TANGAZA NASI MASANJA TV: SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Updates: 👇 👇 / @masanjatvgospel
Жүктеу.....
Пікірлер: 191
@AtuganileGodson27 күн бұрын
Kabisa.Mungu anachezewa kiasinhiki??inatia uchungu sana
@PeterMahona-zd3oz
20 күн бұрын
naumia Sana mungu wamemfanya. kama babuyao
@atuganileagrey5041
20 күн бұрын
Yaan Mungu aturehemu
@bonifasiemanueli2127 күн бұрын
Nilidhani Masanja yuko upande Wa Nuru,kumbe na yeye ni walewale yuko upande wa giza😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 Ni ha ta lii sana,
@user-nx5og4cz7b
21 күн бұрын
Kwishaa iyo
@denismugisha2
16 күн бұрын
Hivi nyie mnapataga shida sana kuwatambua hawa eh Basi mwenzenu hata kwa mavazi tu nawaelewaga
@marthadaniel4904
15 күн бұрын
Kwenye madhabahu unalet comedy 😢😢Mungu atusaidie atupe macho ya kiroho, nyakat za mwisho kutakuw na manabii wa uongo
@user-zw7ln4iy3g
2 күн бұрын
mwanangu mmoja alishanigomea huyu alishachukuliwa kitambo walivyoona anakiu ya mafanikio wakatumia njia hiyo kumchukua 😢😢 leo ndo nimemkoma masanja
@aderanderwa7623Ай бұрын
YESU KRISTO ATUREHEMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO WATEULE TUWE MACHO MWENYE KUJITAKASA AZIDI KUJITAKASA MWENYE KUDHULUMU AZIDI KUDHULUMU KUDHULUMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO
@PeterMahona-zd3oz
20 күн бұрын
kwelimpendwa nichangamoto. MUNGU anisaidie atusaidie maigizo kama. haya
@JosephKingwere
16 күн бұрын
Mimi nilivyo muona uyo kiboko ya wachawi mhmhmh nimeshangaa sana daaaah hapo kuna namuna jmn 😢 Yesu chrsto atusaidie sana
@EngelLameck-nz5nk
10 күн бұрын
Unapotea sana Kaka Angu masanja hebu mwambie Mungu akupe amacho uone kuhusu hao watumish unao wasifia unako enda sio kabisa
@focusernest5610
10 күн бұрын
Watu wako after maokoto macho ya rohoni hayaoni@@EngelLameck-nz5nk
@GodfridMbele-sb1ks
Күн бұрын
Hawa ni mawakala wa shetani wote hawa
@SifaelaYoram26 күн бұрын
Nasikitika nahisi uchungu usioelekeza,,, Mungu turehemu
@selegioelias9076
22 күн бұрын
Yaani we achatu nasikia hasra ya Bwana nikuwa saga wote hawa
@BeniJohn-xd3cnАй бұрын
Dunia imekwisha Kazi mnayo ngoja Mbarikiwa awajibu Mapepo ni mengi kwenye iyo ya Mazaba
@chrispinkyaruzi111023 күн бұрын
Masanja, geuka haraka! umepotea mdogo wangu! Huyo siyo nabii ni mchawi kama wachawi wengine, ni vizuri umuombe Yesu akufungue macho! ila nilichogundua watu wanakupenda. Hebu angalia coments za watu.
@mossyfimbo3577
22 күн бұрын
Mazingaombwe
@nicksonlyimo156228 күн бұрын
Masanja usidanganyike ,we binafsi Mtafute Mungu ataonekana ,achana na watu ,kama uliitwa kweli nadhani ulikua peke yako na siku ya hukumu utasimama peke yako na YESU Ili akuhukumu na hao huta waona ,Mungu hanaga wengi wape Bali ni jitahidi uingie ,nakushauri mtumikie Mungu kwa utakatifu, haki ,na unyenyekevu utavuka tuu, manabii wa uongo ni wengi Sana na kuwatambua ni vigumu Matayo 24 yote utaona ,Acha kuwasifu watu waache Mungu ndio ataamua hatima Yao kama ni wa kweli au usanii ,( ukitaka kujua maisha ya mitume we soma Biblia tuu utaona walivyoishi na walivyofanya na walivyo enenda kama kweli maisha Yao yanalinganishwa na mitume wa kweli ,) Kristo ni yeye yule Jana Leo na hata Milele hakuna wokovu wa kisasa Wala mwenendo wa kisasa Wala utakatifu wa kisasa ,jihadhari Sana nafsi yako , wengi watapoteza wengi .
@eliasselemani1963Ай бұрын
AFADHALI KUISHI TU HUKU KIJIJINI
@eliasselemani1963
Ай бұрын
MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA
@chrisdeoglatias8665
27 күн бұрын
@@eliasselemani1963 ha ha haaaaaa! Unamaanisha kjjn ndy kukosalamaaa!!!!??? Hkuna bhana sasahv vyombo vya hbr vmefny dunia iwe mtaa nenda kjjn sasahv mchngj wa hapohapo kjjn wat hawamjui jina ila nabii wa uongo wa Dar wanamjua na vikorokoro vyke wanavyo had chumban kwao
@Joyceisaka
24 күн бұрын
Kabisa kaka angu huku dar ni hatar mweee ni hurumaa
@marrynaftali7969
21 күн бұрын
Umeona eeeh,Mjini Mambo mengi mno
@MonicaBeni
21 күн бұрын
Hahahahaha ndugu yangu umifurahisha sana... Afadhali kuishi tu kijijini !!! Umewaza nn kamanda wangu?
@SifaelaYoram26 күн бұрын
Bible verse,, ,, hivyo husema, Amka wewe usinziaye ufufuke katika wafu na kristo atakuangazia,,,,,,waefeso 5:14,,,,,,, wapendwa tuamke wewe unayeona haya matukio amka hizi ni nyakati za hatari San
@user-qg5sc7ie3q26 күн бұрын
Yaan mmeona Kwa Yesu ndo pakufichia ushetani wenu
@chrisdeoglatias8665
23 күн бұрын
@@user-qg5sc7ie3q yaàan acha tu!
@user-wc6yw1or4n
23 күн бұрын
kweli namtafuta MUNGU kibinasfi
@JosephTherathiniКүн бұрын
Mungu utusaidie
@victorcephas3618Ай бұрын
Hahaha 😂😂😂😂😂 Masanjaaaaaaaaaa Eti Jana ulikuwa wapi? Nimecheka Hadi basi
@dorahisinika757623 күн бұрын
I LOVE JESUS SO MUCH.❤..AMENITOA MBALI SANA🙏
@thestkim662522 күн бұрын
Daaah pesa inatutenganisha na mungu kabisaaa😢😢😢😢
@PeterMahona-zd3oz
20 күн бұрын
ndiyohivyo ilawapo. watakao. Simama tu namungu atatushidia
@FabiolaTemba-kz2sq3 күн бұрын
Masanja mkeo ana kuzalilisha Yaan haja tulia kabsaaa jmn 😂😂😂😂 Sijawai kuona mke wa mtumish wa Mungu mwenye wenge kama uyu jmn 😂😂😂😂
@PaskariaSuwi13 күн бұрын
Naomba unipe mwisho mwema Mungu wangu
@manaseliberatus1347Ай бұрын
TIMU IMEKAMILIKA MKUU, UKITOKA KWA KIBOKO YA WACHAWI UNAKUTANA NA NABII MUUWAJI, MADHABAHUNI HAPAPANDISHWAGI KILA MTU
@chrisdeoglatias8665
27 күн бұрын
@@manaseliberatus1347 kaz tunayo!
@josephgnzunda563126 күн бұрын
Pole sana masanja
@MAONYOTVTANZANIA29 күн бұрын
Mihuni ya dunia hii , utani wa wahuni wajitambia mapesa ya uchawi wao , katskela anawajua wote
@AyubuHeshimaАй бұрын
Ninaona wahuni watupu tu.
@moseshaule586
26 күн бұрын
Uhuni sio dhambi mbona,, kwani uhuni mining?
@magdalenapeter610625 күн бұрын
Hakika YESU yupo mlangoni tuweni macho Wana wa Ibilisi wamejikusanya
@user-vk6so5bb7u9 күн бұрын
Hapo hata kipofu mwenyeakili timamu hadanganywi,,iweje sisi tulopewa macho tudanganyike???,,Dear guys mwenyekusali sali sanaaaa pia mwenye kufwata hao mashetani endelea but majibu unayo😢😢😢
@edouardnsengiyumva11454 күн бұрын
Mungu okowa loho ambazo zimepoteya hizi
@roseriwa695116 күн бұрын
Mungu wetu sijui kawa mpole....why! Inauma sana
@DavidMbwilo-qk1bz12 сағат бұрын
😂😂😂 pamoja na upako wote lakini bado kuna bodyguard inaonyesha mu waoga kiasi
@JosephTherathiniКүн бұрын
Uuuuuwiiiii😮
@kipkemoicheruiyot431516 күн бұрын
Ghaai huku ni wapi , may the light of the Holy scripture sound absolute truth till the end of the edge😢
@VeronicaMungure23 күн бұрын
Amen
@user-jc1do5gf3wАй бұрын
Usanii mpaka kwa kutumia Jina la Mungu,mmmmm Mungu tuhurume
@chrisdeoglatias8665
29 күн бұрын
Sasahv Mungu c kawa k.m anko tuu tna ht kw anko mdada haend na visuruali ila madhabahuni bnt anasogelea na mavaz ya uchi bila haibu, jamaniii" M/ KE KUVAA SURUALI HT KM N Y SUT NI KUWA UCHI, ni roho ya yezeberi makanisani!
@lusungungimbudzi426518 күн бұрын
We Jamaa bwana Commed all the time
@bensonmgaya5693Ай бұрын
Jana ulikuwa wapi afu ukapotezea nimefrahi sana😂😂😂
@JohnMakweba-fj4rt10 күн бұрын
Can i prophesize 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@DennisFandiКүн бұрын
Hakuna nabii jamani tusidanganyane, nabii ni mtu anaeweza kuiona kesho? Sio kwa kuhisi mtu anaiona picha nzima ya kitu au tukio litakalotokea, anaweza kukuelezea kila kitu bila kuacha hata chembe
@andrewkissava9184Ай бұрын
Kwani ma wewe masanja umekuwa mtu wa swaga namna hiyo hee mbona kuzimu mtajaa sana
@JacksonMbites2 күн бұрын
Genge la Sarakasi ya Kiroho
@VenanceMsokaКүн бұрын
alafu ni mwingizaji😅😅😅
@dainamichael56243 күн бұрын
Feel free church.... Jina lenyewe linajitambulisha...
@user-up8uq3ih2i26 күн бұрын
Haaa vituko ,Masanja rudi kwa yesu
@KatRobert11 күн бұрын
Hizo nguo zao zinatisha kwanza😅😅😅
@Kelvinchristopher072Ай бұрын
Stendi ya kuzimu.
@user-qn6rs7km3z
29 күн бұрын
Hatari sana
@AtuganileGodson
27 күн бұрын
Kweli Mungu anazihakiwa sana
@chrisdeoglatias8665
27 күн бұрын
@@Kelvinchristopher072 duuuu
@kmotivation113026 күн бұрын
wazee wa kazi kazi
@FabiolaTemba-kz2sq3 күн бұрын
Mke wa masanja ana shida gan? Mbona hajapoa anahangaika sana kama mtu anamtekenya
@klmhardware29933 күн бұрын
Daaaa kanisa limeva😢😢miwa😢
@PendopasilikaАй бұрын
Dunia imeisha
@ednakawau984226 күн бұрын
Kumbe masanja ni wale wale
@barakanatus5676
26 күн бұрын
Ulikuwa ujui ni wale wale
@hosannakamwela9286
20 күн бұрын
Hakika ni walewale
@samuelakanga558620 күн бұрын
1 Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari. 16 Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki; '2 Timotheo 3:1-16'
@sarahkeivaly335125 күн бұрын
Yaani Masanja umeweka Ukomedi wako hadi knsn, Umeambiwa nyumba ya Bwana itakuwa nyumba ya Sala, si nyumba ya kufanyia comed
@raymondwilliam3042Ай бұрын
Bodyguard sasa 😂
@ismaelgadiye448821 күн бұрын
OLE WA NCHI NA BAHARI POLENI KUMBE YESU ALISHATUAMBIA KAMA SIKU HAZITAFUPISHWA HAKUNA MTU ATASALIA
@january_Tattoo3 күн бұрын
Nashukuru mungu 😂 mmenza kujichanganya na kujikusanya ili tuwajuwe😂😂😂 kumbe mpaka wewe ni mfanya biashara sio ujatumwa unajituma
@josephgnzunda563126 күн бұрын
Nuru yako imezimaje ghafula kihivo wazazi wako wakiroho bado wanailinda imani
@SamooTz-pi5ok23 күн бұрын
Matapeli wamekutana jmn hii dunia tunaenda wap 🙏
@prchMichael20 күн бұрын
Wanasema wameitwa kumbe ndo wapuuzi kwanini mnalitumia jina la YESU kupoteza watu na kujitwalia heshima wewe ni nan watu wakupigie magoti acheni upuuzi jaman 😭😭😭😭😭😭😭😭
@merabKitunduАй бұрын
Itatufaa nn kupatata yote Kisha tukose mbingu
@HellenLemilya27 күн бұрын
Makundi ya wachawi Tanzania ndugu zanguni watanzania ndio hawa tuweni makini
@nangukidasu80402 күн бұрын
Unafiki wa kubembeleza pesa
@IsraelLekumok2 күн бұрын
Mimi. Sikubalihani. Na. Hawa. Mbaka. Yesu. Arudi
@agnesmbula526126 күн бұрын
May God open Ur children's eyes....the church of God is lost
@jacklinakinabo647927 күн бұрын
Can i prophesey 😢😅😅😅 Go deeper Papaaa😂😂😂😂 Haki Mungu wangu weq Tuhurumie
@peterrichard964424 күн бұрын
Ngoja ninyamaze maana na imagine kina Paulo huko mbinguni wanatamani washuke
@ellymunisi874917 күн бұрын
Leo wameturihixishia timu yao yakishetani ngoja niwashitakie kwa Mungu na wapotelee mbali kwa njia 7 wote waangamie Kama hawatatbu na kumuubiri Yesu wa kweli
@fredrickmikera599819 күн бұрын
Mathayo 24:24,siku za mwisho watatokea manabii wa uongo na wakristo wengi wa uongo.someni ufunuo kama hamjajaliwa kuelewa tuulizeni ili tueadaidie tuko ktk dk za mwisho kabisa Yesu yupo karibu kurudi na shetani amewafumba macho watu wasijue ukweli
@user-im7vi2yf2d29 күн бұрын
Mbarikiwa ndo ameitiwa kazi ya kuwanyoosha hawa watu
@chrisdeoglatias8665
29 күн бұрын
Ha ha haaaaaaaaaaaa!
@user-xl5xi1uq9z17 күн бұрын
Watu wapiga magoti na kumfuta viatu masanja hii sio sawa ni kama wanakuabudu ,sio sawa achana na giza toka 😢,manabii wa uongo walitabiliwa wakati wa mwisho wa dunia au kuja kwa Yesu kristo,ndo sasa tunaona, Yesu tusaidie
@merabKitunduАй бұрын
Kweli mbinguni ni mbali
@hosannakamwela928620 күн бұрын
MUNGU anadharirishwa hivi, jamani. Dunia iko pabaya wamemfanya Mungu kama mjomba
@user-kz5en5tq2z26 күн бұрын
Vipofu wana wa majoka
@andrewkissava9184Ай бұрын
Mbona makondeko umezeeka hivyo tubu kabula haijawa jioni
@giftmusa65433 күн бұрын
Yaani hivi watu wanaoenda kanisan kwa masanja kichwani zmo kweli?
@mwanawamfalmetzАй бұрын
Mbona mmeweke kakipande kadogo jamani
@HellenLemilya27 күн бұрын
Wahuni mmejikusanya kutapeli watu , serikali tuache kuwatafuta vibaka wengine tofauti na hawa waliojitokeza
@ombendaud593827 күн бұрын
Mmmmhhh hivi ni vipande 30 tuuuuu
@user-zs7eq8up5s23 күн бұрын
Kuna mwizi anaetumia silaha anaitwa jambazi..kuna mwizi anaetumia siasa anaitwa fisadi..halafu kuna wezi wanotumia jina la mungu....
@user-qw8tm3jz2u27 күн бұрын
😂😂😂😂😂 kwahiyo ukigusa viatu vya Masanja umemgusa Nabii
@valenakomba921827 күн бұрын
Hovyoooooooooooooooooooooooo.upumbavu gani huoooo. YESU GANI HUYO UNAYEMWINGELEA.?
@mwaamwetahussain994719 күн бұрын
Cjui ni lini watu tutajielewa na hawa manabii wtu wa ss
@FamtamAli-vl2wx13 күн бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😢😢😢😢😭😭😭😭 kweli hii ni Feremason kabisa yani Mungu tusaidie Walahi 😢😢😢😢
@TheofiloKihongosi22 күн бұрын
Pole myawe kweugenda
@patrobamalema86316 күн бұрын
KIBOKO YA WACHAWI ANAWAADABISHA WACHAWI BARABARAAAA 😄😄😄😄🏃🏃🏃🏃🏃
@Mwakibinga_wisdomАй бұрын
Duuuh 🙄 Nimeduwaaaaa
@geitandelwa299
Ай бұрын
Umeona ee shida
@deborahmchona5584
Ай бұрын
Mungu wangu mpka mi sielewi wanatu changanya kuna niliokua mawaamini pia naanza kupoteza imani kwao sasa Mungu tusaidie tu hiz ni zama za mwisho kwa kweli
@chrisdeoglatias8665
29 күн бұрын
Achana nao ucje ukafa kabisa tukakukosa.
@sophiaommy8343
29 күн бұрын
@@deborahmchona5584mbona Kama Kuna Rolinga tenaa aiseee nimejikuta naumia sana
@AtuganileGodson
27 күн бұрын
Utajua tu.Wamejipanga na wapo vizuri.Mungu hatajwi ila sifa za watu.😂😂😂 Mungu atusamehe sana
@jacklinejohn572722 күн бұрын
Mtatubu kwa lazima
@mercycharlesmsiagi175626 күн бұрын
Waganga walio vua kaniki wakavaa suti
@HappyFlowers-ee8ru
26 күн бұрын
Haaaaaa ndugu yangu umenichekesha sana
@user-nx5og4cz7b21 күн бұрын
Milioni 40 inamuhamisha kwa yesu kbs mi sikujuwa kama muunganiko ni mkubwa hivi kt ma masanja na hawa pesa bibilia itamtenga mtu na mungu nimeamini.
@annambembela666121 күн бұрын
Mungu wangu nin hiki jamani duuh Dunia shuka nisimame
@fredrickmikera599819 күн бұрын
Yaani watu wanatambulishwa na vyeo vyao vya kuzimu ila wahumini hawaelewi.inaumiza sana
@user-go9ec5jn6l24 күн бұрын
Yan masanja nae,,atapotea anaanza kuweka ujinga nae
@chrisdeoglatias8665
23 күн бұрын
@@user-go9ec5jn6l sio atapotea!!!!
@ellymunisi874917 күн бұрын
Wote hawana Mungu ndani yao
@IssaPara-bt9hgАй бұрын
Mungu awape nguvu wachungaji wote mungu awalinde Sana
@chrisdeoglatias8665
23 күн бұрын
@@IssaPara-bt9hg mh
@Rumbakweka16 күн бұрын
Uyu malisa naendaga kwake ila simwelew naendaga tuu kufanyq uduma
@eliakefas93002 күн бұрын
Kama Kuna siku umenishangaza masanja ni leo, nilidhani tupo kwenye boti kumbe duuuh!
@jubilethfestourio45016 күн бұрын
Wateule muwe macho hizi nisiku za mwisho
@KabestarMusic-l2o8 күн бұрын
Mtu anaabudiwa kama mngu mngu jizihilishe wakuone baba
@skeetergodwins257611 күн бұрын
Duh! Tumevamiwa.yaani Hawa sorcerer's wamekutana wote Leo.
@dorahkaruma929917 күн бұрын
Kuna kiboko ya wachawi na huyo sijui IPM siku nikiwa sijafanya dhambi kama iliyosababisha leo kujaziwa kadi la kliniki 😂. Nitakwenda makanisani kwao kuwaombea waokoke na kuwaongoza sala ya toba 😂😂😂
@AnnaMsami-f5p13 күн бұрын
Mmh! Mungu nipe macho nione manabii wakweli maana bila wewe mimi sitaweza kuwatambua, naona hapa kuna alama nyingi za ??????
@JuliusMatiku-ux4ch13 күн бұрын
Na umewakusanya kwer kwer
@ushindimbwilo139828 күн бұрын
Masanja mpka hapo hakuna kitu hapo
@ben_digital2 күн бұрын
Matapeli wamekutana
@verroallex91449 күн бұрын
Muda ni mwalimu mzuri sana.. Mtawatambua kwa matendo. Kwa matunda yao mtawatambua. Lilikua ni suala la Muda tu kuwatambua hawa. Bwana Yesu atupe maarifa ya Neno lake.
@AgnessChambo-mx6rd18 күн бұрын
Jamani sisemi sana ila Mungu atufungue macho zama hizi yatosha
Пікірлер: 191
Kabisa.Mungu anachezewa kiasinhiki??inatia uchungu sana
@PeterMahona-zd3oz
20 күн бұрын
naumia Sana mungu wamemfanya. kama babuyao
@atuganileagrey5041
20 күн бұрын
Yaan Mungu aturehemu
Nilidhani Masanja yuko upande Wa Nuru,kumbe na yeye ni walewale yuko upande wa giza😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 Ni ha ta lii sana,
@user-nx5og4cz7b
21 күн бұрын
Kwishaa iyo
@denismugisha2
16 күн бұрын
Hivi nyie mnapataga shida sana kuwatambua hawa eh Basi mwenzenu hata kwa mavazi tu nawaelewaga
@marthadaniel4904
15 күн бұрын
Kwenye madhabahu unalet comedy 😢😢Mungu atusaidie atupe macho ya kiroho, nyakat za mwisho kutakuw na manabii wa uongo
@user-zw7ln4iy3g
2 күн бұрын
mwanangu mmoja alishanigomea huyu alishachukuliwa kitambo walivyoona anakiu ya mafanikio wakatumia njia hiyo kumchukua 😢😢 leo ndo nimemkoma masanja
YESU KRISTO ATUREHEMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO WATEULE TUWE MACHO MWENYE KUJITAKASA AZIDI KUJITAKASA MWENYE KUDHULUMU AZIDI KUDHULUMU KUDHULUMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO
@PeterMahona-zd3oz
20 күн бұрын
kwelimpendwa nichangamoto. MUNGU anisaidie atusaidie maigizo kama. haya
@JosephKingwere
16 күн бұрын
Mimi nilivyo muona uyo kiboko ya wachawi mhmhmh nimeshangaa sana daaaah hapo kuna namuna jmn 😢 Yesu chrsto atusaidie sana
@EngelLameck-nz5nk
10 күн бұрын
Unapotea sana Kaka Angu masanja hebu mwambie Mungu akupe amacho uone kuhusu hao watumish unao wasifia unako enda sio kabisa
@focusernest5610
10 күн бұрын
Watu wako after maokoto macho ya rohoni hayaoni@@EngelLameck-nz5nk
@GodfridMbele-sb1ks
Күн бұрын
Hawa ni mawakala wa shetani wote hawa
Nasikitika nahisi uchungu usioelekeza,,, Mungu turehemu
@selegioelias9076
22 күн бұрын
Yaani we achatu nasikia hasra ya Bwana nikuwa saga wote hawa
Dunia imekwisha Kazi mnayo ngoja Mbarikiwa awajibu Mapepo ni mengi kwenye iyo ya Mazaba
Masanja, geuka haraka! umepotea mdogo wangu! Huyo siyo nabii ni mchawi kama wachawi wengine, ni vizuri umuombe Yesu akufungue macho! ila nilichogundua watu wanakupenda. Hebu angalia coments za watu.
@mossyfimbo3577
22 күн бұрын
Mazingaombwe
Masanja usidanganyike ,we binafsi Mtafute Mungu ataonekana ,achana na watu ,kama uliitwa kweli nadhani ulikua peke yako na siku ya hukumu utasimama peke yako na YESU Ili akuhukumu na hao huta waona ,Mungu hanaga wengi wape Bali ni jitahidi uingie ,nakushauri mtumikie Mungu kwa utakatifu, haki ,na unyenyekevu utavuka tuu, manabii wa uongo ni wengi Sana na kuwatambua ni vigumu Matayo 24 yote utaona ,Acha kuwasifu watu waache Mungu ndio ataamua hatima Yao kama ni wa kweli au usanii ,( ukitaka kujua maisha ya mitume we soma Biblia tuu utaona walivyoishi na walivyofanya na walivyo enenda kama kweli maisha Yao yanalinganishwa na mitume wa kweli ,) Kristo ni yeye yule Jana Leo na hata Milele hakuna wokovu wa kisasa Wala mwenendo wa kisasa Wala utakatifu wa kisasa ,jihadhari Sana nafsi yako , wengi watapoteza wengi .
AFADHALI KUISHI TU HUKU KIJIJINI
@eliasselemani1963
Ай бұрын
MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA
@chrisdeoglatias8665
27 күн бұрын
@@eliasselemani1963 ha ha haaaaaa! Unamaanisha kjjn ndy kukosalamaaa!!!!??? Hkuna bhana sasahv vyombo vya hbr vmefny dunia iwe mtaa nenda kjjn sasahv mchngj wa hapohapo kjjn wat hawamjui jina ila nabii wa uongo wa Dar wanamjua na vikorokoro vyke wanavyo had chumban kwao
@Joyceisaka
24 күн бұрын
Kabisa kaka angu huku dar ni hatar mweee ni hurumaa
@marrynaftali7969
21 күн бұрын
Umeona eeeh,Mjini Mambo mengi mno
@MonicaBeni
21 күн бұрын
Hahahahaha ndugu yangu umifurahisha sana... Afadhali kuishi tu kijijini !!! Umewaza nn kamanda wangu?
Bible verse,, ,, hivyo husema, Amka wewe usinziaye ufufuke katika wafu na kristo atakuangazia,,,,,,waefeso 5:14,,,,,,, wapendwa tuamke wewe unayeona haya matukio amka hizi ni nyakati za hatari San
Yaan mmeona Kwa Yesu ndo pakufichia ushetani wenu
@chrisdeoglatias8665
23 күн бұрын
@@user-qg5sc7ie3q yaàan acha tu!
@user-wc6yw1or4n
23 күн бұрын
kweli namtafuta MUNGU kibinasfi
Mungu utusaidie
Hahaha 😂😂😂😂😂 Masanjaaaaaaaaaa Eti Jana ulikuwa wapi? Nimecheka Hadi basi
I LOVE JESUS SO MUCH.❤..AMENITOA MBALI SANA🙏
Daaah pesa inatutenganisha na mungu kabisaaa😢😢😢😢
@PeterMahona-zd3oz
20 күн бұрын
ndiyohivyo ilawapo. watakao. Simama tu namungu atatushidia
Masanja mkeo ana kuzalilisha Yaan haja tulia kabsaaa jmn 😂😂😂😂 Sijawai kuona mke wa mtumish wa Mungu mwenye wenge kama uyu jmn 😂😂😂😂
Naomba unipe mwisho mwema Mungu wangu
TIMU IMEKAMILIKA MKUU, UKITOKA KWA KIBOKO YA WACHAWI UNAKUTANA NA NABII MUUWAJI, MADHABAHUNI HAPAPANDISHWAGI KILA MTU
@chrisdeoglatias8665
27 күн бұрын
@@manaseliberatus1347 kaz tunayo!
Pole sana masanja
Mihuni ya dunia hii , utani wa wahuni wajitambia mapesa ya uchawi wao , katskela anawajua wote
Ninaona wahuni watupu tu.
@moseshaule586
26 күн бұрын
Uhuni sio dhambi mbona,, kwani uhuni mining?
Hakika YESU yupo mlangoni tuweni macho Wana wa Ibilisi wamejikusanya
Hapo hata kipofu mwenyeakili timamu hadanganywi,,iweje sisi tulopewa macho tudanganyike???,,Dear guys mwenyekusali sali sanaaaa pia mwenye kufwata hao mashetani endelea but majibu unayo😢😢😢
Mungu okowa loho ambazo zimepoteya hizi
Mungu wetu sijui kawa mpole....why! Inauma sana
😂😂😂 pamoja na upako wote lakini bado kuna bodyguard inaonyesha mu waoga kiasi
Uuuuuwiiiii😮
Ghaai huku ni wapi , may the light of the Holy scripture sound absolute truth till the end of the edge😢
Amen
Usanii mpaka kwa kutumia Jina la Mungu,mmmmm Mungu tuhurume
@chrisdeoglatias8665
29 күн бұрын
Sasahv Mungu c kawa k.m anko tuu tna ht kw anko mdada haend na visuruali ila madhabahuni bnt anasogelea na mavaz ya uchi bila haibu, jamaniii" M/ KE KUVAA SURUALI HT KM N Y SUT NI KUWA UCHI, ni roho ya yezeberi makanisani!
We Jamaa bwana Commed all the time
Jana ulikuwa wapi afu ukapotezea nimefrahi sana😂😂😂
Can i prophesize 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hakuna nabii jamani tusidanganyane, nabii ni mtu anaeweza kuiona kesho? Sio kwa kuhisi mtu anaiona picha nzima ya kitu au tukio litakalotokea, anaweza kukuelezea kila kitu bila kuacha hata chembe
Kwani ma wewe masanja umekuwa mtu wa swaga namna hiyo hee mbona kuzimu mtajaa sana
Genge la Sarakasi ya Kiroho
alafu ni mwingizaji😅😅😅
Feel free church.... Jina lenyewe linajitambulisha...
Haaa vituko ,Masanja rudi kwa yesu
Hizo nguo zao zinatisha kwanza😅😅😅
Stendi ya kuzimu.
@user-qn6rs7km3z
29 күн бұрын
Hatari sana
@AtuganileGodson
27 күн бұрын
Kweli Mungu anazihakiwa sana
@chrisdeoglatias8665
27 күн бұрын
@@Kelvinchristopher072 duuuu
wazee wa kazi kazi
Mke wa masanja ana shida gan? Mbona hajapoa anahangaika sana kama mtu anamtekenya
Daaaa kanisa limeva😢😢miwa😢
Dunia imeisha
Kumbe masanja ni wale wale
@barakanatus5676
26 күн бұрын
Ulikuwa ujui ni wale wale
@hosannakamwela9286
20 күн бұрын
Hakika ni walewale
1 Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari. 16 Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki; '2 Timotheo 3:1-16'
Yaani Masanja umeweka Ukomedi wako hadi knsn, Umeambiwa nyumba ya Bwana itakuwa nyumba ya Sala, si nyumba ya kufanyia comed
Bodyguard sasa 😂
OLE WA NCHI NA BAHARI POLENI KUMBE YESU ALISHATUAMBIA KAMA SIKU HAZITAFUPISHWA HAKUNA MTU ATASALIA
Nashukuru mungu 😂 mmenza kujichanganya na kujikusanya ili tuwajuwe😂😂😂 kumbe mpaka wewe ni mfanya biashara sio ujatumwa unajituma
Nuru yako imezimaje ghafula kihivo wazazi wako wakiroho bado wanailinda imani
Matapeli wamekutana jmn hii dunia tunaenda wap 🙏
Wanasema wameitwa kumbe ndo wapuuzi kwanini mnalitumia jina la YESU kupoteza watu na kujitwalia heshima wewe ni nan watu wakupigie magoti acheni upuuzi jaman 😭😭😭😭😭😭😭😭
Itatufaa nn kupatata yote Kisha tukose mbingu
Makundi ya wachawi Tanzania ndugu zanguni watanzania ndio hawa tuweni makini
Unafiki wa kubembeleza pesa
Mimi. Sikubalihani. Na. Hawa. Mbaka. Yesu. Arudi
May God open Ur children's eyes....the church of God is lost
Can i prophesey 😢😅😅😅 Go deeper Papaaa😂😂😂😂 Haki Mungu wangu weq Tuhurumie
Ngoja ninyamaze maana na imagine kina Paulo huko mbinguni wanatamani washuke
Leo wameturihixishia timu yao yakishetani ngoja niwashitakie kwa Mungu na wapotelee mbali kwa njia 7 wote waangamie Kama hawatatbu na kumuubiri Yesu wa kweli
Mathayo 24:24,siku za mwisho watatokea manabii wa uongo na wakristo wengi wa uongo.someni ufunuo kama hamjajaliwa kuelewa tuulizeni ili tueadaidie tuko ktk dk za mwisho kabisa Yesu yupo karibu kurudi na shetani amewafumba macho watu wasijue ukweli
Mbarikiwa ndo ameitiwa kazi ya kuwanyoosha hawa watu
@chrisdeoglatias8665
29 күн бұрын
Ha ha haaaaaaaaaaaa!
Watu wapiga magoti na kumfuta viatu masanja hii sio sawa ni kama wanakuabudu ,sio sawa achana na giza toka 😢,manabii wa uongo walitabiliwa wakati wa mwisho wa dunia au kuja kwa Yesu kristo,ndo sasa tunaona, Yesu tusaidie
Kweli mbinguni ni mbali
MUNGU anadharirishwa hivi, jamani. Dunia iko pabaya wamemfanya Mungu kama mjomba
Vipofu wana wa majoka
Mbona makondeko umezeeka hivyo tubu kabula haijawa jioni
Yaani hivi watu wanaoenda kanisan kwa masanja kichwani zmo kweli?
Mbona mmeweke kakipande kadogo jamani
Wahuni mmejikusanya kutapeli watu , serikali tuache kuwatafuta vibaka wengine tofauti na hawa waliojitokeza
Mmmmhhh hivi ni vipande 30 tuuuuu
Kuna mwizi anaetumia silaha anaitwa jambazi..kuna mwizi anaetumia siasa anaitwa fisadi..halafu kuna wezi wanotumia jina la mungu....
😂😂😂😂😂 kwahiyo ukigusa viatu vya Masanja umemgusa Nabii
Hovyoooooooooooooooooooooooo.upumbavu gani huoooo. YESU GANI HUYO UNAYEMWINGELEA.?
Cjui ni lini watu tutajielewa na hawa manabii wtu wa ss
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😢😢😢😢😭😭😭😭 kweli hii ni Feremason kabisa yani Mungu tusaidie Walahi 😢😢😢😢
Pole myawe kweugenda
KIBOKO YA WACHAWI ANAWAADABISHA WACHAWI BARABARAAAA 😄😄😄😄🏃🏃🏃🏃🏃
Duuuh 🙄 Nimeduwaaaaa
@geitandelwa299
Ай бұрын
Umeona ee shida
@deborahmchona5584
Ай бұрын
Mungu wangu mpka mi sielewi wanatu changanya kuna niliokua mawaamini pia naanza kupoteza imani kwao sasa Mungu tusaidie tu hiz ni zama za mwisho kwa kweli
@chrisdeoglatias8665
29 күн бұрын
Achana nao ucje ukafa kabisa tukakukosa.
@sophiaommy8343
29 күн бұрын
@@deborahmchona5584mbona Kama Kuna Rolinga tenaa aiseee nimejikuta naumia sana
@AtuganileGodson
27 күн бұрын
Utajua tu.Wamejipanga na wapo vizuri.Mungu hatajwi ila sifa za watu.😂😂😂 Mungu atusamehe sana
Mtatubu kwa lazima
Waganga walio vua kaniki wakavaa suti
@HappyFlowers-ee8ru
26 күн бұрын
Haaaaaa ndugu yangu umenichekesha sana
Milioni 40 inamuhamisha kwa yesu kbs mi sikujuwa kama muunganiko ni mkubwa hivi kt ma masanja na hawa pesa bibilia itamtenga mtu na mungu nimeamini.
Mungu wangu nin hiki jamani duuh Dunia shuka nisimame
Yaani watu wanatambulishwa na vyeo vyao vya kuzimu ila wahumini hawaelewi.inaumiza sana
Yan masanja nae,,atapotea anaanza kuweka ujinga nae
@chrisdeoglatias8665
23 күн бұрын
@@user-go9ec5jn6l sio atapotea!!!!
Wote hawana Mungu ndani yao
Mungu awape nguvu wachungaji wote mungu awalinde Sana
@chrisdeoglatias8665
23 күн бұрын
@@IssaPara-bt9hg mh
Uyu malisa naendaga kwake ila simwelew naendaga tuu kufanyq uduma
Kama Kuna siku umenishangaza masanja ni leo, nilidhani tupo kwenye boti kumbe duuuh!
Wateule muwe macho hizi nisiku za mwisho
Mtu anaabudiwa kama mngu mngu jizihilishe wakuone baba
Duh! Tumevamiwa.yaani Hawa sorcerer's wamekutana wote Leo.
Kuna kiboko ya wachawi na huyo sijui IPM siku nikiwa sijafanya dhambi kama iliyosababisha leo kujaziwa kadi la kliniki 😂. Nitakwenda makanisani kwao kuwaombea waokoke na kuwaongoza sala ya toba 😂😂😂
Mmh! Mungu nipe macho nione manabii wakweli maana bila wewe mimi sitaweza kuwatambua, naona hapa kuna alama nyingi za ??????
Na umewakusanya kwer kwer
Masanja mpka hapo hakuna kitu hapo
Matapeli wamekutana
Muda ni mwalimu mzuri sana.. Mtawatambua kwa matendo. Kwa matunda yao mtawatambua. Lilikua ni suala la Muda tu kuwatambua hawa. Bwana Yesu atupe maarifa ya Neno lake.
Jamani sisemi sana ila Mungu atufungue macho zama hizi yatosha