WATUHUMIWA UGAIDI WALIOFARIKI/SHEIKH PONDA AFUNGUKA HAYA

🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV ( +255 767 400402),
🔘WhatsApp ( +255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Пікірлер: 232

  • @user-wk4br3rc6u
    @user-wk4br3rc6u2 ай бұрын

    Sheikh ponda mwenyez mungu azididi kukusimamia uzidi kufichua madudu yanayofanywa na serikari hii juu ya waislam Allah naamini atasimama nasi na atasikia kilio chety amina😢😢😢

  • @laurentjoseph2957
    @laurentjoseph29573 жыл бұрын

    Hizo ni mbinu za makafiri kurudisha nyuma Uislamu.......inshallah hawatafanikiwa maana marekani wamefanya hivo Mara nyingi wamefeli na Uislamu unaendelea kusonga mbele, Allah ndiye atakaye wahukumu hao wenye kudhulumu

  • @brunamgendi2958

    @brunamgendi2958

    3 жыл бұрын

    unaitwa nan kwa jina lako

  • @jamessilwamba4259
    @jamessilwamba42593 жыл бұрын

    mimi ni mkristo lakini nisema uislamu sio ugaidi, ugaidi ni wa mtu binafsi kujiingiza kwenye mambo maovu ikitokea kuwa muislamu au mkristo kafanya mambo yanayoonekana kuwa ni ugaidi tusiingize dini kuhusika ni kuwaonea tu

  • @ramadhanmahongole7987

    @ramadhanmahongole7987

    3 жыл бұрын

    usiwatee waislam kitabu chao kinafundisha ugaid ndomana magaid woote au vikundi vya uvunjifu wa amani kama vile boko haram,al shaabab ni hao hao waislam.utasemaje hawafubdishwi na kitabu chao? ukristo unafundisha kupendana yesu alisema "mpende adui yako kama unavyojipenda mwenyewe" embu nitafutie andiko hilo kwenye kulan kama utapata. hilo ndilo linalowafanya waislam kote duniani hadi unaona waislam kwa waislam wanapigana vita haziishi ni kwasababu somo la upendo hawana hakuna mahala mtume wao amewaagiza wawe na upendo kwa maadui zao.wao wameagizwa wewe jino kwa jino na aadui

  • @shaharaltaiwan4645

    @shaharaltaiwan4645

    3 жыл бұрын

    @@ramadhanmahongole7987 Hujausoma Uislamu wewe,kwanza hilo jina la Dini ya Kiislaam litafsiri.

  • @mamialsawafi8020

    @mamialsawafi8020

    3 жыл бұрын

    @@ramadhanmahongole7987 hahahaha bwege bora nikucheke maana nikikujibu utajiona punguani pole sana

  • @ramadhanmahongole7987

    @ramadhanmahongole7987

    3 жыл бұрын

    @@mamialsawafi8020 umcheke nani. mavi yako wee!! lione pale

  • @yussrasaid862

    @yussrasaid862

    3 жыл бұрын

    @@ramadhanmahongole7987 ukizaliwa muislam peke yake ni neema kajifunze

  • @hassanally286
    @hassanally2863 жыл бұрын

    Allah ndio hakimu na atawalipa na atawaonesha hapahapa dunian

  • @mamamuu8217
    @mamamuu82173 жыл бұрын

    Innalillah wainna ilaihi raajiuuun, Allah awasameh na hii serikali Allah anaiyona nayy atawalipia inshaallah kama Wana makosa Allah awasaidie

  • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/d6SmxMp-d9q6gKg.html

  • @kapondamsita476
    @kapondamsita4763 жыл бұрын

    Mtihani kweli kweli mungu awasaidie mashekhe wetu

  • @kassimmnyamisi7461
    @kassimmnyamisi74613 жыл бұрын

    Kwa kweli hii hali inaumiza sana lkn itafika wakati watu watachoka na uvumilivu utakwishwa

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah43573 жыл бұрын

    Innalillahi wainayllahi raijiuun Allah awajaalie kheri na baraka in shaa allah

  • @bellbell9294
    @bellbell92943 жыл бұрын

    Innalilah wainalilah rajiunn allah awaraham masheikh wetu awape kauli thabiti yaraab wajaalie jannah firdaus waja wako Aamiin

  • @allyfutto8763
    @allyfutto87633 жыл бұрын

    MUNGU atujaalie Hakhi itawale Aamin 🤲🏻

  • @abuu_luquman6860
    @abuu_luquman68603 жыл бұрын

    Hali hii so nzur kama hawata zindka nas hatutakbaliana na uoga na tutaomba msaada kwa mungu kptia mikono yetu waislam

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    3 жыл бұрын

    Kweli mungu na si Mungu wa Kweli

  • @JumaBakar-bu8ck
    @JumaBakar-bu8ck Жыл бұрын

    Sawasaw shekh tupo pamoja na wew

  • @mohdmbarouk8465
    @mohdmbarouk84653 жыл бұрын

    Ndio maana kila kukicha Hali ya maisha inazidi kuwa ngumu kwa sababu kama hizi za kudhumulu watu

  • @hashimtwalib9923

    @hashimtwalib9923

    3 жыл бұрын

    Ili haya matatizo yaishe nchi zetu ni watu kuandamana sio kupinga ugaidi lakini kuukataza MFUKO WA UGAIDI kutotoa pesa kuzipatia nchi hizi ambazo zinatengeneza matukio ya makusudi ili kuonyesha wanapambana na ugaidi ili kila mwaka waendelee kupewa hizo hela....Say no terrorist funds to our countries .... ....

  • @ruwaidaal-ismaily9099
    @ruwaidaal-ismaily90993 жыл бұрын

    إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ😢

  • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/d6SmxMp-d9q6gKg.html

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati36413 жыл бұрын

    HAKUNA SHEHE ALIYEFANYA UGAIDI , HII NI DHULMA DHIDI YA WAISLAMU.

  • @meshajoni5662

    @meshajoni5662

    3 жыл бұрын

    Utajua mwenyewe,,situnajua uhgaidi wotee unafanywa na uislam

  • @myunaniniahmad6463

    @myunaniniahmad6463

    3 жыл бұрын

    @@meshajoni5662 hakuna shida, dunia ni mapito tu. Mbele ya mungu tutajua ukweli. Na mungu anaujua wiislaamu tu.

  • @ismailjuma3692

    @ismailjuma3692

    3 жыл бұрын

    @@meshajoni5662 sawa haina shida ipo siku kiburi chako kitageuka majonzi,bila shaka tunae Mungu wala hatubahatishi.

  • @yussrasaid862

    @yussrasaid862

    3 жыл бұрын

    @@meshajoni5662 Allah akufungue macho In shaa Allah

  • @salimsaid7200

    @salimsaid7200

    3 жыл бұрын

    @@meshajoni5662 MAGAIDI WA DUNIA MNZIMA NI WAISRAEL NA WA MAREKANI HATA RAIA WA MAREKANI WA LIJUWA HILO SASA WEWE DADA YANGU WA KIBOSHO UKILENGA DINI YA MWEZAKO KUWA NI MAGAIDI WEWE HAUPO DUNIANI WEWE NI MAITI LAKINI MWILI UNA TEMBEA.

  • @SHOLLAH804
    @SHOLLAH8043 жыл бұрын

    Innalillah waina illaihi raajighun Allah hakim in sha Allah we will meat each other on the day of judgment

  • @kassimsuleiman733
    @kassimsuleiman7333 жыл бұрын

    Sio kuingiza nchi kwenye laana Tanzania inalaana za Mumgu maana viongozi wetu ni wachafu mbele ya Mungu viongozi wote wanalaana za Mungu mm nasema hawajafanya lolote basi tuu kwasababu ni waislamu ktk nchi iliyokua haipendi dini ya kiislam ni tanzania . Tanzania total ni nchi ya kikafiei Wallah tanzania ishalaaniwa na Mungu tumekosa nini waislam munatudhalilisha munatuua munatulawiti Inshallah Mungu awalaani viongozi wote munaotuandama sisi waislam na Allah hajashindwa kuwdhuru nyinyi ila Kawaida ni mwenye kusubiri na sisi tunasubiri kwake hukumu ipo

  • @salehtessema5894

    @salehtessema5894

    3 жыл бұрын

    Na sisi waIslam tuko wengi tu tena wengi sana 50/50 sasa wao Hawataki iwe hivyo wanatubaguwa kwenye uongozi mashule hata kupata misaada toka kwenye Nchi za kiislam hawaufurahii wakati kuna ubalozi wa Vatican hapa na misaada ya mamilioni ya madola Yaletwa kwa waumini wa kikiristo Lakinisisi tuna Allah aliyetuumba sisi wote tutamlilia yeye nasi tuna muabudu yeye tu hatumshirikishi na yoyote yule dhidi yake hivyo jitengezeeni adhabu yenu Allah Akbar!

  • @shawalmohammed6059
    @shawalmohammed60593 жыл бұрын

    Innalillah wainailayh raajiuun... Allah ndie Hakim wa mahaakim inshaaAllah

  • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/d6SmxMp-d9q6gKg.html

  • @nassorshaaban7295
    @nassorshaaban72953 жыл бұрын

    Kikwete'Mkapa Magufuli wote wapate Laana ya Mwenyezi Mungu na huko waliko Mungu awachome Zaidi na huyu kikwete Asubilie siku Roho ikimtoka atakuta stahiki yake. Rais Samia upo kwenye Mtihani Mkubwa na km na ww utafanya huu.... waliofanya waliokutangulia basi faham na ww utaingia Kwenye Dhima na utajibu.!!

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    3 жыл бұрын

    Nassoro shabani kikwete hana kosa lolote na mungu atamsaidia kwa kila jambo hupangwa na mungu kama ni kweli

  • @hudhud2022
    @hudhud20223 жыл бұрын

    Allah Kareem atawalipia wote hao madhalim walohusika mkono yao imejaa damu dhidi ya waislam

  • @zubedasoud9204
    @zubedasoud92043 жыл бұрын

    Inna lillah wainna illah rajiuun. Allah awape kauli thabbit. Allah awasameh makosa yao Allah awalipie dhulma walizofanyiwa maskin hadi wamefariki. Imeniuma sana. Allah awalipie

  • @meshajoni5662

    @meshajoni5662

    3 жыл бұрын

    Andamanaa

  • @rukiahamis3745

    @rukiahamis3745

    3 жыл бұрын

    @@meshajoni5662 in am a an shann?

  • @saidmgen9608
    @saidmgen96083 жыл бұрын

    Innalillah wainnailayh raajiun, Allah atufanyie wepec inshaa Allah

  • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/d6SmxMp-d9q6gKg.html

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora11803 жыл бұрын

    Innalilah wainnaillah rajiuun

  • @salminabuhudhaifa4273
    @salminabuhudhaifa42733 жыл бұрын

    Ujumbe na maelezo mazito lakini alieiandaa hakuwa manikini kwa muonekano na usikivu wake.

  • @Di-official97
    @Di-official973 жыл бұрын

    Innalilah wainna ilayhi rajiun

  • @issahdady608
    @issahdady6083 жыл бұрын

    Innalillah wainnaa ilaih rajioun

  • @asyaamuhammed2408
    @asyaamuhammed24083 жыл бұрын

    Shekh ponda Allah akuhifadhi

  • @machinjashabani5331
    @machinjashabani53313 жыл бұрын

    Shehe jambo hili lina tia hofu sana! Kufa ni kitu cha kawaida, lakini jambo hili una weza kuji uliza maswali bila ya majibu. Ila ubaguzi ndani ya nchi hii, ni jina mizi zidi ya Islamic

  • @muslimbukhari6591

    @muslimbukhari6591

    3 жыл бұрын

    Innalillah wainnailaih raajiuu'n, inauma sana Mume wangu hata sijui kapelekwa wapi tumefuatilia bila mafanikio mpaka sasa nijiite Nani lkn tegemeo language kubwa Kwa Allaah,

  • @chumawambura3375

    @chumawambura3375

    3 жыл бұрын

    ndio baba nimekuerewa vizuli kwani ugaidi sio dini ya mtu hata kidogo ugaidi ni mtu kuwatumia watu katika uwalifu sio itikadi ya dini bali ni roo ya mtu mwenyewe

  • @yasiralkindi5332

    @yasiralkindi5332

    3 жыл бұрын

    @@muslimbukhari6591 pole sana dada

  • @saudasangoda9670

    @saudasangoda9670

    3 жыл бұрын

    @@muslimbukhari6591 Allah akuongeze subra kipenzi kwa mtihan huo ndg yangu

  • @abaafarhat9191
    @abaafarhat91913 жыл бұрын

    Ina lilah waina ilaih rajiun

  • @munaahfarina2934
    @munaahfarina29343 жыл бұрын

    Innalillahi wainnaileihim rajhun 😭 Allah awabashirie jannatu firdausi 🤲 ameen

  • @geja8708
    @geja87083 жыл бұрын

    Dah naumia sanaaa aisee

  • @idrissajuma7308
    @idrissajuma73083 жыл бұрын

    Sote ni wa M/muungu na kwake tutarejea✌️✌️

  • @zuberizuberi7844
    @zuberizuberi78443 жыл бұрын

    Huu ni mtihani wamepewa viongoz na wengi wanafeli

  • @MohamedOmar-sg8ts
    @MohamedOmar-sg8ts3 жыл бұрын

    Allah ndie mlipaji inshAllah

  • @salehmkandala1170
    @salehmkandala11703 жыл бұрын

    Kuwa mikononi mwa dola hakumzuii M/mungu kuchukua uhai wa mja wake . Sisi sote ni wa m/ mungu na hakika kwake yutarejea bila kujali tuko wapi

  • @maryjoseph7931

    @maryjoseph7931

    3 жыл бұрын

    @@MohamedAli-en9xh na Ndugu yako Soma Online Tv mbona hamjamtusi Saleh anayepingana na taarifa ya Sheikh Ponda😂😁😀😂 au Salehe ni Kafiri wa Kiislamu?

  • @MohamedAli-en9xh

    @MohamedAli-en9xh

    3 жыл бұрын

    @@maryjoseph7931 Iyo mm cja iyona naonge kile ambacho nme ona au nmeskia Usinilazmishe kuonge ktu nisicho kijuwa Na kuhusu ukafir mtu yeyote anaweza kuwa kafir haijulishu kazaliwa wap na asili yake kabila yake wala nchi yake Bali imani yake na matendo yake ndio yana weza kumfanya akawa kafr Na kla mtu anapo zaliwa anakuwa muislam ukafir unakuja kwa matendo yake Hata mm nawez kuwa kafir na mtu mwengne yyote ilo lina weze kana Karibu tena Kwaiyo mm siwezi kumshangaa huyo

  • @MohamedAli-en9xh

    @MohamedAli-en9xh

    3 жыл бұрын

    @@maryjoseph7931 Ilo mm cjaliona na mm naongea nlicho ona au nlicho ckia au nnacho kijuwa Usinilazmshe kuongea ktu nisicho kijuwa Kuhusu ukafir mtu yeyote anaweza kuwa kafir hata mimi au ww Ukafir ni matendo ya mtu haijalishi anatoka wap kabila gani wala rang gani Kwaiyo na yeye kama amefamya jambo ambalo linaweza kumpelekea kuwa kafir inawezekana hiyo sio ajabu Karibu tena

  • @hawakiza6067

    @hawakiza6067

    3 жыл бұрын

    @@maryjoseph7931 huyu Salehe hajitambui kabisa Mwenyezi Mungu amuongoze yeye na sisi

  • @ramadhanimwenyiae3734

    @ramadhanimwenyiae3734

    3 жыл бұрын

    Kama huna chakusema ni busara kukaakimya

  • @athumanchambo8455
    @athumanchambo84553 жыл бұрын

    Nikweli kabisa hii ni nchi yetu sote hakuna aliyejuu ya sheria.na pia familia za hawa masheikh waliokufa Italipwa nn. Hii yatosha kua ni uvunjifu wa aman.

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye59723 жыл бұрын

    Sheikh ponda Allah akulipe kwa kuupigania uislam na waislam, binafsi nawalaum baadhi ya masheikh kula wa bakwata , wao wana nguvu na wanawafuasi wengi ambao wengi wao wanawaamini kama viongozi wao, cha kusikitisha ni kwamba wao ktk suala hili wamekaa kimya kabisa utafikiri wao ni tawi la kanisa au serikali. Hawa bakwata ndio chanzo cha madhila ya waislam Tanzania , wanatumika vibaya. Bakwata muogopeni mwenyezimungu unganisheni umma wa waislam tupate nguvu ya pamoja kuwanusu masheikh wetu walioko gerezani kwa dhuluma. Inna lillahi wainna ilayhi rajiun

  • @saidalhinai1131

    @saidalhinai1131

    3 жыл бұрын

    mama samia wewe ndie Rais wetu kwa sasa tunakupenda lkn hili la watu wengi kutupwa magerezani kwa tuhuma nikubwa nusu ya watu wanasota magerezani kwa tuhuma wakiwemo masheikh tunakuomba angalia watu wanateseka magerezani bila makosa na wewe utaulizwa siku ya hukumu mfano hao masheikh miaka 8 ushahidi haujakamilika sisi sio watoto hio serikali ya mabavu na uonevu watu wanasota kwa dhulma zenu

  • @aminasaid6555

    @aminasaid6555

    10 ай бұрын

    Akwata iko chini ya kanisa

  • @salo.613
    @salo.6133 жыл бұрын

    Haki ni kauli ya Mola,ili Sisi tufaulu kwenye huu ulimwengu,ni kusema haki na kutenda haki.Hapo tushawakilisha Mungu Kwa tulip lolote lile.

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu98373 жыл бұрын

    Kwani kule olasiti si alikuwa mkristo alielipuwa bomu?

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati36413 жыл бұрын

    HII NI SERIKALI NDIO INAYOWEKAIRIPUKO ZANZIBAR SIKU ZOTE IKIKARIBIRIA UCHAGUZI SEIF ALI IDDI ANAANDAA GENGE LAKE KAZI YAO NI KURIPUA.

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda92393 жыл бұрын

    Hata wangekuwa kwao wangekufa,cku zao ximrfika

  • @sabrinaali9750

    @sabrinaali9750

    3 жыл бұрын

    Kila kifo kina sababu

  • @ummesaniyah

    @ummesaniyah

    3 жыл бұрын

    Ndio wangekufa tu hata majumbani mwao... Lakini kama kuna mtu amesababisha vifo vyao lazima awajibike mbele ya sheria kabla hawajarudi kwake Allah..

  • @oscarramazani1289

    @oscarramazani1289

    3 жыл бұрын

    Usisemee fujo juu ya uislam utajuta mbele.

  • @rejobu9723
    @rejobu97233 жыл бұрын

    😴

  • @rosemaryikamba5288
    @rosemaryikamba52883 жыл бұрын

    Ustazi Inabidi utengue kauli hiyo ya kwamba ni waislamu tu ndo wako gerezani inaweza let's uchochezi wa kidini

  • @yussufmaulid3980

    @yussufmaulid3980

    3 жыл бұрын

    Tokauko

  • @daudimwaitebele420

    @daudimwaitebele420

    3 жыл бұрын

    We mpumbav walio gerezan dhid ya kutuhumiwa na ugaidi icho ndicho anacho kiongea stupd

  • @mjige9088
    @mjige90883 жыл бұрын

    Kweli shekhe siyad bare alifanya upumbavu huo na kuazia hapo mikosi mpaka leo

  • @hassanisadiki824
    @hassanisadiki8243 жыл бұрын

    Ushauli wangu Mimi naona Mashek wote wajitoe kwenye shughuli Za serikali, wanatakiwa wasiende iwe kwenye Siasa Ama kwenye msiba au popote pale shughuli inayo fanywa na serikali na pia Bakatwa inatakiwa ijitoe chini ya usimamizi wa serikali

  • @rodgerscharles5741

    @rodgerscharles5741

    3 жыл бұрын

    Poleni sana wana wa mungu mama anasikia inshallah atalifanyia kazi na haki itatendeka

  • @hassanisadiki824

    @hassanisadiki824

    3 жыл бұрын

    @@rodgerscharles5741 In shaa Allah Rodgers

  • @emmadora7848

    @emmadora7848

    3 жыл бұрын

    Wewe mwenyewe wakikupa kacheo kokote kale Leo hii itajumuika nao tu uongo dhambi, tuombe Mola awafanyie wepesi binadamu wenzetu

  • @championshahidu2465
    @championshahidu24653 жыл бұрын

    Mbona mnakatikakatika hamsikiki sehem nyingine!?

  • @yusufubashiriyusufubashiri2849
    @yusufubashiriyusufubashiri28493 жыл бұрын

    Hi

  • @championshahidu2465
    @championshahidu24653 жыл бұрын

    Mbona unakatikakatika shekh wangu?

  • @wabobuagere6440
    @wabobuagere64403 жыл бұрын

    Waliopewa dhamana waangalie sana ila wakumbuke mwisho was maji tope

  • @hooswengosha2985
    @hooswengosha29853 жыл бұрын

    Haya ndo madhara ya kutawaliwa n makuffar n wanaffiq

  • @hildantandu5909

    @hildantandu5909

    3 жыл бұрын

    Kwani rais wa nchi alikuwa nani?

  • @charleskanoni9489

    @charleskanoni9489

    3 жыл бұрын

    Kikwete wenu waislamu kafiri kamuulize sabb ya kuwaweka ndani, Tumia akili na nidhamu, wewe hujaongea na Mw. Mungu akakuthibitishia kuwa dini yako wewe madhubuti, na Ukristo ni ukafiri, soma vizuri vitabu vya dini ujue ukafiri ni nini na Ukristo ni nini Na kwa bahati yako mbaya sana; serikali ya Tanzania haina udini, na familia present kubwa zina mchanganyiko wa dini hizo, ndg wa damu! Labda wewe kwenu ukoo nzima hamna mchanganyiko ndiyo maana unasema upendavyo.

  • @cailand8115
    @cailand81153 жыл бұрын

    Corona

  • @hamzaburhan5408

    @hamzaburhan5408

    3 жыл бұрын

    KILA LINA MWISHO WAKE, UTAFIKA TU.

  • @zahorsalum663
    @zahorsalum6633 жыл бұрын

    Badae tutakubali tu waislam waTz km nasisi tumefikia wakati kuunda makundi yetu yajihadiii.

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    3 жыл бұрын

    Zahor uko nchi unachotarajia kuunda kundi la jihadi nawe utawekwa ndani hapa tanzania hakuna udini wala ukabila maana waislamu na wakristu wanaoana acha mambo kama hayo

  • @husseinibnuhassan1272
    @husseinibnuhassan12723 жыл бұрын

    Kwanini mnakata kata maneno ya sheikh wetu?

  • @hooswengosha2985
    @hooswengosha29853 жыл бұрын

    HawA madhalimu waambie shehe

  • @meshajoni5662

    @meshajoni5662

    3 жыл бұрын

    Maneno matupu ayoooo

  • @hooswengosha2985
    @hooswengosha29853 жыл бұрын

    Sisi waisl m dunia kwetu jela la mcngi tuwe wakweli ktk iman ytu

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    3 жыл бұрын

    Bora unajua kama hamko wakweli dunia hii ,Mungu akuokoe

  • @hooswengosha2985
    @hooswengosha29853 жыл бұрын

    Watu kulipiza kisas si balaa bali ndo sunna wew

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    3 жыл бұрын

    Oooh pole saana Lipa hicho kisasi

  • @jozymmasy2768
    @jozymmasy27683 жыл бұрын

    Uwonevu tu ila mwisho utafika

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila85623 жыл бұрын

    Bakwata wako wapi?

  • @hudhud2022

    @hudhud2022

    3 жыл бұрын

    Baraza la Wakirustu hilo inavyoonekana

  • @hudhud2022

    @hudhud2022

    3 жыл бұрын

    Wanapenda kufanya hivyo hao walawiti washenzi vibaraka wa marekani na uingereza hao

  • @hudhud2022

    @hudhud2022

    3 жыл бұрын

    Manguruwe mbwa wakubwa viongozi wa ccm vibaraka wamerikani na waingereza wanafiki minguruwe ya ccm laana MMungu awashushie

  • @hudhud2022

    @hudhud2022

    3 жыл бұрын

    Thabit Bakwata wanaogopa TISS maana hao TISS ni mijitu haina dini nguruwe wakubwa watauona moto wa jahanam kwa dhulma zao Allah ndio alosema hakuna atakachipata dhalim ila khasara na khasara ni kuingizwa pahala pabaya nyie walevi wa madaraka

  • @hudhud2022

    @hudhud2022

    3 жыл бұрын

    Jamhuri hawana ushahidi haupo wala hawataupata na wamejipanga kuwatafuta waislam njaa wasomuogopa MMungu wakatowe ushahidi wa uwongo Hasbunallah waniiimal wakiil laana uwashukie wao na walio panga hayo MMungu anajuwa zaidi nasema tulivyosikia na lisemalwo lipo na kama halipo laja ila tu najitahid kwa dua Allah atutaqabalie dua zetu awage uzie watawalaa laana walonazo na hao waislam wenzetu walokubali au watakaokubali unafiq huo

  • @mangobase
    @mangobase3 жыл бұрын

    Alie wa weka ndani ni muislam anae laumiwa mkristo ... Kusingizia p ia ni dhambi kubwa

  • @MohamedAli-en9xh

    @MohamedAli-en9xh

    3 жыл бұрын

    Hakuna alo singiziwa yyote alie waweka ndani sio muislam uislam ni imani na matendo sio jina wala uzawa wala ukabila Lkn pia mtu wa dini flani anaweza kutumiwa na mtu wa dini nyingne kufanya uovu flani kwa lengo la kuichafua ile dini ya mtendaji wa lile tukio au kwa lengo la kujficha ili isijulikane kwamba wafuwasi wa dini flani ndio walo fanya tukio flan Na kwanch hii inawezekan Kwa7bu kuna muungano wa kihuni na wale mashekhe walkuwa waki washaji hisha watu kuukataa muungano hlo ndio kosa lao ayo mengne ni hujumatu wanazo fanyiwa kwa makusud Na kama unafahamu kwamba ccm wa zanzbar ni vbara wa ccm wa tanganyika kwaiyo wakipewa amr ya kufanya llote wanaweza kulifanya Bos mashekhe hawaja wekwa ndani na waislam muislamu wa kweli hawezi kumzulumu mtu kias kle bla ya kutenda kosa husika

  • @mangobase

    @mangobase

    3 жыл бұрын

    @@MohamedAli-en9xh naona wewe unataka kubishana... TU.. Eti uislam ni dini ukristo ni mtu... Ccm ni ukristo.. Kiongozi yoyote muislam anaamrishwa na. MKristo hata muungano ni wa kikristo.. Hayamadai kunawatu walisha stop kukua... Kua mwanamme kunawatu wanamlaum jpm kawafunga mashehe wakati walifungwa enzi za mkwere..

  • @ankallypandu8781
    @ankallypandu87813 жыл бұрын

    Sheikh gani alokufa

  • @xinyingmiao4996
    @xinyingmiao49963 жыл бұрын

    jamani haki itendeke kwakweli tusilete vita ya udini nchi yetu ni ya amani

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    3 жыл бұрын

    Ije tu mbona India na Somalia wanauana ??

  • @xinyingmiao4996

    @xinyingmiao4996

    3 жыл бұрын

    @@trophywilson7211 omg u

  • @jozymmasy2768
    @jozymmasy27683 жыл бұрын

    Sabaya mbona haitwi gaidi

  • @salimsaid7200

    @salimsaid7200

    3 жыл бұрын

    SABAYA CAPTAIN WA WATU WASIO JULIKANA KAUWA WENGI.

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga10653 жыл бұрын

    Hawa MASHEKHE walikamatwa na serikali ya kikwete kwa presha ya wamarekani kwamba ni magaidi wakati ule wakiitwa wanauamsho hivi ninyi Waislamu kwa nini mnawatesa MASHEKHE hao.

  • @MohamedAli-en9xh

    @MohamedAli-en9xh

    3 жыл бұрын

    Mashekhe hawateswi na waislam hata kama utawaona majina yao ni yakiislam na wamezaliwa na waislam nasabu zao na familia zao ni waislam dini yao iwe ni uislam Lkn wao hawatakuwa waislam uislam sio ukoo wala nasabu bali ni imani yamtu na matendo ya mtu Hata ww william mwamalanga unaweza kuwa muislam kutokana na imani yako na matendo yako Si umezaliwa na wakristo kwan wakristo wangap wame slim na leo ni waislam Nikwamba wame badlisha imani zao na matendo yao sijui ume nielewa au laa Kama hauja elewa sema nitakuelewesha zaid cc hatuchok kuwaelewesha walio potea kwa kuendekeza vishawish va dunia

  • @alimohammedomar3412

    @alimohammedomar3412

    3 жыл бұрын

    Labda humui kuwa sheria hii ilipitishwa kabla ya Mh. Kikwete

  • @emmadora7848

    @emmadora7848

    3 жыл бұрын

    Marekani tena khaaaaa, ila mnajua kuwachukia lakini wenzenu wanaishi maisha yao safii hawana njaanjaa kama zenu, jifunzeni kushughulikia matatizo yenu bilà kuwaingiza wasiohusika

  • @hooswengosha2985
    @hooswengosha29853 жыл бұрын

    Mbona huwataj walokufa

  • @salimsaid7200

    @salimsaid7200

    3 жыл бұрын

    NDIO KAWATAJA AU UNA KUSUDIA MAJINA YAO???? KWANI AKIWATAJA MAJINA UTA WAJUWA????

  • @mwalimumbukuzi7273
    @mwalimumbukuzi72733 жыл бұрын

    Hukuwasemea walipowekwa ndani, ulihangaika kuwalisha viapo waislamu wamuunge mkono mtume wako Tundu lisu. Leo domo kaya! we vipi?

  • @MohamedAli-en9xh

    @MohamedAli-en9xh

    3 жыл бұрын

    Hata leo hajachelewa mana bado wapo ndani Na hlo la tundu lisu ule ndio wakat wake Na vp kuhusu mungu wenu magu ndio ame enda kuwaongoza malaika au ameenda kujpanga ili aje amalize lengo lake la kuviuwa vyama vya upinzani hhhhh Mungu mkubwa jamani acheni hajaribiwi

  • @Sheba4651

    @Sheba4651

    3 жыл бұрын

    Ha ha ha..... Ati kaenda kuwaongoza malaika, Duh! Malaika tena.

  • @ummesaniyah

    @ummesaniyah

    3 жыл бұрын

    Waislamu lazima tuwe na akili na strategy katika ufanisi wa mambo yetu... Sababu ya sheikh Ponda kumuunga mkono tundu Lisu ilikuwa ni Hawa masheikhe na waislamu wote walio jela... Lisu ndio alikuwa mgombea pekee ambaye alito ahadi ya kuwasaidia waislamu kama angechaguliwa... Kwa hiyo sheikh Ponda hakufanya Yale kwa sababu zake binafsi..self interest...bali aliyafanya Yale ya kumpa support Lissu for the interest of the Muslim ummah.... Allahu aa'lam

  • @MohamedAli-en9xh

    @MohamedAli-en9xh

    3 жыл бұрын

    @@ummesaniyah Hakka na ukweli ni kwamba bira lisu pamoja na ukristo wake kulko ao waislam wengne kwa matendo yao Na wame changia kuwekwa ndan masheikhe Bila wao wala isinge wezekana katu abadan

  • @chumawambura3375
    @chumawambura33753 жыл бұрын

    nao walikamatwa na magufuli?

  • @MohamedAli-en9xh

    @MohamedAli-en9xh

    3 жыл бұрын

    Hakuwakamata yeye lkn na yy pia ni miongoni mwa walio wakamata lao ni moja na ndomana amefika kuondoka duniani lkn hakuwahi kuwatetea hata cku 1 una mtowaje hapo kwenye zulma hiyo Na uwezo wa kuwatetea alkuwanao

  • @hawakiza6067

    @hawakiza6067

    3 жыл бұрын

    @@MohamedAli-en9xh kweli kabisa

  • @MohamedAli-en9xh

    @MohamedAli-en9xh

    3 жыл бұрын

    @@hawakiza6067 Pamoja sna

  • @maryjoseph7931
    @maryjoseph79313 жыл бұрын

    Gazeti moja tu ndo litoe taarifa ?

  • @MohamedAli-en9xh

    @MohamedAli-en9xh

    3 жыл бұрын

    Ndio kwani kuna la ajabu hapo Kwa nchi hii

  • @ismailjuma3692

    @ismailjuma3692

    3 жыл бұрын

    @@MohamedAli-en9xh Achananae nae mjinga huyo

  • @MohamedAli-en9xh

    @MohamedAli-en9xh

    3 жыл бұрын

    @@ismailjuma3692 Ahsante kka pamoja sna

  • @alimohammedomar3412

    @alimohammedomar3412

    3 жыл бұрын

    We hujui kuwa magazeti mengine yote ni yale yanayopendelea upande usio wa waislamu?

  • @MohamedAli-en9xh

    @MohamedAli-en9xh

    3 жыл бұрын

    @@alimohammedomar3412 Anajuwa ila ushabiktu una msumbua

  • @edwinmbelle4207
    @edwinmbelle42073 жыл бұрын

    Ponda ponda umechoka kulala na Bibi mbona unawashwa na uchochezi mbona ulikuwa ndani hukufa ? We mfuasi wa lissu unatukera ?

  • @khatwabisadathil3423

    @khatwabisadathil3423

    3 жыл бұрын

    Uchungu tunaujua cc.we kaa kimya na domo lako.uchochezi unajua ww?

  • @ismailjuma3692

    @ismailjuma3692

    3 жыл бұрын

    Kaa kwa kutulia wewe.

  • @edwinmbelle4207

    @edwinmbelle4207

    3 жыл бұрын

    Tutaona kama mtaona pepo kwa unafiki mnajifanya watu wacha mungu kumbe mnataka kuvuruga nchi , ponda shehee anakosaje wanafunzi awasomeshe dini naona kakosa cha kufanya !!!!

  • @oscarramazani1289

    @oscarramazani1289

    3 жыл бұрын

    Edwin jitahidi sana uwe katika haki

  • @edwinmbelle4207

    @edwinmbelle4207

    3 жыл бұрын

    Uongozi nchini umefanya mengi kuwaridhisha lakini lawama tu mungu hapendi !!!

  • @albertnshunju4172
    @albertnshunju41723 жыл бұрын

    Huyu jamaa uwa hana point. Wanaokamatwa no watuhumiwa sio waislam. Hawaangalii dini wanangalia umetenda uhalifu. That's what happens

  • @ismailjuma3692

    @ismailjuma3692

    3 жыл бұрын

    Wewe mjinga sana kumbe.

  • @oscarramazani1289

    @oscarramazani1289

    3 жыл бұрын

    Miaka 8 upelelezi Mumm!!!

  • @ibrahimjuma10

    @ibrahimjuma10

    3 жыл бұрын

    Uyu anaitaji A K tu mpumbavu mmoja

  • @ibrahimjuma10

    @ibrahimjuma10

    3 жыл бұрын

    Uyu anaitaji A K tu mpumbavu mmoja

  • @omakywazamani6696

    @omakywazamani6696

    3 жыл бұрын

    Ni ta race merde funga matako wewe

  • @trophywilson7211
    @trophywilson72113 жыл бұрын

    Acha wafe na wengine wengi hufariki

  • @hawakiza6067

    @hawakiza6067

    3 жыл бұрын

    Una mana gani?

  • @MohamedOmar-sg8ts

    @MohamedOmar-sg8ts

    3 жыл бұрын

    Na wewe upo njiani pia jitayarishe

  • @hawakiza6067

    @hawakiza6067

    3 жыл бұрын

    Bora kufa ukiwa muislamu

  • @ramadhanimwenyiae3734

    @ramadhanimwenyiae3734

    3 жыл бұрын

    Wewe baki duniani miaka 200 inshallah

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74383 жыл бұрын

    Tunasikia wewe ni mrundi shekhe wewe wa annur kweli taja kabila lako tulijue

  • @amosmoses7800

    @amosmoses7800

    3 жыл бұрын

    MAgU ALijioNA munGu. ALijioNA aKiWa nA uFaLmE nA utaWaLa inChini TanZaNiA bAsi inAtoshA tu . Ataishi tu miLeLe biLa yA kuumWa waLa miSAadA KutOkA njE. KwAsaBaBu AliJionA ni munGu haNa sHiDa nA uLimweNgu wA njE . HuYu mAmA Ana MaoNo yA kujUA kWamBa TanZaNiA iLivyo BiLa yA miSaaDa nA mashiLikiaNo nA maTaiFa yA njE . .TuTaAngaMia

  • @saidalhinai1131

    @saidalhinai1131

    3 жыл бұрын

    Wewe si mkenya acha ujinga mpumbavu watu wanaongea point wewe unaleta umalaya wako shenzi

  • @hashimtwalib9923

    @hashimtwalib9923

    3 жыл бұрын

    Anao watetea je?acha ujinga

  • @oscarramazani1289

    @oscarramazani1289

    3 жыл бұрын

    Magiret wamtakia mini ponda juu ya kutetea haki za waislam?ogopa Muumba

  • @salehtessema5894

    @salehtessema5894

    3 жыл бұрын

    Hapa Tanzania wako wahamiaji kabla ya Nyerere kuzaliwa wewe pia pengine jamaa zako walitoka mallawi sisi tuamjua ni mtanzania tena ni mtanganyika huo ndiyo ule ubaguzi wa kisonono ni kwa sababu anazungumza uonevu dhidi ya waislam unamtishia ni Kabila gani Acha ubaguzi tafuta lenye maana ufanye

  • @rosemaryikamba5288
    @rosemaryikamba52883 жыл бұрын

    Sio waislamu wote walihusishwa waliokamatwa ni watuhumiwa kama watuhumiwa wengine Mi naona unataka tenganisha wananchi kwa udini Kama Lema yupo hai we muite Lema akatoe USHAHIDI ili watoke Lakini usilete uchochezi wa kidini

  • @hamidudongo1879

    @hamidudongo1879

    3 жыл бұрын

    You need to shut off your mouth. Wewe tetea kutokufanyika kwa Haqqi. Watu wakija kufunguka usije kushangaa. Nchi zote hizo zote Matatizo, yameanza hivyo hivyo. Kumbuka, wewe, mimi na wengine hatutokuwa na amani. Waislamu hatutaki kupendelewa bali tunataka haqqi zifanyike. Sio Wenzetu wamependelewa toka uhuru mpaka sasa. Chekelea mwiba tu.

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo43823 жыл бұрын

    WAKRIATO NDIO WENYE MIPANGO MICHAFU KWA KUSHIRIKIANA NA VYOMBO VYA DOLA!

  • @hildantandu5909
    @hildantandu59093 жыл бұрын

    Kumbe Kikwete naye ni kafiri,kwa sababu yeye ndiye alikuwa Raid wa nchi

  • @charleskanoni9489

    @charleskanoni9489

    3 жыл бұрын

    Bila shaka Kikwete nimkristo. Analaumiwa mkristo, aliyewaweka ndani muislam mwenzao! Ajabu sana.Kwani wakimkamata mhalifu anaulizwa dini yake? Waislam kila kitu kulaumu wakristo! Pia hata hawajui kafiri ni mtu gani?! Wao huona wakristo hawana dini. Lkn wakumbuke kuwa; kabla ya uislamu Ukristo uliokuwepo, wanaruka Ukristo kwenda kwenye again la kale, Kwa Musa na ..., Ni Ajabu. Hivi huko hela wanakufaga waislamu tuu?

  • @charleskanoni9489

    @charleskanoni9489

    3 жыл бұрын

    again=agano

  • @charleskanoni9489

    @charleskanoni9489

    3 жыл бұрын

    hela=jela

  • @Sheba4651

    @Sheba4651

    3 жыл бұрын

    ## Charles Hapa ulimwenguni kuna watu aina mbili tu, aliye kafiri na aliye muumini (Muislamu) tena wewe mwenyewe chagua kundi gani upo. Hilo lipo tangu Nuhu na Ibrahim na nabii yoyote yule, siku ikifika huko ima uwe unaye urithi uzima wa milele ama uliyeangamia Jehanam, sasa Yesu ndio awe Mungu akupe huo uzima.

  • @oscarramazani1289

    @oscarramazani1289

    3 жыл бұрын

    Kikwete alikuwa na haki ya kuwatetea wasikae mda mrefu bla hukum

  • @hooswengosha2985
    @hooswengosha29853 жыл бұрын

    Kafir ndugu yke munafiq

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    3 жыл бұрын

    Kwa kweli na muislamu Kafri wa uhakika maana anatumikia shetwani

  • @hooswengosha2985
    @hooswengosha29853 жыл бұрын

    Uadilifu haukai ktk mfumo huu wa kidhalim

  • @mwalimumbukuzi7273
    @mwalimumbukuzi72733 жыл бұрын

    Asante ISA Ponda. Swahaba namba 1 wa nabii Tundu Antipas Lisu? Sema wazi unatetea Chadema sio chama kimoja cha siasa ! Uislamu!!!? Mhmm.

  • @athumanitanuke6795
    @athumanitanuke67953 жыл бұрын

    Kwa nin mashekh zetu kila siku na sio wachungaji , hapo mim naona kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia

  • @peteryukunda9239

    @peteryukunda9239

    3 жыл бұрын

    Ukihubiti Dini kwa Amani hamna atakayekusumbua,Badala MTU ahubiri neno yeye anakandia dini nyingine.Hata mpagani atafika mbinguni kwa matendo yake,Kukaa kimya nami akuguse?

  • @machinjashabani5331

    @machinjashabani5331

    3 жыл бұрын

    @@peteryukunda9239 usicho elewa: kinacho zungumziwa ni sheria kulenga watu wa imani moja. Na mashitaka yao niya namna moja! Na hakuna hata mmoja alie hukumiwa! Kwa maana hakuna ushahidi unao pelekea kutiwa hatiani. Ni zaidi ya myaka 7 sasa. Ila wewe una chuki zinazo Pelekea kuona ujinga huu.

  • @yunusramadhan2546

    @yunusramadhan2546

    3 жыл бұрын

    Mm binafsi ponda sikumaindi ww ni mwanasiasa sio ulamaa wa haqi maulamaa wahaq washauliwa na wengine ndio hao mwawasumbua2 huku mara kule

  • @rasulmombeji8796

    @rasulmombeji8796

    3 жыл бұрын

    Ukweli utajulikana siku moja mbele ya hakimu wa mahakimu wote na baadhi yao watakuwa wamesha chelewaa wakati huo hakuna kurudi nyuma tenaaa

  • @emmadora7848

    @emmadora7848

    3 жыл бұрын

    Wachungaji wamefanya nini?

  • @japhetpdidi49
    @japhetpdidi493 жыл бұрын

    Kwani sio muhamadi aliyesema ameamuliwa kuuwa wote adi wawe waslamu

  • @wanyooshetv9987

    @wanyooshetv9987

    3 жыл бұрын

    Luka 19:27 YASU ANASEMA ADUI ZAKE WACHINJWE KWA MUJIBU WA BIBLIA SASA TUPE DALILI YA MANENO YAKO WEE KAFIRI!

  • @maryjoseph7931

    @maryjoseph7931

    3 жыл бұрын

    @@wanyooshetv9987 umekariri Kafiri tu😂😁😀😂😇😇 mnatukana ukristu wakati Zaburi ni sehemu ya sources of Islamic Law fala ww eeee vip Agano la kale katika bible mnalitumia la nn kama Ukristu ni ukafiri

  • @wanyooshetv9987

    @wanyooshetv9987

    3 жыл бұрын

    @@maryjoseph7931 WEE KAFIRI TULIZA MSHONO HAKUNA MUISLAMU ANAYETUMIA BIBLIA ACHA KUDANGANYA ALAFU BIBLIA HAINA TORATI BALI KUMBUKUMBU HAINA ZABURI BALI NYIMBO HAINA INJILI YA YESU BALI INJILI BANDIA ZA KINA MATHAYO, MARKO, LUKA NA YOHANA QUR'AAN NI KITABU KILICHOSADIKISHA VITABU VILIVYOTANGULIA KABLA YAKE NA NIUKUMBUSHO KWA WAUMINI/WAISLAMU

  • @hooswengosha2985
    @hooswengosha29853 жыл бұрын

    Shehe taffadhal alaina bil ifada wakristo c ndugu wala hawtokua ndugu mpka kiyama

  • @mubaraknyamihasi8607

    @mubaraknyamihasi8607

    3 жыл бұрын

    Kuna udugu wa aina Tatu kwanza udugu wa Damu pili upamoja katika jamii tuliyopo Tatu ni udugu wa kiroho.udugu wa kiroho Hawahusiani nasi lakini udugu wa aina mbili ni sawa .

  • @mubaraknyamihasi8607

    @mubaraknyamihasi8607

    3 жыл бұрын

    Innaa lillah wainnaa ilayhi raajiun

  • @mubaraknyamihasi8607

    @mubaraknyamihasi8607

    3 жыл бұрын

    Sheikh ponda mungu akuhifadhi na akupe umri wenye manfaa .

  • @emmadora7848

    @emmadora7848

    3 жыл бұрын

    Kwanza unatusaidia nini wewe? Hata usipokuwa ndugu yetu wewe hutoi pumzi hutupi maji kwenda zako huko

  • @hooswengosha2985
    @hooswengosha29853 жыл бұрын

    Hawaja fnya km mwanzo ushasema mbinu

  • @laurentjoseph2957
    @laurentjoseph29573 жыл бұрын

    Hizo ni mbinu za makafiri kurudisha nyuma Uislamu.......inshallah hawatafanikiwa maana marekani wamefanya hivo Mara nyingi wamefeli na Uislamu unaendelea kusonga mbele, Allah ndiye atakaye wahukumu hao wenye kudhulumu

  • @nambizajuma

    @nambizajuma

    8 ай бұрын

    Kweli ndungu ata mtume alisema uislamu utapgwa vita sana sana ila sisi waumin ndo tubadilike

  • @Di-official97
    @Di-official973 жыл бұрын

    Innalilah wainna ilayhi rajiun

  • @Di-official97
    @Di-official973 жыл бұрын

    Innalilah wainna ilayhi raajiun

Келесі