Ezekiel Makililo ft Emmanuel Mgogo - NENO LAKO NI KWELI (+255745458802)
Музыка
Ukiliamini Neno la KRISTO YESU unalimaliza tatizo,kwa sababu NENO LAKE NI KWELI hajawahi kudang'anya,Anaponya NI KWELI,Baraka zinapatikana kwake NI KWELI,Wala hatuna mashaka na Neno lake kwa sababuTUMELIDHIBITISHA.Ukilia hauwezi kuliondoa tatizo ila Ukiliamini Neno la Mungu katika KRISTO YESU unalimaliza tatizo.
Nalipenda neno hili #ACHA #KULIA
ANZA KU #AMINI
Naamini Umebarikiwa sana na wimbo huu.Naomba ubonyeze Neno SUBSCRIBE unapoangalia ili uendelee kubarikiwa na Nyimbo nitakazoweka mapema mwaka huu,SUBSCRIBE pia kwa channel ya Emmanuel Mgogo.
Kwa mawasiliano kwa ajili ya huduma na mengineyo nitafute kwa namba hizi;-
+255745458802,+255679682206
facebook;Ezekiel Makililo / ezekielmak
Instagram;Ezekiel Makililo pCGrJsvqDB...
MUNGU AKUBARIKI
Пікірлер: 88
Halelluyah hatimae mekuwa wa kwanza kupata baraka hii ya kucomment ooooh yees
Wimbo mzuri sana 🎉🎉🎉 utukufu kwa Bwana 🙏
Hakika neno lake ni kweli halijawahi kwenda kinyume kama linavyosema.mbarikiwe sana,
Papaaaa njooo tuchat huku aiseeee
Nimethibitisha wala sina mashaka....Neno lako ni kwel!!
Kaka eze mtu ya baba ubarikiwe zaidi na alie juu
Hakika, NENO lake YESU KRISTO ni kweli ___ ubarikiwe mtumishi 💪
@ezekielmakililo
Жыл бұрын
Amen
Mmeubariki moyo wangu kazi yenu ni njema mbarikiwe
Wala sina mashaka! Wimbo mzuri ajabu. God bless you Ezekiel
Wimbo mtamu sana
Nakubali nduguu yangu
Good job blood bwana akupeleke pale juu
Wimbohuu naupenda sana
Nimethibitisha WAla sina mashaka kabisaaaa
Amen I barikiwa Sana mwalimu wangu NENO LAKO NI KWELI
Hongera ndugu
Ubarikiwe sanaa servant ov God🙏🙏
Neno lako ni kweli
Hakika Neno la Mungu ni kweli
Barikiwa mtumishi
Nikweri wimbo huu unanibariki Sana sichoki kuu sikiliza
Hakika neno la mungu nikwel
Papaaaaa nakuitaaaa mara tatu papaaaaa papaaaa papaaaa
Hakika Neno la Mungu ni kweli,barikiwa sana mtumishi
Aisee wimbo ni wa baraka sana huu
Wewe mtumishi wa Mungu yaani wewe ni rafiki wa Mungu, hii sauti siyo ya kawaida, au wewe ni malaika? Huu wimbo ninausikiliza siuchoki,Aiseee Uishi milele,
@ezekielmakililo
Жыл бұрын
Barikiwa sana
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu nyimbo nzr sana
Neno lako nikweli be blessed
Hakika baba neno lako ni kweli
Yesu nimwaminifu
Tunabarikiwaa
Ni kweli nimethibitisha
Kazi nzuri sana rafiki yangu Nimebarikiwa nayo
Ameeen ameeeen barkiwa Sana mtu wa Mungu
Wala sina mashaka
Wimbo mzur Sana aiseee
Ubarikiwe kwa wimbo Wenye ujumbe aswaa,!
@ezekielmakililo
9 ай бұрын
Amina
Keep it up brother
Ni kweli neno lako ni kweli
😲😲😲 WOW!!! Kazi safi sana kaka...hapa Kenya nimeuskia huu wimbo kwenye milele fm ...uinuliwe kwa kiwango Cha juu zaidi..🙏🙏
@ezekielmakililo
9 ай бұрын
Amina,mbarikiwe Kenya
Kazi nzuri sanaaaa. Ubalikiwe sana
@nuhueliaskwelimtumishmungu8253
2 жыл бұрын
Mtumish Ezekiel nabarikiwa na huduma yako kutoka moyon mwangu nakuombea tena Mungu akutumie kwa viwango vya juuuuuuh sana tembea na Mungu tembea na nguvu ya roho mtakatifu ameen
@ezekielmakililo
2 жыл бұрын
Amen
Good work
NIMETHIBITISHA NENO LAKO NI KWELI.
Hii sasa my favorite song🙌
Amina nimebarikiwa na wimbo wako,Mungu akubariki kwa huduma yako na uzidi kumtumikia yeye
Oooooh halelluyah
@mawazomussa65
2 жыл бұрын
Unanibariki Sana na nyimbo zako
ni kweli ..neno la MUNGU ni kweli
💪
Ezekiel, unaimba vizuri sana, utafika mbali sana... Damu ya Yesu na iendelee kunena mema kwa ajili yako....More grace n anointing Sir...
@ezekielmakililo
3 жыл бұрын
Amen
Kazi nzuri Sana Mungu aendelee kukutumia 👌🏾
@ezekielmakililo
2 жыл бұрын
Amen
Umeugusa moyo wang be blessed!
Hakika wewe ni mungu
Ubarikiwe Saana Kwa Wimbo Mzuri
@ezekielmakililo
3 жыл бұрын
Amen
Ni kweli
Powerful song
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU kwa nyimbo yako nzuri 🙏🙏
Ubarikiwe mwalmu wangu
Barikiwa
Kweli
Be blessed
Its been 2yrs and this song keeps ministering to me..the power and anointing in this song😭😭😭I just cant get enough of it🙏🙏il be back here to testify🙏 Bado nangoja Mungu atimize neno lake ju ya maisha yangu.AMEEN.
@ezekielmakililo
9 ай бұрын
Amen,BWANA akujibu sawa na NENO lake.Ubarikiwe sana
@imbali_janeachy
9 ай бұрын
@@ezekielmakililo AMEEN mtumishi🙏
The Music is too hot 💪💪
@mkalisimbatv1915
3 жыл бұрын
Really brother....audio production imetulia Hadi video...now let's go next level even you all are possible...
@ezekielmakililo
3 жыл бұрын
Amen
Amen
Wooooow,such a beautiful song 🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️🌺🌺🌺#acha #kulia #amini #haleluyaaaaaaaa
@ezekielmakililo
2 жыл бұрын
Amen
Nimebarikiwa sanaaaa,Mungu azidi kukuinua
@ezekielmakililo
3 жыл бұрын
Amen
@aikamichael5945
Ай бұрын
Nimethibitisha hakika neno lako ni kweli 🙏🙏🙏
Keep on moving kaKa Mungu azidi kukuinua katika viwango vya juu zaidi 🙏
Indeed, your word is YES and AMEN. Words in this song are so great and anointing, nimebarikiwa mno. Barikiwa kaka🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@ezekielmakililo
3 жыл бұрын
Amen
Ni
Nimekuja huku kusubsribe 🙂🙂
Ni kweli