MASANJA MBELE YA MANABII KIBOKO YA WACHAWI ATOA UNABII MZITO

Ойын-сауық

TANGAZA NASI MASANJA TV:
SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Updates:
👇 👇
/ @masanjatvgospel

Пікірлер: 191

  • @AtuganileGodson
    @AtuganileGodson27 күн бұрын

    Kabisa.Mungu anachezewa kiasinhiki??inatia uchungu sana

  • @PeterMahona-zd3oz

    @PeterMahona-zd3oz

    20 күн бұрын

    naumia Sana mungu wamemfanya. kama babuyao

  • @atuganileagrey5041

    @atuganileagrey5041

    20 күн бұрын

    Yaan Mungu aturehemu

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli2127 күн бұрын

    Nilidhani Masanja yuko upande Wa Nuru,kumbe na yeye ni walewale yuko upande wa giza😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 Ni ha ta lii sana,

  • @user-nx5og4cz7b

    @user-nx5og4cz7b

    21 күн бұрын

    Kwishaa iyo

  • @denismugisha2

    @denismugisha2

    16 күн бұрын

    Hivi nyie mnapataga shida sana kuwatambua hawa eh Basi mwenzenu hata kwa mavazi tu nawaelewaga

  • @marthadaniel4904

    @marthadaniel4904

    15 күн бұрын

    Kwenye madhabahu unalet comedy 😢😢Mungu atusaidie atupe macho ya kiroho, nyakat za mwisho kutakuw na manabii wa uongo

  • @user-zw7ln4iy3g

    @user-zw7ln4iy3g

    2 күн бұрын

    mwanangu mmoja alishanigomea huyu alishachukuliwa kitambo walivyoona anakiu ya mafanikio wakatumia njia hiyo kumchukua 😢😢 leo ndo nimemkoma masanja

  • @aderanderwa7623
    @aderanderwa7623Ай бұрын

    YESU KRISTO ATUREHEMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO WATEULE TUWE MACHO MWENYE KUJITAKASA AZIDI KUJITAKASA MWENYE KUDHULUMU AZIDI KUDHULUMU KUDHULUMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO

  • @PeterMahona-zd3oz

    @PeterMahona-zd3oz

    20 күн бұрын

    kwelimpendwa nichangamoto. MUNGU anisaidie atusaidie maigizo kama. haya

  • @JosephKingwere

    @JosephKingwere

    16 күн бұрын

    Mimi nilivyo muona uyo kiboko ya wachawi mhmhmh nimeshangaa sana daaaah hapo kuna namuna jmn 😢 Yesu chrsto atusaidie sana

  • @EngelLameck-nz5nk

    @EngelLameck-nz5nk

    10 күн бұрын

    Unapotea sana Kaka Angu masanja hebu mwambie Mungu akupe amacho uone kuhusu hao watumish unao wasifia unako enda sio kabisa

  • @focusernest5610

    @focusernest5610

    10 күн бұрын

    Watu wako after maokoto macho ya rohoni hayaoni​@@EngelLameck-nz5nk

  • @GodfridMbele-sb1ks

    @GodfridMbele-sb1ks

    Күн бұрын

    Hawa ni mawakala wa shetani wote hawa

  • @SifaelaYoram
    @SifaelaYoram26 күн бұрын

    Nasikitika nahisi uchungu usioelekeza,,, Mungu turehemu

  • @selegioelias9076

    @selegioelias9076

    22 күн бұрын

    Yaani we achatu nasikia hasra ya Bwana nikuwa saga wote hawa

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cnАй бұрын

    Dunia imekwisha Kazi mnayo ngoja Mbarikiwa awajibu Mapepo ni mengi kwenye iyo ya Mazaba

  • @chrispinkyaruzi1110
    @chrispinkyaruzi111023 күн бұрын

    Masanja, geuka haraka! umepotea mdogo wangu! Huyo siyo nabii ni mchawi kama wachawi wengine, ni vizuri umuombe Yesu akufungue macho! ila nilichogundua watu wanakupenda. Hebu angalia coments za watu.

  • @mossyfimbo3577

    @mossyfimbo3577

    22 күн бұрын

    Mazingaombwe

  • @nicksonlyimo1562
    @nicksonlyimo156228 күн бұрын

    Masanja usidanganyike ,we binafsi Mtafute Mungu ataonekana ,achana na watu ,kama uliitwa kweli nadhani ulikua peke yako na siku ya hukumu utasimama peke yako na YESU Ili akuhukumu na hao huta waona ,Mungu hanaga wengi wape Bali ni jitahidi uingie ,nakushauri mtumikie Mungu kwa utakatifu, haki ,na unyenyekevu utavuka tuu, manabii wa uongo ni wengi Sana na kuwatambua ni vigumu Matayo 24 yote utaona ,Acha kuwasifu watu waache Mungu ndio ataamua hatima Yao kama ni wa kweli au usanii ,( ukitaka kujua maisha ya mitume we soma Biblia tuu utaona walivyoishi na walivyofanya na walivyo enenda kama kweli maisha Yao yanalinganishwa na mitume wa kweli ,) Kristo ni yeye yule Jana Leo na hata Milele hakuna wokovu wa kisasa Wala mwenendo wa kisasa Wala utakatifu wa kisasa ,jihadhari Sana nafsi yako , wengi watapoteza wengi .

  • @eliasselemani1963
    @eliasselemani1963Ай бұрын

    AFADHALI KUISHI TU HUKU KIJIJINI

  • @eliasselemani1963

    @eliasselemani1963

    Ай бұрын

    MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA

  • @chrisdeoglatias8665

    @chrisdeoglatias8665

    27 күн бұрын

    @@eliasselemani1963 ha ha haaaaaa! Unamaanisha kjjn ndy kukosalamaaa!!!!??? Hkuna bhana sasahv vyombo vya hbr vmefny dunia iwe mtaa nenda kjjn sasahv mchngj wa hapohapo kjjn wat hawamjui jina ila nabii wa uongo wa Dar wanamjua na vikorokoro vyke wanavyo had chumban kwao

  • @Joyceisaka

    @Joyceisaka

    24 күн бұрын

    Kabisa kaka angu huku dar ni hatar mweee ni hurumaa

  • @marrynaftali7969

    @marrynaftali7969

    21 күн бұрын

    Umeona eeeh,Mjini Mambo mengi mno

  • @MonicaBeni

    @MonicaBeni

    21 күн бұрын

    Hahahahaha ndugu yangu umifurahisha sana... Afadhali kuishi tu kijijini !!! Umewaza nn kamanda wangu?

  • @SifaelaYoram
    @SifaelaYoram26 күн бұрын

    Bible verse,, ,, hivyo husema, Amka wewe usinziaye ufufuke katika wafu na kristo atakuangazia,,,,,,waefeso 5:14,,,,,,, wapendwa tuamke wewe unayeona haya matukio amka hizi ni nyakati za hatari San

  • @user-qg5sc7ie3q
    @user-qg5sc7ie3q26 күн бұрын

    Yaan mmeona Kwa Yesu ndo pakufichia ushetani wenu

  • @chrisdeoglatias8665

    @chrisdeoglatias8665

    23 күн бұрын

    @@user-qg5sc7ie3q yaàan acha tu!

  • @user-wc6yw1or4n

    @user-wc6yw1or4n

    23 күн бұрын

    kweli namtafuta MUNGU kibinasfi

  • @JosephTherathini
    @JosephTherathiniКүн бұрын

    Mungu utusaidie

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618Ай бұрын

    Hahaha 😂😂😂😂😂 Masanjaaaaaaaaaa Eti Jana ulikuwa wapi? Nimecheka Hadi basi

  • @dorahisinika7576
    @dorahisinika757623 күн бұрын

    I LOVE JESUS SO MUCH.❤..AMENITOA MBALI SANA🙏

  • @thestkim6625
    @thestkim662522 күн бұрын

    Daaah pesa inatutenganisha na mungu kabisaaa😢😢😢😢

  • @PeterMahona-zd3oz

    @PeterMahona-zd3oz

    20 күн бұрын

    ndiyohivyo ilawapo. watakao. Simama tu namungu atatushidia

  • @FabiolaTemba-kz2sq
    @FabiolaTemba-kz2sq3 күн бұрын

    Masanja mkeo ana kuzalilisha Yaan haja tulia kabsaaa jmn 😂😂😂😂 Sijawai kuona mke wa mtumish wa Mungu mwenye wenge kama uyu jmn 😂😂😂😂

  • @PaskariaSuwi
    @PaskariaSuwi13 күн бұрын

    Naomba unipe mwisho mwema Mungu wangu

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus1347Ай бұрын

    TIMU IMEKAMILIKA MKUU, UKITOKA KWA KIBOKO YA WACHAWI UNAKUTANA NA NABII MUUWAJI, MADHABAHUNI HAPAPANDISHWAGI KILA MTU

  • @chrisdeoglatias8665

    @chrisdeoglatias8665

    27 күн бұрын

    @@manaseliberatus1347 kaz tunayo!

  • @josephgnzunda5631
    @josephgnzunda563126 күн бұрын

    Pole sana masanja

  • @MAONYOTVTANZANIA
    @MAONYOTVTANZANIA29 күн бұрын

    Mihuni ya dunia hii , utani wa wahuni wajitambia mapesa ya uchawi wao , katskela anawajua wote

  • @AyubuHeshima
    @AyubuHeshimaАй бұрын

    Ninaona wahuni watupu tu.

  • @moseshaule586

    @moseshaule586

    26 күн бұрын

    Uhuni sio dhambi mbona,, kwani uhuni mining?

  • @magdalenapeter6106
    @magdalenapeter610625 күн бұрын

    Hakika YESU yupo mlangoni tuweni macho Wana wa Ibilisi wamejikusanya

  • @user-vk6so5bb7u
    @user-vk6so5bb7u9 күн бұрын

    Hapo hata kipofu mwenyeakili timamu hadanganywi,,iweje sisi tulopewa macho tudanganyike???,,Dear guys mwenyekusali sali sanaaaa pia mwenye kufwata hao mashetani endelea but majibu unayo😢😢😢

  • @edouardnsengiyumva1145
    @edouardnsengiyumva11454 күн бұрын

    Mungu okowa loho ambazo zimepoteya hizi

  • @roseriwa6951
    @roseriwa695116 күн бұрын

    Mungu wetu sijui kawa mpole....why! Inauma sana

  • @DavidMbwilo-qk1bz
    @DavidMbwilo-qk1bz12 сағат бұрын

    😂😂😂 pamoja na upako wote lakini bado kuna bodyguard inaonyesha mu waoga kiasi

  • @JosephTherathini
    @JosephTherathiniКүн бұрын

    Uuuuuwiiiii😮

  • @kipkemoicheruiyot4315
    @kipkemoicheruiyot431516 күн бұрын

    Ghaai huku ni wapi , may the light of the Holy scripture sound absolute truth till the end of the edge😢

  • @VeronicaMungure
    @VeronicaMungure23 күн бұрын

    Amen

  • @user-jc1do5gf3w
    @user-jc1do5gf3wАй бұрын

    Usanii mpaka kwa kutumia Jina la Mungu,mmmmm Mungu tuhurume

  • @chrisdeoglatias8665

    @chrisdeoglatias8665

    29 күн бұрын

    Sasahv Mungu c kawa k.m anko tuu tna ht kw anko mdada haend na visuruali ila madhabahuni bnt anasogelea na mavaz ya uchi bila haibu, jamaniii" M/ KE KUVAA SURUALI HT KM N Y SUT NI KUWA UCHI, ni roho ya yezeberi makanisani!

  • @lusungungimbudzi4265
    @lusungungimbudzi426518 күн бұрын

    We Jamaa bwana Commed all the time

  • @bensonmgaya5693
    @bensonmgaya5693Ай бұрын

    Jana ulikuwa wapi afu ukapotezea nimefrahi sana😂😂😂

  • @JohnMakweba-fj4rt
    @JohnMakweba-fj4rt10 күн бұрын

    Can i prophesize 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @DennisFandi
    @DennisFandiКүн бұрын

    Hakuna nabii jamani tusidanganyane, nabii ni mtu anaeweza kuiona kesho? Sio kwa kuhisi mtu anaiona picha nzima ya kitu au tukio litakalotokea, anaweza kukuelezea kila kitu bila kuacha hata chembe

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184Ай бұрын

    Kwani ma wewe masanja umekuwa mtu wa swaga namna hiyo hee mbona kuzimu mtajaa sana

  • @JacksonMbites
    @JacksonMbites2 күн бұрын

    Genge la Sarakasi ya Kiroho

  • @VenanceMsoka
    @VenanceMsokaКүн бұрын

    alafu ni mwingizaji😅😅😅

  • @dainamichael5624
    @dainamichael56243 күн бұрын

    Feel free church.... Jina lenyewe linajitambulisha...

  • @user-up8uq3ih2i
    @user-up8uq3ih2i26 күн бұрын

    Haaa vituko ,Masanja rudi kwa yesu

  • @KatRobert
    @KatRobert11 күн бұрын

    Hizo nguo zao zinatisha kwanza😅😅😅

  • @Kelvinchristopher072
    @Kelvinchristopher072Ай бұрын

    Stendi ya kuzimu.

  • @user-qn6rs7km3z

    @user-qn6rs7km3z

    29 күн бұрын

    Hatari sana

  • @AtuganileGodson

    @AtuganileGodson

    27 күн бұрын

    Kweli Mungu anazihakiwa sana

  • @chrisdeoglatias8665

    @chrisdeoglatias8665

    27 күн бұрын

    @@Kelvinchristopher072 duuuu

  • @kmotivation1130
    @kmotivation113026 күн бұрын

    wazee wa kazi kazi

  • @FabiolaTemba-kz2sq
    @FabiolaTemba-kz2sq3 күн бұрын

    Mke wa masanja ana shida gan? Mbona hajapoa anahangaika sana kama mtu anamtekenya

  • @klmhardware2993
    @klmhardware29933 күн бұрын

    Daaaa kanisa limeva😢😢miwa😢

  • @Pendopasilika
    @PendopasilikaАй бұрын

    Dunia imeisha

  • @ednakawau9842
    @ednakawau984226 күн бұрын

    Kumbe masanja ni wale wale

  • @barakanatus5676

    @barakanatus5676

    26 күн бұрын

    Ulikuwa ujui ni wale wale

  • @hosannakamwela9286

    @hosannakamwela9286

    20 күн бұрын

    Hakika ni walewale

  • @samuelakanga5586
    @samuelakanga558620 күн бұрын

    1 Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari. 16 Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki; '2 Timotheo 3:1-16'

  • @sarahkeivaly3351
    @sarahkeivaly335125 күн бұрын

    Yaani Masanja umeweka Ukomedi wako hadi knsn, Umeambiwa nyumba ya Bwana itakuwa nyumba ya Sala, si nyumba ya kufanyia comed

  • @raymondwilliam3042
    @raymondwilliam3042Ай бұрын

    Bodyguard sasa 😂

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye448821 күн бұрын

    OLE WA NCHI NA BAHARI POLENI KUMBE YESU ALISHATUAMBIA KAMA SIKU HAZITAFUPISHWA HAKUNA MTU ATASALIA

  • @january_Tattoo
    @january_Tattoo3 күн бұрын

    Nashukuru mungu 😂 mmenza kujichanganya na kujikusanya ili tuwajuwe😂😂😂 kumbe mpaka wewe ni mfanya biashara sio ujatumwa unajituma

  • @josephgnzunda5631
    @josephgnzunda563126 күн бұрын

    Nuru yako imezimaje ghafula kihivo wazazi wako wakiroho bado wanailinda imani

  • @SamooTz-pi5ok
    @SamooTz-pi5ok23 күн бұрын

    Matapeli wamekutana jmn hii dunia tunaenda wap 🙏

  • @prchMichael
    @prchMichael20 күн бұрын

    Wanasema wameitwa kumbe ndo wapuuzi kwanini mnalitumia jina la YESU kupoteza watu na kujitwalia heshima wewe ni nan watu wakupigie magoti acheni upuuzi jaman 😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @merabKitundu
    @merabKitunduАй бұрын

    Itatufaa nn kupatata yote Kisha tukose mbingu

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya27 күн бұрын

    Makundi ya wachawi Tanzania ndugu zanguni watanzania ndio hawa tuweni makini

  • @nangukidasu8040
    @nangukidasu80402 күн бұрын

    Unafiki wa kubembeleza pesa

  • @IsraelLekumok
    @IsraelLekumok2 күн бұрын

    Mimi. Sikubalihani. Na. Hawa. Mbaka. Yesu. Arudi

  • @agnesmbula5261
    @agnesmbula526126 күн бұрын

    May God open Ur children's eyes....the church of God is lost

  • @jacklinakinabo6479
    @jacklinakinabo647927 күн бұрын

    Can i prophesey 😢😅😅😅 Go deeper Papaaa😂😂😂😂 Haki Mungu wangu weq Tuhurumie

  • @peterrichard9644
    @peterrichard964424 күн бұрын

    Ngoja ninyamaze maana na imagine kina Paulo huko mbinguni wanatamani washuke

  • @ellymunisi8749
    @ellymunisi874917 күн бұрын

    Leo wameturihixishia timu yao yakishetani ngoja niwashitakie kwa Mungu na wapotelee mbali kwa njia 7 wote waangamie Kama hawatatbu na kumuubiri Yesu wa kweli

  • @fredrickmikera5998
    @fredrickmikera599819 күн бұрын

    Mathayo 24:24,siku za mwisho watatokea manabii wa uongo na wakristo wengi wa uongo.someni ufunuo kama hamjajaliwa kuelewa tuulizeni ili tueadaidie tuko ktk dk za mwisho kabisa Yesu yupo karibu kurudi na shetani amewafumba macho watu wasijue ukweli

  • @user-im7vi2yf2d
    @user-im7vi2yf2d29 күн бұрын

    Mbarikiwa ndo ameitiwa kazi ya kuwanyoosha hawa watu

  • @chrisdeoglatias8665

    @chrisdeoglatias8665

    29 күн бұрын

    Ha ha haaaaaaaaaaaa!

  • @user-xl5xi1uq9z
    @user-xl5xi1uq9z17 күн бұрын

    Watu wapiga magoti na kumfuta viatu masanja hii sio sawa ni kama wanakuabudu ,sio sawa achana na giza toka 😢,manabii wa uongo walitabiliwa wakati wa mwisho wa dunia au kuja kwa Yesu kristo,ndo sasa tunaona, Yesu tusaidie

  • @merabKitundu
    @merabKitunduАй бұрын

    Kweli mbinguni ni mbali

  • @hosannakamwela9286
    @hosannakamwela928620 күн бұрын

    MUNGU anadharirishwa hivi, jamani. Dunia iko pabaya wamemfanya Mungu kama mjomba

  • @user-kz5en5tq2z
    @user-kz5en5tq2z26 күн бұрын

    Vipofu wana wa majoka

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184Ай бұрын

    Mbona makondeko umezeeka hivyo tubu kabula haijawa jioni

  • @giftmusa6543
    @giftmusa65433 күн бұрын

    Yaani hivi watu wanaoenda kanisan kwa masanja kichwani zmo kweli?

  • @mwanawamfalmetz
    @mwanawamfalmetzАй бұрын

    Mbona mmeweke kakipande kadogo jamani

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya27 күн бұрын

    Wahuni mmejikusanya kutapeli watu , serikali tuache kuwatafuta vibaka wengine tofauti na hawa waliojitokeza

  • @ombendaud5938
    @ombendaud593827 күн бұрын

    Mmmmhhh hivi ni vipande 30 tuuuuu

  • @user-zs7eq8up5s
    @user-zs7eq8up5s23 күн бұрын

    Kuna mwizi anaetumia silaha anaitwa jambazi..kuna mwizi anaetumia siasa anaitwa fisadi..halafu kuna wezi wanotumia jina la mungu....

  • @user-qw8tm3jz2u
    @user-qw8tm3jz2u27 күн бұрын

    😂😂😂😂😂 kwahiyo ukigusa viatu vya Masanja umemgusa Nabii

  • @valenakomba9218
    @valenakomba921827 күн бұрын

    Hovyoooooooooooooooooooooooo.upumbavu gani huoooo. YESU GANI HUYO UNAYEMWINGELEA.?

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain994719 күн бұрын

    Cjui ni lini watu tutajielewa na hawa manabii wtu wa ss

  • @FamtamAli-vl2wx
    @FamtamAli-vl2wx13 күн бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😢😢😢😢😭😭😭😭 kweli hii ni Feremason kabisa yani Mungu tusaidie Walahi 😢😢😢😢

  • @TheofiloKihongosi
    @TheofiloKihongosi22 күн бұрын

    Pole myawe kweugenda

  • @patrobamalema8631
    @patrobamalema86316 күн бұрын

    KIBOKO YA WACHAWI ANAWAADABISHA WACHAWI BARABARAAAA 😄😄😄😄🏃🏃🏃🏃🏃

  • @Mwakibinga_wisdom
    @Mwakibinga_wisdomАй бұрын

    Duuuh 🙄 Nimeduwaaaaa

  • @geitandelwa299

    @geitandelwa299

    Ай бұрын

    Umeona ee shida

  • @deborahmchona5584

    @deborahmchona5584

    Ай бұрын

    Mungu wangu mpka mi sielewi wanatu changanya kuna niliokua mawaamini pia naanza kupoteza imani kwao sasa Mungu tusaidie tu hiz ni zama za mwisho kwa kweli

  • @chrisdeoglatias8665

    @chrisdeoglatias8665

    29 күн бұрын

    Achana nao ucje ukafa kabisa tukakukosa.

  • @sophiaommy8343

    @sophiaommy8343

    29 күн бұрын

    ​@@deborahmchona5584mbona Kama Kuna Rolinga tenaa aiseee nimejikuta naumia sana

  • @AtuganileGodson

    @AtuganileGodson

    27 күн бұрын

    Utajua tu.Wamejipanga na wapo vizuri.Mungu hatajwi ila sifa za watu.😂😂😂 Mungu atusamehe sana

  • @jacklinejohn5727
    @jacklinejohn572722 күн бұрын

    Mtatubu kwa lazima

  • @mercycharlesmsiagi1756
    @mercycharlesmsiagi175626 күн бұрын

    Waganga walio vua kaniki wakavaa suti

  • @HappyFlowers-ee8ru

    @HappyFlowers-ee8ru

    26 күн бұрын

    Haaaaaa ndugu yangu umenichekesha sana

  • @user-nx5og4cz7b
    @user-nx5og4cz7b21 күн бұрын

    Milioni 40 inamuhamisha kwa yesu kbs mi sikujuwa kama muunganiko ni mkubwa hivi kt ma masanja na hawa pesa bibilia itamtenga mtu na mungu nimeamini.

  • @annambembela6661
    @annambembela666121 күн бұрын

    Mungu wangu nin hiki jamani duuh Dunia shuka nisimame

  • @fredrickmikera5998
    @fredrickmikera599819 күн бұрын

    Yaani watu wanatambulishwa na vyeo vyao vya kuzimu ila wahumini hawaelewi.inaumiza sana

  • @user-go9ec5jn6l
    @user-go9ec5jn6l24 күн бұрын

    Yan masanja nae,,atapotea anaanza kuweka ujinga nae

  • @chrisdeoglatias8665

    @chrisdeoglatias8665

    23 күн бұрын

    @@user-go9ec5jn6l sio atapotea!!!!

  • @ellymunisi8749
    @ellymunisi874917 күн бұрын

    Wote hawana Mungu ndani yao

  • @IssaPara-bt9hg
    @IssaPara-bt9hgАй бұрын

    Mungu awape nguvu wachungaji wote mungu awalinde Sana

  • @chrisdeoglatias8665

    @chrisdeoglatias8665

    23 күн бұрын

    @@IssaPara-bt9hg mh

  • @Rumbakweka
    @Rumbakweka16 күн бұрын

    Uyu malisa naendaga kwake ila simwelew naendaga tuu kufanyq uduma

  • @eliakefas9300
    @eliakefas93002 күн бұрын

    Kama Kuna siku umenishangaza masanja ni leo, nilidhani tupo kwenye boti kumbe duuuh!

  • @jubilethfestourio450
    @jubilethfestourio45016 күн бұрын

    Wateule muwe macho hizi nisiku za mwisho

  • @KabestarMusic-l2o
    @KabestarMusic-l2o8 күн бұрын

    Mtu anaabudiwa kama mngu mngu jizihilishe wakuone baba

  • @skeetergodwins2576
    @skeetergodwins257611 күн бұрын

    Duh! Tumevamiwa.yaani Hawa sorcerer's wamekutana wote Leo.

  • @dorahkaruma9299
    @dorahkaruma929917 күн бұрын

    Kuna kiboko ya wachawi na huyo sijui IPM siku nikiwa sijafanya dhambi kama iliyosababisha leo kujaziwa kadi la kliniki 😂. Nitakwenda makanisani kwao kuwaombea waokoke na kuwaongoza sala ya toba 😂😂😂

  • @AnnaMsami-f5p
    @AnnaMsami-f5p13 күн бұрын

    Mmh! Mungu nipe macho nione manabii wakweli maana bila wewe mimi sitaweza kuwatambua, naona hapa kuna alama nyingi za ??????

  • @JuliusMatiku-ux4ch
    @JuliusMatiku-ux4ch13 күн бұрын

    Na umewakusanya kwer kwer

  • @ushindimbwilo1398
    @ushindimbwilo139828 күн бұрын

    Masanja mpka hapo hakuna kitu hapo

  • @ben_digital
    @ben_digital2 күн бұрын

    Matapeli wamekutana

  • @verroallex9144
    @verroallex91449 күн бұрын

    Muda ni mwalimu mzuri sana.. Mtawatambua kwa matendo. Kwa matunda yao mtawatambua. Lilikua ni suala la Muda tu kuwatambua hawa. Bwana Yesu atupe maarifa ya Neno lake.

  • @AgnessChambo-mx6rd
    @AgnessChambo-mx6rd18 күн бұрын

    Jamani sisemi sana ila Mungu atufungue macho zama hizi yatosha

Келесі