NABII TITO ASHUHUDIA KILICHOMLETA BCIC-HAKUNA LISILOWEZEKANA KWA MUNGU.
Жүктеу.....
Пікірлер: 383
@masterjay34265 жыл бұрын
Aliyemwona nabii Tito uso na mikono haviendani rangi, agonge like
@mariamjuma1068
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@masterjay3426
5 жыл бұрын
@@mariamjuma1068 nawe umeona ee
@albertludago7374
4 жыл бұрын
Anatafut kiki huyu
@masterjay3426
4 жыл бұрын
@@albertludago7374 hahaha
@humphreymwihambi43305 жыл бұрын
Namfahamu Tito Machibya na tumeongea naye uso kwa uso Dodoma. Nimemshangaa sana Mungu. Yesu ambebe Tito
@janelaflin51305 жыл бұрын
Titto ubarikiwe sana,Mungu akusafishe uwe mtumishi wa Mungu kweli kweli
@carlosmgimwatv34865 жыл бұрын
Hongera Sana Tito Kwakumpokea YESU Kristo
@halimamayunga1911
5 жыл бұрын
Carlos Mgimwa jmn tito anatia huruma Mungu akubariki uwe mwema Amina
@bahatiemmanuel39635 жыл бұрын
Amen nampenda YESU wangu
@judithnaboth76205 жыл бұрын
Mungu amtumie kwa viwango vya juu ubarikiwe sana Tito kwa kuokaka
@ombenisomi22105 жыл бұрын
Amen. Ni habari njema sana hii. Kwa alipokua amefikia nadhani alikua na machaguo mawili au kuokoka au kupotea. Mungu asingekubali jina lake kuchafuliwa zaidi na zaidi na kupotosha watu wake namna ile tena. Amechagua fungu jema.
@geofreykilasi73545 жыл бұрын
Ubarikiwe sana baba Askofu ......kondoo amerudi hallelujah
@gracyjerome6971
5 жыл бұрын
kweli mungu ni mwema san
@mshambawamjini2671
4 жыл бұрын
Hahahaha kondoo amerudi hahahaha nawakati ana pakuliwa tu kama dawa kama kawa hahaha mecap mbele kwa mbele
@godfreylyimo41775 жыл бұрын
Huyu ndio Yesu! Anasamehee na kututengeneza upya
@mshambawamjini2671
4 жыл бұрын
Hawezi kabisa soma yohana 12- 49 hadi mwisho kabisa soma kiucha mungu acha ubishani jifunze
@mussaothmani6273
4 жыл бұрын
Tatizo hawa jamaa hawaisomi bibilia ndo maana kila kukicha wanamtegemea kiumbe .
@mchricharderickmtoni4385 жыл бұрын
Jina la BWANA YESU KRISTO libarikiwe sana....
@danielmwasi4956
5 жыл бұрын
Walio okoka mbona wamevaa hirizi bado?
@jescarwegoshola17545 жыл бұрын
Kutoka Kanisa la mpapaso mpaka hapo ulipofikia Dah,panachezea Mnazareti.Hakika Yesu ni mwema
@mussashingwa17845 жыл бұрын
ahsante mungu kwaajili ya Tito kutambua kuwa alikuwa nabii wa uongo. maana neno la mungu linasema walio wangu nawajua
@salmaothuman97625 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂inalilah wainalilah rajium msiba huu
@ladiatsnzania4433
5 жыл бұрын
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Nmchka
@mangalamlala35165 жыл бұрын
Bless up! Glory to our lord Jesus Christ.
@godliverleonard13885 жыл бұрын
Amen Yesu anaweza yote
@jumahili81215 жыл бұрын
hongereni sana kwa kumpa Yesu maisha. Yote ya nyuma Yesu ameyafuta.
@wistonepaschal67604 жыл бұрын
Oh, Haleluya, BWANA YESU amtie NGUVU HUYO TITO,
@michaelmoro48015 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kwa kumwamini Yesu katika maisha yako Kwa Yesu woye yanawezekana
@upendorobert7298
5 жыл бұрын
Michael Moro mbona hapo afadhali, siku za nyuma ndo ulikua mkorogo haswa
@calechambu23895 жыл бұрын
Huyu Tito bado anandanganya wokovu bado
@SamwelJoseph-yk3cw
25 күн бұрын
Naungana na wewe
@segolinetingo29162 жыл бұрын
My sweetie home.napakumbuka
@angelherman54645 жыл бұрын
jaman kamke kazur jaman sijui ulimpata wapi tito huyu jaman eeeh mungu tuongoze wengine Ambao bado hatujaolewa Mungu utuoneshe wanaume Wenye kumjua mungu kani haki ya kwako!!!😮😮😮😮
@husseinkombe9008
5 жыл бұрын
Nitafute angel
@mohammedmkomi90875 жыл бұрын
DAAH WAKRISTO SIJUI HAMJIJUI KAMA MUNAANGAMIZWA .WACHUNGAJI .WANAVITAMBI KUMAMAKE #SADAKA HIZO HAMKENI BHANA
@sulleyjones6321
5 жыл бұрын
Huko n kuvuka mipaka kila mtu ana imani yake acha zengwe angalia upande wako
@lucylaswai4298
5 жыл бұрын
Hahahahah
@yusuphmwakashuka711
4 жыл бұрын
Wewe unamwamini Tito mbona bado anajiita nabii
@happynessswai28745 жыл бұрын
Mungu amsaidie asirudi nyuma,
@josephsimiyu52115 жыл бұрын
Tito umefanya uamuzi wa busara pamoja na mkeo nyote Mungu awasaidie mema katika jina la Yesu Kristo amina
@abelsiyame7863
2 жыл бұрын
Kiukwer mungu awasaidie awape maisha malefu
@erickmutungi87925 жыл бұрын
BWANA YESU KRISTO NI MUNGU ANAYETISHA SANAAAA.....PIA NI WA HURUMA SANA NA ANATUWAZIA MEMA.....MUNGU AMTIE NGUVU!
@barakabanseti7893
5 жыл бұрын
erick mutungi
@erickmutungi8792
5 жыл бұрын
naam
@harunabilali5196
5 жыл бұрын
Yesu sio mungu hata siku moja na hawezi kua mungu
@mustaphaibrahim368
5 жыл бұрын
Pole sana
@sokakilumbi9293
4 жыл бұрын
yesu sio mungu.. ni ndugu yangu katka iman
@hersenmichaeli15665 жыл бұрын
ujumbe kwa tito jambo lililofanyiko kwako linaitwa .neema yaan wengine wanaisikia ĺakini wewe umeiona . jambo la kufaham kwa sasa wewe ni mwanafunzi. tulia jïfunze chin ya baba yako wa kiroho na njia za roho mtakatifu utaziona vizuri na atakuaminisha kwa watu.na jamii yote......Akili za Mungu Hazïchunguzik.Amen Amen
@emmymringo66215 жыл бұрын
jina la Yesu libarikiwe.
@christinewomanoffaith54795 жыл бұрын
OK...tunashukuru kwa ukiri!! Asante kwani upon tayari kufundishwa
@graphixmaster61464 жыл бұрын
Mi huwa nashangaa watu wanaomchukulia Tito serious 😀😀, hata Askofu hapa kapigwa changa la macho😂😂😂
@abelsiyame7863
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣apana bwana kaamuwa kuokoka
@SamwelJoseph-yk3cw
25 күн бұрын
Hahahahahaha hongera kwa kugundua mapema ujanja wa tito 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Wiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@dativadaud43002 жыл бұрын
Askofu Gwajima alikusalisha toba,ukavua na cheni,leo umemkimbia tena!watumishi mna kazi.
@SamwelJoseph-yk3cw
25 күн бұрын
Tito anamatatizo ya akili muacheni kama alivyo. MUNGU mwenyewe atajitwalia utukufu wake kwa wakati wake dhidi ya huyu kiumbe wa ajabu kweli
@trilionea_online_TV5 жыл бұрын
Aisee, kumbe kweli kuna manabii wa uongo
@moureenmeneja79975 жыл бұрын
Kweli hii ni habari mpasuko🤣🤣🤣🤣🤣tito weee
@aminakingaru5609
5 жыл бұрын
shoga
@aminakingaru5609
5 жыл бұрын
unatembea kama dem shoga mkubwa
@zakayokalinga7838
4 жыл бұрын
Moureen Meneja 😂😂😂😂😂mpasuko kweli
@forcedlabour34895 жыл бұрын
Kama unaamini tito anawainjoy na hata luga yake anayotumia ni ileile ya kipindi kile like
@chayogasperi9783
5 жыл бұрын
Forced Labour Wewe acha uchochezi , mwenzako ananena kwa Lugha ,
@cavoo4get649
5 жыл бұрын
Forced Labour huyo nitapeli tu, yaani leo nimemuona anashawishi watu wanywe pombe!!!
@khadijamisayo7476
5 жыл бұрын
msumbufu tu huyo, bado hayupo vizuri akili yake
@kagoggoalfred2730
5 жыл бұрын
Forced Labour masela wapo kazini chezea pesa wajinga ndio waliwao
@hassanally2847
5 жыл бұрын
Forced Labour mzee wa mpapaso huyooooo
@aishaelias38674 жыл бұрын
Mungu nakusihi umhurumie Tito, muokoe nakusihi baba mungu wangu. Mponye akawe ushuhuda kwa watu wanao mchukulia kama kituko. Ameen 🙏
Mungu ni mwema!nina imani hawa ni wa Mungu.Mungu uwaone hawa watu.
@uwezosimoni46575 жыл бұрын
Tito ubarikiwe kumpokea yesu Kristo
@nurdinhemed6
5 жыл бұрын
Vipi kuhusu marinda yake
@yunushamis48394 жыл бұрын
Angalia mijitu inapiga makofi achen judanganywa nyie watu hvi mnaakili gani jaman hv mnamjua roho mtakatifu nyie wote nimachiz haswaaa
@geofreybundara21365 жыл бұрын
hakika Yesu anasamehe kwelikwel, Mungu akubariki bishop Gamanywa, utukufu kwa Mung, Najifunza kuwa haijarish unadhambi nyingi kiasi ukimwamin Yesu anakusamehe!
@aminiraper62645 жыл бұрын
Sema huyu jamaa anamke wa pekee kweli tena mweny uvumilivu wa hali ya juu, sababu kuishi na mtu kama Tito ya hitaji moyo
@stahimilmassawe8540
5 жыл бұрын
Kwel huyu mwanamke ni watofaut
@leahhassan4254
4 жыл бұрын
Ana moyo wa mnyama😂😂😂
@myself4128
3 жыл бұрын
Ukijazwa ujinga na mumeo utaukimbiaje? Mumeo Taahira utamkimbia?
Hahahahahaha mie simuamuni hata chembe maana akili yake ni ya ajabu kweli
@behonest99645 жыл бұрын
Yaa ALLAAH tuhurumie na utusamehe na uwongo na ujinga tunao ufanya kwenye ardhi yako na ukiamua kutukanya uwe unatuonea huruma kwa sababu kuna wengineo hawajaku kosea.
@leticiawilliam23232 жыл бұрын
mungu akubaliki sana askofu
@josephlaizer67065 жыл бұрын
Yesu Ni Mwema
@mukanyataki51205 жыл бұрын
Jamani, Mungu mkubwa.... Tito kajitambua ? Asante Mungu kuokowa hii nafsi baba 😀😀😀😂😂
@rashidfransec2788
5 жыл бұрын
K
@remijushilary3403
5 жыл бұрын
Hongera tito
@nikitarewis2598
5 жыл бұрын
Mukanya Taki kweli
@fortunatahulilo84115 жыл бұрын
Huyu Titto bado ni kichaa tu
@lucyjohn79045 жыл бұрын
Asante Yesu Kwa kuokoa Tito
@mkobainnocent23685 жыл бұрын
UJIO MPYA WA TITO, HUO MSALABA SASA,,
@abemampya28715 жыл бұрын
Jamani someni ili muokoke na mutokane na wacheni haya maigizo njooni katika njia iyonyooka. Mungu awajalie muwetayari kuja katika njia sahihi.
@antoinekatembo53165 жыл бұрын
Mungu ni mkubwa kweli!!! Mwenyezi Mungu aendelea kukuokoa ndugu Tito na familia yako!
Nimefurahi sana kwa Shuda nzr sana. Pia NIMEFURAHI KUMUINA ASKOFU BABA YANGU. YESU KWETU NI KIMBILIO NA NGUVU
@mussaothmani6273
4 жыл бұрын
Kimbilio lako ni Mungu na c yesu maana yesu ni kiumbe kama wewe.
@fibimshongo47585 жыл бұрын
Tito mungu awabariki
@angelalphonce29625 жыл бұрын
Tito anazuga Sasa hivi Yuko mtaani na mekap Kama kawaida
@hildazablon3411
5 жыл бұрын
Angel Alphonce 🤣🤣🤣🤣 hawajamjua bado.. alikuwa anawaenjoy tu hapo anawang’ong’a kisogo🤣🤣
@hadijaabdallah5477
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@klaragreen7999
4 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆
@demetriushenry3585
4 жыл бұрын
Hahaha
@demetriushenry3585
4 жыл бұрын
Huyu jamaa nliwah muona Dodoma km amebadilika bas makubwa
@reyrealbully4mumy3345 жыл бұрын
Mungu amponye
@rehemarehama26982 жыл бұрын
👍👍👍🙏🏼🙏🏼👍👍
@nehemiantungu52245 жыл бұрын
Yesu anatenda huwezi amino Kibinadamu
@massawejacob4 жыл бұрын
Jama ! Jama ! Sasa kule kwa askof Gwajima ! Leo yupo huku Bwana YESU akuponye
@miltonjohn14022 жыл бұрын
Huyo tito ni msanii kwani hata huo ushuhuda ameongopa, siyo kweli. Kwani kama ungekuwa kweli angeacha kutembea mitaani na kuhubiri upuuzi.
@joakimbrivasitati89115 жыл бұрын
I can't stop laughing
@husseinhassani44354 жыл бұрын
Mungu wasamehe wanawake maaana huyu dada kumkatikia huyu nabii tito na kuzaa nae nibonge la kazi
@josephatdakhala2615
3 жыл бұрын
Haaaaaahaaaaaa Ni kwel
@ismailmajala28025 жыл бұрын
Huyu sialipimwa akili na akaonekana ni kweli sio mzima leo mme mpa mwaliko kanisani kweli dunia inamambo
@lilianluhasi311
5 жыл бұрын
Ni kweli hata kama walisema hana akili timamu, Mungu anaponya na anaweka mambo sawa ukimwamini na kumkimbilia
@HassanHassan-sr3fq
5 жыл бұрын
Wote waongo hao huyo mwalim na huyo anaetaka kufundishwa(Tito) ila Tito alitaka zaid kiki apate cheo maisha yaendelee
@lizzymayengoh5 жыл бұрын
Amina
@dianafyondi32655 жыл бұрын
Mmmmh kazi kweli
@christophernzige39135 жыл бұрын
Hatimaye amekutana Yesu,
@issabinmaryam74503 жыл бұрын
Kwa gwajima alitoka hajaponywa kumbe..af si wanasemaga ana matatzo ya akili wana usalama..
@zerotohero8212
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 namshukur mungu kwa neema ya uislamu🙏🙏
@maliethnyoni28475 жыл бұрын
Aminaaa
@lamecklameck89215 жыл бұрын
balkiwa sana
@jojoshavu6685 жыл бұрын
Duh wakristo tunaangamia...kuamin kila mtu
@happinessmwaipopo74265 жыл бұрын
Amen
@renathajohanes19885 жыл бұрын
Bwana Yesu akuongoze daima
@shabanilyuma6637
4 жыл бұрын
miki ni ukwel mtupu
@fatumamsangi48425 жыл бұрын
Mungu mponye Tito anateseka kwa jina la yesu L
@SamwelJoseph-yk3cw
25 күн бұрын
Ameeeeeeeeeeeni
@marmon10765 жыл бұрын
Kweli Tito wewe ulikua mtumishi wa shetan total,,,, sasa asante kwa kumpokea YESU upya kwahiyo marufuku kurudia yale maupumbavu yako ya kipindi ileeeeeeeeeee!!!! 👏👏👏👏👏
@robindida96705 жыл бұрын
Nampenda yesu,ooooh yesu mwenye huruma na msamaha nani kama wewe
@mwitaadam80405 жыл бұрын
Yesu mtenda miujiza utukuzweeeee
@asueddy14655 жыл бұрын
Nawajua walio wangu
@judithkameta9157
5 жыл бұрын
asu eddy na huku upo kaka?
@kachawakikazi1217
5 жыл бұрын
duh kumbe anamke uyu jamaa
@samwelizetii4479
2 жыл бұрын
Wote wasanii tu
@samwelizetii4479
2 жыл бұрын
Kanisani lote halijajazwa roho mtakatifu ni Tito na mkewe tu? Kama hujui kusoma hatapicha utashindwa kutazama?
@asueddy1465
2 жыл бұрын
@@judithkameta9157 nipo dada yangu😀😀😀
@mashaelieazer61205 жыл бұрын
Haki watu wa mungu wanadanganywa bureee
@priscasiame91795 жыл бұрын
Unaemshangilia chiz na yeye ni chiz.njoon mumuone na bii tito kaludi upya mtaan asaivi abatangaza kufilwa kwake
@burudaninamatukio53892 жыл бұрын
Mimi nilijua ni chizi kumbe Ana akili timamu mungu amjalie asirudi kwenye dini yake alioianzisha ya shetani
@corneliasanga495 жыл бұрын
Kwakweli ulikua nabii wa uongo.. Ukue katika imani sasa
@angeluslijuja34085 жыл бұрын
Askofu gamanya alinishudia mwaka 2003 pale sabasaba nanikapokea uponyaji sitamsahau mtumishi huyu
@samsonkusupa68095 жыл бұрын
ebu mpeni kitengo huyo jamaa naona kama anayaweza hv
@officialmatambi55505 жыл бұрын
Tito bado chizi nyie
@kaminyogemwachelwa98845 жыл бұрын
YESU JUUUUUUUUUUUUU💥💥💥💥💥💥
@bintiiomary95005 жыл бұрын
Sio kuwa ujui ulikuwa unajua kila kitu
@esterbegina10225 жыл бұрын
Iv hawa wachungaji nao hawako timamu
@mshambawamjini2671
4 жыл бұрын
Inaonekana nimtaji ndio tatizo lao
@ackshuba86795 жыл бұрын
nabii Tito nimemuona shemeji yuko njema
@iranangole70075 жыл бұрын
Kashachukua ela uyu nabii tito
@angelinamkingi81645 жыл бұрын
Waliowake Mungu anawajua.
@yusufukazamba23915 жыл бұрын
Wenye afya hawahitaji tabibu
@doreenchiragwile34245 жыл бұрын
Maskini uyo mke wake anatia HURUMA
@ziadaalute6836
5 жыл бұрын
doreen chiragwile Sisi wanawake tunashida
@klaragreen79994 жыл бұрын
Wanawake jamani Tunamijiyoyo yetu WALAHI..Mungu tusaidie sn
Пікірлер: 383
Aliyemwona nabii Tito uso na mikono haviendani rangi, agonge like
@mariamjuma1068
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@masterjay3426
5 жыл бұрын
@@mariamjuma1068 nawe umeona ee
@albertludago7374
4 жыл бұрын
Anatafut kiki huyu
@masterjay3426
4 жыл бұрын
@@albertludago7374 hahaha
Namfahamu Tito Machibya na tumeongea naye uso kwa uso Dodoma. Nimemshangaa sana Mungu. Yesu ambebe Tito
Titto ubarikiwe sana,Mungu akusafishe uwe mtumishi wa Mungu kweli kweli
Hongera Sana Tito Kwakumpokea YESU Kristo
@halimamayunga1911
5 жыл бұрын
Carlos Mgimwa jmn tito anatia huruma Mungu akubariki uwe mwema Amina
Amen nampenda YESU wangu
Mungu amtumie kwa viwango vya juu ubarikiwe sana Tito kwa kuokaka
Amen. Ni habari njema sana hii. Kwa alipokua amefikia nadhani alikua na machaguo mawili au kuokoka au kupotea. Mungu asingekubali jina lake kuchafuliwa zaidi na zaidi na kupotosha watu wake namna ile tena. Amechagua fungu jema.
Ubarikiwe sana baba Askofu ......kondoo amerudi hallelujah
@gracyjerome6971
5 жыл бұрын
kweli mungu ni mwema san
@mshambawamjini2671
4 жыл бұрын
Hahahaha kondoo amerudi hahahaha nawakati ana pakuliwa tu kama dawa kama kawa hahaha mecap mbele kwa mbele
Huyu ndio Yesu! Anasamehee na kututengeneza upya
@mshambawamjini2671
4 жыл бұрын
Hawezi kabisa soma yohana 12- 49 hadi mwisho kabisa soma kiucha mungu acha ubishani jifunze
@mussaothmani6273
4 жыл бұрын
Tatizo hawa jamaa hawaisomi bibilia ndo maana kila kukicha wanamtegemea kiumbe .
Jina la BWANA YESU KRISTO libarikiwe sana....
@danielmwasi4956
5 жыл бұрын
Walio okoka mbona wamevaa hirizi bado?
Kutoka Kanisa la mpapaso mpaka hapo ulipofikia Dah,panachezea Mnazareti.Hakika Yesu ni mwema
ahsante mungu kwaajili ya Tito kutambua kuwa alikuwa nabii wa uongo. maana neno la mungu linasema walio wangu nawajua
😂😂😂😂😂😂😂😂😂inalilah wainalilah rajium msiba huu
@ladiatsnzania4433
5 жыл бұрын
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Nmchka
Bless up! Glory to our lord Jesus Christ.
Amen Yesu anaweza yote
hongereni sana kwa kumpa Yesu maisha. Yote ya nyuma Yesu ameyafuta.
Oh, Haleluya, BWANA YESU amtie NGUVU HUYO TITO,
Ubarikiwe sana kwa kumwamini Yesu katika maisha yako Kwa Yesu woye yanawezekana
@upendorobert7298
5 жыл бұрын
Michael Moro mbona hapo afadhali, siku za nyuma ndo ulikua mkorogo haswa
Huyu Tito bado anandanganya wokovu bado
@SamwelJoseph-yk3cw
25 күн бұрын
Naungana na wewe
My sweetie home.napakumbuka
jaman kamke kazur jaman sijui ulimpata wapi tito huyu jaman eeeh mungu tuongoze wengine Ambao bado hatujaolewa Mungu utuoneshe wanaume Wenye kumjua mungu kani haki ya kwako!!!😮😮😮😮
@husseinkombe9008
5 жыл бұрын
Nitafute angel
DAAH WAKRISTO SIJUI HAMJIJUI KAMA MUNAANGAMIZWA .WACHUNGAJI .WANAVITAMBI KUMAMAKE #SADAKA HIZO HAMKENI BHANA
@sulleyjones6321
5 жыл бұрын
Huko n kuvuka mipaka kila mtu ana imani yake acha zengwe angalia upande wako
@lucylaswai4298
5 жыл бұрын
Hahahahah
@yusuphmwakashuka711
4 жыл бұрын
Wewe unamwamini Tito mbona bado anajiita nabii
Mungu amsaidie asirudi nyuma,
Tito umefanya uamuzi wa busara pamoja na mkeo nyote Mungu awasaidie mema katika jina la Yesu Kristo amina
@abelsiyame7863
2 жыл бұрын
Kiukwer mungu awasaidie awape maisha malefu
BWANA YESU KRISTO NI MUNGU ANAYETISHA SANAAAA.....PIA NI WA HURUMA SANA NA ANATUWAZIA MEMA.....MUNGU AMTIE NGUVU!
@barakabanseti7893
5 жыл бұрын
erick mutungi
@erickmutungi8792
5 жыл бұрын
naam
@harunabilali5196
5 жыл бұрын
Yesu sio mungu hata siku moja na hawezi kua mungu
@mustaphaibrahim368
5 жыл бұрын
Pole sana
@sokakilumbi9293
4 жыл бұрын
yesu sio mungu.. ni ndugu yangu katka iman
ujumbe kwa tito jambo lililofanyiko kwako linaitwa .neema yaan wengine wanaisikia ĺakini wewe umeiona . jambo la kufaham kwa sasa wewe ni mwanafunzi. tulia jïfunze chin ya baba yako wa kiroho na njia za roho mtakatifu utaziona vizuri na atakuaminisha kwa watu.na jamii yote......Akili za Mungu Hazïchunguzik.Amen Amen
jina la Yesu libarikiwe.
OK...tunashukuru kwa ukiri!! Asante kwani upon tayari kufundishwa
Mi huwa nashangaa watu wanaomchukulia Tito serious 😀😀, hata Askofu hapa kapigwa changa la macho😂😂😂
@abelsiyame7863
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣apana bwana kaamuwa kuokoka
@SamwelJoseph-yk3cw
25 күн бұрын
Hahahahahaha hongera kwa kugundua mapema ujanja wa tito 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Wiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Askofu Gwajima alikusalisha toba,ukavua na cheni,leo umemkimbia tena!watumishi mna kazi.
@SamwelJoseph-yk3cw
25 күн бұрын
Tito anamatatizo ya akili muacheni kama alivyo. MUNGU mwenyewe atajitwalia utukufu wake kwa wakati wake dhidi ya huyu kiumbe wa ajabu kweli
Aisee, kumbe kweli kuna manabii wa uongo
Kweli hii ni habari mpasuko🤣🤣🤣🤣🤣tito weee
@aminakingaru5609
5 жыл бұрын
shoga
@aminakingaru5609
5 жыл бұрын
unatembea kama dem shoga mkubwa
@zakayokalinga7838
4 жыл бұрын
Moureen Meneja 😂😂😂😂😂mpasuko kweli
Kama unaamini tito anawainjoy na hata luga yake anayotumia ni ileile ya kipindi kile like
@chayogasperi9783
5 жыл бұрын
Forced Labour Wewe acha uchochezi , mwenzako ananena kwa Lugha ,
@cavoo4get649
5 жыл бұрын
Forced Labour huyo nitapeli tu, yaani leo nimemuona anashawishi watu wanywe pombe!!!
@khadijamisayo7476
5 жыл бұрын
msumbufu tu huyo, bado hayupo vizuri akili yake
@kagoggoalfred2730
5 жыл бұрын
Forced Labour masela wapo kazini chezea pesa wajinga ndio waliwao
@hassanally2847
5 жыл бұрын
Forced Labour mzee wa mpapaso huyooooo
Mungu nakusihi umhurumie Tito, muokoe nakusihi baba mungu wangu. Mponye akawe ushuhuda kwa watu wanao mchukulia kama kituko. Ameen 🙏
@myself4128
3 жыл бұрын
Muombee Mungu hana akaunt youtube
great testimony
Titooooooooooooooooooo paza sauti Bwana amesikia kuhangaika kwako.
Mungu ni mwema!nina imani hawa ni wa Mungu.Mungu uwaone hawa watu.
Tito ubarikiwe kumpokea yesu Kristo
@nurdinhemed6
5 жыл бұрын
Vipi kuhusu marinda yake
Angalia mijitu inapiga makofi achen judanganywa nyie watu hvi mnaakili gani jaman hv mnamjua roho mtakatifu nyie wote nimachiz haswaaa
hakika Yesu anasamehe kwelikwel, Mungu akubariki bishop Gamanywa, utukufu kwa Mung, Najifunza kuwa haijarish unadhambi nyingi kiasi ukimwamin Yesu anakusamehe!
Sema huyu jamaa anamke wa pekee kweli tena mweny uvumilivu wa hali ya juu, sababu kuishi na mtu kama Tito ya hitaji moyo
@stahimilmassawe8540
5 жыл бұрын
Kwel huyu mwanamke ni watofaut
@leahhassan4254
4 жыл бұрын
Ana moyo wa mnyama😂😂😂
@myself4128
3 жыл бұрын
Ukijazwa ujinga na mumeo utaukimbiaje? Mumeo Taahira utamkimbia?
Haleluya haleluya haleluya haleluya
Jamani naona chamuhimu mumuombeye tito awe vizuli kihakili
Ajuaye ni Mungu na ndiye mmilki wa kila nafsi!
Haleluya asante Mungu kumbadilisha huyu baba
Hahahahahaha mie simuamuni hata chembe maana akili yake ni ya ajabu kweli
Yaa ALLAAH tuhurumie na utusamehe na uwongo na ujinga tunao ufanya kwenye ardhi yako na ukiamua kutukanya uwe unatuonea huruma kwa sababu kuna wengineo hawajaku kosea.
mungu akubaliki sana askofu
Yesu Ni Mwema
Jamani, Mungu mkubwa.... Tito kajitambua ? Asante Mungu kuokowa hii nafsi baba 😀😀😀😂😂
@rashidfransec2788
5 жыл бұрын
K
@remijushilary3403
5 жыл бұрын
Hongera tito
@nikitarewis2598
5 жыл бұрын
Mukanya Taki kweli
Huyu Titto bado ni kichaa tu
Asante Yesu Kwa kuokoa Tito
UJIO MPYA WA TITO, HUO MSALABA SASA,,
Jamani someni ili muokoke na mutokane na wacheni haya maigizo njooni katika njia iyonyooka. Mungu awajalie muwetayari kuja katika njia sahihi.
Mungu ni mkubwa kweli!!! Mwenyezi Mungu aendelea kukuokoa ndugu Tito na familia yako!
@abelsiyame7863
2 жыл бұрын
Amen
Uyu dada nae hajielewi utakuwa naupungufu wa vinjuz viwili ktk ubongo
@mjedengwapoizon8726
4 жыл бұрын
😂😂
@ndayisabamadinah8955
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@atashaisha8706
4 жыл бұрын
@@mjedengwapoizon8726 😅
Yesu Kristo hakuja kwa ajili ya wenye haki
@stevemboja7349
4 жыл бұрын
Muogopeni mungu
Jamani mwagopeni Mungu
Nimefurahi sana kwa Shuda nzr sana. Pia NIMEFURAHI KUMUINA ASKOFU BABA YANGU. YESU KWETU NI KIMBILIO NA NGUVU
@mussaothmani6273
4 жыл бұрын
Kimbilio lako ni Mungu na c yesu maana yesu ni kiumbe kama wewe.
Tito mungu awabariki
Tito anazuga Sasa hivi Yuko mtaani na mekap Kama kawaida
@hildazablon3411
5 жыл бұрын
Angel Alphonce 🤣🤣🤣🤣 hawajamjua bado.. alikuwa anawaenjoy tu hapo anawang’ong’a kisogo🤣🤣
@hadijaabdallah5477
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@klaragreen7999
4 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆
@demetriushenry3585
4 жыл бұрын
Hahaha
@demetriushenry3585
4 жыл бұрын
Huyu jamaa nliwah muona Dodoma km amebadilika bas makubwa
Mungu amponye
👍👍👍🙏🏼🙏🏼👍👍
Yesu anatenda huwezi amino Kibinadamu
Jama ! Jama ! Sasa kule kwa askof Gwajima ! Leo yupo huku Bwana YESU akuponye
Huyo tito ni msanii kwani hata huo ushuhuda ameongopa, siyo kweli. Kwani kama ungekuwa kweli angeacha kutembea mitaani na kuhubiri upuuzi.
I can't stop laughing
Mungu wasamehe wanawake maaana huyu dada kumkatikia huyu nabii tito na kuzaa nae nibonge la kazi
@josephatdakhala2615
3 жыл бұрын
Haaaaaahaaaaaa Ni kwel
Huyu sialipimwa akili na akaonekana ni kweli sio mzima leo mme mpa mwaliko kanisani kweli dunia inamambo
@lilianluhasi311
5 жыл бұрын
Ni kweli hata kama walisema hana akili timamu, Mungu anaponya na anaweka mambo sawa ukimwamini na kumkimbilia
@HassanHassan-sr3fq
5 жыл бұрын
Wote waongo hao huyo mwalim na huyo anaetaka kufundishwa(Tito) ila Tito alitaka zaid kiki apate cheo maisha yaendelee
Amina
Mmmmh kazi kweli
Hatimaye amekutana Yesu,
Kwa gwajima alitoka hajaponywa kumbe..af si wanasemaga ana matatzo ya akili wana usalama..
@zerotohero8212
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 namshukur mungu kwa neema ya uislamu🙏🙏
Aminaaa
balkiwa sana
Duh wakristo tunaangamia...kuamin kila mtu
Amen
Bwana Yesu akuongoze daima
@shabanilyuma6637
4 жыл бұрын
miki ni ukwel mtupu
Mungu mponye Tito anateseka kwa jina la yesu L
@SamwelJoseph-yk3cw
25 күн бұрын
Ameeeeeeeeeeeni
Kweli Tito wewe ulikua mtumishi wa shetan total,,,, sasa asante kwa kumpokea YESU upya kwahiyo marufuku kurudia yale maupumbavu yako ya kipindi ileeeeeeeeeee!!!! 👏👏👏👏👏
Nampenda yesu,ooooh yesu mwenye huruma na msamaha nani kama wewe
Yesu mtenda miujiza utukuzweeeee
Nawajua walio wangu
@judithkameta9157
5 жыл бұрын
asu eddy na huku upo kaka?
@kachawakikazi1217
5 жыл бұрын
duh kumbe anamke uyu jamaa
@samwelizetii4479
2 жыл бұрын
Wote wasanii tu
@samwelizetii4479
2 жыл бұрын
Kanisani lote halijajazwa roho mtakatifu ni Tito na mkewe tu? Kama hujui kusoma hatapicha utashindwa kutazama?
@asueddy1465
2 жыл бұрын
@@judithkameta9157 nipo dada yangu😀😀😀
Haki watu wa mungu wanadanganywa bureee
Unaemshangilia chiz na yeye ni chiz.njoon mumuone na bii tito kaludi upya mtaan asaivi abatangaza kufilwa kwake
Mimi nilijua ni chizi kumbe Ana akili timamu mungu amjalie asirudi kwenye dini yake alioianzisha ya shetani
Kwakweli ulikua nabii wa uongo.. Ukue katika imani sasa
Askofu gamanya alinishudia mwaka 2003 pale sabasaba nanikapokea uponyaji sitamsahau mtumishi huyu
ebu mpeni kitengo huyo jamaa naona kama anayaweza hv
Tito bado chizi nyie
YESU JUUUUUUUUUUUUU💥💥💥💥💥💥
Sio kuwa ujui ulikuwa unajua kila kitu
Iv hawa wachungaji nao hawako timamu
@mshambawamjini2671
4 жыл бұрын
Inaonekana nimtaji ndio tatizo lao
nabii Tito nimemuona shemeji yuko njema
Kashachukua ela uyu nabii tito
Waliowake Mungu anawajua.
Wenye afya hawahitaji tabibu
Maskini uyo mke wake anatia HURUMA
@ziadaalute6836
5 жыл бұрын
doreen chiragwile Sisi wanawake tunashida
Wanawake jamani Tunamijiyoyo yetu WALAHI..Mungu tusaidie sn
@amosiluka8233
4 жыл бұрын
Klara Green hahaha na kweli aisee
Joka LA kufirwa hilo
@franksonmzunya6965
4 жыл бұрын
Unanin lakn? 😂😂😂😂