MSAFARA WA LISSU WAINGILIWA, WASIOJULIKANA WAMFUATA KWA NYUMA, WASIPOJITOKEZA, ATAWAANIKA HADHARANI

#TANZANIA: Msafara wa Lissu waingiliwa, watu wasiojulikana wafuatilia msafara wake hadi kwenye mkutano wake katika Jimbo la Singida Kaskazini, awapa muda wajitokeze, wasipojitokeza kesho Alhamisi atawaanika, apata picha zao.
Zaidi: • MSAFARA WA LISSU WAING...
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZread Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Пікірлер: 85

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yqАй бұрын

    wakitaka kukufanyia ya miaka ile hawata toboa sisi wanainch tukomacho lisu oyeeeeeee 😅❤❤❤

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884Ай бұрын

    Mungu akulinde na kukutea na Damu ya Yesu ikufunike popote ukanyagapo🙏🏽

  • @florencejohn6427
    @florencejohn6427Ай бұрын

    Jamaa anajua sana kuelezea mambo

  • @zawadimbwambo1091

    @zawadimbwambo1091

    Ай бұрын

    Ni fundi wa mpangilio wa maeneo yenye akili Sana. Sijawahi ona tangu niwaone wanasiasa. . Ana akili kuwazidi ndio maana wanamuonea wivu. Mungu ni hakimu mzuri.

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba4413Ай бұрын

    Kama unatetea Haki ya watz mwenyezi Mungu atakutetea ktk jina la Yesu Amin

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632Ай бұрын

    Tundulissu nakuombea Mungu akulinde daima, hao wanaokufuata kimya kimya siyo watu wazuri! Kwani kama wangekuwa watu wazuri wasingekuja kimya kimya! Hebu waweke wazi ili washughulikiwe na wananchi! Kama wataendelea kimyakimya hebu onyesha vijana wako na wananchi kwamba hawa ili wananchi washughulike nao! Kama wametumwa wajaribu tena waone Mungu atakavyokutetea!!!

  • @user-mm6sm9rt9x
    @user-mm6sm9rt9xАй бұрын

    Mungu akulinde kaka Lissu For sure you create much awereness among the Tanzania! Binafsi Toka nimeanza kukusikiliza nakuaminia sana Uoga nishaachana nao!

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallahАй бұрын

    Tanganyika yetu Amani inayoimbwa na viongozi wa chama na serikali I WAPI🤔🤔🤔🤔💔

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234Ай бұрын

    Hivi tunashindwaje kuwateka nao hao waitwao "wasiojulikana???"kulalamika lalamika tu ni uzembe,ifikie kipindi chadema izalishe vijana wakakamavu wenye ujuzi wa kutumia silaha zote,ili tudili vema na hawa wapuuzi,kama noma na iwe noma

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140Ай бұрын

    Wasenge waache usenga ww Ndo mtetez wetu mungu atakulinda

  • @musamwambene1323
    @musamwambene1323Ай бұрын

    Lisu mwana siasa wa pekee sana mungu akusimamie sana

  • @jerumayamwasomola1065
    @jerumayamwasomola1065Ай бұрын

    Ameongea Kwa hisia sana

  • @avithmassawe8205
    @avithmassawe8205Ай бұрын

    Kuna jamaa kavaa koti la jeans kabeba kibegi hapo naona kajistukia kafichaficha uso, kageuka baada ya kuona camera inam mulika yeye akaamua kuondoka. Ndo mmoja wapo ama??

  • @evelina9621
    @evelina9621Ай бұрын

    Waulizeni Amani.ipo Selikali.jibu.?

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575Ай бұрын

    TAIFA, SERIKALI, POLISI JE BADO MTAKAA KIMYA KWA HILI NALO!! KAMA.MLISHINDWQ KUFANYA UCHUNGUZI ina maana bado mnamfuata!! Ni Uchungu mkubwa sana kama haya mambo mnayo!! Jeshi la polisi mmemsikia msikae kimya kwa hili !

  • @JacksonBayyo-uo3eg
    @JacksonBayyo-uo3egАй бұрын

    Uwe na amani usiogope🎉

  • @user-ij2lp1om6i
    @user-ij2lp1om6iАй бұрын

    Nashikwa na hasira sana na hao watu

  • @eliajimmy95

    @eliajimmy95

    Ай бұрын

    Atuonyeshe tu hao watu watajua hasira za sisi wananchi

  • @ElizabethMwalongo

    @ElizabethMwalongo

    Ай бұрын

    Yaani wasijaribu Mungu wa Tundulisu anatisha

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293Ай бұрын

    Hao wadhalimu Hawata weza kwa jina la Yesu allah akbar

  • @omaryidd4373
    @omaryidd4373Ай бұрын

    Lisu usifanye masihara Bado tunakuhitaji

  • @FrankMwakatundu-cu6bd

    @FrankMwakatundu-cu6bd

    Ай бұрын

    Omary Idd ukimhitaji LISU, na wewe Mungu atakuhijitaji Damu ya Lisu mikononi mwako na kamwe hayuko mwanadamu yeyote awezae kuilipa damu ya mtu!!!! Utabaki na majuto, kilio na kusaga Meno milele kwa ujinga wako kisa uchawa tu uchawa wenyewe mnaambulia MAKOMBO YA MAFISADI WAO WANAKULA VINONO ILA NI HARAMU!!! NCHI NI YETU SOTE TUBISHANE KWA HOJA ZA NGUVU SI KWA KUMWAGA DAMU MAKUSUDI NA ATENDAYE DHAMBI KWA MAKUSUDI HAKUNA MSAMAHA KWA MUNGU MILELE. OGOPA SANA HILO.

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575Ай бұрын

    Iliyobakia ni Kupiga kelele kote. CDM mko wapi? Viongozi amkeni mtoe matamko kwa umma na Jeshi la Polisi!

  • @user-ms6wc7ug6w
    @user-ms6wc7ug6wАй бұрын

    Dah maskini lisu anapambana sana aise,mungu amjalie

  • @gallegalleson4427
    @gallegalleson4427Ай бұрын

    Wanaweza kumwua , tatizo vita wanamiliki uchumi yaani CCm anawavua nguo wako uchi!!

  • @AlexChawe
    @AlexChaweАй бұрын

    Hao walio tumwa watageukana wenyewe watafungana kwenye viroba watakufa wao

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrancesАй бұрын

    HAO WASIOJULIKANA KWANINI Mheshimiwa Lissu USITUONESHE TUANZE KUWASHUGHULIKIA ILI IWE FUNDISHO KAMA HAWATAKI KUJITOKEZA HADHARANI ?"

  • @user-cz3gk2op9r
    @user-cz3gk2op9rАй бұрын

    Perfect

  • @saiddaji6342
    @saiddaji6342Ай бұрын

    Mungu akulinde jembe letu

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2mАй бұрын

    Dawa yake wakamatwe na wanainchi wamaeneo hayo wapigwe sana

  • @lonyorilaizer2649
    @lonyorilaizer2649Ай бұрын

    Jembe la Taifa

  • @JacksonMahende-ho2wb
    @JacksonMahende-ho2wbАй бұрын

    Hao washighulikiwe na wananchi mapema Kwa kipigo na kuchoma Hilo gari kama hawajilikani

  • @user-kj5jp2ii5n
    @user-kj5jp2ii5nАй бұрын

    Mbunge wa hapo ni nani? Alihusika vipi na issue ya Dr. Ulimboka kung'olewa kucha? Anzieni hapo kwanza!

  • @ahmedhamis
    @ahmedhamisАй бұрын

    Ngoja tukusaidie kazi ya kupambana nao

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fgАй бұрын

    Kama mnijua hiyo gari kwani msiwaue, maana wataendelea kuua kutesa

  • @clemencemarcelli3365
    @clemencemarcelli3365Ай бұрын

    Naomba muungano wetu ujitetee na siyo viongozi kuutetea, kama ni mzuri utajitetea, kama unafaida utajieleza la sivyo serikali 3 ndiyo mwarubaini hauepukiki

  • @e11said23
    @e11said23Ай бұрын

    Unaweza kusoma sawasawa kama wewe lakini mzee yani wewe una mamayako yeye hawezi kua mama yako unaashiria nini kwa maoni yangu daa pole mzee tafuta sera ama chukua mamilion unayo pewa ya demokrasia yako upige round tu

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149Ай бұрын

    Watu wasiojulikana na serikali yenye mamlaka,na mkono mrefu wanatutisha,na kutudharau kwasababu ni kundi lililoundwa kisiasa na serikali,kwa faida za kisiasa. Ni aibu,na uongo kwa serikali kukaa kimya tangu 2015 mpaka 2024!

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6lАй бұрын

    mungu hata hendelea kuku linda hende lea kutu tetea

  • @didaslunkoto
    @didaslunkotoАй бұрын

    Hata 2017 ulisema mapema kuna gari linakufuata kila mahali matokeo yake yakawa kama yalivyokuwa. MUNGU mkuu akulinde. Malaika wa Bwana wakuzingire

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6sАй бұрын

    Kiukweli lisu nimkombozi wetu. Nikiwa Chama tawala mnampiga vita. Basi anayosema ni ya kweli. Na ukweli huuma mungu anamakusudi nae. Msitake kushindana na mungu.

  • @judicateurassa7817
    @judicateurassa7817Ай бұрын

    Mheshimiwa tunakuomba utuonyeshe hao wasiojulikana

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636Ай бұрын

    Hakika IQ kubwa inawatesa Sana CCM, unafundisha elimu kubwa sana ndani ya Taifa letu, Sasa CCM uwezo wa kujibu hoja zinazo elimisha jamiii ielewe kinachojiri kwenye Taifa letu, ndiyo maaana wamekuwa waoga wakiambiwa ukweli wanakimbilia bunduki, wakizani wapo salama ktk USO wa Dunia, Mungu yupo pamoja nawe ktk kuielimisha/ Tanganyika yetu

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796Ай бұрын

    Acha ujinga lisu mzazi anapaswa kujua mwenendo wa mtoto wake

  • @ajmstationery6157
    @ajmstationery6157Ай бұрын

    Brother Lisu usikawie kuwaweka hadharani tafadhali, ni hatari haina haja ya kuwataarifu

  • @judicateurassa7817
    @judicateurassa7817Ай бұрын

    Íli watanzania wawajue

  • @AthumanDauda
    @AthumanDaudaАй бұрын

    Mungu mkubwa atakulinda

  • @allyshaban406
    @allyshaban406Ай бұрын

    Ok

  • @malingazeboss9351
    @malingazeboss9351Ай бұрын

    Time hii hatoki mtu... Lisu akiwanyoshea kidole tu tuna chinja wote hatuta jali chochote.

  • @dottomatola5905
    @dottomatola5905Ай бұрын

    Akili ya kuambiwa changanya na zako

  • @theonalyalfred8087
    @theonalyalfred8087Ай бұрын

    Waseme mapema watakuuwa

  • @user-qk9iz5lt8q
    @user-qk9iz5lt8qАй бұрын

    HAO WANAOMFWATILIA MHESHIMIWA LISU WAACHE MARA MOJA WAKIMDHURU TENA HAPATATOSHA ,DAMU YETU ITAKUWA CHAI. WATAINYWA. HATUTAKUBALI TENA. YANAYO SEMWA NA TUNDU LISU YANAUKWELI 100%

  • @SelijusiMalambo-rh6sf
    @SelijusiMalambo-rh6sfАй бұрын

    Sasa nikulize magufuli yupo hapo hao niwanani unajua kaka jitaidi usikariri walifu wabaya wapo tu Leo magufuli hayupo hao wanatoka wapi chukua tahadhari nahao vibaka

  • @GodfreyOsward

    @GodfreyOsward

    Ай бұрын

    Season moja inaitwa PORUS. Ni nzuri kuingalia. Wahusika PORUS, mfalme Alexander, mfalme bamni, dalayasi. Nchi ambayo mfalme Alexander na dalayasi walitaka kuiteka na kumiliki kwa sababu ya utajiri. Wake. Season hiyo inaweza kuelezea hali halisia ya nchi nyingi za kiafrika.

  • @MataighaTiro

    @MataighaTiro

    Ай бұрын

    Kwa hiyo nawewe unatuzibitishia kua magu ndio alitekeleza au mnaumia kila kitu

  • @SelijusiMalambo-rh6sf

    @SelijusiMalambo-rh6sf

    Ай бұрын

    @@MataighaTiro hujuwi kuhoji soma vizuri SMS nimekuliza milimtuhumu magufuli kua ndio alie watuma Leo hao wametumwa nanani

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9joАй бұрын

    Washindwe

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_EverythingАй бұрын

    👍✌️🙏.

  • @deogratiustweve2611
    @deogratiustweve2611Ай бұрын

    Chamaa kiandae vijanaa wakakamavu

  • @gangan4618
    @gangan4618Ай бұрын

    Wageni waondoke by mbarikiwa

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vzАй бұрын

    Utrina ubee Lissu tozo,zimetuumiza 25000 hio kutesa raia, shule zilkwepo,mkoloni alijenga shule nyingi,hakukua na mchango,wino na madaftar ilikua bure, hio n kweli,huna baya,

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya6624Ай бұрын

    Zamu yao tuambie tu tunyoke nao

  • @esthermakelemo2864
    @esthermakelemo2864Ай бұрын

    Tuonyeshe tu

  • @BarakaYasini-lp3ys
    @BarakaYasini-lp3ysАй бұрын

    Catholic church movement yani ccm 7:31

  • @allyshaban406
    @allyshaban406Ай бұрын

    Kamanda tuambie tuanze nao,

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319Ай бұрын

    Tanzania strong hold opposition tundundulisu complain about been following by car wich they don't adentefy every place whatever goes on his rally give them worning and say has got no trust with. That car if is gavment car following him every place whatever goes has say tundundulisu if your a gavment official better tell me saylence or l tell my saport to do what they can because al afraid following by car wich l don't adentefy it can be seem problem wich was happening on palament Palestina place been shooted by 16 bullet Tundundulisu explanation if truth mince ccm leadership is they responsibility to protect this tanzania opposition by all cost Incase happened again his life been lost will be a big problem into Tanzania gavment because every where opposition has to be protected by send gavment even if is opposition we sighin agreement on intranational ecle protect opposition into Tanzania national consern his life is under ccm leadership protection remember has came out under German embassy security goes outside of tanzanian world is worching tundundulisu vary close and Africa national following tanzania politics vary close is up to ccm leadership see strong hold opposition in vary sensitive way let asepty compation of politics like Kenya Malawi Zambia sauthafrica the end of day tanzania is one send peaple seem national we are not spouse to be one single nation we hart each other or crush among ourselves we are Tanzania into one single nation call Tanzania

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2mАй бұрын

    Safari watasababisha machafuko

  • @emmanuelymganga5737
    @emmanuelymganga5737Ай бұрын

    usiogope MKUU

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9siАй бұрын

    Sasa gari linakufuata na umewaona si uwaulize ? Kama uliomba ulinzi vipi uwaongope hao walinzi? Usilete ngojera hapa ,! Sasa kila mahali ulipo.wapo mbona wasikudhuru?

  • @zawadimbwambo1091

    @zawadimbwambo1091

    Ай бұрын

    Unaliwa nyuma wew

  • @user-ti8fn1wn1w

    @user-ti8fn1wn1w

    Ай бұрын

    Ungeongea unaonekana ungeflayi we msenge

  • @samsonmweta5040
    @samsonmweta5040Ай бұрын

    Kiki

  • @Charleshangaya
    @CharleshangayaАй бұрын

    Unasema hukulia niwewe hata hivyo hatuwalilii waliokufa maana tumaini letu si kwa wafu usilaumu wafu lisu mwanga sela zako achana na magufuli hicho nichwa kingine tz hapa tukuambie

  • @leahmgunda4154

    @leahmgunda4154

    Ай бұрын

    Pontio Pilato anatajwa kila siku tukumbukapo kesi ya Yesu Pilato yupo? Historia haijawahi kufa.

  • @SelijusiMalambo-rh6sf
    @SelijusiMalambo-rh6sfАй бұрын

    Acha uoga piga kazi usiogope

  • @eliajimmy95

    @eliajimmy95

    Ай бұрын

    Fala wewe

  • @SelijusiMalambo-rh6sf

    @SelijusiMalambo-rh6sf

    Ай бұрын

    @@eliajimmy95 huna hoja zumbu kuku

  • @BarakaYasini-lp3ys
    @BarakaYasini-lp3ysАй бұрын

    Tanu ni Tanganyika afrika nation union Asp ni Afrika shilazi part unganisha vyama hivi viwili Kama utapata hata helufi moja ya ccm bari ccm utapata Catholic church movement

  • @sylvestercameo6263

    @sylvestercameo6263

    Ай бұрын

    Akili ikusaidie kukuongoza kufika msalani!, Kuhusisha CCM na mambo ya dini ni utapia mlo wa akili. Orodhesha viongozi wakuu wa CCM kila mmoja na dini yake tujue ni wangapi ni wakatoliki. Acha chuki na uchochezi wa kidini, vinginevyo ni ukosefu wa akili na hoja!

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    Huu kuweka udini au udhehebu na ukosefu wa ufahamu acha huo upumbavu jitafakari

  • @musamwambene1323
    @musamwambene1323Ай бұрын

    Lisu mwana siasa wa pekee sana mungu akusimamie sana

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827Ай бұрын

    Mungu akulinde Lisu

  • @dottomatola5905
    @dottomatola5905Ай бұрын

    Akili ya kuambiwa changanya na zako

Келесі