INTERVIEW na Pastor Munishi,alichowalisha watu siku ya harusi yake/Gari alilopewa na Nabii Geordavie
Live On Live na Mtumishi wa Mungu Muimbaji na Mchungaji Faustin Munishi Kutoka Nyumbani Kwake Kindi Muyuni,Kata Ya weruweru Mkoani Kilimanjaro,amefunguka Mengi kuhusu huduma na Maisha.
#LiveOnLive
Пікірлер: 113
Ibarikiwe Kenya na uendelee kuwa kimbilio kwa majirani wetu,mipaka ni wazungu waliweka.Africa ni moja!
Ombi langu kwa mtangazaji, naomba kesho uandae ingine emission Munishi akiwa pamoja na Malebo watupe ushuhuda wa Malebo
@hellendaniel3809
4 ай бұрын
Tayri malebo amehojiwa nae
A very humble man ❤ Stay abundantly blessed Pastor Faustin Munishi 🙏 Much love from USA 🇺🇸
Mtumishi Munish ulibariki sana miaka mingi ,, pia naomba Mungu azidi kukubariki unapoendelea kutubariki much love 🎉❤❤
He's a good man. Ni kweli zinazovuma mitaani ni kuwa Faustine Munishi alikimbilia Kenya kwa sababu ya wimbo wake wa "Mpende Adui yako" wakati wa utawala wa Benjamin Mkapa (1995 - 2005) na kutishiwa kushughulikiwa kwa sababu ya maudhui ya wimbo huo yaliyokuwa kama yanawananga watawala chini ya CCM by then na kuonekana wimbo umebeba dhana ya uchochezi na hivyo kukimbilia huko Kenya kuepuka shari hiyo. Hata hivyo Kila aliyekutwa anasikiliza wimbo huo alipata shida sana. Asante sana Mch Munishi Kwa ufafanuzi wako na kuliweka vizuri hilo
Barikiwa sana, Mchungaji Munishi. Mimi ni shabiki yako hapa Jinja Uganda.
Munishi tumeishi naye sana hapo Nakuru langalanga when he had only 1 guitar, akiishi kwa one roomed house
Big up mtunishi wa Mungu Munishi Faustin. Kipaji cako ca kuimba kilisaidiya ulimwengu kupitiya nyimbo zako nimebarikiwa sana kiroho! Mimi From Burundi
Munishi is a legendary gospel musician. God bless you munishi
My God bless mtimishi umewai numbea ukiwa Nairobi Kenya
This guy is a legend, humble and on point. We get up listening to his music in kenya.
Mungu akubariki sana mtumishi pamoja na wakenya waliokupokea na wakakutunza.
he is famous and loved here in kenya
Safi sana, ni ombi langu kwako Pazia tv, rudi tena kwa Bishop Faustin Munishi umuulize tutarajiye lini atatowa kigongo kipwa cha injili kama Paka akilia usiku wanadhani wamelogwa ao malebo ambayo ni Album ya injili ya 7 yake yeye Bishop F Munishi, tafadhali
Interview nzuri sana... Hongera sana... Asante sana Pastor Munishi.
Hongera mtumishi MUNGU akubariki Kwa huduma unayoifanya.
May God bless you Askofu Munishi,,I hope one day I'll see you ...
Mch. Bado ungali Kijana, mibaraka ya Mungu izidi Kuwa nawe na familia yako
Hongera sana mchungaji Munishi umeifanya kazi kubwa sana ya injili kwa njia ya uimbaji, ombi langu utuwekee wimbo wa Paulo na Sila mtandaoni.
Hujamtaja malebo bana.. Nilifurahia sana mahojiano ya Malebo
@barakakusa7606
4 ай бұрын
Amemtaja fuatilia vizuri
Mtumishi Munishi my favourite together with mtumishi kyande.
Kwakweri nimependa sana nyimbo zako nimezisekiya mwaka waefumbiri nirikuwabado mudogo mbakasasa sijazicoka kwakweri nakupendasana
Amen 🙏🙏🙏 Mungu akulinde sana katika maisha mungu akuinue sana.
Pazia mdogo wangu uko vizuri sana chapa kazi utafika mbali
hii idia ilikuwa vizur,sana, sidhan kwamba kwa sasa sidhan kwa kwa vijana wa sasa wanaweza, Full bigjee
Baraka tele mtumishi wa mungu postine munishi ni mfano mema sana Sisi kama waimbaji
L love this man of God very much
Wachaga na Wahaya wako sawa,kuwapelekea injiri ya wokovu kuna kuwa na upinzani sababu ya mapokeo lakini hakuna lisilowezekana kwa Mungu neema yake ina nguvu wanapokea taratihu🙏
@user-hx9no2bf8o
4 ай бұрын
Kweli kabisa..mimi nimeokoka naonakana kituko sana kwa ndg lkn kusema ukweli nina amani kupita maelezo na ni tofauti na nikiwa sijaokoka
Mchungaji Munishi naomba alie na number yake anipe Mungu awabariki sana,Munishi nampenda tangu mwaka 1992.
@bennagemeestate820
4 ай бұрын
Nina ya kenya na tz unataka ipi
@G.S985
4 ай бұрын
@@bennagemeestate820 nipe zote asante,anapenda kutumia ipi.
Siku moja nitambariki mtumishi na vyombo vya kueneza injili. Ametukuza huku kwetu Kenya tangu nikiwa mtoto. Sasa nimefika 30*.
@deogratiusmfoy1989
4 ай бұрын
Tuungane pamoja ...Mimi nami nipo tayari kumchangia mtumishi. Pia nyumbani ni kindi karibu na kwa pastor
@felixmakinda7689
4 ай бұрын
@@deogratiusmfoy1989 Baas! Kwanza Mimi hupenda Sana kutembea Arusha na Moshi nikichoka huku Nairobi, naweka gari mafuta, nabeba tarakilishi yangu, nafunga safari.
Munishi aisee tuombe radhi ati "lusamira mali ta wandu ro sheee"😂😂😂
Nilipenda nyimbo za Munishi sana maka za1988 🇰🇪. Lakini Munishi siunajua wewe ni wetu hapa kenya maana tayari tumesha kupatia citizenship ya kuwa mkenya na hapo uko ni territory yetu maana wewe ni wetu.
Rafiki yangu Munishi, hili hapa andiko linalokataza kujichora tatoo: Mambo ya Walawi 19:28 Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi Bwana. Ye shall not make any cuttings in your flesh for the dead, nor print any marks upon you: I am the LORD.
@carolyneogutu6489
4 ай бұрын
Ameeen. Even Leviticus 19
God bless you man of God..
The legend himself..salute mkuu
Japo Kenya inamapungufu yake lakini Kenya ni mama wa inchi nyingi sana
@felixmakinda7689
4 ай бұрын
Nakubaliana Sana na wewe. Kenya humpa fursa kila mtu kujiendeleza. Watanzania, Wanyarwanda, Warundi, Wasudani, Wahabeshi, na Wasomali wamejijenga Sana huku. Sijaona Waganda kwa wingi.
@jesaminzo
4 ай бұрын
Nakubaliana nawe. HataTundu Lissu magaidi walipotaka kumuua waKenya ndiyo walikuwa wa kwanza kupigania uhai wake. Mungu awabariki waKenya wote na nchi yà Kenya kwa ujumla
@kevoalwodo5655
4 ай бұрын
@user-qx6th5xq3p
4 ай бұрын
Me mwenyew naikubali sana by josee from tz arusha
@mosesayiera3049
4 ай бұрын
Kenya hakuna matata
anapenda kenya
Munishi is a kenyan legend we stil love him💝💖
Napenda urafiki wa munishi na malebo
Mi napenda uimbaji wa mnishi, sikuyajua kama ndivyo yalivyo mpaka roho alivyo nionyesha shetani anavyo jigeuza
😂😂😂😂😂😂dreams come true big G .. ilikua Raha
Wonderfull
Ahsante sana kwa mahojiano na Munishi nime barikiwa
apa ndo naona kua ukimkabizi mungu maisha Yako kumbe huzeeki yani usivute sgr Wala bangi usinywe pombe Wala kutumia kileo chochote kile huzeeki
Mnishi andiko linasema mungu anaitwa baba pia adamu ni mfano kulikoni unasema Hana mfano
😂😂😂😂....Munishi ukalisha watu Big-G jameni
Kwanini monish hafanyangi interviews na vile ukuwa na ushuhuda mzuri
Asante sana ndugu mungu akubariki
Mzee munishi na mzee malebo niwa cheshi sana
munishi is legand
Nimeipenda sana hii
Akili kubwa 😂
mungu aendelee kukubaliki
Pastor Munishi
we ❤❤ you munishi
Even in the next life Tanzania tutaishinda kimaendeleo
Jamani mbona Marebo hajasikika hata neno moja
@deogratiusmfoy1989
4 ай бұрын
Malebo yupo Kuna interview yake
Munish Ni Zaidi Mkenya kuliko Mtanzania.
Akili ni nywele
Hayia Ni my Tanzania nilidhani Ni mkenya
@ChumanaSusi
4 ай бұрын
Tulimpatia citizenship kenya akakuwa .🇰🇪
Am sorry plz, to ask
Maneno uliyo yatangaza tafadhali soma mwenyewe kisha uombe msamaha
Si tumesikiya kama amefariki miyake kazaa iliyo pita
Namuona malebo apo 😂😁
Makao yake rasmi ni Ngong kajiado County,ya Tanzania ni ziara tu Aiseee....
@emmanuelisanda1449
4 ай бұрын
Matasia 😂
Huyu ndiye Malebo hahahahhaha
Watanzania mpo kenya ni nchi babu kubwa😂
Na hazeeki buana
Kindi muyuni ni jina tamu lakini.
Jaman mm nilikua naupenda wimbo wako wa yesu ni mambo yote ndani ya yote ukimpata yeye umepata vyote babaangu alikua akiniwekea nikiwa mdg mpk leo
😂😂😂 wee big G
@MaryCaroly-zl1ei
4 ай бұрын
😂😂😂😂
Umeshasena mwenyewe kuwa wachaga Tayari wanadini zao, na ndio injili yenyewe unatakaje kulazimisha kwamba hizo za kwenu ndio sahihi zaidi, Kwani nyie ni akina nani kwa dini zilizoinjilishwa karne na karne? Mimi nakuelewa sana but Kauli hii sio
Munishi is legendary till date
kuna wachaga central ama ni wakikuyu kilimanjaro?
@user-hx9no2bf8o
4 ай бұрын
Kiukweli wakibosho kwa asili ni wakikuyu na masai
alikua mchoyo zaidi
Utakuja Bungoma lini
🙏✌️👊.
Hivi munishi ni mtanzania kumbe mi nilijua ni mkenya
@ChumanaSusi
4 ай бұрын
Tayari ni mkenya maana kapewa citizenship nahapo yuko ni territory ya kenya maana ni wetu
@stanleyguthia7771
4 ай бұрын
Ni mkenya aliyezaliwa Tanzania
Huyu mtumishi hazeeki yupo vile vile
@andreaotaigo40
Жыл бұрын
Ukiwa ndani ya Yesu kikamilifu kuzeeka utaskilizia kwa jirani yako kwa yesu raha
Eti munishi ulikuwa jambazi kabla ya kuokoka?
@thetwonotoriousboys6799
6 ай бұрын
Labda wewe
@usrahismail3196
4 ай бұрын
Amekwambia mchaga anachukuwa na kukuwekea vizuri kukihamisha
@judicalosika7642
4 ай бұрын
@@usrahismail3196🤣🤣🤣🤣
@kadoaugust6497
3 ай бұрын
Hakuwa jambazi mimi nimesoma shule moja naye Kindi Juu Kibosho
Mimi ni shabiki wako sana, Kuna nyumbo zako za nyuma kabisa nazitafuta, Nisaidie majina yake na mahali pakuzipata!
Jmn Mungu akupe maisha marefuuu, mi niliambiwa ushafark kumbe upo, Mungu akuinue zaid
Home sweet home, Kindi Muyuni nyumbani kwa bibiyangu kipenzi Mkarusa Mucho love