Mtikila Achambua Wagombea Uraisi

Mchungaji Mtikila awachambua wagombea uraisi wa CCM na Chadema na ahadi zao za kutoa elimu bure kama vipaumbele vyao.

Пікірлер: 21

  • @chibedechemical2111
    @chibedechemical21115 жыл бұрын

    Ulikua mkweli na unaona mbali Sana mchungaji!!lait ungekuepo mpaka Sasa Kuna nyumbu wamejiyokeza miaka hii kwenye upinzani wangesema umenunuliwa rest in paradise bishop

  • @hawa8055
    @hawa80558 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu ailaze roho yako pali pema.

  • @Ommylayzah_tz
    @Ommylayzah_tz3 жыл бұрын

    2021 Lowasa bado anadunda duh kwel Mungu hapangiwi

  • @rosemengo8348
    @rosemengo83488 жыл бұрын

    Mungu akusamehe mchungaji cjui ulikuwa wa kanisa gani,eti mkataa pema pabaya panamuita,lowasa bado anaitwa na wema,bado anapambana,we msalimie nyerere na filikunjombe na wengine wote

  • @thomasgogomoka6404
    @thomasgogomoka640411 ай бұрын

    Hii hotuba ilishiba madini sana huenda ndiyo ilisababisha maisha yake kuwa hatarini hadi kupoteza maisha. Pumzika kwa amani Mchungaji mtikila

  • @mwajumamapunda624
    @mwajumamapunda6248 жыл бұрын

    R.I.P.MCHUNGAJI umeongea point za maana kweli yan mbele yk nyuma yetu km elimu bule na izi shule za praivet zitatoa elim bule mtikilq kaongea point xn wote wanafki ahaaaaaaaaaa pumzika kwa aman baba

  • @godfreykalonga7207
    @godfreykalonga72078 жыл бұрын

    Daima hukumu dunian sio mbinguni. Ujinga wa ujanani ndio umaskini wa uzeeni mungu akulaze pema pepon

  • @bahatimutatwa8719
    @bahatimutatwa87198 жыл бұрын

    UMEONGEA UKWELI MUNGU AKUBARIKI SANA NA AKULAZA MAHALI PEMA, MWENYE KUWA NA SIKIO NA ASIKIE, VIZURI

  • @williamsiloma2542
    @williamsiloma25428 жыл бұрын

    RIP Mchungaji

  • @hamadombeevents2869
    @hamadombeevents28698 жыл бұрын

    R.I.P mtumishi ila hauna cha kujibu mbele ya mungu kwani hakuna mtu mwenye dhambi isiyo sameheka na akuna anae penda kuwa na maradhi

  • @hussenalybink8567
    @hussenalybink85678 жыл бұрын

    R. I. P mtumishi

  • @salehlofy4251
    @salehlofy42518 жыл бұрын

    Mimi ni muislam lakn mtikila namkubali sana kwasabab anapenda haki sijui kwanini watu wazuri hawapati vyeo vikubwa, Mungu amsamehe makosa yake na amuingize peponi

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything3 жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @linuskalungwana2875
    @linuskalungwana28758 жыл бұрын

    R.I.P

  • @shuleyetutv2090
    @shuleyetutv20908 жыл бұрын

    wewe tangulia tu ulidhani Lowassa angetangulia. Mungu si athumani na iwe fundisho kwa wenye akili kama zako. dhambi yako inakufuata nyuma.

  • @jelasnkoma4240
    @jelasnkoma42408 жыл бұрын

    R.I.P mchungaji

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day1095 жыл бұрын

    Alikuwa anachonga! RIP

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani Жыл бұрын

    Magabacholi..🤣

  • @khatibumwalimu591
    @khatibumwalimu5913 жыл бұрын

    Mimi nakushukuru wewe ulie tukumbusha habari hii ya mtikila na tumepata picha ya rais ajayo, aliyoyasema karibu yote magufuli ndio anayotekeleza isipokuwa la ubaguzi hilo marehemu aliteleza maana sisi wenyewe ndugu zetu wengi wapo nje nchimbali mbali nao wanyanyaswe? Pumzika kwa amani tunakushukuru sana kwa maoni yako

  • @linuskalungwana2875
    @linuskalungwana28758 жыл бұрын

    R.I.P

  • @rashidyrashidy3923
    @rashidyrashidy39233 жыл бұрын

    R.I.P