MKUU WA MKOA FEKI AKAMATWA MBEYA, ALIKUWA ANASIKILIZA KERO ZA WATU NA KUPOKEA MAONI...

MKUU WA MKOA FEKI AKAMATWA MBEYA, ALIKUWA ANASIKILIZA KERO ZA WATU NA KUPOKEA MAONI...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia WARREN MAX MWINUKA [20] Mkazi wa Makondeko - Mbeya Mjini kwa tuhuma za kujifanya Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya JUMA ZUBERI HOMERA akitumia akaunti ya mtandao wa kijamii wa Instagram kwa jina la “juma_homera”.
Mtuhumiwa alikamatwa mnamo tarehe 07.06.2022 majira ya saa 08:00 mchana huko maeneo ya Mama John Jijini Mbeya. Mtuhumiwa alikuwa akitumia akaunti hiyo kuwaadaa watu kwa kujifanya ni Mhe.Mkuu wa Mkoa wa Mbeya na kutoa namba ya simu yak wake ili wananchi waweze kutoa/kupeleka kero/shida mbalimbali kwake. Upelelezi wa shauri hili unaendelea na mara baada ya kukamilika atafikishwa mahakamani.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 74

  • @loner_wolf
    @loner_wolf2 жыл бұрын

    Huyo kijana amebeba ujumbe , inamaana mkuu wa mkoa ni mzigo hapo , asikilize matatizo ya wananchi wake sio kukaa tu ofisini .....

  • @theresiakaruhanga364
    @theresiakaruhanga3642 жыл бұрын

    Afande. Mi namuombea msamaha maana haonekani kama ni tapeli ila ni ushamba tu msameheni tu

  • @sharifanyumayo6314
    @sharifanyumayo63142 жыл бұрын

    Kwa upande wangu mi naona hyo kijana angeachiwa tu cz kashatubu makosa yke na amesema lengo lake ni nini! Mbona wapo matapeli wengi tu hamuwakamati? Na kasema wapo wengi muwasake wote basi na syo huyo tu. Toeni Ajira kwa vijana

  • @user-up2kg1wm9p
    @user-up2kg1wm9p4 ай бұрын

    Muheshimiwa tunamuombea msamehe amejielewa

  • @omarmkumba3547
    @omarmkumba35472 жыл бұрын

    Huyu kiukwel anastail msamaha!

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan52412 жыл бұрын

    Maskini msameheni jamani 😔💔 wapo watu wengi wanawo tumia majina ya watu maarufu ili kupata wafuasi😔

  • @goldchaz7050
    @goldchaz70502 жыл бұрын

    Tumekuelewa mkuu wetu wa mkoa

  • @michaelezekiel8620
    @michaelezekiel86202 жыл бұрын

    Mheshmiwa mkuu wa mkoa, Tunakuomba msamehe hatarudia Tena, Tunakuomba!

  • @lemausontz3513
    @lemausontz35132 жыл бұрын

    Watu wanajiongeza Serikali inabna Kila Kona tfanyj Sasa tunatumia za kuzaliwa

  • @ngurungutz3764
    @ngurungutz37642 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @bachutamwita4518
    @bachutamwita45182 жыл бұрын

    Kweli kijana unaelezea kwahisia nzuli Sana

  • @EliakimuCharles
    @EliakimuCharles2 жыл бұрын

    Huyo kijana kosa lake ni kutumia jina la mtu bila idhiki ya huyo mtu lakini ki ukweli huyo dogo hata makosa mengine mana kaeleza vizuri na kakili makosa kwamba hakujua kama ni kosa alifanya kwa mapenzi tu akidhani kwake itakuwa frusa kwahyo tusiwe wepesi wa kuhukumu tu bila kutafakali jambo kwa upana.

  • @alimahmoud358

    @alimahmoud358

    2 жыл бұрын

    Mm naona kijana Hana makosa wakati hajatapeli mtu

  • @babalao910
    @babalao9102 жыл бұрын

    Mmh! Maisha Mapya Kwa watz, Kazi IENDELEE.

  • @jamesgasper6764
    @jamesgasper67642 жыл бұрын

    Msameheni tu kijana coz hakufanya Kwa ubaya arafu alifanya Kwa kumuenspaya RC

  • @jumaabdala7530
    @jumaabdala75302 жыл бұрын

    Duu kunabinadamu Wana loho ngumu Duuh 🤔🤔 Dogo unachakachuwa na Mdogo ivyo

  • @mwanaishakhamis8069
    @mwanaishakhamis80692 жыл бұрын

    Huyo ni wash wash wash🙆🇰🇪.amekoma huyo

  • @paschaljoh5729
    @paschaljoh57292 жыл бұрын

    Mbona dogo anaonekana ana akili Sana ktk teknolojia maana mpka kufikia uwezo wa kudukua taarifa za mkuu wa mkoa Yuko vzur na alikuwa na lengo nzur bt njia alotumia ndo inamfanya aonekane Mhuni lakn dogo yuko na akili Mingi kusikiliza kelo za wananchi wakt mkuu wa mkoa kaweka litumbo lake tuu officin Hana muda na Wananchi wake acha wenye mbinu mbadala wazitumie taifa tunahitaji vijana kama hawa

  • @danielshimora5315
    @danielshimora531512 күн бұрын

    Sasa kama amekuta hamsikilizi kero za watu, afanyeje???.

  • @Neema935
    @Neema9353 ай бұрын

    😂😂😂Kwa kweli, duniani, m'na mambo, dogo ka rithi.ukuu wa mkoa, kwa haki na kweli. Asamehewe kwa kweli.

  • @marthamilaji9385
    @marthamilaji93852 жыл бұрын

    Nimekuonea uruma mdogo wangu tuache tamaaa

  • @ANRAHIMKADUMA
    @ANRAHIMKADUMA3 ай бұрын

    pigeni na Makofi hawa Watu ili iwe mfano kwa wengine muongo huyo mba kabisa

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel56622 жыл бұрын

    Duh🤔🤔🤔🤔

  • @yusufkisome639
    @yusufkisome6392 жыл бұрын

    MKUU WA MKOA mwenyewe anasemaje?

  • @neemaruben5427
    @neemaruben54272 жыл бұрын

    Aiseeee we jela moja kwa moja

  • @nasramuddy1326
    @nasramuddy13262 жыл бұрын

    Duh,aiseee

  • @loner_wolf
    @loner_wolf2 жыл бұрын

    Sio email hiyo , hiyo ni website

  • @RAPHAELSAID-kk7wu
    @RAPHAELSAID-kk7wu2 ай бұрын

    Jiamini mzee unapo ongea ulikuwa unafikisha ujumbe wanatakiwa wajue majukumu yaotu

  • @samsonhaule3647
    @samsonhaule36472 жыл бұрын

    Kama hakumtapeli mtu Msameheni bure.

  • @marymichael9964
    @marymichael99642 жыл бұрын

    Wamuachie kashatambua kosa

  • @mahmoudsuleimanmohamed4969
    @mahmoudsuleimanmohamed49692 жыл бұрын

    easy police huyo ni kijana tu hajui alifanyalo

  • @josephmahando493
    @josephmahando493 Жыл бұрын

    Ajira ngumu sana jamani, Msameheenii

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe47294 ай бұрын

    Mbona hata mwonekano unamgomea jamaniiii.

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar43364 ай бұрын

    huyu mmemuonyesha mbona mijambazi inayoumiza watu hamuionyeshi hadharani??

  • @coolruler6820
    @coolruler68202 жыл бұрын

    Asikilizwe tuu,,,,,ahojiwe na ukweli utajulikana,,,,huenda kweli alifanya kwa kutokiwa na nia ovu

  • @gervasmalimi5126
    @gervasmalimi51262 жыл бұрын

    Yamkin Sasa unaenda kufungwa

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim1432 жыл бұрын

    Sasa anasikiliza kero za watu anazitatua vipii halafu akijipa hicho cheo kinamsaidia nini sasa

  • @user-fu5dm6ko7g
    @user-fu5dm6ko7g2 жыл бұрын

    Still innocent until proven guilty. Police you have already judged him and put him in prison

  • @dailantz4073
    @dailantz40732 жыл бұрын

    Hasameewe tu uyokijana nibina dama hajakamilika

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint98742 жыл бұрын

    Jamaniii labda alikua hajui

  • @berrydanny3577
    @berrydanny35772 жыл бұрын

    Km kero zimetatuliwa Basi 😃

  • @rosemalle3600
    @rosemalle36002 жыл бұрын

    Huyo kijana,Hana akili kwa kutapeli kwa kutumia Jina la mkuu wa mkoa,kwa kujinufaisha,apewe adhabu Kali iwe fundisho kwa vijana wengine,vijana muwe na wazo ya kufanya yoyote Ile,msichague kazi,hata ya kulima Ni kazi,kwani mlio wengi hamjitumi kwa kufanya kazi ya mikono,

  • @chaxpeter5789

    @chaxpeter5789

    2 жыл бұрын

    Ametapeli nini kaka zaidi ya kusikiliza kero za wanainchi???

  • @dastanfussy4898

    @dastanfussy4898

    2 жыл бұрын

    Ha haaA

  • @salamanauthar480

    @salamanauthar480

    2 жыл бұрын

    Ajatapeli mtu jamani

  • @YustoMlay-cv4zb

    @YustoMlay-cv4zb

    3 ай бұрын

    Katepeli nin sasa Wacha ujinga

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah4392 жыл бұрын

    Inaonekana uyu mkuu wa mkoa kavu awezi kumsamee mkuu wa mkoa nae mwizi tu kwasababu uyo dogo kakamatwa basi mwizi yeye

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed3452 жыл бұрын

    Ana kosa na pili na la 3 pia 🤣🤣kosa la pili kafunga sala kimakosa 🤣🤣kosa la 3 anasali pili udhu 🤣🤣🤣

  • @ANRAHIMKADUMA
    @ANRAHIMKADUMA3 ай бұрын

    Huyo miaka mitano inamuhusu bila kupind

  • @ANRAHIMKADUMA

    @ANRAHIMKADUMA

    3 ай бұрын

    Kupepe macho

  • @hemedmalamsha8829
    @hemedmalamsha88292 жыл бұрын

    Mbona hafanani na ukuu wa mkoa

  • @tunsumejohntunsumejohn2210
    @tunsumejohntunsumejohn22102 жыл бұрын

    Mkuu wa mkoa hiv unaitwa nan maana hata usikiki kabisa

  • @janetdaniely7945
    @janetdaniely79452 жыл бұрын

    Duu jamn matatizo kwel hii inchi inavijana waovyo San Aki

  • @kiehbhzh7044

    @kiehbhzh7044

    2 жыл бұрын

    du

  • @alibushiri4725
    @alibushiri47252 жыл бұрын

    Duuuuu

  • @geofreyalexander1382
    @geofreyalexander13822 жыл бұрын

    Website sio E mail

  • @joycekalago532
    @joycekalago5322 жыл бұрын

    Anatetemeka sana dogo duh

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole92933 ай бұрын

    Huyu mkuu wetu wa mkoa feki tunaomba asamehewe

  • @YustoMlay-cv4zb

    @YustoMlay-cv4zb

    3 ай бұрын

    Awe mkuu WA mkoa kabisa

  • @salamanauthar480
    @salamanauthar4802 жыл бұрын

    Msameheni jamani

  • @alimakame9215
    @alimakame92152 жыл бұрын

    Dunia ujanja dar

  • @adamjonas1568
    @adamjonas15682 жыл бұрын

    Duh

  • @simongabrielngwelusimongab550

    @simongabrielngwelusimongab550

    2 жыл бұрын

    Juma homela msamehe huyo kijana halfu umuchukue uende naye ukakae umusikilize shida yake kubwa no nini jifunze kusamehe mbona magufuri alikuwaga na moyo wa kusamehe jamani mtu akiomba msamaha asemehewe

  • @ngurungutz3764

    @ngurungutz3764

    2 жыл бұрын

    Msameeni tu

  • @amockkalinga1520

    @amockkalinga1520

    2 жыл бұрын

    @@simongabrielngwelusimongab550 point!

  • @charleskingimwakasagule5752
    @charleskingimwakasagule57522 жыл бұрын

    Ndo ubaya wa viongozi wa tz yani hukumu inatolewa mitani sio mahakamani yani hivohivo na hakimu ataenda kufata ivo hivo du

  • @hamiduhamisi2371

    @hamiduhamisi2371

    2 жыл бұрын

    umeonae hiyo kitu mi mwenyewe sijawaelewa kabisa kwani mahakama kazi yake nini?

  • @zakiaramadhani3519
    @zakiaramadhani35192 жыл бұрын

    Masikini anatetemeka lkn kama kweli hakuwa na nia mbaya

  • @YustoMlay-cv4zb

    @YustoMlay-cv4zb

    3 ай бұрын

    Ndo shida ya hii nchi

  • @mathiasbuchenja331
    @mathiasbuchenja3312 жыл бұрын

    Jela kabisaaa!!

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz71582 жыл бұрын

    Jamaaa ameshikwa na baridi ya gafla

  • @amockkalinga1520

    @amockkalinga1520

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😀😀😀 wewe Ibrahim wewe umenichekesha ati baridi ya ghafla

  • @user-yj3gy4jc1t
    @user-yj3gy4jc1t2 ай бұрын

    Msamehenituu

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa48352 жыл бұрын

    Hahaha duu kamuona mkuu wa mkoa mzembe wa kazi yake

Келесі