PART 1: JAMES MBATIA, NILIKUA NATUMIKA NA MAGUFULI?/SERIKALI IMEFANYA NJAMA KUNING'OA NCCR

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media

Пікірлер: 23

  • @mcpetitkisinini681
    @mcpetitkisinini681Ай бұрын

    Interview kali sana

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662Ай бұрын

    Hongera sana Mbatia endelea kusimamia kupigania Tanganyika.

  • @Commentsplus
    @CommentsplusАй бұрын

    Wamevaa sout za kufanana ujue

  • @luhasamaligo7907
    @luhasamaligo7907Ай бұрын

    Mtu mmoja makini sana Joseph Francis Mbatia

  • @habyhabib7538
    @habyhabib7538Ай бұрын

    Unajua unapoiangalia tanzania ,unaiona tanzania,tunahitaji wanasiasa makini ambao wanaokua na uchungu juu ya utaifa wetu wa tanzania,ni moja wapo ya tunu na mentor wa wanasiasa wengne ambao wako sehem fulani,tunachotaman wananchi nikuona taifa linafika wapi, Kwa kumaliza hakuna binadam mkamilifu,tamat kabisa kabisa tunahtaj tanzania salama,tusiache kutoa elimu sahihi ya utafakar juuu ya uzalendo

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1bАй бұрын

    Majanga zaidi bwana mbatia ni machinga ccm iliyo mwagwa barabarani hao ndio wataleta vyama wakishika panga hawataludi nyumba asante

  • @tobiaspaul9203
    @tobiaspaul9203Ай бұрын

    Roly mode wangu

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1bАй бұрын

    Hamuna haki Tanzania labda makonda au silaa wawe maraisi ndio haki itapatikana

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814Ай бұрын

    NCCR mageuzi ilianzishwawaka 1992 na sio 1993

  • @luhasamaligo7907
    @luhasamaligo7907Ай бұрын

    Yoooh

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1bАй бұрын

    Yuniform kijani kabisa

  • @loningoletayo8453
    @loningoletayo8453Ай бұрын

    Nilikuwa nakukubqli sana ukiotoa ufafanuzi juu ya majanga ya kiaifa

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662Ай бұрын

    Sasa yeye aliemtoa Mbatia amenya nini ? Yeye huyo yuko kwa ajili ya CCM that is all

  • @medinaser9712
    @medinaser9712Ай бұрын

    Muheshimiwa mbatia ni hazina ya taifa .....kwanini asiende atc wazalendo ...kwa siasa zake panamfaa sana kwa anaendana na siasa zake za kistarabu

  • @m.s.nyerere476
    @m.s.nyerere476Ай бұрын

    Huyu mzee ana uwezo mkubwa! Much love to him!!

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1bАй бұрын

    Ili Walpole vizuli

  • @charlessolomon5928
    @charlessolomon5928Ай бұрын

    mbatia nampenda saana ila goli alilopo halifungiki

  • @Swahili360
    @Swahili360Ай бұрын

    Into 👍🏾🔥🔥🔥🔥🫡

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1bАй бұрын

    Tanzania hamuna upinzani wote ni chawa wa chama chamapinduzi mustuni hawawezi

  • @saturinimushi4746
    @saturinimushi4746Ай бұрын

    Kama Siyo Migogoro ya Ndani Kupitia Wanasiasa Mamluki Vyama Vya Upinzani Tanzania Vingekuwa na Nguvu sana Kwa Sababu ya Hazina Ya Viongozi Wasomi Wenye Akili sana. Shida kubwa ni Usaliti. What? Goes Around Comes Around. Wewe Na Yule Mch. Aliyekuwa Mw.Kiti Wa Kanda ya Nyasa Uwezo Mnao. Tatizo kubwa ni kutanguliza Maslai Binafsi na Maslai ya Wachache kwa Baadhi ya Viongozi wa Vyama Vya Siasa.

  • @yugemasanza1008
    @yugemasanza1008Ай бұрын

    Kwa kweli wewe ni zaidi ya Lissu na akina Mbowe

  • @ezekielkiduge8730

    @ezekielkiduge8730

    Ай бұрын

    Wewe ni chawa kama chawa wengine ni nani asiyekujua!!!!!!

  • @michaelaloyce2072
    @michaelaloyce2072Ай бұрын

    Stupid interview

Келесі