INTERVIEW na Pastor Munishi,alichowalisha watu siku ya harusi yake/Gari alilopewa na Nabii Geordavie

Live On Live na Mtumishi wa Mungu Muimbaji na Mchungaji Faustin Munishi Kutoka Nyumbani Kwake Kindi Muyuni,Kata Ya weruweru Mkoani Kilimanjaro,amefunguka Mengi kuhusu huduma na Maisha.
#LiveOnLive

Пікірлер: 113

  • @Steve-qf8he
    @Steve-qf8he3 ай бұрын

    Ibarikiwe Kenya na uendelee kuwa kimbilio kwa majirani wetu,mipaka ni wazungu waliweka.Africa ni moja!

  • @user-rt4gm9oe3l
    @user-rt4gm9oe3l Жыл бұрын

    Ombi langu kwa mtangazaji, naomba kesho uandae ingine emission Munishi akiwa pamoja na Malebo watupe ushuhuda wa Malebo

  • @hellendaniel3809

    @hellendaniel3809

    4 ай бұрын

    Tayri malebo amehojiwa nae

  • @crispinbisimwa7397
    @crispinbisimwa739710 ай бұрын

    A very humble man ❤ Stay abundantly blessed Pastor Faustin Munishi 🙏 Much love from USA 🇺🇸

  • @zytunaerude6938
    @zytunaerude69384 ай бұрын

    Mtumishi Munish ulibariki sana miaka mingi ,, pia naomba Mungu azidi kukubariki unapoendelea kutubariki much love 🎉❤❤

  • @robertzingu9889
    @robertzingu9889 Жыл бұрын

    He's a good man. Ni kweli zinazovuma mitaani ni kuwa Faustine Munishi alikimbilia Kenya kwa sababu ya wimbo wake wa "Mpende Adui yako" wakati wa utawala wa Benjamin Mkapa (1995 - 2005) na kutishiwa kushughulikiwa kwa sababu ya maudhui ya wimbo huo yaliyokuwa kama yanawananga watawala chini ya CCM by then na kuonekana wimbo umebeba dhana ya uchochezi na hivyo kukimbilia huko Kenya kuepuka shari hiyo. Hata hivyo Kila aliyekutwa anasikiliza wimbo huo alipata shida sana. Asante sana Mch Munishi Kwa ufafanuzi wako na kuliweka vizuri hilo

  • @paulkazibacharles
    @paulkazibacharles Жыл бұрын

    Barikiwa sana, Mchungaji Munishi. Mimi ni shabiki yako hapa Jinja Uganda.

  • @NjorogeGATEITEI
    @NjorogeGATEITEI4 ай бұрын

    Munishi tumeishi naye sana hapo Nakuru langalanga when he had only 1 guitar, akiishi kwa one roomed house

  • @user-rt4gm9oe3l
    @user-rt4gm9oe3l Жыл бұрын

    Big up mtunishi wa Mungu Munishi Faustin. Kipaji cako ca kuimba kilisaidiya ulimwengu kupitiya nyimbo zako nimebarikiwa sana kiroho! Mimi From Burundi

  • @stanleyguthia7771
    @stanleyguthia77714 ай бұрын

    Munishi is a legendary gospel musician. God bless you munishi

  • @totodavis1949
    @totodavis19494 ай бұрын

    My God bless mtimishi umewai numbea ukiwa Nairobi Kenya

  • @West-moran
    @West-moran Жыл бұрын

    This guy is a legend, humble and on point. We get up listening to his music in kenya.

  • @user-gq5dq6vw7c
    @user-gq5dq6vw7c4 ай бұрын

    Mungu akubariki sana mtumishi pamoja na wakenya waliokupokea na wakakutunza.

  • @EdgarKimutai
    @EdgarKimutai4 ай бұрын

    he is famous and loved here in kenya

  • @lambertkasomo5520
    @lambertkasomo55204 ай бұрын

    Safi sana, ni ombi langu kwako Pazia tv, rudi tena kwa Bishop Faustin Munishi umuulize tutarajiye lini atatowa kigongo kipwa cha injili kama Paka akilia usiku wanadhani wamelogwa ao malebo ambayo ni Album ya injili ya 7 yake yeye Bishop F Munishi, tafadhali

  • @lucasshirima2880
    @lucasshirima28804 ай бұрын

    Interview nzuri sana... Hongera sana... Asante sana Pastor Munishi.

  • @rosterfarijala2979
    @rosterfarijala2979 Жыл бұрын

    Hongera mtumishi MUNGU akubariki Kwa huduma unayoifanya.

  • @johnnjoroge5511
    @johnnjoroge55118 ай бұрын

    May God bless you Askofu Munishi,,I hope one day I'll see you ...

  • @joashjumbura9338
    @joashjumbura93383 ай бұрын

    Mch. Bado ungali Kijana, mibaraka ya Mungu izidi Kuwa nawe na familia yako

  • @user-nu6wg1mj6v
    @user-nu6wg1mj6v4 ай бұрын

    Hongera sana mchungaji Munishi umeifanya kazi kubwa sana ya injili kwa njia ya uimbaji, ombi langu utuwekee wimbo wa Paulo na Sila mtandaoni.

  • @yeirikitholebonny4322
    @yeirikitholebonny43224 ай бұрын

    Hujamtaja malebo bana.. Nilifurahia sana mahojiano ya Malebo

  • @barakakusa7606

    @barakakusa7606

    4 ай бұрын

    Amemtaja fuatilia vizuri

  • @chemotokaula-ew1zn
    @chemotokaula-ew1zn4 ай бұрын

    Mtumishi Munishi my favourite together with mtumishi kyande.

  • @alicenizigiyimana-yd1xb
    @alicenizigiyimana-yd1xb11 ай бұрын

    Kwakweri nimependa sana nyimbo zako nimezisekiya mwaka waefumbiri nirikuwabado mudogo mbakasasa sijazicoka kwakweri nakupendasana

  • @rebeccamukonyi3489
    @rebeccamukonyi3489 Жыл бұрын

    Amen 🙏🙏🙏 Mungu akulinde sana katika maisha mungu akuinue sana.

  • @gadielshedaffa3333
    @gadielshedaffa33334 ай бұрын

    Pazia mdogo wangu uko vizuri sana chapa kazi utafika mbali

  • @silashemed4849
    @silashemed48494 ай бұрын

    hii idia ilikuwa vizur,sana, sidhan kwamba kwa sasa sidhan kwa kwa vijana wa sasa wanaweza, Full bigjee

  • @fredricksikukuu2743
    @fredricksikukuu27433 ай бұрын

    Baraka tele mtumishi wa mungu postine munishi ni mfano mema sana Sisi kama waimbaji

  • @hellenkathambi8694
    @hellenkathambi8694Ай бұрын

    L love this man of God very much

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola17544 ай бұрын

    Wachaga na Wahaya wako sawa,kuwapelekea injiri ya wokovu kuna kuwa na upinzani sababu ya mapokeo lakini hakuna lisilowezekana kwa Mungu neema yake ina nguvu wanapokea taratihu🙏

  • @user-hx9no2bf8o

    @user-hx9no2bf8o

    4 ай бұрын

    Kweli kabisa..mimi nimeokoka naonakana kituko sana kwa ndg lkn kusema ukweli nina amani kupita maelezo na ni tofauti na nikiwa sijaokoka

  • @G.S985
    @G.S98510 ай бұрын

    Mchungaji Munishi naomba alie na number yake anipe Mungu awabariki sana,Munishi nampenda tangu mwaka 1992.

  • @bennagemeestate820

    @bennagemeestate820

    4 ай бұрын

    Nina ya kenya na tz unataka ipi

  • @G.S985

    @G.S985

    4 ай бұрын

    @@bennagemeestate820 nipe zote asante,anapenda kutumia ipi.

  • @felixmakinda7689
    @felixmakinda76894 ай бұрын

    Siku moja nitambariki mtumishi na vyombo vya kueneza injili. Ametukuza huku kwetu Kenya tangu nikiwa mtoto. Sasa nimefika 30*.

  • @deogratiusmfoy1989

    @deogratiusmfoy1989

    4 ай бұрын

    Tuungane pamoja ...Mimi nami nipo tayari kumchangia mtumishi. Pia nyumbani ni kindi karibu na kwa pastor

  • @felixmakinda7689

    @felixmakinda7689

    4 ай бұрын

    @@deogratiusmfoy1989 Baas! Kwanza Mimi hupenda Sana kutembea Arusha na Moshi nikichoka huku Nairobi, naweka gari mafuta, nabeba tarakilishi yangu, nafunga safari.

  • @user-hx9no2bf8o
    @user-hx9no2bf8o4 ай бұрын

    Munishi aisee tuombe radhi ati "lusamira mali ta wandu ro sheee"😂😂😂

  • @ChumanaSusi
    @ChumanaSusi4 ай бұрын

    Nilipenda nyimbo za Munishi sana maka za1988 🇰🇪. Lakini Munishi siunajua wewe ni wetu hapa kenya maana tayari tumesha kupatia citizenship ya kuwa mkenya na hapo uko ni territory yetu maana wewe ni wetu.

  • @arnoldvictor8763
    @arnoldvictor8763 Жыл бұрын

    Rafiki yangu Munishi, hili hapa andiko linalokataza kujichora tatoo: Mambo ya Walawi 19:28 Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi Bwana. Ye shall not make any cuttings in your flesh for the dead, nor print any marks upon you: I am the LORD.

  • @carolyneogutu6489

    @carolyneogutu6489

    4 ай бұрын

    Ameeen. Even Leviticus 19

  • @MaryWuantet
    @MaryWuantet9 ай бұрын

    God bless you man of God..

  • @josenawade
    @josenawade Жыл бұрын

    The legend himself..salute mkuu

  • @mwakalukitiro8220
    @mwakalukitiro822011 ай бұрын

    Japo Kenya inamapungufu yake lakini Kenya ni mama wa inchi nyingi sana

  • @felixmakinda7689

    @felixmakinda7689

    4 ай бұрын

    Nakubaliana Sana na wewe. Kenya humpa fursa kila mtu kujiendeleza. Watanzania, Wanyarwanda, Warundi, Wasudani, Wahabeshi, na Wasomali wamejijenga Sana huku. Sijaona Waganda kwa wingi.

  • @jesaminzo

    @jesaminzo

    4 ай бұрын

    Nakubaliana nawe. HataTundu Lissu magaidi walipotaka kumuua waKenya ndiyo walikuwa wa kwanza kupigania uhai wake. Mungu awabariki waKenya wote na nchi yà Kenya kwa ujumla

  • @kevoalwodo5655

    @kevoalwodo5655

    4 ай бұрын

  • @user-qx6th5xq3p

    @user-qx6th5xq3p

    4 ай бұрын

    Me mwenyew naikubali sana by josee from tz arusha

  • @mosesayiera3049

    @mosesayiera3049

    4 ай бұрын

    Kenya hakuna matata

  • @danstonecool1734
    @danstonecool17347 ай бұрын

    anapenda kenya

  • @shikumwithiga3252
    @shikumwithiga32524 ай бұрын

    Munishi is a kenyan legend we stil love him💝💖

  • @jeremymakokha4797
    @jeremymakokha47972 ай бұрын

    Napenda urafiki wa munishi na malebo

  • @DavidMalimbegu-dq8tp
    @DavidMalimbegu-dq8tp4 ай бұрын

    Mi napenda uimbaji wa mnishi, sikuyajua kama ndivyo yalivyo mpaka roho alivyo nionyesha shetani anavyo jigeuza

  • @faithundisa4268
    @faithundisa4268 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂dreams come true big G .. ilikua Raha

  • @stellakathure4382
    @stellakathure4382 Жыл бұрын

    Wonderfull

  • @pastorlazarosamwelkilala5795
    @pastorlazarosamwelkilala57954 ай бұрын

    Ahsante sana kwa mahojiano na Munishi nime barikiwa

  • @BensonMpomo
    @BensonMpomo3 ай бұрын

    apa ndo naona kua ukimkabizi mungu maisha Yako kumbe huzeeki yani usivute sgr Wala bangi usinywe pombe Wala kutumia kileo chochote kile huzeeki

  • @mdemualphonce1559
    @mdemualphonce1559 Жыл бұрын

    Mnishi andiko linasema mungu anaitwa baba pia adamu ni mfano kulikoni unasema Hana mfano

  • @nationstartv1767
    @nationstartv17675 ай бұрын

    😂😂😂😂....Munishi ukalisha watu Big-G jameni

  • @elijahm.muthini
    @elijahm.muthini4 ай бұрын

    Kwanini monish hafanyangi interviews na vile ukuwa na ushuhuda mzuri

  • @davidosaune
    @davidosaune3 ай бұрын

    Asante sana ndugu mungu akubariki

  • @user-ux3xu9gs8d
    @user-ux3xu9gs8d3 ай бұрын

    Mzee munishi na mzee malebo niwa cheshi sana

  • @kwayugeneral2192
    @kwayugeneral21924 ай бұрын

    munishi is legand

  • @simonzakaria4770
    @simonzakaria47705 ай бұрын

    Nimeipenda sana hii

  • @johnsonngaiza7796
    @johnsonngaiza77963 ай бұрын

    Akili kubwa 😂

  • @BensonMpomo
    @BensonMpomo3 ай бұрын

    mungu aendelee kukubaliki

  • @JacintaMaiyu-ed2mh
    @JacintaMaiyu-ed2mh18 сағат бұрын

    Pastor Munishi

  • @user-wu8nw6hs4v
    @user-wu8nw6hs4v3 ай бұрын

    we ❤❤ you munishi

  • @Realmakos
    @Realmakos4 ай бұрын

    Even in the next life Tanzania tutaishinda kimaendeleo

  • @AgnessSimkoko-ym1xj
    @AgnessSimkoko-ym1xj8 ай бұрын

    Jamani mbona Marebo hajasikika hata neno moja

  • @deogratiusmfoy1989

    @deogratiusmfoy1989

    4 ай бұрын

    Malebo yupo Kuna interview yake

  • @omarmutta4999
    @omarmutta49993 ай бұрын

    Munish Ni Zaidi Mkenya kuliko Mtanzania.

  • @hassanadam2708
    @hassanadam27084 ай бұрын

    Akili ni nywele

  • @jackyjacky5966
    @jackyjacky5966 Жыл бұрын

    Hayia Ni my Tanzania nilidhani Ni mkenya

  • @ChumanaSusi

    @ChumanaSusi

    4 ай бұрын

    Tulimpatia citizenship kenya akakuwa .🇰🇪

  • @stellakathure4382
    @stellakathure4382 Жыл бұрын

    Am sorry plz, to ask

  • @murenzijeanbosco3887
    @murenzijeanbosco38879 ай бұрын

    Maneno uliyo yatangaza tafadhali soma mwenyewe kisha uombe msamaha

  • @user-gv6vl7lt5j
    @user-gv6vl7lt5j10 ай бұрын

    Si tumesikiya kama amefariki miyake kazaa iliyo pita

  • @StacusMkama-kz1ht
    @StacusMkama-kz1ht4 ай бұрын

    Namuona malebo apo 😂😁

  • @bernardmbogo2166
    @bernardmbogo21664 ай бұрын

    Makao yake rasmi ni Ngong kajiado County,ya Tanzania ni ziara tu Aiseee....

  • @emmanuelisanda1449

    @emmanuelisanda1449

    4 ай бұрын

    Matasia 😂

  • @hellenkathambi8694
    @hellenkathambi8694Ай бұрын

    Huyu ndiye Malebo hahahahhaha

  • @delvancejillo2418
    @delvancejillo24184 ай бұрын

    Watanzania mpo kenya ni nchi babu kubwa😂

  • @mutuastancilous8149
    @mutuastancilous81493 ай бұрын

    Na hazeeki buana

  • @enoskipkorir4318
    @enoskipkorir43183 ай бұрын

    Kindi muyuni ni jina tamu lakini.

  • @user-lw6oh8cv4o
    @user-lw6oh8cv4o3 ай бұрын

    Jaman mm nilikua naupenda wimbo wako wa yesu ni mambo yote ndani ya yote ukimpata yeye umepata vyote babaangu alikua akiniwekea nikiwa mdg mpk leo

  • @JacklineUronu
    @JacklineUronu Жыл бұрын

    😂😂😂 wee big G

  • @MaryCaroly-zl1ei

    @MaryCaroly-zl1ei

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @dyoa6987
    @dyoa69874 ай бұрын

    Umeshasena mwenyewe kuwa wachaga Tayari wanadini zao, na ndio injili yenyewe unatakaje kulazimisha kwamba hizo za kwenu ndio sahihi zaidi, Kwani nyie ni akina nani kwa dini zilizoinjilishwa karne na karne? Mimi nakuelewa sana but Kauli hii sio

  • @reubesfinest8252
    @reubesfinest82524 ай бұрын

    Munishi is legendary till date

  • @nicholasnjoroge-gh6ne
    @nicholasnjoroge-gh6ne Жыл бұрын

    kuna wachaga central ama ni wakikuyu kilimanjaro?

  • @user-hx9no2bf8o

    @user-hx9no2bf8o

    4 ай бұрын

    Kiukweli wakibosho kwa asili ni wakikuyu na masai

  • @elijahnjuguna8634
    @elijahnjuguna86344 ай бұрын

    alikua mchoyo zaidi

  • @ezrawafula9416
    @ezrawafula9416Ай бұрын

    Utakuja Bungoma lini

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Жыл бұрын

    🙏✌️👊.

  • @johnambrose7223
    @johnambrose72234 ай бұрын

    Hivi munishi ni mtanzania kumbe mi nilijua ni mkenya

  • @ChumanaSusi

    @ChumanaSusi

    4 ай бұрын

    Tayari ni mkenya maana kapewa citizenship nahapo yuko ni territory ya kenya maana ni wetu

  • @stanleyguthia7771

    @stanleyguthia7771

    4 ай бұрын

    Ni mkenya aliyezaliwa Tanzania

  • @musaliaeugene7975
    @musaliaeugene7975 Жыл бұрын

    Huyu mtumishi hazeeki yupo vile vile

  • @andreaotaigo40

    @andreaotaigo40

    Жыл бұрын

    Ukiwa ndani ya Yesu kikamilifu kuzeeka utaskilizia kwa jirani yako kwa yesu raha

  • @YustoMlay-is8ed
    @YustoMlay-is8ed Жыл бұрын

    Eti munishi ulikuwa jambazi kabla ya kuokoka?

  • @thetwonotoriousboys6799

    @thetwonotoriousboys6799

    6 ай бұрын

    Labda wewe

  • @usrahismail3196

    @usrahismail3196

    4 ай бұрын

    Amekwambia mchaga anachukuwa na kukuwekea vizuri kukihamisha

  • @judicalosika7642

    @judicalosika7642

    4 ай бұрын

    ​@@usrahismail3196🤣🤣🤣🤣

  • @kadoaugust6497

    @kadoaugust6497

    3 ай бұрын

    Hakuwa jambazi mimi nimesoma shule moja naye Kindi Juu Kibosho

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 Жыл бұрын

    Mimi ni shabiki wako sana, Kuna nyumbo zako za nyuma kabisa nazitafuta, Nisaidie majina yake na mahali pakuzipata!

  • @rutinginyaneysam.5087
    @rutinginyaneysam.5087 Жыл бұрын

    Jmn Mungu akupe maisha marefuuu, mi niliambiwa ushafark kumbe upo, Mungu akuinue zaid

  • @febroniamsoma178
    @febroniamsoma17810 ай бұрын

    Home sweet home, Kindi Muyuni nyumbani kwa bibiyangu kipenzi Mkarusa Mucho love