KUTOKANA NA MIDAHALO INAYOLETA TOFAUTI, JE WEWE KAMA SHEIKH WA MKOA UMECHUKUA HATUA GANI PAKA SASA.

• KUTOKANA NA MIDAHALO I... #KHIDMATV #SheikhwaMkoawaDaresSalaam #MidahaloyaTanga #SheikhMuhammedBachu

Пікірлер: 111

  • @saidmwakulika706
    @saidmwakulika706 Жыл бұрын

    Mashaallah alhabib Walid Allah azidi kukupa hikma na busara yukujuwa kuishi nao

  • @mustaphasaid3404
    @mustaphasaid340411 ай бұрын

    Maasha allah shekh wamkoa mola akulipe Pia nimefurahi kumuona mwalimu wa hasan aluy diin

  • @user-ym1jy9hw2v
    @user-ym1jy9hw2v Жыл бұрын

    Masahaba wa mtume swallallaahu alaihi wa sallam walirudi Kwa mtume wakapata suluhu na sisi turudi Kwa Allah na mtume wake na kupitia ufahamu wa masahaba sababu wao ndio walimuelewa mtume kuliko sisi

  • @saidissa8273

    @saidissa8273

    Жыл бұрын

    Kurudi Kwa Allah na mtume ndio huku kuweka Aya mezani kujua sahih na batli.hakuna NAMNA nyengine

  • @mosule9262
    @mosule9262 Жыл бұрын

    Hicho kisa kipindi Hiko mtume alikuwepo Sasa Kuna vitu vimezuka mtume hayupo mnamsimguzia mtume mnamzushia haya hayawezi kukaliwa kimya hata kama tofauti haziwezi kuisha ,Bora muambiwe watu wajue Haq hata kama hawatoifuata ,Hili halitoondoa aman kwasababu ni elimu .

  • @HawaOmary-fb6wo

    @HawaOmary-fb6wo

    Жыл бұрын

    KWAIYO MTUME HAKUZALIWA ZUZU MKUBWA WEE

  • @mrishosudi1896

    @mrishosudi1896

    Жыл бұрын

    😂😂 tena bonge la zuzu

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    acha ujinga, mizozo lumbere nyie nfo mwaitaka, kuna mambo chungumzima ya kuzungumza ya msingi ni midahalo tu, acheni ujinga baadhi mawahabi mishenz

  • @muhammadbilali8209

    @muhammadbilali8209

    Жыл бұрын

    ​@@HawaOmary-fb6woKazaliwa lkn hakufanya birthday party wala hakufundisha hilo na hatuna mafundisho hayo toka kwa waislam bali tunaona birthday party ya nabii I'isa kwa manaswara wanaiita (Christmas) na pia birthday party toka kwa makafir wa kishia hii mnayoita (maulidi).

  • @muhammadbilali8209

    @muhammadbilali8209

    Жыл бұрын

    ​@@mafiatv5479Nafasi hiyo ya hayo mengine unaweza na ww kuweka mdahalo wako ukawaita wengine mkanakishiana! Uwanja ni mpana

  • @thedon8467
    @thedon8467 Жыл бұрын

    Mashaallah tabarallah

  • @amourmakame9795
    @amourmakame9795 Жыл бұрын

    Tofauti haziishi mpaka kiama. Ila tuitafute haqi tuache batwili

  • @ahmadsalim4417

    @ahmadsalim4417

    Жыл бұрын

    Kuna muislam amekula ngurue akasema ni halal? Au unazngumzia batwil gañ?

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Жыл бұрын

    Masufi acheni kuabudia makaburi

  • @user-dg6ui4pj1q
    @user-dg6ui4pj1q Жыл бұрын

    Mashallah

  • @Zuuhtv
    @Zuuhtv Жыл бұрын

    Shekh walid allah akuhifadh

  • @asriyaaljabry27
    @asriyaaljabry27 Жыл бұрын

    Ninyi watu wenye akili sikilizeni kwa makini haki mtaiona na batili mtaijua wengi vwa masheikh wanafata itiqadi zao tu

  • @fikafikan8484

    @fikafikan8484

    Жыл бұрын

    Hakuna itikadi zao wanamfuata mtume s a w itikadi gani zao ukiulizwa haya tujubu

  • @user-dg6ui4pj1q
    @user-dg6ui4pj1q Жыл бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @kavumohemedi871
    @kavumohemedi871 Жыл бұрын

    Ishu ni kwamba wanaozusha mambo ktk dini ya Allah lazma waambiwe

  • @KhamisHaji-pw4jo

    @KhamisHaji-pw4jo

    Жыл бұрын

    Sheikh wng yepi wamezushwaa?.kama hupendi bora ka kimyaa kama mm nisiojua kitu.

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    we una uhakika km wamezua au ufahamu? kumbe nyie ndo mwaleta fujo ktk dunia hii, acha ujinga we kwako ukiangalia kuna watu hawaswali wengine makafiri waingizeni watu ktk nuru sio wakati wa kuzungumza mijadala kueni na adabu na hishma nyie mangapi mwafanya makosa mbn hatusemi, acha ujinga ndg

  • @ibnhassan9980

    @ibnhassan9980

    Жыл бұрын

    Ni lazima wajiweke wazi na aibu zao zibainishwe

  • @ibnhassan9980

    @ibnhassan9980

    Жыл бұрын

    ​@@mafiatv5479wewe jamaa inaonekanwa ni mvivu wa kusoma,,bro soma kaka kitabu Cha sheikh jaafar barazanji kina uwongo ;shirki,na matusi.

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    @@ibnhassan9980 hakuna aibu hapo kwani twaiba? aibu kuiba tu

  • @Abusalim308
    @Abusalim30811 ай бұрын

    Kwenye haki watu watafanya munaqasha ili mambo yawekwe wazi haki na batwil ijulikane hatuwez kukaa kusikiliza sheikh wenu anataka nini itafanywa kama mtume alivotaka. watu wakae watudanganye mambo ya uongo watuambie maulid ni ibada bado watu wakae watudanganye tu hatukai kimya abadani

  • @adamkilembwe.
    @adamkilembwe. Жыл бұрын

    Hekma na busara zinahitajika kwa kweli,ili amani iendelee

  • @alvinsanga2428
    @alvinsanga2428 Жыл бұрын

    NYIE MNASHIDA SANA MJITAFAKALI SANA

  • @hanifatanzania7258

    @hanifatanzania7258

    Жыл бұрын

    Sana

  • @abusabirhassan1844
    @abusabirhassan1844 Жыл бұрын

    Sheikh haiwezi kuwa Sawa nahiyo tafauti hiyo kulikuwa na hadithi lkn hiyo tafauti hiyo haina hadithi ni uzushi

  • @FarahJey
    @FarahJey Жыл бұрын

    Wewe shehe wa mkoa mzima, Wasema tofauti zilikuweko, Hakukuwa na tafauti za maulidi hebu sema kweli.

  • @omarsakawa2070

    @omarsakawa2070

    Жыл бұрын

    Ana maanisha tafauti ya kufahamu maneno ya mtume,na haya ya maulid pia ni hivo,kuna hadith yasema mwenye kuanzisha mwenendo mzuri katika uislamu atapata ujira,kwa hio yanayo fanyika katika maulid ni mwendo mzuri ambao umeanzishwa na yamo katika uislamu ikiwa utayaangalia kwa uadilifu .wala usibabaishwe na lile jina la mawlid.

  • @omarsakawa2070

    @omarsakawa2070

    Жыл бұрын

    Hili jina la mawlid ndio la wasumbua watu wengi,hata wakashindwa kuangalia yanayo fanyika humo,ni kama kikundi cha watu waamue kukusanyika kusoma qur'an kila mwezi tarehe fulani kisha wakaipa jina siku hio (shahriyya)kwa vile ni jambo la kila mwezi ,sasa hapo hatusemi shahriyya ni bid'a bali tutaangalia kinacho fanywa ni kipi?

  • @FarahJey

    @FarahJey

    Жыл бұрын

    @@omarsakawa2070 Yaonesha huijui maana ya bidaa

  • @ustadhamiin5941

    @ustadhamiin5941

    Жыл бұрын

    Mawahabi wana mangapi wanafanyaa hakuna hata swahaba, hadidghi, wala Qur'an na Karne tatu bora alie Fanya wao wafanya , kasomeni mwanzo musibabaishe watu na chuki zenu

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    wewe lete dalili km hakuna

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 Жыл бұрын

    Lakini wale masahaba wao hawakuzusha kwa sababu mtume amewakubalia rai za makundi yote Lakin sisi tunamzulia uwongo wa wazi je tusikosowane .. Elewa kuwa kwenye uwongo hakuna khitilafu hasa hasa kuzushia mtume

  • @fikafikan8484

    @fikafikan8484

    Жыл бұрын

    Kama gani kazushiwa ongea tukuskie miwahabi akili hamna

  • @broumaiyyah8018

    @broumaiyyah8018

    Жыл бұрын

    Kwa elimu gan ulonayo weee

  • @hafidhsalum-jp2mw
    @hafidhsalum-jp2mw Жыл бұрын

    Jipange kuandamana na Allah kwanza usipomkuta shehe wako peponi Na usitubie tu maneno yako ayo ya kifedhuli jikute we big sasa;;;

  • @hanifatanzania7258

    @hanifatanzania7258

    Жыл бұрын

    Mtihani

  • @broumaiyyah8018

    @broumaiyyah8018

    Жыл бұрын

    Fedhuli n we hapo usokua na elimu hata kidgo

  • @abubakarmuhammadsaid3244
    @abubakarmuhammadsaid324411 ай бұрын

    Uzushi ni upotofu ambao ni lazima kupigwa vita, sio kunyamaziana

  • @hamzahamza7565
    @hamzahamza756511 ай бұрын

    Waliiktilafiana watu katika majambo yaliyothibiti suala la maulidi halijathibiti ikhtilafu zinatokea wapi?

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 Жыл бұрын

    Tofauti ilioko ni ya uelewa wala sio uzushi na kukuja na ibadah yasiyokuwa wakati huo kama sherehe ya maulidi, muache bid'a kwanza

  • @manyotamussa1328
    @manyotamussa1328 Жыл бұрын

    Shida sio tofaut tatzo ni kitu gani kilichopelekea watu kua na tofauti hiko ndo huzingtiwa

  • @IjumaaIjumaa
    @IjumaaIjumaa Жыл бұрын

    Mashehe wengi was kisufi ni wapiga lamri na Hawana hofu ya kuzusha mambo katka dino Allah kakamilisha dino Nini mwaongeza

  • @ahmadmadaai1357

    @ahmadmadaai1357

    Жыл бұрын

    Na wala hakuna walii wahabi wala mwanazuoni wahabi wala mchamungu Mkubwa Wa mawalii ni shekh Abdulkadir alikuwa sufi na Ahlul dhikr

  • @saidissa8273
    @saidissa8273 Жыл бұрын

    KUKAA KIMYA PIA NI TATIZO KUBWA ZAIDI .UZUSHI UNAHARIBU

  • @ahmadsalim4417

    @ahmadsalim4417

    Жыл бұрын

    Hebu twambie umeharibu nn?

  • @saidissa8273

    @saidissa8273

    Жыл бұрын

    @@ahmadsalim4417 Kama NI makosa si unakuwa upotevu KW akizazi kijacho.wataitakid sivyo.? Unauliza kunaharibu NN wakati tunatakiwa tukemee

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Жыл бұрын

    Kuna ikhtilaf na mizozo hii ya sasa ni mizozo na sio ikhtilaf za masahaba

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express Жыл бұрын

    TUKISEMA TUKAE KIMYA KWA TOFAUTI HIZI kuna mengi yataibuka. Kwamfano kuna mashia wanajiita waisilamu. Kuna watu watakuja na vitabu vyao watajiita waisilamu tutasema tuwaache kila mtu ashike upande wake. Kuja kuzinduka dini haina mwelekeo mpaka watoto tutawapeleka madrasa bila kujua kumbe mwalimu anafundisha yasiyo sahihi kwakuwa tunajua ni madrasa mtoto anasoma tu. Ataambiwa muziki unafaa, mapenzi kinyume na maumbile inafaa. Tena akiwapa ushahidi wa kiarabu kipana. MUNAQASHA wa Muhammad na Sabas umeleta nafuu. Tena inatakiwa minaqasha ifanyike sana tu ili wenye akili waelewe. Kuliko hizi za mmoja mmoja kwenye video yake anaropoka mpaka basi kumbe hana ushahidi.

  • @almasisadick9719

    @almasisadick9719

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @ustadhamiin5941

    @ustadhamiin5941

    Жыл бұрын

    Mashia walikuwepo wakati gani? Na WANAZUONI wakti huo walitumia hikma gani? Ndivyo anavyo maanisha sheikh walid, na cc tutumie hikma zao insha'Allah

  • @DonMooSTUDIO_Express

    @DonMooSTUDIO_Express

    Жыл бұрын

    @@ustadhamiin5941 Hata Rasul (s.a.w) kunasehemu alitumia hekma na kuna sehemu alitumia upanga. Na kwa bahati mbaya kipindi "ha wanazuoni palikuwa haki iko wazi sana tofauti na sasa batili imegeuzwa geuzwa mpaka uje kuigundua ni taabu sana. Juhudi kubwa inabidi kufanyika.

  • @ramadhanhajji

    @ramadhanhajji

    Жыл бұрын

    ​@@ustadhamiin5941hikma ni kuwaraddi uwezi kuraddi Tunga kitabu utahadharishe maovuyao venginevo hakuna hikmatena ila ni kuacha dini ya Allah iharibiwe uku unalinda jahayakoww nimakosa usibebe kwa Allah lawama ya mwenye kulaumu uovu ondosha vyovyote iwavuo

  • @rajabudiwani9835

    @rajabudiwani9835

    Жыл бұрын

    Ushia umekufanya nini?.ivi wafahamu maana ya shia?

  • @suleymansalim5732
    @suleymansalim5732 Жыл бұрын

    NINI HIKO CHA SIRI MNACHOKIFANYA DHIDI YA MASHEKHE BADALA MUELIMISHE UMMA AU MNATAKA KUWATAFUTIA MAKOSA ILI KUWAFUNGE JELA NDO ZENU E?

  • @abeliever6823
    @abeliever6823 Жыл бұрын

    Assalaam Alaykum. Ni kitu ya kuhuzunisha sana kushughulika na mambo madhogo ya ikhtilaf. Wakati ambao kuna mambo mKubwa.

  • @AbuuAbdillah-hb8li

    @AbuuAbdillah-hb8li

    Жыл бұрын

    Wewe unaona kuzushiwa mtume uwongo na watu kuwaingiza kwenye ushirikina kwa yaliyomo kwenye barzanji unaona ni madogo wewe

  • @saidissa8273

    @saidissa8273

    Жыл бұрын

    Hakuna dog ktk UISLAM.yote NI makubwa. Uovu NI WA kuondoa Sawa na mwiba njiani

  • @awatifomar5185
    @awatifomar5185 Жыл бұрын

    Je tofauti ya Maulid ilikuepo? Naomba jibu

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Жыл бұрын

    majibu ya kisiasa mzee

  • @idriskinye1190
    @idriskinye1190 Жыл бұрын

    Tunataka wali wamaulid ukose wa2

  • @MustafaOyoo-qz7rp
    @MustafaOyoo-qz7rp Жыл бұрын

    Tafauti zitaondoka.sababu haki na batili haviendani.

  • @broumaiyyah8018

    @broumaiyyah8018

    Жыл бұрын

    Ziondoe ss

  • @sadiqabdullah1294
    @sadiqabdullah1294 Жыл бұрын

    Sheik hana uadilifu kabisa huyu

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Жыл бұрын

    Masufi bachu kakukamateni ndipo hasa Kila mnavofurukuta masufi zimekaaa hkooni hoja 19

  • @husseinally5550

    @husseinally5550

    Жыл бұрын

    Mjinga ndo ataona ni hoja

  • @shamisahmed4806

    @shamisahmed4806

    Жыл бұрын

    ..ikiwa hujui hata kama kilichosemwa hakina mashiko wewe utajua ni hoja za msingi!!

  • @jakuabdull34

    @jakuabdull34

    Жыл бұрын

    Undiminished kuwa ndo Muslim sahihi na we ndo mwenye haki tu au

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Жыл бұрын

    Huyu bwana kasema asipo mkuta mufti peponi wataandamana kwa allah Maneno ya kufru wala hakutubia mapaka sasa Mi skuskilizi Mie mashekh wabgu ni wakisalafi Mashekh wa bidaa siskilizi

  • @shabaniissa3464

    @shabaniissa3464

    Жыл бұрын

    Umefuata nini hapa ?

  • @user-gg1zh6oe2w

    @user-gg1zh6oe2w

    Жыл бұрын

    Kasome sana

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 Жыл бұрын

    Hakuna sufi hata mmoja ataweza kutetea uwongo wa barzanji

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Жыл бұрын

    Kweli Mnakasga wa Tanga umewatikisa sana wateiqa Wallah Naaba sasa kila kukicha n yale yale Mfungo sita unakuja Utawafikia halafu kasida na nyimbo na ngoma mtakuwa hamja wamba!!😅😅😅

  • @princefeisla3692

    @princefeisla3692

    Жыл бұрын

    Ndio mukaambiwa hatuachii kaeni mutue

  • @hanifatanzania7258

    @hanifatanzania7258

    Жыл бұрын

    😂😂Hawatosahau hawa watu wa maulidi inawaumiza sana

  • @user-dg6ui4pj1q
    @user-dg6ui4pj1q Жыл бұрын

    Mashallah

  • @kavumohemedi871
    @kavumohemedi871 Жыл бұрын

    Ishu ni kwamba wanaozusha mambo ktk dini ya Allah lazma waambiwe

  • @fikafikan8484

    @fikafikan8484

    Жыл бұрын

    Mambo gani yamezushwa kumsifu mtume s a w maswahaba walimsifu mtume s a w na Allah na malaika wake wamswalia

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    ww umeambiwa maulid ?ibada

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    @@fikafikan8484 tutsema kuraan ni ibada, sio maulid, maulid ni sherhe km sherhe nyengine tu, sio ibada

  • @ahmadsalim4417

    @ahmadsalim4417

    Жыл бұрын

    Kwahyo hata ile quran tunayo ikusanykia pale taifa ni haifai?

  • @user-dg6ui4pj1q
    @user-dg6ui4pj1q Жыл бұрын

    Mashallah

  • @user-dg6ui4pj1q
    @user-dg6ui4pj1q Жыл бұрын

    Mashallah

Келесі