Asante mtumishi umeweka sawa kabisa.Dada Christina usishupaze shingo kubali maonyo mrudie Mungu upone.Pole mzee Shusho Mungu akutetee.
@rehemafyumagwa80052 ай бұрын
Mtawajua kwa matunda yao, pole sana mzee shusho, Mungu akutie nguvu
@obedimunguachiza84342 ай бұрын
Kabla Yesu Kristo arudi tutakuwa tumeisha ona mengi! Wakristo tukaze mwendo safarin bado🙏
@user-bv2jl7du1i2 ай бұрын
Asante Sana Prophet umetusaidia sana sana🙏🙏
@user-yl4ud7gr8s2 ай бұрын
Asante baba Kwa haya uliyoyaona na kuwa na ujasiri wa kuitetea Imani yetu nikuhakikishie baba, Mungu hadhihakiwi na ni mwingi wa rehema atajibu Sasa hivi.
@bonifacematuku2 ай бұрын
So much truth. Tumuombee uyu dada. Music is spiritual, and i think this is the reason personally bado nasikiza nyimbo za Shusho za kale kidogo, lakini nyimbo anatoa siku izi nalemewa kusikiza kisa hazina mguzo spiritually The same thing na dada yetu Rose Jameni ni siku za mwisho na Shetani ameingia kwa wanaomtafuta Mungu Tuombeni sana Mungu atupee nehema ya kumkana shetani. Napenda sana dada mmoja Sarah Magesa nyimbo zake zote hadi sai ziko na upako kwa kiwango cha juu sana
@ayubumbembati86582 ай бұрын
Nilikuwa namkubali sana Christina kwa kazi zake nzuri na zaidi nilipenda sana kwa kutokuwa na skendo yoyote kwa kipindi chote. Kwa hiki kimetokea kimefanya nijiulize maswali mengi sana juu ya Dada Christina. Anyway Shetani nae yupo kazini muda wote, hivyo yeyote ajidhaniye kuwa amesimama na ajiangalie asianguke! Christina umetoa kali ya mwaka 2024! Mungu akusaidie.
@TedyanodiTedy-fp9mh
Ай бұрын
Kuna kitu kipo nyuma yapazia nyie hamuwezi kujuwa ndowa zina mambo mengi
@mossendoghwe3172 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu umeongea kwa uchungu na maneno yaliyonyooka sana!
@MAGDALENAURIO-jq3ip2 ай бұрын
Asante sana jaman huyu dada amejidhalilisha.barikiwa mtumishi
@gracyusoy94352 ай бұрын
Asante sana Mtumishi wa Mungu Ndugu Richard. umekuwa mkweli na dada tetu christina Mungu amsaidie kwa kweli arudi kwa mumewe maana ukweli anapoteza uelekeo
@ramak.9587Ай бұрын
Wakristo mmechanganyikiwa sana yaani hadi mnaingiza Mungu kwa upuzi na tamaa zenu za duniani. Ni Mungu gani anakuamrisha kuacha ndoa yako na familia yako ili umtumikie yeye? SO FANTASTIC
@TawakalStorecoltd2 ай бұрын
Thanks my brother for your good godly advice. May god bless you
@NeemaMeshaki-qm4ew2 ай бұрын
Mungu Alie Ziumba mbingu na nchi na atusaidie sana pamoja na dada etu Christina binafsi nimeumia sana na MAOMBI YANGU arudi kwa Mungu Tena Yeye Mungu Bado ni WAREHEMA SAAANA
@boscoafikile47372 ай бұрын
Mungu amtie nguvu mzee shusho pamoja pamoja na watoto yake. kanisa lipo nyakati za mwisho.
@rerisamba
2 ай бұрын
😭😭😭😭 anayo pitia Mungu amuwezeshe
@victoriarichard8761
2 ай бұрын
Yupo kwenye maumivu sana yule mzee 😢 Mungu amtie nguvu
@catherinegichiri1246
2 ай бұрын
Pastor ni jina tu.Wengine ni wambaya kuliko watu wakawida
@poolkingservices6928
2 ай бұрын
Kanisa lilianza kufanya makosa makubwa pale lilipo futa au kukataa mafundisho ya Yesu aliyeujia ulimwengu ili aukomboe Mt 6:24. Kanisa liko wapi juu ya somo hilo? Manadhani Yesu alikuwa anatania? Amin amin ninawaambia. Fedha ndiyo chanzo cha mmomonyoko wa maadili unaolitafuna kanisa leo. Pole kanisa
@poolkingservices6928
2 ай бұрын
Misingi ikiharibika, mwenye haki atafanya nini. Zag 12: 1-8
@Ceciliapampii2 ай бұрын
Thanks for being brave. God bless you
@elishayohana6259Ай бұрын
Pastor umeongea kwa Uchungu sana hakika Mungu atajibu katika hili vinginevyo Mungu amrehemu huyu Dada, Amekufa Kiroho lkn kimwili yu Hai, hakika Mungu wetu amrehemu amrudie Mungu wake 🙏
@cmoshi70142 ай бұрын
Mimi binafsi kaniumiza sana. Nilikuwa nikisikiliza nyimbo zake my spirit was so lifted up just find myself crying and I could fill the power of God was so heavy on me 😢😢😢 Yani nilipomuona kenda kwa madhabahu ya mtu fulani nikajua tayari amekengeuka.
@rosemarinawiliam3289
2 ай бұрын
Alipoenda kwa Geo Dav nilisema basi Tena Yuko upande mwingine
@user-cz8lg9uz5h
2 ай бұрын
Amefanya Vinayak sana
@mwendwacephas5291
2 ай бұрын
Christina shusho amedaganywa na mwanaume mwingine, shetani ako na uwezo pia. Christina shusho usizushe nyavu tafadhali.
@user-wr4zu4un4s
2 ай бұрын
Baba umeeleweka Sana Mungu akutie nguvu Mimi mwenyewe nilishituka mtoko wa pasaka
Asante Daktari kwa kusafisha ukristo wetu. Huyu dada kwa kweli ni limbukeni na anahitaji msaada wa haraka.
@maystellakajuna5461
2 ай бұрын
Huo wito wake si wa Mungu wa Abraham na Isaka na Yakobo Bali ni wa mungu mwingine.
@MerryPhilimon-es9gz
2 ай бұрын
Alienda hata Kwa yule nabii mweupe wa Arusha akapewa na mil kumi@@maystellakajuna5461
@EstherCharo-lc3md
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂anahitaji msada gani yeye kama hata badilika angojee jehanamu ya milele
@billmkushi849
2 ай бұрын
Hosea 4:6 IPO kazini
@YOSHUAMWAMPETA
2 ай бұрын
LIMBUKENI ! Je unauhakika/
@NoelKomba-bj4yr2 ай бұрын
Am so blessed Dr....
@MarySanga-st5ex2 ай бұрын
Mtumishi ubarikiwe sana,I'm very sad for Christina shush na mimi nimekuwa nikipenda sana nyimbo zake...kiukweli dada kindly deliverance muhimu kwako
@gfydfdf88692 ай бұрын
Kunamuimbaji, nilionyeshwa na Mungu,watu wanasema tunenda kumzika mwimbaji frani wakamtaja jina,kukaa kidogo ndoa ikafa,,waimbaji wengi baadhi yao wamejiunga na shetani kizimu dunia imewaza..mchane christana Mungu atampaka matope,hyu kashalanika amejunga na dunia,huyu anataka usera arishakufa kiroho zamani ,,usikute yule baba arishi kwa mateso na huyu dada.subilieni mtaona mwisho huyu dada ametudhalisha wanake hakuna wito hapo, Mungu wetu hadhiakiwi..
@dorcaskarago28762 ай бұрын
Christina shosho alipopata umaarufu alimchukia mume wake kana kwamba sio type yake
@rerisamba
2 ай бұрын
Umegonga ndio anajiona mrembo nanihixo cream na nywele za mchina naakizikosa ako tu kama huyo mzee wamkumbuka Zamaridi alivyo kua rumande
@MalobeLujaga-rv1lx
2 ай бұрын
Kweli kabisa anamuona mumewe sio type yake
@christinamwangoc4779
2 ай бұрын
😂😂@@rerisamba
@faithmusyoka6439
2 ай бұрын
Na mume wake anakaa humble man
@asinatimpendwa3702
2 ай бұрын
Umesema hakuna mwanaumke mwenye mamulaka juu ya mume wake; ndio unawafundisha wanaume wenzako wawanyanyeshe wanake for cheating with other women na pia unawapa umbambe wanaume wanaopiga wanawake waendelee kupiga wanawake na kuwanyima pesa za kununulia chakula cha watoto na kutumia pesa kwa Malaya. Vimada nje ya ndoa. Wanaume Malaya and cheaters.
@salamalupenza50822 ай бұрын
Nilikuwa mpenzi sana na nyimbo zako. Kwa hili sibarikiwi nazo tena. Nakuomba urudi kwa mmeo shetani yup kazini ameshaona udhaifu yako .
@edithweddy30272 ай бұрын
Amen..God bless you man of God
@leonardmakwela55512 ай бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu! Wewe kwa hili hudaiwi ! Umetimiza wajibu wako ! Nasikitika kutamka kwamba KANISA LILILALA ! Wakati dunia inadai usawa wa kijinsia , kanisa lilikurupuka ! Usawa wa kijinsia ni UPINGA KRISTO! Upinga Kristo maana yake nini ? Upinga Kristo ni "Kinyume na Kristo" (Yaani kinyume na Mungu). Maandiko yako wazi kwamba mume ni kichwa cha mke ! Mwanaume atamtawala mwanamke ! Haya ndiyo maandiko ! Kanisa lilikubalije huu usawa? Unajua dini nyingi zilianzia kwa wenzetu huko Ulaya ! Wenzetu hawa walishakengeuka ! Hawa jamaa ndio waanzilishi wa FREEMANSORY ! Kwa kifupi usawa wa kijinsia ni u freemason ! Never trust a woman !!! Nasikitika kusema hivyo ! Ndivyo walivyo tangu mwanzo
@jentamwadime5910
2 ай бұрын
I love his speech
@tabyngugi9424
2 ай бұрын
Oo
@jacksonmwasibila9310
2 ай бұрын
Ni tupu mtumishi
@dolvinshao6956
2 ай бұрын
Very good speach
@shemkaiglory6982
2 ай бұрын
Ukwel nimeumia sana sikutegemea kua hata Tina utavunja ndoa Yako jamani😭😭 ww ni barua , ni kioo unasomwa na Kila mtu ...hapa umeharibu ushuhuda wako
@andrewmagwila16022 ай бұрын
Very true Man of God aonywae mara nyingi akishupaza shingo atavunjika gafla .
@dinahrwezaula842 ай бұрын
Yes it makes sense Pastor tunakuelewa
@tirigimusiba38152 ай бұрын
Inauma sana! Aache kudharirisha ukiristo.
@maystellakajuna54612 ай бұрын
Mtazamo wangu, amemkosea sana Mungu, pili this is a spiritual matter, spiritual matters hazihitaji ushawishi, hilo ni swala la Imani ambalo kila mtu anamaamuzi yake. Hahitaji ushauri, huyo si mchanga kiroho bali amemezwa na kuingia ktk imani nyingine. It's not about us but about God! Hajatudhalilisha sisi bali Mungu. Hizi ni siku za mwisho, tuwe waangalifu sana na kuomba na kuombeana pia. Mtu yoyote anaweza kuanguka ndugu zangu, we are in the dangerous days.
@erickmillanzi4391
2 ай бұрын
Hakuna imani kinyume na biblia hakuna usiri juu ya utumishi usiri ni kumtumikia shetani tu kama hivyo.
@DEBORAHMASANJA-yz3go
2 ай бұрын
Oooh yes tumuombee rehema kwa Mungu ndugu yetu
@myself4128
2 ай бұрын
yeye ni kioo cha Jamii
@maystellakajuna5461
2 ай бұрын
@@myself4128 kioo cha jamii kidunia sawa, lkn yeye si kioo cha Kiroho au cha Ukristo, kioo cha Ukristo ni Neno la Mungu, tukifata watu ndo wawe kioo cha Kiroho Sasa hivi hapa dunia ilipo, tutapotea sana! Sasa hivi hata Pastor wako inabidi umsimilize na kupima anachokisema kwa Neno Mungu, lkn km utamuona Pastor km kioo chako ndugu utapotea. Hayo yalikua huko nyuma.
@clarencemeena1628
2 ай бұрын
MUNGU amsaidie kutambua na kuona sawa sawa
@michaelbenjaminsambua53492 ай бұрын
Baba MUNGU akubariki sana BABA MTUMISHI
@barakaroman43252 ай бұрын
Kazingua Sana kweli mungu haangali mwanzo wa kazi Bali mwisho (mungu anaangalia mwisho wa kazi)
@onesimokivuyo47062 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.Hakika wakristo tumekusoma!
@mackilinakainamla89332 ай бұрын
Mungu amusamehe
@weremamwita89812 ай бұрын
Asante mtumishi kwa kuwa mdomo wetu, inatusikitisha ki ukweli; mapataga ukakasi kila nikisikiliza clip zake za mahojiano. Mungu amrehem pst. Eveng' Christina Shushu.
@YOSHUAMWAMPETA2 ай бұрын
Kwanza SAMAHANI. NINAWAPENDA WOTE HUMU. Ninamtazamo tofauti na Christina Shusho naanza na Prophet Dr. Richard .Hili suala halihitaji ushauri wa kibinadamu kwasababu huwa ndo zinapovunjika ni ngumu kujua CHANZO CHAKE ila Kwa Uwezo wa Roho Mtakatifu.Nilitegemea Prophet Ungemtafuta kwanza Christina ukaongea nae KWA FARAGHA ukiongozwa na Roho wa Mungu na akikataa ndipo ulete hii habari kwenye mitandao ya kijamii. MUNGU habadiliki BALI WANADAMU NDIO WANABADILIKA, NAOMBA TUMWACHIE MUNGU HILI SUALA. NAOMBA ASILAUMIWE YEYOTE .BARIKIWA WOTE
@jacklinemyala8194
2 ай бұрын
Mimi mwenyewe namshangaa..inawezekana ana makosa na hayuko kiroho siku hizi lakini kuja kumuanika huku ..anakosea sana.. ni kama anatafuta Kiki. Kanikera sana. Na ninahisi kuna ugomvi nyuma ya pazia ..sisi hatujui chochote ila tunabwabwaja tu.
@YOSHUAMWAMPETA
2 ай бұрын
@@jacklinemyala8194 USISHANGAE ndoa hazifanani MIMI NAOMBA KWA MUNGU KUSUDI LA MUNGU LITIMIE.CHRISTINA Shusho Kuandaa MTOKO wa PASAKA KWA kumshirikisha Diumond Platinum sio kosa maana ndipo watu wanamjua zaidi Yesu kwa namna mbali mbali lakini pia PESA ZOTE NI MALI YA BWANA kwa hiyo HAPO SIONI TATIZO Bali ametumia VEMA MALI ZA BWANA YESU ILI WATU WAZIDI KUMJUA YESU KRISTO WA NAZARETI.
@leahjamess9359
2 ай бұрын
Christina aliongea umuumu lazima ajibiwe umu umu.Asante
@user-ih1pk1vs4q
Ай бұрын
Ww unajuaje kama hajamfuata?Christina changudoa huyo
@AsyonLaysonАй бұрын
Loo mch mungu akubariki umeongea sana mungu atambadilisha tu tumwombee kweli wewe ni mwalimu
@ellentukiko56992 ай бұрын
Thank you Prophet of God, umeongea kwa HEKIMA sana, God bless you and your Ministry🙏
@prophetdr.richardgodwinmin2221
2 ай бұрын
Bless you
@saturinimushi4746
2 ай бұрын
Pastor KYABASHASA kupitia Moja ya Mafundisho yake hapa Yutube akimjibu Mw.l Isaya Benson aliyepotosha kuhusu Ndoa za Wake wengi na Kuachan a katika Ukristo Amefafanua vizuri sana kupitia Msingi wa Maandiko Matakatifu Yaani Biblia. Mfuatilie Kuna jambo Zuri utaendelea Kujifunza.
@Magdalene-er2ur2 ай бұрын
Hakika hata huyo Mme atakua amevumilia huyo mama mambo mengi sana....!Kwa kweli Kwa Mimi huyo dada alishanitokaga rohoni kitambo sana Nashukuru Mungu anaendelea kuonyesha mambo yake ya kuipenda Dunia....😢
@christermapunda5032 ай бұрын
Thank you for raising this alarm.
@florasingano58592 ай бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu...Mungu ndiye mwanzilishi wa ndoa...na anachukia kuachana... kweli ht mm napata ukakasi,ni bora aseme ametoka kwa mumewe kwa issue zingine na si kwa sababu ya kuitwa na Mungu...tumuombee rehema kwa Mungu...
@geraldmanyogoto13582 ай бұрын
Asante Mtumishi wa Mungu kwa kumpa ukweli. Huyu ameitwa na shetani na kuitika kwa sauti kubwa!!!! Amrudie Mungu haraka vinginevyo siku zake zinahesabika! Kwa sasa ni mtumishi wa mungu wa Diamondi! Ndiyo maana anamwita mchungaji!
@RhodaMwampagama
Ай бұрын
Ahahahaha
@user-xx6yc3mz1w
13 күн бұрын
Amurudie mungu,kwa kutubu maana mungu hawezi kukupa wito kwa kuvunja ndoa,ndio maana hata nyimbo zake saivi zmekua hazina upako.
@user-mr3qg9iq5k2 ай бұрын
Kwakweli huyu Dada ameshapotea mm sikuhiz hata kumsikiliza naona kinyaa😢😢
@user-wb1th3gn3k2 ай бұрын
Lah Mungu ampe nguvu pastor shusho aendelee kumtumikia tu ,mzee shusho Mungu atakuvika taji ya uzima , hili ni jaribu utavuka kwa ushindi
@papaasolo98942 ай бұрын
Blessed be the Man of God🙏
@NeemaMurumbi2 ай бұрын
Ubarikiwe sana man of God.uko sahihi kabisa
@tagcdcchurch60312 ай бұрын
Mungu akubariki sana kwa kuweka wazi kweli hii ya Mungu pia Mungu amsaidie Christina aweze kurejea maana ukweli amemkosea Mungu amelikosea kanisa ameikosea kazi ya msalaba wa Yesu.
@user-lk1wt7hj8m2 ай бұрын
Mimi ni Carlos kutoka Congo uyo shusho namuchukia sana anakuwa malaya sana anamutaka daimond
@godlistenmangowi93282 ай бұрын
Kuwa katika ndoa ni Kulitimiza kusudi la Mungu.Dada Christina anaitajika sanaa kuwa sehemu ya kusudi la Mungu na ni wakati wake sahihi kumshuhudia Mungu ,yaan Bwana wa Mabwana,mfalme wa wafalme!Nimesoma kitabu cha ufunuo wa Yohana milango mitatu nikashtuka sanaaaaaa. Ufunuo wa Yohana 12: Ufunuo wa yohana13: Ufunuo wa Yoha 14: Soma sura nzima ,Mungu Atupenda sanaa.
@benjamenshepa1000
2 ай бұрын
Kwahyo ni halali kuvunja ndoa ili umtumikie Mungu ndugu
@MediatriceBukara2 ай бұрын
Tusaidie Baba.Sisi tunaompenda hajatubariki hata........."WATUMISHI MUOMBEENI SANA SI YEYE"
@gloriashoo37072 ай бұрын
Mungu wa Mbinguni akubariki mno akuinuwe zaidi mtumishi wa Mungu Kwa kuwa mkweli Kwa ajili ya kristo
@LupokeloLuvanda2 ай бұрын
Mungu akubariki sana Mtumishi, Neema ya Mungu imzukie huyu dada arejee na atambue mazingira yanayomzunguka. Mimi ni mmoja wa watu walikuwa wanapenda sana kazi zake. Tusiache kumuombea, the enemy is at work 24/7.
@PrinceHendry-hp8vv2 ай бұрын
Mtu kaanza kujibana na kina diamond atakua na Yesu kweli alishapotea mdada
@rendozrendo7804
2 ай бұрын
Maokoto
@johnjohnkipokola5077
2 ай бұрын
Sasa Diamond si anajulikana amejiunga na illuminants siku nyingi? Bado Christina aliwahi kuonekana kwenye kanisa fulani kule Kisongo akipewa msaada wa fedha chafu.
@eliashibundabalinze2754
2 ай бұрын
Kwani kama umeokoka ndo usiwe karibu na watu wasio wa kristo? Yesu akasema... "Wagonjwa wana mwitaji tabibu bali walima hawana uhitaji wa tabibu"
@fechasharon2
2 ай бұрын
@@eliashibundabalinze2754 haikumaanisha unachokisema,fungua macho ya rohoni
@PrinceHendry-hp8vv
2 ай бұрын
@@eliashibundabalinze2754 giza na nuru havichangamani
@jeanmusamba84482 ай бұрын
shida sio Christina,shida ni tamaa,watu wengi sana kwa siri wamejiunga na taasisi za siri za shetani,kwa kupenda pesa.sasa maisha yao yana kuwa chini ya ratiba atakayopewa na taasisi hiyo.Vituko vyote si vyake anatumwa na anakuwa programmed.
@rendozrendo7804
2 ай бұрын
Ndo hivyo dunia hii tunapita usipo fanya maisha yako utabaki .
@OmmyJames-xn7ji
2 ай бұрын
Christina anakuja na AGANO JIPYA 😢😢😢😢😢
@banguha
2 ай бұрын
Na ndiyo maana unaambiwa kama ni mtumish wa kiume hatakiw kuwa na mke kama ni mwanamke hutakiw kuolewa wamejiunga na kutaka utajir wa haraka Christiana alikuwa anafanya vzr wakat yupo na mume na alikuwa na heshima kwa sasa amekuwa kama mdananda tuu hajielew
@pastorbarnabamichael4946
2 ай бұрын
Hizi ni siku za ukengeefu
@milicentotieno
2 ай бұрын
Wote wameitwa kwa utumishi
@user-eh4ew6qc9j2 ай бұрын
Mwanajeshi mwenzetu ametekwa nyara na jeshi la shetani, jeshi la Mungu tuamke twende vitani against kambi ya shetani,tukawakomboe wenzetu badala ya kuwasema vibaya,we can not afford to lose her.
@nasimiyujustine
2 ай бұрын
You have said the trueth
@elishayohana6259
Ай бұрын
Njia ya kumsaidia mtu lazima umeambie ukweli
@liliankibambo2313
Ай бұрын
Umeongea point
@miriammollel17552 ай бұрын
Asante kwa kujitoa na kusema ukweli mtupu, Mungu akubariki sana .
@shadymoses58132 ай бұрын
Ila Mimi Nasemaga Tanzania kwa ujumla inahitaji Baraza la kusimamia misingi na Matendo ya kikristo...Yaan Ukristo inabidi kiwepo chombo cha pamoja (achana na TEC, CCT nk) kinachoumizwa na Malpractices za watu na watumishi...na chenye uwezo wa kukataa na kuzuia endapo kanisa ama mtumishi anakengeuka, ili tubaki katika misingi ya kikristo.❤
@joycenganyule3231
2 ай бұрын
Kuna watu wanaonekana ni wakristo wazur tu makanisan but ni wachawi balaa so mi siamin kama Baraza linaweza kudhibiti mtu kuwa na uhusiano mzuri na Mungu, huko kote ni shida tupu
@ramadhansemvua9994
2 ай бұрын
@@joycenganyule3231duh
@naomichallo9766
2 ай бұрын
Huwezi kumzuia MTU aliengeuka na Imani, ni MUNGU pekee ndie awezae kumzuia katika mwanae wa pekee YESU KRISTO
@anithakisima665
2 ай бұрын
Kabisa ikiwezekana hata sasa
@bokimmwamba23222 ай бұрын
Na hiyo ndio tofauti ya mwanamke na mwanaume ktk kufanikiwa..... Mwanamke akifanikiwa kuzd mwanaume matokeo ndio hayaaaaa
@user-sm7gj4mn5n2 ай бұрын
Asant mchungaji ila mimi kwa mtazamo wangu mimi pia mtenda Zambi ila hawa nao waimbaji wengi wa nyimbo za injili hawajasimama
@christaloneministry11632 ай бұрын
Asante mtumishi kwa kunena kwa niaba ya MUNGU! Asante zaidi kwa kunena ukweli na ukweli kwa UPENDO MWINGI.....its high time for Christina to go back to her senses just as a prodigal son did. As early as NOW
@elinipasumary88852 ай бұрын
Nakushukuru sana Prophet kwa kuamua kuongea juu hili, Mimi ni miongoni mwa wanawake waliofedheheshwa sana na Christina, na bora angetoka kwenye ndoa yake akanyamaza kimnya, asimdhalilishe Mungu na Kanisa la Kristo.Anataka kutuambia kuwa Mungu ameamua kupingana na Neno lake. Nimesikitishwa na Tina. Kweli Mungu aturehemu!!!! 😢😢😢
@wahidakisingo3588
2 ай бұрын
Mungu aturehemu 🙏
@RhodaMwampagama
Ай бұрын
Njia yake si ndefu sana Mungu atasema nae
@charleskuyeko44002 ай бұрын
Umefanya vyema kuyasema hayo Mtumishi wa Mungu. Mungu akubaruki sana. Amemwaibisha Mungu wetu pia. Hata baadhi ya Mashekhe wamemshambulia sana Diamond kwa kushirikiana na Christina Shusho kwenye Mtoko wa Pasaka. Hii ni huduma mpya kabisa haijawahi kutokea popote. Na bila kumung'unya maneno Christina anamtumikia mungu wa herufi ndogo, siyo Mungu YEHOVA tunayemwabudu.
@samwelmbissa-zj1ev2 ай бұрын
Waooooow very good massage Man of God thank
@leebronkasianh5296
2 ай бұрын
Shetani,huwa anaitumia pesa,kuvuruga mambo ,na sio yy tu waimbaji wengi wa injili wameshakamatwa na shetani.
@ChristinaSamuel-vt1vn2 ай бұрын
Tuambie ukwel tupone,Ubarikiwe sana Mtumishi is very sad😢
@troshan78442 ай бұрын
Jinga sana hilo mama..limuache mungu wetu tunaemwani..asitufarakanishe na mungu wetu..mwenyezu mungu huwa hawaiti watu wajinga kama hao
@johnmwaimise22912 ай бұрын
Sio tu mzee Shusho,hata wewe leo ukimpa mkeo nafasi akaanza kufanya huduma na kujiita mtumishi basi ujuwe huo ndio utakuwa mwisho wa ndoa Yako...
@user-nv7sf2iu2v
2 ай бұрын
Huo ndio ukweli sema watumishi wa siku hizi wanapotosha Neno la Mungu wanaleta hekima za kibinadamu kwenye kweli ya Mungu
@DaviVicent-eh6ev
2 ай бұрын
@@user-nv7sf2iu2v❤
@josiasntakisigaye-sv4ot2 ай бұрын
Huyu mama Yuko kuzimu,watumishi wa Mungu tuombe Mungu ayafute matendo haya yakuzimu kupitia kwa christina
@testimony254
2 ай бұрын
Wakati alianza ku muhushisha diamond nilijua hapa ni basi
@peacelive3420
2 ай бұрын
Kwani Wokovu ni juu ya matendo ama Imani?
@pamelaayieta6071
2 ай бұрын
@@peacelive3420Faith with actions not vice versa.
@peacelive3420
2 ай бұрын
@@pamelaayieta6071 is it GRACE period? Or GRACE and?
@olivernyange2349
2 ай бұрын
@@peacelive3420grace end😅
@isso8462 ай бұрын
you are right man of God
@ashwaqhasni2 ай бұрын
Nashukuru sana sana mtumishi wa Mungu Wakristo tupo kwenye maumivu makali mnoo kwa ajili ya Christian shusho anapaswa kuomba radhi kwa kanisani la Kikristo ametudhalilisha mno huyu kwa sasa tumwite tu agent kuzimu Wachungaji watumishi wa Mungu wamekaa kimnya kama vile awaoni mwingine anasimama na kusema anamtetea mtu amabaye siyo wa imani ya Kikristo Namshukuru sana Mungu kwa kukupa ujasiri wa kulisema hili Mungu akubariki sana
@nikodemmwahangila33342 ай бұрын
Ubalikiwe kwa ushauli
@Mwasame_Official12 ай бұрын
Dada Christina rudi ulivyo kuwa mwanzo , si wewe ni shetani aliyeingia ndani yako ,, mungu akufungue macho mwanzo hukua mshamba bali ulikua unatumiwa na mungu kiu kweli
@elinisafibabarita
2 ай бұрын
Dada Tangu alienda Kenya ni kama kuna kitu ilimpata huko since then naona hajawa sawa
@banguha
2 ай бұрын
Amekuwa mshamba wa dunia utadhan bint wa miaka 18 kumbe ni mtu mzima
@annaamadeo-ge2dd2 ай бұрын
Ahsante kwa maonyo mazuri mtumishi wa Mungu. Maana Neno linasema onyaneni, kalipieni nk
@dorisal7361Ай бұрын
Thanks for being brave
@angaikundenikweka75172 ай бұрын
“Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani; ” - 1 Timotheo 4:1 (Biblia Takatifu)
@markomgogosi60932 ай бұрын
nawashangaa sana wanaomwita pastor yule si mchungaji
@happymwaipaja48342 ай бұрын
Inaumiza sana Dr...Mungu atusaidie wanawake
@petermuchiri15302 ай бұрын
mtumishi ule mungu wa christina ni mungu ule wa diamond na anayejua ajua ni mgani..
@AgredaMoyo2 ай бұрын
Powerful ....kufikiri kwa kina waooh!!!
@hurumasilasmwamwezi43512 ай бұрын
Sema kweli nayo kweli itatuw3ka huru. Suddenly kaimba mlima HARARATI BADALA YA ARARATI. Ni shida. God bless you man of God.
@estherluvanda1192
2 ай бұрын
😂😂😂😂
@ekiliangoliga644
2 ай бұрын
Kwani nini maana ya Harati na Arati sijui maanake
@Mr.Wans-012 ай бұрын
God bless you abundantly
@gracemkumbwa65392 ай бұрын
Bless you servant of God
@user-tx6nz4up5h2 ай бұрын
Hawezi kuwa mwiba bali anazibitisha andiko la Paulo, christina anaupenda ulimwengu na hana huduma ya Mungu aliye hai na Mungu kamfunua
@elinisafibabarita
2 ай бұрын
Correct!
@user-fq2jz9lm9f
2 ай бұрын
Sipendi tabia yako Kristina napenda tu nyimbo zako IGA tabia ya nzuri kama ya Nkone Jenipha Mgendi nk
@ruthjemson4386
2 ай бұрын
Kweli kabisa
@ruthmwenje8380
2 ай бұрын
Rudia haya maneno ya kweli kabisa
@user-ll5qx5up8n
2 ай бұрын
Kweli kabisa mimi ni mama Mtumishi niko German nilikwaza sana hata ile nguo aliyokuwa amevaa kwa mtoko wa pasaka haikuwa ya heshima kabisa kwa wito wake ilibana matako yametoka njenje jamani kama siafu
@kelvinnaftali43312 ай бұрын
Mimi haya niliyatarajia maana giza na nuru haziwezi kuchangamana nilivyoona ukaribu wake na wasanii wa nyimbo za kidunia nikasema ili ni anguko lake tayari.
@peacelive3420
2 ай бұрын
Mwenye haki aweza anguka (mara...) na atainuka Tena.....
@SurprisedAardvark-it7pm2 ай бұрын
Mungu atamwadhibu christina muda siyo mrefu
@maglanloy7644Ай бұрын
Amen amen mtumishi wa mbinguni,Mungu akupe muda kutosha kuwafundisha wasiojua Mungu
@LuckyMountainRange-lk4iq2 ай бұрын
Kweli kabisa Christiana amepotoka kabisa kiungu
@FAITHEDWARD-eg6du
27 күн бұрын
Unajua ukiwa ndani ya yesu unazungukwa na uwepo wa mungu. Lakini Christina amelivua vazi la utukufu, asijidanganye kwamba atakuwa kama alivyokuwa mungu amsaidie.
@user-yd4et4sd9b2 ай бұрын
Diamond kafurahi kweli, kapata mshirika
@gosbertmuta5421
2 ай бұрын
😂
@leonardyona14622 ай бұрын
Asante Prophet kwa kupiga panapouma, huyo mwanamke ni malaya tu..
@gosbertmuta5421
2 ай бұрын
😂
@fredfandey222
2 ай бұрын
tokankitambo tu, watu walikuwa hawajui tu
@stephenkalidush5446
2 ай бұрын
Ndugu kusema mtu usimjua ni tatizo kubwa sana coz ata wewe zipu ipo wazii funga zipuuu kwanzaa
@NeemaOberlin2 ай бұрын
Asante Mtumishi wa Mungu kwa kusema kweli kuhusu huyu ndugu ubarikiwe
@johnsonbarasa98692 ай бұрын
Mafundisho haya ni ukweli ila unyenyekevu na utiifu umewatoka wanawake pindi tu umarufu kihuduma,Mungu atusaidie sana
@emmymatigula48702 ай бұрын
Women,GOD help us Amen 🙏
@JulienAjiliАй бұрын
You are good servent of God
@user-ed2jz5ym9u2 ай бұрын
Ubarikiwe mutumishi. Wa mungu. Anakosea. Kweli anafananishwa na vasti alie zarau mume wake
@user-wl3sv2xn9e2 ай бұрын
Nilkuwa nazpenda sana nyimbo zake kumbe nishetani mtu sizitaki tena!
@peacelive3420
2 ай бұрын
tusisome Zaburi kisa Daudi alizingua, ?
@user-ee8dr9iw4t
2 ай бұрын
Ata lusifa anikua mwimbaji sasa matuda yake yanaonekana
@naomichallo9766
2 ай бұрын
Zamani naona alikua akimtumikia MUNGU ndio maana nyimbo zake ulikua ukizisikia zinakugusa lakini sasa naona ametoka nje ya Imani ni huzuni tumuombe Sana
@majaliwamsigwa62062 ай бұрын
Ameshalifanya jina la Yesu ni kichaka cha kufichia uchafu,achague moja kusuka au kunyoa,aache kumsulubisha Yesu kwa mara ya pili,barikiwa Mtumisha
@user-ii6gs2jg4g
2 ай бұрын
Hakika ndugu
@brianngunjiri4738
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 weeee
@peacelive3420
2 ай бұрын
Kwani Nini maana ya kumsulibisha Yesu mara ya pili?
@majaliwamsigwa6206
2 ай бұрын
@@peacelive3420 Waebrania 6:4-6
@StanfordPaul-kw3cg
2 ай бұрын
Hatimae leo mtumishi wa Mungu amekichoma kichaka ambacho malaya huyu amejificha.
@Barick2nyi2 ай бұрын
What you spoke Dr is truth
@maglanloy7644Ай бұрын
Asante sana prophet.
@PaulMsema2 ай бұрын
Ukijiinua unashushwa ,kanuni ya Mungu ni kunyenyekea kwake basi
@user-fj4kj8xc5x2 ай бұрын
Asante mtumishi kwa kujitoa muhanga katika kuisema kweli maana ni watumishi wachache wanao weza kusema kweli
@benjaminshayo32
2 ай бұрын
Kwendeni hukoo..amelisemea Sasa Sisi limetusaidia NN? Kumbe alichokisema wewe ulikua unanifaham tangu mwanzon...Sasa kulikua na haja ya kuja kusema huku....? Hii si kusengenya? Alipaswa akamwambie mwenyew na si kusema huku maana lengo si kumuaibisha dada Christina Bali kumsaidiaa...hii ni kumuaibisha..
@rerisamba
2 ай бұрын
@@benjaminshayo32kwani dada christina sialitangaza mtandaoni na ajibiwe mtandaoni hujui maana ya kusengenya wewe
@SmilingCityMap-xb9md
2 ай бұрын
@@benjaminshayo32yaani ukisema na kumwaibisha yesu mitandaoni NI lazima ujibiwe mitandaoni
@kashindisimon5265
2 ай бұрын
@@benjaminshayo32 wewe nae ni malaya kama Christina
@MageniProsper2 ай бұрын
Mungu akubariki sana, nyakati hizi huduma nyingi Sana ninajutokeza hazitokani na Mungu huyu wa kweli. Na ndiyo maana wakishaingia na kuona wamefanikiwa wanatoka kabisa nje ya mpango wa Mungu na kujifanyia mambo Yao na mara zote wanaenda kimwili. Shusho anatakiwa kutubu Kwa machozi vinginevyo pigo linakuja kwake.
@hoyangembwambo8462 ай бұрын
Ni kweli usemayo mtumishi, Christina hamjui Mungu anayekwenda kumtumikia Sasa.
Пікірлер: 1 900
Asante mtumishi umeweka sawa kabisa.Dada Christina usishupaze shingo kubali maonyo mrudie Mungu upone.Pole mzee Shusho Mungu akutetee.
Mtawajua kwa matunda yao, pole sana mzee shusho, Mungu akutie nguvu
Kabla Yesu Kristo arudi tutakuwa tumeisha ona mengi! Wakristo tukaze mwendo safarin bado🙏
Asante Sana Prophet umetusaidia sana sana🙏🙏
Asante baba Kwa haya uliyoyaona na kuwa na ujasiri wa kuitetea Imani yetu nikuhakikishie baba, Mungu hadhihakiwi na ni mwingi wa rehema atajibu Sasa hivi.
So much truth. Tumuombee uyu dada. Music is spiritual, and i think this is the reason personally bado nasikiza nyimbo za Shusho za kale kidogo, lakini nyimbo anatoa siku izi nalemewa kusikiza kisa hazina mguzo spiritually The same thing na dada yetu Rose Jameni ni siku za mwisho na Shetani ameingia kwa wanaomtafuta Mungu Tuombeni sana Mungu atupee nehema ya kumkana shetani. Napenda sana dada mmoja Sarah Magesa nyimbo zake zote hadi sai ziko na upako kwa kiwango cha juu sana
Nilikuwa namkubali sana Christina kwa kazi zake nzuri na zaidi nilipenda sana kwa kutokuwa na skendo yoyote kwa kipindi chote. Kwa hiki kimetokea kimefanya nijiulize maswali mengi sana juu ya Dada Christina. Anyway Shetani nae yupo kazini muda wote, hivyo yeyote ajidhaniye kuwa amesimama na ajiangalie asianguke! Christina umetoa kali ya mwaka 2024! Mungu akusaidie.
@TedyanodiTedy-fp9mh
Ай бұрын
Kuna kitu kipo nyuma yapazia nyie hamuwezi kujuwa ndowa zina mambo mengi
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu umeongea kwa uchungu na maneno yaliyonyooka sana!
Asante sana jaman huyu dada amejidhalilisha.barikiwa mtumishi
Asante sana Mtumishi wa Mungu Ndugu Richard. umekuwa mkweli na dada tetu christina Mungu amsaidie kwa kweli arudi kwa mumewe maana ukweli anapoteza uelekeo
Wakristo mmechanganyikiwa sana yaani hadi mnaingiza Mungu kwa upuzi na tamaa zenu za duniani. Ni Mungu gani anakuamrisha kuacha ndoa yako na familia yako ili umtumikie yeye? SO FANTASTIC
Thanks my brother for your good godly advice. May god bless you
Mungu Alie Ziumba mbingu na nchi na atusaidie sana pamoja na dada etu Christina binafsi nimeumia sana na MAOMBI YANGU arudi kwa Mungu Tena Yeye Mungu Bado ni WAREHEMA SAAANA
Mungu amtie nguvu mzee shusho pamoja pamoja na watoto yake. kanisa lipo nyakati za mwisho.
@rerisamba
2 ай бұрын
😭😭😭😭 anayo pitia Mungu amuwezeshe
@victoriarichard8761
2 ай бұрын
Yupo kwenye maumivu sana yule mzee 😢 Mungu amtie nguvu
@catherinegichiri1246
2 ай бұрын
Pastor ni jina tu.Wengine ni wambaya kuliko watu wakawida
@poolkingservices6928
2 ай бұрын
Kanisa lilianza kufanya makosa makubwa pale lilipo futa au kukataa mafundisho ya Yesu aliyeujia ulimwengu ili aukomboe Mt 6:24. Kanisa liko wapi juu ya somo hilo? Manadhani Yesu alikuwa anatania? Amin amin ninawaambia. Fedha ndiyo chanzo cha mmomonyoko wa maadili unaolitafuna kanisa leo. Pole kanisa
@poolkingservices6928
2 ай бұрын
Misingi ikiharibika, mwenye haki atafanya nini. Zag 12: 1-8
Thanks for being brave. God bless you
Pastor umeongea kwa Uchungu sana hakika Mungu atajibu katika hili vinginevyo Mungu amrehemu huyu Dada, Amekufa Kiroho lkn kimwili yu Hai, hakika Mungu wetu amrehemu amrudie Mungu wake 🙏
Mimi binafsi kaniumiza sana. Nilikuwa nikisikiliza nyimbo zake my spirit was so lifted up just find myself crying and I could fill the power of God was so heavy on me 😢😢😢 Yani nilipomuona kenda kwa madhabahu ya mtu fulani nikajua tayari amekengeuka.
@rosemarinawiliam3289
2 ай бұрын
Alipoenda kwa Geo Dav nilisema basi Tena Yuko upande mwingine
@user-cz8lg9uz5h
2 ай бұрын
Amefanya Vinayak sana
@mwendwacephas5291
2 ай бұрын
Christina shusho amedaganywa na mwanaume mwingine, shetani ako na uwezo pia. Christina shusho usizushe nyavu tafadhali.
@user-wr4zu4un4s
2 ай бұрын
Baba umeeleweka Sana Mungu akutie nguvu Mimi mwenyewe nilishituka mtoko wa pasaka
@officialhopestarmusic959
2 ай бұрын
Yule mzee aliyejichubua sio ?@@rosemarinawiliam3289
Asante Daktari kwa kusafisha ukristo wetu. Huyu dada kwa kweli ni limbukeni na anahitaji msaada wa haraka.
@maystellakajuna5461
2 ай бұрын
Huo wito wake si wa Mungu wa Abraham na Isaka na Yakobo Bali ni wa mungu mwingine.
@MerryPhilimon-es9gz
2 ай бұрын
Alienda hata Kwa yule nabii mweupe wa Arusha akapewa na mil kumi@@maystellakajuna5461
@EstherCharo-lc3md
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂anahitaji msada gani yeye kama hata badilika angojee jehanamu ya milele
@billmkushi849
2 ай бұрын
Hosea 4:6 IPO kazini
@YOSHUAMWAMPETA
2 ай бұрын
LIMBUKENI ! Je unauhakika/
Am so blessed Dr....
Mtumishi ubarikiwe sana,I'm very sad for Christina shush na mimi nimekuwa nikipenda sana nyimbo zake...kiukweli dada kindly deliverance muhimu kwako
Kunamuimbaji, nilionyeshwa na Mungu,watu wanasema tunenda kumzika mwimbaji frani wakamtaja jina,kukaa kidogo ndoa ikafa,,waimbaji wengi baadhi yao wamejiunga na shetani kizimu dunia imewaza..mchane christana Mungu atampaka matope,hyu kashalanika amejunga na dunia,huyu anataka usera arishakufa kiroho zamani ,,usikute yule baba arishi kwa mateso na huyu dada.subilieni mtaona mwisho huyu dada ametudhalisha wanake hakuna wito hapo, Mungu wetu hadhiakiwi..
Christina shosho alipopata umaarufu alimchukia mume wake kana kwamba sio type yake
@rerisamba
2 ай бұрын
Umegonga ndio anajiona mrembo nanihixo cream na nywele za mchina naakizikosa ako tu kama huyo mzee wamkumbuka Zamaridi alivyo kua rumande
@MalobeLujaga-rv1lx
2 ай бұрын
Kweli kabisa anamuona mumewe sio type yake
@christinamwangoc4779
2 ай бұрын
😂😂@@rerisamba
@faithmusyoka6439
2 ай бұрын
Na mume wake anakaa humble man
@asinatimpendwa3702
2 ай бұрын
Umesema hakuna mwanaumke mwenye mamulaka juu ya mume wake; ndio unawafundisha wanaume wenzako wawanyanyeshe wanake for cheating with other women na pia unawapa umbambe wanaume wanaopiga wanawake waendelee kupiga wanawake na kuwanyima pesa za kununulia chakula cha watoto na kutumia pesa kwa Malaya. Vimada nje ya ndoa. Wanaume Malaya and cheaters.
Nilikuwa mpenzi sana na nyimbo zako. Kwa hili sibarikiwi nazo tena. Nakuomba urudi kwa mmeo shetani yup kazini ameshaona udhaifu yako .
Amen..God bless you man of God
Barikiwa mtumishi wa Mungu! Wewe kwa hili hudaiwi ! Umetimiza wajibu wako ! Nasikitika kutamka kwamba KANISA LILILALA ! Wakati dunia inadai usawa wa kijinsia , kanisa lilikurupuka ! Usawa wa kijinsia ni UPINGA KRISTO! Upinga Kristo maana yake nini ? Upinga Kristo ni "Kinyume na Kristo" (Yaani kinyume na Mungu). Maandiko yako wazi kwamba mume ni kichwa cha mke ! Mwanaume atamtawala mwanamke ! Haya ndiyo maandiko ! Kanisa lilikubalije huu usawa? Unajua dini nyingi zilianzia kwa wenzetu huko Ulaya ! Wenzetu hawa walishakengeuka ! Hawa jamaa ndio waanzilishi wa FREEMANSORY ! Kwa kifupi usawa wa kijinsia ni u freemason ! Never trust a woman !!! Nasikitika kusema hivyo ! Ndivyo walivyo tangu mwanzo
@jentamwadime5910
2 ай бұрын
I love his speech
@tabyngugi9424
2 ай бұрын
Oo
@jacksonmwasibila9310
2 ай бұрын
Ni tupu mtumishi
@dolvinshao6956
2 ай бұрын
Very good speach
@shemkaiglory6982
2 ай бұрын
Ukwel nimeumia sana sikutegemea kua hata Tina utavunja ndoa Yako jamani😭😭 ww ni barua , ni kioo unasomwa na Kila mtu ...hapa umeharibu ushuhuda wako
Very true Man of God aonywae mara nyingi akishupaza shingo atavunjika gafla .
Yes it makes sense Pastor tunakuelewa
Inauma sana! Aache kudharirisha ukiristo.
Mtazamo wangu, amemkosea sana Mungu, pili this is a spiritual matter, spiritual matters hazihitaji ushawishi, hilo ni swala la Imani ambalo kila mtu anamaamuzi yake. Hahitaji ushauri, huyo si mchanga kiroho bali amemezwa na kuingia ktk imani nyingine. It's not about us but about God! Hajatudhalilisha sisi bali Mungu. Hizi ni siku za mwisho, tuwe waangalifu sana na kuomba na kuombeana pia. Mtu yoyote anaweza kuanguka ndugu zangu, we are in the dangerous days.
@erickmillanzi4391
2 ай бұрын
Hakuna imani kinyume na biblia hakuna usiri juu ya utumishi usiri ni kumtumikia shetani tu kama hivyo.
@DEBORAHMASANJA-yz3go
2 ай бұрын
Oooh yes tumuombee rehema kwa Mungu ndugu yetu
@myself4128
2 ай бұрын
yeye ni kioo cha Jamii
@maystellakajuna5461
2 ай бұрын
@@myself4128 kioo cha jamii kidunia sawa, lkn yeye si kioo cha Kiroho au cha Ukristo, kioo cha Ukristo ni Neno la Mungu, tukifata watu ndo wawe kioo cha Kiroho Sasa hivi hapa dunia ilipo, tutapotea sana! Sasa hivi hata Pastor wako inabidi umsimilize na kupima anachokisema kwa Neno Mungu, lkn km utamuona Pastor km kioo chako ndugu utapotea. Hayo yalikua huko nyuma.
@clarencemeena1628
2 ай бұрын
MUNGU amsaidie kutambua na kuona sawa sawa
Baba MUNGU akubariki sana BABA MTUMISHI
Kazingua Sana kweli mungu haangali mwanzo wa kazi Bali mwisho (mungu anaangalia mwisho wa kazi)
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.Hakika wakristo tumekusoma!
Mungu amusamehe
Asante mtumishi kwa kuwa mdomo wetu, inatusikitisha ki ukweli; mapataga ukakasi kila nikisikiliza clip zake za mahojiano. Mungu amrehem pst. Eveng' Christina Shushu.
Kwanza SAMAHANI. NINAWAPENDA WOTE HUMU. Ninamtazamo tofauti na Christina Shusho naanza na Prophet Dr. Richard .Hili suala halihitaji ushauri wa kibinadamu kwasababu huwa ndo zinapovunjika ni ngumu kujua CHANZO CHAKE ila Kwa Uwezo wa Roho Mtakatifu.Nilitegemea Prophet Ungemtafuta kwanza Christina ukaongea nae KWA FARAGHA ukiongozwa na Roho wa Mungu na akikataa ndipo ulete hii habari kwenye mitandao ya kijamii. MUNGU habadiliki BALI WANADAMU NDIO WANABADILIKA, NAOMBA TUMWACHIE MUNGU HILI SUALA. NAOMBA ASILAUMIWE YEYOTE .BARIKIWA WOTE
@jacklinemyala8194
2 ай бұрын
Mimi mwenyewe namshangaa..inawezekana ana makosa na hayuko kiroho siku hizi lakini kuja kumuanika huku ..anakosea sana.. ni kama anatafuta Kiki. Kanikera sana. Na ninahisi kuna ugomvi nyuma ya pazia ..sisi hatujui chochote ila tunabwabwaja tu.
@YOSHUAMWAMPETA
2 ай бұрын
@@jacklinemyala8194 USISHANGAE ndoa hazifanani MIMI NAOMBA KWA MUNGU KUSUDI LA MUNGU LITIMIE.CHRISTINA Shusho Kuandaa MTOKO wa PASAKA KWA kumshirikisha Diumond Platinum sio kosa maana ndipo watu wanamjua zaidi Yesu kwa namna mbali mbali lakini pia PESA ZOTE NI MALI YA BWANA kwa hiyo HAPO SIONI TATIZO Bali ametumia VEMA MALI ZA BWANA YESU ILI WATU WAZIDI KUMJUA YESU KRISTO WA NAZARETI.
@leahjamess9359
2 ай бұрын
Christina aliongea umuumu lazima ajibiwe umu umu.Asante
@user-ih1pk1vs4q
Ай бұрын
Ww unajuaje kama hajamfuata?Christina changudoa huyo
Loo mch mungu akubariki umeongea sana mungu atambadilisha tu tumwombee kweli wewe ni mwalimu
Thank you Prophet of God, umeongea kwa HEKIMA sana, God bless you and your Ministry🙏
@prophetdr.richardgodwinmin2221
2 ай бұрын
Bless you
@saturinimushi4746
2 ай бұрын
Pastor KYABASHASA kupitia Moja ya Mafundisho yake hapa Yutube akimjibu Mw.l Isaya Benson aliyepotosha kuhusu Ndoa za Wake wengi na Kuachan a katika Ukristo Amefafanua vizuri sana kupitia Msingi wa Maandiko Matakatifu Yaani Biblia. Mfuatilie Kuna jambo Zuri utaendelea Kujifunza.
Hakika hata huyo Mme atakua amevumilia huyo mama mambo mengi sana....!Kwa kweli Kwa Mimi huyo dada alishanitokaga rohoni kitambo sana Nashukuru Mungu anaendelea kuonyesha mambo yake ya kuipenda Dunia....😢
Thank you for raising this alarm.
Barikiwa mtumishi wa Mungu...Mungu ndiye mwanzilishi wa ndoa...na anachukia kuachana... kweli ht mm napata ukakasi,ni bora aseme ametoka kwa mumewe kwa issue zingine na si kwa sababu ya kuitwa na Mungu...tumuombee rehema kwa Mungu...
Asante Mtumishi wa Mungu kwa kumpa ukweli. Huyu ameitwa na shetani na kuitika kwa sauti kubwa!!!! Amrudie Mungu haraka vinginevyo siku zake zinahesabika! Kwa sasa ni mtumishi wa mungu wa Diamondi! Ndiyo maana anamwita mchungaji!
@RhodaMwampagama
Ай бұрын
Ahahahaha
@user-xx6yc3mz1w
13 күн бұрын
Amurudie mungu,kwa kutubu maana mungu hawezi kukupa wito kwa kuvunja ndoa,ndio maana hata nyimbo zake saivi zmekua hazina upako.
Kwakweli huyu Dada ameshapotea mm sikuhiz hata kumsikiliza naona kinyaa😢😢
Lah Mungu ampe nguvu pastor shusho aendelee kumtumikia tu ,mzee shusho Mungu atakuvika taji ya uzima , hili ni jaribu utavuka kwa ushindi
Blessed be the Man of God🙏
Ubarikiwe sana man of God.uko sahihi kabisa
Mungu akubariki sana kwa kuweka wazi kweli hii ya Mungu pia Mungu amsaidie Christina aweze kurejea maana ukweli amemkosea Mungu amelikosea kanisa ameikosea kazi ya msalaba wa Yesu.
Mimi ni Carlos kutoka Congo uyo shusho namuchukia sana anakuwa malaya sana anamutaka daimond
Kuwa katika ndoa ni Kulitimiza kusudi la Mungu.Dada Christina anaitajika sanaa kuwa sehemu ya kusudi la Mungu na ni wakati wake sahihi kumshuhudia Mungu ,yaan Bwana wa Mabwana,mfalme wa wafalme!Nimesoma kitabu cha ufunuo wa Yohana milango mitatu nikashtuka sanaaaaaa. Ufunuo wa Yohana 12: Ufunuo wa yohana13: Ufunuo wa Yoha 14: Soma sura nzima ,Mungu Atupenda sanaa.
@benjamenshepa1000
2 ай бұрын
Kwahyo ni halali kuvunja ndoa ili umtumikie Mungu ndugu
Tusaidie Baba.Sisi tunaompenda hajatubariki hata........."WATUMISHI MUOMBEENI SANA SI YEYE"
Mungu wa Mbinguni akubariki mno akuinuwe zaidi mtumishi wa Mungu Kwa kuwa mkweli Kwa ajili ya kristo
Mungu akubariki sana Mtumishi, Neema ya Mungu imzukie huyu dada arejee na atambue mazingira yanayomzunguka. Mimi ni mmoja wa watu walikuwa wanapenda sana kazi zake. Tusiache kumuombea, the enemy is at work 24/7.
Mtu kaanza kujibana na kina diamond atakua na Yesu kweli alishapotea mdada
@rendozrendo7804
2 ай бұрын
Maokoto
@johnjohnkipokola5077
2 ай бұрын
Sasa Diamond si anajulikana amejiunga na illuminants siku nyingi? Bado Christina aliwahi kuonekana kwenye kanisa fulani kule Kisongo akipewa msaada wa fedha chafu.
@eliashibundabalinze2754
2 ай бұрын
Kwani kama umeokoka ndo usiwe karibu na watu wasio wa kristo? Yesu akasema... "Wagonjwa wana mwitaji tabibu bali walima hawana uhitaji wa tabibu"
@fechasharon2
2 ай бұрын
@@eliashibundabalinze2754 haikumaanisha unachokisema,fungua macho ya rohoni
@PrinceHendry-hp8vv
2 ай бұрын
@@eliashibundabalinze2754 giza na nuru havichangamani
shida sio Christina,shida ni tamaa,watu wengi sana kwa siri wamejiunga na taasisi za siri za shetani,kwa kupenda pesa.sasa maisha yao yana kuwa chini ya ratiba atakayopewa na taasisi hiyo.Vituko vyote si vyake anatumwa na anakuwa programmed.
@rendozrendo7804
2 ай бұрын
Ndo hivyo dunia hii tunapita usipo fanya maisha yako utabaki .
@OmmyJames-xn7ji
2 ай бұрын
Christina anakuja na AGANO JIPYA 😢😢😢😢😢
@banguha
2 ай бұрын
Na ndiyo maana unaambiwa kama ni mtumish wa kiume hatakiw kuwa na mke kama ni mwanamke hutakiw kuolewa wamejiunga na kutaka utajir wa haraka Christiana alikuwa anafanya vzr wakat yupo na mume na alikuwa na heshima kwa sasa amekuwa kama mdananda tuu hajielew
@pastorbarnabamichael4946
2 ай бұрын
Hizi ni siku za ukengeefu
@milicentotieno
2 ай бұрын
Wote wameitwa kwa utumishi
Mwanajeshi mwenzetu ametekwa nyara na jeshi la shetani, jeshi la Mungu tuamke twende vitani against kambi ya shetani,tukawakomboe wenzetu badala ya kuwasema vibaya,we can not afford to lose her.
@nasimiyujustine
2 ай бұрын
You have said the trueth
@elishayohana6259
Ай бұрын
Njia ya kumsaidia mtu lazima umeambie ukweli
@liliankibambo2313
Ай бұрын
Umeongea point
Asante kwa kujitoa na kusema ukweli mtupu, Mungu akubariki sana .
Ila Mimi Nasemaga Tanzania kwa ujumla inahitaji Baraza la kusimamia misingi na Matendo ya kikristo...Yaan Ukristo inabidi kiwepo chombo cha pamoja (achana na TEC, CCT nk) kinachoumizwa na Malpractices za watu na watumishi...na chenye uwezo wa kukataa na kuzuia endapo kanisa ama mtumishi anakengeuka, ili tubaki katika misingi ya kikristo.❤
@joycenganyule3231
2 ай бұрын
Kuna watu wanaonekana ni wakristo wazur tu makanisan but ni wachawi balaa so mi siamin kama Baraza linaweza kudhibiti mtu kuwa na uhusiano mzuri na Mungu, huko kote ni shida tupu
@ramadhansemvua9994
2 ай бұрын
@@joycenganyule3231duh
@naomichallo9766
2 ай бұрын
Huwezi kumzuia MTU aliengeuka na Imani, ni MUNGU pekee ndie awezae kumzuia katika mwanae wa pekee YESU KRISTO
@anithakisima665
2 ай бұрын
Kabisa ikiwezekana hata sasa
Na hiyo ndio tofauti ya mwanamke na mwanaume ktk kufanikiwa..... Mwanamke akifanikiwa kuzd mwanaume matokeo ndio hayaaaaa
Asant mchungaji ila mimi kwa mtazamo wangu mimi pia mtenda Zambi ila hawa nao waimbaji wengi wa nyimbo za injili hawajasimama
Asante mtumishi kwa kunena kwa niaba ya MUNGU! Asante zaidi kwa kunena ukweli na ukweli kwa UPENDO MWINGI.....its high time for Christina to go back to her senses just as a prodigal son did. As early as NOW
Nakushukuru sana Prophet kwa kuamua kuongea juu hili, Mimi ni miongoni mwa wanawake waliofedheheshwa sana na Christina, na bora angetoka kwenye ndoa yake akanyamaza kimnya, asimdhalilishe Mungu na Kanisa la Kristo.Anataka kutuambia kuwa Mungu ameamua kupingana na Neno lake. Nimesikitishwa na Tina. Kweli Mungu aturehemu!!!! 😢😢😢
@wahidakisingo3588
2 ай бұрын
Mungu aturehemu 🙏
@RhodaMwampagama
Ай бұрын
Njia yake si ndefu sana Mungu atasema nae
Umefanya vyema kuyasema hayo Mtumishi wa Mungu. Mungu akubaruki sana. Amemwaibisha Mungu wetu pia. Hata baadhi ya Mashekhe wamemshambulia sana Diamond kwa kushirikiana na Christina Shusho kwenye Mtoko wa Pasaka. Hii ni huduma mpya kabisa haijawahi kutokea popote. Na bila kumung'unya maneno Christina anamtumikia mungu wa herufi ndogo, siyo Mungu YEHOVA tunayemwabudu.
Waooooow very good massage Man of God thank
@leebronkasianh5296
2 ай бұрын
Shetani,huwa anaitumia pesa,kuvuruga mambo ,na sio yy tu waimbaji wengi wa injili wameshakamatwa na shetani.
Tuambie ukwel tupone,Ubarikiwe sana Mtumishi is very sad😢
Jinga sana hilo mama..limuache mungu wetu tunaemwani..asitufarakanishe na mungu wetu..mwenyezu mungu huwa hawaiti watu wajinga kama hao
Sio tu mzee Shusho,hata wewe leo ukimpa mkeo nafasi akaanza kufanya huduma na kujiita mtumishi basi ujuwe huo ndio utakuwa mwisho wa ndoa Yako...
@user-nv7sf2iu2v
2 ай бұрын
Huo ndio ukweli sema watumishi wa siku hizi wanapotosha Neno la Mungu wanaleta hekima za kibinadamu kwenye kweli ya Mungu
@DaviVicent-eh6ev
2 ай бұрын
@@user-nv7sf2iu2v❤
Huyu mama Yuko kuzimu,watumishi wa Mungu tuombe Mungu ayafute matendo haya yakuzimu kupitia kwa christina
@testimony254
2 ай бұрын
Wakati alianza ku muhushisha diamond nilijua hapa ni basi
@peacelive3420
2 ай бұрын
Kwani Wokovu ni juu ya matendo ama Imani?
@pamelaayieta6071
2 ай бұрын
@@peacelive3420Faith with actions not vice versa.
@peacelive3420
2 ай бұрын
@@pamelaayieta6071 is it GRACE period? Or GRACE and?
@olivernyange2349
2 ай бұрын
@@peacelive3420grace end😅
you are right man of God
Nashukuru sana sana mtumishi wa Mungu Wakristo tupo kwenye maumivu makali mnoo kwa ajili ya Christian shusho anapaswa kuomba radhi kwa kanisani la Kikristo ametudhalilisha mno huyu kwa sasa tumwite tu agent kuzimu Wachungaji watumishi wa Mungu wamekaa kimnya kama vile awaoni mwingine anasimama na kusema anamtetea mtu amabaye siyo wa imani ya Kikristo Namshukuru sana Mungu kwa kukupa ujasiri wa kulisema hili Mungu akubariki sana
Ubalikiwe kwa ushauli
Dada Christina rudi ulivyo kuwa mwanzo , si wewe ni shetani aliyeingia ndani yako ,, mungu akufungue macho mwanzo hukua mshamba bali ulikua unatumiwa na mungu kiu kweli
@elinisafibabarita
2 ай бұрын
Dada Tangu alienda Kenya ni kama kuna kitu ilimpata huko since then naona hajawa sawa
@banguha
2 ай бұрын
Amekuwa mshamba wa dunia utadhan bint wa miaka 18 kumbe ni mtu mzima
Ahsante kwa maonyo mazuri mtumishi wa Mungu. Maana Neno linasema onyaneni, kalipieni nk
Thanks for being brave
“Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani; ” - 1 Timotheo 4:1 (Biblia Takatifu)
nawashangaa sana wanaomwita pastor yule si mchungaji
Inaumiza sana Dr...Mungu atusaidie wanawake
mtumishi ule mungu wa christina ni mungu ule wa diamond na anayejua ajua ni mgani..
Powerful ....kufikiri kwa kina waooh!!!
Sema kweli nayo kweli itatuw3ka huru. Suddenly kaimba mlima HARARATI BADALA YA ARARATI. Ni shida. God bless you man of God.
@estherluvanda1192
2 ай бұрын
😂😂😂😂
@ekiliangoliga644
2 ай бұрын
Kwani nini maana ya Harati na Arati sijui maanake
God bless you abundantly
Bless you servant of God
Hawezi kuwa mwiba bali anazibitisha andiko la Paulo, christina anaupenda ulimwengu na hana huduma ya Mungu aliye hai na Mungu kamfunua
@elinisafibabarita
2 ай бұрын
Correct!
@user-fq2jz9lm9f
2 ай бұрын
Sipendi tabia yako Kristina napenda tu nyimbo zako IGA tabia ya nzuri kama ya Nkone Jenipha Mgendi nk
@ruthjemson4386
2 ай бұрын
Kweli kabisa
@ruthmwenje8380
2 ай бұрын
Rudia haya maneno ya kweli kabisa
@user-ll5qx5up8n
2 ай бұрын
Kweli kabisa mimi ni mama Mtumishi niko German nilikwaza sana hata ile nguo aliyokuwa amevaa kwa mtoko wa pasaka haikuwa ya heshima kabisa kwa wito wake ilibana matako yametoka njenje jamani kama siafu
Mimi haya niliyatarajia maana giza na nuru haziwezi kuchangamana nilivyoona ukaribu wake na wasanii wa nyimbo za kidunia nikasema ili ni anguko lake tayari.
@peacelive3420
2 ай бұрын
Mwenye haki aweza anguka (mara...) na atainuka Tena.....
Mungu atamwadhibu christina muda siyo mrefu
Amen amen mtumishi wa mbinguni,Mungu akupe muda kutosha kuwafundisha wasiojua Mungu
Kweli kabisa Christiana amepotoka kabisa kiungu
@FAITHEDWARD-eg6du
27 күн бұрын
Unajua ukiwa ndani ya yesu unazungukwa na uwepo wa mungu. Lakini Christina amelivua vazi la utukufu, asijidanganye kwamba atakuwa kama alivyokuwa mungu amsaidie.
Diamond kafurahi kweli, kapata mshirika
@gosbertmuta5421
2 ай бұрын
😂
Asante Prophet kwa kupiga panapouma, huyo mwanamke ni malaya tu..
@gosbertmuta5421
2 ай бұрын
😂
@fredfandey222
2 ай бұрын
tokankitambo tu, watu walikuwa hawajui tu
@stephenkalidush5446
2 ай бұрын
Ndugu kusema mtu usimjua ni tatizo kubwa sana coz ata wewe zipu ipo wazii funga zipuuu kwanzaa
Asante Mtumishi wa Mungu kwa kusema kweli kuhusu huyu ndugu ubarikiwe
Mafundisho haya ni ukweli ila unyenyekevu na utiifu umewatoka wanawake pindi tu umarufu kihuduma,Mungu atusaidie sana
Women,GOD help us Amen 🙏
You are good servent of God
Ubarikiwe mutumishi. Wa mungu. Anakosea. Kweli anafananishwa na vasti alie zarau mume wake
Nilkuwa nazpenda sana nyimbo zake kumbe nishetani mtu sizitaki tena!
@peacelive3420
2 ай бұрын
tusisome Zaburi kisa Daudi alizingua, ?
@user-ee8dr9iw4t
2 ай бұрын
Ata lusifa anikua mwimbaji sasa matuda yake yanaonekana
@naomichallo9766
2 ай бұрын
Zamani naona alikua akimtumikia MUNGU ndio maana nyimbo zake ulikua ukizisikia zinakugusa lakini sasa naona ametoka nje ya Imani ni huzuni tumuombe Sana
Ameshalifanya jina la Yesu ni kichaka cha kufichia uchafu,achague moja kusuka au kunyoa,aache kumsulubisha Yesu kwa mara ya pili,barikiwa Mtumisha
@user-ii6gs2jg4g
2 ай бұрын
Hakika ndugu
@brianngunjiri4738
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 weeee
@peacelive3420
2 ай бұрын
Kwani Nini maana ya kumsulibisha Yesu mara ya pili?
@majaliwamsigwa6206
2 ай бұрын
@@peacelive3420 Waebrania 6:4-6
@StanfordPaul-kw3cg
2 ай бұрын
Hatimae leo mtumishi wa Mungu amekichoma kichaka ambacho malaya huyu amejificha.
What you spoke Dr is truth
Asante sana prophet.
Ukijiinua unashushwa ,kanuni ya Mungu ni kunyenyekea kwake basi
Asante mtumishi kwa kujitoa muhanga katika kuisema kweli maana ni watumishi wachache wanao weza kusema kweli
@benjaminshayo32
2 ай бұрын
Kwendeni hukoo..amelisemea Sasa Sisi limetusaidia NN? Kumbe alichokisema wewe ulikua unanifaham tangu mwanzon...Sasa kulikua na haja ya kuja kusema huku....? Hii si kusengenya? Alipaswa akamwambie mwenyew na si kusema huku maana lengo si kumuaibisha dada Christina Bali kumsaidiaa...hii ni kumuaibisha..
@rerisamba
2 ай бұрын
@@benjaminshayo32kwani dada christina sialitangaza mtandaoni na ajibiwe mtandaoni hujui maana ya kusengenya wewe
@SmilingCityMap-xb9md
2 ай бұрын
@@benjaminshayo32yaani ukisema na kumwaibisha yesu mitandaoni NI lazima ujibiwe mitandaoni
@kashindisimon5265
2 ай бұрын
@@benjaminshayo32 wewe nae ni malaya kama Christina
Mungu akubariki sana, nyakati hizi huduma nyingi Sana ninajutokeza hazitokani na Mungu huyu wa kweli. Na ndiyo maana wakishaingia na kuona wamefanikiwa wanatoka kabisa nje ya mpango wa Mungu na kujifanyia mambo Yao na mara zote wanaenda kimwili. Shusho anatakiwa kutubu Kwa machozi vinginevyo pigo linakuja kwake.
Ni kweli usemayo mtumishi, Christina hamjui Mungu anayekwenda kumtumikia Sasa.