Bassaleh vunjeni Muungano

Музыка

Пікірлер: 167

  • @AliHassan-ji1ym
    @AliHassan-ji1ym11 ай бұрын

    Allah akusamehe ulipokosea, akurehemu na akuingize peponi

  • @JumamjakaMjaka-yx5vw
    @JumamjakaMjaka-yx5vw11 ай бұрын

    Allah amrehemu sheikh wetu Basalehe na amtilie nuru kabur lake

  • @mwaramimwarami1479

    @mwaramimwarami1479

    11 ай бұрын

    Aamin

  • @hemedramadhani7946

    @hemedramadhani7946

    10 ай бұрын

    Aamin

  • @hamissantanga8849
    @hamissantanga884911 ай бұрын

    Allah tusamehe sisi, pia msamehe Shekhe wetu huyu na mkinge na adhabu zoote baada ya kifo chale na mjjaalie pepo yeye pamoja na marehem wengine Aamin.

  • @salehrashid703
    @salehrashid70311 ай бұрын

    Mashallah allah amrahamu sheikh basaleh

  • @mohamedimikombe3354
    @mohamedimikombe335411 ай бұрын

    Inalilah wa Inna ilaih rajiun ALLAH akuweke mahala pema Pepon amin

  • @alimau7939

    @alimau7939

    11 ай бұрын

    Amiin

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py11 ай бұрын

    Mola akusamehe na afanye kaburi lako liwe moja ya viwanja vya pepo inshaallah

  • @gangmore9091
    @gangmore90913 жыл бұрын

    Ma sha Allah Ma sha Allah akuweke na Afya njema Amin Allah anatusubir kila mtu atahukumiwa alichokichuma in sha Allah

  • @alimwinyi3161
    @alimwinyi31616 жыл бұрын

    Kweli kabisa mzee mungu akupe nguvu na sauti

  • @abadharkhamis5909
    @abadharkhamis590911 ай бұрын

    Innalillah wainna ilayh raajiu'n

  • @gooleserviceyoutubescandar3450
    @gooleserviceyoutubescandar345011 ай бұрын

    Allah Muweke Pema Sheikh Kwa Maisha Yake Amiiin.

  • @mkude

    @mkude

    11 ай бұрын

    Aamin

  • @sharifuteacher5025

    @sharifuteacher5025

    10 ай бұрын

    Ameeeni

  • @Allybinamour
    @Allybinamour11 ай бұрын

    الهم غفر له ورحمه وسكنه فى الجنة

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp

    @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp

    11 ай бұрын

    Tutengane

  • @ZINDUKAMUISILAMU30

    @ZINDUKAMUISILAMU30

    10 ай бұрын

    Aamin

  • @hamadimuya7248
    @hamadimuya724811 ай бұрын

    Mungu amweke sheikh peponi in Sha Allah

  • @zahorsalum4976
    @zahorsalum497611 ай бұрын

    Allah akusamehe makosayako .shekh wetu.🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @johnmalale3860
    @johnmalale386011 ай бұрын

    Waislam walizuiwa na nani kugombea!?

  • @tindatinda7330
    @tindatinda733010 ай бұрын

    Mbona Zanzibar mnahamasishana kuhusu udini. Sie huku ktk familia zetu tupo waislam na wakristu Toka familia moja

  • @allykindamba9800
    @allykindamba980011 ай бұрын

    INNA LILAH WAINNA ILAYH RAJIUN Allah akusamehe makosa Yako

  • @user-fi9dh1wz1z
    @user-fi9dh1wz1z11 ай бұрын

    Na sisi wabara hatuutaki muungano Kila mmoja wajiandae kurudi kwao

  • @omarybakari1681

    @omarybakari1681

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @1stnews283
    @1stnews28311 ай бұрын

    Ona uuupuuuzi sasa....kugombea ubunge na udini wapi na wapi...Acha udinii

  • @izzi198

    @izzi198

    10 ай бұрын

    mwaka sabini kulikua na uchaguz?

  • @1stnews283

    @1stnews283

    10 ай бұрын

    @@izzi198 we nawe wale wale embu sikiliza video yote na uache kulikuwa gari kwa mbele

  • @maisarirajab4846
    @maisarirajab484611 ай бұрын

    Mungu akulipe kila la kheri

  • @mkude

    @mkude

    11 ай бұрын

    Aamin

  • @drnow1528
    @drnow152811 ай бұрын

    Taqbeer

  • @seneu.2128
    @seneu.212811 ай бұрын

    Mungu ampumzishe salama huyu mzee, lakini enzi za uhai wake alikuwa mtu wa udini na ubaguzi hoja zake hapo hakuna chochote wingi wa wabunge bungeni ni maamuzi ya wananchi waliowachagua na sio serikali ni ajabu sana kushindwa kujua nchi hii sehemu kubwa imekaliwa na wakristo kuanzia kanda ya ziwa , kaskazini, nyanda za juu kusini, na mikoa mingi sasa unategemea nini? Nisawa wakristo waliozaliwa Zanzibar walalamike mbona wawakilishi wengi ni waislamu 😂 kwahiyo mkitaka uongozi sio rahisi maana wakristo wako wengi nchi hii na ndio watafanya maamuzi isipokuwa wao hawana ubaguzi wala hamtawasikia wakihoji ujingaujinga ila now anayeongoza nchi ni wenu jitahidini awape nafasi ili muwapite wakristo kam ndio mnachowaza hicho tuone mtafika wapi.

  • @nassorkhalfan-cl6pm
    @nassorkhalfan-cl6pm11 ай бұрын

    Hatuutk muungano na uvunjike

  • @ramadhanbaraka6474
    @ramadhanbaraka647410 ай бұрын

    INNALILLAHI WAINNA ILLEIHI RAAJIUUN.

  • @issamwakinyo3203
    @issamwakinyo320310 ай бұрын

    Allah amrehem sheikh wetu hakika alikuwa mtu wa haki

  • @calabash4221
    @calabash422110 ай бұрын

    Watanzania wenzangu wakristo kwa waislam na wengine wote ambao hawana dini...Naamini hiki kizazi kinaenda kuisha na mawazo haya yatapotea kabisa.....Sisi tutaishi kwa kupendana bila kujali Imani zetu

  • @mwanahija968
    @mwanahija96811 ай бұрын

    Allah amrahamu sheikh wtu

  • @mwaramimwarami1479
    @mwaramimwarami147911 ай бұрын

    Allahumma ughfahu warhamhu

  • @ibrahimsuleyman9465
    @ibrahimsuleyman946511 ай бұрын

    Allah amhifadhi Maalim Ally baselehe

  • @AshilatAbas-qe4fh

    @AshilatAbas-qe4fh

    10 ай бұрын

    Naona Mambo yanaenda kubadilika

  • @salimmbarouk5946
    @salimmbarouk594610 ай бұрын

    thank you for the information

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara303810 ай бұрын

    Huyu kachelewa mungano haupo zaidi ya kuoana inabidi akaludishe mke

  • @user-mu7pm1ts6h
    @user-mu7pm1ts6h10 ай бұрын

    Hao waisilamu wakiingia nchi wanaweka rehan

  • @user-hp1im5ek4r
    @user-hp1im5ek4r10 ай бұрын

    Mnataka kutuletea udini wa kikuda wewe mzee ww huna hakiri

  • @ahamadially8351
    @ahamadially835110 ай бұрын

    Aah hoja za waislamu mbona kama halina maana hawa mashekh wetu sisi waislamu mbona hatuna hoja

  • @abdisalumfadhil117
    @abdisalumfadhil1176 жыл бұрын

    good

  • @charlesphiliph528
    @charlesphiliph52810 ай бұрын

    Haya,atokee mtanganyika msilamu awe rais Zanzibar.Kwa Zanzibar mkristo wa Zanzibar ni Bora kuliko msilamu wa bara

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg11 ай бұрын

    Ujui urisemero

  • @YussufSaid-ok4pu
    @YussufSaid-ok4pu11 ай бұрын

    اللهم غفرله ورحمه

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km10 ай бұрын

    We mpumbavu kweli acha udini

  • @khaulatmohammed3765
    @khaulatmohammed37654 жыл бұрын

    Hatutaki muungano

  • @hidayabakar7026

    @hidayabakar7026

    3 жыл бұрын

    Kishiki uwapii wasikilize wazee wanao penda uwisilim na haki hawamuogopi kufuli wamuogopa muungu

  • @shabanindabaga6121
    @shabanindabaga612111 ай бұрын

    Inna lillahi wa inna lilahi rajim

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid976511 ай бұрын

    Allah amrehemu amjaalie kaburi yake rowdha min riyadhi jana

  • @marieconnect6389
    @marieconnect638910 ай бұрын

    hayo ya udini yanatoka wapi tena? wakatoliki wamekuwa wana histoiria hadi leo ya kuwa na mashule na vyuo yingi katika Tanzania. kwa maneno mengine ina wasomi wengi zaidi waliotapakaa nchi nzima hadi bungeni. ndiyo sababu

  • @kennedyngusa8890
    @kennedyngusa889011 ай бұрын

    Muungano hatutaki

  • @DenisonTheonest-yj3mk

    @DenisonTheonest-yj3mk

    11 ай бұрын

    Msitutishe kuvunja mungano kwani kuungana na wanzanzibar kuna faida gani vunjeni Tanganyika tunajitosheleza

  • @ibrahimleonard954
    @ibrahimleonard9546 жыл бұрын

    Mambo

  • @albertmakuri4273
    @albertmakuri427310 ай бұрын

    kwa ujinga huu nikweli lazima upigwe kwa kuhubiri ujinga huu

  • @GeoffreySumbwe-cq6kk
    @GeoffreySumbwe-cq6kk10 ай бұрын

    Nendeni kwenu tuende zetu hapo Hamna kusuguana

  • @marieconnect6389
    @marieconnect638910 ай бұрын

    inaonekana kama watanganyika ndiyo wanaolazimisha sana muungano? au siyo?

  • @nsubiraphael8514
    @nsubiraphael851410 ай бұрын

    Mbona ushavunjika,bado wee kuuvunja sis tushauvunja

  • @allykhamis-hf4jr
    @allykhamis-hf4jr10 ай бұрын

    Allah amrehem

  • @ellyelly9069
    @ellyelly906910 ай бұрын

    Kwan wabunge wanapatikaje ninyi bhana tumieni vichwa msitumie visigino hacheni ujinga

  • @mkude
    @mkude11 ай бұрын

    Innalillahi wainnailaihi rajiuun

  • @amurisabiti7037
    @amurisabiti70372 жыл бұрын

    Hatutaki muungano na wa bongo

  • @nassorkhalfan-cl6pm

    @nassorkhalfan-cl6pm

    11 ай бұрын

    Kabisa bro hatuutak

  • @user-xn5cz6ym7u
    @user-xn5cz6ym7u10 ай бұрын

    Ustuvuruge nenda kwenu zanzibari tuachie nc yetu tanga

  • @RaphaelMmassy
    @RaphaelMmassy10 ай бұрын

    4:26

  • @eliasmaspela1728
    @eliasmaspela172811 ай бұрын

    Kwan marekani Kuna wabunge wangap wa kiislam nyie kama vip nendeni uarabuni ndio kwenu huko

  • @saidaliy472

    @saidaliy472

    11 ай бұрын

    Na nyinyi nendeni italia roma maana ndo kwenye makafiri wenzenu mnaoabudu masanamu na yesu wenu aliezaliwa kama ww mbwa ww

  • @eliasmaspela1728

    @eliasmaspela1728

    10 ай бұрын

    We ni Tako nn

  • @libetztanzania-kiswahilina2845
    @libetztanzania-kiswahilina284511 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😊😊😊

  • @AndreaMathias-ql2ri
    @AndreaMathias-ql2ri10 ай бұрын

    Wewe burekabisa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything4 ай бұрын

    👊✌️👍。

  • @mimiraia2531
    @mimiraia253111 ай бұрын

    Haya jitengeni mradi utumwNi kwa WAOMANI

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    10 ай бұрын

    KAKA TUKITENGANA TANGANYIKA MWISHO MOROGORO, KUANZIA MOROGORO NA MIKOA YOTE YA PWANI HAITOKUWA TANGANYIKA. TUSIFURAHIE, HILI LA KUTENGANA NI BAYA SANA. TUMUOMBE MUNGU TUSALIE KAMA WATANZANIA LAKINI TUWE WENYE KUTHAMINIANA, KUPENDANA NA WALA SIO KUDHULUMIANA.

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles438510 ай бұрын

    Katika na kiuno Mzee

  • @edwardlaizer2902
    @edwardlaizer290210 ай бұрын

    Hapo sasa ndio udini, Semeni mnachokiona juu ya mkataba na sio kuwakosoa waliotoa maoni na mtazamo wao juu ya mkataba. Tupeni maoni yenu juu ya mkataba upite au tusiingie na kwanini😊

  • @tycoon9540

    @tycoon9540

    10 ай бұрын

    We nae huna akili Video ya tangu 2011, unakimbilia kupost unataka habari za bandari

  • @1stnews283
    @1stnews28311 ай бұрын

    Udini na kufundisha watu wachukiaaane bila sababu ..

  • @RaphaelMmassy
    @RaphaelMmassy10 ай бұрын

    😮😢😮😅

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
    @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp11 ай бұрын

    Vunjeni na ss hatuutaki ndiomaana nchi haipigi hatui

  • @ahamadially8351
    @ahamadially835110 ай бұрын

    Lakini inshu ni mkataba jamani sio uisilanu na ukristo

  • @DenisonTheonest-yj3mk
    @DenisonTheonest-yj3mk11 ай бұрын

    acha kupotosha

  • @ibrahimabdillah5729

    @ibrahimabdillah5729

    11 ай бұрын

    Wapi amepotosha?

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k11 ай бұрын

    Mbona kama una umri wa kutosha

  • @lawimichaelwerewere7619
    @lawimichaelwerewere761910 ай бұрын

    Hata wapumbavu huzeeka

  • @user-oi9fi2vm7p
    @user-oi9fi2vm7p10 ай бұрын

    Allah ampe k thabit

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe513210 ай бұрын

    Je nyinyi mnakataa kugombea??

  • @user-fx9kh1vl7l
    @user-fx9kh1vl7l10 ай бұрын

    Kafa na undezi wake.Shubamiiiit

  • @tanganyikasaad9789

    @tanganyikasaad9789

    10 ай бұрын

    Ndugu unakashifa sana, dharahu, na matusi yaliyopitiliza kiwango cha kuvumilika.

  • @BarackCharles-vt7kt
    @BarackCharles-vt7kt10 ай бұрын

    Na hivi ndivyo walivyofanikiwa kutuvuruga waliozileta dini😂

  • @nikimboy6093

    @nikimboy6093

    10 ай бұрын

    Mimi naenjoy Sana nikiona waafrica wenzangu wako brainwashed japo ni too sad

  • @BarackCharles-vt7kt

    @BarackCharles-vt7kt

    10 ай бұрын

    @@nikimboy6093 for real it’s too sad

  • @EmanuelMduma-uo7lb
    @EmanuelMduma-uo7lb11 ай бұрын

    Mzee kalewa huyu mnawaza udini leo poleni kweli uyu mzee mpuuzi sana

  • @user-zl3le1wz2u
    @user-zl3le1wz2u11 ай бұрын

    Nyie na elimu ni mbalimbali ila elimu ahela

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    10 ай бұрын

    NAWE ELIMU YAKO NI HIYO YA KUGEUZANA MIDUME KWA MIDUME AU VIPI?!

  • @abunajreenELSESANY
    @abunajreenELSESANY11 ай бұрын

    Allah akbar Allah akusaameh makosa yako na akutie PEPONI. THE TOP INFLUENTIAL MUSLIM IN THE COUNTRY.

  • @noeljoseph5618
    @noeljoseph561810 ай бұрын

    Sasa huo ndio udini, mtu anachaguliwa Kwa sifa na uwezo wanafasi husika sio udini

  • @salehkhamis-ob8ln

    @salehkhamis-ob8ln

    10 ай бұрын

    Hapana nyinyi makafiri mnajifanya Tanzania ya kwenu huu ndio mfumo uloekwa

  • @pungopungo411
    @pungopungo41111 ай бұрын

    Huyu mzee mchonganishi. Waislamu walikua hawagombei kwaajili walikua nyuma kielimu. Ni siku hizi tu wameinuka zamani elimu ya maana ni Quran

  • @ismailjuma3692

    @ismailjuma3692

    10 ай бұрын

    QUR'AN itabaki kua elimu ya maana kila wakati, kwaiyo shika adabu yako juu ya qur'an.

  • @GabrielMwakasege-sx9wv
    @GabrielMwakasege-sx9wv11 ай бұрын

    Uyu mzee nimchonganishi namfaham mdamlefu

  • @ahmadikininga239
    @ahmadikininga23911 ай бұрын

    Hao wabunge wanachaguliwa na nani? Na waislam je, mnashiriki katika zoezi la uchaguzi?

  • @kennedyngusa8890
    @kennedyngusa889011 ай бұрын

    Hoja yako nini?

  • @noahmadali7150
    @noahmadali715011 ай бұрын

    Katokea wap huyu tena

  • @mimiraia2531
    @mimiraia253111 ай бұрын

    Hawa watu Mbona ni watu wa chuki sana??

  • @Abdoulyousouf

    @Abdoulyousouf

    11 ай бұрын

    Ko wakanyagwe tu afu wakae kimya? Wakijitetea ni chuki ni udini?

  • @bellasi349
    @bellasi34910 ай бұрын

    Sasa wewe haujui kuwa ukristo ndo dunia? We wawapi dunia yote inaendeshwa na mfumo wa chrétien n’a waislamu wagombee ununge sasa au hawana sifa hivi mawazili waislamu mko wangapi

  • @user-xz3rj2vs8l
    @user-xz3rj2vs8l10 ай бұрын

    Utapataje ubunge Kwa elimu ya madrasa wakrito walileta mashule

  • @kombo8785
    @kombo878511 ай бұрын

    Mzee Mimi Ni muislam lakini kwa kauri zako isitugombnishe sisi tupo keenye swala la bandari unataka kutuhamisha acha kauli

  • @tycoon9540

    @tycoon9540

    10 ай бұрын

    Hio video ni tangu 2011, muwe mnaangalia imepostiwa lini sio kukurupuka tu

  • @aminasaid6555

    @aminasaid6555

    9 ай бұрын

    Ukiona mtu anajitambulisha uislamu hamna kitu hapo mchongo

  • @ivanbenjamin9816
    @ivanbenjamin981611 ай бұрын

    Huo n udini sasa kila manzania Hana haki sawa

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k11 ай бұрын

    Nyie ndiyo mnaleta udini shindwa

  • @zuzadomikano3765
    @zuzadomikano376511 ай бұрын

    NDIO SABABU WALIKUTESA MFANO WA LIVYO MDHULUMU JUSA LADO ,ULIYAZUNGUMZSHAYO YA ZANZIBA,(KAMA MAQAMO WA KWANZA Zanziba) Othman Othman kukata KUSAINI KATIBAZAO BUNGENI WAKAMFUKUZA ,WAMA ccm ZANZIBA MTAPATA LAANA NZITO SANA .

  • @SadickAlly-jm5sr
    @SadickAlly-jm5sr11 ай бұрын

    Huyu baba ni mubaguzi wa din tena ni mchochoz

  • @ibrahimsaad617

    @ibrahimsaad617

    11 ай бұрын

    Muongo wwe jibu hoja zake WWE ndio mbaguzi namba moja

  • @mchagagaspar6649

    @mchagagaspar6649

    11 ай бұрын

    UCHOCHEZI GANI ,NCHI 2 KILAMTU AWE NNAVYAKE NIHAKI.

  • @saidabdillahi8107

    @saidabdillahi8107

    11 ай бұрын

    Nani kakupa jina hilo inaonekana umejipa kutaka kuandika chochote sio jina lako halisi

  • @jumamohamed3168

    @jumamohamed3168

    11 ай бұрын

    Unafikiri anachosema ni uongo?.anachosema ni kweli tena kweli.

  • @abuujibriltv5233

    @abuujibriltv5233

    11 ай бұрын

    Una taka au Tetee ukafiri?. Huyu siyo mwana siasa na Wala si askofu ni shekh huyu.

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe513210 ай бұрын

    Shule muhimu!!

  • @vincentcharles4385

    @vincentcharles4385

    10 ай бұрын

    Yaani acha tu,ameolewa huko aliko

  • @shaurimtanda8285

    @shaurimtanda8285

    10 ай бұрын

    We una shule gani?

  • @aminasaid6555

    @aminasaid6555

    9 ай бұрын

    Kwa maajabu gani ya elimu kwa Dunia ya Sasa

  • @leonardalphonce8924
    @leonardalphonce892411 ай бұрын

    endelea nahuo upumbavu

  • @DansonMtambi-fq2ff
    @DansonMtambi-fq2ff11 ай бұрын

    Kwa hiyo hoja yako ni ipi sasa mzee kwani kuna sheria inayo kataza waislam kugombea ubunge😂😂😂😂

  • @venancemashimba9511
    @venancemashimba951111 ай бұрын

    Huyu mzee afanyiwe vipimo vya akiri

  • @ibrahimabdillah5729

    @ibrahimabdillah5729

    11 ай бұрын

    Kwann..?!

  • @aminasaid6555

    @aminasaid6555

    9 ай бұрын

    Wewe hujioni.

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat635211 ай бұрын

    Mzee mmekalia madrasa wakati wakristo watoto wako bize na Kitabu. Mnakusanya fedha kujenga misikiti wao wanachangusha kujenga shule. Bungeni au Serikalini haziendi dini bali taalama ya kidunia. Lini sasa mtalingana nao? Waislam tafakari sana hapo.

  • @angelomalimi2444
    @angelomalimi244411 ай бұрын

    Shehe mzambi sana huyo

  • @ibrahimabdillah5729

    @ibrahimabdillah5729

    11 ай бұрын

    Mzambi kwa lipi?

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles438510 ай бұрын

    Msalimie mmeo huko uliko,vilainishi vikiisha tutakutumia.

  • @paulmairi8795
    @paulmairi879510 ай бұрын

    Tujue elimu yake. Maana hana kitu

  • @aminasaid6555

    @aminasaid6555

    9 ай бұрын

    Kwa maajabu gani ya elimu kwa Dunia ya Sasa

  • @shabanalmas3877
    @shabanalmas387711 ай бұрын

    fadh

  • @edenusmrosso9225
    @edenusmrosso922511 ай бұрын

    na muhamed sio mtume

  • @abaafarhat9191

    @abaafarhat9191

    11 ай бұрын

    Hiyo ni imani yako wala haituhusu ndio maana kuna waislamu na wakristo Muhammad ni mtume sisi tulishamuamini

  • @omaryrjohn65
    @omaryrjohn6511 ай бұрын

    Upumbavu wa watu watanzania mpaka leo hii mnahubiri dini?dini? Dini zimeletwa na wazungu pamoja na waarabu tumekuwa tukiabudu mizimu na miti karne na karne leo hii dini zinatumaliza waafrika kwakweli laana hii haitafutika kamweeeeee ngoja siku tuanze kuchinjana ndio akili ziwakae sawa naona mnahamu sana na vita vyie hamjui madharayake.

Келесі