Allah akusamehe ulipokosea, akurehemu na akuingize peponi
@JumamjakaMjaka-yx5vw11 ай бұрын
Allah amrehemu sheikh wetu Basalehe na amtilie nuru kabur lake
@mwaramimwarami1479
11 ай бұрын
Aamin
@hemedramadhani7946
10 ай бұрын
Aamin
@hamissantanga884911 ай бұрын
Allah tusamehe sisi, pia msamehe Shekhe wetu huyu na mkinge na adhabu zoote baada ya kifo chale na mjjaalie pepo yeye pamoja na marehem wengine Aamin.
@salehrashid70311 ай бұрын
Mashallah allah amrahamu sheikh basaleh
@mohamedimikombe335411 ай бұрын
Inalilah wa Inna ilaih rajiun ALLAH akuweke mahala pema Pepon amin
@alimau7939
11 ай бұрын
Amiin
@AndulHida-hs5py11 ай бұрын
Mola akusamehe na afanye kaburi lako liwe moja ya viwanja vya pepo inshaallah
@gangmore90913 жыл бұрын
Ma sha Allah Ma sha Allah akuweke na Afya njema Amin Allah anatusubir kila mtu atahukumiwa alichokichuma in sha Allah
@alimwinyi31616 жыл бұрын
Kweli kabisa mzee mungu akupe nguvu na sauti
@abadharkhamis590911 ай бұрын
Innalillah wainna ilayh raajiu'n
@gooleserviceyoutubescandar345011 ай бұрын
Allah Muweke Pema Sheikh Kwa Maisha Yake Amiiin.
@mkude
11 ай бұрын
Aamin
@sharifuteacher5025
10 ай бұрын
Ameeeni
@Allybinamour11 ай бұрын
الهم غفر له ورحمه وسكنه فى الجنة
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
11 ай бұрын
Tutengane
@ZINDUKAMUISILAMU30
10 ай бұрын
Aamin
@hamadimuya724811 ай бұрын
Mungu amweke sheikh peponi in Sha Allah
@zahorsalum497611 ай бұрын
Allah akusamehe makosayako .shekh wetu.🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@johnmalale386011 ай бұрын
Waislam walizuiwa na nani kugombea!?
@tindatinda733010 ай бұрын
Mbona Zanzibar mnahamasishana kuhusu udini. Sie huku ktk familia zetu tupo waislam na wakristu Toka familia moja
@allykindamba980011 ай бұрын
INNA LILAH WAINNA ILAYH RAJIUN Allah akusamehe makosa Yako
@user-fi9dh1wz1z11 ай бұрын
Na sisi wabara hatuutaki muungano Kila mmoja wajiandae kurudi kwao
@omarybakari1681
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@1stnews28311 ай бұрын
Ona uuupuuuzi sasa....kugombea ubunge na udini wapi na wapi...Acha udinii
@izzi198
10 ай бұрын
mwaka sabini kulikua na uchaguz?
@1stnews283
10 ай бұрын
@@izzi198 we nawe wale wale embu sikiliza video yote na uache kulikuwa gari kwa mbele
@maisarirajab484611 ай бұрын
Mungu akulipe kila la kheri
@mkude
11 ай бұрын
Aamin
@drnow152811 ай бұрын
Taqbeer
@seneu.212811 ай бұрын
Mungu ampumzishe salama huyu mzee, lakini enzi za uhai wake alikuwa mtu wa udini na ubaguzi hoja zake hapo hakuna chochote wingi wa wabunge bungeni ni maamuzi ya wananchi waliowachagua na sio serikali ni ajabu sana kushindwa kujua nchi hii sehemu kubwa imekaliwa na wakristo kuanzia kanda ya ziwa , kaskazini, nyanda za juu kusini, na mikoa mingi sasa unategemea nini? Nisawa wakristo waliozaliwa Zanzibar walalamike mbona wawakilishi wengi ni waislamu 😂 kwahiyo mkitaka uongozi sio rahisi maana wakristo wako wengi nchi hii na ndio watafanya maamuzi isipokuwa wao hawana ubaguzi wala hamtawasikia wakihoji ujingaujinga ila now anayeongoza nchi ni wenu jitahidini awape nafasi ili muwapite wakristo kam ndio mnachowaza hicho tuone mtafika wapi.
@nassorkhalfan-cl6pm11 ай бұрын
Hatuutk muungano na uvunjike
@ramadhanbaraka647410 ай бұрын
INNALILLAHI WAINNA ILLEIHI RAAJIUUN.
@issamwakinyo320310 ай бұрын
Allah amrehem sheikh wetu hakika alikuwa mtu wa haki
@calabash422110 ай бұрын
Watanzania wenzangu wakristo kwa waislam na wengine wote ambao hawana dini...Naamini hiki kizazi kinaenda kuisha na mawazo haya yatapotea kabisa.....Sisi tutaishi kwa kupendana bila kujali Imani zetu
@mwanahija96811 ай бұрын
Allah amrahamu sheikh wtu
@mwaramimwarami147911 ай бұрын
Allahumma ughfahu warhamhu
@ibrahimsuleyman946511 ай бұрын
Allah amhifadhi Maalim Ally baselehe
@AshilatAbas-qe4fh
10 ай бұрын
Naona Mambo yanaenda kubadilika
@salimmbarouk594610 ай бұрын
thank you for the information
@jakobongwara303810 ай бұрын
Huyu kachelewa mungano haupo zaidi ya kuoana inabidi akaludishe mke
@user-mu7pm1ts6h10 ай бұрын
Hao waisilamu wakiingia nchi wanaweka rehan
@user-hp1im5ek4r10 ай бұрын
Mnataka kutuletea udini wa kikuda wewe mzee ww huna hakiri
@ahamadially835110 ай бұрын
Aah hoja za waislamu mbona kama halina maana hawa mashekh wetu sisi waislamu mbona hatuna hoja
@abdisalumfadhil1176 жыл бұрын
good
@charlesphiliph52810 ай бұрын
Haya,atokee mtanganyika msilamu awe rais Zanzibar.Kwa Zanzibar mkristo wa Zanzibar ni Bora kuliko msilamu wa bara
@VailettyShigerla-fw2sg11 ай бұрын
Ujui urisemero
@YussufSaid-ok4pu11 ай бұрын
اللهم غفرله ورحمه
@Chettymlambalipsi-lb9km10 ай бұрын
We mpumbavu kweli acha udini
@khaulatmohammed37654 жыл бұрын
Hatutaki muungano
@hidayabakar7026
3 жыл бұрын
Kishiki uwapii wasikilize wazee wanao penda uwisilim na haki hawamuogopi kufuli wamuogopa muungu
@shabanindabaga612111 ай бұрын
Inna lillahi wa inna lilahi rajim
@fatmasaid976511 ай бұрын
Allah amrehemu amjaalie kaburi yake rowdha min riyadhi jana
@marieconnect638910 ай бұрын
hayo ya udini yanatoka wapi tena? wakatoliki wamekuwa wana histoiria hadi leo ya kuwa na mashule na vyuo yingi katika Tanzania. kwa maneno mengine ina wasomi wengi zaidi waliotapakaa nchi nzima hadi bungeni. ndiyo sababu
@kennedyngusa889011 ай бұрын
Muungano hatutaki
@DenisonTheonest-yj3mk
11 ай бұрын
Msitutishe kuvunja mungano kwani kuungana na wanzanzibar kuna faida gani vunjeni Tanganyika tunajitosheleza
@ibrahimleonard9546 жыл бұрын
Mambo
@albertmakuri427310 ай бұрын
kwa ujinga huu nikweli lazima upigwe kwa kuhubiri ujinga huu
@GeoffreySumbwe-cq6kk10 ай бұрын
Nendeni kwenu tuende zetu hapo Hamna kusuguana
@marieconnect638910 ай бұрын
inaonekana kama watanganyika ndiyo wanaolazimisha sana muungano? au siyo?
Kwan marekani Kuna wabunge wangap wa kiislam nyie kama vip nendeni uarabuni ndio kwenu huko
@saidaliy472
11 ай бұрын
Na nyinyi nendeni italia roma maana ndo kwenye makafiri wenzenu mnaoabudu masanamu na yesu wenu aliezaliwa kama ww mbwa ww
@eliasmaspela1728
10 ай бұрын
We ni Tako nn
@libetztanzania-kiswahilina284511 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😊😊😊
@AndreaMathias-ql2ri10 ай бұрын
Wewe burekabisa
@King_Of_Everything4 ай бұрын
👊✌️👍。
@mimiraia253111 ай бұрын
Haya jitengeni mradi utumwNi kwa WAOMANI
@rayisadesigns2646
10 ай бұрын
KAKA TUKITENGANA TANGANYIKA MWISHO MOROGORO, KUANZIA MOROGORO NA MIKOA YOTE YA PWANI HAITOKUWA TANGANYIKA. TUSIFURAHIE, HILI LA KUTENGANA NI BAYA SANA. TUMUOMBE MUNGU TUSALIE KAMA WATANZANIA LAKINI TUWE WENYE KUTHAMINIANA, KUPENDANA NA WALA SIO KUDHULUMIANA.
@vincentcharles438510 ай бұрын
Katika na kiuno Mzee
@edwardlaizer290210 ай бұрын
Hapo sasa ndio udini, Semeni mnachokiona juu ya mkataba na sio kuwakosoa waliotoa maoni na mtazamo wao juu ya mkataba. Tupeni maoni yenu juu ya mkataba upite au tusiingie na kwanini😊
@tycoon9540
10 ай бұрын
We nae huna akili Video ya tangu 2011, unakimbilia kupost unataka habari za bandari
@1stnews28311 ай бұрын
Udini na kufundisha watu wachukiaaane bila sababu ..
@RaphaelMmassy10 ай бұрын
😮😢😮😅
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp11 ай бұрын
Vunjeni na ss hatuutaki ndiomaana nchi haipigi hatui
@ahamadially835110 ай бұрын
Lakini inshu ni mkataba jamani sio uisilanu na ukristo
@DenisonTheonest-yj3mk11 ай бұрын
acha kupotosha
@ibrahimabdillah5729
11 ай бұрын
Wapi amepotosha?
@user-rc1dp6ux3k11 ай бұрын
Mbona kama una umri wa kutosha
@lawimichaelwerewere761910 ай бұрын
Hata wapumbavu huzeeka
@user-oi9fi2vm7p10 ай бұрын
Allah ampe k thabit
@nicodemuswidambe513210 ай бұрын
Je nyinyi mnakataa kugombea??
@user-fx9kh1vl7l10 ай бұрын
Kafa na undezi wake.Shubamiiiit
@tanganyikasaad9789
10 ай бұрын
Ndugu unakashifa sana, dharahu, na matusi yaliyopitiliza kiwango cha kuvumilika.
@BarackCharles-vt7kt10 ай бұрын
Na hivi ndivyo walivyofanikiwa kutuvuruga waliozileta dini😂
@nikimboy6093
10 ай бұрын
Mimi naenjoy Sana nikiona waafrica wenzangu wako brainwashed japo ni too sad
@BarackCharles-vt7kt
10 ай бұрын
@@nikimboy6093 for real it’s too sad
@EmanuelMduma-uo7lb11 ай бұрын
Mzee kalewa huyu mnawaza udini leo poleni kweli uyu mzee mpuuzi sana
@user-zl3le1wz2u11 ай бұрын
Nyie na elimu ni mbalimbali ila elimu ahela
@rayisadesigns2646
10 ай бұрын
NAWE ELIMU YAKO NI HIYO YA KUGEUZANA MIDUME KWA MIDUME AU VIPI?!
@abunajreenELSESANY11 ай бұрын
Allah akbar Allah akusaameh makosa yako na akutie PEPONI. THE TOP INFLUENTIAL MUSLIM IN THE COUNTRY.
@noeljoseph561810 ай бұрын
Sasa huo ndio udini, mtu anachaguliwa Kwa sifa na uwezo wanafasi husika sio udini
@salehkhamis-ob8ln
10 ай бұрын
Hapana nyinyi makafiri mnajifanya Tanzania ya kwenu huu ndio mfumo uloekwa
@pungopungo41111 ай бұрын
Huyu mzee mchonganishi. Waislamu walikua hawagombei kwaajili walikua nyuma kielimu. Ni siku hizi tu wameinuka zamani elimu ya maana ni Quran
@ismailjuma3692
10 ай бұрын
QUR'AN itabaki kua elimu ya maana kila wakati, kwaiyo shika adabu yako juu ya qur'an.
@GabrielMwakasege-sx9wv11 ай бұрын
Uyu mzee nimchonganishi namfaham mdamlefu
@ahmadikininga23911 ай бұрын
Hao wabunge wanachaguliwa na nani? Na waislam je, mnashiriki katika zoezi la uchaguzi?
@kennedyngusa889011 ай бұрын
Hoja yako nini?
@noahmadali715011 ай бұрын
Katokea wap huyu tena
@mimiraia253111 ай бұрын
Hawa watu Mbona ni watu wa chuki sana??
@Abdoulyousouf
11 ай бұрын
Ko wakanyagwe tu afu wakae kimya? Wakijitetea ni chuki ni udini?
@bellasi34910 ай бұрын
Sasa wewe haujui kuwa ukristo ndo dunia? We wawapi dunia yote inaendeshwa na mfumo wa chrétien n’a waislamu wagombee ununge sasa au hawana sifa hivi mawazili waislamu mko wangapi
@user-xz3rj2vs8l10 ай бұрын
Utapataje ubunge Kwa elimu ya madrasa wakrito walileta mashule
@kombo878511 ай бұрын
Mzee Mimi Ni muislam lakini kwa kauri zako isitugombnishe sisi tupo keenye swala la bandari unataka kutuhamisha acha kauli
@tycoon9540
10 ай бұрын
Hio video ni tangu 2011, muwe mnaangalia imepostiwa lini sio kukurupuka tu
@aminasaid6555
9 ай бұрын
Ukiona mtu anajitambulisha uislamu hamna kitu hapo mchongo
@ivanbenjamin981611 ай бұрын
Huo n udini sasa kila manzania Hana haki sawa
@user-rc1dp6ux3k11 ай бұрын
Nyie ndiyo mnaleta udini shindwa
@zuzadomikano376511 ай бұрын
NDIO SABABU WALIKUTESA MFANO WA LIVYO MDHULUMU JUSA LADO ,ULIYAZUNGUMZSHAYO YA ZANZIBA,(KAMA MAQAMO WA KWANZA Zanziba) Othman Othman kukata KUSAINI KATIBAZAO BUNGENI WAKAMFUKUZA ,WAMA ccm ZANZIBA MTAPATA LAANA NZITO SANA .
@SadickAlly-jm5sr11 ай бұрын
Huyu baba ni mubaguzi wa din tena ni mchochoz
@ibrahimsaad617
11 ай бұрын
Muongo wwe jibu hoja zake WWE ndio mbaguzi namba moja
Nani kakupa jina hilo inaonekana umejipa kutaka kuandika chochote sio jina lako halisi
@jumamohamed3168
11 ай бұрын
Unafikiri anachosema ni uongo?.anachosema ni kweli tena kweli.
@abuujibriltv5233
11 ай бұрын
Una taka au Tetee ukafiri?. Huyu siyo mwana siasa na Wala si askofu ni shekh huyu.
@nicodemuswidambe513210 ай бұрын
Shule muhimu!!
@vincentcharles4385
10 ай бұрын
Yaani acha tu,ameolewa huko aliko
@shaurimtanda8285
10 ай бұрын
We una shule gani?
@aminasaid6555
9 ай бұрын
Kwa maajabu gani ya elimu kwa Dunia ya Sasa
@leonardalphonce892411 ай бұрын
endelea nahuo upumbavu
@DansonMtambi-fq2ff11 ай бұрын
Kwa hiyo hoja yako ni ipi sasa mzee kwani kuna sheria inayo kataza waislam kugombea ubunge😂😂😂😂
@venancemashimba951111 ай бұрын
Huyu mzee afanyiwe vipimo vya akiri
@ibrahimabdillah5729
11 ай бұрын
Kwann..?!
@aminasaid6555
9 ай бұрын
Wewe hujioni.
@gibsonjosephat635211 ай бұрын
Mzee mmekalia madrasa wakati wakristo watoto wako bize na Kitabu. Mnakusanya fedha kujenga misikiti wao wanachangusha kujenga shule. Bungeni au Serikalini haziendi dini bali taalama ya kidunia. Lini sasa mtalingana nao? Waislam tafakari sana hapo.
@angelomalimi244411 ай бұрын
Shehe mzambi sana huyo
@ibrahimabdillah5729
11 ай бұрын
Mzambi kwa lipi?
@vincentcharles438510 ай бұрын
Msalimie mmeo huko uliko,vilainishi vikiisha tutakutumia.
@paulmairi879510 ай бұрын
Tujue elimu yake. Maana hana kitu
@aminasaid6555
9 ай бұрын
Kwa maajabu gani ya elimu kwa Dunia ya Sasa
@shabanalmas387711 ай бұрын
fadh
@edenusmrosso922511 ай бұрын
na muhamed sio mtume
@abaafarhat9191
11 ай бұрын
Hiyo ni imani yako wala haituhusu ndio maana kuna waislamu na wakristo Muhammad ni mtume sisi tulishamuamini
@omaryrjohn6511 ай бұрын
Upumbavu wa watu watanzania mpaka leo hii mnahubiri dini?dini? Dini zimeletwa na wazungu pamoja na waarabu tumekuwa tukiabudu mizimu na miti karne na karne leo hii dini zinatumaliza waafrika kwakweli laana hii haitafutika kamweeeeee ngoja siku tuanze kuchinjana ndio akili ziwakae sawa naona mnahamu sana na vita vyie hamjui madharayake.
Пікірлер: 167
Allah akusamehe ulipokosea, akurehemu na akuingize peponi
Allah amrehemu sheikh wetu Basalehe na amtilie nuru kabur lake
@mwaramimwarami1479
11 ай бұрын
Aamin
@hemedramadhani7946
10 ай бұрын
Aamin
Allah tusamehe sisi, pia msamehe Shekhe wetu huyu na mkinge na adhabu zoote baada ya kifo chale na mjjaalie pepo yeye pamoja na marehem wengine Aamin.
Mashallah allah amrahamu sheikh basaleh
Inalilah wa Inna ilaih rajiun ALLAH akuweke mahala pema Pepon amin
@alimau7939
11 ай бұрын
Amiin
Mola akusamehe na afanye kaburi lako liwe moja ya viwanja vya pepo inshaallah
Ma sha Allah Ma sha Allah akuweke na Afya njema Amin Allah anatusubir kila mtu atahukumiwa alichokichuma in sha Allah
Kweli kabisa mzee mungu akupe nguvu na sauti
Innalillah wainna ilayh raajiu'n
Allah Muweke Pema Sheikh Kwa Maisha Yake Amiiin.
@mkude
11 ай бұрын
Aamin
@sharifuteacher5025
10 ай бұрын
Ameeeni
الهم غفر له ورحمه وسكنه فى الجنة
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
11 ай бұрын
Tutengane
@ZINDUKAMUISILAMU30
10 ай бұрын
Aamin
Mungu amweke sheikh peponi in Sha Allah
Allah akusamehe makosayako .shekh wetu.🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Waislam walizuiwa na nani kugombea!?
Mbona Zanzibar mnahamasishana kuhusu udini. Sie huku ktk familia zetu tupo waislam na wakristu Toka familia moja
INNA LILAH WAINNA ILAYH RAJIUN Allah akusamehe makosa Yako
Na sisi wabara hatuutaki muungano Kila mmoja wajiandae kurudi kwao
@omarybakari1681
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
Ona uuupuuuzi sasa....kugombea ubunge na udini wapi na wapi...Acha udinii
@izzi198
10 ай бұрын
mwaka sabini kulikua na uchaguz?
@1stnews283
10 ай бұрын
@@izzi198 we nawe wale wale embu sikiliza video yote na uache kulikuwa gari kwa mbele
Mungu akulipe kila la kheri
@mkude
11 ай бұрын
Aamin
Taqbeer
Mungu ampumzishe salama huyu mzee, lakini enzi za uhai wake alikuwa mtu wa udini na ubaguzi hoja zake hapo hakuna chochote wingi wa wabunge bungeni ni maamuzi ya wananchi waliowachagua na sio serikali ni ajabu sana kushindwa kujua nchi hii sehemu kubwa imekaliwa na wakristo kuanzia kanda ya ziwa , kaskazini, nyanda za juu kusini, na mikoa mingi sasa unategemea nini? Nisawa wakristo waliozaliwa Zanzibar walalamike mbona wawakilishi wengi ni waislamu 😂 kwahiyo mkitaka uongozi sio rahisi maana wakristo wako wengi nchi hii na ndio watafanya maamuzi isipokuwa wao hawana ubaguzi wala hamtawasikia wakihoji ujingaujinga ila now anayeongoza nchi ni wenu jitahidini awape nafasi ili muwapite wakristo kam ndio mnachowaza hicho tuone mtafika wapi.
Hatuutk muungano na uvunjike
INNALILLAHI WAINNA ILLEIHI RAAJIUUN.
Allah amrehem sheikh wetu hakika alikuwa mtu wa haki
Watanzania wenzangu wakristo kwa waislam na wengine wote ambao hawana dini...Naamini hiki kizazi kinaenda kuisha na mawazo haya yatapotea kabisa.....Sisi tutaishi kwa kupendana bila kujali Imani zetu
Allah amrahamu sheikh wtu
Allahumma ughfahu warhamhu
Allah amhifadhi Maalim Ally baselehe
@AshilatAbas-qe4fh
10 ай бұрын
Naona Mambo yanaenda kubadilika
thank you for the information
Huyu kachelewa mungano haupo zaidi ya kuoana inabidi akaludishe mke
Hao waisilamu wakiingia nchi wanaweka rehan
Mnataka kutuletea udini wa kikuda wewe mzee ww huna hakiri
Aah hoja za waislamu mbona kama halina maana hawa mashekh wetu sisi waislamu mbona hatuna hoja
good
Haya,atokee mtanganyika msilamu awe rais Zanzibar.Kwa Zanzibar mkristo wa Zanzibar ni Bora kuliko msilamu wa bara
Ujui urisemero
اللهم غفرله ورحمه
We mpumbavu kweli acha udini
Hatutaki muungano
@hidayabakar7026
3 жыл бұрын
Kishiki uwapii wasikilize wazee wanao penda uwisilim na haki hawamuogopi kufuli wamuogopa muungu
Inna lillahi wa inna lilahi rajim
Allah amrehemu amjaalie kaburi yake rowdha min riyadhi jana
hayo ya udini yanatoka wapi tena? wakatoliki wamekuwa wana histoiria hadi leo ya kuwa na mashule na vyuo yingi katika Tanzania. kwa maneno mengine ina wasomi wengi zaidi waliotapakaa nchi nzima hadi bungeni. ndiyo sababu
Muungano hatutaki
@DenisonTheonest-yj3mk
11 ай бұрын
Msitutishe kuvunja mungano kwani kuungana na wanzanzibar kuna faida gani vunjeni Tanganyika tunajitosheleza
Mambo
kwa ujinga huu nikweli lazima upigwe kwa kuhubiri ujinga huu
Nendeni kwenu tuende zetu hapo Hamna kusuguana
inaonekana kama watanganyika ndiyo wanaolazimisha sana muungano? au siyo?
Mbona ushavunjika,bado wee kuuvunja sis tushauvunja
Allah amrehem
Kwan wabunge wanapatikaje ninyi bhana tumieni vichwa msitumie visigino hacheni ujinga
Innalillahi wainnailaihi rajiuun
Hatutaki muungano na wa bongo
@nassorkhalfan-cl6pm
11 ай бұрын
Kabisa bro hatuutak
Ustuvuruge nenda kwenu zanzibari tuachie nc yetu tanga
4:26
Kwan marekani Kuna wabunge wangap wa kiislam nyie kama vip nendeni uarabuni ndio kwenu huko
@saidaliy472
11 ай бұрын
Na nyinyi nendeni italia roma maana ndo kwenye makafiri wenzenu mnaoabudu masanamu na yesu wenu aliezaliwa kama ww mbwa ww
@eliasmaspela1728
10 ай бұрын
We ni Tako nn
😂😂😂😂😂😂😂😊😊😊
Wewe burekabisa
👊✌️👍。
Haya jitengeni mradi utumwNi kwa WAOMANI
@rayisadesigns2646
10 ай бұрын
KAKA TUKITENGANA TANGANYIKA MWISHO MOROGORO, KUANZIA MOROGORO NA MIKOA YOTE YA PWANI HAITOKUWA TANGANYIKA. TUSIFURAHIE, HILI LA KUTENGANA NI BAYA SANA. TUMUOMBE MUNGU TUSALIE KAMA WATANZANIA LAKINI TUWE WENYE KUTHAMINIANA, KUPENDANA NA WALA SIO KUDHULUMIANA.
Katika na kiuno Mzee
Hapo sasa ndio udini, Semeni mnachokiona juu ya mkataba na sio kuwakosoa waliotoa maoni na mtazamo wao juu ya mkataba. Tupeni maoni yenu juu ya mkataba upite au tusiingie na kwanini😊
@tycoon9540
10 ай бұрын
We nae huna akili Video ya tangu 2011, unakimbilia kupost unataka habari za bandari
Udini na kufundisha watu wachukiaaane bila sababu ..
😮😢😮😅
Vunjeni na ss hatuutaki ndiomaana nchi haipigi hatui
Lakini inshu ni mkataba jamani sio uisilanu na ukristo
acha kupotosha
@ibrahimabdillah5729
11 ай бұрын
Wapi amepotosha?
Mbona kama una umri wa kutosha
Hata wapumbavu huzeeka
Allah ampe k thabit
Je nyinyi mnakataa kugombea??
Kafa na undezi wake.Shubamiiiit
@tanganyikasaad9789
10 ай бұрын
Ndugu unakashifa sana, dharahu, na matusi yaliyopitiliza kiwango cha kuvumilika.
Na hivi ndivyo walivyofanikiwa kutuvuruga waliozileta dini😂
@nikimboy6093
10 ай бұрын
Mimi naenjoy Sana nikiona waafrica wenzangu wako brainwashed japo ni too sad
@BarackCharles-vt7kt
10 ай бұрын
@@nikimboy6093 for real it’s too sad
Mzee kalewa huyu mnawaza udini leo poleni kweli uyu mzee mpuuzi sana
Nyie na elimu ni mbalimbali ila elimu ahela
@rayisadesigns2646
10 ай бұрын
NAWE ELIMU YAKO NI HIYO YA KUGEUZANA MIDUME KWA MIDUME AU VIPI?!
Allah akbar Allah akusaameh makosa yako na akutie PEPONI. THE TOP INFLUENTIAL MUSLIM IN THE COUNTRY.
Sasa huo ndio udini, mtu anachaguliwa Kwa sifa na uwezo wanafasi husika sio udini
@salehkhamis-ob8ln
10 ай бұрын
Hapana nyinyi makafiri mnajifanya Tanzania ya kwenu huu ndio mfumo uloekwa
Huyu mzee mchonganishi. Waislamu walikua hawagombei kwaajili walikua nyuma kielimu. Ni siku hizi tu wameinuka zamani elimu ya maana ni Quran
@ismailjuma3692
10 ай бұрын
QUR'AN itabaki kua elimu ya maana kila wakati, kwaiyo shika adabu yako juu ya qur'an.
Uyu mzee nimchonganishi namfaham mdamlefu
Hao wabunge wanachaguliwa na nani? Na waislam je, mnashiriki katika zoezi la uchaguzi?
Hoja yako nini?
Katokea wap huyu tena
Hawa watu Mbona ni watu wa chuki sana??
@Abdoulyousouf
11 ай бұрын
Ko wakanyagwe tu afu wakae kimya? Wakijitetea ni chuki ni udini?
Sasa wewe haujui kuwa ukristo ndo dunia? We wawapi dunia yote inaendeshwa na mfumo wa chrétien n’a waislamu wagombee ununge sasa au hawana sifa hivi mawazili waislamu mko wangapi
Utapataje ubunge Kwa elimu ya madrasa wakrito walileta mashule
Mzee Mimi Ni muislam lakini kwa kauri zako isitugombnishe sisi tupo keenye swala la bandari unataka kutuhamisha acha kauli
@tycoon9540
10 ай бұрын
Hio video ni tangu 2011, muwe mnaangalia imepostiwa lini sio kukurupuka tu
@aminasaid6555
9 ай бұрын
Ukiona mtu anajitambulisha uislamu hamna kitu hapo mchongo
Huo n udini sasa kila manzania Hana haki sawa
Nyie ndiyo mnaleta udini shindwa
NDIO SABABU WALIKUTESA MFANO WA LIVYO MDHULUMU JUSA LADO ,ULIYAZUNGUMZSHAYO YA ZANZIBA,(KAMA MAQAMO WA KWANZA Zanziba) Othman Othman kukata KUSAINI KATIBAZAO BUNGENI WAKAMFUKUZA ,WAMA ccm ZANZIBA MTAPATA LAANA NZITO SANA .
Huyu baba ni mubaguzi wa din tena ni mchochoz
@ibrahimsaad617
11 ай бұрын
Muongo wwe jibu hoja zake WWE ndio mbaguzi namba moja
@mchagagaspar6649
11 ай бұрын
UCHOCHEZI GANI ,NCHI 2 KILAMTU AWE NNAVYAKE NIHAKI.
@saidabdillahi8107
11 ай бұрын
Nani kakupa jina hilo inaonekana umejipa kutaka kuandika chochote sio jina lako halisi
@jumamohamed3168
11 ай бұрын
Unafikiri anachosema ni uongo?.anachosema ni kweli tena kweli.
@abuujibriltv5233
11 ай бұрын
Una taka au Tetee ukafiri?. Huyu siyo mwana siasa na Wala si askofu ni shekh huyu.
Shule muhimu!!
@vincentcharles4385
10 ай бұрын
Yaani acha tu,ameolewa huko aliko
@shaurimtanda8285
10 ай бұрын
We una shule gani?
@aminasaid6555
9 ай бұрын
Kwa maajabu gani ya elimu kwa Dunia ya Sasa
endelea nahuo upumbavu
Kwa hiyo hoja yako ni ipi sasa mzee kwani kuna sheria inayo kataza waislam kugombea ubunge😂😂😂😂
Huyu mzee afanyiwe vipimo vya akiri
@ibrahimabdillah5729
11 ай бұрын
Kwann..?!
@aminasaid6555
9 ай бұрын
Wewe hujioni.
Mzee mmekalia madrasa wakati wakristo watoto wako bize na Kitabu. Mnakusanya fedha kujenga misikiti wao wanachangusha kujenga shule. Bungeni au Serikalini haziendi dini bali taalama ya kidunia. Lini sasa mtalingana nao? Waislam tafakari sana hapo.
Shehe mzambi sana huyo
@ibrahimabdillah5729
11 ай бұрын
Mzambi kwa lipi?
Msalimie mmeo huko uliko,vilainishi vikiisha tutakutumia.
Tujue elimu yake. Maana hana kitu
@aminasaid6555
9 ай бұрын
Kwa maajabu gani ya elimu kwa Dunia ya Sasa
fadh
na muhamed sio mtume
@abaafarhat9191
11 ай бұрын
Hiyo ni imani yako wala haituhusu ndio maana kuna waislamu na wakristo Muhammad ni mtume sisi tulishamuamini
Upumbavu wa watu watanzania mpaka leo hii mnahubiri dini?dini? Dini zimeletwa na wazungu pamoja na waarabu tumekuwa tukiabudu mizimu na miti karne na karne leo hii dini zinatumaliza waafrika kwakweli laana hii haitafutika kamweeeeee ngoja siku tuanze kuchinjana ndio akili ziwakae sawa naona mnahamu sana na vita vyie hamjui madharayake.