikiwa mtumishi wa Mungu hakika
Glory be to God 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 saa ya kuinuliwa kwangu inakuja barikiwa sana
Wow this is Amazing baba hongera sana nabarikiwa mnooooooooooooooooooooooooo
Hongera Sana mtumishi wa Mungu nabalikiwa Sana na kazi zako Taranta yako isonge mbele Zaidi katika jina La YESU KRISTO 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙋🙋
Tuamini ktk bwana yote yanawezekana ameni my brother
Hizi sasa ndio nyimbo boss
Barkiwa Sana mtumishi wa Mungu🙏🙏
This song gives me the energy to face situations...Jesus is able!
Barikiwa saaaaana....
Amina Amina baba nimebarikiwa
Ameeeeeeen ameeeeeeen
Amina kwa hii wimbo kwani Niko kwa mapito yalio nivunja moyo🇰🇪🇶🇦
Mungu ukulinde mtumish
AMINA SAFI SANA.
Mungu akubariki unanibariki mnoo
Barikiwa mtumishi wa Mungu
Keep up nda god bless you servant of god
Amina Amina, barikiwa
Niliisubir kwa hamu hii video thanks Sana♥️♥️🙏🙏🙏
Mimi upenda songs sako uwasinanitiya nguvu nikiwa kazi ama kama nimejoka nikisikisa tu maparikiwa amen 🙏🙌❤♥💖
Amina barikiwa Sana mtumishi
Asante mtumishi nyimbo hii imekuja mda mwafaka kwa ajili yangu barikiwa
Heshima kwa Mungu wetu hakika itakuwa ivyo
Amina barikiwa san