No video

TUSHIKAMANE NA NYENDO ZA SH.BASALEH , ALIWAPAMBANIA WAISLAM NA NA SASA WANA THAMANI - SH. ALHAD MUSA

Mazishi ya Sheikh Ali Said Basaleh kutoka Masjid Mtoro kuelekea Makaburi ya Kisutu , Julai 31,2023. Sawa na Kiarabu Mwezi 13 Mfungo Nne Muharam Mwaka 1445 Hijriyya. Na amefariki 30-07-2023 katika Hospitali ya Agakhan Jijini Dar Es salaam Jumapili na kuzikwa Kisutu leo Jumatatu
Follow Us On:
INSTAGRAM: / miladu_tv
FACEBOOK: / babdeo miladu/
TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
KZread: / @babdeomiladu

Пікірлер: 1

  • @mwaramimwarami1479
    @mwaramimwarami1479 Жыл бұрын

    Baaraka llahu fik