MSHAHARA WANGU ALIKUA AKINILIPA YEYE" MANARA ATOA SIRI NZITO, MAZISHI YA SH. BASALEH, MASJID MTORO
Ойын-сауық
Mazishi ya Sheikh Ali Said Basaleh kutoka Masjid Mtoro kuelekea Makaburi ya Kisutu , Julai 31,2023. Sawa na Kiarabu Mwezi 13 Mfungo Nne Muharam Mwaka 1445 Hijriyya. Na amefariki 30-07-2023 katika Hospitali ya Agakhan Jijini Dar Es salaam Jumapili na kuzikwa Kisutu leo Jumatatu
Follow Us On:
INSTAGRAM: / miladu_tv
FACEBOOK: / babdeo miladu/
TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
KZread: / @babdeomiladu
Пікірлер: 13
Kufungiwa kwake manara kuwa msemaji wa Yanga ni sababu tosha mungu hataki awe katka upuuzi wa mpira
Manara unajua kuzungumza
Fundi sana wa lugha Hajj sanday manara
Sisi sio wageni ni wazalendo, tena wazalendo hasa kuliko wao,
Mtu kama huyu alitakiwa asipewe jukwaa. Mana ni mwenye kufanya aibu hadharani
Manara hajielewi dunia imemcheza
@jumakapilima7295
Ай бұрын
Heri wewe umesema
Nimependa sana na kuna ya kujifunza kutoka kwenye hio historia yake brother Hajj. Alikuwa "mwanazuoni, mwanaharakati, Mkarimu, mwenye kutoa na sio yeye kutaka kitu bali yeye ndiye alikuwa mtoa kitu" Allah (s.w) Amfanyie wepesi safari yake. wakati nikiwafikishia taarifa ya kifo na maziko haya kwa wanangu na wana famila yangu kwa ujumla nilipata shida namna ya kumfahamisha na kumuelezea Sh. Basaleh zaidi ya kuwaambia alikuwa "Aalimu, mwanaharakati". Nashauri hizi historia ziandikwe na sifunzwe kwenye vizazi vyetu ili waje kujua kuwa suala la kufikisha ujumbe huu wa Allah (s.w) ni zaidi ya mbio za kijiti na hivyo waheshimu na wachukue ya kujifunza kutoka kwa wanazuoni na wanaharakati watangulizi kama hawa.
@abuukarata9653
9 күн бұрын
Hakuna chochote za kujifunza ni mpuuzi tu na wanafanya uislam kuonekana hauna maana
@hamishassan6784
9 күн бұрын
@@abuukarata9653 kwanini brother tatizo liko wapi hapo
@abuukarata9653
9 күн бұрын
@@hamishassan6784 hujaona shida yake
haji manara kuwakilisha walimu wamadrasa nikuwadhalilisha walimu wamadrasa maana hana maadili yoyote yakiislaam
@jumakapilima7295
Ай бұрын
Heri wewe umesema