No video

WANANCHI Wachanganyikiwa na HOTUBA ya MAGUFULI , Wajuta Wamuomba MSAMAHA...

WANANCHI Wachanganyikiwa na HOTUBA ya MAGUFULI , Wajuta Wamuomba MSAMAHA...
Baada ya Rais Magufuli kuhutubia na Kulivunja Bunge leo Juni 16, Wananchi wametoa Maoni yao juu ya ya hotuba hiyo....
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Пікірлер: 292

  • @katherinesubira2724
    @katherinesubira27244 жыл бұрын

    Raisi magufuli haitaji kampeni.kura yangu nilishampatia kitambo sana .wanaoniunga mkono likes hapa👇tujuane

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni42584 жыл бұрын

    Wa Tanzania 🇹🇿 wame anza kujitambua sasa asante sana Rais John Pombe Magufuli Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu endelea kuongoza Nchi yetu ha miaka 💯

  • @mariamali1887
    @mariamali18874 жыл бұрын

    Hongera magufuli. Mimi naishi ulaya. Juzi tulikua tunakikao kazini. Wazungu wakawa wanamuongelea magufuli. Wakawa wanasema.waafrika kama wanaakili wamshikilie huyo rais kwa mikono 2 ataikomboa afrika vile anasema itakua kama ulaya ni kweli .wazungu wenyewe wanamfagilia.

  • @emmanuelbonifase1114

    @emmanuelbonifase1114

    4 жыл бұрын

    Safi tunaelewa Sana'a

  • @holyangel4896

    @holyangel4896

    4 жыл бұрын

    Usidanganywe kabisa. Hakuna mzungu anaependa maendeleo ya Afrika. Ndio maana akitikea kiongozi mwenye upeo wa kuona mbali atapigwa vita na kutafutiwa visa. Angalia kilichotokea Libya, Egypt n.k

  • @martinhinda5233

    @martinhinda5233

    4 жыл бұрын

    Mkuu uko ulaya nchi gani??

  • @holyangel4896

    @holyangel4896

    4 жыл бұрын

    Watakwambia hivyo hapo usoni. Kwani Afrika ikiendelea wao wanafaidika nini?. Mbinu zao zinafuniliwa taratibu tuu, tuendelee kusali kwa Mungu wetu

  • @belindamadata7862
    @belindamadata78624 жыл бұрын

    Mungu ni mwaminifu wakati wote,Mungu ibariki Tanzania,Mungu tupe afya njema tushuhudie maono makubwa

  • @tanzanian8847
    @tanzanian88474 жыл бұрын

    Daaah! It amazing. Kwanza watu wanavyo chambua mambo ya rais magufuli. Mpaka raha yaani. Jamaa kasema. ' anajilaumu kwanini hakumpa kura'🤣

  • @joshuamatagane8105
    @joshuamatagane81054 жыл бұрын

    Hongereni sana Watanzania kwa kuwa na Rais mcha Mungu, mshukuruni Mungu.

  • @saidjuma9389
    @saidjuma93894 жыл бұрын

    Ni bora magufuli aongoze tanzania hadi mwisho wa dunia mana huyu mtu ni talent sana congratulation baba lao JPM

  • @evodiusmbilla
    @evodiusmbilla4 жыл бұрын

    The Best President ever in this world, full of purity in His heart

  • @abubakarihamissi4178

    @abubakarihamissi4178

    4 жыл бұрын

    The best president?? ame create ajira ngapi kwa wananchi walio wasomi na wasio wasomi!! na je walioajiriwa ktk mashirika binafsi wametetewa je coz tunajua wanafanya kazi ktk viwanda hali zao ni duni sn na wala hawana mikataba wengi wao, ss unaposema ni raisi bora hebu jaribu kujustify msiendeshwe na media kumpamba mtu ilihali watu wana hali mbaya but wanahofia kuongea tatizo kubwa pia la watanzania wengi ni wavivu wa kusoma na kuelewa mambo huwezi kusema ni raisi bora wakati watu still wana hali mbaya

  • @reginapaschali1148
    @reginapaschali11484 жыл бұрын

    Huyu ni baba yetu nampenda Sana mungu akupe maisha marefu miaka ,1000

  • @dianaanyova4026
    @dianaanyova40264 жыл бұрын

    Magufuli,hongera,Rais wa Wanyonge, Heri ungekuwa huku kwetu Kenya..Nakupenda bure.

  • @emmanuelbonifase1114

    @emmanuelbonifase1114

    4 жыл бұрын

    Najua wakenya mnamuitaji Sana'a pamoja muombeni mungu atawapaa

  • @dianaanyova4026

    @dianaanyova4026

    4 жыл бұрын

    Heri nihamie tu Tanzania

  • @abuufauzan8620

    @abuufauzan8620

    4 жыл бұрын

    @@dianaanyova4026 hbr

  • @dullybattestz826

    @dullybattestz826

    4 жыл бұрын

    Actually, nawapenda sana wakenya kama wewe. Tupendane tu coz hakuna anayeishi peponi kati yetu

  • @jamesmasome359
    @jamesmasome3594 жыл бұрын

    Nimewasikiliza watu mnaojitambuwa Asante sana.

  • @presseg.6362
    @presseg.63624 жыл бұрын

    Tanzania wenye akili ni wengi Sana, safi sana JPM juuuuuuuu

  • @philipoinzag2379
    @philipoinzag23794 жыл бұрын

    Mie sio CCM lakini kwa jpm aedelee kuongoza hata miaka kumi 10 Tena sifikirii kama tutapata Rais kama makufuli Tena

  • @angelamarlow510

    @angelamarlow510

    4 жыл бұрын

    Ww ni mzalendo kwanza sio ccm lkn umeongea vyema mpendwa

  • @EK-kp2np
    @EK-kp2np4 жыл бұрын

    Naamini wapinzani wanakufa na tai shingoni, ila nawashauri kuwa “kheri lawama kuliko fedheha”;watamke tu kuwa MAGUFULI BABA LAO🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳

  • @deussamson293

    @deussamson293

    4 жыл бұрын

    Mwaka huuu kuna watu wataaibika baada ya kura kupigwa

  • @emmanuelbonifase1114

    @emmanuelbonifase1114

    4 жыл бұрын

    Awa wanangoja akitoka madarakani utaskia alikua the best we subiri tuu

  • @remigiusmwageni6274

    @remigiusmwageni6274

    4 жыл бұрын

    Mimi nishatamka kuwa magufuli baba lao next time kura yangu haipotei Tena

  • @djmeza411a58

    @djmeza411a58

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣👌wambie watarudi tu aibu wanayo mbowe bado anapata ya hangover

  • @faustinemavere1450
    @faustinemavere14504 жыл бұрын

    Watu wa arusha mmenifurahisha sana yaani rais wetu Mungu akubariki sana watu wa ar umetufurahisha sana kura za nďio baba huna mpinzani hao wengine wanachechemea tu

  • @tanzanian8847
    @tanzanian88474 жыл бұрын

    Naomba watu tusiishie tu kumsifia JPM. Naomba twende tukampigie kura hiyo October.

  • @hanifahassan9138
    @hanifahassan91384 жыл бұрын

    Ila hongera Sana KWA kuwa Rais makini kura yangu nitakupa si lazima unilipe kitu Amani ya nchi yatosha kuwa malipo tuhangaikie kazi tz tumekosa ajira baba

  • @christopherkashumba350
    @christopherkashumba3504 жыл бұрын

    MAGUFULI NI RAIS WA KIKWELIKWELI UMPENDE UMCHUKIE HISTORIA ITAJIANDIKA YENYEWE.

  • @ashamwandu3781
    @ashamwandu37814 жыл бұрын

    Acheni mungu aitwe mungu.kuna nguvu ndani yk magufuli,mie kula yangu haikupotea.Hakiyamungu nilihisi tu aataiweka Ichi yetu vizuri .naleo tunashuhidia .kwakweli tumshukuru mungu,nakumuombea dua njema.Nakupenda mno rais wangu kipenzi.

  • @raibethnicholaus1493

    @raibethnicholaus1493

    4 жыл бұрын

    Jpm 100%

  • @florashauri9228
    @florashauri92284 жыл бұрын

    Hakika tuna takiwa tumshukuru sanaaa Mungu kwa kutupa Rais mwenye weledi na upeo wa hali ya juu.Naomba tumpe miaka mingine mitano atufanyie mambo makubwa zaidi katika jina la Yesu Kristo wa Nazareti,Mungu aendelee kumlinda na kumpigania

  • @kelvinjohn6851
    @kelvinjohn68514 жыл бұрын

    Naona aibu, najisikia vibaya kwanini sikumpa kura yangu enzi za mabadiliko. Inamaana sikuyaona mabadiliko ya nchi yangu yapo wapi??? 😟😟😟😞. Rais Magufuli nisamehe sana. Mwaka huu sitofanya makosa lazima upite kwa kishindo. Unatujali sana Raia wako. Unatupenda mno na sisi tunakupenda Dad.

  • @salmadalaquimane2364
    @salmadalaquimane23644 жыл бұрын

    Kabsaaaa kuna nguvu ndan yake viva JPM vivaaaa

  • @johnkairithia9713
    @johnkairithia97134 жыл бұрын

    kweli huyu ni raid was watu kabisa kabisa nikipata fursa ningekata nauli nine nimupigie kura ,nirundi kwetu Kenya tena .hongera raisi mafukuli.!!!

  • @shikaneno8861
    @shikaneno88614 жыл бұрын

    Sio endapo tutamchagua achaguliwe asichaguliwe lazima aongoze hakna mjadala atakaye mkwamisha atakwamishwa

  • @ashamwandu3781

    @ashamwandu3781

    4 жыл бұрын

    Hakuna mwingine ni magufuli

  • @henryndosi1114

    @henryndosi1114

    4 жыл бұрын

    Wapinzani uchwara kina zitto na genge lake wapate salam

  • @dicksonmatulile1523

    @dicksonmatulile1523

    4 жыл бұрын

    Huyu jamaa akae tu km Mugabe

  • @hanifahassan9138
    @hanifahassan91384 жыл бұрын

    Kma uko pamoja na mawazo yangu gonga like twende pmja

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph49734 жыл бұрын

    Kweli kabisa. Kaka Acha mungu aitwe mungu kiukweli hata mm 2015 nilikua sipo tz kwahiyo siku chagua pia ktk watu wa serikali nilikua sijui mtu aitwae magufuli lkn baada ya uchaguzi nilichungulia tz nilipo oona aliyeshinda ni CCM ingawa siku jua nilikasilika sana lkn kumbe mawazo anayotuwazia mungu ni mawazo ya amani wala sia mabaya nawashukuru wote waliyoongozwa kumchagua jpm wakati huo

  • @hamyou2579
    @hamyou25794 жыл бұрын

    Wadugu zangu wa tazania mm siko mtazania ila kwa raisi JPM na mm na mkubali

  • @jacobgasper8623

    @jacobgasper8623

    4 жыл бұрын

    Anafanya kaz nzur kaka

  • @jacobgasper8623
    @jacobgasper86234 жыл бұрын

    Huyo ndo raix wetu John uko juu

  • @saimonjulius1319
    @saimonjulius13194 жыл бұрын

    Una rais anautubia masaa mawili bila kusoma yote yapo kichwani hadi namba za samaki waliopo baharini na ziwani.

  • @wardajoseph6909
    @wardajoseph69094 жыл бұрын

    Msijute 2020 mpeni kura zenu ni rais mzuri sana tujivunie tumchague magufuli kwa kishindo kikubwa

  • @salmadalaquimane2364
    @salmadalaquimane23644 жыл бұрын

    Viva magu vivaaa

  • @oman7710
    @oman77104 жыл бұрын

    Mungu ibariki Tanzania ,Mungu wabarik viongozi wetu

  • @rogerslaurence2235
    @rogerslaurence22354 жыл бұрын

    Asante asante! Huyo ndiye jpm mtumishi wa Mungu

  • @imunyapato4319
    @imunyapato43194 жыл бұрын

    Apewe 100 kwa 100 Niko kenya

  • @nicethamanonga5855
    @nicethamanonga58554 жыл бұрын

    Chadema kwisha habari yake .mpaka watu wa chuga wamemkubali jpm mambo ni motoooooo

  • @abdillahiyusuf9557
    @abdillahiyusuf95574 жыл бұрын

    Mm ni Abdillahi Salim.kutoka Mombasa Kenya. Niko naswali. Jee naweza kumpigia kura raisi MAGUFULI?

  • @dullybattestz826

    @dullybattestz826

    4 жыл бұрын

    Bro tunashukuru kwa upendo wako. Bahati mbaya haitawezekana, but we love you KENYANS

  • @eliajoseph6865
    @eliajoseph68654 жыл бұрын

    Sijaona raise wa kumfananisha na JPMdunia mzima MNGU akubaliki

  • @jenyyusuph4973

    @jenyyusuph4973

    4 жыл бұрын

    Kiukweli kwenye Dini kwenye serkali kwa ninaowajua mm mungu hajawahi kutujalia anayefana a na magufuli yani kila jambo alilolifanya naiona ni kubwa mno sioni Hata dogo nikitafakari amepata wapi hakili ya kufanya pesa za sherehe ya uhuru zitumike kujenga taifa badili ya Kula watu wachache Nashangaa nikitafakari anaweza je kupambana na wazungu wanaomzidi kila kitu pesa mabunduki kwaajili ya chawote wa tz na shangaa eee yani anatupenda anatupenda mno ajabu

  • @mohamedissa6017

    @mohamedissa6017

    4 жыл бұрын

    Ivo ni raisi gani kama magu?.magufuli uko juu. Mzee huna haja ya kumaliza pesa kwenye kampeni. Umepita subili tu kaapishwa.

  • @emmanuelbonifase1114

    @emmanuelbonifase1114

    4 жыл бұрын

    No one like JPM in the word safii akunaga

  • @venstonvedasto

    @venstonvedasto

    4 жыл бұрын

    Huyu ni Elia Joseph nnayemjua au

  • @newbornhaule1635

    @newbornhaule1635

    4 жыл бұрын

    nngemwomba mheshimiwa Rais asizunguke kuomba kura sisi Watanzania Mzee ni Msomi kuliko wote Duniani maana anatuaminisha kwa Mungu

  • @piuskusekwa3128
    @piuskusekwa31284 жыл бұрын

    Hongera jpm

  • @saimonjulius1319
    @saimonjulius13194 жыл бұрын

    Nina nenepa niposikia hayo maneno kijiweni kwetu nilipigwa nikimtetea magufuli leo nikifika kijiweni naitwa profesa wa siasa

  • @essaumlange2079

    @essaumlange2079

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @christophersamatta8924
    @christophersamatta89244 жыл бұрын

    Magufuli baba lao Mungu aendelee kukutetea baba angu

  • @neemamussa1745
    @neemamussa17454 жыл бұрын

    Asante Mungu kwa ajili ya Rais wetu.

  • @polloz77
    @polloz774 жыл бұрын

    Safi

  • @henryndosi1114
    @henryndosi11144 жыл бұрын

    MAGUFULI BABA LAO kwa maendeleo ya Watanzania 🇹🇿

  • @shadowhatory154
    @shadowhatory1544 жыл бұрын

    JPM baba lao👏👏👏👏

  • @deusmauka9626
    @deusmauka96264 жыл бұрын

    Najuuta kutokumchagua JPM, naumia sana mpaka chozi linanitoka.Sifanyi upuuzi tena.

  • @martinjohn8139
    @martinjohn81394 жыл бұрын

    JPM Jembe

  • @beatricenicholausiwasa7601
    @beatricenicholausiwasa76014 жыл бұрын

    Jamani kwa nini asitawale moja kwa moja

  • @lilymandari9872

    @lilymandari9872

    4 жыл бұрын

    Haiwezekani

  • @ziadasadiki8196
    @ziadasadiki81964 жыл бұрын

    Magufuli MUNGU AKULINDE

  • @wardajoseph6909

    @wardajoseph6909

    4 жыл бұрын

    Amiin

  • @chescomwakipese3422
    @chescomwakipese34224 жыл бұрын

    Chuma letu

  • @faustinefesto7705
    @faustinefesto77054 жыл бұрын

    Mungu ni mwema

  • @saidsimba8586
    @saidsimba85864 жыл бұрын

    Mwaka 2015 kurayangu haikupotea,pia namwakahuu 2020 haitapoea kamweeeeeeeee!

  • @raibethnicholaus1493

    @raibethnicholaus1493

    4 жыл бұрын

    Ntapiga kula kwa jpm mapema sana

  • @emmanuelbonifase1114

    @emmanuelbonifase1114

    4 жыл бұрын

    Safi Sana'a chukua hatuaa

  • @allymuy965
    @allymuy9654 жыл бұрын

    Tubalisheni katiba afanye Kama robati Mugabe. Nazani uchumi wetu tunaweza kuishinda sauzi na naijeria tukawa wa kwanza afrika

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima62104 жыл бұрын

    Safi sana.

  • @richardboaz-mashagospel2346
    @richardboaz-mashagospel23464 жыл бұрын

    JPM ni hatari....tambueni, tumuelewe ili hata tukiona anafaa kukaa zaidi ya miaka kumi tujue kwa nini tunafanya hivyo! Tutengeneze utaratibu wetu tu!

  • @starvennja2480
    @starvennja24804 жыл бұрын

    our president magufuli God is gonna bless you

  • @bobochieng8026
    @bobochieng80264 жыл бұрын

    Kenyans watch out. We may not be the largest economy in the region in a few years time if we continue burying our heads in the sand.

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel46714 жыл бұрын

    JPM ni baba lao. Mungu aendelee kumlinda dhindi ya maadui wa ndani na nje. Atatufikisha mbali

  • @hoseamtiro4439
    @hoseamtiro44394 жыл бұрын

    Huyo ndie mzee baba

  • @eugenwalisindo9293
    @eugenwalisindo92934 жыл бұрын

    Kura yangu haikwenda bure

  • @sedriqueira3383
    @sedriqueira33834 жыл бұрын

    Hebu mturuhusu na sisi wakaao chiii za ije tumuchague .

  • @josephstephen2047

    @josephstephen2047

    4 жыл бұрын

    Hahahaha umenichekesha

  • @EK-kp2np

    @EK-kp2np

    4 жыл бұрын

    Irankunda Sedrique :Kama wewe ni raia wa Tanzania, unaenda ubalozini wa chi uliyopo kwenda kupiga kura

  • @angelamarlow510

    @angelamarlow510

    4 жыл бұрын

    😃 aah nyie mtamuibaa

  • @daudisaid6198
    @daudisaid61984 жыл бұрын

    Mc nguli upo vizuri mkuu wangu God bless you

  • @frolencemkongwis2461

    @frolencemkongwis2461

    4 жыл бұрын

    Magufuli safiiiiiii kabisa wewe ndiye tuliekusubili

  • @diamondgeyser7987
    @diamondgeyser79874 жыл бұрын

    Wapinzani ikiwa mtaendesha siasa za ustaarabu na mkiwa wazalendo wakati wa furaha hamtakuwa na fadhaa.

  • @robertterry8909

    @robertterry8909

    4 жыл бұрын

    Diamond Geyser point sana kiongozi

  • @tanzaniakwanza9564
    @tanzaniakwanza95644 жыл бұрын

    Huyu JPM lazima apate bonus ya miaka mingine mi5 ili atusogeze kidogo kisha ndo astaafu, katiba sio msaafu, kwanza zipo nchi zinaongozwa bila katiba na zinakimbia kiuchumi.

  • @emmanuelbonifase1114

    @emmanuelbonifase1114

    4 жыл бұрын

    Katiba ni mawazo yetu tukiamua inawezekana

  • @abdillahiyusuf9557

    @abdillahiyusuf9557

    4 жыл бұрын

    Sio aongeze mitano peke. Ni andele mpka amri ya Allah utakapo kuja kumchukuwa roho yake. Hakuna kusataafu. Hata bba wanyumba huendekeza uwongozi wa family yke mpka kufariki. Xx yy ni baba wanchi asiwache mke na watto wakafedheheka.

  • @juliethhouseofdesigns147

    @juliethhouseofdesigns147

    4 жыл бұрын

    Ata 20

  • @apt9620
    @apt96204 жыл бұрын

    Hapa kaz tuu

  • @joycekarim9184
    @joycekarim91844 жыл бұрын

    Sìna cha kusema bali nashukuru mungu kwa kukuleta wakati unaokubarika Raisi wangu usiogope mungu yuko nawe usiku na mchana🙏

  • @geofreymhina1821
    @geofreymhina18214 жыл бұрын

    Mungu ambariki huyu dingii

  • @veronicamollel8975

    @veronicamollel8975

    4 жыл бұрын

    Mheshimiwa jpm tunakukubali hakika tumeamini tuna Jembe toka chato Zaidi ya askofu

  • @mako331
    @mako3314 жыл бұрын

    Yani nacheka sana nikiona eti kina Msigwa ndio wanataka kuwa Raisi yani kwa ufupi upinzani umeishiwa

  • @fredrickkagwa8853
    @fredrickkagwa88534 жыл бұрын

    Kufanya kosa sio kosa, kosa nikurudia kosa. Oct 2020 mpigie kura ya ndio JPM.

  • @robertambrose1231
    @robertambrose12314 жыл бұрын

    God is good for you jpm

  • @stanslausangelus8714
    @stanslausangelus87144 жыл бұрын

    Hata Mimi najuta huyu Rais amefanya makibwa

  • @edsboresha2571
    @edsboresha25714 жыл бұрын

    Huyu mwamba anaeitwa Magufuli Anabalaa, alipoizima corona kibabe nimemkubali,me namuelewa

  • @mussandekezi491
    @mussandekezi4914 жыл бұрын

    Hakuna Kama Magufuri, anaebeza shughuri alizofanya ni msaliti na sio mzalendo. Mungu ampe maisha mema na matefu

  • @hanifahassan9138
    @hanifahassan91384 жыл бұрын

    Mm nasema ya moyoni mwangu kuwa asiwazidishie mishahara wafanyakazi ila awajiri waliokuwa Hawana kazi kwani tupo wengi mtani tunazuga zuga baba litizame Sana hili

  • @robertkasanula5728
    @robertkasanula57284 жыл бұрын

    Well done

  • @rashidchid2067
    @rashidchid20674 жыл бұрын

    Safi sana jpm

  • @mainguburemo6186
    @mainguburemo61864 жыл бұрын

    Ni Raisi wa Dunia kweli. Umesema kinachotokea moyoni

  • @ibrahimkambi9288
    @ibrahimkambi92884 жыл бұрын

    JPM umetisha sana RAIS wangu

  • @munajafu3080
    @munajafu30804 жыл бұрын

    Mimi nilimpa kulangu kwiukweli sikukosea kumpa

  • @KUTOKA-ep2fk

    @KUTOKA-ep2fk

    4 жыл бұрын

    Kula ni kula chakula sema kura

  • @Kisaboleonards
    @Kisaboleonards4 жыл бұрын

    Najivunia utanzania kumpata jpm

  • @hawaamohammed6687

    @hawaamohammed6687

    4 жыл бұрын

    Heshima katujengea tunaenda kifua mbele

  • @olathom7ya756
    @olathom7ya7564 жыл бұрын

    Arusha ccm oyeee.

  • @remigiusmwageni6274
    @remigiusmwageni62744 жыл бұрын

    Ndio jpm wangu

  • @khamisiiddi9321
    @khamisiiddi93214 жыл бұрын

    Aisee

  • @rahelimgalla9225
    @rahelimgalla92254 жыл бұрын

    Aise chuga mmemkubali magu basi mwaka. Huu 💯 anazo

  • @eliajoseph6865
    @eliajoseph68654 жыл бұрын

    Kula YANGU haikwenda bule nilichagua jembe hongera sana Raisi wangu MUNGU Akulinde

  • @silvamsophe4392
    @silvamsophe43924 жыл бұрын

    Ila magufuli hakuna wakufananishwa naye ni mtu wa pekee duniani mungu ambariki nampenda sana my precedent

  • @daudiisack8046
    @daudiisack80464 жыл бұрын

    Simba wa TZ

  • @nuruhmangoli1232
    @nuruhmangoli12324 жыл бұрын

    Akimaliza tz aje Kenya

  • @eyumededu2948

    @eyumededu2948

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @mariamika2834
    @mariamika28344 жыл бұрын

    Oooyooooo piga kelele kwa raisi wetuuuu ,chezea anko magu ww nakuombea uishi miaka mingi kwanza tunaendelea kupiga kura za nn wakati tunamkombozi wetu hakuna kama magufuli ....

  • @masatumanyama6782
    @masatumanyama67824 жыл бұрын

    Mimi nipo Marekani, Yani watu tunashangaa jinsi raisi anavyofanya miradi mingi kwa muda mufupi sana kama sgr, ndege, bwawa rufiji, hosipital na flyovers me nashauri asizunguke kupiga kampein, aombe tu kura kupitia tv na redio kama juzi alivyofunga bunge, watu wote watasikia sera zake

  • @tanzanian8847

    @tanzanian8847

    4 жыл бұрын

    Wewe ndo una akili sana. Hongera sana. Sio kama Mange kima, na wapinzani wenzake. Kila siku kupinga tu

  • @amanijolam4140
    @amanijolam41404 жыл бұрын

    MUNGU ibariki Tanzania bairiki Rais wetu

  • @weshibmabula9430
    @weshibmabula94304 жыл бұрын

    Chadema kwishaaa

  • @chayogasperi9783

    @chayogasperi9783

    4 жыл бұрын

    Kama Arusha wanasema hivi , kuna nini tena ???

  • @agustinoezekiel367
    @agustinoezekiel3674 жыл бұрын

    Hadi machozi yananilenga

  • @habibmohamed4766

    @habibmohamed4766

    4 жыл бұрын

    Siyo wewe tu kaka

  • @agustinoezekiel367

    @agustinoezekiel367

    4 жыл бұрын

    @@habibmohamed4766 tuzid kumuombea tu huyu Mzee maana hatuna cha kumlipa

  • @tanzanian8847

    @tanzanian8847

    4 жыл бұрын

    😥

  • @vdhjhdhdhhhd9332
    @vdhjhdhdhhhd93324 жыл бұрын

    Ni kweli yasemwayo..t unakupenda rais wetu..naye pia anatupenda..mzalendo

  • @saluma.m.el-harthy9265
    @saluma.m.el-harthy92654 жыл бұрын

    Tahadhari: Raisi wetu ni Raisi wa kujivunia lakini tusimpe sifa za unabii Tukajitia matatizoni

  • @tanzanian8847
    @tanzanian88474 жыл бұрын

    In fact yaaan kama ndugu zangu wa Arusha mnakubali rais magufuli , basi naamini huu mwaka atapata asimilia nyingi sana kunako uchuguzi. Maana watu wa Arusha mlikua upande wa mlengo wa kushoto miaka ming. Nimefurahi kwakweli. JPM ni rais wa dunia kwa Sasa.

  • @maryambarayan7599
    @maryambarayan75994 жыл бұрын

    Mbona cc majirani zenu twawaonea wivu mzuri tuu. Atakua rais wakwanza kushinda bila kampeni kwani hahitaji aliyofanya yanaonekana ni mchapa kazi na nyinyi ni watu wakutumia bongo sio vibaraka wa wamagharibi kama cc. Peace be with you guys but pray for US too

  • @dullybattestz826

    @dullybattestz826

    4 жыл бұрын

    In Sha Allah Atawajaalieni mnachokitaka. Sisi hatujafika 100% but we are trying, Alhamdulillah

  • @sharifumanjemu7141
    @sharifumanjemu71414 жыл бұрын

    nice

  • @samsonjoseph670
    @samsonjoseph6704 жыл бұрын

    Kweli mwaka huu hakuna campeni, magufuli baba lao!.

  • @nasseralhabsi1483
    @nasseralhabsi14834 жыл бұрын

    Magufuli ni raisi ambae anazungumzwa katika vyombo vya habari vya dunia,hususan kuhusu papai kuwa na Corona.

  • @zablonkapinga9931
    @zablonkapinga99314 жыл бұрын

    Magufuli kwa ujumla no Rais wa pekee hapa Nchini na Duniani kwa ujumla anamsimamo wa pekee yake na hayumbishwi na mtu au Nchi yoyote Big up Mr President tupige kura za wabunge tu na madiwani Rais apumzike asubiri kuapidhwa tu

Келесі