MAISHA YA ALLY SYKES

Пікірлер: 40

  • @Do-it-yourself_at_home
    @Do-it-yourself_at_home2 ай бұрын

    MASHAALLAH

  • @yassinhamza1969
    @yassinhamza19693 ай бұрын

    History nzur sana,wazee wamepigania nchi wanakuja kula nchi wengine kabisa

  • @user-et9vf2ro2k
    @user-et9vf2ro2k5 ай бұрын

    Aa babu yangu wee waislam si wapo bakwataaa

  • @SulemanKhan-lr1mu
    @SulemanKhan-lr1mu5 жыл бұрын

    I have a lot of respect and good memories of Ali Sykes and his younger brother Abbas Sykes. Ali Sykes use to be our market master at Kariakoo. His office was behind the book store. My father use to send me to see Ali Sykes in his office to pay our rent which sometimes use to be late. I use to see a very slim man sitting in his office reading a newspaper. I did not know who he was, but later on I came to know he was Malimu, how can one get hold of Ali Sykes book and who is the publisher. Many Thanks.

  • @user-et9vf2ro2k
    @user-et9vf2ro2k5 ай бұрын

    Uyoo alikuja kuwazimaa wote akijifanya peke yake ndio master

  • @charlesmpemba9387
    @charlesmpemba93872 жыл бұрын

    Nyerere alikuwa msomi Sana.wao hawakuaoma.kumlinganisha na watu wengine sio

  • @edwinbernard3289

    @edwinbernard3289

    4 ай бұрын

    alikuwa msomi kumshinda chief Kidaha, nyerere alikuwa mwalimu tu,,, huyo Hamza mwapachu alikutana na nyerere wakiwa makelele , nyerere anasomea ualimu, Hamza anachukua medicine

  • @TZEOnline
    @TZEOnline8 жыл бұрын

    Safi sana napenda story zenu na simulizi za historia za wapigania uhuru

  • @user-et9vf2ro2k
    @user-et9vf2ro2k5 ай бұрын

    Kilio Tena kilio tumeumiaa

  • @ferimariam
    @ferimariam9 жыл бұрын

    Mashallah I am so proud to meet the Son Of AbdulWahid Sykes give me all the back ground of our history about Muslim People InTanzania Please Everyone need to Know the real history about our Country Tanzania East Africa Mashallah

  • @muhssinmshangama6180

    @muhssinmshangama6180

    6 жыл бұрын

    Kwa kuwa zipo shule za kiislam historia hii iwekwe kwenye masomo ya shule hizo ili wajue namna gani Nyerere alipotosha historia ya uhuru na namna gani waislam waliumizwa kupigania uhuru wa nchi hii inayowanufaisha makafiri na kuwavujisha damu waislam walioumia na kufungwa jela bila hatia

  • @user-et9vf2ro2k
    @user-et9vf2ro2k5 ай бұрын

    Minadhani tuamue Sasa kumbe sio wazanzibari t wa nasema na kudai ukweli kuleta Haki usawa hata watanganyika

  • @kingosman9311
    @kingosman93117 жыл бұрын

    Allah amuweke peponi sheikh SULEIMAN TAKADIR ameen.

  • @rajabkassongo9774

    @rajabkassongo9774

    6 жыл бұрын

    Ni hitoria nzuri za wapigania Uhuru Wa Tanganyika yetu tunafanyaje kuwaenzi wazee wetu

  • @sk-wj9or
    @sk-wj9or5 жыл бұрын

    Naomba uwataje walio uwawa na Nyerere. Zanni ,Tabora, Stephen Muhando ,Muheza, sokoeni nk Leo wapiga kelele tulio dhulumiwa wazazi wala hatujaaliwi.@ mwana historia mohamed said

  • @ffahima2010
    @ffahima20106 жыл бұрын

    Dah inasikitisha sana, nataman wange fight enz hizo hizo, coz kweli haingiii akilin ukilinganisha enz hizo dar wenyej wake wengi ni waislam hasa kariakoo

  • @allyiddi5866
    @allyiddi58662 жыл бұрын

    Katika hili hatutakiwi waislam kuwa wanyonge . Hawa wamadhehebu mengine ndiyo maana wanatumia nguvu kubwa Sana kutaka chama kikngine kinacho tokana na mtu wa dhehebu nyingine tofauti na c c m inayotokana na kuanzishwa tanu ambao waanzilishi wake ni waumini wa dini ya kiislam

  • @siyaluggajo1625
    @siyaluggajo1625 Жыл бұрын

    Chief Makwaia kukataa kuchukua Urais wa Tanu kwa kigezo cha kuogopa wazungu na kwa maslahi yake mwenyewe kwa lugha nyepesi tunaweza kusema alikuwa Kibaraka mnaona ni SAWA. Lakini kwa Nyerere kukubali kuacha kazi yake ali risk na kukubali kupewa Urais usio na ofisini wala nguvu yeyote na kuendelea kukijenga chama cha TANU kisiwe na msingi wowote wa kidini mnaona ni TATIZO aisee mna matatizo makubwa sana.

  • @edwinbernard3289

    @edwinbernard3289

    4 ай бұрын

    aliacha kazi lakin nani alikuwa anamfadhil kama siyo Ali sykes, na ndiyo alileta udini kwenye chama

  • @user-et9vf2ro2k
    @user-et9vf2ro2k5 ай бұрын

    Yeye aliwazima wote wote kabissa ili waislam wasiojuilikane wasisikike na yeye pia alitumika ukatoliki uwe mbele

  • @mwalimuchatta4294
    @mwalimuchatta42943 жыл бұрын

    Mungu atatulipia to

  • @chazylben7711
    @chazylben77115 жыл бұрын

    Hapo nimejifunza kitu kumbe historia ya TAA ilianza kabla ya Bwana Abdul na Ally bali wao ndio waliongeza nguvu, kwahiyo ningependa kujua zaidi TAA ilianzishwa na nani au wazee gani hadi TAA akafahamika imeundwa

  • @salumkanju1732

    @salumkanju1732

    5 жыл бұрын

    ni baba yao mzee kleist sykes alikua katibu mkuu wa TAA na rais wake akiwa ceclia matola walioiongoza tangu kuundwa mpaka 1948 waliowaachia fedasto kyaruzi kama rais na abdulwaid sykes akiwa katib kama ilivyokuw kwa baba yake mzee kleist sykes na hawa ndio wakikabiz madaraka ya chama kwa nyerere ndipo TANU ilianza hata hivyo mawazo yakubadilisha TAA kuwa TANU yalianza tangu memoranda1950 pindi hiyo nyerere yuwasoma edinbugh scotland huko uingereza ambako nako alikaribishwa na hamza mwapachu mtanzania alikuw akisomea mambo ya medical enzi hizo

  • @user-et9vf2ro2k

    @user-et9vf2ro2k

    5 ай бұрын

    Jamani eee emu sikilizeni hayaa maneno emu amkeni kuweni na akili timamu huyo Mt alinatumia akili yake kusema nyeupe ni nyeusi na watu walikubali nakucheka huku wakipiga makofi

  • @aasykesful
    @aasykesful4 жыл бұрын

    TANU History - @t

  • @mkambotv5418
    @mkambotv54185 жыл бұрын

    wadau nauliza, Ally sykes na Duli Sykes wana uhusiono wa kidamu?

  • @rajabumasoud9954

    @rajabumasoud9954

    5 жыл бұрын

    Mababu zake hao, ni ukoo mkubwa wenye historia MashaAllah

  • @mwalimuchatta4294

    @mwalimuchatta4294

    3 жыл бұрын

    Ndio mjuku wao

  • @allyiddi5866

    @allyiddi5866

    2 жыл бұрын

    Ally saikes ni baba wa fully Sykes

  • @allyiddi5866

    @allyiddi5866

    2 жыл бұрын

    Dully mjukuu kabisa ally skyes

  • @user-et9vf2ro2k

    @user-et9vf2ro2k

    5 ай бұрын

    Ni KAKA YAKE NDIO ABDUL SKILS

  • @GlobalSouthObserver
    @GlobalSouthObserver3 жыл бұрын

    Mapinduzi Daima!!!! Usultani hautorudi Africa!!!!

  • @shaibhamdun5225

    @shaibhamdun5225

    2 жыл бұрын

    Ufalme haujaondoka afrika, usijidanganye. Pole

  • @husseinfarid2883

    @husseinfarid2883

    2 жыл бұрын

    chuki za bure na ujing na muarabu gani anahaja na tanzania yenu saivi, wenye haja mi beberu imewaletea dini feki na kuchukua maadini yenu na mnakaa kimya pumbavu wazungu mnawaona watu sana ? na waarabu ndio mnawachukia , unajua fika wazungu ndio washenzi ila ujing ndani ya vichwa vya kijinga kama vyako. usiwe mtumwa wa fikra amka

  • @NOORMOHAMED-sg9lo

    @NOORMOHAMED-sg9lo

    10 ай бұрын

    Bado wapo Nya ja za elimu, dini , wamekuwa wanaizungumzia historia yao hapa kama ndio wanaijua tangamyika na africa wakati Tanzania imeshaweka historia yao na wanasikilizwa . Zawadi kwa serikali kama rafiki. Maamuzi ya pamoja na mengi tu. El Che. Mapinduzi daima