INTERVIEW Na Mzee MALEBO/Safari Ya Maisha Yake/ Kuhusu Kukataa Kuokoka/ Urafiki na Pastor Munishi.

Anaitwa Wilfred Hassan Munisi maarufu Kama Mzee MALEBO Kutoka Kijiji cha Kindi Muyuni Mkoani Kilimanjaro,Hii ni Interview ambayo anafunguka Mengi Usiyoyafahamu Kuhusu Mzee Huyu.

Пікірлер: 337

  • @UpeoMinistryofMedia
    @UpeoMinistryofMedia3 ай бұрын

    Kama umerudi kusikiliza Ngoma ya malebo baada ya hii interview gonga like

  • @SauloMwakalinga

    @SauloMwakalinga

    2 ай бұрын

    33:31

  • @user-fu6fx8if6w
    @user-fu6fx8if6w4 ай бұрын

    Nina huzuni rohoni nikimuona malebo,kumbe ilikuwa ni real story,God bless you malebo

  • @njeripk1066
    @njeripk10664 ай бұрын

    Aaaah...sikujua wimbo ulitungwa kutoka mafanyiko ya kweli😂😂😂. Simulizi nzuri hiyo. Shukran kutoka 🇰🇪

  • @symonwycliff8049
    @symonwycliff80494 ай бұрын

    Aaah..huyu ndio alimtesa munishi kukatalia wokovu!😆😆😆. True friends these ones

  • @bonfacemwangi1666
    @bonfacemwangi16664 ай бұрын

    Malebo alibadilika sasa na kua mtu mwema.Asante kwa kutuletea malebo,twaku watch hapa Kenya

  • @matthewbwanga395
    @matthewbwanga3954 ай бұрын

    Asante sana Ndugu John Pazia kwa mazungumzo hayo pamoja na Ndugu Malebo, nimefurahia sana. Tutawasiliana na Malebo hapa karibuni.

  • @silasmarandu1485
    @silasmarandu14854 ай бұрын

    Mulisema et Malebo hataokoka! Huyu ni nani sasa 😅😅

  • @lucyouma1021

    @lucyouma1021

    2 ай бұрын

    Hapa n wapi hahahaha

  • @manyandatimoth7

    @manyandatimoth7

    6 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @nickngunjiri4282
    @nickngunjiri42824 ай бұрын

    Munishi should support this man fully in terms of monetary.

  • @romanamassawe814

    @romanamassawe814

    4 ай бұрын

    Why should support full, why don't you say munish may support him? Dear brother to support a person is not obligation, it is willing, and that willing comes from living heart

  • @nickngunjiri4282

    @nickngunjiri4282

    4 ай бұрын

    @@romanamassawe814 He made a song out of his unfortunate situation, the song hit the airwaves and became an International chorus. On the other side of flipping the coin, Willis Raburu is being paid 6.5 Kenya shillings by Airtel just because his brand name Bazuu was used, and Samuel L Jackson 2200 dollars for his name in the movies. We can't be Cynical in our school of thought.

  • @johnochieng9500

    @johnochieng9500

    4 ай бұрын

    He should thank Munishi for preaching to him, now that he is leaving a changed life

  • @okemwaempire

    @okemwaempire

    3 ай бұрын

    ​@@romanamassawe814😂😂😂❤

  • @okemwaempire

    @okemwaempire

    3 ай бұрын

    ​@@johnochieng9500😂😂🎉🎉🎉❤

  • @user-hc4jv8uz5b
    @user-hc4jv8uz5b4 ай бұрын

    Malebo wa ma-label, Asante sana kaka kumleta ,kamuona na nikashukuru.

  • @SophiaKamauTVShow
    @SophiaKamauTVShow4 ай бұрын

    Wow, Mzee mcheshi sana, nimefurahia masimulizi yake. Pole Mzee kuvunjwa vidole na Wakongo na pia kukatwa mguu na mmaasai. Nafurahi sana kuona umeokoka ndo maana uko Salama. Munishi Ni rafiki wa Kweli. Salamu kutoka Canada.

  • @malimanyanja562

    @malimanyanja562

    4 ай бұрын

    Naomba no Yako dada samahani

  • @DavidKimula
    @DavidKimula5 ай бұрын

    Watching from kenya 🇰🇪🇰🇪namlilia malebo is just a blessing and life turning song

  • @zacharymose7102
    @zacharymose71024 ай бұрын

    Nilidhani malebo ni utunzi tu kumbe ni true story.hongera sana munishi.Nairobi.

  • @paulchegele2678
    @paulchegele26784 ай бұрын

    Duu...hatimaye nmemwona malebo,ubarikiwe

  • @walterpreacher2600
    @walterpreacher26004 ай бұрын

    Kwa hivyo sio hadithi tuu Munishi alikuwa akitunga, chochote alichokuwa akiimba kumhusu baba huyu Malebo ni ya ukweli.

  • @calidadworks1223
    @calidadworks12236 ай бұрын

    Mzee ana enjoy sana maisha yake

  • @carollenin5152
    @carollenin51523 ай бұрын

    Am happy to see the real guy Malebo. So he's the one. Watching from Kenya

  • @ericndahiro4804
    @ericndahiro48044 ай бұрын

    Eric kutoka Rwanda haaki na furahi mzehe Malebo Yesu akutende mema

  • @elastikportfolio3736

    @elastikportfolio3736

    4 ай бұрын

    Amakuru

  • @user-ex9gt9np8i

    @user-ex9gt9np8i

    4 ай бұрын

    Mambo kaka

  • @okemwaempire

    @okemwaempire

    3 ай бұрын

    ​@@elastikportfolio3736😂😂🎉🎉❤

  • @okemwaempire

    @okemwaempire

    3 ай бұрын

    ​@@user-ex9gt9np8igreat❤❤

  • @anastanciajebichi975
    @anastanciajebichi9754 ай бұрын

    🎉. Hii mzee anachekesha sana. Visanga kila sentence au tamko

  • @Fursa3000
    @Fursa30005 ай бұрын

    Hongera Sana Mbwana Mdogo Pazia. Endelea na kazi yako kwa Bidii na Mungu Atakuonekania. Muda Wote Nilijua ni Wimbo Tu! Kumbe ni mtu ambaye yupo real. 👍👏

  • @chalamilalicky7335
    @chalamilalicky73353 ай бұрын

    Hongera Mr Malebo. You are a live testimony to other people. There is no late-coming to Christ Jesus.🎉 Glory to God..!!

  • @pastorjameskalekwa
    @pastorjameskalekwa6 ай бұрын

    Interview nzuri sana... kuna masomo mengi ndani yake. Kwa tuliusikia wimbo wa MALEBO, inafurahisha zaidi.

  • @paziatvtz

    @paziatvtz

    6 ай бұрын

    Asante sana Mchungaji Part 02 inakuja

  • @OckendenMkandawire

    @OckendenMkandawire

    6 ай бұрын

    Malebo alikuwa jirani Yangu Arusha... Alikuwa na Ghorofa la Matope pale kwa Mollel.

  • @masalakulwa7601

    @masalakulwa7601

    4 ай бұрын

    ​@@OckendenMkandawireghorofa la matope ndo linakuaje

  • @dennismakori-ef8ul

    @dennismakori-ef8ul

    3 ай бұрын

    😂😂😂 ety ghorofa la matope?​@@OckendenMkandawire

  • @okemwaempire

    @okemwaempire

    3 ай бұрын

    ​@@paziatvtznice

  • @pascodickson3052
    @pascodickson30524 ай бұрын

    Hii inatakiwa itengenezewe muvi kabisa 🙌🏽

  • @deogratiusmfoy1989

    @deogratiusmfoy1989

    4 ай бұрын

    Kweli kabisa Mimi nipo tayari tuwachangie tuwatafute Pastor Munishi na Malebo watengeneze movie.

  • @okemwaempire

    @okemwaempire

    3 ай бұрын

    ​@@deogratiusmfoy1989kabisaaa

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi26354 ай бұрын

    Malebo yuko vizuri. Asante sana Pazia

  • @FloridaSyombua
    @FloridaSyombua4 ай бұрын

    Hallelujah,,atimaye aliokoka,Glory be to God

  • @Habibshazy2
    @Habibshazy24 ай бұрын

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪😞😞 Finally Malebi is here

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga15184 ай бұрын

    Mzee jina Lake ni maarufu kuliko sura yake,,ila nmependa ni mcheshi sanaaaa 😂😂

  • @oscarmushy7250
    @oscarmushy72503 ай бұрын

    Fundisho kubwa na lakujifunza amempokea Yesu na amevaa chepeo ya wokovu. Glory to God

  • @DavidMalimbegu-dq8tp
    @DavidMalimbegu-dq8tp4 ай бұрын

    Du! Mzee amenifulahisha sana huo wimbo zamani sana du! ebana kumbe si niwahenga

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY4 ай бұрын

    Mzee marebo duh kumbe Ndiyo wewe du! Una big story Of life father

  • @kondelenews
    @kondelenews5 ай бұрын

    kweli nimecheka sana, eti amebeba Bibilia tatu kichaa imepanda. e baba we,..hii ni kazi safi kaka

  • @joshuamuro9494

    @joshuamuro9494

    4 ай бұрын

    😂😂 na mm ndio nipo kipande hichi nimecheka sanan

  • @Bizmind472
    @Bizmind4725 ай бұрын

    Much love from Kenya malebo😊

  • @user-sd4ht5pk6n
    @user-sd4ht5pk6n4 ай бұрын

    Nafurahi sana kumuona mzee Marebo .kwanza kabisa kusikia wimbo wa Pastor Faustini Mnishi ilikuwa mnamo mwaka 1994 nikavutiwa sana na wimbo huwo ingawaje sikujuwa bado lugha ya kiswahili nikaufuata kwa makini baadaye nikaelewa kilugha.Damascene kutoka Rwanda tena mnyarwanda msalendo nawapenda nyote.

  • @samkabayiza6212

    @samkabayiza6212

    4 ай бұрын

    Kbs nimekuelewa pia mi ni ndugu yako munya Rwanda niligifunza Kiswahili mbio mbio kbs

  • @Mboki2

    @Mboki2

    4 ай бұрын

    Damascene ❤️

  • @annetetopiste6800

    @annetetopiste6800

    3 ай бұрын

    Finally have seen malebo thanks for social media for easiest way, I really liked the song since 1997 until now 2024 mar 31 glory be to God Almighty for life he had given us

  • @user-sd4ht5pk6n

    @user-sd4ht5pk6n

    3 ай бұрын

    I really like your comment ,may God bless you.from KIGALI Rwanda

  • @okemwaempire

    @okemwaempire

    3 ай бұрын

    ​@@samkabayiza6212 nice one

  • @NsengiyumvaEmile-xu3ir
    @NsengiyumvaEmile-xu3ir5 ай бұрын

    Mimi ni murundi napenda sana malebo.

  • @michaelstephano8514
    @michaelstephano85146 ай бұрын

    Assnte kwa interview hii nzuri na ya kujenga

  • @thebufallos
    @thebufallos4 ай бұрын

    Wah! Buda ulikuwa mgaidi kweli! 1959_1983 ndio uka okoka🤔🤔🤔

  • @erickcheruiyot1320
    @erickcheruiyot13203 ай бұрын

    Amazing interview. This guy has impeccable memory. Malebo is such a funny man. Mcheshi kweli 😂😂😂

  • @paulkamete2947
    @paulkamete29474 ай бұрын

    Kwa kweli John Pazia uko vizuri hadi umempata Malebo

  • @abelomanga1999
    @abelomanga19994 ай бұрын

    What a narration! Listened twice

  • @claudinelola3894
    @claudinelola38942 ай бұрын

    Munishi nii rafiki mzuri.

  • @user-zu6jb7eh5z
    @user-zu6jb7eh5z4 ай бұрын

    Saafi sana mahojiano mzuri sana,ningependa siku moja namm nimtembelee mzee Malebo

  • @user-qz5yh1dl1n
    @user-qz5yh1dl1n4 ай бұрын

    Hizi ndo stori sasa yaani hadi raha

  • @erastosanga1694
    @erastosanga16944 ай бұрын

    Na tunakuomba uendelee kutunga nyimbo Mtumishi malebo

  • @edomyusuph5361
    @edomyusuph53616 ай бұрын

    😂😂😂 “umelalia masikio “ iko ndani ya verse 😂 kumbe ni kweli alimwambia hivyo.

  • @UzalendoNaUtu

    @UzalendoNaUtu

    4 ай бұрын

    Friji la Munishi haligandishi 😅😅😅 anaongea yote

  • @evertheobald1811
    @evertheobald18113 ай бұрын

    Yesu azidi kukutunza Mr Malebo, hakika Mungu ni mwema kila wakati

  • @jastinemwambi2307
    @jastinemwambi230718 күн бұрын

    Nafurahi sana kuona malebo ameokokà Hongera Mtumishi wa Mungu Munishi kumzalia Mungu matunda yanayodumu

  • @godfreydavid6996
    @godfreydavid69964 ай бұрын

    Bro Pazia tutafutie na Mrefu,aliimbwa pia.

  • @victorhabonimana9055

    @victorhabonimana9055

    4 ай бұрын

    kafa

  • @ThomasHamisi-qm7wy
    @ThomasHamisi-qm7wy4 ай бұрын

    Asante ndugu PAZIA.nakufuata na interview yako na ndugu MONISHI.

  • @MINISTERBAHATIMPUME-px4pf
    @MINISTERBAHATIMPUME-px4pf4 ай бұрын

    Jamani nyimbo niliisikia nikiwa mdogo sana nikawa namuhurumia huyu malebo aliekataa kuokoka, kumbe ni huyu

  • @elogevyizigiro1157
    @elogevyizigiro11575 ай бұрын

    Shukrani sana bro. Kutuletea mzee malebo

  • @user-jx7xw9ty1i
    @user-jx7xw9ty1i19 күн бұрын

    Waoo leo nimejua malebo ninani I remember those days 90s nime furai sana mimi niko mombasa kenya ❤❤

  • @user-ux3xu9gs8d
    @user-ux3xu9gs8d3 ай бұрын

    Mzee mcheshi sana. mungu akubariki sana mzee

  • @OkondaLopez
    @OkondaLopez3 ай бұрын

    Uyu malebo hawesitoa Wimborne nyingine

  • @bijaporaelias4280
    @bijaporaelias42804 ай бұрын

    Asante sana umenikumbusha mbali sana Big up

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js4 ай бұрын

    Arooo risimamishe ilo litowee risiti la surualeee

  • @kianda973
    @kianda9734 ай бұрын

    Very interesting. God bless you Mr. Malebo

  • @ombenimunuo4259
    @ombenimunuo42593 ай бұрын

    Inafaa iwe movie hii Nataman kuziona hizo santana na vasco dagama na kiatu cha mchongoko na huo mwondoko mixer kaunda suti hapo daa hakika itakuwa movie yenye uhakisia mzur wa maisha ya harakati za mtu mweusi

  • @ombenimunuo4259

    @ombenimunuo4259

    3 ай бұрын

    Nani apushi huu ujuembe hii stori nikama naona movie 😁😁

  • @leonardsimiyu83
    @leonardsimiyu833 ай бұрын

    Hi mahojiana ni Bora Sana kwa hawa wazani wa kidambo

  • @EmmanuelNaibei-tk7cd
    @EmmanuelNaibei-tk7cd4 ай бұрын

    My fren umefanya vizuri saaaana kutupa story za Malebo. Tulijiuliza mengi sana kumuhusu

  • @jaquubjummah7538
    @jaquubjummah75384 ай бұрын

    Huyu malebo tulimlilia sana😂😂

  • @edwardasumwisye3010

    @edwardasumwisye3010

    4 ай бұрын

    Saaaaana

  • @betramjustine4023
    @betramjustine40234 ай бұрын

    Wazee wetu wametoka mbali sanaa

  • @fredrickkakila9392
    @fredrickkakila93924 ай бұрын

    notorious ma-label alikuwa mtata sana

  • @joelndungu2631
    @joelndungu26314 ай бұрын

    I am inspired by faustin munishi he touched my life daily

  • @thagondale9041
    @thagondale90414 ай бұрын

    Finaly I have see the famous MALEBO and the fact that we are from the same clan now alot of things makes sense now 😂😂😂😂😂 Anyway PIGA MAJIII 😂😂😂😂😂😂

  • @ThomasHamisi-qm7wy
    @ThomasHamisi-qm7wy4 ай бұрын

    Nawashukuru sana ndugu wa Tanzania. Na wafuata sana.kwenye mtandao wa KZread .na furahi sana.nakumuona MALEBO aliyeimbwa na Faustin Monishi.

  • @user-oe3pq1sg6q
    @user-oe3pq1sg6q4 ай бұрын

    Nimefurahia Sana story za malebo.

  • @WinnieWamaitha1
    @WinnieWamaitha12 ай бұрын

    Malebo seems like a happy soul.❤️..mungu alimhurumia akajitambua🙂

  • @simionkiplagat903
    @simionkiplagat9034 ай бұрын

    Watching from Kenya good interview

  • @tobiaspaul9203
    @tobiaspaul92035 ай бұрын

    Sichoki kusikiliza hiii stori 😅😅😅

  • @annaombay9417
    @annaombay94173 ай бұрын

    Wahoo hongera Malebo.Mungu akubariki

  • @tobbykahindi9208
    @tobbykahindi92084 ай бұрын

    Hongera sana bro mr pazie ,nitafutie pia pili na tatu

  • @lambertfulgence8965

    @lambertfulgence8965

    4 ай бұрын

    Na murefu😊

  • @godfreytuey8586
    @godfreytuey85863 ай бұрын

    Kweli nyimbo ni kio cha jamii...❤❤🇰🇪 15:06

  • @itiamekimbui722
    @itiamekimbui7224 ай бұрын

    malibooooo imenikumbusha rafiki wangu wa kitambo kule malindi alikuwa anaitwa dr singa alikuwa anapenda kuniita malebo

  • @humphreynyiti516
    @humphreynyiti5163 ай бұрын

    Dah hawa ndio wahenga bhana story ni interesting sana

  • @noahmadali7150
    @noahmadali71504 ай бұрын

    ❤ baba ubarikiwe Yesu yuko moyoni hasa kwa ukiri wako tu

  • @alainkanobayire2078
    @alainkanobayire20783 ай бұрын

    Alain Mnyarwanda🇷🇼 kutoka US 🇺🇲, nakutakia mwisho mema mzee Malebo. Kwa Yesu ni Amani tupu. Mungu azidi kubariki Munishi kwa kuweza kukuombea mpaka ukaokoka. True friend kabisa!

  • @jeremiahmussa2178
    @jeremiahmussa21784 ай бұрын

    Malebo maelezo rula😂

  • @kelvinfasili44
    @kelvinfasili444 ай бұрын

    Mungu ambariki Mzee wetu

  • @reubenonsando1148
    @reubenonsando11484 ай бұрын

    Wah mi nilikua nadhani ni utuzi tu kumbe ukweli

  • @dalaliharunikigamboni6703
    @dalaliharunikigamboni67034 ай бұрын

    Kibugumo iko dar es salaam vkigamboni geza ulole

  • @stevekato1511
    @stevekato15114 ай бұрын

    Sasa Munishi aimbe kuwa malebo sasa ameokoka....more ❤from🇰🇪🇰🇪

  • @princebigboss5606

    @princebigboss5606

    4 ай бұрын

    Alishaimba kitambo sana

  • @victoryjohn4179

    @victoryjohn4179

    4 ай бұрын

    Ipo malebo ameokoka

  • @janemuthoni723

    @janemuthoni723

    4 ай бұрын

    Alishaimba hufuatilii

  • @deogratiusvalentino6248

    @deogratiusvalentino6248

    4 ай бұрын

    Ipo nyimbo ya malebo kuokoka

  • @romanamassawe814

    @romanamassawe814

    4 ай бұрын

    Amekwisha imba malebo ameokoka

  • @alicekamau486
    @alicekamau4864 ай бұрын

    Asante kutuletea malebo,tutafutie marefu,aliyeokoka kabla ya malebo

  • @gentiljabpretty
    @gentiljabpretty5 ай бұрын

    Waouh... thanks for the story

  • @Li0n_007
    @Li0n_0074 ай бұрын

    Good story teller, Malebo

  • @erastosanga1694
    @erastosanga16944 ай бұрын

    Ngumi ulikuwa unajuwa sana bwana

  • @AbeliIrikaeli
    @AbeliIrikaeli4 ай бұрын

    Nimefurai kumuona malebo Mimi napenda sana ushuda wake

  • @charlesmoshi1983
    @charlesmoshi19832 ай бұрын

    Baba yangu alikua ni msikilizaji mzuri wa caset za Munishi na nilikua nazijua Volume zote ,,Baba angekua hai ningemsikilizisha hii interview angefurahi sana..Keep Resting in Peace Dady

  • @UzalendoNaUtu
    @UzalendoNaUtu4 ай бұрын

    Inamaana Munishi alikua haamini kama Malebo kaokoka mpaka wachungaji wamuaminishe, huyu Mzee inaonesha alimsumbua sana Munishi 😂😂😂

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony4 ай бұрын

    hii stori nruri Sana inafundsha pyaaaa

  • @KigaboFelix
    @KigaboFelix3 ай бұрын

    Nafurahia sana kuona muzee akiwa ameokoka sasa

  • @ApostleEmmanuelLyimo
    @ApostleEmmanuelLyimo4 ай бұрын

    Munishi anaupendo wa kimungu

  • @lesliesolomon3624
    @lesliesolomon36244 ай бұрын

    Oooooh malebo juu alikua anaeka label kwa mabegi ya wasafiri.....MALEBO😂

  • @UzalendoNaUtu
    @UzalendoNaUtu4 ай бұрын

    Mzee alichezea kichapo mpaka akakubali mwenyewe😂😂😂

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya62203 ай бұрын

    Jamaa ana kumbukumbu sana kwa kifupi ni mwamba

  • @canisiusibrahim9856
    @canisiusibrahim98564 ай бұрын

    Huyu mzee kweli ni malebo😁😁😁😁

  • @betrackjasson6698
    @betrackjasson66986 ай бұрын

    Noma iiyo

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l4 ай бұрын

    Mungu nimwema 😂😂😂

  • @lukamwakosya6676
    @lukamwakosya66764 ай бұрын

    Kibugumo ipo kigamboni dar es salaam

  • @user-te6el7zz1q
    @user-te6el7zz1q3 ай бұрын

    Hadithi na stori nzuri sana! Pole Malebo😂

  • @damariskamau7399
    @damariskamau73994 ай бұрын

    Good story. Inspirational. Please someone help him to write his autobiography....

  • @deogratiusmfoy1989
    @deogratiusmfoy19894 ай бұрын

    Aisee imenigusa sana....Kindi muyuni, Kindi Juu ni nyumbani. Sikujua kama Malebo na mwenzi Pastor Munishi wamepitia hapo.

Келесі