Malebo Ameokoka Changamoto ni Wake zake Watano/Majina Ya Watoto Wangu.

Mchungaji Na Muimbaji Mkongwe Wa Muziki Wa Injili East Africa Kutokea Hapa Nyumbani Tanzania Munishi Faustin Munishi aliyeimba nyimbo Maarufu Kama vile Malebo,Yesu Ni Mambo Yote Nk.,ameelezea Kuhusu Rafiki Yake Malebo ambaye alimuimba Katika Wimbo akimtaka kuokoka na Hatimaye ndugu huyo Malebo kwa sasa ameshaokoka na Anaisha Mkoani Kilimanjaro.
Malebo anawanawake Watano,changamoto kubwa anayokutana nayo Ni kutakiwa kuachana nao na kubaki na mke mmoja,jambo ambalo linamtatiza Malebo.
“Kwa kweli maandiko Yanatuambia kuwa mtu abaki kama alivyokutwa na Yesu,Kwa Maoni Yangu naona Malebo asiachane na Wale Wake zake ambao ndio aliamua kuwaoa na Wamezeeka sasa,akiwaacha Imekuwa mtihani mkubwa sana kwa kijana Yule” -Munishi
Interview Hii Yote Inapatikana KZread Channel Ya “PAZIA TV” usisahau Kusubscribe.
Je Ukikutana Na Malebo Sasa Hivi Ungependa Kumshauri Nini?

Пікірлер: 3

  • @eliamsegu8460
    @eliamsegu8460 Жыл бұрын

    Huyu mzee ni Legend, tunashukuru Mungu kwa ajili yake. Wazee kama hawa wanatakiwa kufanyiwaga tribute na wana mziki/watumishi wenzake.

  • @janet7740
    @janet7740 Жыл бұрын

    Ni vizuri kukaa na wake zake wokovu niwa mtu kivyake

  • @tobiaspaul9203
    @tobiaspaul92035 ай бұрын

    Du

Келесі