This Is Online Gospel Channel That BringsTo You The Latests Gospel News From Various Artists , Preachers,Ministers,Events And Other Kingdom Related Topics.
it was great good job and god may bless you you are so confident its not an easy job to preach in zanzibar
@aloycendalu68672 күн бұрын
Aiseehuyumdada kweliameokoka kwanza anaujasili wakipekee
@kasimebyarufu33862 күн бұрын
Ule muze Malebo anatutesa sana sisi wa Congomani alafu tumemusamehe 😂😂
@williamnassari95943 күн бұрын
Mungu akutunze sana Madame Bella. Focus!
@emmymshomi88933 күн бұрын
🎉🎉🎉
@mathiasnkini39914 күн бұрын
Aisee ulimfanyia mwenzio hivyo wakati ndiye alikuleta mjini kakupa na mchongo duuuh.
@manyandatimoth76 күн бұрын
Mzee Malebo very charming😂😂
@user-cm5xv7gb2e7 күн бұрын
Hakika ilikuwa nzuri sana sherehe ya maadimisho ya miaka 85 ya uwepo wa kanisa zuri la TAG hapa nchini Kwa kweli Mungu ni mwema tunamshukuru Mungu Kwa matendo yake makuu
@ireneshirima59918 күн бұрын
Watu wengi wanaogopa kukiri kuwa ni walokole…big up brother 🎉
@elizabethchiwamba837210 күн бұрын
Mungu awatunze familia ya Baba yetu wa Kiroho Mzee Kulola, Tujitahidi sana kuingia MBINGUNI, si lelemama ,MUNGU ATUKUMBUKE
@japhetbukuru530010 күн бұрын
Ver very goo
@leahjonathan972610 күн бұрын
My wangu❤
@FurahinAmnken12 күн бұрын
Blessed 🙏✨❤️
@matrida.lunyilija519613 күн бұрын
Dada Lyidia naomba no yako please
@BettyadhiamboAlara14 күн бұрын
MUNGU awabariki
@johnsonmushi453714 күн бұрын
Bella hongera sana unaimba kwa hisia kutoka moyoni, mwamini sana MUNGU, anakuheshimisha, usiumizwe na comment mbaya, that was past life. Ukizaliwa upya MUNGU anasamehe na kufuta yote.
@Africa96tv15 күн бұрын
Mrefu yuko wapi jamani?
@carenhilary806715 күн бұрын
Hallelujah
@VictoriaChepkwurui18 күн бұрын
I thought this was just a song 😂😂
@jastinemwambi230718 күн бұрын
Nafurahi sana kuona malebo ameokokà Hongera Mtumishi wa Mungu Munishi kumzalia Mungu matunda yanayodumu
@jastinemwambi230718 күн бұрын
Aje aimbe na Pastor Munishi
@JohnMadebe18 күн бұрын
John
@ImeldaMyinga19 күн бұрын
Huyu dada hazeeki jamani ubarikiwe dada
@user-jx7xw9ty1i19 күн бұрын
Nafurai sana kusika isitoria nikiwa kenya 🇰🇪 mombasa
@user-jx7xw9ty1i19 күн бұрын
Waoo leo nimejua malebo ninani I remember those days 90s nime furai sana mimi niko mombasa kenya ❤❤
@MaryShukran20 күн бұрын
Ameokoka akiwa tayari na tatoo hivyo usijaribiwe kuhukumu maana Yesu alikuja kuwatafuta hao. Hivyo tusiwavunje moyo
@thebmcblackmiccatcher394910 күн бұрын
Tumia neno ALIKUJA KWA AJIRI YETU, SIYO HAO. UNAHISI HAKUJA KABISA KWA AJILI YA WATU KAMA WEWE, UNA MKATA WA MOJA KWA MOJA UTAFIKA KWAKE SIYO?
@user-nm8vw4eh6m20 күн бұрын
Nice one
@pendomwaiteleke163620 күн бұрын
huyo dada mwingine yupo busy na simu kama hayupo kwenye kipindi ajirekebishe
@ibrahmjohn566122 күн бұрын
Safi SANA
@FurahiniSanga-i4h22 күн бұрын
Naomba namba ya mtoa ushuhuda jamani
@fadhililazarus999224 күн бұрын
Hongereni sana
@barakamwange-tq2qv26 күн бұрын
Mungu akuinue
@rulebudodo230126 күн бұрын
Wonderful
@straton3727 күн бұрын
Sir John..... Nimejifunza somo kutoka kwenye mazungumzo haya.... Thank you Papa.... Following from Geita katoro Tz... Madam Miriam umebarikiwa
@straton3727 күн бұрын
Blessed hili bado somo still up to date lesson
@straton3727 күн бұрын
This still up to date lesson 🙏 blessed
@lyimoej719827 күн бұрын
Watu wengi wanashindwa kuelewa maana ya hofu ya Mungu. Ukichambua kwenye biblia kitabu cha mithali hofu ya Mungu ni kuchukia maovu.
@stellashao788522 күн бұрын
Amen
@lyimoej719822 күн бұрын
@@stellashao7885 amen
@Daniel-tg2cf28 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤ agape band music is nice ❤❤ infact the song your singing it is lovely one to me .i wish iwould be there watching you there
@Jonathankaghese29 күн бұрын
Amina Kaka nakukubali
@geoffreycharo9585Ай бұрын
Pole sana mama kwa kumupoteza mumeo MUNGU akutie nguvu
@gidedyumyeko2570Ай бұрын
Shida ni hizo ramani ulizojichora ambazo kibiblia ni dhambi mbele za Mungu.
@phinaswai47186 күн бұрын
Ukifatilia stor yake utaelewa, alikua mbongo fleva, now kabadilika, na hizo tatoo hazifutiki
@patriciaeliya6907Ай бұрын
Love you sister 💖😘 may God continue to use you in his kingdom ❤
@yoshuasalum8623Ай бұрын
Big up Pastor Jackson bent. Kazi yako ni njema sana
Пікірлер
Mungu Asifitu
Pastor Munishi
Mpambanaji, Mama wa wengi ❣️ 🥰 nakupenda sana
Ameen
barikiwa mtumishi welcome again Zanzibar🙏🙏🙏🙏🙏🙏
it was great good job and god may bless you you are so confident its not an easy job to preach in zanzibar
Aiseehuyumdada kweliameokoka kwanza anaujasili wakipekee
Ule muze Malebo anatutesa sana sisi wa Congomani alafu tumemusamehe 😂😂
Mungu akutunze sana Madame Bella. Focus!
🎉🎉🎉
Aisee ulimfanyia mwenzio hivyo wakati ndiye alikuleta mjini kakupa na mchongo duuuh.
Mzee Malebo very charming😂😂
Hakika ilikuwa nzuri sana sherehe ya maadimisho ya miaka 85 ya uwepo wa kanisa zuri la TAG hapa nchini Kwa kweli Mungu ni mwema tunamshukuru Mungu Kwa matendo yake makuu
Watu wengi wanaogopa kukiri kuwa ni walokole…big up brother 🎉
Mungu awatunze familia ya Baba yetu wa Kiroho Mzee Kulola, Tujitahidi sana kuingia MBINGUNI, si lelemama ,MUNGU ATUKUMBUKE
Ver very goo
My wangu❤
Blessed 🙏✨❤️
Dada Lyidia naomba no yako please
MUNGU awabariki
Bella hongera sana unaimba kwa hisia kutoka moyoni, mwamini sana MUNGU, anakuheshimisha, usiumizwe na comment mbaya, that was past life. Ukizaliwa upya MUNGU anasamehe na kufuta yote.
Mrefu yuko wapi jamani?
Hallelujah
I thought this was just a song 😂😂
Nafurahi sana kuona malebo ameokokà Hongera Mtumishi wa Mungu Munishi kumzalia Mungu matunda yanayodumu
Aje aimbe na Pastor Munishi
John
Huyu dada hazeeki jamani ubarikiwe dada
Nafurai sana kusika isitoria nikiwa kenya 🇰🇪 mombasa
Waoo leo nimejua malebo ninani I remember those days 90s nime furai sana mimi niko mombasa kenya ❤❤
Ameokoka akiwa tayari na tatoo hivyo usijaribiwe kuhukumu maana Yesu alikuja kuwatafuta hao. Hivyo tusiwavunje moyo
Tumia neno ALIKUJA KWA AJIRI YETU, SIYO HAO. UNAHISI HAKUJA KABISA KWA AJILI YA WATU KAMA WEWE, UNA MKATA WA MOJA KWA MOJA UTAFIKA KWAKE SIYO?
Nice one
huyo dada mwingine yupo busy na simu kama hayupo kwenye kipindi ajirekebishe
Safi SANA
Naomba namba ya mtoa ushuhuda jamani
Hongereni sana
Mungu akuinue
Wonderful
Sir John..... Nimejifunza somo kutoka kwenye mazungumzo haya.... Thank you Papa.... Following from Geita katoro Tz... Madam Miriam umebarikiwa
Blessed hili bado somo still up to date lesson
This still up to date lesson 🙏 blessed
Watu wengi wanashindwa kuelewa maana ya hofu ya Mungu. Ukichambua kwenye biblia kitabu cha mithali hofu ya Mungu ni kuchukia maovu.
Amen
@@stellashao7885 amen
❤❤❤❤❤❤❤ agape band music is nice ❤❤ infact the song your singing it is lovely one to me .i wish iwould be there watching you there
Amina Kaka nakukubali
Pole sana mama kwa kumupoteza mumeo MUNGU akutie nguvu
Shida ni hizo ramani ulizojichora ambazo kibiblia ni dhambi mbele za Mungu.
Ukifatilia stor yake utaelewa, alikua mbongo fleva, now kabadilika, na hizo tatoo hazifutiki
Love you sister 💖😘 may God continue to use you in his kingdom ❤
Big up Pastor Jackson bent. Kazi yako ni njema sana
Huyu ndiye Malebo hahahahhaha
L love this man of God very much