INTERVIEW Na Mzee MALEBO/Safari Ya Maisha Yake/ Kuhusu Kukataa Kuokoka/ Urafiki na Pastor Munishi.
Anaitwa Wilfred Hassan Munisi maarufu Kama Mzee MALEBO Kutoka Kijiji cha Kindi Muyuni Mkoani Kilimanjaro,Hii ni Interview ambayo anafunguka Mengi Usiyoyafahamu Kuhusu Mzee Huyu.
Пікірлер: 337
Kama umerudi kusikiliza Ngoma ya malebo baada ya hii interview gonga like
@SauloMwakalinga
2 ай бұрын
33:31
Nina huzuni rohoni nikimuona malebo,kumbe ilikuwa ni real story,God bless you malebo
Aaaah...sikujua wimbo ulitungwa kutoka mafanyiko ya kweli😂😂😂. Simulizi nzuri hiyo. Shukran kutoka 🇰🇪
Aaah..huyu ndio alimtesa munishi kukatalia wokovu!😆😆😆. True friends these ones
Malebo alibadilika sasa na kua mtu mwema.Asante kwa kutuletea malebo,twaku watch hapa Kenya
Asante sana Ndugu John Pazia kwa mazungumzo hayo pamoja na Ndugu Malebo, nimefurahia sana. Tutawasiliana na Malebo hapa karibuni.
Mulisema et Malebo hataokoka! Huyu ni nani sasa 😅😅
@lucyouma1021
2 ай бұрын
Hapa n wapi hahahaha
@manyandatimoth7
6 күн бұрын
😂😂😂😂
Munishi should support this man fully in terms of monetary.
@romanamassawe814
4 ай бұрын
Why should support full, why don't you say munish may support him? Dear brother to support a person is not obligation, it is willing, and that willing comes from living heart
@nickngunjiri4282
4 ай бұрын
@@romanamassawe814 He made a song out of his unfortunate situation, the song hit the airwaves and became an International chorus. On the other side of flipping the coin, Willis Raburu is being paid 6.5 Kenya shillings by Airtel just because his brand name Bazuu was used, and Samuel L Jackson 2200 dollars for his name in the movies. We can't be Cynical in our school of thought.
@johnochieng9500
4 ай бұрын
He should thank Munishi for preaching to him, now that he is leaving a changed life
@okemwaempire
3 ай бұрын
@@romanamassawe814😂😂😂❤
@okemwaempire
3 ай бұрын
@@johnochieng9500😂😂🎉🎉🎉❤
Malebo wa ma-label, Asante sana kaka kumleta ,kamuona na nikashukuru.
Wow, Mzee mcheshi sana, nimefurahia masimulizi yake. Pole Mzee kuvunjwa vidole na Wakongo na pia kukatwa mguu na mmaasai. Nafurahi sana kuona umeokoka ndo maana uko Salama. Munishi Ni rafiki wa Kweli. Salamu kutoka Canada.
@malimanyanja562
4 ай бұрын
Naomba no Yako dada samahani
Watching from kenya 🇰🇪🇰🇪namlilia malebo is just a blessing and life turning song
Nilidhani malebo ni utunzi tu kumbe ni true story.hongera sana munishi.Nairobi.
Duu...hatimaye nmemwona malebo,ubarikiwe
Kwa hivyo sio hadithi tuu Munishi alikuwa akitunga, chochote alichokuwa akiimba kumhusu baba huyu Malebo ni ya ukweli.
Mzee ana enjoy sana maisha yake
Am happy to see the real guy Malebo. So he's the one. Watching from Kenya
Eric kutoka Rwanda haaki na furahi mzehe Malebo Yesu akutende mema
@elastikportfolio3736
4 ай бұрын
Amakuru
@user-ex9gt9np8i
4 ай бұрын
Mambo kaka
@okemwaempire
3 ай бұрын
@@elastikportfolio3736😂😂🎉🎉❤
@okemwaempire
3 ай бұрын
@@user-ex9gt9np8igreat❤❤
🎉. Hii mzee anachekesha sana. Visanga kila sentence au tamko
Hongera Sana Mbwana Mdogo Pazia. Endelea na kazi yako kwa Bidii na Mungu Atakuonekania. Muda Wote Nilijua ni Wimbo Tu! Kumbe ni mtu ambaye yupo real. 👍👏
Hongera Mr Malebo. You are a live testimony to other people. There is no late-coming to Christ Jesus.🎉 Glory to God..!!
Interview nzuri sana... kuna masomo mengi ndani yake. Kwa tuliusikia wimbo wa MALEBO, inafurahisha zaidi.
@paziatvtz
6 ай бұрын
Asante sana Mchungaji Part 02 inakuja
@OckendenMkandawire
6 ай бұрын
Malebo alikuwa jirani Yangu Arusha... Alikuwa na Ghorofa la Matope pale kwa Mollel.
@masalakulwa7601
4 ай бұрын
@@OckendenMkandawireghorofa la matope ndo linakuaje
@dennismakori-ef8ul
3 ай бұрын
😂😂😂 ety ghorofa la matope?@@OckendenMkandawire
@okemwaempire
3 ай бұрын
@@paziatvtznice
Hii inatakiwa itengenezewe muvi kabisa 🙌🏽
@deogratiusmfoy1989
4 ай бұрын
Kweli kabisa Mimi nipo tayari tuwachangie tuwatafute Pastor Munishi na Malebo watengeneze movie.
@okemwaempire
3 ай бұрын
@@deogratiusmfoy1989kabisaaa
Malebo yuko vizuri. Asante sana Pazia
Hallelujah,,atimaye aliokoka,Glory be to God
🇰🇪🇰🇪🇰🇪😞😞 Finally Malebi is here
Mzee jina Lake ni maarufu kuliko sura yake,,ila nmependa ni mcheshi sanaaaa 😂😂
Fundisho kubwa na lakujifunza amempokea Yesu na amevaa chepeo ya wokovu. Glory to God
Du! Mzee amenifulahisha sana huo wimbo zamani sana du! ebana kumbe si niwahenga
Mzee marebo duh kumbe Ndiyo wewe du! Una big story Of life father
kweli nimecheka sana, eti amebeba Bibilia tatu kichaa imepanda. e baba we,..hii ni kazi safi kaka
@joshuamuro9494
4 ай бұрын
😂😂 na mm ndio nipo kipande hichi nimecheka sanan
Much love from Kenya malebo😊
Nafurahi sana kumuona mzee Marebo .kwanza kabisa kusikia wimbo wa Pastor Faustini Mnishi ilikuwa mnamo mwaka 1994 nikavutiwa sana na wimbo huwo ingawaje sikujuwa bado lugha ya kiswahili nikaufuata kwa makini baadaye nikaelewa kilugha.Damascene kutoka Rwanda tena mnyarwanda msalendo nawapenda nyote.
@samkabayiza6212
4 ай бұрын
Kbs nimekuelewa pia mi ni ndugu yako munya Rwanda niligifunza Kiswahili mbio mbio kbs
@Mboki2
4 ай бұрын
Damascene ❤️
@annetetopiste6800
3 ай бұрын
Finally have seen malebo thanks for social media for easiest way, I really liked the song since 1997 until now 2024 mar 31 glory be to God Almighty for life he had given us
@user-sd4ht5pk6n
3 ай бұрын
I really like your comment ,may God bless you.from KIGALI Rwanda
@okemwaempire
3 ай бұрын
@@samkabayiza6212 nice one
Mimi ni murundi napenda sana malebo.
Assnte kwa interview hii nzuri na ya kujenga
Wah! Buda ulikuwa mgaidi kweli! 1959_1983 ndio uka okoka🤔🤔🤔
Amazing interview. This guy has impeccable memory. Malebo is such a funny man. Mcheshi kweli 😂😂😂
Kwa kweli John Pazia uko vizuri hadi umempata Malebo
What a narration! Listened twice
Munishi nii rafiki mzuri.
Saafi sana mahojiano mzuri sana,ningependa siku moja namm nimtembelee mzee Malebo
Hizi ndo stori sasa yaani hadi raha
Na tunakuomba uendelee kutunga nyimbo Mtumishi malebo
😂😂😂 “umelalia masikio “ iko ndani ya verse 😂 kumbe ni kweli alimwambia hivyo.
@UzalendoNaUtu
4 ай бұрын
Friji la Munishi haligandishi 😅😅😅 anaongea yote
Yesu azidi kukutunza Mr Malebo, hakika Mungu ni mwema kila wakati
Nafurahi sana kuona malebo ameokokà Hongera Mtumishi wa Mungu Munishi kumzalia Mungu matunda yanayodumu
Bro Pazia tutafutie na Mrefu,aliimbwa pia.
@victorhabonimana9055
4 ай бұрын
kafa
Asante ndugu PAZIA.nakufuata na interview yako na ndugu MONISHI.
Jamani nyimbo niliisikia nikiwa mdogo sana nikawa namuhurumia huyu malebo aliekataa kuokoka, kumbe ni huyu
Shukrani sana bro. Kutuletea mzee malebo
Waoo leo nimejua malebo ninani I remember those days 90s nime furai sana mimi niko mombasa kenya ❤❤
Mzee mcheshi sana. mungu akubariki sana mzee
Uyu malebo hawesitoa Wimborne nyingine
Asante sana umenikumbusha mbali sana Big up
Arooo risimamishe ilo litowee risiti la surualeee
Very interesting. God bless you Mr. Malebo
Inafaa iwe movie hii Nataman kuziona hizo santana na vasco dagama na kiatu cha mchongoko na huo mwondoko mixer kaunda suti hapo daa hakika itakuwa movie yenye uhakisia mzur wa maisha ya harakati za mtu mweusi
@ombenimunuo4259
3 ай бұрын
Nani apushi huu ujuembe hii stori nikama naona movie 😁😁
Hi mahojiana ni Bora Sana kwa hawa wazani wa kidambo
My fren umefanya vizuri saaaana kutupa story za Malebo. Tulijiuliza mengi sana kumuhusu
Huyu malebo tulimlilia sana😂😂
@edwardasumwisye3010
4 ай бұрын
Saaaaana
Wazee wetu wametoka mbali sanaa
notorious ma-label alikuwa mtata sana
I am inspired by faustin munishi he touched my life daily
Finaly I have see the famous MALEBO and the fact that we are from the same clan now alot of things makes sense now 😂😂😂😂😂 Anyway PIGA MAJIII 😂😂😂😂😂😂
Nawashukuru sana ndugu wa Tanzania. Na wafuata sana.kwenye mtandao wa KZread .na furahi sana.nakumuona MALEBO aliyeimbwa na Faustin Monishi.
Nimefurahia Sana story za malebo.
Malebo seems like a happy soul.❤️..mungu alimhurumia akajitambua🙂
Watching from Kenya good interview
Sichoki kusikiliza hiii stori 😅😅😅
Wahoo hongera Malebo.Mungu akubariki
Hongera sana bro mr pazie ,nitafutie pia pili na tatu
@lambertfulgence8965
4 ай бұрын
Na murefu😊
Kweli nyimbo ni kio cha jamii...❤❤🇰🇪 15:06
malibooooo imenikumbusha rafiki wangu wa kitambo kule malindi alikuwa anaitwa dr singa alikuwa anapenda kuniita malebo
Dah hawa ndio wahenga bhana story ni interesting sana
❤ baba ubarikiwe Yesu yuko moyoni hasa kwa ukiri wako tu
Alain Mnyarwanda🇷🇼 kutoka US 🇺🇲, nakutakia mwisho mema mzee Malebo. Kwa Yesu ni Amani tupu. Mungu azidi kubariki Munishi kwa kuweza kukuombea mpaka ukaokoka. True friend kabisa!
Malebo maelezo rula😂
Mungu ambariki Mzee wetu
Wah mi nilikua nadhani ni utuzi tu kumbe ukweli
Kibugumo iko dar es salaam vkigamboni geza ulole
Sasa Munishi aimbe kuwa malebo sasa ameokoka....more ❤from🇰🇪🇰🇪
@princebigboss5606
4 ай бұрын
Alishaimba kitambo sana
@victoryjohn4179
4 ай бұрын
Ipo malebo ameokoka
@janemuthoni723
4 ай бұрын
Alishaimba hufuatilii
@deogratiusvalentino6248
4 ай бұрын
Ipo nyimbo ya malebo kuokoka
@romanamassawe814
4 ай бұрын
Amekwisha imba malebo ameokoka
Asante kutuletea malebo,tutafutie marefu,aliyeokoka kabla ya malebo
Waouh... thanks for the story
Good story teller, Malebo
Ngumi ulikuwa unajuwa sana bwana
Nimefurai kumuona malebo Mimi napenda sana ushuda wake
Baba yangu alikua ni msikilizaji mzuri wa caset za Munishi na nilikua nazijua Volume zote ,,Baba angekua hai ningemsikilizisha hii interview angefurahi sana..Keep Resting in Peace Dady
Inamaana Munishi alikua haamini kama Malebo kaokoka mpaka wachungaji wamuaminishe, huyu Mzee inaonesha alimsumbua sana Munishi 😂😂😂
hii stori nruri Sana inafundsha pyaaaa
Nafurahia sana kuona muzee akiwa ameokoka sasa
Munishi anaupendo wa kimungu
Oooooh malebo juu alikua anaeka label kwa mabegi ya wasafiri.....MALEBO😂
Mzee alichezea kichapo mpaka akakubali mwenyewe😂😂😂
Jamaa ana kumbukumbu sana kwa kifupi ni mwamba
Huyu mzee kweli ni malebo😁😁😁😁
Noma iiyo
Mungu nimwema 😂😂😂
Kibugumo ipo kigamboni dar es salaam
Hadithi na stori nzuri sana! Pole Malebo😂
Good story. Inspirational. Please someone help him to write his autobiography....
Aisee imenigusa sana....Kindi muyuni, Kindi Juu ni nyumbani. Sikujua kama Malebo na mwenzi Pastor Munishi wamepitia hapo.