NABII TITO ASHUHUDIA KILICHOMLETA BCIC-HAKUNA LISILOWEZEKANA KWA MUNGU.

Пікірлер: 383

  • @masterjay3426
    @masterjay34265 жыл бұрын

    Aliyemwona nabii Tito uso na mikono haviendani rangi, agonge like

  • @mariamjuma1068

    @mariamjuma1068

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @masterjay3426

    @masterjay3426

    5 жыл бұрын

    @@mariamjuma1068 nawe umeona ee

  • @albertludago7374

    @albertludago7374

    4 жыл бұрын

    Anatafut kiki huyu

  • @masterjay3426

    @masterjay3426

    4 жыл бұрын

    @@albertludago7374 hahaha

  • @humphreymwihambi4330
    @humphreymwihambi43305 жыл бұрын

    Namfahamu Tito Machibya na tumeongea naye uso kwa uso Dodoma. Nimemshangaa sana Mungu. Yesu ambebe Tito

  • @janelaflin5130
    @janelaflin51305 жыл бұрын

    Titto ubarikiwe sana,Mungu akusafishe uwe mtumishi wa Mungu kweli kweli

  • @carlosmgimwatv3486
    @carlosmgimwatv34865 жыл бұрын

    Hongera Sana Tito Kwakumpokea YESU Kristo

  • @halimamayunga1911

    @halimamayunga1911

    5 жыл бұрын

    Carlos Mgimwa jmn tito anatia huruma Mungu akubariki uwe mwema Amina

  • @bahatiemmanuel3963
    @bahatiemmanuel39635 жыл бұрын

    Amen nampenda YESU wangu

  • @judithnaboth7620
    @judithnaboth76205 жыл бұрын

    Mungu amtumie kwa viwango vya juu ubarikiwe sana Tito kwa kuokaka

  • @ombenisomi2210
    @ombenisomi22105 жыл бұрын

    Amen. Ni habari njema sana hii. Kwa alipokua amefikia nadhani alikua na machaguo mawili au kuokoka au kupotea. Mungu asingekubali jina lake kuchafuliwa zaidi na zaidi na kupotosha watu wake namna ile tena. Amechagua fungu jema.

  • @geofreykilasi7354
    @geofreykilasi73545 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana baba Askofu ......kondoo amerudi hallelujah

  • @gracyjerome6971

    @gracyjerome6971

    5 жыл бұрын

    kweli mungu ni mwema san

  • @mshambawamjini2671

    @mshambawamjini2671

    4 жыл бұрын

    Hahahaha kondoo amerudi hahahaha nawakati ana pakuliwa tu kama dawa kama kawa hahaha mecap mbele kwa mbele

  • @godfreylyimo4177
    @godfreylyimo41775 жыл бұрын

    Huyu ndio Yesu! Anasamehee na kututengeneza upya

  • @mshambawamjini2671

    @mshambawamjini2671

    4 жыл бұрын

    Hawezi kabisa soma yohana 12- 49 hadi mwisho kabisa soma kiucha mungu acha ubishani jifunze

  • @mussaothmani6273

    @mussaothmani6273

    4 жыл бұрын

    Tatizo hawa jamaa hawaisomi bibilia ndo maana kila kukicha wanamtegemea kiumbe .

  • @mchricharderickmtoni438
    @mchricharderickmtoni4385 жыл бұрын

    Jina la BWANA YESU KRISTO libarikiwe sana....

  • @danielmwasi4956

    @danielmwasi4956

    5 жыл бұрын

    Walio okoka mbona wamevaa hirizi bado?

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola17545 жыл бұрын

    Kutoka Kanisa la mpapaso mpaka hapo ulipofikia Dah,panachezea Mnazareti.Hakika Yesu ni mwema

  • @mussashingwa1784
    @mussashingwa17845 жыл бұрын

    ahsante mungu kwaajili ya Tito kutambua kuwa alikuwa nabii wa uongo. maana neno la mungu linasema walio wangu nawajua

  • @salmaothuman9762
    @salmaothuman97625 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂inalilah wainalilah rajium msiba huu

  • @ladiatsnzania4433

    @ladiatsnzania4433

    5 жыл бұрын

    🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Nmchka

  • @mangalamlala3516
    @mangalamlala35165 жыл бұрын

    Bless up! Glory to our lord Jesus Christ.

  • @godliverleonard1388
    @godliverleonard13885 жыл бұрын

    Amen Yesu anaweza yote

  • @jumahili8121
    @jumahili81215 жыл бұрын

    hongereni sana kwa kumpa Yesu maisha. Yote ya nyuma Yesu ameyafuta.

  • @wistonepaschal6760
    @wistonepaschal67604 жыл бұрын

    Oh, Haleluya, BWANA YESU amtie NGUVU HUYO TITO,

  • @michaelmoro4801
    @michaelmoro48015 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana kwa kumwamini Yesu katika maisha yako Kwa Yesu woye yanawezekana

  • @upendorobert7298

    @upendorobert7298

    5 жыл бұрын

    Michael Moro mbona hapo afadhali, siku za nyuma ndo ulikua mkorogo haswa

  • @calechambu2389
    @calechambu23895 жыл бұрын

    Huyu Tito bado anandanganya wokovu bado

  • @SamwelJoseph-yk3cw

    @SamwelJoseph-yk3cw

    25 күн бұрын

    Naungana na wewe

  • @segolinetingo2916
    @segolinetingo29162 жыл бұрын

    My sweetie home.napakumbuka

  • @angelherman5464
    @angelherman54645 жыл бұрын

    jaman kamke kazur jaman sijui ulimpata wapi tito huyu jaman eeeh mungu tuongoze wengine Ambao bado hatujaolewa Mungu utuoneshe wanaume Wenye kumjua mungu kani haki ya kwako!!!😮😮😮😮

  • @husseinkombe9008

    @husseinkombe9008

    5 жыл бұрын

    Nitafute angel

  • @mohammedmkomi9087
    @mohammedmkomi90875 жыл бұрын

    DAAH WAKRISTO SIJUI HAMJIJUI KAMA MUNAANGAMIZWA .WACHUNGAJI .WANAVITAMBI KUMAMAKE #SADAKA HIZO HAMKENI BHANA

  • @sulleyjones6321

    @sulleyjones6321

    5 жыл бұрын

    Huko n kuvuka mipaka kila mtu ana imani yake acha zengwe angalia upande wako

  • @lucylaswai4298

    @lucylaswai4298

    5 жыл бұрын

    Hahahahah

  • @yusuphmwakashuka711

    @yusuphmwakashuka711

    4 жыл бұрын

    Wewe unamwamini Tito mbona bado anajiita nabii

  • @happynessswai2874
    @happynessswai28745 жыл бұрын

    Mungu amsaidie asirudi nyuma,

  • @josephsimiyu5211
    @josephsimiyu52115 жыл бұрын

    Tito umefanya uamuzi wa busara pamoja na mkeo nyote Mungu awasaidie mema katika jina la Yesu Kristo amina

  • @abelsiyame7863

    @abelsiyame7863

    2 жыл бұрын

    Kiukwer mungu awasaidie awape maisha malefu

  • @erickmutungi8792
    @erickmutungi87925 жыл бұрын

    BWANA YESU KRISTO NI MUNGU ANAYETISHA SANAAAA.....PIA NI WA HURUMA SANA NA ANATUWAZIA MEMA.....MUNGU AMTIE NGUVU!

  • @barakabanseti7893

    @barakabanseti7893

    5 жыл бұрын

    erick mutungi

  • @erickmutungi8792

    @erickmutungi8792

    5 жыл бұрын

    naam

  • @harunabilali5196

    @harunabilali5196

    5 жыл бұрын

    Yesu sio mungu hata siku moja na hawezi kua mungu

  • @mustaphaibrahim368

    @mustaphaibrahim368

    5 жыл бұрын

    Pole sana

  • @sokakilumbi9293

    @sokakilumbi9293

    4 жыл бұрын

    yesu sio mungu.. ni ndugu yangu katka iman

  • @hersenmichaeli1566
    @hersenmichaeli15665 жыл бұрын

    ujumbe kwa tito jambo lililofanyiko kwako linaitwa .neema yaan wengine wanaisikia ĺakini wewe umeiona . jambo la kufaham kwa sasa wewe ni mwanafunzi. tulia jïfunze chin ya baba yako wa kiroho na njia za roho mtakatifu utaziona vizuri na atakuaminisha kwa watu.na jamii yote......Akili za Mungu Hazïchunguzik.Amen Amen

  • @emmymringo6621
    @emmymringo66215 жыл бұрын

    jina la Yesu libarikiwe.

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith54795 жыл бұрын

    OK...tunashukuru kwa ukiri!! Asante kwani upon tayari kufundishwa

  • @graphixmaster6146
    @graphixmaster61464 жыл бұрын

    Mi huwa nashangaa watu wanaomchukulia Tito serious 😀😀, hata Askofu hapa kapigwa changa la macho😂😂😂

  • @abelsiyame7863

    @abelsiyame7863

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣apana bwana kaamuwa kuokoka

  • @SamwelJoseph-yk3cw

    @SamwelJoseph-yk3cw

    25 күн бұрын

    Hahahahahaha hongera kwa kugundua mapema ujanja wa tito 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Wiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @dativadaud4300
    @dativadaud43002 жыл бұрын

    Askofu Gwajima alikusalisha toba,ukavua na cheni,leo umemkimbia tena!watumishi mna kazi.

  • @SamwelJoseph-yk3cw

    @SamwelJoseph-yk3cw

    25 күн бұрын

    Tito anamatatizo ya akili muacheni kama alivyo. MUNGU mwenyewe atajitwalia utukufu wake kwa wakati wake dhidi ya huyu kiumbe wa ajabu kweli

  • @trilionea_online_TV
    @trilionea_online_TV5 жыл бұрын

    Aisee, kumbe kweli kuna manabii wa uongo

  • @moureenmeneja7997
    @moureenmeneja79975 жыл бұрын

    Kweli hii ni habari mpasuko🤣🤣🤣🤣🤣tito weee

  • @aminakingaru5609

    @aminakingaru5609

    5 жыл бұрын

    shoga

  • @aminakingaru5609

    @aminakingaru5609

    5 жыл бұрын

    unatembea kama dem shoga mkubwa

  • @zakayokalinga7838

    @zakayokalinga7838

    4 жыл бұрын

    Moureen Meneja 😂😂😂😂😂mpasuko kweli

  • @forcedlabour3489
    @forcedlabour34895 жыл бұрын

    Kama unaamini tito anawainjoy na hata luga yake anayotumia ni ileile ya kipindi kile like

  • @chayogasperi9783

    @chayogasperi9783

    5 жыл бұрын

    Forced Labour Wewe acha uchochezi , mwenzako ananena kwa Lugha ,

  • @cavoo4get649

    @cavoo4get649

    5 жыл бұрын

    Forced Labour huyo nitapeli tu, yaani leo nimemuona anashawishi watu wanywe pombe!!!

  • @khadijamisayo7476

    @khadijamisayo7476

    5 жыл бұрын

    msumbufu tu huyo, bado hayupo vizuri akili yake

  • @kagoggoalfred2730

    @kagoggoalfred2730

    5 жыл бұрын

    Forced Labour masela wapo kazini chezea pesa wajinga ndio waliwao

  • @hassanally2847

    @hassanally2847

    5 жыл бұрын

    Forced Labour mzee wa mpapaso huyooooo

  • @aishaelias3867
    @aishaelias38674 жыл бұрын

    Mungu nakusihi umhurumie Tito, muokoe nakusihi baba mungu wangu. Mponye akawe ushuhuda kwa watu wanao mchukulia kama kituko. Ameen 🙏

  • @myself4128

    @myself4128

    3 жыл бұрын

    Muombee Mungu hana akaunt youtube

  • @ianamran3039
    @ianamran30395 жыл бұрын

    great testimony

  • @gabrielisack7786
    @gabrielisack77865 жыл бұрын

    Titooooooooooooooooooo paza sauti Bwana amesikia kuhangaika kwako.

  • @jacksonsilvery5963
    @jacksonsilvery59635 жыл бұрын

    Mungu ni mwema!nina imani hawa ni wa Mungu.Mungu uwaone hawa watu.

  • @uwezosimoni4657
    @uwezosimoni46575 жыл бұрын

    Tito ubarikiwe kumpokea yesu Kristo

  • @nurdinhemed6

    @nurdinhemed6

    5 жыл бұрын

    Vipi kuhusu marinda yake

  • @yunushamis4839
    @yunushamis48394 жыл бұрын

    Angalia mijitu inapiga makofi achen judanganywa nyie watu hvi mnaakili gani jaman hv mnamjua roho mtakatifu nyie wote nimachiz haswaaa

  • @geofreybundara2136
    @geofreybundara21365 жыл бұрын

    hakika Yesu anasamehe kwelikwel, Mungu akubariki bishop Gamanywa, utukufu kwa Mung, Najifunza kuwa haijarish unadhambi nyingi kiasi ukimwamin Yesu anakusamehe!

  • @aminiraper6264
    @aminiraper62645 жыл бұрын

    Sema huyu jamaa anamke wa pekee kweli tena mweny uvumilivu wa hali ya juu, sababu kuishi na mtu kama Tito ya hitaji moyo

  • @stahimilmassawe8540

    @stahimilmassawe8540

    5 жыл бұрын

    Kwel huyu mwanamke ni watofaut

  • @leahhassan4254

    @leahhassan4254

    4 жыл бұрын

    Ana moyo wa mnyama😂😂😂

  • @myself4128

    @myself4128

    3 жыл бұрын

    Ukijazwa ujinga na mumeo utaukimbiaje? Mumeo Taahira utamkimbia?

  • @shamsatambwe9417
    @shamsatambwe94174 жыл бұрын

    Haleluya haleluya haleluya haleluya

  • @nikitarewis2598
    @nikitarewis25985 жыл бұрын

    Jamani naona chamuhimu mumuombeye tito awe vizuli kihakili

  • @dnaofgodtv4873
    @dnaofgodtv48735 жыл бұрын

    Ajuaye ni Mungu na ndiye mmilki wa kila nafsi!

  • @marthaanton6967
    @marthaanton69675 жыл бұрын

    Haleluya asante Mungu kumbadilisha huyu baba

  • @SamwelJoseph-yk3cw
    @SamwelJoseph-yk3cw25 күн бұрын

    Hahahahahaha mie simuamuni hata chembe maana akili yake ni ya ajabu kweli

  • @behonest9964
    @behonest99645 жыл бұрын

    Yaa ALLAAH tuhurumie na utusamehe na uwongo na ujinga tunao ufanya kwenye ardhi yako na ukiamua kutukanya uwe unatuonea huruma kwa sababu kuna wengineo hawajaku kosea.

  • @leticiawilliam2323
    @leticiawilliam23232 жыл бұрын

    mungu akubaliki sana askofu

  • @josephlaizer6706
    @josephlaizer67065 жыл бұрын

    Yesu Ni Mwema

  • @mukanyataki5120
    @mukanyataki51205 жыл бұрын

    Jamani, Mungu mkubwa.... Tito kajitambua ? Asante Mungu kuokowa hii nafsi baba 😀😀😀😂😂

  • @rashidfransec2788

    @rashidfransec2788

    5 жыл бұрын

    K

  • @remijushilary3403

    @remijushilary3403

    5 жыл бұрын

    Hongera tito

  • @nikitarewis2598

    @nikitarewis2598

    5 жыл бұрын

    Mukanya Taki kweli

  • @fortunatahulilo8411
    @fortunatahulilo84115 жыл бұрын

    Huyu Titto bado ni kichaa tu

  • @lucyjohn7904
    @lucyjohn79045 жыл бұрын

    Asante Yesu Kwa kuokoa Tito

  • @mkobainnocent2368
    @mkobainnocent23685 жыл бұрын

    UJIO MPYA WA TITO, HUO MSALABA SASA,,

  • @abemampya2871
    @abemampya28715 жыл бұрын

    Jamani someni ili muokoke na mutokane na wacheni haya maigizo njooni katika njia iyonyooka. Mungu awajalie muwetayari kuja katika njia sahihi.

  • @antoinekatembo5316
    @antoinekatembo53165 жыл бұрын

    Mungu ni mkubwa kweli!!! Mwenyezi Mungu aendelea kukuokoa ndugu Tito na familia yako!

  • @abelsiyame7863

    @abelsiyame7863

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @esterbegina1022
    @esterbegina10225 жыл бұрын

    Uyu dada nae hajielewi utakuwa naupungufu wa vinjuz viwili ktk ubongo

  • @mjedengwapoizon8726

    @mjedengwapoizon8726

    4 жыл бұрын

    😂😂

  • @ndayisabamadinah8955

    @ndayisabamadinah8955

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @atashaisha8706

    @atashaisha8706

    4 жыл бұрын

    @@mjedengwapoizon8726 😅

  • @johnisrael1968
    @johnisrael19685 жыл бұрын

    Yesu Kristo hakuja kwa ajili ya wenye haki

  • @stevemboja7349

    @stevemboja7349

    4 жыл бұрын

    Muogopeni mungu

  • @patrickmtega7351
    @patrickmtega73515 жыл бұрын

    Jamani mwagopeni Mungu

  • @alexmahenge3817
    @alexmahenge38175 жыл бұрын

    Nimefurahi sana kwa Shuda nzr sana. Pia NIMEFURAHI KUMUINA ASKOFU BABA YANGU. YESU KWETU NI KIMBILIO NA NGUVU

  • @mussaothmani6273

    @mussaothmani6273

    4 жыл бұрын

    Kimbilio lako ni Mungu na c yesu maana yesu ni kiumbe kama wewe.

  • @fibimshongo4758
    @fibimshongo47585 жыл бұрын

    Tito mungu awabariki

  • @angelalphonce2962
    @angelalphonce29625 жыл бұрын

    Tito anazuga Sasa hivi Yuko mtaani na mekap Kama kawaida

  • @hildazablon3411

    @hildazablon3411

    5 жыл бұрын

    Angel Alphonce 🤣🤣🤣🤣 hawajamjua bado.. alikuwa anawaenjoy tu hapo anawang’ong’a kisogo🤣🤣

  • @hadijaabdallah5477

    @hadijaabdallah5477

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @klaragreen7999

    @klaragreen7999

    4 жыл бұрын

    😆😆😆😆😆😆

  • @demetriushenry3585

    @demetriushenry3585

    4 жыл бұрын

    Hahaha

  • @demetriushenry3585

    @demetriushenry3585

    4 жыл бұрын

    Huyu jamaa nliwah muona Dodoma km amebadilika bas makubwa

  • @reyrealbully4mumy334
    @reyrealbully4mumy3345 жыл бұрын

    Mungu amponye

  • @rehemarehama2698
    @rehemarehama26982 жыл бұрын

    👍👍👍🙏🏼🙏🏼👍👍

  • @nehemiantungu5224
    @nehemiantungu52245 жыл бұрын

    Yesu anatenda huwezi amino Kibinadamu

  • @massawejacob
    @massawejacob4 жыл бұрын

    Jama ! Jama ! Sasa kule kwa askof Gwajima ! Leo yupo huku Bwana YESU akuponye

  • @miltonjohn1402
    @miltonjohn14022 жыл бұрын

    Huyo tito ni msanii kwani hata huo ushuhuda ameongopa, siyo kweli. Kwani kama ungekuwa kweli angeacha kutembea mitaani na kuhubiri upuuzi.

  • @joakimbrivasitati8911
    @joakimbrivasitati89115 жыл бұрын

    I can't stop laughing

  • @husseinhassani4435
    @husseinhassani44354 жыл бұрын

    Mungu wasamehe wanawake maaana huyu dada kumkatikia huyu nabii tito na kuzaa nae nibonge la kazi

  • @josephatdakhala2615

    @josephatdakhala2615

    3 жыл бұрын

    Haaaaaahaaaaaa Ni kwel

  • @ismailmajala2802
    @ismailmajala28025 жыл бұрын

    Huyu sialipimwa akili na akaonekana ni kweli sio mzima leo mme mpa mwaliko kanisani kweli dunia inamambo

  • @lilianluhasi311

    @lilianluhasi311

    5 жыл бұрын

    Ni kweli hata kama walisema hana akili timamu, Mungu anaponya na anaweka mambo sawa ukimwamini na kumkimbilia

  • @HassanHassan-sr3fq

    @HassanHassan-sr3fq

    5 жыл бұрын

    Wote waongo hao huyo mwalim na huyo anaetaka kufundishwa(Tito) ila Tito alitaka zaid kiki apate cheo maisha yaendelee

  • @lizzymayengoh
    @lizzymayengoh5 жыл бұрын

    Amina

  • @dianafyondi3265
    @dianafyondi32655 жыл бұрын

    Mmmmh kazi kweli

  • @christophernzige3913
    @christophernzige39135 жыл бұрын

    Hatimaye amekutana Yesu,

  • @issabinmaryam7450
    @issabinmaryam74503 жыл бұрын

    Kwa gwajima alitoka hajaponywa kumbe..af si wanasemaga ana matatzo ya akili wana usalama..

  • @zerotohero8212

    @zerotohero8212

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣 namshukur mungu kwa neema ya uislamu🙏🙏

  • @maliethnyoni2847
    @maliethnyoni28475 жыл бұрын

    Aminaaa

  • @lamecklameck8921
    @lamecklameck89215 жыл бұрын

    balkiwa sana

  • @jojoshavu668
    @jojoshavu6685 жыл бұрын

    Duh wakristo tunaangamia...kuamin kila mtu

  • @happinessmwaipopo7426
    @happinessmwaipopo74265 жыл бұрын

    Amen

  • @renathajohanes1988
    @renathajohanes19885 жыл бұрын

    Bwana Yesu akuongoze daima

  • @shabanilyuma6637

    @shabanilyuma6637

    4 жыл бұрын

    miki ni ukwel mtupu

  • @fatumamsangi4842
    @fatumamsangi48425 жыл бұрын

    Mungu mponye Tito anateseka kwa jina la yesu L

  • @SamwelJoseph-yk3cw

    @SamwelJoseph-yk3cw

    25 күн бұрын

    Ameeeeeeeeeeeni

  • @marmon1076
    @marmon10765 жыл бұрын

    Kweli Tito wewe ulikua mtumishi wa shetan total,,,, sasa asante kwa kumpokea YESU upya kwahiyo marufuku kurudia yale maupumbavu yako ya kipindi ileeeeeeeeeee!!!! 👏👏👏👏👏

  • @robindida9670
    @robindida96705 жыл бұрын

    Nampenda yesu,ooooh yesu mwenye huruma na msamaha nani kama wewe

  • @mwitaadam8040
    @mwitaadam80405 жыл бұрын

    Yesu mtenda miujiza utukuzweeeee

  • @asueddy1465
    @asueddy14655 жыл бұрын

    Nawajua walio wangu

  • @judithkameta9157

    @judithkameta9157

    5 жыл бұрын

    asu eddy na huku upo kaka?

  • @kachawakikazi1217

    @kachawakikazi1217

    5 жыл бұрын

    duh kumbe anamke uyu jamaa

  • @samwelizetii4479

    @samwelizetii4479

    2 жыл бұрын

    Wote wasanii tu

  • @samwelizetii4479

    @samwelizetii4479

    2 жыл бұрын

    Kanisani lote halijajazwa roho mtakatifu ni Tito na mkewe tu? Kama hujui kusoma hatapicha utashindwa kutazama?

  • @asueddy1465

    @asueddy1465

    2 жыл бұрын

    @@judithkameta9157 nipo dada yangu😀😀😀

  • @mashaelieazer6120
    @mashaelieazer61205 жыл бұрын

    Haki watu wa mungu wanadanganywa bureee

  • @priscasiame9179
    @priscasiame91795 жыл бұрын

    Unaemshangilia chiz na yeye ni chiz.njoon mumuone na bii tito kaludi upya mtaan asaivi abatangaza kufilwa kwake

  • @burudaninamatukio5389
    @burudaninamatukio53892 жыл бұрын

    Mimi nilijua ni chizi kumbe Ana akili timamu mungu amjalie asirudi kwenye dini yake alioianzisha ya shetani

  • @corneliasanga49
    @corneliasanga495 жыл бұрын

    Kwakweli ulikua nabii wa uongo.. Ukue katika imani sasa

  • @angeluslijuja3408
    @angeluslijuja34085 жыл бұрын

    Askofu gamanya alinishudia mwaka 2003 pale sabasaba nanikapokea uponyaji sitamsahau mtumishi huyu

  • @samsonkusupa6809
    @samsonkusupa68095 жыл бұрын

    ebu mpeni kitengo huyo jamaa naona kama anayaweza hv

  • @officialmatambi5550
    @officialmatambi55505 жыл бұрын

    Tito bado chizi nyie

  • @kaminyogemwachelwa9884
    @kaminyogemwachelwa98845 жыл бұрын

    YESU JUUUUUUUUUUUUU💥💥💥💥💥💥

  • @bintiiomary9500
    @bintiiomary95005 жыл бұрын

    Sio kuwa ujui ulikuwa unajua kila kitu

  • @esterbegina1022
    @esterbegina10225 жыл бұрын

    Iv hawa wachungaji nao hawako timamu

  • @mshambawamjini2671

    @mshambawamjini2671

    4 жыл бұрын

    Inaonekana nimtaji ndio tatizo lao

  • @ackshuba8679
    @ackshuba86795 жыл бұрын

    nabii Tito nimemuona shemeji yuko njema

  • @iranangole7007
    @iranangole70075 жыл бұрын

    Kashachukua ela uyu nabii tito

  • @angelinamkingi8164
    @angelinamkingi81645 жыл бұрын

    Waliowake Mungu anawajua.

  • @yusufukazamba2391
    @yusufukazamba23915 жыл бұрын

    Wenye afya hawahitaji tabibu

  • @doreenchiragwile3424
    @doreenchiragwile34245 жыл бұрын

    Maskini uyo mke wake anatia HURUMA

  • @ziadaalute6836

    @ziadaalute6836

    5 жыл бұрын

    doreen chiragwile Sisi wanawake tunashida

  • @klaragreen7999
    @klaragreen79994 жыл бұрын

    Wanawake jamani Tunamijiyoyo yetu WALAHI..Mungu tusaidie sn

  • @amosiluka8233

    @amosiluka8233

    4 жыл бұрын

    Klara Green hahaha na kweli aisee

  • @jeremiahjonathan6253
    @jeremiahjonathan62535 жыл бұрын

    Joka LA kufirwa hilo

  • @franksonmzunya6965

    @franksonmzunya6965

    4 жыл бұрын

    Unanin lakn? 😂😂😂😂